Bwana Yesu awe mtetezi wako kwa kipindi hiki kigumu unatumia mtumishi mwenzangu njia ya kweli ni yeye pekee hivyo hata kuacha. Ameruhusu majaribu yatupa lakini hayawezi kudumu majaribu haya budi kuja ila ole wake anayesabisha.
Yaani saivi hii nyimbo nayo nimeisikiliza na nmeipenda ila mwanzoni sikuwa ata na hamu nayo ,kitu kikubwa sana Umefanya kwenye ulimwengu wa kiroho kuchoma gari na kukataa mtu achukue utukufu badala ya Mungu hakika Masikio ya mashabiki yameanza kufunguka
Nimeshindwa kujizuia kulia moyon nimesikiliza zaid ya mara 10 eeMungu Wang muumbaji usimpite kila anae soma huu ujumbe umasiki na dhiki vimuepuke kwajina lako lenye mamlaka nikiomba nakuamini amen
Ndugu Gozbert pokea Jina Jipya la Bwana "GOD's Favor" na sio mambo ya good luck bali ni God's Favor. Kibali cha Bwana tunakuombea kutoka Kenya My Bro. you are free by the Blood of Jesus in Jesus name Amen
😭😭😭 Nimekumbuka time nipo chuo last year (2023)... Life was so hard, tumaini likipotea, nilijua Mungu ameniacha kutokana na magumu niliokuwa napitia... Audio ya huu wimbo ilikuwa single repeat karibu mwezi mzima na zaidi kwenye simu yangu... Thanks Lord, Mungu amenipigania nimemaliza vizuri na sasa nimepata kazi Glory to God 🙌... Nabarikiwa sana na huduma yako brother Gozbert🙏
HASN'T SAN JAPO NIME CHELEWA KIFIKA LIAKIN NASEM GOOD LOCK AMEN KWA KAZ NZUR MM NYIMBO HIII NIME SIKILIZA SIKU NZIMA NIMEJIKUTA NALIA ❤❤ FROM BURUNDI NIME ISHI SAN TZ NAWAPEND SAN MBALIKIWE AMEN ❤❤
Shetan akiamua kumzkka mtuu mh haan nikama hukuwai kuimba hizi nyimbo sijui umetoa lin ila mm ndo kwanza naziona leo ss mshukuru mungu kwan amekuvusha kwenye mangumu na vita uliyo kua nayo ni kama nyota ilizikwa mh mungu akuongoze
Goodluck bengu ya Mungu hatawai potea,Mungu anakupenda sana nasi pia tunakupenda,usikubali vitu vya dunia vikunyaganye zawadi kubwa mno Mungu alikua free,vya shetani sii vya bure hulipiwa kwa damu na kilio,Mimi ni muibaji mdogo na ninafuata nyayo zako za uibaji wa kimaarufu
Mungu husikia maombi yetu Kila wakati unaweza pitia changamoto nyingi kwenye maisha yako lakini ukiweka Imani yako thabiti kwa Mungu kamwe hawez kukupita bila kukubariki:hakika Mungu n mwema Sana kwetu
Wangapi tumekuja kuchekii hii video baada ya mtumishi Goodluck kuachana na maagano potofu,nakuchoma gali yao,nipeni likes zenu
Tuko hapa
Ila wewe jaman unaenda na kipindi dah 😂😂😂😂
Na mm ndo nafika
alafu sasa ni bonge la ngoma aisee
Niko apa
Walio angalia zaidi ya mara mbili gonga like hapa❤❤❤
Am ex Muslim now nipo kwa YESU KRISTO full raha
🙏🙏🙏
Karibu sana mtumish
Mungu akubariki sana akusaidie mpaka hatma ya maisha yako wewe ni mbarikiwaaa
@@witnessIzack Asante sana
@@agnesmartin5716 Asante sana
nisamee sikujua kama unanyimbo tamu sana
Hii ni baada ya kuchoma gari unajuwa mimi nilikuwa siijui
Wa mwisho kucomment, msinipite na mm, congrats you made my day goodluck
Ndio Mara yakwanza kuangalia video Kama Mimi like hapa
Bro mungu atapigana na watezi wako na maandui wato watajikwaa na kuanguka vita si yetu bali tukona shujaa mwenye kupigana vita zote naye ni yesu
Mungu hakusaidie akii kwa hali ngumu ulio nayao mungu tunakujuwa wewe ndo mungu wetu ulie hai please remember goodluck my father 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Bwana Yesu awe mtetezi wako kwa kipindi hiki kigumu unatumia mtumishi mwenzangu njia ya kweli ni yeye pekee hivyo hata kuacha. Ameruhusu majaribu yatupa lakini hayawezi kudumu majaribu haya budi kuja ila ole wake anayesabisha.
Utukufu kwa Yesu haleluya 😭😭😭😭
My Broo I really appreciate you and God will do it just endure on every circumstance🤗🤗
Godluck ubalikiwe saana ktk mahojiano uliyoyafanya Kuna vingi nimejifunza na umenifunza, nashukuru saana 🤔🤔
Kama ni kunibariki Kama ni kuniinua usinipite bwanaa 🙏🙏🙏🙏🙏
Tunakupenda San good luck na MUNGU wa mbinguni azidi kukuinua viwango vya juu
Mm hii nyimbo nilikua na isikia tu kumbe ya Golduck daaah kweli:::::!!!!!
Yaani saivi hii nyimbo nayo nimeisikiliza na nmeipenda ila mwanzoni sikuwa ata na hamu nayo ,kitu kikubwa sana Umefanya kwenye ulimwengu wa kiroho kuchoma gari na kukataa mtu achukue utukufu badala ya Mungu hakika Masikio ya mashabiki yameanza kufunguka
Kweli namin uyu mtu alifungwa kwal manabii awa ni vichaw tu
Mungu wetu ni mwema sana.
ni mwem
Mungu wete ni mwema San kalibu uisilamu brother 🤝
Kiukweli hata sikujuaga kama unanyimbo kali hiv aliekutolea hilo giza na abarikiwe zaidi maana lilitanda kila mahali asee
Eeeh Kumbe una ngoma kali hivi??? Jmn nimeogopa sana Mungu namm nikumbuke 😭😭😭😭😭😭😭 Giza liondoke kwenye maisha yako
Sasa Mungu ameshafungua njia yako ukiniona mim nimekuja ujue umeshatengana na ushetani.....Acha tamaa pambana na tafuta utakatifu kila wakati.
Nimeshindwa kujizuia kulia moyon nimesikiliza zaid ya mara 10 eeMungu Wang muumbaji usimpite kila anae soma huu ujumbe umasiki na dhiki vimuepuke kwajina lako lenye mamlaka nikiomba nakuamini amen
Amen
Amen 🙏🙏
Jamani kipawa haki fichiki huyu mwamba anajuwa kuimba pamoko sana
Huu wimb ulkuw unafaa uwe na views kwanzia one million ameen
Hata 10 million kwakweli na ndo shetwani hataki ila Bwana Yesu ana makusudi yake
Baada ya kuangalia interview yako nimejifunza mengi na kutambua mengi. Be blessed Man of God.
Namkubal sana mwamba nakubar unaweza
Huu wimbo umenimbia kaka maana wakati ninaopitia kwa sasa😢😢😢
Utukufu kwa Yesu
Mungu naomba fungua milango yangu juu ya huu mwaka 2025 usinipite nahitaji muujiza wakoo Amen 🙏🙏🙏
Barikiwa Sana mtumishi
Amina ❤❤❤❤ mungu haez kukipita mtumishi wa mungu ubarikiwe sana❤❤❤❤❤
Bass sasa Mungu na ukashinde juu yetu
Sijui kama mimi ndio wa kwanza kutoka 254🇰🇪 likes zkuje kwa wingi..Msinipite juu najua Mungu hatotupita.🙏
Amina!
Tuko ❤
Amen 🙏
Niko hapa pia, my best musician🎉
🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Umefanya jema sana kuchoma lile lishetani,, maana ndilo, lilokufanya YESU akupite.
❤❤❤❤❤❤niko huyu jamaa nampenda sana juu ako na wito wa mungu ndani yake aki
Kam hujawahi pitia magumu huwezi elewa maana ya Usinipite... Mungu akubariki sanaa
Kwa kweli
You have touch my soul...God bless you.
Kweli kabisa
Wimbo unafariji mno kwakweli .mungu azidi kukutumia kijana wa yesu dah! 3:11
Baraka za bwana wa mbinguni zizidi kuonekane katika maisha yako
Hakika katika Wimbo huu utukufu wa mungu upo, hogera San kaka kwa maamuzi magumu hatimae ukombozi umeupata,
Ila tuache unafiki glodluck baada yakuchoma gari nyota imeng'aa bhana ❤❤❤goodluck forever in my heart
Wangap 2mekuja kuchek kazi zake huyu mwamba baada yakuchoma gari
We are together
tulio rudia zaidi ya mara mbili kusikiliza hu wimbo tujuane hapa kwa like bc❤❤❤
Zaid ya mara 10 naliatu usinipite my dear God 🙏🙏
Unpo pita unapo gusa wengine nami nione ❤❤ sana
Oooh nimaombi yangu ndio kiu yang naya moyo Wang usiniache nime balikiwa sana❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤ 2:49
Eliza chuwa siwezi kucho
Uwimbo kwangu Kila siku Uzidi kubarikiwa wimbo una uvuvio wa Roho mtakatifu
Ndugu Gozbert pokea Jina Jipya la Bwana "GOD's Favor" na sio mambo ya good luck bali ni God's Favor. Kibali cha Bwana tunakuombea kutoka Kenya My Bro. you are free by the Blood of Jesus in Jesus name Amen
Usinipite yesu
Mungu usitupite sote tulio sikiliza huu wimbo pia usimpite goodlluck alie imba huu wimbo maana hatuwez jua nn anapitia kwasasa 😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Amin 😂😂😂😂
Mungu usinipite fungua kilichofungwa na nguvu za giza usinipite naomba
Amen 🙏🙏🙏 wimbo wa kutia moyo sana.ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Barikiwa kaka Goodluck
Safi mwanangu Songa mbele, imefika mda wa kunyamaza, Acha waongee watajibizana na Mungu
Huyu ndo yeye nae mjuaa nyimbo nzurii inafariji inabariki snaa amen
Amen glory to God usinipite bwana 🙏
❤❤❤❤ nimebarikiwa San mim
😭😭😭 Nimekumbuka time nipo chuo last year (2023)... Life was so hard, tumaini likipotea, nilijua Mungu ameniacha kutokana na magumu niliokuwa napitia... Audio ya huu wimbo ilikuwa single repeat karibu mwezi mzima na zaidi kwenye simu yangu...
Thanks Lord, Mungu amenipigania nimemaliza vizuri na sasa nimepata kazi Glory to God 🙌...
Nabarikiwa sana na huduma yako brother Gozbert🙏
Mungu ni mwema wakati wote 🙏
Amen 🙏🙏🙏🙏
Amen
😭😭😭 ubarikiwe 🙏🙏
We will support you in every means, we trust in God not in gods, keep it bro.
God is faithful
Mungu na asikupite Gozbert. Baraka
Tuko na ww na tutazidi kukutia moyo wimbo mzuri ❤❤❤❤
HASN'T SAN JAPO NIME CHELEWA KIFIKA LIAKIN NASEM GOOD LOCK AMEN KWA KAZ NZUR MM NYIMBO HIII NIME SIKILIZA SIKU NZIMA NIMEJIKUTA NALIA ❤❤ FROM BURUNDI NIME ISHI SAN TZ NAWAPEND SAN MBALIKIWE AMEN ❤❤
2025
Duu nyimbo kaliiu
Wimbo wangu pendwa huu ubarikiwe sana mtumishi
Imba hii mara nne Kwa kutafakari alafu uniambie.
Usinipite
usinipite
Bwana naomba usinipite
This is more than best gospal,mimi huwa ni mvivu kucoment ila kwa huu wimbo kaka umeimba
Vaa earphone nzuri au pods Kisha sikiliza huu wimbo, utanishukuru badae🎉❤❤❤
kuna mapito unapita hadi unasema hili huvuki... kwa Imani Mungu anakuvusha..Imani kitu kikubwa sana.
Hatari sana kama mm niliowahi kupitia lakini Mungu alinivusha
Kwel kabsa kuna mahal unapitia bila MUNGU hutoboi
Kabisaa yaani ameshavukaaaa hakika mungu ni mwema hakumpita kumsaidia sanaa
Usinipite mwaka huu Yesu, Bado nakuamini unaweza kuniinua na kuniheshimisha! Amen! 🙏🏾
Yesu usinipite ukiniacha peke yangu watanimeza mzima mzima😢
Usinipipe baba anguu
Nikitoa hesabu yamema namabaya 😢😢🎉
🎉😢😢 wala sina adhabu iliyo njema.
Mungu akupehitaji la moyo wako ili wengi wakapone zaidi kupitia huduma yako daima
hii nyimbo mwanzoni niliisikiliza na sikuielewa ata sikuimalizia.
ila baada ya kuchoma gari najikuta ni my favorite song!😂uchawi upo bros
Kabisaa uchawi upo mnooo
Mhhh bonge la song mungu alibariki mtumishi wa mungu
Mungu akutumie zaidi ya hapo na akuzidishie hekima na kibali cha Neema ikutoshayo😢😢 Ameen.
Usinipite ..........😢 likeziwe nyingii
Wimbo mzuri sana na wenye utulivu mkubwa mungu akubariki na azidi kukuinua mungu asitupite amen
Ktk uimbaji wako wote, kwangu naona hii ngoma uliigonga na kuimba ukiwa rohoni sana ukilinganisha na nyimbo ukizowahi kutoa
Eemen
Wakwanza mimi
Wewe acha zako akati mi ndo wa kwanza😄
Naomba usinipite Bwana, pekee yangu siwezi naomba uniongoze 🤲🤲🙏🙏🙏🙏
Kama ujawahi kupitia maisha magumu huwez elewa huu wimbo
Usinipite yesu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Shetan akiamua kumzkka mtuu mh haan nikama hukuwai kuimba hizi nyimbo sijui umetoa lin ila mm ndo kwanza naziona leo ss mshukuru mungu kwan amekuvusha kwenye mangumu na vita uliyo kua nayo ni kama nyota ilizikwa mh mungu akuongoze
Usinipite bwana YESU mwaka huu usinipite😭😭😭
Usinipite bwana kama utanibarik saw kama utaniponya sawa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😱
Goodluck bengu ya Mungu hatawai potea,Mungu anakupenda sana nasi pia tunakupenda,usikubali vitu vya dunia vikunyaganye zawadi kubwa mno Mungu alikua free,vya shetani sii vya bure hulipiwa kwa damu na kilio,Mimi ni muibaji mdogo na ninafuata nyayo zako za uibaji wa kimaarufu
Yesu usinipite kwa kweli machoni pako mimi ni mwenye dhambi
Amina.... nmebarikiwa sana .much love from uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Welcome, our dear from uganda
Ameen Ubarikiwe sana nyimbo ina mafuta ya roho wa Bwana fanya kwa ajili ya UTUKUFU wa MUNGU
Mungu husikia maombi yetu Kila wakati unaweza pitia changamoto nyingi kwenye maisha yako lakini ukiweka Imani yako thabiti kwa Mungu kamwe hawez kukupita bila kukubariki:hakika Mungu n mwema Sana kwetu
Kaka mkubwa Nimebarikiwa nice video , Mungu akubariki kwa video yenye ujumbe Mzuri
Hongela sana kaka Kwa wimbo mzuri mpaka machozi yamejikuta tu yanabubujika,,ngoja ni danload huu wimbo
hakika umerudi kule tulikokuzoea hakika hii ndo gospel acha zile anamapembe
Uh Wimbo umenigusaa sanaa...MUNGU azidi kukuhifadhi kijanaa nyimbo zako zinanigusa sanaa🙏🏽
i wonder why this song is not hittting with more than 1M viewers because it a prayer that every man should make😭😭😭😭😭😭
The reason this is new chanel, but is a good song
Kama nikunibariki sawa sawa 🙌🏿
Hee mungu wangu naomba usinipite kwenye magumu nayopitia kwenye ndoa yanguu ,naimani nitashinda
kama ungehesabu matedo kwa tabia mimi ni mwenye thambi machoni mwako 😢😢lakini naomba usinipite🙏🙏🙏
kakaang endelea kufanya kazi ya mungu usichoke upo vizur sana🎉🎉🎉❤❤❤❤
Ameen wimbo unanifanya nimtafakari Mungu wangu sana Eeeeee Bwana usinipite ktk biashara yangu
Mungu acha aitwe Mungu KUTOKA 14:14❤
Usinipite bwana 😭🙌🙌
2025 Usinipite Bwana
Good luck mtumishi wa Mungu nyimbo zako unitia Moyo na kunifariji Sana Ubarikiwe❤
Utakapo wabariki wengine usinipe Yesu