Nampend baruti km mdog wang yani wanafanana sn weupe sura mpakakimo dah kaise duniani wawili wawili kwele utafika mbali my kaka 😍😍✌🏻✌🏻👌pia nawakubali wote tim nzima 🤗💕💕👌
Duh hii muvie imenigusa san yaan naona kabisa kama nimetungiw mm duh jojo nikipengele kwakwel tunamajojo wengi sana uku mtwara nawakubari sana kaka zangu😰😰😰😭😭
Sema huyu *BARUTI* anaimba mnooooooo aisee *TIN WHITE* Na *MKOJANI* Msiogope kuwekeza hela zenu kwa huyo dogo jamaa ni dili sana kwenu 🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌 MOVIE iko poa sana hongereni
Huyu Mkojani anaeza kufanya ukasahau stress zote wallai....hongera sana😂
Baruti hujawahi kunikosea hata siku moja kwa nyimbo zako ,,,hasa ileee nimefeli wapi daaah 💖 piga kelel TINY and mkojani
Brother km unayo ile nyimbo nitumie
Tin bhana eti mimi nimepanda ndege bule daah nyie noma aise big up
Nampend baruti km mdog wang yani wanafanana sn weupe sura mpakakimo dah kaise duniani wawili wawili kwele utafika mbali my kaka 😍😍✌🏻✌🏻👌pia nawakubali wote tim nzima 🤗💕💕👌
Uza ule kopesha ulale njaa daaah,,!!misemo ya nagwa noma
Oyh powa sana
Mchakamchaka chinja alisema hadija
Nzuli San kamaunamkubali kojan like zako
Kiukwl huyu barut anajua kuimba San.... Mtoen awe star nyimb zke nzur san
Nqkubar mwamba yupo vizur
*FROM MOMBASA KENYA KAMA KAWA* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰
Uzur wa movie zao unaweza kuangalia hata ukiwa na family 😂😂😂
Kunywa soda ulipo 2ma namb nikuwekee unajua kutoa point sana nimekukubali100%
Mpoooo vizuri Sana Sina budi kiwasifia wote
Aise brdha njgwa nkukbar sana kalbu mwanz
Aisee mumetisha sana waun wa nagwa mumependeza movie kinoma
Nawependa jmn nyie ndo mmenifanya nianze kuangalia movie za kibongo Mungu awainue
Njoo mwanangu nagwa DURBAN NATAL 🇿🇦 wanao tupo 🤟
nakukubal bro kwaku litangaz kabila let wakojani 💕💕💕💕💕
Wasanii mpoo tusiwo wajua na hamtaki kaz nyengne
Mmetufany turudie Tena kuangalia movie za kibongo wallah mko vzr tunawakubalii
Nmekubali.. Nmeanza kukufuatilia Mkojan.. Umepevuka sana ktk uchekeshaji
Nice movie! Nimeipenda.
Hahahaah waliuza maji ajentinaaaa unauponza ww
Uza ule kopesha ulale njaa like it
Wataalam wa hizi kazi
#100%
Nagwa kafunika sana humu
Mtu mpak mam yake anauza chini gong like
Nkubar san mkojan
😂😂😂😂😂😂😂Eti harmonize kanguka na kamba 🤣🤣🤣🤣🤣
Endeleeni Kukomaa Mpaka Bongo Movie Ipotee Kabisa Wazee Wa Kiki Wale Kaz Mbovu.
Duh hii muvie imenigusa san yaan naona kabisa kama nimetungiw mm duh jojo nikipengele kwakwel tunamajojo wengi sana uku mtwara nawakubari sana kaka zangu😰😰😰😭😭
😊😊😊kweli Tin nimekuona Copenhagen kipindi ulichofika Danmark adi Aalborg umefika.
Nmekaa sana mauholanzi
Na mfike mbali zaidi
"6 na 9 zote namba foyauti mageuza" 😊
Sana mabrouther achien vyuma mi nakubal kazi zenu mafundiiii
Daaah baruti nakupenda bure
Dah movie kali sana nmeipenda kwakweli akina harmonize wameanguka nakamba
More bless blood @nagwa ckuping since day 🇿🇦
Nawakubali sana Allah awasimamie wallah🙏🙏🙏
Waooooii Quality Nzur I Sana Mmejitaidi
Mkojaniiii dah! Umeuw
Iko Sawa
Poreni na kumutaja diamond saaana na hawezi kubasapoti 🙈🙈🙈🙈mutegemeye mungu tu atawabariki musitegemeye binadamu mwenziyo 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
🔥🔥🔥👌
Nawakubali sana
Hii ngoma inaitwaje
Mko vizur nakubali
🔥🔥🔥
Nawakubali sana mkojani....tin white na nagwa....muko juuu🥰🥰🥰
Jaman mkaka anaimba huyu😋😋
Hey
Kazi nzuri
Mambo
Jaman tiny white, mkojani nagwa na naruti nawakubalii from mexico
Kali sana
Nakubali mkojani
Xaf xana
Sema huyu *BARUTI* anaimba mnooooooo aisee *TIN WHITE* Na *MKOJANI* Msiogope kuwekeza hela zenu kwa huyo dogo jamaa ni dili sana kwenu 🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌 MOVIE iko poa sana hongereni
Mkojan analikanaje
A nappat ikanaje
0714023144 napatikana muda wote
@@nassororufukano1471 we Ndiyo mkojani
@@husseinhajjihussein6898 unamtaka mkojan
kalii
Wa kwanza leo
Dah hh mkojan unaongea 🤣🤣🤣
Tini kwa uongo nakubali
Jamn mm naitwa shaban naomben angalau nifanye kaz nanyny mana mm napenda kuigiza plz naomben sapot yen u. Ila barut m nmemkubal huy nizaid ya daimond
Barut zaid ya diamond ? ww acha kuzingua ww ximba unamjua ww
Sure mwana kulifind mwana kuliget .
Nice work
Nakubali baluti
uyo kijana❤huimba bahna
Filamu nzuri Sana nimeipenda
Nipo Kama kawa
Dub domo la tin white bange bange. Anamoka sana.
Noma sana👊👊👊💯💯
Safi sana quality nzr big up kwenu wote
Yaani nawakubali sana nyie ndo mmebaki wenye bongo movie yenu hapo tz
Harrier lexus ile nyuma yenye kijiburuji 🤣
Barut unajua kuimba
Tin ni muongo haraf yuko serious
Nakwambia mbingun haendi huy🤣🤣🤣
Daaa\aaah jamaa ni muongo sana alaf uongowake upo kama ukwel hyo ndio tin bhn
Ila JoJo mzuri sana
Nice
Itikeli ndo nn nagwa 😂😂😂
Ngoma nagwa mhuni haswa😁.. ula ula usambe mbelenye miaka mingi hatujafilimba ulembe...
msela ni wewe
#imeweza sana
Anasuka nywere za zuchu🤣🤣🤣🤣
Mkojani Kenya tunakumaind sanah
Nimejua kucheka eti kwetu kuna weusi watupu😅😅😅
Mkojani balaa
Weken basi na hiyo ya Mkojani,Tin na Mau
Big up mpo vizuri vipi chocho ame olewa
Baruti mwenyewe mwee😋
BARUTI NAOMBA COLLABO NA WEWE ASEE UNAJUA
Nzuri Sana
Nahic mkojan ni Zaid ya president king majuto
Upo juu San mkojan
Yaani huyu mkojan mim namkubali sna anajua nin anafanya
Bwana iyo kali
Sharaut sanaa kwen
Kwakweli nimeimenda tu sana👌👌
Assam aleikumjamiama Russia
I like this comedy
Eti sikapend😀😀😀😀
Nakubelieve mpk naumwa 😂😂😂
Leo wa 9 like zenu bas
Fo
Ih
Panga kwetu toy tu😁😁
Et Mara waanguke na kamba😆😆
Mkojani upoje lakini
Duuh mkojani noma San big up
Dahhhh Dogo Anaimbaaa Utaam Sanaaa
Mkojani movie zake nzuri
Øgg Uquality