Mama ako ni best mama ever.Napambana pia kwa ajil ya wanangu 3,uwa naliaaaaaa yaan naelewa izo situations,ila namwamini Mungu nitavuka.Wamama tunapitia vitu vng sana kwa ajil ya watoto
Emen dear,Nina ushuhuda na nitaendelea kushuhudia wema wa Mungu kwenye maisha yangu na watoto wangu,nafanya kazi ya umatron kwenye shule fulani Arusha ninaishi na kulala kazini.watoto wangu wanaelewa na dada.Huwa namwambia Mungu Asante kwa ajili yao kila iitwapo leo.
Dada salama ubarikiwe sana🙏🙏 kipindi cako kizuri najifunzaga kitu kupitia vipindi vyako naskitika kukijuwa nimekawa. wewe pia unaonekana mustarabu sana
Tungeelewa wote kuwa Mungu mara nyingi anatupitisha mahali kwa utukufu wake na kwa ushuhuda wa badaye na kuwafunza wengn kwahy tupo hapa kwa neema ya Mungu
Mungu akubariki kaka naomba unisaidie naomba unierekeze inasalia wapi nikutemberee siku moja mengine tutaongea tukionana naomba mrejesho mm pia namtumikia Mungu!
Shout out kwa wamama wote wapambanaji aisee, Goodluck kumbe kaandika nyimbo nyingi hivyo aisee watu huwa tunasikiliza tu hata wasanii hawasemi kuwa wameandikiwa
Gozbert, salvation is personal relationship btn you and God. Christianity lies in the heart! Live your life trusting God...you will never be able to please people. Just make it right with your creator. Salama job well done as always.
I was waiting for this to so Long .. ..napenda Sana nyimbo zake kaka gozbert,,maisha yake leo yamenipa nguvu Sana yakaendelea kusonga mbele zaidi ..... Mama goodluck ni super stronger woman
Nibadilishe wimbo mzuri sana maana hata kucheza mfalme Daudi alicheza hadi nguo kutaka kumvuka. Watu tu wa sasa wanapenda tu ku judge maana hata Angela Bernard aliwahi kusemwa kisa tu alijiremba kny video. Mtu akiwa ameokoka haimfanyi asidance ndio maana hata guitar na vinanda vyote tunavitumia kumsifu Mungu...
Ukiachilia Sauti yake ya kuimba, goodluck anasauti nzuri zaidi ya kuongea.. Alafu mtu uchoki kumsikiliza yaan.. Ana sauti Fulani hivyiiiii...... If you know you know.. 😝😝
Mama ako ni best mama ever.Napambana pia kwa ajil ya wanangu 3,uwa naliaaaaaa yaan naelewa izo situations,ila namwamini Mungu nitavuka.Wamama tunapitia vitu vng sana kwa ajil ya watoto
Emen dear,Nina ushuhuda na nitaendelea kushuhudia wema wa Mungu kwenye maisha yangu na watoto wangu,nafanya kazi ya umatron kwenye shule fulani Arusha ninaishi na kulala kazini.watoto wangu wanaelewa na dada.Huwa namwambia Mungu Asante kwa ajili yao kila iitwapo leo.
Sana nakuelewa wengi tunapita lkn pale tunapoamua kukaaa kwa Mungu huwa hatuaachi jmn
@@blandinamnyinga8318 dah polen jamni 😭😭nimelengwa machozi
@@blandinamnyinga8318 dah polen jamni 😭😭nimelengwa machozi
yes mama tunajinyima ili watoto wakae maisha mazuri maisha yaende na Allah anatusaidia
Pongezi kwa wakina mama wote wapambanaji🤲
💪💪💪💪
"najivunia makosa yangu, hayo yamenifanya na kunitengeneza kuwa mimi". Thank you Goz B.
Maneno mafupi mazito,nikweli kaka G kuna makosa yametukuta ili cc tuwe HV Leo,tumepitia hayo ili tufike pale mungu alitaka tuwe leo
"Nami nitakuonyesha mambo makubwa na magumu usiyoyajua" , maana yake kuna ninayoyajua, Nimeipenda iyo mtumishi Mungu akubariki.
Ndiyo nimeona hii leo, Godluck Mungu akuvushe kwenye hili pia.
Dada salama ubarikiwe sana🙏🙏 kipindi cako kizuri najifunzaga kitu kupitia vipindi vyako naskitika kukijuwa nimekawa. wewe pia unaonekana mustarabu sana
I can feel it when ur mama cried ulipokosa msaada😥😥
hongera gozb.una hekima sana kaka pia mnyenyekevu..mungu azidi kukupea marifa tokea mbinguni
Kaka anamanen ya busara na hekima.. Mungu akupe afya njema na umri 🙏🏻🙏🏻🌹🤝
Mungu akueke kakangu nakupenda sana kaka kwamaongezi yako unajibu vizuri sanaa
Tungeelewa wote kuwa Mungu mara nyingi anatupitisha mahali kwa utukufu wake na kwa ushuhuda wa badaye na kuwafunza wengn kwahy tupo hapa kwa neema ya Mungu
Mungu Amuinue Zaidi Mamaa Kemmy Ubarikiwe Mamaa Kemmy
Mungu akubariki kaka naomba unisaidie naomba unierekeze inasalia wapi nikutemberee siku moja mengine tutaongea tukionana naomba mrejesho mm pia namtumikia Mungu!
Utakapo ona msg yangu naomba maelekezo niweze kufika hapo kweli kakaangu, Mungu azidi kukuinua mara 1000 nakazi
Yako amen.
Asante Salama kwa kumleta
nimepata kumfahamu maana ata nilikuwa sijui ni mtu wa wawapi thanks
Gozbeth una nidhamu katika kujibu maswali vzr sana!!!
Salama naomba Mungu akuinue zaidi. Wewe unaweza. Tanzanian Oprah. Sky is the limit
Salama you are the best.Hongera sana.
Asante sana Goodluck umetupa ushuhuda.
Super interview
Nimependa sana, hii ni inajenga watt wa familia masikini
Nimefrahi kumleta Goodluck Salama nakupenda tunaomba pia kufaham story yako nta frahi pia coz nakukubali sana
Duuuuuh apo kwenye mama gudluck kulia pameniliza pia
Barikiwa sana mtumishi, unahekima ya kizungumza.. Roho azidi kukuongoza..
Ila nilichogundua ni kuwa Muziki wa Gospel una vita sana.
MUNGU ambariki STELLA❤ mama yangu
Goodluck ni mtoto wa MUNGU na amebarikiwa sana
Wamama woote duniani mungu amueke jamani kwamajukum yeenu ikiwemo mm
Umeniliza sana goodluck,kweli Mungu ni Mungu.
Nimelia piah
Salama my darling...you are the best interviewer. There is something about you that i love. Goodluck your very wise na unajibu maswali vizuri
Kama umemuonaa Salamaaaa kasukaaaa minyoooooosho ya kiunguja
Goodluck Gozbert ni mmoja wa shabiki yako nakubali sana kazi zako!!! Mungu akupe maisha marefu na yenye baraka tele, 🙏
Salama .mjue goodluck na chidi n watu wawili tz ambao wanamajibu ya kila kitu kwa wao n ma genius.
Mtafuteni father p aliandika nyimbo za zamani sana zilizofanya vizuri
Nimeipenda mno yaan nmejifunza kitu
Wow kavulana kamenifundisha jambo... Nimebarikiwa gafla
Nimependa sana
I LIKE THIS ONE, GLORY BE TO GOD
Kipindi changu pendwa ni SALAMA NA.♥️♥️ Wewe je?
Interview kaliii mnooo Yani salama hukosei interview zako zote Kali nashndwa had kuchagua ipi namba moja..
Namkubal xana goodluck nyimbo zake nazielewa xana mung amubarik xana
Shout out kwa wamama wote wapambanaji aisee, Goodluck kumbe kaandika nyimbo nyingi hivyo aisee watu huwa tunasikiliza tu hata wasanii hawasemi kuwa wameandikiwa
Najivunia makosa yangu hayo yamenifanya kuwa mimi'''💪
Gozbert, salvation is personal relationship btn you and God. Christianity lies in the heart! Live your life trusting God...you will never be able to please people. Just make it right with your creator. Salama job well done as always.
Safi sana kaka naipenda sana huduma yako
god bless you gozb...humbleness observed in you
Hongera zake mama mpambanaji
Yaani Goodluck ameongea hadi nimetoa machozi,kwakweli Kwenye maisha tunapitia mengi,Eee Mungu wajalie kina Mama wote na kuwasamehe
Goodluck iz the Best
Ave watched this interview 3 times..wow
Waooo g b mungu azd kukuinua
Nimeipenda sana hiyo interview yn goz b unahekima sana na dada angu salama hongera sana kwa interview nzuri.
Best mom
Nimekupenda bure God z
Very special boy
I was waiting for this to so Long .. ..napenda Sana nyimbo zake kaka gozbert,,maisha yake leo yamenipa nguvu Sana yakaendelea kusonga mbele zaidi ..... Mama goodluck ni super stronger woman
Best of the best interview Salama na Gozbert
Usifocus kueleweka na wanadamu...Mungu kukujua wewe INATOSHA!
This guy is very smart, I like the way anavyojibu maswali yake
Thank you so much good luck , alike your story about your life , God bless you dear
I appreciate what you say Youngblood generation DO your best always and God will do the rest
Huchoki kumsikiliza yani....
R.i.p mamaa dah heshima kwa wanawake wote,Mungu atusahidie
Nimependa sana anavojua kujibu maswali
Inteview inayo jibiwa kwa akil sana hii
Goodluck saaafisna story imevutia sana
SALAMA UTULETEE NA JB ,SHEIKH KIPOZEO
God bless you.
#Awesome, there’s just something about this interview 👌🏾👌🏾👌🏾
Daaaah your story is so touching
Nibadilishe wimbo mzuri sana maana hata kucheza mfalme Daudi alicheza hadi nguo kutaka kumvuka. Watu tu wa sasa wanapenda tu ku judge maana hata Angela Bernard aliwahi kusemwa kisa tu alijiremba kny video. Mtu akiwa ameokoka haimfanyi asidance ndio maana hata guitar na vinanda vyote tunavitumia kumsifu Mungu...
Jaman salama ni mcute jamen nampenda huyu dada
This show is very inspiring🙏🏽🙏🏽
Aseee Salama huwezi weka part 3 kwa hiki kipindi maana hatariiiii Sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nice one kilasiku sister keep doing good job
Hiki kipindi nakipenda sana jaman
Daah....aiseh huyu jamaa nimeangalia Hadi mwisho
Can we see Wema Sepetu in this show please
Great interview
best interview ever anaongea vizur sana
Hata makosa yangu najivunia, that is nice🔥
Kma unaangalia hii interview leo like hpa 😊🌶🍷
Kabisa🙏🙏🙏🙏
Hakuna party 3 salama
Jamn Mama ake Godluck Ni kama Mama ang Yaan anapenda kulia sana jamn😢😊
Dada salama ure best
Hii nzuri sana
Yah stn ...best show in tz now... congrat to u Salama ...
Wa kwanza Mimi apa nipe like zangu
Salama bhana ety ukisifu mashairi yanashuka
Kind hearted
Mengine yatasemwa tukifa
Hakika Viva GG Viva GG Viva GG Viva GG
Maisha uliyopitia kama yangu hadi umeniliza Goodluck
Mi nilikua bado naendelea kumsikiliza ,kumbe kamaliza kaman
Amen 🙏
Natamani Dudu Baya awe interviewed
😣😣😣😣😣
🤣😂😂😂😂😂😂
GOODLAK HAJAPEWA JUIC YA NYEGEZI🙈🙈🙈
😁😁😁
😃😃😃
Ukiachilia Sauti yake ya kuimba, goodluck anasauti nzuri zaidi ya kuongea.. Alafu mtu uchoki kumsikiliza yaan.. Ana sauti Fulani hivyiiiii...... If you know you know..
😝😝
Mtamu balaa
Hapo dakika 15:58 Salama imenigusa aisee..
Story yako imenyooka saana kiufup ninekuelewa saana mzee baba
Salama una mauno gani weye 🤣
HIS EYES MHH MHH GOD CREATION
@Calvin Mushi unacheka nin sasa?
@Calvin Mushi acha unoko