SIMBA WASINGERUHUSU CHAMA NA INONGA KUONDOKA| WALIKUWA NA KIKOSI KIPANA, SASA HIVI WANA KIKOSI BONGE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июл 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 113

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 12 дней назад +7

    Mbona Feisal , Bangala, Mayele waliondoka na Young ipo

  • @mishlay8164
    @mishlay8164 12 дней назад +4

    Mimi nawaambia ninyi mmeshindwa kuchambua kweli leo ,nyee sindiyo mlikuwa mnasema Chama anawasumbua simba ,

  • @Medicalstevo95th
    @Medicalstevo95th 12 дней назад +3

    👑 crown media for life

    • @xfamefatetv
      @xfamefatetv 11 дней назад

      Mchumba mpya ni mbaya kwa X wake. Tulia kwenye ndoa wewe😂

  • @godfrey3926
    @godfrey3926 12 дней назад +2

    Exactly, hawa wana hasira Yanga haijafanya kitu ingawaje wanakaribia kumpoteza mungu wao, Aziz Ki aliyesajiliwa South Africa. Wamemuokota Chama wakifikiri ndio atakayechukua namba ya Aziz Ki lakini sidhani kama mzee anaweza kuwa na kasi kama ya Aziz. Badala ya kusajili wachezaji, wanasubiri Simba iache..🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @OnesmoMwacha-wp4bo
    @OnesmoMwacha-wp4bo 12 дней назад +5

    Mwaka huu mtatapika tochi nyie machawa..mambo ni Crown media.

  • @sevelintino6181
    @sevelintino6181 12 дней назад +6

    Vichwa maji nyie wahuni mtupu

  • @magrethmalobola5470
    @magrethmalobola5470 12 дней назад

    Huyu Oscar bhana sasa wachezaji hawapo tayari kuitumikia team kama Inonga wa nini sasa

  • @gotfriedmwesiga4234
    @gotfriedmwesiga4234 12 дней назад +1

    Wahuni tu hawa mnakula hela za bure😂

  • @Lameckmichael-h2m
    @Lameckmichael-h2m 11 дней назад

    Waondoke wote kwanza inonga chama walikua wahujum watimu.

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha9425 12 дней назад

    Chama angelibaki angelicheza number ya Nani? Inoga alikuwa anatuchomesha

  • @romanambelle6356
    @romanambelle6356 11 дней назад

    Waongo roho inawauma mnashabikia wsaliti. Serious kawe nyumbani kwako acha ujinga mnahongwa hongwa ili mshabikie ujinga. Akija Messi utasema Chama ni zaidi yake

  • @mdachijembe9611
    @mdachijembe9611 11 дней назад

    Kwahiyo mnataka tuendelee na maduka ata kama yanatutia hasara

  • @phakundigervas1360
    @phakundigervas1360 9 дней назад

    Wauze tena tufungwe 5!

  • @wilfredlucas-nf6yo
    @wilfredlucas-nf6yo 9 дней назад

    Nyie si mlisema Chama aondoke Simba

  • @user-wi9og8om4b
    @user-wi9og8om4b 10 дней назад

    Nyinyi kachambueni mchele tu ligi si ita anza, niwaone tena mtakavyo jikanyaga kuchambua

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 12 дней назад

    Simba na inonga japo walikuwa wanzuri lakini walishachoka kubaki Simba ukichoka pia hufanyi vinzuri ni vema ukabadilisha wakaone upepo mwingine ndo maana Simba haikuwangangania si vyuma vingine vipo?

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d 12 дней назад

    Chama inonga manula waliuza mechi mpaka manula akafungua duka leo mnawatetea wabaki wasaliti tunataka simba mpya safisha wote

  • @RasoulBadowewe
    @RasoulBadowewe 12 дней назад

    Nyie ndo wanafiki cana mala inonga hawafai

  • @GODFREYMBOGE
    @GODFREYMBOGE 12 дней назад

    Hii mada mmechambua kitoto! Mlitaka Chama na Inonga wafie Simba! Chama aliondoka Simba na Team ikaendelea alirud acha aende

  • @bestman8182
    @bestman8182 12 дней назад

    Subiri Crown media iwanyooshe mpate kuheshimu professional za watu endeleeni kujaza chawa studioni na kuwaita wachambuz

  • @joackimumalya7138
    @joackimumalya7138 12 дней назад +1

    Wezi wale subirini muone shoo ya vijana

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 12 дней назад

    Simba wako serious ndio maana Chsma na Inonga wameachwa. Huko AFCON DRC walitandikwa.

  • @jdanny497
    @jdanny497 12 дней назад

    Yani watangazaji a Tanzania hovyo sana

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha9425 12 дней назад

    Kw3nda nje ya nchi inakuuma! Kwani umeombwa mchango😂

  • @raymondlaurent4167
    @raymondlaurent4167 12 дней назад

    Kitulizeni hapahapa wasafi kila kitu iko

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 12 дней назад

    Wewe Cha Nan babu

  • @user-wi9bp4uo4j
    @user-wi9bp4uo4j 12 дней назад

    Mtasema yote Hadi mtapike

  • @chamyluna8030
    @chamyluna8030 12 дней назад

    Swali Moja tu la kujiuliza aliyemleta chama na inonga ni nani kisha wanashindwaje kuleta zaidi yao

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 12 дней назад

    Edo ni mnafiki kuliko wachambuzi wote hapa TZ.

  • @raymondlaurent4167
    @raymondlaurent4167 12 дней назад

    Sasa wew mtu ya crown media na unakuja comment wasafi ii ndo unafikiri yaani nyie ni WANAFIKI mnasikiliza wasafi na mnajifanya mnapenda crown 😅😅😅

  • @wizzy200
    @wizzy200 11 дней назад

    ndio maana crown tv inapamba.moto yan

  • @omaryngumbe603
    @omaryngumbe603 12 дней назад +1

    Wakati wapo walikua wanasema waondoke
    Now wameondok wanasema wasingeruhusiw kuondoka
    #waandishi wa habari ni kama wanasiasa

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 12 дней назад

    Sasa nyie naisi kumbe mlikua amuangalii mechi za Simba inonga baada ya kutoka afkon hakua tena na mpango wakucheza Simba.

  • @PerfectGirl-dj7zq
    @PerfectGirl-dj7zq 12 дней назад

    Huu uchambuzi sio mnazingua kwasababu walishaondoka watu Kama kina okwi,mafisango nk il Simba bado ikaendelea kufanya vizuri

  • @user-uw5oh5yy5m
    @user-uw5oh5yy5m 12 дней назад

    Sasa hivi Crowm Media ndio habari za mjini😊

  • @shabaniiddy4942
    @shabaniiddy4942 12 дней назад

    Mnaongea km mmekata vichwa ama kweli rizki ni ngumu mpaka hamjitambui

  • @user-ds4jq6bw5f
    @user-ds4jq6bw5f 11 дней назад

    Bado sana nimapema

  • @fadhiliabasi6585
    @fadhiliabasi6585 12 дней назад

    Madikio yangu hayaburudiki kuwasikia

  • @hidayajuma7946
    @hidayajuma7946 9 дней назад

    Hawa wachambuzi kaziyenu kuchambua mziki tarabu nasiompila

  • @romanambelle6356
    @romanambelle6356 11 дней назад

    Hovyoooooo mmeshalipwa

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 12 дней назад

    Hao wazee

  • @SNAKETV20
    @SNAKETV20 12 дней назад +1

    Nyie ndo mnatuletea majonzi jamani acheni waende@

  • @antonymodestus2872
    @antonymodestus2872 12 дней назад

    Mavi mavi tu chukua dole la kati

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 12 дней назад

    Mchezo ni wachezaji 11 tu ndani wengine wanakaa nje.

  • @saidrajabu635
    @saidrajabu635 12 дней назад

    Vibalaka fc mambo yapo crown

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 11 дней назад

    Edo, Chama amechukua nafasi ya nani kule yanga?
    Oscar uliwauliza Simba kwanini wanatoka nje? Kama hujawauliza huna sababu ya kuwasemea. Mipango ya ndani ya Simba wanaijua wao. Acheni kupiga ramli. Ninachowashangaa Wachambuzi; mnataka kutuaminisha kwamba ninyi mnajua kila kitu na mna akili kuliko Viongozi wa Simba mnayoikosoa sana. Ningewaona wa maana sana kama mngekuwa mnapata opinions za upande mnaoukosoa kabla ya kukosoa. Lakini kila siku mnakurupuka kulaumu kitu msichokijua kwa vile hamhakiki kabla. Otherwise kazi yenu ni nzuri. Hamko biased kama wachambuzi uchwara wengi nikitoa mfano wa Salamba na Kessy. Mpaka wanakera kwa ujinga wao.

  • @moizjohnston3841
    @moizjohnston3841 12 дней назад

    Hahahaha hakuna wachambuzi hapa hawa wote ni vichwa maji tu

  • @IbrahimuMussa-xb7lm
    @IbrahimuMussa-xb7lm 12 дней назад +1

    Acheni ushabiki washenzi nyie

  • @emilegentil9538
    @emilegentil9538 12 дней назад

    Crown media for life

  • @dannydannizo8099
    @dannydannizo8099 12 дней назад

    Tatizo mbachambua mpira kwa mihemko hamna professionalism kabisa ... yaani mnaongea hisia..
    Badilikeni...sioni uchambuzi apa

  • @user-ej8pc7kl8z
    @user-ej8pc7kl8z 12 дней назад

    Hawa Jamaa wababaishaji

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9t 12 дней назад

    Wachezaji wapo tuuu wewe inonga nani wachezaji wenye malingo hapana

  • @emmanuelnkinda3924
    @emmanuelnkinda3924 10 дней назад

    waoovyo ninyi

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d 12 дней назад

    Mlisema simba ina wachezaji wazee chama mzee inonga mzee na wengine hivyo wanatakiwa vijana sasa wameleta vijana mnakosoa mbona hamna jema nyie

  • @user-st8hd9iq4o
    @user-st8hd9iq4o 12 дней назад

    MAHIRA WAKUBWA MBANA WAKINA MAYELE WALIONDOKA ULITAKA WABAKI WAFANYE NN MAYELE NA BANGALA HALAFU CHAMA NA INONGA BORA NI WAKINA NANI ?? MBWA NYIE

  • @GeorgeSikazwe-mm7nn
    @GeorgeSikazwe-mm7nn 11 дней назад

    Wapuuz wachambuz chm alikuwep kaondok achen ujinga ninyi..wanaondok kina benzema madrid...kumbe ni wa mchongo ninyi

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 12 дней назад

    Ki Aziz hayupo wataenda wapi

  • @KiyaanSalim-ih9qo
    @KiyaanSalim-ih9qo 11 дней назад

    Hakuna watangazi waovyo kama Hawa

  • @MjMohammed-nt6fq
    @MjMohammed-nt6fq 12 дней назад

    Yaan edo always yupo negative😂😂

  • @bestman8182
    @bestman8182 12 дней назад +1

    Hatuhitaji ku replace mtu, tunahitaji watu wa kuisaidia Simba kufika mbali. Chama Chama Chama kila siku kwani alizaliwa kufia Simba? Kwani kabla ya Chama Simba iliacha kucheza? Simba imekosa kombe misimu mitatu na huyo Chama akiwemo kikosini mbona hakuzuia hilo lisitokee?

  • @madolinmeshakey9864
    @madolinmeshakey9864 11 дней назад

    TUMERUHUSU WAENDE WAHUJUMU TIMU

  • @amosmchele2518
    @amosmchele2518 12 дней назад

    Kaeni hivyo hivyo

  • @IbraMwakipesile
    @IbraMwakipesile 12 дней назад

    Kaeni kwa kutuliaaa

  • @sanurymkangala3679
    @sanurymkangala3679 12 дней назад

    Nyie kweli ni chawa amna mchambuz apo

  • @ozuabrahamu8079
    @ozuabrahamu8079 12 дней назад

    Hebu chambuen ki mpira Zaid sio mapenz flan hv nyie ndo mlikuw mnamponda chama Kwa uwezo wake Kwa sasa na tabia za inonga saiv cjui mnaongea nn

  • @bedomgwalupogo2652
    @bedomgwalupogo2652 12 дней назад

    Kweli Oscar ni kichaaa wa fikra au unapenda kikii mnoo au unatumika kwenye fikra zakooo... lkn ni mawazo yako huru... SWALI; muhimu kuna nini mpaka wote giant wanachiwaa waondoke

  • @emilegentil9538
    @emilegentil9538 12 дней назад

    Mbona camera ni mbovu sana😅

  • @isackmkobe-qf7tc
    @isackmkobe-qf7tc 11 дней назад

    Nothing

  • @ebbychipa8010
    @ebbychipa8010 12 дней назад +2

    Nyie mnanosema crown ndio habar ya mjin sasa uku mmefuata nn co kama shobobzinawaponza

  • @EdwinAmbakisye-li4zq
    @EdwinAmbakisye-li4zq 11 дней назад

    Mhuni nimhuni tu wanaongea nini hao

  • @Nasbu-tb6cs
    @Nasbu-tb6cs 12 дней назад

    Mmedumaa nyie crown oyeeeee

  • @mashipeter4819
    @mashipeter4819 12 дней назад

    Tuache na Simba yetu. Wewe si shabiki wa Yanga??. Waache waende. Wakijifunza wasipojifunza ni wao. Mmeanza kuiogopa Simba. 😂😂😂

  • @user-qo5it1uc9m
    @user-qo5it1uc9m 12 дней назад

    Hamna kitu hapa wasafi

  • @wetemjini8818
    @wetemjini8818 12 дней назад

    Majichwa mabaya

  • @Mra_brandvevo
    @Mra_brandvevo 12 дней назад

    Kama hamuna contents muache uchambuzi

  • @isacksamuel5503
    @isacksamuel5503 12 дней назад

    Ooh, si ndo mlisema inabidi waondoke au

    • @aptiitv2376
      @aptiitv2376 12 дней назад +1

      Hao wapuuzi wanatumika tu

  • @bestman8182
    @bestman8182 12 дней назад

    👑 👑 👑 👑 👑 ❤❤❤😅

  • @flova7022
    @flova7022 12 дней назад +1

    Yangga Hana kikosi cha final. Hivi kuwa na watu wengi ndio kufika final . Mnaijua raja nyie

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 12 дней назад

      Aise wewe kichwa kigumu weh!

    • @flova7022
      @flova7022 12 дней назад

      @@frankhoffa8356 ongea kimpira usibwabwaje kamma mgambo waa soko.. raja na Ahly utamtoa nani

  • @user-ch3pb6rc7z
    @user-ch3pb6rc7z 12 дней назад

    Ila bongo bwana

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d 12 дней назад

    Nyie wa crown fatilieni crown msg za nn huku

    • @selemancokker4994
      @selemancokker4994 12 дней назад

      Naamini awajielewi kabisa wa2wache usafini kwe2 bhana

  • @user-cp2do9pd5k
    @user-cp2do9pd5k 12 дней назад

    Pumbuvu kweli nyie acheni unafkiiiiiii nyie

  • @JeffFerdinand
    @JeffFerdinand 12 дней назад

    Ivi nyie wapumbavu matako ya bibi zenu kama mnaingiaga kipindi mkiwa mnalewa au mnavuta bangi leo mnatwambia simba wangembakisha chama na inonga nyuma mnasema simba iachane na chama acheni usenge mbwa nyie

  • @user-yi7jj8rp5q
    @user-yi7jj8rp5q 12 дней назад

    Acheni uchawa

  • @relaxtube1362
    @relaxtube1362 12 дней назад

    Ni kweli Chama na Inonga walikuwa wachezaji wazuri lakini walikuwa wameshapoteza hamu kucheza Simba hivyo hata wangebaki isingekuwa manufaa kwa Simba. Inonga ilionekana wazi baada ya kijivunja mechi ya pili dhidi ya Yanga na Chama alishajiona mfalme Simba, alianza kusumbua kwanzia mwanzoni mwa msimu iliopita..alikataa kwenda pre season na wenzie.

    • @relaxtube1362
      @relaxtube1362 12 дней назад +2

      Its not the end of world kwa Simba. Walishapita wengine na Simba ilibaki..kawaida sana

    • @maryamnofli2109
      @maryamnofli2109 12 дней назад +2

      ​@@relaxtube1362
      Umesema. Kweli. Ndg. SIMBA NGUVU MOJA
      ❤❤❤❤❤❤

    • @relaxtube1362
      @relaxtube1362 12 дней назад +1

      @@maryamnofli2109 👊👊

  • @princejosephat8316
    @princejosephat8316 12 дней назад

    Nyie mkalale tu

  • @SalmaChamy-tg4bo
    @SalmaChamy-tg4bo 12 дней назад

    Hamna jema haswaa waswahili wa kibara mlipiga kelele sana wachezaji wazee leo wamesajiliwa vijana tumefanya makosa kuwaacha tushike lipi?
    Mbona vigeu geu nyinyi!
    Au mlitaka bado tubaki na wasaliti tuendelee kuteseka ndio lengo lenu?
    Sifikirii kama hamtumiki nyinyi

    • @aptiitv2376
      @aptiitv2376 12 дней назад +1

      Hao wapuuzi wanatumika tu

  • @saidhussein6771
    @saidhussein6771 12 дней назад

    Wachambuzi uchwara

  • @user-wi9bp4uo4j
    @user-wi9bp4uo4j 12 дней назад

    Osika wewe kenge tu

  • @amosmchele2518
    @amosmchele2518 12 дней назад

    Nyoko mpeleke kariua kwenu mshamba wewe

  • @simongrayser5784
    @simongrayser5784 12 дней назад

    Hawa wasenge sio wa kuwasikiliza, kutwa kazi yao ni kuwakandia simba. IDIOTS

  • @wizzy200
    @wizzy200 11 дней назад

    Ila niseme nini nyiee wachambuzi.ni wajinga hamna kitu apo tengenezen timu yenu na nyieee

  • @user-ys4zk3hx4f
    @user-ys4zk3hx4f 12 дней назад

    𝙉𝙮𝙞𝙚 𝙢𝙖𝙠𝙪𝙢𝙖 𝙨𝙖𝙣𝙖 𝙨𝙞𝙣𝙙𝙤 𝙢𝙡𝙞𝙨𝙚𝙢𝙖 𝙘𝙝𝙖𝙢𝙖 𝙖𝙩𝙤𝙠𝙚

  • @daudjacob2123
    @daudjacob2123 10 дней назад

    Yaan hawa jamaa hawaeleweki wazee wa stor za kahawa leo chama mzuri simba kesho mbaya mueleweke

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d 12 дней назад

    Chama inonga manula waliuza mechi mpaka manula akafungua duka leo mnawatetea wabaki wasaliti tunataka simba mpya safisha wote

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 12 дней назад

    Wanafk wakubwa nyie,,chama ni Nan mbk asiondoke??mwanzo mlisema Simba ifanye maamuzi magumu kumuacha chama atawasumbua leo mmebadil maneno tuelewe lipi??Kuma zenu tuachieni team yetu