Goodluck Gozbert - Usinipite (Official Video) SMS SKIZA 6983633 TO 811

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 711

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864 7 дней назад +187

    Wangapi tumekuja kuchekii hii video baada ya mtumishi Goodluck kuachana na maagano potofu,nakuchoma gali yao,nipeni likes zenu

  • @faidhabaraza6900
    @faidhabaraza6900 6 дней назад +27

    Walio angalia zaidi ya mara mbili gonga like hapa❤❤❤

  • @faidhabaraza6900
    @faidhabaraza6900 6 дней назад +46

    Am ex Muslim now nipo kwa YESU KRISTO full raha

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 6 дней назад +1

      🙏🙏🙏

    • @agnesmartin5716
      @agnesmartin5716 5 дней назад +1

      Karibu sana mtumish

    • @witnessIzack
      @witnessIzack 5 дней назад +1

      Mungu akubariki sana akusaidie mpaka hatma ya maisha yako wewe ni mbarikiwaaa

    • @faidhabaraza6900
      @faidhabaraza6900 4 дня назад

      @@witnessIzack Asante sana

    • @faidhabaraza6900
      @faidhabaraza6900 4 дня назад

      @@agnesmartin5716 Asante sana

  • @MNOMA255
    @MNOMA255 6 дней назад +19

    nisamee sikujua kama unanyimbo tamu sana

    • @RebeccaMuhimba-m7w
      @RebeccaMuhimba-m7w День назад +2

      Hii ni baada ya kuchoma gari unajuwa mimi nilikuwa siijui

  • @ROGERKANGEREZA
    @ROGERKANGEREZA 6 дней назад +24

    Wa mwisho kucomment, msinipite na mm, congrats you made my day goodluck

  • @SARIFUSTEVEN
    @SARIFUSTEVEN День назад +2

    Ndio Mara yakwanza kuangalia video Kama Mimi like hapa

  • @salomekilavi6421
    @salomekilavi6421 3 дня назад +6

    Bro mungu atapigana na watezi wako na maandui wato watajikwaa na kuanguka vita si yetu bali tukona shujaa mwenye kupigana vita zote naye ni yesu

  • @MichelleAkwange
    @MichelleAkwange 4 дня назад +6

    Mungu hakusaidie akii kwa hali ngumu ulio nayao mungu tunakujuwa wewe ndo mungu wetu ulie hai please remember goodluck my father 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @RachelJacob-ym3qc
    @RachelJacob-ym3qc 2 дня назад +1

    Bwana Yesu awe mtetezi wako kwa kipindi hiki kigumu unatumia mtumishi mwenzangu njia ya kweli ni yeye pekee hivyo hata kuacha. Ameruhusu majaribu yatupa lakini hayawezi kudumu majaribu haya budi kuja ila ole wake anayesabisha.

  • @sarahmtindo2373
    @sarahmtindo2373 2 дня назад +1

    Utukufu kwa Yesu haleluya 😭😭😭😭

  • @WitnessAkyoo
    @WitnessAkyoo 22 часа назад +2

    My Broo I really appreciate you and God will do it just endure on every circumstance🤗🤗

  • @mhangwasonda3338
    @mhangwasonda3338 6 дней назад +13

    Godluck ubalikiwe saana ktk mahojiano uliyoyafanya Kuna vingi nimejifunza na umenifunza, nashukuru saana 🤔🤔

  • @AbeliSanga-kt5uj
    @AbeliSanga-kt5uj 6 дней назад +7

    Kama ni kunibariki Kama ni kuniinua usinipite bwanaa 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @anicia9155
    @anicia9155 6 дней назад +5

    Tunakupenda San good luck na MUNGU wa mbinguni azidi kukuinua viwango vya juu

  • @Nobe-f9j
    @Nobe-f9j 6 дней назад +7

    Mm hii nyimbo nilikua na isikia tu kumbe ya Golduck daaah kweli:::::!!!!!

  • @ProfitonlyIQ
    @ProfitonlyIQ 6 дней назад +23

    Yaani saivi hii nyimbo nayo nimeisikiliza na nmeipenda ila mwanzoni sikuwa ata na hamu nayo ,kitu kikubwa sana Umefanya kwenye ulimwengu wa kiroho kuchoma gari na kukataa mtu achukue utukufu badala ya Mungu hakika Masikio ya mashabiki yameanza kufunguka

    • @Jafarani-r6g
      @Jafarani-r6g 6 дней назад +1

      Kweli namin uyu mtu alifungwa kwal manabii awa ni vichaw tu

    • @daynessmwacha33
      @daynessmwacha33 5 дней назад

      Mungu wetu ni mwema sana.
      ni mwem

    • @jabirilitinji7894
      @jabirilitinji7894 3 дня назад

      Mungu wete ni mwema San kalibu uisilamu brother 🤝

  • @jacklinejb
    @jacklinejb 5 дней назад +4

    Kiukweli hata sikujuaga kama unanyimbo kali hiv aliekutolea hilo giza na abarikiwe zaidi maana lilitanda kila mahali asee

  • @devothaignatius5256
    @devothaignatius5256 3 дня назад +1

    Eeeh Kumbe una ngoma kali hivi??? Jmn nimeogopa sana Mungu namm nikumbuke 😭😭😭😭😭😭😭 Giza liondoke kwenye maisha yako

  • @isayamwanjoka3958
    @isayamwanjoka3958 7 дней назад +8

    Sasa Mungu ameshafungua njia yako ukiniona mim nimekuja ujue umeshatengana na ushetani.....Acha tamaa pambana na tafuta utakatifu kila wakati.

  • @FelisterEnock
    @FelisterEnock 4 месяца назад +26

    Nimeshindwa kujizuia kulia moyon nimesikiliza zaid ya mara 10 eeMungu Wang muumbaji usimpite kila anae soma huu ujumbe umasiki na dhiki vimuepuke kwajina lako lenye mamlaka nikiomba nakuamini amen

  • @JoakimShayo
    @JoakimShayo 16 часов назад +1

    Jamani kipawa haki fichiki huyu mwamba anajuwa kuimba pamoko sana

  • @EvahManoti
    @EvahManoti 8 месяцев назад +16

    Huu wimb ulkuw unafaa uwe na views kwanzia one million ameen

    • @AnjellaWilliam
      @AnjellaWilliam Месяц назад +2

      Hata 10 million kwakweli na ndo shetwani hataki ila Bwana Yesu ana makusudi yake

  • @frankmbaga6114
    @frankmbaga6114 6 дней назад +3

    Baada ya kuangalia interview yako nimejifunza mengi na kutambua mengi. Be blessed Man of God.

  • @YasisterMahawanga
    @YasisterMahawanga 14 часов назад +1

    Namkubal sana mwamba nakubar unaweza

  • @NeemaMakogoto
    @NeemaMakogoto День назад +1

    Huu wimbo umenimbia kaka maana wakati ninaopitia kwa sasa😢😢😢

  • @elywinnermasele1317
    @elywinnermasele1317 20 часов назад +1

    Utukufu kwa Yesu

  • @BlessingjrJahnson
    @BlessingjrJahnson 6 дней назад +4

    Mungu naomba fungua milango yangu juu ya huu mwaka 2025 usinipite nahitaji muujiza wakoo Amen 🙏🙏🙏

  • @SARIFUSTEVEN
    @SARIFUSTEVEN День назад +1

    Barikiwa Sana mtumishi

  • @RafaelMolel-e9i
    @RafaelMolel-e9i 4 дня назад +1

    Amina ❤❤❤❤ mungu haez kukipita mtumishi wa mungu ubarikiwe sana❤❤❤❤❤

  • @JOYCEFISSOO
    @JOYCEFISSOO 6 дней назад +4

    Bass sasa Mungu na ukashinde juu yetu

  • @Danny254
    @Danny254 9 месяцев назад +173

    Sijui kama mimi ndio wa kwanza kutoka 254🇰🇪 likes zkuje kwa wingi..Msinipite juu najua Mungu hatotupita.🙏

  • @BenjaNetanyahu
    @BenjaNetanyahu 6 дней назад +3

    Umefanya jema sana kuchoma lile lishetani,, maana ndilo, lilokufanya YESU akupite.

  • @AmusedFencing-mj9wx
    @AmusedFencing-mj9wx 4 дня назад +1

    ❤❤❤❤❤❤niko huyu jamaa nampenda sana juu ako na wito wa mungu ndani yake aki

  • @tabithahoha6195
    @tabithahoha6195 9 месяцев назад +67

    Kam hujawahi pitia magumu huwezi elewa maana ya Usinipite... Mungu akubariki sanaa

    • @zach4068-c9e
      @zach4068-c9e 9 месяцев назад

      Kwa kweli

    • @annawilson3324
      @annawilson3324 6 месяцев назад

      You have touch my soul...God bless you.

    • @EddybeibKerry-nd6gt
      @EddybeibKerry-nd6gt 6 месяцев назад

      Kweli kabisa

    • @BmEdgewood
      @BmEdgewood 2 месяца назад

      Wimbo unafariji mno kwakweli .mungu azidi kukutumia kijana wa yesu dah! 3:11

  • @byaombeomary7996
    @byaombeomary7996 15 часов назад +1

    Baraka za bwana wa mbinguni zizidi kuonekane katika maisha yako

  • @ErastoSaimoni-c5u
    @ErastoSaimoni-c5u 5 дней назад +2

    Hakika katika Wimbo huu utukufu wa mungu upo, hogera San kaka kwa maamuzi magumu hatimae ukombozi umeupata,

  • @RebeccaMuhimba-m7w
    @RebeccaMuhimba-m7w День назад +1

    Ila tuache unafiki glodluck baada yakuchoma gari nyota imeng'aa bhana ❤❤❤goodluck forever in my heart

  • @JadanHaruna
    @JadanHaruna 5 дней назад +4

    Wangap 2mekuja kuchek kazi zake huyu mwamba baada yakuchoma gari

  • @Amani-kr9ln
    @Amani-kr9ln 9 месяцев назад +83

    tulio rudia zaidi ya mara mbili kusikiliza hu wimbo tujuane hapa kwa like bc❤❤❤

    • @FelisterEnock
      @FelisterEnock 4 месяца назад

      Zaid ya mara 10 naliatu usinipite my dear God 🙏🙏

    • @mussaYohana-w9x
      @mussaYohana-w9x 4 месяца назад

      Unpo pita unapo gusa wengine nami nione ❤❤ sana

    • @mussaYohana-w9x
      @mussaYohana-w9x 4 месяца назад

      Oooh nimaombi yangu ndio kiu yang naya moyo Wang usiniache nime balikiwa sana❤❤❤❤❤❤

    • @BmEdgewood
      @BmEdgewood 2 месяца назад +1

      ❤❤❤❤ 2:49

    • @BmEdgewood
      @BmEdgewood 2 месяца назад

      Eliza chuwa siwezi kucho

  • @nyamizierasto1685
    @nyamizierasto1685 4 дня назад +1

    Uwimbo kwangu Kila siku Uzidi kubarikiwa wimbo una uvuvio wa Roho mtakatifu

  • @MalcolmsDavid
    @MalcolmsDavid 5 дней назад +6

    Ndugu Gozbert pokea Jina Jipya la Bwana "GOD's Favor" na sio mambo ya good luck bali ni God's Favor. Kibali cha Bwana tunakuombea kutoka Kenya My Bro. you are free by the Blood of Jesus in Jesus name Amen

  • @JessicaJonas-g1u
    @JessicaJonas-g1u 22 часа назад +1

    Usinipite yesu

  • @Josmarymkmbo-l9r
    @Josmarymkmbo-l9r 3 месяца назад +7

    Mungu usitupite sote tulio sikiliza huu wimbo pia usimpite goodlluck alie imba huu wimbo maana hatuwez jua nn anapitia kwasasa 😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌

  • @AllyAhmadi-s1x
    @AllyAhmadi-s1x 5 дней назад +3

    Mungu usinipite fungua kilichofungwa na nguvu za giza usinipite naomba

  • @بدوناسم-ب8ت1ج
    @بدوناسم-ب8ت1ج 4 дня назад +1

    Amen 🙏🙏🙏 wimbo wa kutia moyo sana.ubarikiwe sana mtumishi wa mungu

  • @witnessmjema4188
    @witnessmjema4188 20 часов назад +1

    Barikiwa kaka Goodluck

  • @nurukabuka6599
    @nurukabuka6599 20 часов назад +1

    Safi mwanangu Songa mbele, imefika mda wa kunyamaza, Acha waongee watajibizana na Mungu

  • @chinaadolf2783
    @chinaadolf2783 9 месяцев назад +36

    Huyu ndo yeye nae mjuaa nyimbo nzurii inafariji inabariki snaa amen

  • @maxjofrey70
    @maxjofrey70 6 дней назад +2

    Amen glory to God usinipite bwana 🙏

  • @Abdulshakulushukurujumbe-u8b
    @Abdulshakulushukurujumbe-u8b 5 дней назад +1

    ❤❤❤❤ nimebarikiwa San mim

  • @erickmtowa
    @erickmtowa 9 месяцев назад +66

    😭😭😭 Nimekumbuka time nipo chuo last year (2023)... Life was so hard, tumaini likipotea, nilijua Mungu ameniacha kutokana na magumu niliokuwa napitia... Audio ya huu wimbo ilikuwa single repeat karibu mwezi mzima na zaidi kwenye simu yangu...
    Thanks Lord, Mungu amenipigania nimemaliza vizuri na sasa nimepata kazi Glory to God 🙌...
    Nabarikiwa sana na huduma yako brother Gozbert🙏

  • @thamu3133
    @thamu3133 6 дней назад +4

    We will support you in every means, we trust in God not in gods, keep it bro.

  • @faithkorir8799
    @faithkorir8799 6 дней назад +3

    God is faithful

  • @CruzOJ-b9m
    @CruzOJ-b9m 4 дня назад +1

    Mungu na asikupite Gozbert. Baraka

  • @ChristinaAsukile-n2v
    @ChristinaAsukile-n2v 3 дня назад +1

    Tuko na ww na tutazidi kukutia moyo wimbo mzuri ❤❤❤❤

  • @KelvinBenjamin-v9p
    @KelvinBenjamin-v9p 12 дней назад +3

    HASN'T SAN JAPO NIME CHELEWA KIFIKA LIAKIN NASEM GOOD LOCK AMEN KWA KAZ NZUR MM NYIMBO HIII NIME SIKILIZA SIKU NZIMA NIMEJIKUTA NALIA ❤❤ FROM BURUNDI NIME ISHI SAN TZ NAWAPEND SAN MBALIKIWE AMEN ❤❤

  • @OscarFrancis-mx7iy
    @OscarFrancis-mx7iy 17 часов назад +1

    Duu nyimbo kaliiu

  • @nyamizierasto1685
    @nyamizierasto1685 4 дня назад +1

    Wimbo wangu pendwa huu ubarikiwe sana mtumishi

  • @mageuziseverine3325
    @mageuziseverine3325 9 месяцев назад +27

    Imba hii mara nne Kwa kutafakari alafu uniambie.
    Usinipite
    usinipite
    Bwana naomba usinipite

  • @MalimiElias
    @MalimiElias 9 месяцев назад +26

    This is more than best gospal,mimi huwa ni mvivu kucoment ila kwa huu wimbo kaka umeimba

  • @joshuahmoses4322
    @joshuahmoses4322 4 дня назад

    Vaa earphone nzuri au pods Kisha sikiliza huu wimbo, utanishukuru badae🎉❤❤❤

  • @nathanielshayo6306
    @nathanielshayo6306 9 месяцев назад +22

    kuna mapito unapita hadi unasema hili huvuki... kwa Imani Mungu anakuvusha..Imani kitu kikubwa sana.

    • @zach4068-c9e
      @zach4068-c9e 9 месяцев назад +1

      Hatari sana kama mm niliowahi kupitia lakini Mungu alinivusha

    • @esterpaul6314
      @esterpaul6314 8 месяцев назад +2

      Kwel kabsa kuna mahal unapitia bila MUNGU hutoboi

    • @AminaHassan-c3p
      @AminaHassan-c3p 2 дня назад

      Kabisaa yaani ameshavukaaaa hakika mungu ni mwema hakumpita kumsaidia sanaa

  • @pceodhc
    @pceodhc 20 дней назад +4

    Usinipite mwaka huu Yesu, Bado nakuamini unaweza kuniinua na kuniheshimisha! Amen! 🙏🏾

  • @hellenrichard187
    @hellenrichard187 9 месяцев назад +17

    Yesu usinipite ukiniacha peke yangu watanimeza mzima mzima😢

  • @faidhabaraza6900
    @faidhabaraza6900 6 дней назад +3

    Usinipipe baba anguu

  • @LitchirDada
    @LitchirDada 5 дней назад +1

    Nikitoa hesabu yamema namabaya 😢😢🎉

    • @sjkcarlos
      @sjkcarlos 2 дня назад

      🎉😢😢 wala sina adhabu iliyo njema.

  • @gideonmkangala5042
    @gideonmkangala5042 7 дней назад +4

    Mungu akupehitaji la moyo wako ili wengi wakapone zaidi kupitia huduma yako daima

  • @Ibramoref
    @Ibramoref 5 дней назад +3

    hii nyimbo mwanzoni niliisikiliza na sikuielewa ata sikuimalizia.
    ila baada ya kuchoma gari najikuta ni my favorite song!😂uchawi upo bros

  • @GastorMallya
    @GastorMallya 5 дней назад +1

    Mhhh bonge la song mungu alibariki mtumishi wa mungu

  • @Kokojhshuhn
    @Kokojhshuhn 8 месяцев назад +10

    Mungu akutumie zaidi ya hapo na akuzidishie hekima na kibali cha Neema ikutoshayo😢😢 Ameen.

  • @Official_sam_150
    @Official_sam_150 9 месяцев назад +18

    Usinipite ..........😢 likeziwe nyingii

  • @ImaniMathayo
    @ImaniMathayo 9 месяцев назад +14

    Wimbo mzuri sana na wenye utulivu mkubwa mungu akubariki na azidi kukuinua mungu asitupite amen

  • @LissaAugustino
    @LissaAugustino 9 месяцев назад +18

    Ktk uimbaji wako wote, kwangu naona hii ngoma uliigonga na kuimba ukiwa rohoni sana ukilinganisha na nyimbo ukizowahi kutoa

  • @EricmichelHabonimana
    @EricmichelHabonimana 9 месяцев назад +29

    Wakwanza mimi

    • @arique5962
      @arique5962 9 месяцев назад +2

      Wewe acha zako akati mi ndo wa kwanza😄

  • @hanidamlwale1227
    @hanidamlwale1227 8 месяцев назад +4

    Naomba usinipite Bwana, pekee yangu siwezi naomba uniongoze 🤲🤲🙏🙏🙏🙏

  • @jamesmalela78
    @jamesmalela78 8 месяцев назад +14

    Kama ujawahi kupitia maisha magumu huwez elewa huu wimbo

  • @ArianaHosa
    @ArianaHosa 6 дней назад +2

    Usinipite yesu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ElizabethJohn-b9c
    @ElizabethJohn-b9c 17 часов назад

    Shetan akiamua kumzkka mtuu mh haan nikama hukuwai kuimba hizi nyimbo sijui umetoa lin ila mm ndo kwanza naziona leo ss mshukuru mungu kwan amekuvusha kwenye mangumu na vita uliyo kua nayo ni kama nyota ilizikwa mh mungu akuongoze

  • @VickyKisimbo
    @VickyKisimbo 8 месяцев назад +4

    Usinipite bwana YESU mwaka huu usinipite😭😭😭

  • @AishaSalum-r7m
    @AishaSalum-r7m 5 дней назад +1

    Usinipite bwana kama utanibarik saw kama utaniponya sawa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😱

  • @esthermwau4315
    @esthermwau4315 5 дней назад +1

    Goodluck bengu ya Mungu hatawai potea,Mungu anakupenda sana nasi pia tunakupenda,usikubali vitu vya dunia vikunyaganye zawadi kubwa mno Mungu alikua free,vya shetani sii vya bure hulipiwa kwa damu na kilio,Mimi ni muibaji mdogo na ninafuata nyayo zako za uibaji wa kimaarufu

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono 7 месяцев назад +3

    Yesu usinipite kwa kweli machoni pako mimi ni mwenye dhambi

  • @shineshiny679
    @shineshiny679 9 месяцев назад +10

    Amina.... nmebarikiwa sana .much love from uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬

  • @peterjackson5307
    @peterjackson5307 7 месяцев назад +5

    Ameen Ubarikiwe sana nyimbo ina mafuta ya roho wa Bwana fanya kwa ajili ya UTUKUFU wa MUNGU

  • @MushiHeaven
    @MushiHeaven 6 месяцев назад +2

    Mungu husikia maombi yetu Kila wakati unaweza pitia changamoto nyingi kwenye maisha yako lakini ukiweka Imani yako thabiti kwa Mungu kamwe hawez kukupita bila kukubariki:hakika Mungu n mwema Sana kwetu

  • @ada.cardano.official
    @ada.cardano.official 9 месяцев назад +6

    Kaka mkubwa Nimebarikiwa nice video , Mungu akubariki kwa video yenye ujumbe Mzuri

  • @GracePetro-oz7ns
    @GracePetro-oz7ns 9 месяцев назад +3

    Hongela sana kaka Kwa wimbo mzuri mpaka machozi yamejikuta tu yanabubujika,,ngoja ni danload huu wimbo

  • @Baraka-ns3wi
    @Baraka-ns3wi 8 месяцев назад +3

    hakika umerudi kule tulikokuzoea hakika hii ndo gospel acha zile anamapembe

  • @TynaKabuka-w8i
    @TynaKabuka-w8i Месяц назад +3

    Uh Wimbo umenigusaa sanaa...MUNGU azidi kukuhifadhi kijanaa nyimbo zako zinanigusa sanaa🙏🏽

  • @KelKeyzMusic
    @KelKeyzMusic 9 месяцев назад +9

    i wonder why this song is not hittting with more than 1M viewers because it a prayer that every man should make😭😭😭😭😭😭

    • @eliassoingei2046
      @eliassoingei2046 9 месяцев назад +1

      The reason this is new chanel, but is a good song

  • @alicehenry977
    @alicehenry977 3 дня назад +1

    Kama nikunibariki sawa sawa 🙌🏿

  • @MACHOZIEZEKIA
    @MACHOZIEZEKIA 6 месяцев назад +2

    Hee mungu wangu naomba usinipite kwenye magumu nayopitia kwenye ndoa yanguu ,naimani nitashinda

  • @joemucheru254
    @joemucheru254 9 месяцев назад +4

    kama ungehesabu matedo kwa tabia mimi ni mwenye thambi machoni mwako 😢😢lakini naomba usinipite🙏🙏🙏

  • @RahmaIbrahm-jz3hp
    @RahmaIbrahm-jz3hp 8 месяцев назад +4

    kakaang endelea kufanya kazi ya mungu usichoke upo vizur sana🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @FransiscaRasptsos
    @FransiscaRasptsos 2 месяца назад +2

    Ameen wimbo unanifanya nimtafakari Mungu wangu sana Eeeeee Bwana usinipite ktk biashara yangu

  • @JonasSikawa
    @JonasSikawa 14 часов назад

    Mungu acha aitwe Mungu KUTOKA 14:14

  • @rogasialagho
    @rogasialagho 9 месяцев назад +3

    Usinipite bwana 😭🙌🙌

  • @celinagadiel6437
    @celinagadiel6437 3 дня назад +1

    2025 Usinipite Bwana

  • @happycharles-te7wn
    @happycharles-te7wn 8 месяцев назад +2

    Good luck mtumishi wa Mungu nyimbo zako unitia Moyo na kunifariji Sana Ubarikiwe❤

  • @nellychitera9065
    @nellychitera9065 9 месяцев назад +6

    Utakapo wabariki wengine usinipe Yesu