Peter Msechu - Usijali (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • VERSE 1
    Na je huu ndio mwanzo wangu,
    Ama ndio mwisho wangu
    Na je hili ndio pito langu
    Ama ni ushindi wangu
    Sielewi
    Maana kila siku
    Vita ni kuu
    Akili yangu yakosa pumziko
    Tena moyo wangu umenyimwa urafiki
    Na mazingira
    Sasa nimwone nani, nimwone nani nimweleze nani,
    Maana kifuani pamejawa na mzani
    Mazingira mazingira hayanipi tumaini
    Ila kuna sauti ya upole inanijia ikisema
    CHORUS
    Wala usijali, wala usijali
    Wala usijali, unaweza anza tena unaweza ng'ara tena
    Wala usijali, wala usijali, wala usijali,
    Unaweza anza tena, unaweza ng'ara
    tena
    VERSE 2
    Na hata rafiki, jamaa ndugu niliowaamini sana
    Kuja tazama ghafla mbona siwaoni mara
    Na kale kamtaji nilikojikusanya
    Kufanyia biashara
    Naja tazama tazama kote kamedorora tena
    Na hata imani niliyokuwa nayo siku zile kabla
    Nikitazama kila siku inazidi kuwa hafifu
    Mwenendo wangu mbona naona kama si imara tena
    Zaidi ya jangwa niko peke yangu sioni mwangaza
    Sasa nimwone nani, nimwone nani nimweleze nani,
    Maana kifuani pamejawa na mzani
    Mazingira mazingira hayanipi tumaini
    Ila kuna sauti ya upole inanijia ikisema
    CHORUS
    Wala usijali, wala usijali
    Wala usijali, unaweza anza tena unaweza amka tena
    Usijali
    Wala usijali (iko siku utasimama tena)
    wala usijali, (ameandika jambo jema maulana)
    wala usijali,
    Unaweza anza tena, unaweza ng'ara
    tena
    Unaweza ng'ara tena
    Simama imara
    Wala usijali
    pambana na maadui wanaokuombea mabaya
    Wala usijali
    Aonaye amekuona yuko juu atakuinua
    Wala usijali
    Unaweza anza tena
    Unaweza amka tena
    Simama imara
    Wala usijali (pambana tena)
    Wala usijali
    Siku yako inakuja imeandikwa
    Wala usijali (chozi lako linaonekana)
    Unaweza anza tena, unaweza ng'ara tena
    Hata kama umefiwa na mume au mke simama tena,
    Usivunjike moyo
    Wala usijali
    Aliyemchukua anakuona
    Wala usijali( na atakusimamia)
    Usijali anza tena
    Wala usijali
    Unaweza anza tena unaweza amka tena
    Wala usijali, unaweza anza tena, unaweza inuka tena.

Комментарии • 68

  • @zomasamweli
    @zomasamweli Месяц назад +11

    Kama unamkubali hidaya boli gonga like

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 Месяц назад +2

    Wewe ni mtumishi wa Mungu kabisa ni vile tu umechelewa kuokoka na kuanza kuitangaza Injili kupitia hiki kipawa...Yesu akuguse Mungu aendelee kukuinua wimbo mzuri sana

  • @user-wq7zm9bo6l
    @user-wq7zm9bo6l Месяц назад +3

    Brother kuna uwepo wa Mwenyezi Mungu ndani yako fanya muendelezo wakutupa nyimbo za kiroho🙏

  • @UlomiIsack
    @UlomiIsack Месяц назад +1

    Utunzi mzuri hakika umeona uhalisia wa maisha ya watu na jamii kubwa watu wemekata tamaa. Maisha kizungumkuti

  • @mostyhodari2145
    @mostyhodari2145 Месяц назад

    Ujumbe mkubwa sana bila mapenzi hapo hongera sana kaka.

  • @Amosmsechu
    @Amosmsechu Месяц назад +3

    Daah huu wimbo umenitoa machozi daah utunzi mkubwa sana kka

  • @ministernikolaus
    @ministernikolaus Месяц назад +2

    Nakubali sana huduma yako Brother Peter msecho,nabarikiwa sanaa na MUNGU azidi kukubariki Zaid na Zaidi 🙏🙏🙏

  • @MariaMhomi
    @MariaMhomi Месяц назад +1

    Asant kaka Kwa wimbo mzr wa kutia moyo katika safar tulionayo 🙏🙏🙏🙏god bless you

  • @donaldelias2267
    @donaldelias2267 Месяц назад +1

    Ila msechu ni zaid ya kibonge Duuuuu.kwenye hayo manguo meupe hatari

  • @oscarmamboleo8756
    @oscarmamboleo8756 Месяц назад +2

    Hujawahi kutukosea mashabiki zako Sechu boy. Unajua saana mzee❤🎵🎶

  • @JohnMewa
    @JohnMewa Месяц назад

    Inafundisha sana❤

  • @MwanadiaSaid
    @MwanadiaSaid Месяц назад

    Sasa hii nyimbo gani. usitoe Tena nyimbo. ipo category gana

  • @wandedalushi2984
    @wandedalushi2984 Месяц назад

    Barikiwa sanaaaa

  • @joshuajustustz
    @joshuajustustz Месяц назад

    Nice chorus.... Inspiration song ❤❤❤🎉

  • @laxmajor
    @laxmajor Месяц назад

    ipo siku utashinda zaidy ya hapa mtumishi wamungu 😍🇹🇿💯

  • @arsensiulapwa1478
    @arsensiulapwa1478 Месяц назад

    Baba elimu kubwa sana ipo humu, endelea kutupa nyimbo hizi.. on repeat 🎶

  • @iamissaanthon724
    @iamissaanthon724 Месяц назад

    Hongera sana kaka Steven Godfrey kwa Uandishi Mzuri na pongezi kwa mwimbaji kaka msechu🎉🎉🎉

  • @meleckmchomvu2298
    @meleckmchomvu2298 Месяц назад

    One love brother....... God given u long life uzidi kutupa faraja ya mioyo yetu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @swalehe555
    @swalehe555 Месяц назад

    Huu wimbo umekuja wakat sahihi kwangu, wala cjali mungu yupo haya ni mapito

  • @mwangosikennedy9643
    @mwangosikennedy9643 Месяц назад

    Kaka mm nakubali sana nyimbo zako, una tone ,oja safi ya uimbaji.

  • @user-ec1ib2do7x
    @user-ec1ib2do7x Месяц назад

    Sweet songs ,make encourage for everyone who watch this songs,pia nimemuona ector mmoja namuelewaga sana ,anajua .big up bro

  • @jeromekato7
    @jeromekato7 Месяц назад

    Kaka peter asante sana binafsi nimekua nakufatilia polepole toka Hasira hasara,big up ✊

  • @karoltunduli107
    @karoltunduli107 Месяц назад

    Dope I love the song

  • @VeneroMaxvely
    @VeneroMaxvely Месяц назад +1

    Vp msechu kika siku unazingua nguo zimechanika alafu kichwan umenyoa mnyoo wa elfu 30 video product mmezingua wajii

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc Месяц назад

      Umeelewa maana ya nyimbo? au ndio unaangalia mavazi tu ,bila kujua nyimbo ina maanisha nini! Kwakifupi yupo sahihi kuanzia mavazi mpaka video kulingana na nyimbo yake.

  • @LaukhanPaulo
    @LaukhanPaulo Месяц назад

    Daaa😅!! Amini bro wanadamu tunapitia mengi mjini ila kikubwa kutokukata tamaa

  • @alphantole
    @alphantole Месяц назад

    Amen💯🔥🔥🔥🙏

  • @user-om2kz2nx2c
    @user-om2kz2nx2c Месяц назад +1

    Ninaimani hii itakuwa kali sana

  • @meshackmwady9212
    @meshackmwady9212 Месяц назад

    Kaka unafaa ubakii tu kwenye gospel tunakupenda sanaaa

  • @thomasjohn2554
    @thomasjohn2554 Месяц назад

    Nan kafariki tena😂

  • @christinachawe1665
    @christinachawe1665 Месяц назад

    🔥🔥

  • @mastajabudekula4828
    @mastajabudekula4828 Месяц назад

    Nakubali those are the massage the nation need not those nonsense from diamond,harmonize.🇨🇩🇿🇦🇿🇦

  • @AmosYusuph-cj6gb
    @AmosYusuph-cj6gb Месяц назад

    Wewe ni mwalimu hujawahi kukosea

  • @harifumunir6004
    @harifumunir6004 Месяц назад

    Safi sana kaka hii imenitoa chozi kwakweli 😢😢

  • @OscarMsechu
    @OscarMsechu Месяц назад +1

    Congratulations Peter keep it up 👍

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Месяц назад

    🥰🥰🥰

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 Месяц назад

    Nice song

  • @kenjaboy8070
    @kenjaboy8070 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤🎉

  • @clansylatv1823
    @clansylatv1823 Месяц назад

    Brother unatuchelewesha kwenye gospel music unafaaaaaaaa na nihataaaari

  • @JovinMinja-b9g
    @JovinMinja-b9g Месяц назад

    Wimbo umetulia broo..Hongeraaa

  • @Halisitv
    @Halisitv Месяц назад

    MASKINI MWASITI ONA KILICHOMKUTA ruclips.net/video/2S9UOgk2g2s/видео.htmlsi=XOFsVWRn0HtzFPIa

  • @enockgogy5458
    @enockgogy5458 Месяц назад

    Iko poa sana aidia zuri broo

  • @RobertLuvanda
    @RobertLuvanda Месяц назад

    Kazi nzuri bro🎉

  • @vm_rr
    @vm_rr Месяц назад

    Waiting for a week, am listening to this beautiful song in hard situations 5:18

  • @SalumHassan-ig7jv
    @SalumHassan-ig7jv Месяц назад

    Nasubili pia

  • @samuelshukurani5550
    @samuelshukurani5550 Месяц назад

    One of my best musicians....💪💪💪

  • @juanezpierregiosue485
    @juanezpierregiosue485 Месяц назад

    Hongera sana

  • @user-pk4jp2wu7j
    @user-pk4jp2wu7j Месяц назад

    blessing song

  • @menasmusic9863
    @menasmusic9863 Месяц назад

    it is very good 🎉

  • @herymalundo1716
    @herymalundo1716 Месяц назад

    🔥

  • @user-tf8yg2yl5h
    @user-tf8yg2yl5h Месяц назад

    Congrats..keep it up

  • @more_hundreds_TV
    @more_hundreds_TV Месяц назад

    I love the song...

  • @BenyDaniel
    @BenyDaniel Месяц назад

    Amen amen❤

  • @user-hw7by5fr3p
    @user-hw7by5fr3p Месяц назад

    Congratulations 🎉

  • @Davilas281
    @Davilas281 Месяц назад

    Ameeen brooo

  • @user-xe9bw1ii3p
    @user-xe9bw1ii3p Месяц назад

    Big up brother be blessed

  • @mfalmepharao
    @mfalmepharao Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @Vicentjumamanyalutz
    @Vicentjumamanyalutz Месяц назад

    Blessing

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs Месяц назад

    🎉🎉🎉

  • @sosomokobiasharamgaya3020
    @sosomokobiasharamgaya3020 Месяц назад

    Asante kwa ujumbe mkuu

  • @mpundempunde1722
    @mpundempunde1722 Месяц назад

    Omba omba ila nywele kashevu kwa muster cut mmh hapo umefeli

    • @Amosmsechu
      @Amosmsechu Месяц назад

      Kiongozi umeona hilo tu acheni roho hizoo

  • @winniefridah0411
    @winniefridah0411 Месяц назад

    🔥🔥🔥🔥🔥