Yani nyie kila kitu chenu mnakipa kasoro mtasifia NN sasa cha kwenu embu sifienu vyenu ili tuwape moyo hawa watu waendelee kufanya sanaa ya Tanzania kukua
Hivi wewe ditector haujiulizagi kwamba watanzania pia wanaakili kama zako unawaza utudanganye wakati uongo wako tunao,haya bavo anaenda hospital anakutana na majambazi ndani ya masaa mawili mkewe hamuoni anapambana na jambazi why msifanye tu uhalisia mnakosa nn?
Bavo ni 🔥🔥🔥🔥🔥 unakubari hii move 2juane apa naomben like zangu jaman
Nimeikubal xana hii move
napenda sana movie zako ziko sawa🙏🙏
Sema kaka action ni kali ila story ndo tufanyie kazi hapo ila you are the best
Iko 2 sawa
Mtia sauti kazingua sana aisee
Kazi nzure sema makelele kwenye action,punguzeni
Bavo kazi zako nazikubali pambana kaka
napenda vita nakuambia bana weeeh
Hii sinema nimejikubali Jonathan Jones (agent bavo) kazi njuri
Mes s'inscrire félicitations, courage vraiment#🇨🇩
Bavo nakukubali kakaa🔥🔥🔥
Munachongea hakisiki sauti ndo nyingi maneno hatusikii
Bro saut mmezingua ila chum iko poa producer kazngua kiain
Bavo tu anastutas nzuri ila wenzake wanamuangusha sana
Sema kamanda mkuu Bado nafasi yake haitendei haki
Action kali ila jamaa wa sound kachemka,
Na Mimi Napenda KAZI iyiii Murio Fanya Ni Mwenzenu Bosco From Kigali Rwanda
Brath m xtak nirapp xan ir good job up makin
Camer man anazngua kinom daaa
Congratulations bavo
niaj man
yani bavo nusu van Damme nusu jet LI uko sawa bro
Nakubari good
Bavo wape Safi sana ❤❤❤❤❤
Walai kaka unafanya natamani sana kujua ngumu Kali sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Yaani uku nimekuja baada yakumuona Bavo kwenye kava
Kaka bavo☝️ tanzania nakubali
Kazi njema
#J WHITE -BAVO🔥
Bavo wewe ni star waleo na kesho
Movie kali Ila tulizeni kamera
Kazi nzur
Kakak badil camera tafta mafund wa kushoot huy ana2zngua move hazipo international kweny shooting zake naamin utafk mbal ukifny hvy
Kweri tunakubari bavo Safi sana
Camera man vp mbona kajitikisa sana
Ao anakula mtu
Kazi nzuri sana
Omulimu omulunge
Bavo🔥🔥🔥
Good work wana kings media say hi to pasta elkana konokwa
nice movie
Mmezingua na ninavyowajua
Action bongo movie inapiga hatua
Sure💯
Yes
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nlavoo👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏🙏🙏
My lol model bavo
Nakubali
Mh mumepambana
Chonjo 🙏🙏
oy vp
Hii nikali kakaa
Amibak juma Khan
Tatizo moja mnalo kwaizi muvi zenu ikifika sehem ya ngumi mnachezesha caméra sana hazituliyi kwani huwa mnakosea wapi???
Kweli sana
Yani nyie kila kitu chenu mnakipa kasoro mtasifia NN sasa cha kwenu embu sifienu vyenu ili tuwape moyo hawa watu waendelee kufanya sanaa ya Tanzania kukua
@@WinclaraHarmony-hx7ecsio kukosoa ila tunataka tuwe kamili nasisi
Nilikuw nasubili hii sehem y pili
Bongo bwana,mh
Hivi wewe ditector haujiulizagi kwamba watanzania pia wanaakili kama zako unawaza utudanganye wakati uongo wako tunao,haya bavo anaenda hospital anakutana na majambazi ndani ya masaa mawili mkewe hamuoni anapambana na jambazi why msifanye tu uhalisia mnakosa nn?
We ujaelewa ndo maana unalahum kilicho fanyika hum ndani ila ungetuliza kichwa ungeelewa japo sounds zikizidi
@@kachagrill3204 kabisa yaani nakusupport Kaz yao ni kuchambua tu vibaya na kasoro wakati hawajaelewa ata story yenyewe
Cameraman🤮🤮🤮🤮
Iko 2 sawa
Big up sana t bavo guys, lakn hao majambz lot liwakute