Peter Msechu - Ya Dhati (Offical Video)
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- Wimbo huu "YA DHATI" ni wimbo unaozungumzia kuhusu mahusiano ya watu wawili yanayostawi kila siku ingawa kuna dhoruba na upepo mkali ila kinachowaweka pamoja ni mapenzi ya ukweli yatokayo moyoni.
YA DHATI Song is all about true love. It describes the people who are committed and are deeply in love and can never be separated till death do them apart.
Umerudi vizuri sana . Ukiimba uwa unatisha sana Peter Msechu. Fanya wimbo mwingine na Kidumu ao Amin chemistry yenu Noma
Msechu huwezi kutoa ngoma bila kutaja mambo ya vifo, 😂😂😂😂 'HADI UMAUTI', 'KUFA NA KUZIKANA'.
Enewei, ngoma imetulia👍👍✅️✅️
Kwasababu ni kitu lazima kitokeee
Sema we mbwa unaimba 😂🙌🏼bongo star search hawakufeli kwako kwa bella kombo, walter chilambo, na saraphina umeua mpaka umeua tena kaka msechu kwa mbali namsikia KIDUMU ungemshirikisha Kidumu ingebamba sana❤❤
Sasa unakaaga hivyo muda mrefu ndio nini...nyimbo zako nzuri...unatuponya wengine ukiimba...usiache kuimba tuendelee kuponyeka..Asante sana Msechu..you have everything it takes to give us good music..Mungu akubariki sana
Video ya kwa Mandela hii.sea point,moullipoint, Cam's bay, Clifton and bentry bay🇨🇩🇨🇩🇿🇦
Hongera sana Msanii mkubwa unaeimba bila kutaja tusi lolote mpaka wimbo unaisha
Fact👏🏻👏🏻👏🏻😊
Kali na nusu,kama unapenda mziki muzuri gonga like
Congrats, brother. That song with your ideal twin (Super Kibonge) is really beautiful :)
Mashairi mazuri but music production very low quality 😢
Leo sio nyimbo ya msiba 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Msechu lazima aweke kionjo cha msiba tu mfano lala lalalaa
😂😂😂😂😂😂
"Hadi umauti"
😀😀😀
Vibonge uwa na sauti nzuri sana. .. kama unakubaliana na Mimi gonga like tusonge.....
Bonge la wimbo msechu namkubali Toka bongo starsuch😊
We unaesem production low quality embu tupe kaz zako
Unajua kuimba ila kiukweli ukiimba gospel itakuwa 🔥 sana, hongera
very beautiful songs, respect to you brother
Nimekuwa nikikusikia tangu utoto.....ila hii ngoma hii auncle umetisha mana ngomazako zote mafunzo niwaziwazi hakuna matusi wala kejeli
Hivi puto ndo linaongeza unene au kupunguza😢
ruclips.net/video/BTv1mw2YyOU/видео.htmlsi=SbWTDsz_kLcAWTS8
MSECHU KAZI NZURIIIIIII DAH UMETISHA
Nataka kuona Alivyochanika yule Msechu Mzungu 😂😂
Acha unafiki😂
Is this the same musechu from tusker project fame😂😂😂😂why the fatness 😢😢😢
kaka ukimalizana na hii muangalie yule aliye kusema vibaya mpigie moja ya msiba 😂
Hujawahi kosea wajina, shabiki yako milele hadi umauti nipo hapa
Baada ya kusemwa unaimba za misiba tu Sasa umejibu na Kazi nzuri sana
Teacher 🔥🔥🔥🔥
Kwa sie Wagonjwa wa muziki lazima tukubali hii kazi , vitu vinatembea tu smoothly
❤
Music✅
Melody✅
Theme✅
#Legendisalegend
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Kalibia mara ya 20 narudia nyimbonhiii i love the song
Goma limetulia. Natamani ufanye collabo na Kidumu. Fanya remix ya Ngoma hii na Kidumu wa Kenya. Nataka ile ladha ya yenu.
Kidumu ni M’Burundi yule
Wakongwe na mzikiwao jamani alafu vile mapenzi ya zama yalivokua yakweli walai❤❤❤❤
Mimi penda sanaaaa, hiiii inaendaa
Kuna mbuge kafariki jana bungeni😂😂😂 kijana atakua studio😊😊 kupika
Big up brother Msechu. Kipaji unacho
very beautiful songs, respect to you brother
Ngoma safi sana bro Msechu💪👏🎧👍
Rhumba kama rhumba...msechu kama msechu
very beautiful songs, respect to you brother
🔥 🔥
rumba tamu sana my brother na KOMPA kwa mbali tamu sana kaka wa BSSS
✍️🏿💥💥💣
2:06.....
🥰🥰🥰
🔥🔥🔥
😂😂❤
🔥🔥
👑
👍💯
Duuuh
Ebhana eeh! 😅 Nikajua Kuna Msiba tena 😂
Ngoma inakonga moyo kwel kwel
Ndg yangu Msechu uko poa sana ktk uimbaji. Nahitaji contact yako maana nilipoteza.
Mashaallah nyimbo kali sana
what a good song
Sweet melody
Fire more fire
beautiful❤
Sio ya musiba kumbe, hata sio nzuri .
😂
Kwa kweli mm sio mpenzi wa bongoflavour kwa sababu ya matusi na kutokuwa na uhalisia ila kwa hii ngoma big up sana brother, hata simu yangu imeshangaa nyimbo kupigwa😂
Uimbaji wa msechu na kidumu nkija uweza
well done chief, hongera sana mkuu hii nyimbo unaweza uka-abudu nayo kama hujui kiswahili ,,
Wimbo utakaodumu vizazi na vizazi
Ngoma kari sana
Fundi
Ni nani alisema et, Msechu anaimba nyimbo za maombolezo tu, kitu hicho hapo sasa wimbo umetulia kinomaa
Doh
Saw
Talented Mr Msechu...nyimbo iko bomba,unajua na unajua tena❤🎉🎉🎉
Kaka sauti yako unapendeza Sana tena Sana kwenye gospel hebu jikite na kule uone au wakushirikishe kwenye nyimbo moja ya gospel
leka dutigite ya dhati
Msechu mtu wa kipekee tofauti na wasanii wa kihuni ni hodari na Mungu ambariki zaid
Nice stuff,
The real music, Very different music from what we are hearing from others
HII NI COMMENT KUTOKA KWA MWALIMU WANGU NA ALIYENIFUNDISHA MZIKI. AHSANTE SANA KAKA NOEL SITOKUSAHAU
NYIMBO KALI SANA
Ukiskia mziki mzr ndo huu sasa.kaka hii umeua sana vitu kama hivi tunavihitaj tena na tena kaka tunamiss masong makal kama haya.good music for life🙌
@@petermsechu
Pamoja sana mdogo wangu, endelea kufanya muziki mzuri, muziki mzuri ni dawa, good music for life
hamna mosiba tena AMEM
Fanya inspiration songs 🎵 kaka 🎉
I like this ❤❤❤❤
Brother wewe ni mfano wa mziki mzuri siyo lazima uimbe matusi ur the best toka nakufahamu broooo
Bro we missed this vocal for a long time
Bonge la nyimbo kaka
Nilijua nimeona yote kumbe Kuna Chama Cha mabonge duniani😂😂😂😅😅😅 hiii yaani hapo umeweka puto au Bado??😢😢😢😢
Peter huyo jamaa umemtoa wapi mbona kama wewe umekua mwembamba baada ya mm kumuona huyo kibongeee😂😂😂
Hii nyimbo ni nzuri sana hasa hapo kweny saund ya kompaa umeua brother
Break kidogo misibaa maana katoa goma haombei kifo apate mchongo😂😂jokes
Huyu jamaa alikua anafaa awe anatupigia vitu kama za akina Lewis capaldi kwa vocal yake
Una uweza mziki Kaka ngoma zamapenz Kaka unaziweza sauti yako dhaabu
Huna BAYA MKODOMI WANGU mziki mzuri sana 💪💪
Oooh mabonge wakibebishana hawapendezi oneni Sasa,🤣🤣
Msechu bonge mwimbaji hii kal sana honger San kaka
Mnaosema msechu ni bonge haya sasa Kawaletea bonge kuliko yeye
You remind me of BSS,kazi nzuri msechu🎉
Nyimbo kali bro Msechu ..familia moja toka enzi records
❤❤❤🎉
Nyimbo Kali ila tumboo
Bwana msechu inabidi afanye kima darasa la prof mohammad janabi maana huo mwili hapana
Mwamba anajua sana hii ndo hua naiitaa kua mkimya kwa muda mrefu majibu yake ndo haya songs tamu sana
Msechu naona Kama mitaa ya Cape town Hapo south Africa 😎🇿🇦
Jiwe pekee juu ya MWAMBA. safi sana kiongozi.
Nimeshtuka nilipoona notification msechu nikajua kuna kiongoz kafa tena
😂😂😂😂
@@Thekidp3702 C ndio😂
Wimbo huu nusikiliza kila mara uko vizur hongera Msechu
Nyimbo nzuri