KINACHOENDELEA BAADA YA KIMBUNGA HIDAYA KULIBOMOA VIBAYA DARAJA HILI LINDI/WAZIRI ATOA TAMKO JIPYA
HTML-код
- Опубликовано: 5 май 2024
- Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewatoa hofu na kuwahakikishia wananchi, wasafiri na wasafirishaji kuwa ameweka kambi Mkoa wa Lindi kuhakikisha anasimamia timu ya watalaamu wa Wakala ya Barabara (TANROADS) na makandarasi, kuhakikisha wanakamilisha kazi ya kurejesha mawasiliano ya barabara ya Lindi - Dar es Salaam ndani ya saa 72.
Waziri Bashungwa ameeleza hayo, leo tarehe 6 Mei 2024 Nangurukuru wilayani Kilwa wakati akikagua na kusimamia zoezi la urejeshaji wa mawasiliano ya barabara yaliyokatika kwa kuharibiwa na mvua kubwa zilizonyesha zikiambatana na kimbunga Hidaya.
Ila we Jamaa M Nakuelewa Sana
Pga kaz Mzee
Asante Kwa Kutufuatilia
Nilitaka.kushangaa bila.kushukuru wakati.sisi ndo.walipa.kodi.haahammm
Asante Kwa Kutufuatilia
Tangia juma mosi jamani watu tulikaa hapo siku zima lakini hakuna hatakiongozinalikuja na juma pili hakuna da
Asante Kwa Kutufuatilia