MATUKIO YA KIMUNGU KATIKA MAISHA YAKO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 52

  • @fatumachagudadui3138
    @fatumachagudadui3138 Месяц назад +5

    Ahsante sana mchungaji kwa ujumbe wako Mungu anipe moyo wa kuachilia mabaya yote niwe mwepesi wa kusamehe niachane na mambo mabaya Mungu anisaidie jamani maana sipendi kuishi maisha yasiyo ya kiroho Mungu anisaidie

  • @albertgangchae
    @albertgangchae Месяц назад +3

    Pastor ubarikiwe sana.
    Mahali fulani nilimwambia rafiki yangu inawezekana waafrika wengi ni washirikina ndiyo maana wanapenda sana miujiza na vitu vya kupewa ili wapone.
    Hili nafikiri linaweza kuwa serious.
    Mungu azidi kukutumia kufundisha neno lake

  • @hildaaboki8552
    @hildaaboki8552 Месяц назад +1

    Asante kwa mahubiri haya mchungaji,,nimebarikiwa pamoja na familia yangu kutoka Kenya.Barikiwa 🙏

  • @MARIE-iy4bx
    @MARIE-iy4bx Месяц назад +3

    Mchungaji hii injili ni kwa ajili ya mwanangu,,,🤲🙏,Ee Mwenyezi Mungu musjalie mwanamgu macho ya kiroho
    ..

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 Месяц назад +3

    Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @phoibekoshuma1935
    @phoibekoshuma1935 Месяц назад +1

    Matukio ya Kimungu katika maisha yangu.
    Asante Mungu kwa yaratibu maisha yangu

  • @ModestMTito
    @ModestMTito Месяц назад +1

    Pastor Bwana akuzidishie mafunuo, maana wachungaji wengine wamekuwa kama Balaam Kwa kupenda mapato ya udhalimu wanalisha watu wa Mungu upepo Lakini Wewe umeamuwa kuitumia Karama yako kutufungua macho na Akili, natamani Sana Roho iliyo ndani yako kama alivyoitamani Elisha Roho iliyokuwemo ndani ya Eliya, ili Nami kila nikipata fursa ya kuhubiri niwe na uwezo wa kueleza upendo WA Mungu kwetu

  • @patyflaviank5199
    @patyflaviank5199 Месяц назад

    Asante sana pastor, nina ushuhuda mwingi kupitia mafundisho yako...

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb Месяц назад

    Amen bwana asifiwe namshkuru niko salama nabarikiwa na mafundisho haya mungu akubariki pastor

  • @kadogoKisusi1
    @kadogoKisusi1 29 дней назад

    Naomba umuombee mtoto faa amelazwa hospitalini hawezi kupumua MUNGU amponye KWA jina la yesu

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya3154 Месяц назад +2

    Hakika nimembalikiwa nikiwa Saudi, nilikua nimeumia kiroho asantii MUCHUNGANJI MUNGU azidi kukutumia zaidi ufikie Kila mtu🙏🙏🙏

  • @fatumachagudadui3138
    @fatumachagudadui3138 Месяц назад +2

    Muwe mnaweka na namba ya mpesa iwe rahisi kutoa mchango

  • @MaryanneAuma-l4u
    @MaryanneAuma-l4u Месяц назад +1

    Allan kutoka Kenya..nabarikiwa na. Mahubiri ya mchungaji kwa Mungu kumtumia ili kuleta ujumbe,,kila nikiwa na ligumu nikiskiza mahubiri ya mchungaji exactly analenga kitu napitia..na nmebarikiwa sana

  • @CarinaNyamagwa
    @CarinaNyamagwa Месяц назад +3

    Naendelea kujifunza kwamba kuwake jua au kunyeshe mvua langu ni ombi tu mwenyewe apambane sababu Mimi yamenizidi mchungaji

  • @PhilipoFabian-d8h
    @PhilipoFabian-d8h Месяц назад

    Amina

  • @JoanKoech-ps7jt
    @JoanKoech-ps7jt Месяц назад

    Ameeen

  • @eliadatanda5799
    @eliadatanda5799 Месяц назад

    Tusipuuze matukio, yana maana, vyema umtangulize Mungu

  • @sakinashabani6231
    @sakinashabani6231 Месяц назад

    Ubarikiwe pastor, una nitiya moyo
    sana.

  • @nidusabejean
    @nidusabejean Месяц назад +1

    Tupe namba ya Mpesa kwa ajili ya sadaka ya mikutano ya mlipuko wa injili Kihesa.

  • @zeliageorge3311
    @zeliageorge3311 Месяц назад

    Amina.

  • @maombihabanakize4667
    @maombihabanakize4667 Месяц назад

    Amen ❤unayo y’a hubili ni kweli dunia inausha

  • @user-ou4un3gs9d
    @user-ou4un3gs9d Месяц назад

    Amen nime barikiwa Asante Yesu

  • @phoibekoshuma1935
    @phoibekoshuma1935 Месяц назад

    Amina Mungu akubariki maana ni kweli

  • @vinniebaraka132
    @vinniebaraka132 Месяц назад

    Amen, barikiwa sana mtumishi

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka3762 Месяц назад

    Emeeen Mungu wambiguno Akubariki sana

  • @elizabethgodfreytondo3052
    @elizabethgodfreytondo3052 Месяц назад

    Hakika tumebarikiwa na somi hili zuri Mungu tusamee tuliposhindwa kusikia sauti yako.

  • @Edinahnyaboke-b9o
    @Edinahnyaboke-b9o Месяц назад +1

    Kuna mtu kwa family muzumbufu nikweli kabisa past mungu akubariki sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana Amen 🙏

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 Месяц назад

    Amen .

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 Месяц назад

    Amen!❤❤❤❤❤❤❤

  • @GabrielWarioba-co8qg
    @GabrielWarioba-co8qg Месяц назад

    Mungu akupiganie mtumishi wa Bwana

  • @happyjohn5153
    @happyjohn5153 Месяц назад

    Mtumishi nina shida ya kukuona, sana sana sana

  • @aldrichtiengo1814
    @aldrichtiengo1814 Месяц назад

    Amen

  • @mwimamachumu6771
    @mwimamachumu6771 Месяц назад

    Barikiwa Pastor

  • @MisangoSamson
    @MisangoSamson Месяц назад

    Asante mtumishi

  • @sindanosamson5144
    @sindanosamson5144 Месяц назад

    Ubalikiwe sana mchungaji

  • @PendoOscar
    @PendoOscar Месяц назад

    Ubarikiwe sana

  • @devotaLain
    @devotaLain Месяц назад

    🙏🙏🙏

  • @walterondiek15
    @walterondiek15 Месяц назад

  • @devotaLain
    @devotaLain Месяц назад

    Ameni

  • @calebmakori
    @calebmakori Месяц назад

    Kweli yanauma sana

  • @sophiaselemani2474
    @sophiaselemani2474 Месяц назад +1

    Hii live au yazaman jana tu katoka kinyerezi

  • @user-hc4jv8uz5b
    @user-hc4jv8uz5b Месяц назад

    Umenigusa

  • @lydiefaraja8425
    @lydiefaraja8425 Месяц назад

    Jambo mcungaji. Napatikana Congo. kuna fundisho ambalo nili lisikiya,. Mambo yakufahamu kabla mtu haja ingiya kwenye ndoa. Unasema kama mtu asifanye viashara pamoja na mpenzi wake. Ilo nomelielewa. Lakini mimi nilikuwa nampango waku mwekeza pesa zangu, hiyo nayo mchungaji nije. Bado hatujaingiya kwenye uchumba. Unisaidiye mchungaji

  • @ZakayoYohana
    @ZakayoYohana Месяц назад

    Kuanzia wewe mchungaji mbaga huendi mbinguni maana umeasi mpaka unatetea wanawake wawe wachungaji mimi sikuamini kwakweli ushindwe naelim yako inakudanganya pili sinaimani kama yusufu alikua maskini wakukosa hata hela ya gesti wakati biblia inasema nafasi ilikosekana mbona unapenda kuongeza manene yasiokuwepo katika maandiko

  • @albertgangchae
    @albertgangchae Месяц назад +6

    Pastor ubarikiwe sana.
    Mahali fulani nilimwambia rafiki yangu inawezekana waafrika wengi ni washirikina ndiyo maana wanapenda sana miujiza na vitu vya kupewa ili wapone.
    Hili nafikiri linaweza kuwa serious.
    Mungu azidi kukutumia kufundisha neno lake

  • @MshigilaKarume
    @MshigilaKarume Месяц назад

    Amina

  • @elizabethgodfreytondo3052
    @elizabethgodfreytondo3052 Месяц назад

    Amen

  • @fgdt6453
    @fgdt6453 Месяц назад

    Amina

  • @purity134
    @purity134 Месяц назад

    Amen