Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Machango mzuri sana Prof Kabudi, Tafiti za maana na zenye manufaa kwetu hazifadhiliwi lazima serikali Igenge Fedha za kutosha Jada eneo la Tiba hilo ndio litatuoa kwakua tayari tuna utajiri wa mimea dawa🙏👏🏻🇹🇿❤️
Anajua sana prof kabudi
Nondo za Mbunge wangu wa Kilosa. Hongera
Huyu mwambaa anajua sanaaa. Ni mtaaluma haswaaaaa.
Prof. Siyo mwanasiasa dhahiri, kawapiga shule sana taaluma imekaa
Dawa ziko nyingi za magojwa, ambazo zinatibu na pia ni uchumi. Kila kabila lina mmea linayotumia.
Kweli kabisa, mimea dawa ni muhimu Sana kulilo dawa za viwandani, Asante kabudi
Dah sasa neno ukuruba ndo geni jamani
Mzee yuko vzr saaana 💪
Project planners waunganishwe na engineering kwenye hiyo ukuruba.
Hongera sana kabudi
Mzee umetisha kwa kiswahili
Sawa mzee baba.
Ukuruba na utabahari
Hatushangai India wanatoa Tanzanite Tz, wanatajirika kuliko sisi. Tatizo la msingi nini
Ukuruba wa taaluma ni muhimu
Mbunge darasa la saba, dereva kidato cha nne ! Na ndie mtunga sheria bungeni! Hii ni akili au matopee?
Madagascar haa haaaaaa
Tusidanganyane,kila anaeongea hapo mjengoni , haonekani ana akili, bali, lazima achomekee 'kimombo" ! Musione watu wote ni wajinga!
Umesema vyema mtaalau wetu umetusaidia kuchakata mambo chachacha
Kiswahili hakijitoshelezi ktk maarifa au elimu! Maarifa yote, na elimu, ipo ktk lugha za kigeni; kiingereza,kifaransa n.k.
umewahi kuwaza wachina/wakorea na wajapan wataalam wa sayansi lakini wasiojua kiingereza??
Hapa Kuna shida
Archives. Ila nice speech. Tutaorudia 2038
😂
Kabuki kigeugeu
Machango mzuri sana Prof Kabudi, Tafiti za maana na zenye manufaa kwetu hazifadhiliwi lazima serikali Igenge Fedha za kutosha Jada eneo la Tiba hilo ndio litatuoa kwakua tayari tuna utajiri wa mimea dawa🙏👏🏻🇹🇿❤️
Anajua sana prof kabudi
Nondo za Mbunge wangu wa Kilosa. Hongera
Huyu mwambaa anajua sanaaa. Ni mtaaluma haswaaaaa.
Prof. Siyo mwanasiasa dhahiri, kawapiga shule sana taaluma imekaa
Dawa ziko nyingi za magojwa, ambazo zinatibu na pia ni uchumi. Kila kabila lina mmea linayotumia.
Kweli kabisa, mimea dawa ni muhimu Sana kulilo dawa za viwandani, Asante kabudi
Dah sasa neno ukuruba ndo geni jamani
Mzee yuko vzr saaana 💪
Project planners waunganishwe na engineering kwenye hiyo ukuruba.
Hongera sana kabudi
Mzee umetisha kwa kiswahili
Sawa mzee baba.
Ukuruba na utabahari
Hatushangai India wanatoa Tanzanite Tz, wanatajirika kuliko sisi. Tatizo la msingi nini
Ukuruba wa taaluma ni muhimu
Mbunge darasa la saba, dereva kidato cha nne ! Na ndie mtunga sheria bungeni! Hii ni akili au matopee?
Madagascar haa haaaaaa
Tusidanganyane,kila anaeongea hapo mjengoni , haonekani ana akili, bali, lazima achomekee 'kimombo" ! Musione watu wote ni wajinga!
Umesema vyema mtaalau wetu umetusaidia kuchakata mambo chachacha
Kiswahili hakijitoshelezi ktk maarifa au elimu! Maarifa yote, na elimu, ipo ktk lugha za kigeni; kiingereza,kifaransa n.k.
umewahi kuwaza wachina/wakorea na wajapan wataalam wa sayansi lakini wasiojua kiingereza??
Hapa Kuna shida
Archives. Ila nice speech. Tutaorudia 2038
😂
Kabuki kigeugeu