Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

#Exclusive

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2024

Комментарии • 79

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Месяц назад +12

    Mzee mwenda njooo Kwa wanachi utapona presha

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 Месяц назад +6

    2liokuw 2nasubr mzee mwenda asema k2 2juane kwa like!! Mwenda unafurahisha kwa maneno mazur ety angetimuliwa kama mhamiaji!!😅😅😅

  • @hdgodiweson8579
    @hdgodiweson8579 Месяц назад

    Mzee salute kwako💪💪💪💪

  • @BenedictoDioniz-uu5to
    @BenedictoDioniz-uu5to Месяц назад +3

    mzee mwenda tunakukalibisha sanaa

  • @husseinmejja8041
    @husseinmejja8041 Месяц назад +5

    Mmmmh yanga bingwa

  • @OmaryAthumani-db3vp
    @OmaryAthumani-db3vp Месяц назад +6

    Uko sawa sana Mzee mko wachache sana mlio Baki wasema ukwel mpira unaujua

    • @FRANSKALITUSI4937
      @FRANSKALITUSI4937 Месяц назад

      Unatamani kushiriki hii exclusive interviews muda huu karibuni sana hii ndiyo link kusikiliza zaidi gusa hii link na MUNGU atakubariki zaidi
      Gusa hi Link👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾
      ruclips.net/video/9PHCCr1Etvs/видео.htmlsi=ed1d9CLulSg9GJmB

  • @rashidisalimu4150
    @rashidisalimu4150 Месяц назад +3

    Mimi nkukubali sanaaa

  • @bigbrother3196
    @bigbrother3196 Месяц назад +7

    Kocha mwenda hongera sana, wewe ndio unaujua mpira.

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d Месяц назад +3

    Ili zee senge TU halina kazi

  • @StephenDavid-cz4jg
    @StephenDavid-cz4jg Месяц назад +3

    Acheni kumtukana haya anayoyasema tusubili ligi ianze nd tumtukane sasa hiv msimtukane

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 Месяц назад +2

    Wa Tanzania hatupendi ukweli mwenda unajua bori na mkweli

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n Месяц назад +1

    Mwenda nikovha mambumbumbu😢wamadundukahawatakuelewaaa

  • @user-hp5zf2fw4o
    @user-hp5zf2fw4o Месяц назад +2

    Wakipigwa kumi Tena watasema Mo kauza mechi

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Месяц назад +2

    Ww sio mtu wa mpira tatizo hamtaki kusikia ukweli hauwezi kumshangilia wachezaji kabla hawajaingia uwanjani Yanga walileta balinya, sadney, moringa, sibomana, bigirimana wallcott, lamina molo, kalengo , Morrison,sonzo, safari balama mapinduzi na bui lakini waliofanya vizuri ni wachache

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Месяц назад +1

      😂😂😂 kwaiyo na nyinyi mnaona hakuna shida kuleta wengi ili wakifeli mseme kama yanga 😂😂😂

  • @user-mw6ym2vr9f
    @user-mw6ym2vr9f Месяц назад +1

    Unajifanya unajua sana kumbe hujui

  • @user-fx4pr4vp8p
    @user-fx4pr4vp8p Месяц назад +1

    Ukweli unauma

  • @user-yz6ds9hn9l
    @user-yz6ds9hn9l Месяц назад +10

    Mzee mwenda hauna kazi nyingine ya kufanya kila mara kwenye vyombo vya habari kumkandia MO wewe umchangia bei gani ?

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb Месяц назад +4

      Anamkandia au ndio ukweli kwani key yupo wapi

    • @reinfridlipili5666
      @reinfridlipili5666 Месяц назад +5

      Hampendi kuambiwa ukweli ndio maana timu linafeli tu

    • @idybwoytz8485
      @idybwoytz8485 Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂​@@AjiaMohamed-rt5pb

    • @ananiamwatebela3159
      @ananiamwatebela3159 Месяц назад +4

      Unakosea ukisema Hana Kaz za kufanya vp amewahi kuomba msaada kwako punguza chuki zisizo za msingi

    • @Kilolomaseselemani
      @Kilolomaseselemani Месяц назад +3

      ukiona umpendi acha kuangalia

  • @user-gr6hz5oq2g
    @user-gr6hz5oq2g Месяц назад +1

    Engineer alikiri kuwa kwa Aziz simba walitoa ofa kubwa kuliko yanga

  • @user-ql2cf1to7f
    @user-ql2cf1to7f Месяц назад +1

    We mwenda kama hunaga kaz c ukawe shoga wa yanga

  • @hidayajuma7946
    @hidayajuma7946 Месяц назад +1

    Sawa ww umemsajil nani ww

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 Месяц назад +1

    Liko vzr

  • @salahaljahury2907
    @salahaljahury2907 Месяц назад +1

    Mpuuzi huyu

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr Месяц назад +2

    HUYU MWENDA HUWA ANAONA MBALI SANA NA INASHANGAZA AMEKUWAJE YUKO SIMBA NA SIO YANGA ,.. KWSSB AINA HII YA WATU HUWA NI WATU WA YANGA...HATA MTU UKIKATAA SAWA TU ... AMJIULIZI KWNN YANGA ASHACHUKUA UBINGWA ZAIDI YA MALA 30 WATAKUWA WATAKUWA WANAWAZIDI MAARIFA KWA MBALI SANA SIMBA UHITAJI KUTUMIA AKILI NYINGI

  • @maxmia100
    @maxmia100 Месяц назад +1

    Mwenda anajua ila mnaobisha ndo nyie makolo msiojitambua mo kila siku anawazingua na safarii hii Simba isipochukua ubingwa mashabiki msiojitambua mtashabikia yanga wote

  • @user-rq4fq4pw4y
    @user-rq4fq4pw4y Месяц назад +1

    Huyu mwenda ni kichaa na chizi mkubwa yeye kila siku maneno, wewe mwenda si ulipe umsajili Azizi K

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh Месяц назад +1

    Mwenda Hauna kazi nyingine ya kufanya? Mbona Kila siku unakuwa na Kaz ya kumponda Mo tuu?

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Месяц назад +1

    Yaani linavyoongea unadhani linatoabhela lenyewe.hela sio makalio mzee

  • @waziribori2280
    @waziribori2280 Месяц назад +1

    Wewe siyo Simba kwanza hueleweki, unataka MO afanye nini? Kuwaondoa wasaliti wote hasa CHAMA, MANULA, MKUDE MADUKA YOTE. SIMBA NI KLbu bora ya 6 je ya yanga yangspi? Nenda na takwimu . Hujui mpira ni ishabiki tu

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Месяц назад +1

      Yanga ya inapanda kwenda kwenye top 10 then dunduka anashuka kutoka kwenye top 10 ki takwimu zaidi yanga ipo club bingwa dunduka yupo shirikisho then bingwa wa ligi kuu , dunduka namba nafasi 3

  • @PaulMuasya-z8c
    @PaulMuasya-z8c Месяц назад +1

    Kwani Gamondi kasajili wachezaji pale Yanga msimu uliopita ama aliwakuta ?

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini Месяц назад +1

    Saf mwenda

  • @kelvinjohnlazimatushinde9310
    @kelvinjohnlazimatushinde9310 Месяц назад +1

    jamani tuwenaadabu vijana musitukane wazee atakama amekosea ndomaana vijana tunakufa mapema ukiona mutu kaongea vibaya achanae maana maneno sio moto usemeutaunguwa utaisha mngu awabariki wote

  • @RashidiMwiga
    @RashidiMwiga Месяц назад +1

    Unapigwa ngozi,nani alikuambia MO anataka Aziz ki?

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Месяц назад +1

    Hana uwezo vipi? We ni zee senge

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias481 Месяц назад

    Aziz k hayupo kwenye mipango ya Simba, mzee mwenda akili yako unaijua mwenyewe

  • @NgetaNyaroche
    @NgetaNyaroche Месяц назад +1

    Hyo Mzee ana akili nying kweny mpira tumpe sifa zake

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Месяц назад +1

    Sasa ccm na issue ya mpira unaiingizaje? Inaonyesha wewe ni kilaza mkubwa, hata kuandika sifuri. Mwenda anazungumzia simba wewe unarukia ccm, mara ufisadi, mara ohh magufuri, hufai ku comment mawazo ya mwenda.

  • @johnmwanja4476
    @johnmwanja4476 Месяц назад +1

    Mwenda NJAA ya Uzeeni Inakusumbua..huna tofauti na Mchome.

  • @gregoryshao1302
    @gregoryshao1302 Месяц назад +1

    Wewe kenge tu sajili basi mamluki wa utopolo tu wewe

  • @BoniventureRiwa-fs2py
    @BoniventureRiwa-fs2py Месяц назад +1

    😂😂😂Utopolo mshaingia kwenye mfumo wa simba mchezo mliokuwa mkifanya kwa chama sasa tutakifanya kwa azizi k

  • @user-cu8dm6eh3g
    @user-cu8dm6eh3g Месяц назад

    Wewe huna akili bx towa wewe izo pesa huna akili wewe unapenda mitandao tu mpe mamayako bx huyo enginia wewe mbwa wa kocha wa timu gani mbona yanga unawasifika na ligi haijaaza

  • @user-hb2nn6ud2d
    @user-hb2nn6ud2d Месяц назад

    Hahaaaa et mijitu inatukana haya simba mchukuuni sasa azz ki

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 Месяц назад +2

    Huyu Mzee Mpumuzisheni.

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u Месяц назад +1

    Wewe Mzee mwenda huna Imani wewe Kila siku unaponda Simba wewe kocha gani wachezaji wote Hawa bado uamini wewe muislam gani ufai kabisa watu wanakuoki hawana kazi

  • @sadih5333
    @sadih5333 Месяц назад

    Sasa si ndio Simba wanajitafuta wewe unazungumzia ubigwa si mtu wa mpira unatafuta tu umaarufu.

  • @waziribori2280
    @waziribori2280 Месяц назад +1

    HUYU NJAA TU NA CHAWA WA HERSI

  • @user-hp5zf2fw4o
    @user-hp5zf2fw4o Месяц назад

    Mhindi na mpira wap na wap?

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Месяц назад +1

    Kweli huyu ana chuki binafsi ndio wanatumika

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Месяц назад

    Hili ni la yanga limejificha usimba

  • @SanziNzige
    @SanziNzige Месяц назад +1

    Mjinga wewe na midevu yako ka misumari.et no Hana uwezo we unao uwezo? hela zaetu za walipa Kodi na li sisiemu lenu la mafisadi ndo useme no Hana uwezo.hyo aziza kawaona washamba TU nyie huyo inginia na giesiemu wenu na vi Senti vyao Wana hela gani hao.ombeni magufuli asiludi mnavyochezea hela zaetu kwa ujinga huo

  • @sadih5333
    @sadih5333 Месяц назад

    Huyu jamaa Hana jema anaonekana anatafuta basha,

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u Месяц назад

    Wachezaji wote wameondoka Sasa unaongea nini

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Месяц назад

    Nenda yanga hunahakili pia umeshikiwa Akili mpumbavu mkubwa

  • @leusissa3855
    @leusissa3855 Месяц назад

    Huyu ni mmoja wa mashabiki wapumbavu wa simba anatakiwa kupimwa afya ya akili

  • @user-yz6ds9hn9l
    @user-yz6ds9hn9l Месяц назад +1

    Wenzako waungana kupambana kuwa kitu kimoja wewe kutwa kumsema MO, vibaya sisi mkutano ufike tumtoe mangungu na wewe lazima tukutoe

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Месяц назад +1

      😂😂😂😂 hamna mwenye ubavu wa kumtoa mangungu labda mangungu awatoe nyinyi😂😂😂 .....

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Месяц назад +1

    Mpumbavu kabisa wewe

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Месяц назад

    Hili zee hajiwahi kuwa na akili hata siku moja! Linachojua ni kufuga ndevu na kuvaa miwani ya elfu 3..

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Месяц назад +1

      😂😂😂 unavaaje miwani ya milioni 50 ?

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 Месяц назад +1

      @@mwanangusana Jinga sana hili zee..😅..

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Месяц назад +1

      @@noelbryson7840 mbona jamaa yupo vzr sanaaaaa

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 Месяц назад +1

    Wa Tanzania hatupendi ukweli mwenda unajua bori na mkweli

  • @user-hp5zf2fw4o
    @user-hp5zf2fw4o Месяц назад +3

    Wakipigwa kumi Tena watasema Mo kauza mechi