ACHILIWA KWA JINA LA YESU // MAOMBI MAALUM YA KUVUSHWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Ujumbe: Maombi ya kuvuka
    Andiko: Ezekieli 34:16
    Pastor: Innocent Mashauri
    Ezekieli 34:16
    Nami nitawatafuta waliopotea, nitawarudisha waliofukuzwa, nitawafunga waliovunjika, nitawatia nguvu wagonjwa; nao wanono na wenye nguvu nitawaharibu; nitawalisha hukumu.
    Maarifa ya Ki-Mungu
    @SIRI ZA BIBLIA
    www.sirizabiblia.com
    +255 758 708 804
    linktr.ee/siri...
    Instagram Account
    / siri_za_biblia
    SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
    M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
    CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

Комментарии •

  • @AnusiataNziku
    @AnusiataNziku 2 месяца назад +1

    Mungu achilia ukombozi kwenye maisha yangu vifungo vya ibilisi shetani viachie familia yangu nikumbuke baba Amen.

  • @zainabudotto
    @zainabudotto 2 месяца назад

    Yesu yesu tawala kwenye maisha yangu

  • @ScholarBwire
    @ScholarBwire 2 месяца назад

    Asante yesu🙏🙏🙏

  • @MercyWanjala-ki5nn
    @MercyWanjala-ki5nn 2 месяца назад

    Nivushe ee Bwana katika Hali zote ninazopitia

  • @fatumakyese290
    @fatumakyese290 2 месяца назад

    Wewe ni Bwana niponye nikujue zaidi Yesu

  • @sharonafica1470
    @sharonafica1470 19 дней назад

    Asante mungu

  • @ScholarBwire
    @ScholarBwire 2 месяца назад

    Asante mtumishi wa mungu kwa majira haya kwamaombi🙏

  • @joankalegi
    @joankalegi 2 месяца назад

    AMEN AMEN, 🙏🙏 ASANTE YESU KWA KUNITENDEA, ASANTE KWA KUNIKOMBOA KWENYE VIFUNGO VYA GIZA 🙏🙏

  • @WinfridaMakina
    @WinfridaMakina 2 месяца назад

    Asante YESU 😊

  • @SylicheriaMachera
    @SylicheriaMachera 2 месяца назад

    Amina kwa uwezo wako ee Bwana

  • @witnesselkana
    @witnesselkana 2 месяца назад

    Nivushe Bwana Yesu kwenye uzao😢

  • @JONISIAMWILONGO
    @JONISIAMWILONGO 2 месяца назад

    Usinipite Mungu wangu nivushe nakutegemea

  • @MarieMakiwa
    @MarieMakiwa 2 месяца назад

    Ee mungu wangu nahomba nihachiliwe kwa Jina la Yesu

  • @jnrnero6441
    @jnrnero6441 2 месяца назад

    Amen ubarikiwe mtumishi

  • @Consolata.1
    @Consolata.1 2 месяца назад

    Amina

  • @lusilusi8687
    @lusilusi8687 2 месяца назад

    Asante kwa neema hii Bwana

  • @WinfridaMakina
    @WinfridaMakina 2 месяца назад

    AminA

  • @FrankRafael-u1f
    @FrankRafael-u1f 2 месяца назад

    Mungu akubark mtumish kwa mafundisho hii kwel ni sir za biblia

  • @marymaria6544
    @marymaria6544 2 месяца назад

    Asante bwana unaweza yote,baba naomba ukanivushe nakunitoa Kwa kila kifungo,pia kuharibu kila mipango YA shetani Kwangu hata kwatoto wangu Kwa Jina la yesu🙌🙌🙏❤️

  • @نيجي-ن1د
    @نيجي-ن1د 2 месяца назад

    Amen amen eeeeh Bwana Yesu nivushe katika madhabahu za kutoolewa,uganga na uchawi na hata nisizozijua ila ww unajua maisha yangu maana ulinijua kabisa hujaniweka tumboni mwa mama yangu umeyachunguza malango yangu na unajua kila kiandamacho maisha yangu Jehovah

  • @margaretmumby2411
    @margaretmumby2411 2 месяца назад

    Nivukishe yesu

  • @NdayishimiyeAgnes-of2tn
    @NdayishimiyeAgnes-of2tn 2 месяца назад

    Usinipite Bwana

  • @janecharo1196
    @janecharo1196 2 месяца назад

    MUNGU MWENYEZI NASONGA MBELE ZAKO NIKIOMBA TOBA NA MSAMAHA. BABA DAMU YA MWAÑAO YESU KRISTOR IKAKATE KILA MINYORORO KWA MAISHA YANGU 🙏 WATOTO WANGU UKAWE MWANGA WA NJIA ZAÑGU AMEN

  • @AshuraNdayisaba
    @AshuraNdayisaba 2 месяца назад

    Hallelujah Amen, naomba siku ya leo iwe baraka kwangu na watoto wangu na family yangu

  • @DanielChaula-q6h
    @DanielChaula-q6h 2 месяца назад

    Asante bwana haujatuacha

  • @EstherBitengo
    @EstherBitengo 2 месяца назад

    YESU 😢 usinipite unapo Sulu wengine unikumbuke mm na wanangu,uyafute machosi haya, unisamehe dhambi zangu,uniokoe Baba 🤲 Kwa uwezo wako Amina.

  • @denniswambua1430
    @denniswambua1430 2 месяца назад

    Ehe mungu nifungulie milango yangu ya maisha..

  • @DianaMwakibibi
    @DianaMwakibibi 2 месяца назад +2

    Mungu msaidie mama angu aweze kulipa madeni yote katika jina la yesu

  • @reyswai1622
    @reyswai1622 2 месяца назад

    Amen 🙏

  • @alinependo-bk4jj
    @alinependo-bk4jj 2 месяца назад

    Mungu nivuguwe vifugo vyote vyakira aina na family yangu 🙏🏽

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka3762 2 месяца назад

    Emeeeen

  • @GetrudeMasale
    @GetrudeMasale 2 месяца назад +1

    Nivushe kwa hili jaribu kwa jina la Yesu

  • @HeritierMwengeGisele
    @HeritierMwengeGisele Месяц назад

    ❤amen

  • @eveabasi2469
    @eveabasi2469 2 месяца назад

    Asante sana Yesu Kwa kunivusha katika kipiind hiki kigumu

  • @KinamaDecomo
    @KinamaDecomo 2 месяца назад

    Eeeh mungu nifungue vifungo

  • @maseaJoe8676
    @maseaJoe8676 2 месяца назад

    Asante Yesu kwa kutukomboa kutokana na vifungo vywa shetani

  • @LuciaMagari-h8o
    @LuciaMagari-h8o 2 месяца назад

    ameeeeen

  • @lian-ty1jw
    @lian-ty1jw 2 месяца назад

    Usinipite baba nivushe kwenye haya nayo yapitia achilia uponyaji kwa mdogo wangu na baba yangu ukawavushe kwenye mapito yao AMEN

  • @amisakiza1538
    @amisakiza1538 2 месяца назад

    Kombowa ndugu zangu Yesu navifungo vyahulevi piya naroho zatamaha yamwili. Ponya hukoo, jamihi na familiya yangu yote kwahujumla usinipite Yesu naomba

  • @susumakomanya9762
    @susumakomanya9762 2 месяца назад

    Nayaweza mambo yoye katika yeye anitiaye nguvu

  • @RoseMageni-hz2ni
    @RoseMageni-hz2ni 2 месяца назад +1

    Ee Mungu nifungue na vifungo vyote mimi na familia yangu natamka ufaulu mzuri kwa binti yangu na Ajira kwa kijana wangu naachilia uponyaji kwa mwanangu mdogo na hamu ya kula chakula nivushe katika magumu yaliyojuu ya uwezo wangu niepushe na majaribu yanayozidi uwezo wa Imani yangu Mungu naomba Uinue Uchumi wangu inua mauzo ya juu kwenye biashra yangu gusa wale woote wanaogusa maisha yangu kwa namna moja au nyingine wazingire kila Eneo la maisha yao katika jina la Yesu ilinde familia yangu yote AMEN🙏

  • @Mommy4147
    @Mommy4147 2 месяца назад

    Mungu wangu naomba wataki huu unimpe matamanio ya moyo wangu baba😢😢😢😢

  • @SelinaRaphael-dr5lg
    @SelinaRaphael-dr5lg 2 месяца назад

    Ee Mungu usiniache tawala maisha yangu, watoto wangu, familia yangu, afya yangu na ndoa yangu

  • @BeatriceMathew-qy5lw
    @BeatriceMathew-qy5lw 2 месяца назад

    Amina naomba iwe siku njema kwangu ikawe ya baraka kwa jina la yesu

  • @rukianyakawaga6465
    @rukianyakawaga6465 2 месяца назад

    Mungu mponye mwanangu apone migu yake awe mzima

  • @SmilingArcade-xj7zg
    @SmilingArcade-xj7zg 2 месяца назад

    Mungu wangu naomba unifungulie vifungo vyote nilivyo fungwa pamoja na family yangu kwa ujumla asante mungu kwa yotee 🙏🙏

  • @Elinalungu-wv9zu
    @Elinalungu-wv9zu 2 месяца назад

    Eeee Mungu usinipite ww ndo tegemelo langu

  • @jnrnero6441
    @jnrnero6441 2 месяца назад

    ❤❤❤

  • @jnrnero6441
    @jnrnero6441 2 месяца назад

    Naomba tumbo langu lifunguke Kam ulivofungua Kwa Hana ee MUNGU pia mume wangu aokoke naomba baba ingilia kati maisha yetu

  • @nonveroniquejohn
    @nonveroniquejohn 2 месяца назад

    Ee bwana nivushe kwe kwegne vita vya shetani kwa jina la yesu cristo maisha yangu ya achiliwe kwa jina la yesu cristo

  • @SalmaAgaanda
    @SalmaAgaanda 2 месяца назад

    Eeeh yesu usinipite baba yangu sinamwingine wakuniponya nie pushe namambo ya washawi wananitesa nipiganie baba

  • @mabogoJames
    @mabogoJames 2 месяца назад +1

    Nimeombewa hadi nimefikia hatua naona kama nawachosha watumishi.afya takribani mwaka wa 3.kupungukiwa damu hadi 2g.napenda niombe lakini nashindwa kabisa, kufunga ndo siwezi kabisa.mwanangu mdogo miaka 5 ndiye anakaa akiniombea na kunifariji pakubwa.naomba msaada, siwezi kabisa kuomba wala kufunga.naumwa siwezi kueleza Sana.Imefikia mahali naona ni hali ya kawaida kwangu, hili suala linanisumbua Sana.Naomba neema ya MUNGU izidi sana kwenye maisha yangu na mwanangu.

    • @reyswai1622
      @reyswai1622 2 месяца назад

      Mcheck tu lakini pia usiache kuomba na shiriki binafsi meza ya Bwana nyumbani Kwa Imani, Mcheck huyu @reen_herbal kwaajili ya kubadilisha ulaji wako.

    • @RameckElieza
      @RameckElieza 2 месяца назад

      Pole sana mungu atakuinua

  • @JeromeBaraka
    @JeromeBaraka 2 месяца назад

    Muchungaji bwanayesu asifiwe naomba nambayawasapu

  • @ZittaBasoo
    @ZittaBasoo 2 месяца назад

    Kwako bwana nimekua salama

  • @leonardphilip565
    @leonardphilip565 2 месяца назад

    Bwana nipo hapa naomba univushe kwenye changamoto ya afya ninayopitia nyakati hizi ngumu kwangu naomba uibariki siku yangu ya leo

  • @kanyamunezaclaudineclaudin9627
    @kanyamunezaclaudineclaudin9627 2 месяца назад

    Usinipite mokozi nisikie unapogusa wengine na Mimi niguse nimechoka naomba kusikika mbeleza Bwana

  • @husenikinofu1030
    @husenikinofu1030 2 месяца назад

    Usinipite bwana nipo mikonon mwako shusha ulizikwangu ukawe falaja kwangu naombafungua balaka kwangu namajibu

  • @husenikinofu1030
    @husenikinofu1030 2 месяца назад

    Amina

  • @dollahmichael9504
    @dollahmichael9504 2 месяца назад

    Amen 🙏

  • @mabogoJames
    @mabogoJames 2 месяца назад

    Nimeombewa hadi nimefikia hatua naona kama nawachosha watumishi.afya takribani mwaka wa 3.kupungukiwa damu hadi 2g.napenda niombe lakini nashindwa kabisa, kufunga ndo siwezi kabisa.mwanangu mdogo miaka 5 ndiye anakaa akiniombea na kunifariji pakubwa.naomba msaada, siwezi kabisa kuomba wala kufunga.naumwa siwezi kueleza Sana.Imefikia mahali naona ni hali ya kawaida kwangu, hili suala linanisumbua Sana.Naomba neema ya MUNGU izidi sana kwenye maisha yangu na mwanangu.

    • @danielsamuel7557
      @danielsamuel7557 2 месяца назад

      Mwambie MUNGU ana sikia hata kwa sauti yako unamkumbuka hezekia aliambiwa atakufa asipo tengeneza mambo ya nyumbani kwake aka tubu aka mlilia ADONAI akiwa kitandani naye akajibu maombi yake nae akapona usimuche mungu usichoke kwani ata kujibu saa yoyote kataa roho za mauti na majin utapona Amen

    • @danielsamuel7557
      @danielsamuel7557 2 месяца назад

      Mwambie MUNGU ana sikia hata kwa sauti yako unamkumbuka hezekia aliambiwa atakufa asipo tengeneza mambo ya nyumbani kwake aka tubu aka mlilia ADONAI akiwa kitandani naye akajibu maombi yake nae akapona usimuche mungu usichoke kwani ata kujibu saa yoyote kataa roho za mauti na majin utapona Amen

    • @mabogoJames
      @mabogoJames 2 месяца назад

      @@danielsamuel7557 nashukuru sana kaka

  • @KameshStar-v4j
    @KameshStar-v4j 2 месяца назад +1

    Amen

  • @HellenBaby-jn8ft
    @HellenBaby-jn8ft 2 месяца назад +1

    Amen 🙏

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 2 месяца назад

    Amen

  • @happymacha6625
    @happymacha6625 2 месяца назад

    Amen

  • @Lucy-t7n
    @Lucy-t7n 2 месяца назад

    Amen

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 2 месяца назад

    Amen