Movie ni Kali na hana mpinzani unanipigia mateke Yale Yale kama ya kwenye video mbaka najiraumu kipindi kile cha Jack Chain wamekula sana hela zangu mi nazani saizi ningekuwa na V8 Kali na ya maana. Boss Msaada Ahahahahahahahahahahahahahahahah nimecheka Sana nzuri hiyoooooh
Poleni wote mnaolalamika kuwa movie ni ya kiswahili na mtafsiri pia ni mswahili bila kujua ya kuwa Kuna wakati hata mboga ikikosa radha huwa tunaweka pilipili ili kuleta challenge baina ya mboga,ulimi,radha na mdomo kwa ujumla so nadhani mmenielewa makandarasi wa kitanzania
Bavo picha kal sana na kaingia mchochez wa maneno ndo kabsaaa balaa. Sema apo ukipata camera ya HD yan picha nzur sana apo ungepata HD camera na editing kidogo dah
Mama alipopingwa lisasi ilitakiwa watu baazi wake chini na wengine wakimbiekwa taharuki Sasa baada ya lisasi kutuo kea huyo Mama wate wameenda kumushuga huyo Mama bila kujua eidha Kuna lisasi nzingine Zina pingwa
Nakubali san hii machine
Wazungu imekula kwao round hii
Movie zako za tofaut sana... zile za kibongo nyingine unaweza kisia inaishaje akn hii yako dah unaelekea kutengeneza mastermind movies congrats bavo
Mimi kama Mdau mpenzi wa Movie za Action napenda sana vitu vyenye uhalisia ,, Bravo umejitahidi na wengine wote
!
Kazi mzuri broo bt kitu kidogo tu jitahidi sana kamera man
Mlikua wap mmetisha sana bange la ackshen good bavo
Sio imetafsiriwa IMESIMULIWA na ... Angalieni hata za wazungu ambazo hazijatafsiriwa zina wasimuliaji anayekubaliana na Mimi weka like hapa
Wamealibu
Bavo bongo bati mbaya.big up
Movie ni Kali na hana mpinzani unanipigia mateke Yale Yale kama ya kwenye video mbaka najiraumu kipindi kile cha Jack Chain wamekula sana hela zangu mi nazani saizi ningekuwa na V8 Kali na ya maana. Boss Msaada Ahahahahahahahahahahahahahahahah nimecheka Sana nzuri hiyoooooh
Kaka umetisha 🙏🇹🇿
ase kumbe bongo tuna weza umetisha sana mkali
Kazi kubwa kinyama💪
Aisee kumbe Hata bongo movie hasa za action km hz ukitangaza Zina kuwa Powa
Kaka Bavo big up ww ni fire
It's nice move, from Mauritius
Bavo number 1 action movie in Tanzania 💥💥💥💥💥💥
Shemela umetisha aisee,sema nilikuwa bize nikachelew kuitazama
Poleni wote mnaolalamika kuwa movie ni ya kiswahili na mtafsiri pia ni mswahili bila kujua ya kuwa Kuna wakati hata mboga ikikosa radha huwa tunaweka pilipili ili kuleta challenge baina ya mboga,ulimi,radha na mdomo kwa ujumla so nadhani mmenielewa makandarasi wa kitanzania
😀😀umetisha hawajui
@@jumamchau1456 hii movie sio mboga
Movie nzuri lakin radha inaondoka kwa uyo anaetafsiri
sasa nini tusichoelewa mpaka atuhadithie
Haa
Nakuelewa sana jumaaaaa khani wangu wewe daaha mie napata raha sana,umekubali mpaka home safii sana wapi JJ
asante sana
Good movie ever seen in tanzania
Da bongo movie yakwanza kuielewa awa ndo watu wanoitajika wamenifurahisha mmemwaga mbaka matunda juma khan umetisha
Daaa! Imetisha
hii mover ni noma sana asis tam kwer
Ukojuu mr BAVO tu es fort mon artiste préféré
Saroot sana kaka nakukubali hakika wewe ni mwamba wa Action
Big upo bavo
Bavo ako juu tu sana
Bavoooo nakukubal miaka miaaaaaaa
Movie kali kinomaa illa juma khan kazid kuinogexha
Kikubwa kaka apa mpate ommy_d kimuv usha toka
Wabongo tupo vizurii sana
Nice bravo brvo💪💪💪
Bavo picha kal sana na kaingia mchochez wa maneno ndo kabsaaa balaa. Sema apo ukipata camera ya HD yan picha nzur sana apo ungepata HD camera na editing kidogo dah
Kwely mzee wangu
Mavasi ya mtoto kwa baba ake hayalizishi jaribu kuelekeza madada kwenye 🎬
Safi sana mkuu pavo
Sijapenda mnavo tapsili kwani atuelewi
Naamn tukipata watu kama kumi actors kama Ww ,huu mchezo unaenda kuwa mtam sanaaa
Ahahahahahahahahahahahahahahahah Mkuu tuma msaada
Kaz nzur San haraf juma umeitendea haki
bavo you deserve to be in Hollywood
NAKUPENDA BAVO😍
So good jmn bavo
Dah asee tailendi iyo dah kaz nzur broo
dakik ya 13;45 nmependa hcho kipnde jamaa karuka CARINA kurarek duh
Kuweka sauti ya juma imeka poa Sana Mimi nazani waendelee tu iko poa
Aisee wanaolalamika acha walalamike nikwamba move ni tamu Ila sema cye watanzania tuna utumwa wa kifikira bavo umetisha kamanda kaza hivi ndo vitu tulihitaji tumepata tumeanza lawama
Safi kaka 🔥🇹🇿
Jamani mi ni Mrundi napandisha mkono BongoMovie ipo juu kbx in EAC
Aixee huyu mtu niwakumpuxhi afike mbali anakipaj chakipekee
😂😂😂chikongwe juma khan moto wakuotea mbali
Very nice, it's the best.
NAkukubali bro lazima nikutafute bavo tufany Kaz pamoj
Baba baba umeua kinyama sana 🔥🔥🔥💪💪💪
Fire sanaaaaaaaaa
Kaz nzur bro bavo
I assure you bro you will be so far after five years to come...this will be succeeded if you add English subtitle
Kali sana
👏🏾👏🏾👏🏾👍🏾
Agent bavo + juma Khan ni 🔥
Mama alipopingwa lisasi ilitakiwa watu baazi wake chini na wengine wakimbiekwa taharuki Sasa baada ya lisasi kutuo kea huyo Mama wate wameenda kumushuga huyo Mama bila kujua eidha Kuna lisasi nzingine Zina pingwa
Lit
Dada kafanya vizuri
Uko vizuri
💪💪💪💪Bravo
Nom san ww
💯🔥🔥🔥 kali
Mr bavo jmniii 😂😂😂🙈🙈🙈
Bongo wameendeleaa sanaaa
Nimesubscribe nimelike nimekoment aloo tuleteeni mapinduzi bongo bavo
Oya muwe mna2mia ngeli kdgo ili jamaa aweke maneno yake kam kwnye movie hiii
Mateke ya Scott Adkins daah hii movie imenibamba kinoma
Bavooo aminia Sana Kaka
Nimekubal movie kali sana
No comment 🔥🔥🔥
Kazi nzuri bro
Nc bavo I like u
Good muve
MUCHO BUENO
💯💯💯💯💯💯🔥🔥
mhahaha yule kitenge wa wasafi fm ni feki..wewe ndo kitenge mwenyeww
Ni fire
Love my move
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏 brother
Mkono mtaan Sana napendaga
💯💯💯💯✔️
Umetxha
Good
Bavo upo vizuri
Mnaodislake move ya namna hii piteni kushoto
Nakubali sana
Jamaa anajua
Bonge moja la move
Gd
Wabongo vp
Imetulia aisee
Big up sana brother kazi nzuli
Dah watanzania tunataka hiv sas 🤔🤔
Hii big ☝
Iko njema
Kama don yen
😘😘😘😘😘🤸🤸🙅
Bavo ulikuwaga wapi
tradu în Liba Română scrisu