Ahsante sana mchungaji kwa ujumbe wako Mungu anipe moyo wa kuachilia mabaya yote niwe mwepesi wa kusamehe niachane na mambo mabaya Mungu anisaidie jamani maana sipendi kuishi maisha yasiyo ya kiroho Mungu anisaidie
Pastor ubarikiwe sana. Mahali fulani nilimwambia rafiki yangu inawezekana waafrika wengi ni washirikina ndiyo maana wanapenda sana miujiza na vitu vya kupewa ili wapone. Hili nafikiri linaweza kuwa serious. Mungu azidi kukutumia kufundisha neno lake
Pastor Bwana akuzidishie mafunuo, maana wachungaji wengine wamekuwa kama Balaam Kwa kupenda mapato ya udhalimu wanalisha watu wa Mungu upepo Lakini Wewe umeamuwa kuitumia Karama yako kutufungua macho na Akili, natamani Sana Roho iliyo ndani yako kama alivyoitamani Elisha Roho iliyokuwemo ndani ya Eliya, ili Nami kila nikipata fursa ya kuhubiri niwe na uwezo wa kueleza upendo WA Mungu kwetu
Allan kutoka Kenya..nabarikiwa na. Mahubiri ya mchungaji kwa Mungu kumtumia ili kuleta ujumbe,,kila nikiwa na ligumu nikiskiza mahubiri ya mchungaji exactly analenga kitu napitia..na nmebarikiwa sana
Jambo mcungaji. Napatikana Congo. kuna fundisho ambalo nili lisikiya,. Mambo yakufahamu kabla mtu haja ingiya kwenye ndoa. Unasema kama mtu asifanye viashara pamoja na mpenzi wake. Ilo nomelielewa. Lakini mimi nilikuwa nampango waku mwekeza pesa zangu, hiyo nayo mchungaji nije. Bado hatujaingiya kwenye uchumba. Unisaidiye mchungaji
Kuanzia wewe mchungaji mbaga huendi mbinguni maana umeasi mpaka unatetea wanawake wawe wachungaji mimi sikuamini kwakweli ushindwe naelim yako inakudanganya pili sinaimani kama yusufu alikua maskini wakukosa hata hela ya gesti wakati biblia inasema nafasi ilikosekana mbona unapenda kuongeza manene yasiokuwepo katika maandiko
Pastor ubarikiwe sana. Mahali fulani nilimwambia rafiki yangu inawezekana waafrika wengi ni washirikina ndiyo maana wanapenda sana miujiza na vitu vya kupewa ili wapone. Hili nafikiri linaweza kuwa serious. Mungu azidi kukutumia kufundisha neno lake
Ahsante sana mchungaji kwa ujumbe wako Mungu anipe moyo wa kuachilia mabaya yote niwe mwepesi wa kusamehe niachane na mambo mabaya Mungu anisaidie jamani maana sipendi kuishi maisha yasiyo ya kiroho Mungu anisaidie
Pastor ubarikiwe sana.
Mahali fulani nilimwambia rafiki yangu inawezekana waafrika wengi ni washirikina ndiyo maana wanapenda sana miujiza na vitu vya kupewa ili wapone.
Hili nafikiri linaweza kuwa serious.
Mungu azidi kukutumia kufundisha neno lake
Asante kwa mahubiri haya mchungaji,,nimebarikiwa pamoja na familia yangu kutoka Kenya.Barikiwa 🙏
Mchungaji hii injili ni kwa ajili ya mwanangu,,,🤲🙏,Ee Mwenyezi Mungu musjalie mwanamgu macho ya kiroho
..
Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Matukio ya Kimungu katika maisha yangu.
Asante Mungu kwa yaratibu maisha yangu
Pastor Bwana akuzidishie mafunuo, maana wachungaji wengine wamekuwa kama Balaam Kwa kupenda mapato ya udhalimu wanalisha watu wa Mungu upepo Lakini Wewe umeamuwa kuitumia Karama yako kutufungua macho na Akili, natamani Sana Roho iliyo ndani yako kama alivyoitamani Elisha Roho iliyokuwemo ndani ya Eliya, ili Nami kila nikipata fursa ya kuhubiri niwe na uwezo wa kueleza upendo WA Mungu kwetu
Asante sana pastor, nina ushuhuda mwingi kupitia mafundisho yako...
Amen bwana asifiwe namshkuru niko salama nabarikiwa na mafundisho haya mungu akubariki pastor
Naomba umuombee mtoto faa amelazwa hospitalini hawezi kupumua MUNGU amponye KWA jina la yesu
Hakika nimembalikiwa nikiwa Saudi, nilikua nimeumia kiroho asantii MUCHUNGANJI MUNGU azidi kukutumia zaidi ufikie Kila mtu🙏🙏🙏
Muwe mnaweka na namba ya mpesa iwe rahisi kutoa mchango
Allan kutoka Kenya..nabarikiwa na. Mahubiri ya mchungaji kwa Mungu kumtumia ili kuleta ujumbe,,kila nikiwa na ligumu nikiskiza mahubiri ya mchungaji exactly analenga kitu napitia..na nmebarikiwa sana
Amina
Naendelea kujifunza kwamba kuwake jua au kunyeshe mvua langu ni ombi tu mwenyewe apambane sababu Mimi yamenizidi mchungaji
Amina
Ameeen
Tusipuuze matukio, yana maana, vyema umtangulize Mungu
Ubarikiwe pastor, una nitiya moyo
sana.
Tupe namba ya Mpesa kwa ajili ya sadaka ya mikutano ya mlipuko wa injili Kihesa.
Amina.
Amen ❤unayo y’a hubili ni kweli dunia inausha
Amen nime barikiwa Asante Yesu
Amina Mungu akubariki maana ni kweli
Amen, barikiwa sana mtumishi
Emeeen Mungu wambiguno Akubariki sana
Hakika tumebarikiwa na somi hili zuri Mungu tusamee tuliposhindwa kusikia sauti yako.
Kuna mtu kwa family muzumbufu nikweli kabisa past mungu akubariki sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana Amen 🙏
Amen .
Amen!❤❤❤❤❤❤❤
Mungu akupiganie mtumishi wa Bwana
Mtumishi nina shida ya kukuona, sana sana sana
Amen
Barikiwa Pastor
Asante mtumishi
Ubalikiwe sana mchungaji
Ubarikiwe sana
🙏🙏🙏
❤
Ameni
Kweli yanauma sana
Hii live au yazaman jana tu katoka kinyerezi
Hata mm sielew
Ni yazaman
Umenigusa
Jambo mcungaji. Napatikana Congo. kuna fundisho ambalo nili lisikiya,. Mambo yakufahamu kabla mtu haja ingiya kwenye ndoa. Unasema kama mtu asifanye viashara pamoja na mpenzi wake. Ilo nomelielewa. Lakini mimi nilikuwa nampango waku mwekeza pesa zangu, hiyo nayo mchungaji nije. Bado hatujaingiya kwenye uchumba. Unisaidiye mchungaji
Kuanzia wewe mchungaji mbaga huendi mbinguni maana umeasi mpaka unatetea wanawake wawe wachungaji mimi sikuamini kwakweli ushindwe naelim yako inakudanganya pili sinaimani kama yusufu alikua maskini wakukosa hata hela ya gesti wakati biblia inasema nafasi ilikosekana mbona unapenda kuongeza manene yasiokuwepo katika maandiko
Pastor ubarikiwe sana.
Mahali fulani nilimwambia rafiki yangu inawezekana waafrika wengi ni washirikina ndiyo maana wanapenda sana miujiza na vitu vya kupewa ili wapone.
Hili nafikiri linaweza kuwa serious.
Mungu azidi kukutumia kufundisha neno lake
Amina
Amen
Amina
Amen