NAPENDA HIP HOP KUPITILIZA, NGOMA ZENYE MESSAGE KAMA HIZI TUNAZIPATA MARA CHACHE KWA MWAKA. HAMJUI TU WENGINE TUKISIKILIZA INA KUWA DAWA KWENYE MIOYO YETU. HAKIKA HII NGOMA NI CURE, BIG UP RAPCHA
Unapenda hip hop halafu unasema ngoma zenye ujumbe kama hizi unapata mara chache?? Ngoma zenye ujumbe zipo nyingi tu sema wewe umeamua kuwa mfuasi wa mkondo mkuu(Mainstream) huko ujumbe ni mchache
Well done home boy shy town hatujawahi kutoa niaje huwa kila shytown hommie ni mkali kwanza mamen wise, very polite, halafu mikato kama yote na huwa hatujuagi ushindani, ila huwa tupo reality really hip hop life, very honestly na sio ku fake sisi wazee wa shy town wazee wa codry na shat za dogidogi aka wazee wa future za ku make sence. Mule mule mwana kwetu wakazie na tunakusapoti hii ni kutoka kwangu mimi mr carpenter aka Msoviety Cheers maniga
Hii ngoma kali na truee😢🎉
Mtu unaetaka Kumpa moyo Picha Ya yesu Ammeeka DP asa Unazani atashindwa Kikupa BP👏👏nipeni like Zangu Rapcha Anjuwa so Kidogo
Hapo sasa😅
Mpaka yes amemuweka dp! Shout out to wanangu wa 90's 99 nakuachia rapcha!
Yuzzo mwamba was here🎉
Huna baya lapa wangu 🫡
King🔥🔥🔥
🎉
Nlijua tu hii ume andka ww
King Upewe crown
nimeipenda INTRO😃
NAPENDA HIP HOP KUPITILIZA, NGOMA ZENYE MESSAGE KAMA HIZI TUNAZIPATA MARA CHACHE KWA MWAKA. HAMJUI TU WENGINE TUKISIKILIZA INA KUWA DAWA KWENYE MIOYO YETU. HAKIKA HII NGOMA NI CURE, BIG UP RAPCHA
Unapenda hip hop halafu unasema ngoma zenye ujumbe kama hizi unapata mara chache??
Ngoma zenye ujumbe zipo nyingi tu sema wewe umeamua kuwa mfuasi wa mkondo mkuu(Mainstream) huko ujumbe ni mchache
👊🏾🗝️
rapchaaaaaaaa nipeni likes za beat kali
Vina 🎉💥💥✍️
We mkali Rapcha endelea kuachia Ngoma back to back
huu moto unaenda kuwa ndani ya top 10 trending youtube kama unakubaliana gonga like hapa🔥🔥🔥
Uongo nyepesi mno
❤❤❤
"Don't kill yourself kutafuta engagement "
Rapcha you're genius King ,
Kila bars ina'hit hardly and differently , kumamake
Respect 👊🏾🗝️
UNA MZIKI CLASSIC SANA
KEEP UP WITH THE GOOD MUSIC AND MASTERPIECES LIKE THIS.
🗝️
Big up to azeezah from kenya much love🇰🇪❤
Hofu kubwa haiwezi kuzuia kinachoenda kutokea 😢😢😢❤❤
Kabisa
Napenda sana mziki wa uyu jama umetisha kaka acha nikipe maua yako
Respect
Msanii wangu🎉🎉🎉..maua yako boe..@rapcha
Tukumbukee tu ata hofuu iwe kubwa vip ,hakuna kinachowezz kinacho to key
Nomaaa sanaaa kaka mkubwa tunajivunia kuwa na rapper bola TZ❤❤❤
Teacher; define inspiration and motivation
Me;Rapcha, dagerous desire
Noma kaka 👊👊
Noma sana rapcha
Grind all day ya con Boii
Dangerous desire
Midundo yote style za 2pac space
...unaujuaa saaana mziiki man
Muda wa back to back sasa mkuu ❤❤❤ shusha za kutosha , hii kalii
Wanao nitafuta kunipata very simple #
RAPCHA WEWE NI UMELETWA NA MUNGU KUONYESHA UWEZO MKUBWA WA LINES, KITAA TUNAKUELEWA MDOGO WETU HAKIKA UMEWEZA KUTUZIBIA PENGO LA NGWAIR.
Ngwair atabaki kuwa Ngwair pengo lake halina spare
Kwa Mara nyingine tena rapcha kama rapper wangu n'a kusoma tena toka Congo drc 🇨🇩🇨🇩
👊🏾🗝️
Ngoma kali beat usipimeee
Unaskiliza nyimbo had ubongo unashibaa 🔥🔥🔥 💯💯
99
Song Kariii Broo 👐👐
Jamaaa anaweza sana never give back
Noma sana
Uhakika keep it #RAPCHA
Kaka🔥🔥🔥🔥
Ngomaa kalii
Nakubali🎉
Noma😂
Hii kitu kalii bhn 🎉🎉
Hili dude noma
Well done home boy shy town hatujawahi kutoa niaje huwa kila shytown hommie ni mkali kwanza mamen wise, very polite, halafu mikato kama yote na huwa hatujuagi ushindani, ila huwa tupo reality really hip hop life, very honestly na sio ku fake sisi wazee wa shy town wazee wa codry na shat za dogidogi aka wazee wa future za ku make sence. Mule mule mwana kwetu wakazie na tunakusapoti hii ni kutoka kwangu mimi mr carpenter aka Msoviety
Cheers maniga
Shy Town✌
Kakitu kakuje 💯✊
Am so happy for rapcha Man ❤🙌🙌🙌👏👏💯✅🫂
👊🏾🫶🏾
Uongo dhambi....twaisubiri ..plus ukweli ....
Kaka mex eeh bonge la ngoma ila uyo mwamba Dizasta anatisha sanaaaa
Nimekuelewa R.A.P.C.H.A ❤
🔥🔥🔥🔥🔥Umetisha mzeee
Sereal Killer 🔥🔥
Lugha nzuri unaimba lugha nzuri kila mtu anaiskia
Yeah yeah makin bro ngoma limetulia sana.
Umeandik sana rapcha
99 Whatsa🔥🔥🔥🔥
Nakubal mwanang 99 it's a hit already.
Umeimba vizuri sana 👍🤛
Ngoma Kali..usipite bila kunifatilia na Mimi Nina Ngoma Kali 💥🙏
Salute 🫡
Mwamba Rudisha Back to Back
Ngoma Kali sana hi Sio poa 🔥💯
Yooooo yoooo yooooo. Hot boy
Kali sana kaka🔥🔥🙌
Aminia sana
Mimi ndo mkaguzi mkuu wa nyimbo kali Tz... Nasema hivi HII NI YENYEWE kbs 🫰
We achia iyo kitu bhana
Wanangu dude iloo drop it rapcha uuuwee❤
Nice sana namkubali sana rapcha
So fire bro!!!
Noma sana 99❤
Noma saana 💯💯
Hii ni kubwa sana rapcha
Bless up
Stunning
favourite artist
Big up chali wang
beat kama ya grind all day conboi
Ukumbuke Ata uwe nahofu kiasugani hawezi zuia litakalo enda kutokea 🔥🙌🙌🙌
Noma kbisaa production+ flow+ message 🔥🔥🔥
Kaka hii ngoma kali sana
Aminia
mashail yamenyokaa💥
Good luck ❤
Mr Rapcha chekd from kenya ❤❤❤
Nouma my brother lini Sasa goma letu litoke Kaka
Umetisha sana kaka hii Ngoma Kali sana wote walio ikubali naomba mlike hapo chini ❤❤❤🎉🎉
I like this
Azizaah naona ashapata mtu😂😂
Safi sharpen they minds mungu anisaidie last of dying breed💯💯💯💯💯💯💯💯💯
Rapcha dangerous desire maua yake rapcha
Naona changes 💪🏾
Noma Sana @rapcha
Raptcha i salute you
Real shit from hard 💯 we as Artists we have to comment, keep it up
Nilisubiri sana ngoma yake mwaka 2025 lakini right now I listen dangers desire 🎶🎶🎶🎶
Nakubar❤❤
KK unawezaka 🎉🎉
Nakubal sana wanangu99 4life
Dangerous🔥🗽✅
Bonge lagoma
Is that Kabaya ❤❤❤❤
254 Aziza kafungua fureshi, sema dude lipo imara mno🎉
Aminia
99 EVERYTHING 💥
Nice one bro 💯
what a song 🔥🔥
Owaaah kinukishe To THE TOP VOL.2 mbona watachina 💥💥
🐐🐐Ank hizz ni ngomaa zimenyooka sanaa
Bomboclaaaaaat ,✊🔥🔥🔥
Rasta umu MmmH 🙌🏾🔥