Peter Msechu - Ya Dhati (Offical Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Wimbo huu "YA DHATI" ni wimbo unaozungumzia kuhusu mahusiano ya watu wawili yanayostawi kila siku ingawa kuna dhoruba na upepo mkali ila kinachowaweka pamoja ni mapenzi ya ukweli yatokayo moyoni.
    YA DHATI Song is all about true love. It describes the people who are committed and are deeply in love and can never be separated till death do them apart.

Комментарии • 239

  • @12345678938129
    @12345678938129 5 месяцев назад +15

    Umerudi vizuri sana . Ukiimba uwa unatisha sana Peter Msechu. Fanya wimbo mwingine na Kidumu ao Amin chemistry yenu Noma

  • @dismasjshio4953
    @dismasjshio4953 5 месяцев назад +20

    Msechu huwezi kutoa ngoma bila kutaja mambo ya vifo, 😂😂😂😂 'HADI UMAUTI', 'KUFA NA KUZIKANA'.
    Enewei, ngoma imetulia👍👍✅️✅️

  • @Tedykatale
    @Tedykatale 5 месяцев назад +7

    Sema we mbwa unaimba 😂🙌🏼bongo star search hawakufeli kwako kwa bella kombo, walter chilambo, na saraphina umeua mpaka umeua tena kaka msechu kwa mbali namsikia KIDUMU ungemshirikisha Kidumu ingebamba sana❤❤

  • @sashawambura
    @sashawambura 5 месяцев назад +2

    Sasa unakaaga hivyo muda mrefu ndio nini...nyimbo zako nzuri...unatuponya wengine ukiimba...usiache kuimba tuendelee kuponyeka..Asante sana Msechu..you have everything it takes to give us good music..Mungu akubariki sana

  • @mastajabudekula4828
    @mastajabudekula4828 5 месяцев назад

    Video ya kwa Mandela hii.sea point,moullipoint, Cam's bay, Clifton and bentry bay🇨🇩🇨🇩🇿🇦

  • @sebastianmtisi9490
    @sebastianmtisi9490 5 месяцев назад +8

    Hongera sana Msanii mkubwa unaeimba bila kutaja tusi lolote mpaka wimbo unaisha

  • @swala_master
    @swala_master 5 месяцев назад +40

    Kali na nusu,kama unapenda mziki muzuri gonga like

  • @Razack4D
    @Razack4D 5 месяцев назад +4

    Congrats, brother. That song with your ideal twin (Super Kibonge) is really beautiful :)

  • @bernardirondo5443
    @bernardirondo5443 5 месяцев назад

    Mashairi mazuri but music production very low quality 😢

  • @calvintheone299
    @calvintheone299 5 месяцев назад +11

    Leo sio nyimbo ya msiba 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @gka9147
    @gka9147 5 месяцев назад +17

    Msechu lazima aweke kionjo cha msiba tu mfano lala lalalaa

  • @Alfredmusa24
    @Alfredmusa24 5 месяцев назад +28

    Vibonge uwa na sauti nzuri sana. .. kama unakubaliana na Mimi gonga like tusonge.....

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 5 месяцев назад +2

    Bonge la wimbo msechu namkubali Toka bongo starsuch😊

  • @MohamedHamisi-n1z
    @MohamedHamisi-n1z 5 месяцев назад

    We unaesem production low quality embu tupe kaz zako

  • @lindabana8191
    @lindabana8191 5 месяцев назад +4

    Unajua kuimba ila kiukweli ukiimba gospel itakuwa 🔥 sana, hongera

  • @Omary-pp7ke
    @Omary-pp7ke 5 месяцев назад +8

    very beautiful songs, respect to you brother

  • @jmedia9631
    @jmedia9631 5 месяцев назад +2

    Nimekuwa nikikusikia tangu utoto.....ila hii ngoma hii auncle umetisha mana ngomazako zote mafunzo niwaziwazi hakuna matusi wala kejeli

  • @kagomajmbaraka220
    @kagomajmbaraka220 5 месяцев назад +3

    Hivi puto ndo linaongeza unene au kupunguza😢

  • @BellonTiger
    @BellonTiger 5 месяцев назад

    ruclips.net/video/BTv1mw2YyOU/видео.htmlsi=SbWTDsz_kLcAWTS8
    MSECHU KAZI NZURIIIIIII DAH UMETISHA

  • @harifumunir6004
    @harifumunir6004 5 месяцев назад +6

    Nataka kuona Alivyochanika yule Msechu Mzungu 😂😂

  • @vanierdesludge7156
    @vanierdesludge7156 5 месяцев назад

    Is this the same musechu from tusker project fame😂😂😂😂why the fatness 😢😢😢

  • @Amiboy425
    @Amiboy425 5 месяцев назад +2

    kaka ukimalizana na hii muangalie yule aliye kusema vibaya mpigie moja ya msiba 😂

  • @peterchimbwanda1706
    @peterchimbwanda1706 5 месяцев назад +1

    Hujawahi kosea wajina, shabiki yako milele hadi umauti nipo hapa

  • @raymondtv5479
    @raymondtv5479 5 месяцев назад +2

    Baada ya kusemwa unaimba za misiba tu Sasa umejibu na Kazi nzuri sana

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 5 месяцев назад

    Teacher 🔥🔥🔥🔥

  • @charleschito6341
    @charleschito6341 5 месяцев назад +1

    Kwa sie Wagonjwa wa muziki lazima tukubali hii kazi , vitu vinatembea tu smoothly

  • @yustomakangula2361
    @yustomakangula2361 5 месяцев назад +3

  • @vintage107
    @vintage107 3 месяца назад

    Music✅
    Melody✅
    Theme✅
    #Legendisalegend

  • @arabgandaempire
    @arabgandaempire 5 месяцев назад +1

    *Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*

  • @somowamasomo7768
    @somowamasomo7768 5 месяцев назад

    Kalibia mara ya 20 narudia nyimbonhiii i love the song

  • @ranman4910
    @ranman4910 5 месяцев назад +2

    Goma limetulia. Natamani ufanye collabo na Kidumu. Fanya remix ya Ngoma hii na Kidumu wa Kenya. Nataka ile ladha ya yenu.

  • @augustfive5279
    @augustfive5279 5 месяцев назад +1

    Wakongwe na mzikiwao jamani alafu vile mapenzi ya zama yalivokua yakweli walai❤❤❤❤

  • @KalalaErick-n7d
    @KalalaErick-n7d 5 месяцев назад +3

    Mimi penda sanaaaa, hiiii inaendaa

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 5 месяцев назад

    Kuna mbuge kafariki jana bungeni😂😂😂 kijana atakua studio😊😊 kupika

  • @MsetuNaidye
    @MsetuNaidye 5 месяцев назад +1

    Big up brother Msechu. Kipaji unacho

  • @Omary-pp7ke
    @Omary-pp7ke 5 месяцев назад +1

    very beautiful songs, respect to you brother

  • @adenymwatebela5494
    @adenymwatebela5494 5 месяцев назад +2

    Ngoma safi sana bro Msechu💪👏🎧👍

  • @gilbertbaya1546
    @gilbertbaya1546 5 месяцев назад +2

    Rhumba kama rhumba...msechu kama msechu

  • @Omary-pp7ke
    @Omary-pp7ke 5 месяцев назад +1

    very beautiful songs, respect to you brother

  • @catherinemukami4190
    @catherinemukami4190 2 месяца назад

    🔥 🔥

  • @givenjames7760
    @givenjames7760 5 месяцев назад +1

    rumba tamu sana my brother na KOMPA kwa mbali tamu sana kaka wa BSSS

  • @HaKuNaMaTaTa101eNT
    @HaKuNaMaTaTa101eNT 5 месяцев назад

    ✍️🏿💥💥💣

  • @Amiboy425
    @Amiboy425 5 месяцев назад

    2:06.....

  • @NuruNamonje-tb4zj
    @NuruNamonje-tb4zj 5 месяцев назад

    🥰🥰🥰

  • @brunodemarx9198
    @brunodemarx9198 5 месяцев назад

    🔥🔥🔥

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 5 месяцев назад

    😂😂❤

  • @sevarinijrchitandachitanda138
    @sevarinijrchitandachitanda138 5 месяцев назад

    🔥🔥

  • @nestorygwanko4013
    @nestorygwanko4013 5 месяцев назад

    👑

  • @eliezerkanju6368
    @eliezerkanju6368 5 месяцев назад

    👍💯

  • @sedekiakiza
    @sedekiakiza 5 месяцев назад

    Duuuh

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 5 месяцев назад +1

    Ebhana eeh! 😅 Nikajua Kuna Msiba tena 😂

  • @Fabian-i2h
    @Fabian-i2h 5 месяцев назад +2

    Ngoma inakonga moyo kwel kwel

  • @nashonmalisa8939
    @nashonmalisa8939 5 месяцев назад

    Ndg yangu Msechu uko poa sana ktk uimbaji. Nahitaji contact yako maana nilipoteza.

  • @zongomtonga8506
    @zongomtonga8506 5 месяцев назад +2

    Mashaallah nyimbo kali sana

  • @manyukam.kapaya6804
    @manyukam.kapaya6804 5 месяцев назад

    what a good song

  • @monicakayombo4770
    @monicakayombo4770 5 месяцев назад

    Sweet melody

  • @johnraymond3601
    @johnraymond3601 5 месяцев назад

    Fire more fire

  • @parkaza1676
    @parkaza1676 5 месяцев назад

    beautiful❤

  • @wawesttv
    @wawesttv 5 месяцев назад +2

    Sio ya musiba kumbe, hata sio nzuri .

  • @claurianngowi7933
    @claurianngowi7933 5 месяцев назад

    Kwa kweli mm sio mpenzi wa bongoflavour kwa sababu ya matusi na kutokuwa na uhalisia ila kwa hii ngoma big up sana brother, hata simu yangu imeshangaa nyimbo kupigwa😂

  • @kwangahudispensary7238
    @kwangahudispensary7238 5 месяцев назад +1

    Uimbaji wa msechu na kidumu nkija uweza

  • @herrwin.
    @herrwin. 5 месяцев назад

    well done chief, hongera sana mkuu hii nyimbo unaweza uka-abudu nayo kama hujui kiswahili ,,

  • @jacksonngutto7104
    @jacksonngutto7104 5 месяцев назад

    Wimbo utakaodumu vizazi na vizazi

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 5 месяцев назад +1

    Ngoma kari sana

  • @SadikiMalungula
    @SadikiMalungula 2 месяца назад

    Fundi

  • @alfreddaud-lb7kv
    @alfreddaud-lb7kv 5 месяцев назад

    Ni nani alisema et, Msechu anaimba nyimbo za maombolezo tu, kitu hicho hapo sasa wimbo umetulia kinomaa

  • @suleimanali5677
    @suleimanali5677 5 месяцев назад

    Doh

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 5 месяцев назад

    Saw

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 5 месяцев назад

    Talented Mr Msechu...nyimbo iko bomba,unajua na unajua tena❤🎉🎉🎉

  • @Aisha-qd2rg
    @Aisha-qd2rg 5 месяцев назад

    Kaka sauti yako unapendeza Sana tena Sana kwenye gospel hebu jikite na kule uone au wakushirikishe kwenye nyimbo moja ya gospel

  • @Benson_24
    @Benson_24 5 месяцев назад

    leka dutigite ya dhati

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 5 месяцев назад

    Msechu mtu wa kipekee tofauti na wasanii wa kihuni ni hodari na Mungu ambariki zaid

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 5 месяцев назад +2

    Nice stuff,
    The real music, Very different music from what we are hearing from others

    • @petermsechu
      @petermsechu  5 месяцев назад +3

      HII NI COMMENT KUTOKA KWA MWALIMU WANGU NA ALIYENIFUNDISHA MZIKI. AHSANTE SANA KAKA NOEL SITOKUSAHAU

    • @AdolfMalamsha-jn9ki
      @AdolfMalamsha-jn9ki 5 месяцев назад +1

      NYIMBO KALI SANA

    • @saidkassim7151
      @saidkassim7151 5 месяцев назад +1

      Ukiskia mziki mzr ndo huu sasa.kaka hii umeua sana vitu kama hivi tunavihitaj tena na tena kaka tunamiss masong makal kama haya.good music for life🙌

    • @noelmarapachi1808
      @noelmarapachi1808 5 месяцев назад

      @@petermsechu
      Pamoja sana mdogo wangu, endelea kufanya muziki mzuri, muziki mzuri ni dawa, good music for life

  • @paulshayo541
    @paulshayo541 5 месяцев назад +2

    hamna mosiba tena AMEM

  • @EmmanuelKabote-gj9sy
    @EmmanuelKabote-gj9sy 5 месяцев назад +1

    Fanya inspiration songs 🎵 kaka 🎉

  • @nathangeor
    @nathangeor 5 месяцев назад

    I like this ❤❤❤❤

  • @yusuphmukama9958
    @yusuphmukama9958 5 месяцев назад

    Brother wewe ni mfano wa mziki mzuri siyo lazima uimbe matusi ur the best toka nakufahamu broooo

  • @pcmofficialtz
    @pcmofficialtz 5 месяцев назад +1

    Bro we missed this vocal for a long time

  • @MustafaErnest-gt1tt
    @MustafaErnest-gt1tt 5 месяцев назад +1

    Bonge la nyimbo kaka

  • @visionman8277
    @visionman8277 5 месяцев назад

    Nilijua nimeona yote kumbe Kuna Chama Cha mabonge duniani😂😂😂😅😅😅 hiii yaani hapo umeweka puto au Bado??😢😢😢😢

  • @kingofdecember
    @kingofdecember 5 месяцев назад

    Peter huyo jamaa umemtoa wapi mbona kama wewe umekua mwembamba baada ya mm kumuona huyo kibongeee😂😂😂

  • @hassanguzo8026
    @hassanguzo8026 5 месяцев назад

    Hii nyimbo ni nzuri sana hasa hapo kweny saund ya kompaa umeua brother

  • @Davidmarcus-b8g
    @Davidmarcus-b8g 5 месяцев назад

    Break kidogo misibaa maana katoa goma haombei kifo apate mchongo😂😂jokes

  • @khikaboy7954
    @khikaboy7954 5 месяцев назад

    Huyu jamaa alikua anafaa awe anatupigia vitu kama za akina Lewis capaldi kwa vocal yake

  • @KloveOGOG
    @KloveOGOG 5 месяцев назад

    Una uweza mziki Kaka ngoma zamapenz Kaka unaziweza sauti yako dhaabu

  • @benedictkarasha1540
    @benedictkarasha1540 5 месяцев назад

    Huna BAYA MKODOMI WANGU mziki mzuri sana 💪💪

  • @fedayaelias4974
    @fedayaelias4974 5 месяцев назад

    Oooh mabonge wakibebishana hawapendezi oneni Sasa,🤣🤣

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim5081 5 месяцев назад

    Msechu bonge mwimbaji hii kal sana honger San kaka

  • @rodgerushindi85
    @rodgerushindi85 5 месяцев назад

    Mnaosema msechu ni bonge haya sasa Kawaletea bonge kuliko yeye

  • @mwanguohermanmwasoko3954
    @mwanguohermanmwasoko3954 5 месяцев назад

    You remind me of BSS,kazi nzuri msechu🎉

  • @sasquaremusic3140
    @sasquaremusic3140 5 месяцев назад

    Nyimbo kali bro Msechu ..familia moja toka enzi records

  • @LaurenciaKulwa
    @LaurenciaKulwa 5 месяцев назад +1

    ❤❤❤🎉

  • @DaudAshery-ie2pf
    @DaudAshery-ie2pf 5 месяцев назад +1

    Nyimbo Kali ila tumboo

  • @MohammadAlly-k6e
    @MohammadAlly-k6e 5 месяцев назад

    Bwana msechu inabidi afanye kima darasa la prof mohammad janabi maana huo mwili hapana

  • @DFire-ii8nb
    @DFire-ii8nb 5 месяцев назад

    Mwamba anajua sana hii ndo hua naiitaa kua mkimya kwa muda mrefu majibu yake ndo haya songs tamu sana

  • @Jurbeg
    @Jurbeg 5 месяцев назад

    Msechu naona Kama mitaa ya Cape town Hapo south Africa 😎🇿🇦

  • @Boyfromtanzania
    @Boyfromtanzania 5 месяцев назад

    Jiwe pekee juu ya MWAMBA. safi sana kiongozi.

  • @jose_willy79
    @jose_willy79 5 месяцев назад +4

    Nimeshtuka nilipoona notification msechu nikajua kuna kiongoz kafa tena

    • @Thekidp3702
      @Thekidp3702 5 месяцев назад +1

      😂😂😂😂

    • @jose_willy79
      @jose_willy79 5 месяцев назад

      @@Thekidp3702 C ndio😂

  • @janethmalema6900
    @janethmalema6900 5 месяцев назад

    Wimbo huu nusikiliza kila mara uko vizur hongera Msechu

  • @salmonmkanula3718
    @salmonmkanula3718 5 месяцев назад +1

    Nyimbo nzuri