NAKUMBUKA VILE UMEKUJA NA MSAFARA WAKO SHINYANGA KUPATA DUA KWA BABA YANGU,ULINIKUTA NIMEZALIWA NI NA MIAKA SABA ,UKANIPA JINA LAKO MPAKA SHULE UKANIBADILISHA , UNCLE ALLY HAJI MWINYI,NAMI LEO NIMEUBEBA UTAMBULISHO WAKO.....Kwelii ninalii😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢,uliniaambia unatamani Niwe kama wewee...nenda salamaa ,nitakuenzi kwakuwa mzalendo halisi kwa nchi yangu😢😢😢😢😢😢😢
Jamaaa anastudioo nyumbani kwake piaaa mziki nimaishaa soo kinacho fanyika nikwamba anakua n melodi nyingi kichwani biti ikipigwa tu anaangalia story inahusu nini anashuka full stairi pale inakua imeisha nikitendo cha dakika 30 ty inakua imekaa poaa
Jaman tuache ushamba kwani kutunga nyimbo inachukua mda gan??kwawewe ambaye siyo fani yako ndyo unaona siyo swala rahisi,,R I p mzee wetu nenda nasi tunyuma yako
Hapo sasa kitu fani yake hawa wandhan kutunga wimbo ni kazi ngumu kama kutafyta thaman ya x kwenye logarthim kwa msechu utnzi wa wimbo ni kama junywa maji tu
Ipo siku huyu Peter Msechu atatunga nyimbo ya kiongozi alafu ajikute yeye ndo kavuta kabla ya mlengwa .make hizi nyimbo ni dhahiri kwamba anawatungia wangali hai
NAKUMBUKA VILE UMEKUJA NA MSAFARA WAKO SHINYANGA KUPATA DUA KWA BABA YANGU,ULINIKUTA NIMEZALIWA NI NA MIAKA SABA ,UKANIPA JINA LAKO MPAKA SHULE UKANIBADILISHA , UNCLE ALLY HAJI MWINYI,NAMI LEO NIMEUBEBA UTAMBULISHO WAKO.....Kwelii ninalii😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢,uliniaambia unatamani Niwe kama wewee...nenda salamaa ,nitakuenzi kwakuwa mzalendo halisi kwa nchi yangu😢😢😢😢😢😢😢
Ukidanji tyu ngoma chapu inaachiwa ila Petro😅😅😅
Je ukitangulia kabla ya nyimbo zingine za viongozi ambazo ziko kabatini unategea kuzitoa😂😂😂
Huyu msechu ana ngoma zote za vifo vya Maraisi Tanzania mmoja mmoja akifa ngoma inachiwa😅😅
😂😂😂😂😂
Uwa ashaziweka anabandika Jina tu
Ila watu😂
Nimekuja uku baada ya kuhona video kutoka kwa uswege kule nikahamuwq nije kuhakikisha😅
Bia mm😂😂😂
Uyu jamaa inawezekana ata mama kashamtungia nyimbo anangoja muda tu wakurelease
😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
Jamaaa anastudioo nyumbani kwake piaaa mziki nimaishaa soo kinacho fanyika nikwamba anakua n melodi nyingi kichwani biti ikipigwa tu anaangalia story inahusu nini anashuka full stairi pale inakua imeisha nikitendo cha dakika 30 ty inakua imekaa poaa
Amkeni amkeni kashaachia tayari🤣🤣
We msechu hiii nyimbo umetunga saa ngp?
Taarifa anakuwa nazo 😂😮
Anakuwaga na nyimbo za maombolezo mmoja akikata tu anaongeza jina anaachia😂
😅😅😅😅
Ndio hapo hata na mm namshangaa...
Swali gani hilo ww ha ha ha
Mmungu mrehemu mzee wetu na umpe malazi mema peponi. Wema wako utabaki milele. Pole kwa wanafamilia wote. Innaalillaahi wa Innaa Ilaihi Rajiuuna
😢😢😢😢😢allah akusameh ulipoteleza baba etu kiongozi wetu mahiri mpambanaji shupavu tangulia baba nasi tuko nyuma yako
kutunga nyimbo syo kaz ngum ukishapata ujumbe RIP mwinyi.
😂😂😂😂 mkimuangaliaa vzri usikute tyri an chorus za kiongoz anayefuataa
Nzuri sana ila haiwezi fikia umetuacha imara ya magu
Jaman tuache ushamba kwani kutunga nyimbo inachukua mda gan??kwawewe ambaye siyo fani yako ndyo unaona siyo swala rahisi,,R I p mzee wetu nenda nasi tunyuma yako
Hapo sasa kitu fani yake hawa wandhan kutunga wimbo ni kazi ngumu kama kutafyta thaman ya x kwenye logarthim kwa msechu utnzi wa wimbo ni kama junywa maji tu
Poleni sana wa Tanzania amen
Huu Jama Ana album yote😂😂😂 ni kugeuza tu majinq
We mzee una bank ya viongozi wote na nyimbo zao maana huchelewi😅😅
Yaani pita msechu kutunga wimbo Sawa na kunywa maji tu
Siooo kwelii bwana hanaa nyimboo za vifooo ilaa nikipajii hichoo manii
😂😂m nimekuja kusoma comment tuuh🙌🙌🙌🙌🙌😂
Allahumma ighfir lahu.
Aamiiin
Kaka Msechu nyimbo ina ujumbe mzito tumuenzi Mhe Hayati Mwinyi.
Jamni talifa imetoka saa kumi na mmoja sasa anashindwaje kutunaga nyimbo
Aisee wewe jombaa umetutisha sana usikute unanyimbo zote za viongozi
Ww brother ujengewe sanam.
Keep it rise,unajua mkubwa
Hv mwanetu nikitaka tu uimbe kuhusu mimi nikupe stori yangu ni shingapi maana DM hamjibu
Huyu jamaa ana album😀😀😀
🤣🤣🤣🤣
Huyu jamaa hii nyimbo kaitunga zmn tu alikuwa anasubir afe tu aitoe
peta msechu ukutee ushatunga nyimbo za viongoz wote... wasubr wafee tu uachiee ngoma moja mojaa
HUYU BWANA AJENGEWE SANAMU , PETER PETER MSECHU 🎉 WEWE NI GENIOUS UKO IN AND ON TIME OF EVENTS
😂😂😂😂
Huwa mwamba ana siri nyingi za vifo vya watu. Tukikaa nae vizur atakuwa anatupa siri za waliotangulia mapema?
Msechu we ni hatari baba huu wimbo umetunga saa ngapi
MTU nakazi yake
Katanga zamani ilipotoka taarifa ndio na yy katoa
Ila Msechu wewe ulijua baba wa watu anakufa ukatunga wimbo 😢
😂 we msechu wewe umetunga wimbo saa ngap duuu!!
Hazina ya taifa hanang, lowassa na hassani
Pumzika kwa Amani Jembe uliyoyafanya ni upendo tosha kwa nchi yako, tutaonana baadae,
huyu naona ana mpango wakuchukua nafasi ya kapteni John Komba😂😂 ...sio kwa uchuro huu ....kila kifo yuko ka bundi wa kwanza kulia kwa nyimbo😂😂
Pumzika kwa aman baba yangu 😢
Pumzika kwa amani ally hassan mwinyi
Msechu hauboi🫡🫡🫡
Ndioo tumuulizeee hapa huyuuu jamaaa ametunga hii nyimboo saaangapii
Kwani kutunga wimbo Nako kunahitaji wiki au mwezi?...Kwa msanii aliekomaa ni suala masaa tu
Huyu jamaa anatunga SAA ngapi?
Poleni familia ya mwinyi kwa msiba wa baba etu sisi tulimpenda lkn allah amempenda zaid😢😢😢😢
Asante kwa kuwafariji wa fiwa wa nchi yetu, hongera kwa kazi nzuri mziki ni tiba🎉🎉🎉
Bonge la Ngoma. Biti mpk Melod. Hata Clup hili linacjezeka🎉🎉🎉
We jamaa Kwan viongoz wakitaka kufa wanakutarifu
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
nyimbo.mbona inachangmsha 😢alafu ww msechu upo kitengo cha misiba
😭😭😭
Umeenda studio au ulikua nayo tu ndani
Naona huyu ana nyimbo za misiba to hana zingine ndyomana anakuaga wakwanza kuimba
Unatunga sangp
Me nazan tumkamate atueleze Huwa anatunga saa ngap hiz nyimbo usjekuta anachuriaga watu kabla hawajafa,
Sio ajabu nyimbo yangu tayar anayo
Kwa msanii aliekomaa ni suala la masaa tu,Wala tusifike mbali
Pumzka kwa amani pole kwa watazania viogozi chukua mfano wa mwinyi
Ulivyo Mnene Sijui hii Nyimbo Umeandaa saa ngapi😂.
Msechu ni kiboko apumzike kwa amani
Msechu apumzike kwenda wapi 🙈
Pumzika kwa amani baba raisi wetu all hassani mwinyi
Ww msechu na ww lini tutakutungia nyimbo ?? Ukifa😂😂😂
Innalillah
Huyu jamaa ana daftri la nyimbo za kifo anasubiri tu mtu afe aweke jina
😂😂😂😂
😂😂😂itakua
😂😂ndio maana Jana watu wamesema msechu ana lists kibao za kuimbia marehem
Ila mshechu misiba tukuachie wewe tu sasa
Ila huyu jamaa😅 umeshatoa wimbo dah
Asante sana Msechu Mungu akubariki sana
Yan Msechu na mrisho mpoto yanasubiliaga misiba tu
Jamaa ni kama wauza majeneza 😅 wako standby 😅
Oya sio poa
Aisee tanzaniaa imepotezaaa
Naiskia saut ya lavalava kwa background
Is mwinyi dead
Congratulations msechu
R.I.P,APUMZIKE KWA AMANI
R.i.p mzee wa ruksa.
Hi nyimbo mbona n ya mwaka Jana
Ya mwaka jana aliimbiwa nani?
Wakwanza ku comment .
Wapili😊
Hata kwenye kifo ,huzuni mnakazania wa kwanza ngoja yatokee kwako uje uwahi Ku, comment na kutaka like
@@رقيهالخصيبي Tulia wewe kwani Kuna mtu kakufuru hapo .Usi complicate
Ipo siku huyu Peter Msechu atatunga nyimbo ya kiongozi alafu ajikute yeye ndo kavuta kabla ya mlengwa .make hizi nyimbo ni dhahiri kwamba anawatungia wangali hai
Comments za watu 😂😂😂🙌🏻
🤣🤣🤣 Khaa. Msechu inaonesha ana nyimbo za viongz wote
Ashaziweka uwa anabandika Jina tu😂😂
Msechu kibokoo 😭😭😭
𝙈𝙨𝙚𝙘𝙝𝙪 𝙣𝙤𝙢𝙖 𝙨𝙖𝙣𝙖
Buriani, mzee!
Pumnzika hodari
Ongera msechu upo vizur
😂😂
Genius Msechu👏👏👏
Hakuna pengo lisilo zibika,,kaptain john komba ,huyu hapa😂😂😂😂😂😂
😂😂😂jamani
@@yunyun799 🤣🤣🤣🤣
Safi sanaa msechuu❤
lala salama mzee wetu
Kigogo anakutafuta
R.I.P Al Hassan
Aloooh 😂
daah maisha ni mafupi
Rest In peace
Msechu ur always the best
R.I.P
Duuuuuuuuh!
Love song❤
We ni fundi kaka
Rest in paradise
RIP
R.l.p
R.I.P