STEVEN MUKWALA ANA MTIHANI MWEPESI SANA PALE SIMBA| TUNAMSUBIRI KWA HAMU SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 67

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Месяц назад +2

    Nilikuwa nasikia kuwa Edo Kumwembe uwezo wake wa kuchambua ni Mdogo, leo ndio nimeelewa. Big up Oscar uko vizuri sana kwa leo.

  • @user-pi3jw1gz8g
    @user-pi3jw1gz8g Месяц назад +11

    Safi kabisa 😂wa kwanza mie like 10000 hapq

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 Месяц назад

    Safi sana wasaf fm

  • @khadijajumanne3324
    @khadijajumanne3324 Месяц назад

    Bila ya kikundi Cha wachezaji huwezi kupata timu na ikiwa huna kikundi basihunatimu

  • @proisolution7166
    @proisolution7166 Месяц назад +1

    mukwala na yule striker wa coastal anaitwa maabadi almost the same people.

  • @user-qw9zu3ly8m
    @user-qw9zu3ly8m Месяц назад

    Edo wewe mshamba tu utaumia sana kwa usajili wetu mpaka Unafanya kuita Tim yetu kikundi cha wachezaji inaonekana umelazimishwa kuizungumzia SIMBA wewe chizi

  • @user-cs6vo2no4e
    @user-cs6vo2no4e Месяц назад

    Huyo Edooo mtoen studio hajui kitu kabsaaaa

  • @reginaldnyinge8802
    @reginaldnyinge8802 Месяц назад +1

    Hawa mambulula hawajui chochote juu ya soka wameshapewa hela na GSM wanaongea utumbo tuu. Uchawa ni ugonjwa wa akili. Huyo Oscar Oscar hajui lini Simba ilifika fainali ya kombe la CAF??

  • @saidlintu4394
    @saidlintu4394 Месяц назад +1

    Sasa unatuchanganya Oscar kikundi cha wachezaji kwa kingereza c ndo team 😂

  • @user-ej8hk4fk9v
    @user-ej8hk4fk9v Месяц назад

    Nikwel Tanzania wachambuz hawaongelei mpira ila ligi ikianza hichokikundi cha mpira msije mkaanza kukisifia

  • @SouleHamadimfaoume
    @SouleHamadimfaoume Месяц назад

    Nyinyi ndio mana redio yenu mtaiua mapema maana wajibu wa kazi yenu hakuiujuwi mpo kama washabiki wa yanga

  • @OnesmoMabena
    @OnesmoMabena Месяц назад

    Dada hawezi kiongozi kipindi cha michezo

  • @ChristianPazza
    @ChristianPazza Месяц назад +1

    Oscar ongerea mpiraaa kitalaaam

  • @StephanoChanzi
    @StephanoChanzi Месяц назад

    Huyo anaesema Simba inakikundi Cha wachezaji hana akili kabisa Leo ndo nmeamini wachambuzi wengine bule kabisa

  • @nassorahmad6266
    @nassorahmad6266 Месяц назад

    Nikweli kabisa

  • @francisjoh1295
    @francisjoh1295 Месяц назад

    Huyo hajui kuchambua

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 Месяц назад +1

    Edo uchambuzi mwachie baba levo 😂😂

  • @JumaHussein-g7c
    @JumaHussein-g7c Месяц назад

    Kwani ww wamekulazimisha kukometi

  • @VehaelMmari
    @VehaelMmari Месяц назад

    Osca umeongea point

  • @IbrahStaneliy
    @IbrahStaneliy Месяц назад

    Mkwalaaaaaa

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Месяц назад

    Edo simba ukilazimisha kufikafainal hayo ni maneno mtaani tu. Simba ijitahidi ifike nusu tu kwanza kulingana na TIMU yake

  • @rumanyikajoe7038
    @rumanyikajoe7038 Месяц назад

    Eti thank you ya Mukwala

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 Месяц назад

    Oscar ana kitu

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot Месяц назад +1

    Huna akili ww

  • @AnuaryShedafa
    @AnuaryShedafa Месяц назад

    Hahahahaha ila 😂 msimu ujao Kaz ipo

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 Месяц назад

    Mapeeeema mtu anatimuliwa

  • @SouleHamadimfaoume
    @SouleHamadimfaoume Месяц назад

    Hawa waajabu sana kwani Simba haijafika fainal?

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 Месяц назад

    Osca oscar kaka unatutukana kabisa kikundi Cha wachezaji😅😅😢😢😢😢

  • @jamesbernad1645
    @jamesbernad1645 Месяц назад

    Oscar pombe zinampenda sana anaongea km mlevi ila chukua madini yapime uone😅😅

  • @mhojamsafiri2273
    @mhojamsafiri2273 Месяц назад

    Kwahiyo hata bizaa ikipanda leo natakiwa nilipe na ile niliyonunua jana wakati bei haikuwepo? Huu ni wizi

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 Месяц назад

    Yanga anatimu Simba anakikundi cha wachezaji😂

  • @user-sv4er3xe7n
    @user-sv4er3xe7n Месяц назад

    Kila siku zinvyoemda Edo unapunguza mvuto kwenye uchambuzi

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Месяц назад

    MO MCHUKUENI FEI TOTO NA MAYELE SIMBA TUNATAKA FURAHA

  • @francisjoh1295
    @francisjoh1295 Месяц назад

    Huyo ndugu yenu yanga huyo

  • @hamadabdullah9702
    @hamadabdullah9702 Месяц назад

    Yan tv hii wot yanga wwnaongea pumba TU mie at sipend kuifatia sikuiz

  • @frankshirima4029
    @frankshirima4029 Месяц назад

    Hakuna team vs kikundi haya😂😂😂 team and vikundi

  • @enock7271
    @enock7271 Месяц назад

    Edo sikuiz anazngua hachambui mpira!!

  • @EdibiliSalum
    @EdibiliSalum Месяц назад

    Siyo kikundi chawachezaji nikikund chawahun

  • @tungaraza7794
    @tungaraza7794 Месяц назад +2

    kikundi cha wachezaji🤣🤣🤣

  • @somonmumba9577
    @somonmumba9577 Месяц назад

    Edo ww ujui mpira alafu ww yanga 2

    • @user-qw9zu3ly8m
      @user-qw9zu3ly8m Месяц назад

      Ndio Edo ni yanga nachukua pesa upande wapili kuanzia Leo akome kuichambua nakuizungumzia SIMBA yetu

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Месяц назад

    Xavi mtupu

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Месяц назад

    Umbumbumbu wa wachambuzi wengi ndo unasumbua 😂😂😂

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 Месяц назад +1

      Kaombe kazi hapo bro... Uwe mchambuzi

    • @majaliwabwitonde6900
      @majaliwabwitonde6900 Месяц назад

      @@mtzhalisi2232 siwezi kufanya kazi za kuongea ujinga ujinga

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад +1

    simba chama kubwa

  • @user-cs6vo2no4e
    @user-cs6vo2no4e Месяц назад

    👊👊👊👊

  • @bmbabaima1506
    @bmbabaima1506 Месяц назад

    Osca mwanao shuleni akipelekwa darasa la wanaofeli passmarks iwe 25% wa kwako aikipata 30%nyumbani kwako ni sherehe na keki itakatwa na kwa jirani mtoto kapata 80% anagombezwa na adhabu juu the same class different school

  • @KenedyMboma-zb4cq
    @KenedyMboma-zb4cq Месяц назад

    Wachambua ubwabwa

  • @MauBonde
    @MauBonde Месяц назад

    Sisi kama yanga tunataka watoto wetu mo fc shirikisho wafike fainali ndio waje kupiga kelele mtaani,mwaka huu mo fc shirikisho hata robo sijui kama watafika😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mzamukhamis7760
    @mzamukhamis7760 Месяц назад

    Sasa hawa simba hawana mwalimu na wanasajili sawa. Pale atakapo kuja coach aseme huyu hamtaki anataka wachezaji wake shida iko pale pale

  • @user-vi4xg1be4o
    @user-vi4xg1be4o Месяц назад

    Fala wewe kikundi kipo kwenye familiar yako mbwa wewe nani kakwambia simba haina kocha