Peter Msechu - Kiapo (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • KIAPO (VOW)
    Label: Msechu Entertainment limited (MLH)
    Song writer : Godfrey Steven
    Singer: Peter Msechu
    Composer: The best version records
    Musician: Michel Mzee (Maestro)
    Vocals studio: Enzi records
    Mixing and Mastering: Fredrick Masanja
    Backvocals: Christina Mwendwa, Fredy Lionel
    MASHAIRI
    VERSE 1
    Ndani amani, hamna tafrani
    Tangu nikutane nawe
    Kipenzi cha moyo wangu, ndani mtimani
    Daima mwangani giza sioni
    Mbawa zako zavutia
    Harufu yako inanukia ndani
    Jua liwake mvua inyeshe mimi nawe tukingane
    Geuka kivuli wakati wa jua kalii
    We mtulizo wangu
    Nafsi yangu ibabaikapo, hata kwa majirani wakituona wajifunze
    CHORUS
    Kuachana nawe sahau
    Kuachana nami sahau
    Mimi na wewe tuchanue penzini
    Kuachana nawe sahau
    Kuachana nami sahau
    Kumbuka kiapo kifo kitutenganishe
    Kuachana nawe sahau
    Kuachana nami sahau
    Mimi nawewe tuchanue penzini
    Kuachana nawe sahau kuachana nami sahau
    Rejea kiapo kifo kitutenganishe
    BRIDGE
    Lalalaallaaaaaalaaa
    Kiapo kifo kitutenganishe
    Ahhhhahhhhh
    Kuachana nawe sahau
    Kuachana nami sahau
    Rejea kiapo kifo kitutenganishee

Комментарии • 72

  • @mdl6463
    @mdl6463 4 месяца назад +13

    Itakuwa kali mwonekano tu pamoja Sana Mr p
    Quality video
    Timu nzima iliyosimama kutengezeza video weka like50 twende sambamba

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 4 месяца назад +19

    Nimeshituka nikasema nani katutoka tena

    • @madisonjonathan4112
      @madisonjonathan4112 4 месяца назад +1

      Hahahaha,ukajua ni msiba

    • @Boniphaceshayo5
      @Boniphaceshayo5 4 месяца назад

      @@madisonjonathan4112 hee nikajua tiyar mambo yashaharibika

    • @thomasjohn2554
      @thomasjohn2554 4 месяца назад

      Hahaj

    • @pastorteddywaziri5754
      @pastorteddywaziri5754 4 месяца назад +1

      Umenichekesha😂😂😂.Kwahiyo kaka yeye ni special Kwa ajili ya nyimbo za misiba TU🙆🙆.Wimbo mzuri sana

    • @Boniphaceshayo5
      @Boniphaceshayo5 4 месяца назад

      @@pastorteddywaziri5754 ndo alisha tuzoesha

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 4 месяца назад +3

    Nice stuff,
    Kuna guitar flani hivi humo ndani hatari.
    Inanikumbusha wimbo *Njoo Nyumbani*, humming ziko poa sana👌👌👌

  • @pineapplemelodymaster
    @pineapplemelodymaster 4 месяца назад +8

    Tatizo nyimbo za maombolezo zimekuharibu hata ukiimba mapenzi mtu anaweza kulia anajua unaimba nyimbo ya msiba badili Aina ya mziki Kaka hizi za slow hazina vibe turudi kwenye hasira hasara au relax

    • @jonasjoseph4288
      @jonasjoseph4288 4 месяца назад +1

      😂😂😂😂

    • @allynunda5292
      @allynunda5292 3 месяца назад

      ila kwa video hiii kaka kuwa mkweli jamaa katisha sana mi nimpa bi up sana

    • @allynunda5292
      @allynunda5292 3 месяца назад

      umewajibu vizuri wajinga we sio level yao ndugu yangu❤

  • @fadybeatsPro
    @fadybeatsPro 5 месяцев назад +5

    34 days remain

  • @ascot.reception
    @ascot.reception 3 месяца назад

    Beautiful piece of work...254 salutes you peter

  • @sylvanusmalonja7602
    @sylvanusmalonja7602 4 месяца назад +1

    Msechu Peter Ungeimba Gospel Ungewini Sana Mdg wangu... Chukua ushauri huu utajanikumbuka

  • @mastajabudekula4828
    @mastajabudekula4828 4 месяца назад +2

    Peter musechu naona Mzee video zako Ni Cape town South Africa kabisa 🇨🇩

  • @adenymwatebela5494
    @adenymwatebela5494 4 месяца назад +4

    Unamziki mzuri sana bro mi nakubali sana

    • @nicopaswedy102
      @nicopaswedy102 4 месяца назад +1

      tupo pa1 hili jamaa lina kitu flani

  • @karebo_jr722
    @karebo_jr722 4 месяца назад

    You never dissapoints mr P❤

  • @benedictkarasha1540
    @benedictkarasha1540 4 месяца назад +2

    Bwana MKODOMIII mziki mzuri kabisa hongera sana ss ziwe back to back

  • @kiatu
    @kiatu 3 месяца назад

    Powerful vocals

  • @AllyBaruti-c9m
    @AllyBaruti-c9m 4 месяца назад +3

    Huyu jamaa natundu lisu ndugu

  • @emmanuelybonifase4017
    @emmanuelybonifase4017 2 месяца назад

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @joshuakatumbo3255
    @joshuakatumbo3255 4 месяца назад

    2:07 🎹🔥

  • @kitsaocharo239
    @kitsaocharo239 4 месяца назад

    ❤❤

  • @madisonjonathan4112
    @madisonjonathan4112 4 месяца назад +2

    Aema huyu jamaa huwa namkubali sana sait yake nitofaur kbsa na wasanii wengne na halingi

  • @OblivionDEX
    @OblivionDEX 4 месяца назад +1

    I couldn’t even edge to this, I exploded immediately!!! Clean up on aisle MY PANTS

  • @joycejackson8860
    @joycejackson8860 4 месяца назад +1

    Tuliopo kwenye ndoa tumekubali hii ngoma inaleta uhai ndoa inayolega lega

  • @RafaelKaswahili
    @RafaelKaswahili 4 месяца назад

    Huenda huu wimbo kwasasa unaweza usipokelewa kwa ukubwa kama ulivyo ila ni wimbo utakaoshi mda ote nashauli kaka Msechu temelea Media 🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @upendolembris9906
    @upendolembris9906 4 месяца назад +1

    Nice song. Congratulations Msechu

  • @ignasshayo3484
    @ignasshayo3484 4 месяца назад +1

    What a song, so nice 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @Thadei_kameta5458
    @Thadei_kameta5458 4 месяца назад +2

    Nan kadanji tena jaman

  • @CharlesPalangale
    @CharlesPalangale 3 месяца назад

    Nyimbo yakawaida Sana kaka pongezi nakupa kwenye video tu ila mashaili Hamna ktu

  • @kiluza_Fanani
    @kiluza_Fanani 4 месяца назад

    Mtaalam

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 3 месяца назад

    Kezi nzuri sana ndugu yangu, kabila la mama yangu kg for life

  • @ElizabethMkagila
    @ElizabethMkagila 4 месяца назад +1

    Iko vema sana sana congraturation

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 4 месяца назад

    Mkali sana, wimbo hadhi ya juu kabisa, quality video

  • @thadeimeela6434
    @thadeimeela6434 4 месяца назад

    Nakukubali sna toka bss na kura zangu zilikufikia upo vizur sna tuna jiunza vitu vingi kwako nyimbo nzur video kali.yan baloz wa miundo mbinu ume tisha.

  • @olivazaituni2440
    @olivazaituni2440 4 месяца назад

    Sema Kiapo hakipo romantic ,ila nzuri nyimbo

  • @JosephEmmanuel-eb7gj
    @JosephEmmanuel-eb7gj 4 месяца назад

    Nimependa ila ingekuw ya maombolezo ingependez san

  • @marcoemanuel6892
    @marcoemanuel6892 4 месяца назад +1

    Good

  • @Zulekha-j8g
    @Zulekha-j8g 4 месяца назад

    Kazi nzuriii nakukubaliii nataman kujenga nyumba kama yako siku nikipata hela nitakwambia unitafutie mafundi

  • @Grow.YT.Views.246
    @Grow.YT.Views.246 4 месяца назад

    I'm officially obsessed with this channel now!

  • @JohnStephen-eq5nr
    @JohnStephen-eq5nr 3 месяца назад

    Rafiki, hongera sana, kazi nzuri

  • @carlosmzena548
    @carlosmzena548 4 месяца назад

    Nikasema kiapo amefariki 😅
    Ngoma kali sana kaka

  • @ankochoka
    @ankochoka 4 месяца назад

    KAZI NZURI ANKO PETER

  • @richardkwayson7202
    @richardkwayson7202 4 месяца назад

    Je akikuacha utafanya nini😢😅

  • @PrincessuzzyN
    @PrincessuzzyN 4 месяца назад

    Beautiful song...love it

  • @theglorious8290
    @theglorious8290 4 месяца назад

    Mr Nyimbo za mazishi kaua

  • @thomasjohn2554
    @thomasjohn2554 4 месяца назад

    Nimeshtuka nikasema nan katutoka tena jaman

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss9687 4 месяца назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤❤💯💯💯💯

  • @HaKuNaMaTaTa101eNT
    @HaKuNaMaTaTa101eNT 4 месяца назад

    ✍️🏿💥💥💣

  • @gracegrace2561
    @gracegrace2561 4 месяца назад

    😍😍

  • @Marashi_Tz
    @Marashi_Tz 4 месяца назад

  • @selemandaniel6179
    @selemandaniel6179 4 месяца назад

    Umetisha sana

  • @kalundehassan9121
    @kalundehassan9121 4 месяца назад

    ❤❤❤Nice song 🎵 👌

  • @lgdnce8309
    @lgdnce8309 4 месяца назад

    Wauuu

  • @greymuclass8217
    @greymuclass8217 4 месяца назад

    #Fundi.

  • @ZawadiElieza
    @ZawadiElieza 4 месяца назад

    Very nc

  • @carohnaf02
    @carohnaf02 4 месяца назад

    Siii amenonaa

  • @thomasteejay5308
    @thomasteejay5308 4 месяца назад

    Mombasa ❤