Dizasta Vina - Utaliimba Jina Langu Ft G Nako

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 892

  • @soudyruge-fi9xv
    @soudyruge-fi9xv 26 дней назад +324

    Dah!! Kuna muda inabidi sisi tuliofanikiwa kuzaliwa kizazi kimoja na THE GREAT THINKER DIZASTA VINA tujivunie na tujipige kifuani hiki kichwa sijui kama kitakuja kupatikana tena Tanzania miaka ya hivi karibuni 🔥🔥🔥

    • @Empirecreator-k5j
      @Empirecreator-k5j 26 дней назад +10

      TRUE

    • @josephmagele5547
      @josephmagele5547 26 дней назад +9

      Ngumu sana kupatikana kama huyu kama ngwea tu akuna aliye patikana kama huyo jamaa huyu ndo akuna atakaye jaribu ata kuwa hivi

    • @decoderhealthusa
      @decoderhealthusa 26 дней назад +8

      Nimenunua album ilipotoka tu, ila leo nilivyoiona hii lyrics video naiona ni kama mpya na idea yangu imeenda mbali zaidi.

    • @MussaDilalile
      @MussaDilalile 26 дней назад +3

      True

    • @MussaDilalile
      @MussaDilalile 26 дней назад +3

      True

  • @Togahighlights
    @Togahighlights 25 дней назад +153

    Ambao tuliinunua hiii nyimbo toka mwaka jana na tumeishika tujuane kwa like ❤

    • @AgustinoKinyaga
      @AgustinoKinyaga 25 дней назад

      Nanunuaje nyimbo zake Master dizasta

    • @RamadhanSeif-b7l
      @RamadhanSeif-b7l 24 дня назад

      toka mwaka jana mpaka mwaka huu kuna wapo walionunua hii nyimbo na saivi wapo pekeyao ndani futi sita 💔💔JE TUNATAKMBA MAJINA YAO

    • @Magna_Black
      @Magna_Black 24 дня назад +1

      Nasubiria Mwanasesere

  • @felixmselle7579
    @felixmselle7579 25 дней назад +30

    Maana halisi ya HIP HOP ni hii kupeleka ujumbe kwa njia ya fasihi. Fanani (Dizasta) 💯

  • @mdudamotorc9600
    @mdudamotorc9600 25 дней назад +60

    Nmesoma comment zote,,kama sisi ni suppoters wa mziki mzuri toka kwa dizasta vinaa, why ngoma ipo nafasi ya 25 on trending 🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️ok twende p1 tupeleke maua yke ngoma ifke No 1 trending

  • @yusuphisack285
    @yusuphisack285 26 дней назад +69

    Tulionunua ulbum tuliyapat madini haya tangu mwaka mmoja uliopita. Support kwa HIP HOP .. nunueni ulbum bado kuna vitu mnachelewa kuvipata

    • @WilliamKaseza-m5d
      @WilliamKaseza-m5d 26 дней назад +4

      Kweli kabisa albamu ndo habari ya mjini

    • @johnizoboy
      @johnizoboy 26 дней назад +6

      @@yusuphisack285 Sure..ile ni zaidi ya Album Kaka

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 26 дней назад +1

      Naamu kule kuna madini ya kutosha

    • @omarymilulu
      @omarymilulu 26 дней назад

      Maisha ya ukweli salute # ukweli salu T

    • @tzmagaladiah5680
      @tzmagaladiah5680 26 дней назад

      Ilikuwa ina nikataa sana we umenunua alafu kuna jamaa anakuambia nitumie unatuma namba za dizast

  • @dwightkurtschrute3184
    @dwightkurtschrute3184 18 дней назад +7

    Kama umetambua zaidi ya 90% ya sura zilizoonyeshwa basi you are most likely from the 90s and earlier.
    Na hii inamaanisha ushakuwa mtu mzima sasa na huu ndio muda sahihi wa kuhakikisha unaacha kumbukumbu nzuri kabla ya muda kukutupa mkono.
    Watambue watu muhimu maishani mwako na hakikisha wanajua kuwa unawapenda na kuwajali.
    Sijawahi kumsikiliza vya kutosha @DizastaVina lakini damn! This song just tore my heart to pieces.
    Binafsi nimepoteza watu wengi muhimu maishani mwangu over the last few years but i guess kuendelea kupambana kuwa the best version of myself na kuwakumbuka waliotangulia ndio njia sahihi.

  • @MengiMeng-fd7sq
    @MengiMeng-fd7sq 21 день назад +10

    tujuane basi wanangu wa ngumu kumeza kama hizi zenye ujumbe mzuri ndani❤❤❤❤❤

  • @deetz3181
    @deetz3181 25 дней назад +44

    IFIKE STAGE VINA APEWE HESHIMA ANAYOSTAHILI. GOAT!

    • @Nickbrown127
      @Nickbrown127 25 дней назад

      Ulishawahi kununua album yake hata moja?

    • @deetz3181
      @deetz3181 25 дней назад +1

      @Nickbrown127 FATHER FIGURE

    • @mdasaboi
      @mdasaboi 25 дней назад

      ...yes huwaa wanaongea tu wakat hata hajawah kuwa na album ya mchizi

    • @ekicrevo6890
      @ekicrevo6890 18 дней назад

      Tutamtengenezea tunzo mashabiki

  • @Slechakanyi
    @Slechakanyi 25 дней назад +143

    0.39 R.I.P Sajuki
    0.51 R.I.P Yusuph Manji
    0.53 R.I.P J.K. Nyerere
    1.02 R.I.P Godzillah
    1.11 R.I.P Albert Mangwea
    1.11 R.I.P Geez Mabovu
    1.18 R.I.P Kanumba
    1.23 R.I.P Amina Chifupa
    1.36 R.I.P Agnes Masogange
    1.44 R.I.P Augustino Mrema
    1.45 R.I.P Benjamin Mkapa
    1.52 R.I.P Salutaba (Salu Tee)
    1.57 R.I.P Abeid Karume
    2.03 R.I.P Vivian Tilia (Vivi)
    2.03 R.I.P Saimon Sayi (Complex)
    2.06 R.I.P Langa Kileo
    2.17 R.I.P Loshilaa Motika (Mr Ebbo)
    2.23 R.I.P Samuel Sitta
    2.30 R.I.P Cpwaa
    2.35 R.I.P Amina Ngaluma
    2.43 R.I.P Mandojo
    2.47 R.I.P King Majuto
    3.01 R.I.P Asimwe
    3.09 R.I.P Magufuli
    3.14 R.I.P Lowassa
    3.21 R.I.P Idi Amini Dada Oumee
    3.26 R.I.P Regnald Mengi
    3.42 R.I.P James Dandu
    3.48 R.I.P Fatuma Binti Baraka (Bi Kidude)
    3.56 R.I.P Nasma Khamis Kidogo
    4.00 R.I.P Akwelina
    4.05 R.I.P Banza Stone
    4 16 R.I.P Nisher
    4.39 R.I.P Bi Hindu
    4.43 R.I.P Kingunge Ngombale Mwiru
    4.52 R.I.P Hussein Jumbe
    4.57 R.I.P Ephraim Kibonde
    4.57 R.I.P Gadner G. Habash
    5.02 R.I.P Mohamed Fungafunga (Jengua)
    5.07 R.I.P Yusuph Kaimu (Pembe)
    5.12 R.I.P Dida Shaibu
    5.30 R.I.P Mwalimu Kashasha
    5.36 R.I.P Hamza
    5.41 R.I.P Ruge Mutahaba
    5.46 R.I.P Sharo Milionea
    5.55 R.I.P Malcom Masoud Kipanya

    • @allymbondo111
      @allymbondo111 25 дней назад +6

      Kuna Aquelina, na nisher

    • @dizastavinafanaccount
      @dizastavinafanaccount 25 дней назад +7

      Add
      Amina Ngaruma
      Bi Hindu
      Pembe
      C pwaa

    • @Slechakanyi
      @Slechakanyi 25 дней назад +4

      @@dizastavinafanaccount Cpwaa yupo dakika ya ngapi??

    • @Slechakanyi
      @Slechakanyi 25 дней назад +1

      @@allymbondo111 Nisher kaonekana dakika ya ngapi

    • @Ashibutz
      @Ashibutz 25 дней назад +1

      @@dizastavinafanaccount cpwaa

  • @stephenfelix5158
    @stephenfelix5158 25 дней назад +37

    R.I.P Philipo Tobias, mdogo wangu, alifariki 22.12.2024,

  • @ibni_H2TL6r
    @ibni_H2TL6r 25 дней назад +42

    I'm here to speak with you 2050s generation today it's 8 Jan 2025 THIS DUDE WAS BADDEST & MUCH CREATOR in our 90s generation PLEASE MUST RESPECT HIM

  • @frankkajoba8372
    @frankkajoba8372 16 дней назад +9

    Sijutii kununua album ya huyu mwamba. The best hip hop kwa Tz kwa sasa.

  • @PhillyAmbilikile
    @PhillyAmbilikile 26 дней назад +21

    Ni kweli Kila mtu ana rapa wake Bora kulingana na vigezo vyake kwanguuu Mimi dizasta vina ni kinara wao

  • @_Sammy_BbOy_Bseven
    @_Sammy_BbOy_Bseven 15 дней назад +6

    Nyimbo zako zimekuwazikinijenga sana kwamafunzo, hii nayo funzo tosha wakati tupo hai tuishi kwakuandaa mwisho wetu mwema tusiishi kwakujisahau dunia ni mapito na kila nafsi itaonja umauti, Asante sana D.vina kwakutukumbusha ilo ubarikiwe sana ❤
    😢 Dunia inashidwa kunilinda.

  • @MANENOHEMEDYTV
    @MANENOHEMEDYTV 14 дней назад +5

    Daaa huyu jamaaa ni mashine sana Akili kubwa, namkubali sana ❤❤❤❤

  • @kejomaster6161
    @kejomaster6161 19 дней назад +6

    Uwezo mkubwa wa kufikiri peni haiwezi kugoma kwenye karatasi, hii nimeikubali sana always salute to "VINA"

  • @kingshaat1101
    @kingshaat1101 25 дней назад +11

    Sasa huu ndio mziki!
    Unasikiliza na akili, moyo, na roho.

  • @yosown1778
    @yosown1778 25 дней назад +13

    G NAKO CHORUS YAKO IPO SO EMOTIONAL ALAFU JINSI VINA ANAVYOFLOW UNAJIFEEL UPO DUNIA NYENGINE SPIRITUAL YOU GUYS ARE MY MENTORS TOO

    • @EmmanuelMvinga
      @EmmanuelMvinga 24 дня назад +1

      Aisee unakuta UMETULIA ADI UNAOGOPA lakin ndio song 😂

  • @collinwalter8965
    @collinwalter8965 25 дней назад +8

    Inapoweza Kuibua husia FULANI ndani yako ,Hiyo ndiyo sanaa .."THIS IS ART"

  • @emanuellawrence7462
    @emanuellawrence7462 23 дня назад +5

    Tuko nonde apa kilimani tuna choma uchafu kusafisha akili respect tkoea mbeya .... One love fam

  • @Georgevasco-ld8be
    @Georgevasco-ld8be 26 дней назад +8

    Mtu makini 🔥

  • @johnizoboy
    @johnizoboy 26 дней назад +26

    This Guy is truly a Genius. Huu uwasilishaji uliojaa Vina lukuki na Moangilio wa Dhima ya kuliimba jina langu ni wa kipekee sana...Dizasta Vina ni kama mtaala tu kwa Sasa kwenye hichi kizazi cha Young rappers...Beat kali sanaa, Mixing🔥🔥🔥🔥...Animations zimetulia sana...Chorus kali sanaaa...Hip hop at its finest level and Dizasta is the Man of the Moment🔥🔥🔥

  • @DavidmyJohnDavidmyJohn
    @DavidmyJohnDavidmyJohn 25 дней назад +10

    Wimbo wa Dunia vizazi na vizazi respect brother dizavina vs g Nako ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @charleskitoki4648
    @charleskitoki4648 24 дня назад +8

    Ishi sana mwamba sauti yako hakika yagharama sana.

  • @collihgram
    @collihgram 25 дней назад +7

    Majina mengi sana yametajwa humu ndani bila kutajwa.

  • @godzillahlegacy4889
    @godzillahlegacy4889 23 дня назад +6

    "Masikini roho yangu mimi, itaenda wapi pindi mwili utakapogusa udongo mkavu chini"💔

  • @nassoromelele7339
    @nassoromelele7339 24 дня назад +17

    NO. 1 - VINA
    Muda wa kuona Ukubwa wake katika hii tasnia.
    Album Imeshiba sana hii📌

    • @IpEleven-h1e
      @IpEleven-h1e 23 дня назад

      Kweli kaka, time ifike media za bongo zimpe airtime ya kutosha

  • @lukundoGrace
    @lukundoGrace 25 дней назад +12

    Ila g nako popote kambi🙌

  • @officer1208
    @officer1208 25 дней назад +14

    Dizasta Vina ni Dizasta kweli,hili ni toleo la mwisho la viumbe wa aina yake.

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 26 дней назад +11

    Daahhh😢😢 Nimemuona Hamza

  • @danceworld255
    @danceworld255 20 дней назад +4

    Dizasta wewe ni rappa namba 1+
    Na ninavyo ona hakuna anae kukaribia maana namba 2, 3 4 na 5 zote zipo wazi, hazija mpata angalau anae kufanania.
    Wao wameanza namba 6,7,8...
    Na wana struggle kuwa kama wewe ila kalamu inawakataa maana mashairi yao sio stong kwenye masikio
    🙌

  • @abhralyrics9816
    @abhralyrics9816 25 дней назад +13

    Oya huu ni mgodi ambao hauishiw na madin shabik namb 1 hapa wa dizasta vina

  • @NestymmwampambaNestymmwampamba
    @NestymmwampambaNestymmwampamba 26 дней назад +20

    ila dizasta vina nakukubali Sana mungu akubariki na kaz zako🙏

  • @legawayz6093
    @legawayz6093 25 дней назад +14

    UWEZO MKUBWA WA KUFIKIRI 👏
    G nako iyo chorus kauwa aise du!
    Storyteller mmoja tu DIZASTA VINA
    MTALIIMBA JINA LANGU 💪
    Take 👊 vina

  • @DaboDullyz
    @DaboDullyz 22 дня назад +3

    Vina

  • @samirelhiad1243
    @samirelhiad1243 25 дней назад +8

    Ila Dizasta!!!!! Unajua sana mzee 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @Dannytitoff254
    @Dannytitoff254 26 дней назад +12

    Ifike muda sasa dizasta vina atoe hata riwaya ili kizazi kichacho kikuje kufaidi vyote viwili yani kitabu na hizi ngoma zake
    MUCH RESPECT

    • @RajabNgome-b3z
      @RajabNgome-b3z 25 дней назад

      Au maktaba za serikal zihifadh kumbukumbu za kazi za huyu jamaa ili kuja kuwapa madini kizazi kinachokuja

  • @avivtelcomms
    @avivtelcomms 25 дней назад +6

    13hrs with more than 18k views, big up dizasta...i know the hustle, seeing you making these heights am humbled....shawn midundo apa nina mizigo yako apa kaka

  • @AmaniLangsoni-k9f
    @AmaniLangsoni-k9f 19 дней назад +5

    Dizasta Vina ulishasema we so malaika we ni Mungu wa rapu

  • @kicheko4980
    @kicheko4980 21 день назад +7

    Ambacho hamjui hapa ni kwamba kila mtu anatokea kwenye mstari mahususi, hajawekwa tu

  • @MoDesigner-z4j
    @MoDesigner-z4j 25 дней назад +8

    Tujitahidini kushare kila pande ngoma kali hii iwafikie wana hip hop na wasioelewa wajitambue

  • @taisonbd1844
    @taisonbd1844 25 дней назад +10

    Toka Congo pokeya zangu respect 🤗

  • @Jumashadhil380
    @Jumashadhil380 25 дней назад +6

    Happy New year My Brother Dizzasta,, you are Greatest Of The All Time so far🎉🎉🎉 Nakukubali Kaka❤

  • @hexjoh3946
    @hexjoh3946 20 дней назад +5

    Yeeeees! this is hip hop culture

  • @djdarmaga
    @djdarmaga 25 дней назад +9

    YE, NAS, TRAVIS SCOT, KENDRICK LAMAR, J COLE hawa watu wanauandishi mzuri na wanafikilia sana TZ tujivunie kuwa na DIZASTA VINNA jamani 🎉🎉🎉🎉

    • @C.O.D7467
      @C.O.D7467 23 дня назад

      Ila sio same flow kama vina wetu vina mkali ila awezi change Kama awo uliowataja

  • @salumukatani03-u8b
    @salumukatani03-u8b 25 дней назад +11

    Genius Dizasta vina umetukumbusha Jambo la muhimu sana kifo,,, Mwenyezimungu atujaalie mwisho mwema🙏

  • @Mnyakyuboy
    @Mnyakyuboy 25 дней назад +10

    Dah brother 😢😢 akika mungu kakujalia uwezo m najivunia saaan kuskiliza ukiimba napata elimu dunia napata hekima napata vingi saaan brother 😢😢 mungu tu akujalie miaka mingi 🎻

  • @BonMaro
    @BonMaro 26 дней назад +8

    Dizasta vina ,bro unajua adibasi maana unatupa darasa kua hiii memory yandgu zetu walio tangulia mbele ya haki wote walikuepo nasi lakni atukuwaikupa sifa napongez zao kwayote waliyo fanya wakiwa hai tuasubiri wapotee kwenye usowaduni ndotuanze kusema ooh alkua bora ooh ailkuIv hapana ,for me thanks u bro unajua kutupa mashabiki zako what we need mmh coz umeimba maisha yakweli kwass tuliopo tujitafakari snaaa 🎶🇹🇿🙏 God bless you and long life to you Eendelea kutupa vitu vzrii

  • @nuruhegera3760
    @nuruhegera3760 26 дней назад +15

    Kama umemshuhudia Messi , Umemshuhudia Dizasta Vina , Umemshuhudia na lisu basi Umemshuhudia kila kitu

  • @emilyrenatus9374
    @emilyrenatus9374 20 дней назад +4

    Ni time taasisi za elimu ya juu kumualika vinna kutoa elimu ya fasihi kwa wanafunzi wa elimu ya juu…. His lyrical will live forever …. Ni muziki wa guidance kwa kutuweka katika kutunza misingi….. whenever I wanna meditate alone I just put dizasta vina songs on backgrounds …. Pure culture ✍🏿

  • @rashidsaidy4647
    @rashidsaidy4647 23 дня назад +7

    huusio wimbo tu Bali ni mawaidha pia 🙏

  • @Ashibutz
    @Ashibutz 23 дня назад +6

    Twendeni hii ngoma binafsi natamani itfike ata kwenye 10-9-8 trending lakini dah em tukaze wanangu tupite kila platform kuisapoti

  • @dakeeog585
    @dakeeog585 26 дней назад +12

    Daah Dizasta ni mmoja tu sasa hapo watoto wa iringa mmekutana G NAKO kauwasha moto

    • @AmmielNzala-fu4xu
      @AmmielNzala-fu4xu 26 дней назад

      Watoto w iringa kivipi kaka sijaelewa

    • @frankcharles3980
      @frankcharles3980 26 дней назад

      ​@@AmmielNzala-fu4xuhata mm cjamuerewa

    • @emanuelsamkinda2893
      @emanuelsamkinda2893 25 дней назад

      Kwhy G nako n wa iringa 😂😂😂, sorry lkn km nmekuelewa vibaya

    • @ShedrackKiwale
      @ShedrackKiwale 24 дня назад

      Hii ya moto sana kaka 🔥🔥🔥🔥🔥

    • @mpjozzegalvanize4926
      @mpjozzegalvanize4926 24 дня назад

      ​@@emanuelsamkinda2893 kiasili sema kazaliwa na kukulia chuga

  • @chechetv9668
    @chechetv9668 21 день назад +4

    Ma meeeeen DIZASTA

  • @HosianaKulanga
    @HosianaKulanga 26 дней назад +12

    Npo kwenye taifa ambalo dizasta yupo❤❤❤❤❤❤

  • @jacksonedward2190
    @jacksonedward2190 25 дней назад +6

    Mara ya kumi hii narudia kuusikiliza huu wimbo daah✊️🙌

  • @YunusYahya-gr6ks
    @YunusYahya-gr6ks 18 дней назад +3

    Dhida ni mojaa tu mwamba anakaziwa sana ilaa poaa tuu one day yes you will be up than them master thinker but now no 1 to 9 best rapper is dizasta only anaweza akaapiga kibao kikali mpaka FID Q Nkamuona SAJNA tu

  • @MokaEmcee
    @MokaEmcee 23 дня назад +4

    From Kenya haya ndo madini yanafaa kulindwa

  • @HamisiMatandaya-xs3lz
    @HamisiMatandaya-xs3lz 25 дней назад +14

    Ngoma ina fact nyingi, tz kuna wasanii wengi ila dizasta ni mmoja tu...✍️

  • @ChrissJoel-t1c
    @ChrissJoel-t1c 25 дней назад +34

    Video 100%
    Lyrics 100%
    Audio 100%
    Beat 100%
    Idea
    100%
    DIZASTA vina 100%. Moja ya zawadi kubwa kwa kizazi hiki ni kumshuhudia DIZASTA VINA

  • @MartinJ.D.Msigwa
    @MartinJ.D.Msigwa 15 часов назад +1

    Vina stay blessed always, nimeamka na kuomba tunaishi tunaishia 🙏🏾🙏🏾

  • @paulonjozi1638
    @paulonjozi1638 25 дней назад +7

    dizasta vina kaondoka nahisia zawengisana kupitia hii❣️🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @ramadhanimwajuma4701
    @ramadhanimwajuma4701 25 дней назад +6

    Hubembelezi warembo we sio marioo,

  • @JEURI.Mwinyimkuu
    @JEURI.Mwinyimkuu 21 день назад +5

    Kila kitu watu wameongea me niseme tu mkuu so proud ✊✊✊

  • @RichadIsaya
    @RichadIsaya 18 дней назад +4

    Oyaaaaa mwamba anazingatia sana pen tuache unafiki tukae kwenye ukweli

  • @ibni_H2TL6r
    @ibni_H2TL6r 25 дней назад +10

    Huyu ni kama darasa ama din tunajifunza na kueleimika kupitia Talent aliyobarikiwa na mungu..... Eeh M/Mungu Ampe umri mrefu Dizasta kwa AJILI YA kuokoa kizazi chetu kupitia kipaji CHAKO kinatukumbusha kuhus hii TEMPORARY AIR TUNASHUKURU BRO WEWE NDIO UKUMBUSHO WA HIKI KIZAZI CHETU WE LOVE YOU❤❤

  • @mollelezekiel4337
    @mollelezekiel4337 24 дня назад +5

    Sina cha kusema aisee… kuna wasanii….. hakuna msanii kama huyu Tz nzima, swala sio kuimba, swala ni Tungo. “🫡🫡🫡🫡🫡

  • @hassansalim1054
    @hassansalim1054 22 дня назад +3

    Huyu jamaa kweny uandishi han mshindani🔥🔥🔥

  • @onlinewinner8891
    @onlinewinner8891 24 дня назад +14

    Utalala gizani, japo watasema umelala pema😢

  • @friendstobias1551
    @friendstobias1551 25 дней назад +6

    Utatembea lini Kenya black Maradona tunakukubali sana huku. Consiuos music nearly Godly.

  • @Manfesto001
    @Manfesto001 17 дней назад +4

    Nidhaifu na kweli dunia inashindwa kunilinda,,

  • @griezmannmhalaka4338
    @griezmannmhalaka4338 25 дней назад +9

    Dizasta ni mmoja tu, Rigo beat ni mmoja tu na G nako ni mmoja tu....
    Ngoma imesimama hii. Kuanzia Beat, Vocal, Lyrics, Sound, chorus na verse zote.
    Vyote vipo emotionally kama dhima ya ngoma.
    Sema sauti ya Vina ni ya Gharama kweli kweli

  • @LuqmaanAthuman-n2e
    @LuqmaanAthuman-n2e 26 дней назад +10

    Mungu akuweke mshikaji kuna vitu tunajifunza sana kwako

  • @Jimmydaudift
    @Jimmydaudift 25 дней назад +4

    Rip samu wakweli Rip mangwer Rip langa
    Aisee hisia kali

  • @daudisimwinga1324
    @daudisimwinga1324 25 дней назад +7

    Dizasta has reminded us to know that we are all about to depart this world

  • @MalechaMeda
    @MalechaMeda 22 дня назад +3

    Diza kwa tungo zako ni fire 🔥🔥 kaka

  • @johngruca658
    @johngruca658 26 дней назад +25

    HAPPY NEW YEAR VINA FAMILY....😅😅 LEO NDO NAAANZA MWAKA

  • @Ashibutz
    @Ashibutz 23 дня назад +4

    Tunasepa kama ivo lazima waliimbe jina na tutaliimba pia

  • @muavooyrn
    @muavooyrn 22 дня назад +3

    Mzee WA kaziiiii vinnnnna💯🇹🇿

  • @TitoKabwe
    @TitoKabwe 21 день назад +3

    Dizasta

  • @113chamber
    @113chamber 26 дней назад +9

    Kwenye kazi zake dizasta amekua akitukumbusha tusisahau kuwa hapa Duniani we just passing through ✊

  • @PhillyAmbilikile
    @PhillyAmbilikile 26 дней назад +10

    Rapper Bora halindwi mungu ametupa mchizi kama darasa la kujifunza mengi mda mwingine ni kama dini tuu

  • @sirilykiwory1911
    @sirilykiwory1911 26 дней назад +10

    In loving memory of Malcom Masoud Kipanya 👏🏽

  • @Isaka05
    @Isaka05 23 дня назад +12

    (sad😢) nimewakumbuka ndugu zangu......!
    Ukiona comment hii we like ili inirudishe kuisikiliza tena hii ngoma ya mtaalam Dizasta vina

  • @abdulrazakimpunda8235
    @abdulrazakimpunda8235 26 дней назад +8

    Disaster NI zaid ya module za chuo 🙌
    Kama unaubongo mdogo WA kufikiria huwez muelewa nilazima atakuacha at the beginning 🙌

  • @abduliAlex
    @abduliAlex 20 дней назад +3

    Daaah iii nyimbo ni husia tosha unajua brother

  • @jacksonyusuph606
    @jacksonyusuph606 22 дня назад +3

    Hii ngoma noma sana.
    kimaana, Tungo ziko sambamba na picha za marehemu

  • @Jumarox-j7p
    @Jumarox-j7p 20 дней назад +4

    Daaah hakuna rapa mkali nchi hiii kama wewe kaka

  • @alhadymoratal5055
    @alhadymoratal5055 24 дня назад +6

    Hii ni mara ya 50 narudia ila bado xjaridhika kbisaaa maana inagusa uhalisia 😢😢😢 UPO KWA AJILI YA JAMII YETU 😢😢MUNGU NDIE ANAJUA UKUBWA WAKO🙏🙏

  • @MabrouckMussa
    @MabrouckMussa 25 дней назад +12

    Ukinunuaa albam ya dizasta vina!! Hutojutia pesa yako... Vina katika kilele cha ubora!!

    • @dismacking8421
      @dismacking8421 22 дня назад

      Album unanunuaje

    • @MabrouckMussa
      @MabrouckMussa 22 дня назад

      @dismacking8421 ingia kwenye page za dizasta kuna namba ake unatuma hela anakuwekea kwenye email au kama unataka wasap

  • @norbertlauson5108
    @norbertlauson5108 21 день назад +3

    Vina 🚀

  • @erickAfricatz
    @erickAfricatz 24 дня назад +2

    Aisee hiki kichwa kiwe kinapewa hata tuzo za heshima ❤❤❤❤ dizasta vina your great 👍

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 21 день назад +3

    Underground Hip Hop ndiyo ujumbe halisi wa Jamii ulipo Dizasta Vina+G nako mmewakilisha vyema ile maana halisi ya Msanii kioo cha Jamii

  • @yustinajoseph5819
    @yustinajoseph5819 15 дней назад +2

    Great of all time dizasta🇹🇿🇹🇿

  • @salimabrahman3525
    @salimabrahman3525 26 дней назад +8

    Daaaaaah huyu jamaa lakini muna msikiliza kama mimi au munasikilizia juju juju jamaa anamjua bongo saiz hakuna kama Black maradona🔥🔥🔥🔥🔥🏆🏆🏆

  • @SteveMungete
    @SteveMungete 24 дня назад +9

    atuogopi kufa ila tunahofia wanao bakii 😢😢😢😢😢

  • @winfredykahwili1513
    @winfredykahwili1513 22 дня назад +3

    Vinaaa💥💥💥💥💥💪💪👊👊👊

  • @JohnRango-s1d
    @JohnRango-s1d 19 дней назад +3

    Kila nikifikiria fikra zangu najiuliza naweza fikiri kama D,kaka anajua sanaa sayansi yake yake ubungo ipo juu sana ❤

  • @SteveTegemea-fj6de
    @SteveTegemea-fj6de 17 дней назад +3

    Dizasta Huwa Ana fikra Chanya Sana.....

  • @jerryjob360
    @jerryjob360 26 дней назад +7

    Huyu mwamba kweli yuko chini kashikilia nguzo wakati hawa ma-slay rappers wanagombea tuzo jukwaani. The fact kwamba hatumsikii Dizasta nonstop maredioni inasema mengi juu ya jamii yetu.
    Tuko nyuma sana kifikra. Huyu ndo rapper bora kuliko wote TZ and beyond🔥🔥