NYIMBO ZA WOKOVU COLLECTION (2023) - Papi Clever & Dorcas ft Merci Pianist (Swahili)
HTML-код
- Опубликовано: 21 июл 2024
- #PAPI_CLEVER_DORCAS
#NYIMBO_ZA_WOKOVU
#INDIRIMBO_ZO_MU_GITABO
#MORNING_WORSHIP
You can support this ministry through
Phone: +250783255262
Email : Cleverpapi18@gmail.com
TIMESTAMPS
SWAHILI COLLECTION
NYIMBO ZA WOKOVU (2023)
1.Mwokozi wetu 00:00 - 07:13
2.Roho yangu 07:13 - 13:59
3.Yesu ni furaha yangu 13:59 - 17:53
4.Fanyia mungu kazi 17:53 - 22:43
5.E'Mungu mwenye kweli 22:43 - 27:15
6.E'Mungu mwenye Haki 27:15 - 33:44
7.Msifuni msifuni 33:44 - 37:50
8.Nikikwenda mbali sana 37:50 - 42:01
9.Pendo la mungu 42:01 - 46:56
10.Yesu avukiy'i Betelehemu 46:56 - 53:02
11.Uzima ninao 53:02 - 58:34
12.Matendo ya Mungu 58:34 - 01:02:51
13.We mutima urira 01:02:51 - 01:06:35
14.Yanyinjiyemo 01:06:35 - 01:13:30
15.Kisima cha Lehi 01:13:30 - 01:19:40
16.Siku moja mavuno 01:19:40 - End
#kenyagospel #tanzaniagospel #swahiligospel #swahilimusic #kenyangospel #congogospelmusic Alka Mbumba #kenya #kenyadigitalnews #RoseMuhando #SecretAgenda #Gospsongs #Gospelmusic2022 #Jesus
#kelsykerubo #rosemuhando #msanii_music_group
Kelsy Kerubo
rose muhando song
ruclips.net/video/dKRp_VaS2D8/видео.htmlsi=FYw48ZJZy9GQOxAJ
NEW SONG - NIMEKUONA
❤
0😊qqqqqqqqqqqqqq
@@lydianjeri45501111❤
❤❤
Naitaji kupata namba zenu za WhatsApp
Niko TZ Rungwe kwa kweli nabarikiwa sana na uimbaji huu.Yesu awawezeshe watumisi wa Bwana Yesu.Amina
From Kenya tumebalikiwa sana na Nyimbo hizi
Amazing
Wokovu wangu ni jesu Cristo 🙏🇨🇩🔥🎼👏🔥🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mumefanya nitafute hio kitabù cha nyimbo za wòkovu na nimefahuru kweri God bless you
Akika nabarikiwa na sauti zenu mnasifuu Mungu kwa kweli nipo serengeti Harmony camps nabarikiwa uku naendelea na kazi mbarikiwe wapendwa❤
Amène Amène mbinguni hatutaona maaduwi zetutena.nzashima Imana ndambuye amaboko noshima Imana mpimbaze umwami Yesu .abarushe imidima kubwurugendo twese nitureme❤ neema haitaisha kamwe😅fulahayetu itabakia ikiwabiote bimetoka❤❤❤❤
BWANA YESU KRISTO ASIFIWE SANA NAOMBA KUTOA USHAURI, KWASABABU NYIMBO HIZI NI ZAWOKOVU TUBADILISHIE PICHA YA FAMILIA YA KIBAADA.
Amina
Hao ni mke na mume nafikiri tuwaache wa enjoy ndoa yao nzuri wakimuabudu Mungu.
Kweli. Maana ya picha hapo nnini ?
Wanamtimikia mungu wakiwa na upendo wa mume na mke.Picha iko sawa,na tunawapenda hivyo.
Nashukuru kwa kazi yenu nzuri sana MUNGU awabariki sanaa❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Xxxçvbnnnnķķp865fgss GG hjgfdrt❤😮😅😊😂🎉😢
Omg hizi nyimbo unitarian sana kwanza hii ameniweka uhuru kweli
Hallelujah 🙏napata AMANI na utulivu kwa nyimbo hizi, Mungu awabariki sana.🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
God bless you brother for the good songs
Mbarikiwe kwa kazi nzuri ya mwenyezi mungu ......nabarikiwa pia kwa nyimbo zenyu nikiwa Qatar
Nnimejuwa. Jana. Kijana. Wangu aliabbia kumuuhshi
Wimbo zenye neema kweli... Ni za ku adilisha mtu mienendo na kumkaribia Yesu...mbarikiwe sanaa😊🙏🙏🙏🙏
Aki
Amen Amen barilikiwa sana
Barikiweni kwa kubariki nyoyo za watu.
Burundi tuko pamoja papy clever na Dorcas hii famillia imebalikiwa Sana
Mbega indirimbo ziryoshe; nigitangaza amajambo na amajwi yanyu, naho umuntu yayarya, ntago nayahaga. 🌈❤🤗💥❤🌈🙏
Muri marayika zi Imana aha muri iyi isi. Imana murema abandindire, abahe kyose mwifuza, kandi mwi ijuru murugo iwe, aho yakoreye umugore numugabo we bakundana neza mukuri gusukuye, namwe murimo mufitemo urugo rwanyu, kuko murakwiriye Imana Ibarimo. Bless you, i LOVE YOU .
Mungu Mwenyezi awabariki wapendwa kwa kweli nimfarijika sana ❤
Burundi tunabalikiwa tukisikiliza hizi nyimbo, mungu awaongezey balaka🇧🇮🇧🇮🇧🇮
My favourite song ..E mungu mwenye Nguvu this song makes me cry 😢from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tunawapenda sana
Wakenya hongereni sana jirani zetu nko vizuri kumtumikia Mungu. Nafuatilia sana comments zenu nko hodari. Mungu awabariki wapendwa.
Merci Mami ndagukunda nanje ndafashijwe
Mubarikiwe sana na baba Mungu kwa kazi ya injili
From Burundi nabalikia sana
Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah ayiiiiiiiiii ndafashijwe Imana ibakomereze intambuko zanyu ♥️♥️♥️
Kwa kweli hizo zimekuwa nyimbo Adimu kwasasa mnatukumbusha mbali.nawatakia heri Mungu asiwapingukie awape maono zaidi,By nipo Manyara Babati Tz.🙏🙏🇹🇿🇹🇿📖📖🤝
Murabantu bumumaro cyane, we love you so much♥
Depuis la RDC. Que l'Eternel Dieu nous bénisse et qu'il nous pardonne. Merci pour cette compilation des chansons de louange. Mungu apewe sifa🎉
mungu awabariki sana wapendwa katika bwana wetu Yesu kristo sifa na utukufu zi mrudilie huko juu mbinguni
❤❤❤
Mubarikiwe nanje murampeziye. Canannnnnn
Imana ibahaze ibyishimo kenshi ndabakurikira aho ndi hose no mukazi ntabwo bintera isoni iyo numva indirimbo zanyu kandi nkorana n'abantu basenga mu madini atandukanye
Oooh my God,,,mungu awainue juu juu sana,,awape neema zake kuu muendelee,, GOD bless you abundantly!!!
After listen to your songs i feel like it's time for me to be born again
Plz do. It's now or never
Hurry sweetie.... receive salvation tomorrow might be too late ooh
Yet to all who did receive him, to those who believed in his name, he gave the right to become children of God-
John 1:12 NIV
Amen
What are you waiting for?
Thank you so much for this wonderful songs, umenikumbusha mengi tangu nilipo mpokea Kristo Yesu kama Bwana na Mwokozi wa maisha yangu hizi nyimbo zilituhimiza na zinaendelea kutuhimiza, ila ushauri wangu ndio huu, kwa title za nyumbo jaribu kuandika jina la Mungu kwa herufi kubwa mfano number 4,9. Ni hilo tu ndugu yangu Mungu ni tofauti na mungu.❤
Asante kaka kwa observation nzuri. Barikiwa sana
Amen, tubarikiwe sote ndugu
Zahlung ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Correction...well taken on, God bless you
Nabambika mbaya watu wangu🎉🎉❤
Vraiment nime mbalikiwa😢😢
lmana ibampere umugisha couple yanyu
Nina shukuru kwakupokea iyo nyimbo
Wow safi saaanaaa powerful msg
Asante Bwana Yesu kwa Wokovu ambao umetupa kwa bure na ukatu haidi ya kwamba utakuwa nasii paka mwisho wa daari , asante kwa Neema juu ya Neema 🙏🙏🙏🥰🥰🥰🥰💃💃💃💃
Hallelujah 🙌🙌 ndabakunda cne❤ be blessed 🙏🌟
Jamani niko mwanza na balikiwa Sana tena Sana
Mungu awajalie maisha mema marefu yajae uzima na furaha..mzidi kumtumikia mungu wetu hadi siku ya mwisho....nabarikiwa sana na nyimbo zenu mungu awabariki mpaka mshangae❤
Naahukulu sana kuskia hvyo hata mie nabalikiwa San🙏🙏🙏🙏🙏
Which is your best here..Me..E Mungu mwenye Haki..of course all are beautiful and glorious
Je vous aime beaucoup depuis la RDC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩.
Mungu aendelee kukubariki na Roho Mtakatifu aendelee kukujaza mafuta kupita kawaida. Mungu akubariki sana. Dorcas& PAPI be blessed.
Mungu azidi kuwabaliki nimeridhika rohoyangu ika turiya tanks fir your good work ❤
Murantangaza bana bimana ❤ nukuri murumugisha wabenshi mubalikiwe Sana Kwa nyimbo za uwokovu.🎉❤ndabakunda cyaneeee ndabumvira Dk.mubalikiwe sanaaaaa
Mwenyezi Mungu apewe sifa sana, sana na tena sana. Nashukuru sana kwa ajili ya izi nyimbo zinazo upako tele. Ndugu Papi Clever na mama Dorcas, mubarikiwe kabisa.
especially hii ya mwokozi wetu hii waw inasongesha mtu kwa uwepo wa mungu
Nko gulf naskiza izi nyimbo nabarikiwa sana❤❤❤❤❤
Asanteni sana for this collection. Your songs bring so much comfort 🙏🙏😭. Mungu wa mbinguni awe pamoja nanyi
Reggae
Napenda sana nyimbo hizi zinanifariji
Mubarikiwe sana na Mungu wetu.
Asanteni sanaa Kwa nyimbo zenyu zimenibariki to sanaa mungu wa mbinguni awajalie to sanaa aki 🙏🙏🙏
Papi na Dorcas, Mungu azidi kukuinueni katika huduma yenu, hakika tunabarikiwa na uimbaji wenu.
Mufasha imitima ya benshi ,, uwiteka abakomereze amaboko umugisha we ubahoreho ndetse nabazabakomokaho, abarinde ibicantege no gucogora kd turabakunda ❤
Nyimbo hizo zinakufanya uwe karibu na Mungu na kitengenenza mambo yako na mungu mm napona moyo wangu wandani kabisa
Tuna mshukuru Bwana Yesu. Mu barikiwe sana
Nyimbo tamu kabisa ninaposikiza na isi uwepo wa Roho mtakatifu mungu azidi mbarikiwe
Roho yangu inaimba nimefunguliwa kweli ....blessed be the name of the lord
Ubarikiwe mpendwa , nyimbo ina fariji moyo wangu , baba mungu akubariki Sana
Mungu azidi kuwatumia kunguza mioyo ya watu.
Mubarikiwe sana.
Nime barikiwa Na nyimbo hizi za wokovu!!! Nime kumbuka mwito wangu toka utotoni!🙌🙌🙌😊😊😊🎉🎉🎉👏👏👏👏🙏🙏🙏🇨🇩👌❤❤❤❤❤❤❤
E mungu mwenye haki,napenda sana,may GODs grace be more on you.
Nabarikiwa niwa Saudi Arabia aki hizi nyinbo zinamguso wa mungu
Mungu awaongoze mrc mrc mrc kwanyimbo hizo
Asanteni kwa nyimbo hizi. Sifa zimrudie Bwana wetu Yesu! 🇺🇲
Mungu wa mbinguni aendelee kuwapigania na kuwainua katika kazi yenu nzuri ya uinjilisti kwa njia ya nyimbo. Nimebarikiwa sana.
Nimefunguliwa kweli❤ roho yangu inaimba
Asante kwa Nyimbo nzuri za wokovu, nime barikiwa
I was fasting for my final breakthrough and ended on this collection ya nyimbo za wokovu I cried out while worshiping by believing I'd received what I was praying for🙌all glory and power belongs to Jesus Christ my Lord and savior 🙌🙌🙌💯
I am really blessed indeed
❤
Se bien vraiment j'ai m
16 Swahili songs woow👏👏 a proud Kenyan here🇰🇪🇰🇪❤️
This one is from Rwanda
@@charleswesonga7219 True
Nyimbo safi sana.mungu awabariki
Que mon Dieu vous bénisse
Ndabakunda Iyo hiyongeye Merci ndanyurwa
Ooooh very good Glory to God 🙏🙏 MUNGU awabariki sana
Twe takuriye muri mitonde nuku lmana ibahe umugisha
Basi mubarikiwe na MUNGU Mimi mulisha nibariki Sana acha MUNGU ayiilinde karama yenu
Muri abana beza cyane, Imana ibakomereze amaboko. Musubiza ibyiringiro muri benshi turabashimiye 🙏
Murakoze cyane, kuzidushyira hamwe disi!!❤
Nimebarikiwa Sana na nyimbo za wokovu I can't stop listening this songs
Asante sana jamani MUNGU awlinde nashukuru kunikumbusha nyumbani ndo nyimbo zenye nguvu za MUNGU nabarikiwa kwa kweli amen ❤
Asante kwa nyimbo mzuri
Nimepalikiwa sana hapa niliko
Endelea na kumutukuza mungu
Mupalikiwe
Mwebwe ga Yemwe ,murinsiguro igoye kubuzima bwnj,muri ishusho yumuco ,muri ikiyo nirabamwo ejo hanj ukonipfuza ,urugo rusenga mukmpwemu nomukuri ,,,hashimye iyabaremye ikabasiga ubutore nubutoni mumurimo wa Data ,,,amavug makene ng mbavug murumugisha kumahanga
ninahipenda sana nyimbo ya mwisho siku moja mavuno
Nabarikiwa na nyimbo mpaka nalia
Mwenyezi Mungu awabariki wote kwa nyimbo nzuri za kufariji
Waao this is what I wanted thank you for the mix...ooh my God be blessed now the work is easier when i put earphones in my ears listening to this mix am blessed go go go till you achieve it
Jina la Yesu liinuliwe.Nabarikiwa Sana na HUDUMA yako.from Tanzania
Nyimbo nzuri sana. Zinanibariki sana
Kuna utukufu ndani ya nyimbo izi. Ee Mungu mwenye kweli na haki akumbuke kazi yenyu ya uimbaji
This is it. Mbarikiwe sana
Anyone with the patience to translate the songs to English. This is fantastic and my tune. From Zimbabwe
You want full translation?
Amen wapendwa mubarikiw
Amina ❤❤❤
Songs full of blessings nasikiliza na kumtukuza Mungu kwa ajili yenu. Mungu awape maisha marefu ya kumtumikia YEYE
You are extremely wondeful and a lovely couple in the Lord.
Am from Uganda may God bless you brother and sister for the good song
Naskiza nyimbo nikiwa kanisana namshukuru mungu kwa kuniamsha salama mbarikiwe