Dah!! Kuna muda inabidi sisi tuliofanikiwa kuzaliwa kizazi kimoja na THE GREAT THINKER DIZASTA VINA tujivunie na tujipige kifuani hiki kichwa sijui kama kitakuja kupatikana tena Tanzania miaka ya hivi karibuni 🔥🔥🔥
Nmesoma comment zote,,kama sisi ni suppoters wa mziki mzuri toka kwa dizasta vinaa, why ngoma ipo nafasi ya 25 on trending 🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️ok twende p1 tupeleke maua yke ngoma ifke No 1 trending
Kama umetambua zaidi ya 90% ya sura zilizoonyeshwa basi you are most likely from the 90s and earlier. Na hii inamaanisha ushakuwa mtu mzima sasa na huu ndio muda sahihi wa kuhakikisha unaacha kumbukumbu nzuri kabla ya muda kukutupa mkono. Watambue watu muhimu maishani mwako na hakikisha wanajua kuwa unawapenda na kuwajali. Sijawahi kumsikiliza vya kutosha @DizastaVina lakini damn! This song just tore my heart to pieces. Binafsi nimepoteza watu wengi muhimu maishani mwangu over the last few years but i guess kuendelea kupambana kuwa the best version of myself na kuwakumbuka waliotangulia ndio njia sahihi.
Nyimbo zako zimekuwazikinijenga sana kwamafunzo, hii nayo funzo tosha wakati tupo hai tuishi kwakuandaa mwisho wetu mwema tusiishi kwakujisahau dunia ni mapito na kila nafsi itaonja umauti, Asante sana D.vina kwakutukumbusha ilo ubarikiwe sana ❤ 😢 Dunia inashidwa kunilinda.
This Guy is truly a Genius. Huu uwasilishaji uliojaa Vina lukuki na Moangilio wa Dhima ya kuliimba jina langu ni wa kipekee sana...Dizasta Vina ni kama mtaala tu kwa Sasa kwenye hichi kizazi cha Young rappers...Beat kali sanaa, Mixing🔥🔥🔥🔥...Animations zimetulia sana...Chorus kali sanaaa...Hip hop at its finest level and Dizasta is the Man of the Moment🔥🔥🔥
Dizasta wewe ni rappa namba 1+ Na ninavyo ona hakuna anae kukaribia maana namba 2, 3 4 na 5 zote zipo wazi, hazija mpata angalau anae kufanania. Wao wameanza namba 6,7,8... Na wana struggle kuwa kama wewe ila kalamu inawakataa maana mashairi yao sio stong kwenye masikio 🙌
13hrs with more than 18k views, big up dizasta...i know the hustle, seeing you making these heights am humbled....shawn midundo apa nina mizigo yako apa kaka
Dah brother 😢😢 akika mungu kakujalia uwezo m najivunia saaan kuskiliza ukiimba napata elimu dunia napata hekima napata vingi saaan brother 😢😢 mungu tu akujalie miaka mingi 🎻
Dizasta vina ,bro unajua adibasi maana unatupa darasa kua hiii memory yandgu zetu walio tangulia mbele ya haki wote walikuepo nasi lakni atukuwaikupa sifa napongez zao kwayote waliyo fanya wakiwa hai tuasubiri wapotee kwenye usowaduni ndotuanze kusema ooh alkua bora ooh ailkuIv hapana ,for me thanks u bro unajua kutupa mashabiki zako what we need mmh coz umeimba maisha yakweli kwass tuliopo tujitafakari snaaa 🎶🇹🇿🙏 God bless you and long life to you Eendelea kutupa vitu vzrii
Ni time taasisi za elimu ya juu kumualika vinna kutoa elimu ya fasihi kwa wanafunzi wa elimu ya juu…. His lyrical will live forever …. Ni muziki wa guidance kwa kutuweka katika kutunza misingi….. whenever I wanna meditate alone I just put dizasta vina songs on backgrounds …. Pure culture ✍🏿
Dhida ni mojaa tu mwamba anakaziwa sana ilaa poaa tuu one day yes you will be up than them master thinker but now no 1 to 9 best rapper is dizasta only anaweza akaapiga kibao kikali mpaka FID Q Nkamuona SAJNA tu
Huyu ni kama darasa ama din tunajifunza na kueleimika kupitia Talent aliyobarikiwa na mungu..... Eeh M/Mungu Ampe umri mrefu Dizasta kwa AJILI YA kuokoa kizazi chetu kupitia kipaji CHAKO kinatukumbusha kuhus hii TEMPORARY AIR TUNASHUKURU BRO WEWE NDIO UKUMBUSHO WA HIKI KIZAZI CHETU WE LOVE YOU❤❤
Dizasta ni mmoja tu, Rigo beat ni mmoja tu na G nako ni mmoja tu.... Ngoma imesimama hii. Kuanzia Beat, Vocal, Lyrics, Sound, chorus na verse zote. Vyote vipo emotionally kama dhima ya ngoma. Sema sauti ya Vina ni ya Gharama kweli kweli
Huyu mwamba kweli yuko chini kashikilia nguzo wakati hawa ma-slay rappers wanagombea tuzo jukwaani. The fact kwamba hatumsikii Dizasta nonstop maredioni inasema mengi juu ya jamii yetu. Tuko nyuma sana kifikra. Huyu ndo rapper bora kuliko wote TZ and beyond🔥🔥
Dah!! Kuna muda inabidi sisi tuliofanikiwa kuzaliwa kizazi kimoja na THE GREAT THINKER DIZASTA VINA tujivunie na tujipige kifuani hiki kichwa sijui kama kitakuja kupatikana tena Tanzania miaka ya hivi karibuni 🔥🔥🔥
TRUE
Ngumu sana kupatikana kama huyu kama ngwea tu akuna aliye patikana kama huyo jamaa huyu ndo akuna atakaye jaribu ata kuwa hivi
Nimenunua album ilipotoka tu, ila leo nilivyoiona hii lyrics video naiona ni kama mpya na idea yangu imeenda mbali zaidi.
True
True
Ambao tuliinunua hiii nyimbo toka mwaka jana na tumeishika tujuane kwa like ❤
Nanunuaje nyimbo zake Master dizasta
toka mwaka jana mpaka mwaka huu kuna wapo walionunua hii nyimbo na saivi wapo pekeyao ndani futi sita 💔💔JE TUNATAKMBA MAJINA YAO
Nasubiria Mwanasesere
Maana halisi ya HIP HOP ni hii kupeleka ujumbe kwa njia ya fasihi. Fanani (Dizasta) 💯
Nmesoma comment zote,,kama sisi ni suppoters wa mziki mzuri toka kwa dizasta vinaa, why ngoma ipo nafasi ya 25 on trending 🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️ok twende p1 tupeleke maua yke ngoma ifke No 1 trending
NAKUBALI BOY WANGU
Tulionunua ulbum tuliyapat madini haya tangu mwaka mmoja uliopita. Support kwa HIP HOP .. nunueni ulbum bado kuna vitu mnachelewa kuvipata
Kweli kabisa albamu ndo habari ya mjini
@@yusuphisack285 Sure..ile ni zaidi ya Album Kaka
Naamu kule kuna madini ya kutosha
Maisha ya ukweli salute # ukweli salu T
Ilikuwa ina nikataa sana we umenunua alafu kuna jamaa anakuambia nitumie unatuma namba za dizast
Kama umetambua zaidi ya 90% ya sura zilizoonyeshwa basi you are most likely from the 90s and earlier.
Na hii inamaanisha ushakuwa mtu mzima sasa na huu ndio muda sahihi wa kuhakikisha unaacha kumbukumbu nzuri kabla ya muda kukutupa mkono.
Watambue watu muhimu maishani mwako na hakikisha wanajua kuwa unawapenda na kuwajali.
Sijawahi kumsikiliza vya kutosha @DizastaVina lakini damn! This song just tore my heart to pieces.
Binafsi nimepoteza watu wengi muhimu maishani mwangu over the last few years but i guess kuendelea kupambana kuwa the best version of myself na kuwakumbuka waliotangulia ndio njia sahihi.
tujuane basi wanangu wa ngumu kumeza kama hizi zenye ujumbe mzuri ndani❤❤❤❤❤
IFIKE STAGE VINA APEWE HESHIMA ANAYOSTAHILI. GOAT!
Ulishawahi kununua album yake hata moja?
@Nickbrown127 FATHER FIGURE
...yes huwaa wanaongea tu wakat hata hajawah kuwa na album ya mchizi
Tutamtengenezea tunzo mashabiki
0.39 R.I.P Sajuki
0.51 R.I.P Yusuph Manji
0.53 R.I.P J.K. Nyerere
1.02 R.I.P Godzillah
1.11 R.I.P Albert Mangwea
1.11 R.I.P Geez Mabovu
1.18 R.I.P Kanumba
1.23 R.I.P Amina Chifupa
1.36 R.I.P Agnes Masogange
1.44 R.I.P Augustino Mrema
1.45 R.I.P Benjamin Mkapa
1.52 R.I.P Salutaba (Salu Tee)
1.57 R.I.P Abeid Karume
2.03 R.I.P Vivian Tilia (Vivi)
2.03 R.I.P Saimon Sayi (Complex)
2.06 R.I.P Langa Kileo
2.17 R.I.P Loshilaa Motika (Mr Ebbo)
2.23 R.I.P Samuel Sitta
2.30 R.I.P Cpwaa
2.35 R.I.P Amina Ngaluma
2.43 R.I.P Mandojo
2.47 R.I.P King Majuto
3.01 R.I.P Asimwe
3.09 R.I.P Magufuli
3.14 R.I.P Lowassa
3.21 R.I.P Idi Amini Dada Oumee
3.26 R.I.P Regnald Mengi
3.42 R.I.P James Dandu
3.48 R.I.P Fatuma Binti Baraka (Bi Kidude)
3.56 R.I.P Nasma Khamis Kidogo
4.00 R.I.P Akwelina
4.05 R.I.P Banza Stone
4 16 R.I.P Nisher
4.39 R.I.P Bi Hindu
4.43 R.I.P Kingunge Ngombale Mwiru
4.52 R.I.P Hussein Jumbe
4.57 R.I.P Ephraim Kibonde
4.57 R.I.P Gadner G. Habash
5.02 R.I.P Mohamed Fungafunga (Jengua)
5.07 R.I.P Yusuph Kaimu (Pembe)
5.12 R.I.P Dida Shaibu
5.30 R.I.P Mwalimu Kashasha
5.36 R.I.P Hamza
5.41 R.I.P Ruge Mutahaba
5.46 R.I.P Sharo Milionea
5.55 R.I.P Malcom Masoud Kipanya
Kuna Aquelina, na nisher
Add
Amina Ngaruma
Bi Hindu
Pembe
C pwaa
@@dizastavinafanaccount Cpwaa yupo dakika ya ngapi??
@@allymbondo111 Nisher kaonekana dakika ya ngapi
@@dizastavinafanaccount cpwaa
R.I.P Philipo Tobias, mdogo wangu, alifariki 22.12.2024,
pole kaka
@@jamesedward1044 . amen🙏
I'm here to speak with you 2050s generation today it's 8 Jan 2025 THIS DUDE WAS BADDEST & MUCH CREATOR in our 90s generation PLEASE MUST RESPECT HIM
Sijutii kununua album ya huyu mwamba. The best hip hop kwa Tz kwa sasa.
Ni kweli Kila mtu ana rapa wake Bora kulingana na vigezo vyake kwanguuu Mimi dizasta vina ni kinara wao
Nyimbo zako zimekuwazikinijenga sana kwamafunzo, hii nayo funzo tosha wakati tupo hai tuishi kwakuandaa mwisho wetu mwema tusiishi kwakujisahau dunia ni mapito na kila nafsi itaonja umauti, Asante sana D.vina kwakutukumbusha ilo ubarikiwe sana ❤
😢 Dunia inashidwa kunilinda.
Daaa huyu jamaaa ni mashine sana Akili kubwa, namkubali sana ❤❤❤❤
Uwezo mkubwa wa kufikiri peni haiwezi kugoma kwenye karatasi, hii nimeikubali sana always salute to "VINA"
Sasa huu ndio mziki!
Unasikiliza na akili, moyo, na roho.
G NAKO CHORUS YAKO IPO SO EMOTIONAL ALAFU JINSI VINA ANAVYOFLOW UNAJIFEEL UPO DUNIA NYENGINE SPIRITUAL YOU GUYS ARE MY MENTORS TOO
Aisee unakuta UMETULIA ADI UNAOGOPA lakin ndio song 😂
Inapoweza Kuibua husia FULANI ndani yako ,Hiyo ndiyo sanaa .."THIS IS ART"
Tuko nonde apa kilimani tuna choma uchafu kusafisha akili respect tkoea mbeya .... One love fam
Mtu makini 🔥
This Guy is truly a Genius. Huu uwasilishaji uliojaa Vina lukuki na Moangilio wa Dhima ya kuliimba jina langu ni wa kipekee sana...Dizasta Vina ni kama mtaala tu kwa Sasa kwenye hichi kizazi cha Young rappers...Beat kali sanaa, Mixing🔥🔥🔥🔥...Animations zimetulia sana...Chorus kali sanaaa...Hip hop at its finest level and Dizasta is the Man of the Moment🔥🔥🔥
Man this is golden!
Wimbo wa Dunia vizazi na vizazi respect brother dizavina vs g Nako ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Ishi sana mwamba sauti yako hakika yagharama sana.
Majina mengi sana yametajwa humu ndani bila kutajwa.
"Masikini roho yangu mimi, itaenda wapi pindi mwili utakapogusa udongo mkavu chini"💔
NO. 1 - VINA
Muda wa kuona Ukubwa wake katika hii tasnia.
Album Imeshiba sana hii📌
Kweli kaka, time ifike media za bongo zimpe airtime ya kutosha
Ila g nako popote kambi🙌
Dizasta Vina ni Dizasta kweli,hili ni toleo la mwisho la viumbe wa aina yake.
Daahhh😢😢 Nimemuona Hamza
Dizasta wewe ni rappa namba 1+
Na ninavyo ona hakuna anae kukaribia maana namba 2, 3 4 na 5 zote zipo wazi, hazija mpata angalau anae kufanania.
Wao wameanza namba 6,7,8...
Na wana struggle kuwa kama wewe ila kalamu inawakataa maana mashairi yao sio stong kwenye masikio
🙌
Oya huu ni mgodi ambao hauishiw na madin shabik namb 1 hapa wa dizasta vina
ila dizasta vina nakukubali Sana mungu akubariki na kaz zako🙏
UWEZO MKUBWA WA KUFIKIRI 👏
G nako iyo chorus kauwa aise du!
Storyteller mmoja tu DIZASTA VINA
MTALIIMBA JINA LANGU 💪
Take 👊 vina
Hio chorus nlimpaa mwenyewe Wara Wara
Vina
Ila Dizasta!!!!! Unajua sana mzee 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Ifike muda sasa dizasta vina atoe hata riwaya ili kizazi kichacho kikuje kufaidi vyote viwili yani kitabu na hizi ngoma zake
MUCH RESPECT
Au maktaba za serikal zihifadh kumbukumbu za kazi za huyu jamaa ili kuja kuwapa madini kizazi kinachokuja
13hrs with more than 18k views, big up dizasta...i know the hustle, seeing you making these heights am humbled....shawn midundo apa nina mizigo yako apa kaka
Dizasta Vina ulishasema we so malaika we ni Mungu wa rapu
Ambacho hamjui hapa ni kwamba kila mtu anatokea kwenye mstari mahususi, hajawekwa tu
Tujitahidini kushare kila pande ngoma kali hii iwafikie wana hip hop na wasioelewa wajitambue
Toka Congo pokeya zangu respect 🤗
Happy New year My Brother Dizzasta,, you are Greatest Of The All Time so far🎉🎉🎉 Nakukubali Kaka❤
Yeeeees! this is hip hop culture
YE, NAS, TRAVIS SCOT, KENDRICK LAMAR, J COLE hawa watu wanauandishi mzuri na wanafikilia sana TZ tujivunie kuwa na DIZASTA VINNA jamani 🎉🎉🎉🎉
Ila sio same flow kama vina wetu vina mkali ila awezi change Kama awo uliowataja
Genius Dizasta vina umetukumbusha Jambo la muhimu sana kifo,,, Mwenyezimungu atujaalie mwisho mwema🙏
Ameen
Dah brother 😢😢 akika mungu kakujalia uwezo m najivunia saaan kuskiliza ukiimba napata elimu dunia napata hekima napata vingi saaan brother 😢😢 mungu tu akujalie miaka mingi 🎻
Dizasta vina ,bro unajua adibasi maana unatupa darasa kua hiii memory yandgu zetu walio tangulia mbele ya haki wote walikuepo nasi lakni atukuwaikupa sifa napongez zao kwayote waliyo fanya wakiwa hai tuasubiri wapotee kwenye usowaduni ndotuanze kusema ooh alkua bora ooh ailkuIv hapana ,for me thanks u bro unajua kutupa mashabiki zako what we need mmh coz umeimba maisha yakweli kwass tuliopo tujitafakari snaaa 🎶🇹🇿🙏 God bless you and long life to you Eendelea kutupa vitu vzrii
Kama umemshuhudia Messi , Umemshuhudia Dizasta Vina , Umemshuhudia na lisu basi Umemshuhudia kila kitu
Ni time taasisi za elimu ya juu kumualika vinna kutoa elimu ya fasihi kwa wanafunzi wa elimu ya juu…. His lyrical will live forever …. Ni muziki wa guidance kwa kutuweka katika kutunza misingi….. whenever I wanna meditate alone I just put dizasta vina songs on backgrounds …. Pure culture ✍🏿
huusio wimbo tu Bali ni mawaidha pia 🙏
Twendeni hii ngoma binafsi natamani itfike ata kwenye 10-9-8 trending lakini dah em tukaze wanangu tupite kila platform kuisapoti
Daah Dizasta ni mmoja tu sasa hapo watoto wa iringa mmekutana G NAKO kauwasha moto
Watoto w iringa kivipi kaka sijaelewa
@@AmmielNzala-fu4xuhata mm cjamuerewa
Kwhy G nako n wa iringa 😂😂😂, sorry lkn km nmekuelewa vibaya
Hii ya moto sana kaka 🔥🔥🔥🔥🔥
@@emanuelsamkinda2893 kiasili sema kazaliwa na kukulia chuga
Ma meeeeen DIZASTA
Npo kwenye taifa ambalo dizasta yupo❤❤❤❤❤❤
Mara ya kumi hii narudia kuusikiliza huu wimbo daah✊️🙌
Dhida ni mojaa tu mwamba anakaziwa sana ilaa poaa tuu one day yes you will be up than them master thinker but now no 1 to 9 best rapper is dizasta only anaweza akaapiga kibao kikali mpaka FID Q Nkamuona SAJNA tu
From Kenya haya ndo madini yanafaa kulindwa
Ngoma ina fact nyingi, tz kuna wasanii wengi ila dizasta ni mmoja tu...✍️
Video 100%
Lyrics 100%
Audio 100%
Beat 100%
Idea
100%
DIZASTA vina 100%. Moja ya zawadi kubwa kwa kizazi hiki ni kumshuhudia DIZASTA VINA
Really interested music
Real
Vina stay blessed always, nimeamka na kuomba tunaishi tunaishia 🙏🏾🙏🏾
dizasta vina kaondoka nahisia zawengisana kupitia hii❣️🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hubembelezi warembo we sio marioo,
Kila kitu watu wameongea me niseme tu mkuu so proud ✊✊✊
Oyaaaaa mwamba anazingatia sana pen tuache unafiki tukae kwenye ukweli
Huyu ni kama darasa ama din tunajifunza na kueleimika kupitia Talent aliyobarikiwa na mungu..... Eeh M/Mungu Ampe umri mrefu Dizasta kwa AJILI YA kuokoa kizazi chetu kupitia kipaji CHAKO kinatukumbusha kuhus hii TEMPORARY AIR TUNASHUKURU BRO WEWE NDIO UKUMBUSHO WA HIKI KIZAZI CHETU WE LOVE YOU❤❤
Sina cha kusema aisee… kuna wasanii….. hakuna msanii kama huyu Tz nzima, swala sio kuimba, swala ni Tungo. “🫡🫡🫡🫡🫡
Huyu jamaa kweny uandishi han mshindani🔥🔥🔥
Utalala gizani, japo watasema umelala pema😢
😂❤❤❤
😢😢
Utatembea lini Kenya black Maradona tunakukubali sana huku. Consiuos music nearly Godly.
Nidhaifu na kweli dunia inashindwa kunilinda,,
Dizasta ni mmoja tu, Rigo beat ni mmoja tu na G nako ni mmoja tu....
Ngoma imesimama hii. Kuanzia Beat, Vocal, Lyrics, Sound, chorus na verse zote.
Vyote vipo emotionally kama dhima ya ngoma.
Sema sauti ya Vina ni ya Gharama kweli kweli
Mungu akuweke mshikaji kuna vitu tunajifunza sana kwako
Rip samu wakweli Rip mangwer Rip langa
Aisee hisia kali
Dizasta has reminded us to know that we are all about to depart this world
Diza kwa tungo zako ni fire 🔥🔥 kaka
HAPPY NEW YEAR VINA FAMILY....😅😅 LEO NDO NAAANZA MWAKA
Tunasepa kama ivo lazima waliimbe jina na tutaliimba pia
Mzee WA kaziiiii vinnnnna💯🇹🇿
Dizasta
Kwenye kazi zake dizasta amekua akitukumbusha tusisahau kuwa hapa Duniani we just passing through ✊
Rapper Bora halindwi mungu ametupa mchizi kama darasa la kujifunza mengi mda mwingine ni kama dini tuu
hakika
In loving memory of Malcom Masoud Kipanya 👏🏽
(sad😢) nimewakumbuka ndugu zangu......!
Ukiona comment hii we like ili inirudishe kuisikiliza tena hii ngoma ya mtaalam Dizasta vina
kaka rudi
Disaster NI zaid ya module za chuo 🙌
Kama unaubongo mdogo WA kufikiria huwez muelewa nilazima atakuacha at the beginning 🙌
Daaah iii nyimbo ni husia tosha unajua brother
Hii ngoma noma sana.
kimaana, Tungo ziko sambamba na picha za marehemu
Daaah hakuna rapa mkali nchi hiii kama wewe kaka
Hii ni mara ya 50 narudia ila bado xjaridhika kbisaaa maana inagusa uhalisia 😢😢😢 UPO KWA AJILI YA JAMII YETU 😢😢MUNGU NDIE ANAJUA UKUBWA WAKO🙏🙏
Ukinunuaa albam ya dizasta vina!! Hutojutia pesa yako... Vina katika kilele cha ubora!!
Album unanunuaje
@dismacking8421 ingia kwenye page za dizasta kuna namba ake unatuma hela anakuwekea kwenye email au kama unataka wasap
Vina 🚀
Aisee hiki kichwa kiwe kinapewa hata tuzo za heshima ❤❤❤❤ dizasta vina your great 👍
Underground Hip Hop ndiyo ujumbe halisi wa Jamii ulipo Dizasta Vina+G nako mmewakilisha vyema ile maana halisi ya Msanii kioo cha Jamii
Great of all time dizasta🇹🇿🇹🇿
Daaaaaah huyu jamaa lakini muna msikiliza kama mimi au munasikilizia juju juju jamaa anamjua bongo saiz hakuna kama Black maradona🔥🔥🔥🔥🔥🏆🏆🏆
atuogopi kufa ila tunahofia wanao bakii 😢😢😢😢😢
Vinaaa💥💥💥💥💥💪💪👊👊👊
Kila nikifikiria fikra zangu najiuliza naweza fikiri kama D,kaka anajua sanaa sayansi yake yake ubungo ipo juu sana ❤
Dizasta Huwa Ana fikra Chanya Sana.....
Huyu mwamba kweli yuko chini kashikilia nguzo wakati hawa ma-slay rappers wanagombea tuzo jukwaani. The fact kwamba hatumsikii Dizasta nonstop maredioni inasema mengi juu ya jamii yetu.
Tuko nyuma sana kifikra. Huyu ndo rapper bora kuliko wote TZ and beyond🔥🔥