LALA SALAMA MWINYI - Peter Msechu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 184

  • @mwinyiswalehe9564
    @mwinyiswalehe9564 7 месяцев назад +2

    NAKUMBUKA VILE UMEKUJA NA MSAFARA WAKO SHINYANGA KUPATA DUA KWA BABA YANGU,ULINIKUTA NIMEZALIWA NI NA MIAKA SABA ,UKANIPA JINA LAKO MPAKA SHULE UKANIBADILISHA , UNCLE ALLY HAJI MWINYI,NAMI LEO NIMEUBEBA UTAMBULISHO WAKO.....Kwelii ninalii😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢,uliniaambia unatamani Niwe kama wewee...nenda salamaa ,nitakuenzi kwakuwa mzalendo halisi kwa nchi yangu😢😢😢😢😢😢😢

  • @Thadei_kameta5458
    @Thadei_kameta5458 3 месяца назад

    Ukidanji tyu ngoma chapu inaachiwa ila Petro😅😅😅

  • @wahisiatv2871
    @wahisiatv2871 7 месяцев назад +4

    Je ukitangulia kabla ya nyimbo zingine za viongozi ambazo ziko kabatini unategea kuzitoa😂😂😂

  • @JustinBiber-h2g
    @JustinBiber-h2g 7 месяцев назад +7

    Huyu msechu ana ngoma zote za vifo vya Maraisi Tanzania mmoja mmoja akifa ngoma inachiwa😅😅

    • @MashaMbwana
      @MashaMbwana 7 месяцев назад

      😂😂😂😂😂

    • @nassorali4061
      @nassorali4061 7 месяцев назад

      Uwa ashaziweka anabandika Jina tu

    • @bongatv25
      @bongatv25 7 месяцев назад

      Ila watu😂

  • @Gregoire-2006
    @Gregoire-2006 7 месяцев назад +3

    Nimekuja uku baada ya kuhona video kutoka kwa uswege kule nikahamuwq nije kuhakikisha😅

  • @ramadhanvyombo5145
    @ramadhanvyombo5145 7 месяцев назад +8

    Uyu jamaa inawezekana ata mama kashamtungia nyimbo anangoja muda tu wakurelease

  • @anganilebukuku4378
    @anganilebukuku4378 7 месяцев назад +4

    Jamaaa anastudioo nyumbani kwake piaaa mziki nimaishaa soo kinacho fanyika nikwamba anakua n melodi nyingi kichwani biti ikipigwa tu anaangalia story inahusu nini anashuka full stairi pale inakua imeisha nikitendo cha dakika 30 ty inakua imekaa poaa

  • @titongassa1620
    @titongassa1620 7 месяцев назад +4

    Amkeni amkeni kashaachia tayari🤣🤣

  • @stevenchawala5316
    @stevenchawala5316 7 месяцев назад +32

    We msechu hiii nyimbo umetunga saa ngp?

  • @maryamadam5622
    @maryamadam5622 7 месяцев назад +2

    Mmungu mrehemu mzee wetu na umpe malazi mema peponi. Wema wako utabaki milele. Pole kwa wanafamilia wote. Innaalillaahi wa Innaa Ilaihi Rajiuuna

  • @Lulualshagri
    @Lulualshagri 7 месяцев назад +2

    😢😢😢😢😢allah akusameh ulipoteleza baba etu kiongozi wetu mahiri mpambanaji shupavu tangulia baba nasi tuko nyuma yako

  • @Monikakosimastobias
    @Monikakosimastobias 7 месяцев назад +2

    kutunga nyimbo syo kaz ngum ukishapata ujumbe RIP mwinyi.

  • @jacksonmwalindu8786
    @jacksonmwalindu8786 7 месяцев назад +2

    😂😂😂😂 mkimuangaliaa vzri usikute tyri an chorus za kiongoz anayefuataa

  • @JumaChunye
    @JumaChunye 6 месяцев назад +2

    Nzuri sana ila haiwezi fikia umetuacha imara ya magu

  • @TomasMponzi
    @TomasMponzi 7 месяцев назад +2

    Jaman tuache ushamba kwani kutunga nyimbo inachukua mda gan??kwawewe ambaye siyo fani yako ndyo unaona siyo swala rahisi,,R I p mzee wetu nenda nasi tunyuma yako

    • @ZakayoReuben-ow9tz
      @ZakayoReuben-ow9tz 7 месяцев назад

      Hapo sasa kitu fani yake hawa wandhan kutunga wimbo ni kazi ngumu kama kutafyta thaman ya x kwenye logarthim kwa msechu utnzi wa wimbo ni kama junywa maji tu

  • @SalimPala-w5f
    @SalimPala-w5f 7 месяцев назад +3

    Poleni sana wa Tanzania amen

  • @Inezamethodebrighton
    @Inezamethodebrighton 7 месяцев назад +2

    Huu Jama Ana album yote😂😂😂 ni kugeuza tu majinq

  • @valentinesyekeye6846
    @valentinesyekeye6846 7 месяцев назад +2

    We mzee una bank ya viongozi wote na nyimbo zao maana huchelewi😅😅

  • @JelleKipala
    @JelleKipala 7 месяцев назад +2

    Yaani pita msechu kutunga wimbo Sawa na kunywa maji tu

  • @anganilebukuku4378
    @anganilebukuku4378 7 месяцев назад +3

    Siooo kwelii bwana hanaa nyimboo za vifooo ilaa nikipajii hichoo manii

  • @haiju1110
    @haiju1110 7 месяцев назад +2

    😂😂m nimekuja kusoma comment tuuh🙌🙌🙌🙌🙌😂

  • @MUHSINSALUM-cc4tg
    @MUHSINSALUM-cc4tg 7 месяцев назад +2

    Allahumma ighfir lahu.
    Aamiiin

  • @mckingmojojo363
    @mckingmojojo363 7 месяцев назад +1

    Kaka Msechu nyimbo ina ujumbe mzito tumuenzi Mhe Hayati Mwinyi.

  • @JonasiMwanzi-o2y
    @JonasiMwanzi-o2y 7 месяцев назад +1

    Jamni talifa imetoka saa kumi na mmoja sasa anashindwaje kutunaga nyimbo

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 7 месяцев назад +1

    Aisee wewe jombaa umetutisha sana usikute unanyimbo zote za viongozi

  • @abbaskishangu1876
    @abbaskishangu1876 7 месяцев назад +1

    Ww brother ujengewe sanam.
    Keep it rise,unajua mkubwa

  • @kazimotojuniorhumanresourc1873
    @kazimotojuniorhumanresourc1873 7 месяцев назад +1

    Hv mwanetu nikitaka tu uimbe kuhusu mimi nikupe stori yangu ni shingapi maana DM hamjibu

  • @MasterPlan-e5c
    @MasterPlan-e5c 7 месяцев назад +3

    Huyu jamaa ana album😀😀😀

  • @LovelyAstronaut-lh3nk
    @LovelyAstronaut-lh3nk 7 месяцев назад +3

    Huyu jamaa hii nyimbo kaitunga zmn tu alikuwa anasubir afe tu aitoe

  • @mussahoza
    @mussahoza 7 месяцев назад +2

    peta msechu ukutee ushatunga nyimbo za viongoz wote... wasubr wafee tu uachiee ngoma moja mojaa

  • @libetztanzania-kiswahilina2845
    @libetztanzania-kiswahilina2845 7 месяцев назад +1

    HUYU BWANA AJENGEWE SANAMU , PETER PETER MSECHU 🎉 WEWE NI GENIOUS UKO IN AND ON TIME OF EVENTS

    • @HAYABOYTV1
      @HAYABOYTV1 7 месяцев назад

      😂😂😂😂

  • @istudiohimo2113
    @istudiohimo2113 7 месяцев назад +2

    Huwa mwamba ana siri nyingi za vifo vya watu. Tukikaa nae vizur atakuwa anatupa siri za waliotangulia mapema?

  • @LothiMolleli-rl4yh
    @LothiMolleli-rl4yh 7 месяцев назад +2

    Msechu we ni hatari baba huu wimbo umetunga saa ngapi

    • @AhmedSeif-p6w
      @AhmedSeif-p6w 7 месяцев назад

      MTU nakazi yake

    • @FatimaRiami
      @FatimaRiami 7 месяцев назад

      Katanga zamani ilipotoka taarifa ndio na yy katoa

  • @ruthdavie1175
    @ruthdavie1175 7 месяцев назад +2

    Ila Msechu wewe ulijua baba wa watu anakufa ukatunga wimbo 😢

  • @sporahdaniel4970
    @sporahdaniel4970 7 месяцев назад +1

    😂 we msechu wewe umetunga wimbo saa ngap duuu!!

  • @ombeninyemba6428
    @ombeninyemba6428 7 месяцев назад +1

    Hazina ya taifa hanang, lowassa na hassani

  • @sagy1239
    @sagy1239 7 месяцев назад

    Pumzika kwa Amani Jembe uliyoyafanya ni upendo tosha kwa nchi yako, tutaonana baadae,

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 7 месяцев назад +1

    huyu naona ana mpango wakuchukua nafasi ya kapteni John Komba😂😂 ...sio kwa uchuro huu ....kila kifo yuko ka bundi wa kwanza kulia kwa nyimbo😂😂

  • @daynecleonard5906
    @daynecleonard5906 7 месяцев назад +1

    Pumzika kwa aman baba yangu 😢

  • @andrewvoiceofficial8721
    @andrewvoiceofficial8721 7 месяцев назад +1

    Pumzika kwa amani ally hassan mwinyi

  • @jescajames9844
    @jescajames9844 7 месяцев назад +1

    Msechu hauboi🫡🫡🫡

  • @MikaMavanza
    @MikaMavanza 7 месяцев назад +1

    Ndioo tumuulizeee hapa huyuuu jamaaa ametunga hii nyimboo saaangapii

    • @tegemeantenga102
      @tegemeantenga102 7 месяцев назад

      Kwani kutunga wimbo Nako kunahitaji wiki au mwezi?...Kwa msanii aliekomaa ni suala masaa tu

  • @kuzenzamasule1281
    @kuzenzamasule1281 7 месяцев назад +1

    Huyu jamaa anatunga SAA ngapi?

  • @munalove450
    @munalove450 7 месяцев назад

    Poleni familia ya mwinyi kwa msiba wa baba etu sisi tulimpenda lkn allah amempenda zaid😢😢😢😢

  • @mtanzaniamwenzangu181
    @mtanzaniamwenzangu181 7 месяцев назад

    Asante kwa kuwafariji wa fiwa wa nchi yetu, hongera kwa kazi nzuri mziki ni tiba🎉🎉🎉

  • @kihanda2554
    @kihanda2554 7 месяцев назад

    Bonge la Ngoma. Biti mpk Melod. Hata Clup hili linacjezeka🎉🎉🎉

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 7 месяцев назад +3

    We jamaa Kwan viongoz wakitaka kufa wanakutarifu

    • @mwacyjovin9672
      @mwacyjovin9672 7 месяцев назад

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @JacksonJohn.
    @JacksonJohn. 7 месяцев назад +1

    nyimbo.mbona inachangmsha 😢alafu ww msechu upo kitengo cha misiba

  • @Mwelimazozo-ol3lp2lw4e
    @Mwelimazozo-ol3lp2lw4e 7 месяцев назад +1

    😭😭😭

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 7 месяцев назад +3

    Umeenda studio au ulikua nayo tu ndani

    • @yohanamorisi9027
      @yohanamorisi9027 7 месяцев назад

      Naona huyu ana nyimbo za misiba to hana zingine ndyomana anakuaga wakwanza kuimba

  • @abdulymaeda2697
    @abdulymaeda2697 6 месяцев назад +1

    Unatunga sangp

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 7 месяцев назад

    Me nazan tumkamate atueleze Huwa anatunga saa ngap hiz nyimbo usjekuta anachuriaga watu kabla hawajafa,
    Sio ajabu nyimbo yangu tayar anayo

    • @tegemeantenga102
      @tegemeantenga102 7 месяцев назад

      Kwa msanii aliekomaa ni suala la masaa tu,Wala tusifike mbali

  • @sylikiussebastian
    @sylikiussebastian 7 месяцев назад

    Pumzka kwa amani pole kwa watazania viogozi chukua mfano wa mwinyi

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 7 месяцев назад +1

    Ulivyo Mnene Sijui hii Nyimbo Umeandaa saa ngapi😂.

  • @momylaviel
    @momylaviel 7 месяцев назад +1

    Msechu ni kiboko apumzike kwa amani

  • @emanuelwilliam8834
    @emanuelwilliam8834 7 месяцев назад

    Pumzika kwa amani baba raisi wetu all hassani mwinyi

  • @rashidisaidi8535
    @rashidisaidi8535 7 месяцев назад +1

    Ww msechu na ww lini tutakutungia nyimbo ?? Ukifa😂😂😂

  • @HalimaRamadhani-o4l
    @HalimaRamadhani-o4l 7 месяцев назад +1

    Innalillah

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 7 месяцев назад +2

    Huyu jamaa ana daftri la nyimbo za kifo anasubiri tu mtu afe aweke jina

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 7 месяцев назад +1

    😂😂ndio maana Jana watu wamesema msechu ana lists kibao za kuimbia marehem

  • @RickyVan-fw4ry
    @RickyVan-fw4ry 7 месяцев назад

    Ila mshechu misiba tukuachie wewe tu sasa

  • @barakajames6740
    @barakajames6740 7 месяцев назад

    Ila huyu jamaa😅 umeshatoa wimbo dah

  • @jeremiahmtui6822
    @jeremiahmtui6822 7 месяцев назад

    Asante sana Msechu Mungu akubariki sana

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 7 месяцев назад +2

    Yan Msechu na mrisho mpoto yanasubiliaga misiba tu

    • @ebeni_mitimingi
      @ebeni_mitimingi 7 месяцев назад +1

      Jamaa ni kama wauza majeneza 😅 wako standby 😅

  • @samwelmeela8384
    @samwelmeela8384 7 месяцев назад +1

    Oya sio poa

  • @dochoonlinetv
    @dochoonlinetv 7 месяцев назад

    Aisee tanzaniaa imepotezaaa

  • @24seventv99
    @24seventv99 7 месяцев назад

    Naiskia saut ya lavalava kwa background

  • @beatricekanyinge3940
    @beatricekanyinge3940 6 месяцев назад

    Is mwinyi dead

  • @MasaweKiyage
    @MasaweKiyage 7 месяцев назад

    Congratulations msechu

  • @AmedeusFrank
    @AmedeusFrank 7 месяцев назад

    R.I.P,APUMZIKE KWA AMANI

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk 7 месяцев назад

    R.i.p mzee wa ruksa.

  • @nelsonnyambulapi
    @nelsonnyambulapi 7 месяцев назад +2

    Hi nyimbo mbona n ya mwaka Jana

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 7 месяцев назад +1

      Ya mwaka jana aliimbiwa nani?

  • @PaschalMologa
    @PaschalMologa 7 месяцев назад +1

    Wakwanza ku comment .

    • @maxlopezlopez220
      @maxlopezlopez220 7 месяцев назад

      Wapili😊

    • @رقيهالخصيبي
      @رقيهالخصيبي 7 месяцев назад +1

      Hata kwenye kifo ,huzuni mnakazania wa kwanza ngoja yatokee kwako uje uwahi Ku, comment na kutaka like

    • @PaschalMologa
      @PaschalMologa 7 месяцев назад

      @@رقيهالخصيبي Tulia wewe kwani Kuna mtu kakufuru hapo .Usi complicate

  • @Jirhley
    @Jirhley 7 месяцев назад

    Ipo siku huyu Peter Msechu atatunga nyimbo ya kiongozi alafu ajikute yeye ndo kavuta kabla ya mlengwa .make hizi nyimbo ni dhahiri kwamba anawatungia wangali hai

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 7 месяцев назад

    Comments za watu 😂😂😂🙌🏻

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 7 месяцев назад +1

    🤣🤣🤣 Khaa. Msechu inaonesha ana nyimbo za viongz wote

    • @nassorali4061
      @nassorali4061 7 месяцев назад +1

      Ashaziweka uwa anabandika Jina tu😂😂

  • @ASHARICHAMBILE
    @ASHARICHAMBILE 7 месяцев назад

    Msechu kibokoo 😭😭😭

  • @titodaniely9713
    @titodaniely9713 7 месяцев назад

    𝙈𝙨𝙚𝙘𝙝𝙪 𝙣𝙤𝙢𝙖 𝙨𝙖𝙣𝙖

  • @ThisIsBett
    @ThisIsBett 7 месяцев назад

    Buriani, mzee!

  • @DrMbonea
    @DrMbonea 7 месяцев назад

    Pumnzika hodari

  • @ZaylinahNindae
    @ZaylinahNindae 7 месяцев назад +2

    Ongera msechu upo vizur

  • @ShedrackDamiani
    @ShedrackDamiani 7 месяцев назад

    😂😂

  • @perucebuhomaosward8512
    @perucebuhomaosward8512 7 месяцев назад

    Genius Msechu👏👏👏

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 7 месяцев назад +2

    Hakuna pengo lisilo zibika,,kaptain john komba ,huyu hapa😂😂😂😂😂😂

    • @yunyun799
      @yunyun799 7 месяцев назад

      😂😂😂jamani

    • @hezronjoseph405
      @hezronjoseph405 7 месяцев назад

      @@yunyun799 🤣🤣🤣🤣

  • @MengiMhelela-b3m
    @MengiMhelela-b3m 7 месяцев назад

    Safi sanaa msechuu❤

  • @Davidiboys
    @Davidiboys 7 месяцев назад

    lala salama mzee wetu

  • @INNOSB
    @INNOSB 7 месяцев назад +1

    Kigogo anakutafuta

  • @dr.swagztv3559
    @dr.swagztv3559 7 месяцев назад

    R.I.P Al Hassan

  • @tituselias3079
    @tituselias3079 7 месяцев назад

    Aloooh 😂

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul 7 месяцев назад

    daah maisha ni mafupi

  • @JoyceNicholaus-h7v
    @JoyceNicholaus-h7v 7 месяцев назад

    Rest In peace

  • @mcrwego1322
    @mcrwego1322 7 месяцев назад

    Msechu ur always the best

  • @philipothomas6279
    @philipothomas6279 7 месяцев назад

    R.I.P

  • @isayambetwa6564
    @isayambetwa6564 7 месяцев назад

    Duuuuuuuuh!

  • @Berenaldo77
    @Berenaldo77 7 месяцев назад

    Love song❤

  • @beyondmediatz1607
    @beyondmediatz1607 7 месяцев назад

    We ni fundi kaka

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 7 месяцев назад

    Rest in paradise

  • @isaiahtraveling
    @isaiahtraveling 7 месяцев назад

    RIP

  • @BahatiSunga-yk9qf
    @BahatiSunga-yk9qf 7 месяцев назад

    R.l.p

  • @davidmwamelo6525
    @davidmwamelo6525 7 месяцев назад

    R.I.P