Yo, the mic's hot, the beat's thumpin' low, Gotta give a shout-out, let the whole world know. To Mex Cortez, your flow's a fire, so true, Igniting the stage, what we're vibin' to. And Dizasta Vina, king with the crown, Your lyrical prowess, never lookin' down. Thanks for the music, the rhythm and rhyme, Y'all elevate the game, one verse at a time. Word up!
😂😂😂😂 oyaaaaaa ndo nimeelewa baada ya kusoma comment yako. Uliposema tu maneno yamechezewa. Imenibidi nifikirie nje ya nlichokisikia. Ndo nmeona kuna Bakali Nondo
Dizazta we si wa kawaida kaka dah unajua yani sielew mpka nrudie mistari bira umerahisisha kwa kueka hzi pictures na lyrics mana akili zishindwa kumeza madini ! We mgumu sana kaka my best of all time
Mmechaguana wakali wote mkali wa chorus na wakali wa wordplay, rhymes, flows na uwezo wa kutumia lugha zaidi ya moja. Wote ni my favourites, actually I've been waiting for this kinda shit for God knows how long. In short MMEUA 🙌🏾👏🏾
Level hii ni ya mabasi na mafuso.. Utawekwa kati upigwe mikasi na mafumbo.. Punch kutoka kwenye handaki wana google..💥 Karatasi zinapigwa sarakasi ka' judo...👐👐👐 DIZASTA VINA💯
Wanatushushia ma coke heads, the God's must be crazy .......Yoooh bars lines nzm ni first scene kwenye movie ya God's must be craze chupa ya Coca-Cola ilivyodondoka juu ni 🔥 aisee
Asanteni kwa Wote mnaoendelea kusupport HIPHOP ya Tanzania! #KIMEUMANA🔥‼️
Mwaka umeshaumaliza kaka angalia 2026 🎉🎉
Mmeua ile mbaya wazee
Kazi nzuri.. congrats 💥👏🏽
Tutaishii humu biala kutoka
oi oi oi top tier❤❤❤❤prof tungo❤❤❤❤
team vina wap tujuane apa
Tupo mzee😅
👊👊
Tuko apaa❤❤❤🎉🎉🎉
@@RosecocoRose umetisha
@ sana
Niko NONDO ndio maana mistari yangu ina BAR KALI mwamnyeto..genius
master😂😂😂 kuna words plays kali sana umu
daaa umefungua code@@briandelight6776
Humu wote wamecheza na maneno@@briandelight6776
Vina
Manina we msenge unajuaaaaa😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Hii ni "MEXZASTA na VINACORTEZ"
Jina nilikuwa nalitafta sema umetisha kama wao
Hahah katisha
Mkali kama wao
Huyo dizasta tumpe shule awafundishe hawa wasanii wetu wapiga kelele
Mkuu pandisha nyimbo sportify✋️❗️
Ngoma kali sana vina anadhidi kuwa moto kwa kila ngoma anayoshirikishwa
Best Hip-hop song for me in this year,the chemistry, lyrics and beats.
God bless you @mexCortez
mex cortez kama messi
tuliokuja sabababu ya DIZASTA na tukakutana na balaa la mexcortez tuna like hapa... kwa heshima.
We Dizasta usibishane na hao wasenge awajui upeo wako wa akili we shule pia
kweli baba mimi nishabiki wa dizasta lakini uyu kanjubai kauwa mbaya
Dizasta jina kubwa si Nairobi tu hata Coast Kenya twakutambua bro.❤❤❤
#Respect🎉🎉
Whaaaaat????? 🔥🔥🔥 Tanzania hip hop is back 🔥🔥
Yo, the mic's hot, the beat's thumpin' low,
Gotta give a shout-out, let the whole world know.
To Mex Cortez, your flow's a fire, so true,
Igniting the stage, what we're vibin' to.
And Dizasta Vina, king with the crown,
Your lyrical prowess, never lookin' down.
Thanks for the music, the rhythm and rhyme,
Y'all elevate the game, one verse at a time.
Word up!
Kaka mex we ni noma san ila vina 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dizasta alini dai verse me niko diverse so divert hii yai ina apply tax fam....mex cortez
Ila Dizasta 🙌🙌🔥🔥🔥.
kwamba nikichukia hadi mmbwa wa jiji wanabwekea mbali 😂😂🙌🙌🔥
Maneno ya ki Maalim Nash flow nazo sugu
Sababu kinywa ni complex
Nakubali sanaa Disasta vina
Shootout from South Africa Tz fan base @obboclever
Hii flow ya mex ni balaa,play word ya dizasta 💥💥
Word play ya Mex kali zaidi.
Hivi vichwa vimeshndkana Madin mazito zawad tumepewa wapenda hip hop 🙌🙌🙌
Dizasta vina 🙌🙌🔥🔥Ameshakufa Haucheki FRESHI
KUmgusa ni KU-TAMPER na EVIDENCE, Dogo kaa MBALI👏👏
huu wimbo kila mmoja ameutendea haki kwa upande wake...KIMEUMANA🔥🔥🔥
#Kimeumana mex umeleta kitu ambacho nilitamani kuona, chemistry yako na D vina ni ya 🔥🔥 sana Ringlebeats forever beat kali
😂izi ngumu hawachezi kina enjo nyigu
kama ulitega school hapa giza tu.....kwa mara ya kwanza dizasta vina ka level na mexhapo kweli kime umana
noma hii
Ngoma kali sana hii
Oyaaah mbona sielewi nan kamzid mwenzake MAMAEEEEH😂😂 Goma liko Fireee mbayaa #KIMEUMANAAAAA
NIKO NONDO NDIO MAANA MISTARI YANGU INA BAR KALI!🔥Aaaah! Maneno yamechezewa sana humu...
😂😂😂😂 oyaaaaaa ndo nimeelewa baada ya kusoma comment yako. Uliposema tu maneno yamechezewa. Imenibidi nifikirie nje ya nlichokisikia. Ndo nmeona kuna Bakali Nondo
Lazima utulize kichwa mzee😅
Ni vile sina cha kutoa kama evidence kuwa namkubali vina
All in all @dizasta is moulding hip hop,I like it💪
DIZASTA VINA ni mfano wa ugonjwa uliokosa tiba,UMESHINDIKANA BRO.
'Nachinja lines utadhani naandikia panga'🔥🔥
Hao wote hawamueezi vina.kwa bongo ni namba moja dizasta
Incredibly nasonga kibishi(one de incredible,songa,niki mbishi,)......mpka uwe na d2 ndio utamuelewa huyu mwamba wa vina..
Wakali wa hiz kazi wamekutana🔥🔥🔥
Dizazta we si wa kawaida kaka dah unajua yani sielew mpka nrudie mistari bira umerahisisha kwa kueka hzi pictures na lyrics mana akili zishindwa kumeza madini ! We mgumu sana kaka my best of all time
Kuna punchline zimepigwa humu daaah Dizasta ni sayari nyingine goma kali sana Mex & vina
Mmekutana wakali sana huu uandishi asee 🔥
G nako music 🙌🏿💯
Flow zipo incredibly...Yupo ready Anasonga Kibishi,Mtu mzima Mex Unatudai Sana masikio.
Humu ndani kweli kumeumana
Na-make money sihitaji baunsa. Nahitaji wanasheria na accountants to do numbers. Dizasta🔥🔥
Hii ndio "ubaya ubwela" 🎉
3 Ghosts from the same hell 🔥🔥🔥
Dakika 5 safi sana real hip hop
Huu ni mdundo hatari na mdundo huu leo umefumwa na wahanga wa hip-hop ❤🔥🔥🔥🔥
naombenu JOINT album MBONA HII KITU noma sanaaa
Hii itafika no 1 trending 🔥🔥🔥
Usikanyage WAYA...KIMEUMANA 🔥🔥🔥
Mexcana na Ninja Kibabu Haya twende hapo #KIMEUMANAAAA
Dizasta killed it again thanks mex for this one 🔥🔥🔥
TZ Hip Hop on the top again🔥🔥🎤🎧📻🎙️
Gusa achia twende namba moya❤
Mex amebadili arubadili❤❤❤ dizastar flow so gaseous, kesho solid,liquid ama plasma
Ngoma moja na Dizasta Vina si utaoshwa kama Mex Cortez. Hakuna kulazimisha inaflow naturally
Kimeumannaa snaa sana daaa
Imepenya hadi KENYA🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hapa wote wameua🙌🔥
#KIMEUMAANA
Dizastaaaaaaaa And G 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥
Maua kwa Ringo Beatz
Let's goo my guys 💯💯💯💓🇰🇪
From#254...hii ni hatari...
🔥 🔥 🔥
Kiendelee kunuka wanetu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪🏿🎯
HIP HOP
Literally i was waiting for this Joint, Mex and Dizasta and guess what it is what it is Two Goats 🐐 🐐 ni balaa na nusu.
Haya sasa UCHAGUZI umeiisha nchi nzima tuje apa hili nalo Jambo la kitaifa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 HIP-HOP ✌️✌️👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪
Kimeumana🔥🔥🔥🔥
Noma🔥🔥
Bonge ya mbupu #KIMEUMANA🔥
Kimeumana. Kweli 💥🙌🏽😁
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kazi kubwa Sana hii @ Mex, Producer apewe Maua yake aisee🙏🙏
noma saaana nikitaka kusema D kaua narud alichofanya mex humu sema wote mmeua wanangu hatari saaaana
Wote hatari sana mkuu
Ukirudia rudia huwezi hata jaribu kumshusha mmoja ili mwingine awe juu🔥
kwa mara ya kwanza ndio nacomment mex na dizasta mmeua sana! It is an honour to witness this incredible Artistic piece!
Hiv waugwana uyu dizasta vina ni binadamu mwenzetu kweli 😂🙌🙌
Alishasema ye ni mungu wa rap kwenye ngoma yake moja 😅
Mex! Umetisha mzee....
KIMEUMANA 🫡
Real definition of HIP-HOP mmeua aisee🔥🔥🔥
UANDISHI 💯🎉🎉🎉 FLOWS NOMA NI 🔥 MJUBA KWENYE CHORUS KAUA SANAA BIT IMETULIA YANI NGOMA NI KONTOOOOO❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Tanzania Hip Hip is on fire Dizasta Vina is a king of Hip Hop wa zama hii.
Amesibitisha Ngosha na Prof
Daaah hivi vichwa vinapasuka hatari, word play ni nomah!
As a Kenyan rapper I approve this
Nomaaa 🎉🎉🎉🎉🎉
0:47 - 0:55 and 2:25 2:38 2:46 2:52 🎉🎉 3:50 punch ni zakutoka kwenye handaki wana Google.
Nikikasilikaa had mbwa wa Jiji wanabwekea mbalii dizasta and Mex you killed it ....... icon of tz hip-hop..❤❤❤❤
Dizasta alivyotumia word play humu ndani😅😅😅 wametajwa watu siyo chini ya 20
Fumbua fumbo
Na hao ndiyo FAVORITES wake 😂
Ila nyie wote wakali 🍾🍾🍾🌏🏆🏆
Mmechaguana wakali wote mkali wa chorus na wakali wa wordplay, rhymes, flows na uwezo wa kutumia lugha zaidi ya moja. Wote ni my favourites, actually I've been waiting for this kinda shit for God knows how long. In short MMEUA 🙌🏾👏🏾
eeeeee words play ni mingi mnoooo ufundi mwingi umu ndan
Kmmk 💥humu ndani balaaa Respect wote but Vina is insane again
Waliokuja kwa DZASTA gonga like hapaaaaaa❤❤❤😊
Kwa jina la hip na hop mi nipo nawe amen😅😅
Level hii ni ya mabasi na mafuso..
Utawekwa kati upigwe mikasi na mafumbo..
Punch kutoka kwenye handaki wana google..💥
Karatasi zinapigwa sarakasi ka' judo...👐👐👐
DIZASTA VINA💯
Wanatushushia ma coke heads, the God's must be crazy .......Yoooh bars lines nzm ni first scene kwenye movie ya God's must be craze chupa ya Coca-Cola ilivyodondoka juu ni 🔥 aisee
Kutoka Kenya🇰🇪 hii ni ngori zaid ya noma🔥🔥
Wote mko beyond 🔥 🔥
Two moguls ,wanayama wa bars na bars wakiwa pamoja na mnyama wa viitikio gwaraaaaaa🔥🔥🔥
💥💥💥💥
Oyooo
Mex na vina ndo marapa ninaowakubali ila hamkupaswa kumuweka g nako kwenye hii ngoma kaaribu ngoma
Oggg🤛🤛💥💥
Mex🔥🔥🔥🔥🔥🔥Vina🔥🔥🔥
Dizastaaaaa wa moto sanaaaaaaa akiguza haachi uchafu