#LIVE
HTML-код
- Опубликовано: 6 июл 2024
- Ujumbe: Maombi ya kipindi kigumu kwako
Andiko: Zaburi 13:1-6
Pastor: Innocent Mashauri
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Asante YESU nasubir naamni unaenda kufanya kwangu asante sana YESU Imani yangu nikubwa mno akina kinacho shindikana kwako kwangu Aminaaa
Amen, Asante kutufungua akili zetu, mtumishi wa Mungu.huwa tunapitia mambo magumu sana, Mungu nifunike na damu yako takatifu.
Ee Mungu unisaidie sawasawa na mapenzi yako kwenye maisha yangu 🙏🏿
Bwana Yesu nahitaji msaada wa uponyaji Kwa tumbo langu
Eee mwenyez mungu wajua ninacho pitia mda na wakat huu na majila haya. Baba nakukumbusha usiniacheee mim pamoja n familia yanguuu mungu nikumbuke na mimi
MUNGU nawakabidhi abel DEVOTHA DEBORAH MARTIN, MOURINE, LEE,NORLEE, IVA, NANGENOVIVI. NA WANA WA NDUGU ZANGU NAOMBA UWAPONYE NYAKATI NGUMU ZA DUNIA DAMU YA YESU IKAWE KILA KITU KWAO.
Asante YESU ASANTE YESU
Amen
Naomba toba na REHEMA YESU ❤
Amen 🙏 🙏
Amina Amina Amina aminaaaaa
Baba nisaidie nijue kusudi langu kwako 🙏🙏🙏🙏
Ee mungu naomba uiokoe familia yangu
Amina
Mkono wako usinipite Jehovah 🙏
HALLELUJAH BWANA usinipite kupitia NENO la Leo dhihirika kwangu,kwa huduma maitaji,watoto,mahusiano kwa kila jambo TENDA BABA asante mtumishi wa MUNGU kwa kutufungua macho AMEN 🙏
Asante yesu❤
Mungu wangu nione
Hakika kupitia madhabahu hii nimekuona bwana pia ahsante Kwa kumtumia mtumishi wako innocent mashauri amefanyika chombo juu ya yote tunayopitia usituache bwana bariki watoto zangu na uzao wangu wote na mama yangu pia
AMEN AND AMEN 🙌🙏🙏
Ewe Baba nope majibu kuhusu kuondoka ktk maisha haya ambaho naenda nayo yasiyo na mafanikio, nijulishe kipi nifanye nikafanikiwe mm na familia yangu na uzao wangu Kwa baba na mama Amina, kwanini u Baba.
Mungu na kugabizi maisha yangu na family yangu utuhongoze utakavyo
Roho ya hekima na Roho ya ufunuo
Ameen 🙏🙏🙏
Amina amina washika na mtumishi unae tuongoza MUNGU hatakuacha.
Aminaaa ❤
Amen 🙏🙏
Mungu nipe macho ya rohoni,naomba usimame katika familia yangu
Wadogo zangu nawaweka mikononi mwako❤
Tamalaki mwenyewe YESU katika ndoa yangu YESU naomba msaada wako kwangu akuna kinacho kushhinda YESU NAIMAN SITOAIBIA HUU MWEZ NTAKUSHUUDIA YESU ALLELUYA
Najua MUNGU UJANIACHA UPO NA MM KILA WAKAT NA UNASABBU NA MIMI
Amina
Amen
Amen