Hii hali ipo sana hasa kwa sisi wakiume hizi plastiki tunapozitumia kukojolea ina fika mahla mtu anajaza chupa mbili na mwisho wa siku chupa 3 na kisha unakuwa adicted. Ila kwa wenzetu wanawake wao wanatoboa tobo kubwa huoni akibadilisha chombo cha kukojolea.
Ayo Mambo Wengi Tunafanya Lakini Unakua Na Kidumu Unakojoa Asubuhi Unaenda Kumwaga Kwasababu Ya Usumbufu Wa Kutoka Inje Mala Kwa Mala Mana Usiku Unakunywa Maji Mengi Lakini Sio Kwa Ayo Mambo Uyo Kichaa Sio Bule Wenda Kapewa Shaliti Na Mganga Wa Kienyeji Akizani Atapata Utajili Mashaliti Ayo Ya Mganga Alizani Zitabadili Ziwe Pesa
Labda alikuwa na mpango wa uzalishaji wa umeme kwa kutumia gesivunde(biogas), wakati wa kulala jamaa anawasha na feni kabisa,mwamba umetisha sana na umeingia kwenye rekodi ya dunia😂😂😂😂
😃😃😃yaani imenibidi nicheke kwanza. Yaani kakojoa ndani kwenye Dasani zote hizo pamoja na kunya kwenye mabeseni halafu akija kulala anavaa Barakoa 😃😃😃 Huko si kukwepa Kodi tu ya nyumba huyo atakuwa na shida kichwani kabisa. Hata Kama uvae Barakoa harufu haikwepeki hata kidogo.
Yaani mkojo mpaka ujae beseeni ni miezi ht 4 kwa hiyo haikua anaogopa kodi atakuwa na mambo ya ushirikina tu.maana hata uvivu wa kumwaga usingefikia hapo
@StanleyJ214 mnamshangaa huyo dar dsm maghetto ya waschana wanakojoa jagi anautuza asubuhi ananawia usoni ili usowake uwe sofiti yaani hao wapo wengi mno hawaumbui
@@Fx_expertmoneymaker001 Goja ni kupe siri ya mkojo ni utajiri mkubwa Ajabu yaani watu wengi hawafahamu ila sio kwa Jia kama ya huyu Maghati LA porini hajui kitu, Ukitaka mambo yako yayooke sawasawa kila unachokifanya ukipokee tumia mkojo wako uonge saa Tina usiku Mara saba marajiri watakuamini ajabu ukiwaomba pesa milioni Mia watakupa wajua tawarundushia imetoka hiyo ila uwe na Pesa iliyotengenezwa na mkoloni pesa Ina Madi ya dhahambu Alimasi Mekirii ukiwa nayo matariji wanasahau kama walikupa pesa hawakukubuku yaani usije ukaonga mkojo kama huna hiyo pesa nitafute takuuzia hiyo pesa ninazo yaan
😂😂😂 kunammoja walimtoaga huko manzese akitoka ndan shati limenyooka hatar kuja kuingia ndan ni gari tatu za taka walitoa na mikojo mpaka kwenye majaba chupa za soda sijui ni ugonjwa 😂😂😂
Mkojo inafaa ukaukojoe chooni mda unaamka mkojo unakuuma kimbofu nenda chooni ukakojoe sababu ukikojolea ndoo au sadolini au chupa mkojo unatabia kujichuja ukienda kuumwanga asubuhu utasababisha maabukizi ya magonjwa kwa watu wengine
Mmkamata kwa kosa gani?.au ndio kwakosa lakukojoa kwenye chupa na kulala na mikojo take?.VP wale wenye chumba cha mastar.wale si ndio wanalala na choo ndani itakuaje.😂😂
Ni mgonjwa wa akili kuna magonjwa mengi ya akili sio lazima mtu hujue ni mgonjwa wa akili ila anakuwa Na mambo ya ajabu, anatakiwa akutane Na daktari wa mambo ya magonjwa ya akili Na sioni hiyo ni taarifa ya maana ya kutoa kwenye vyombo vya habari
Huenda umeona tukio hili LA kwanza kwako na yule mzee wa mwaka Jana alikutwa madumu is ishirini yamejaa mikojo tupu dar dsm mburahati huyo mtasema mgonjwa wa akili ukiona mtu anakojoa mikojo ndani combo chumbani ni huluka yake Ee
@@joshuasamson9618 kwani kuna limit ya wagonjwa wa akili Na si wanajulikana kutokana na matendo yao au unafikiri mgonjwa wa akili lazima atembee uchi kuna magonjwa mengi sana ya akili ya taarifa yako hiyo sio hulka ya kawaida ni ugonjwa huo na huyo wa dar
@@Kabwela776 Hakuna mgonjwa wa Akili hapo kama vitendo viazie kwa watu wanamiliki nyumba zao Wana vyuo ndani yaani Choo Wana ishi na mavi chumbani mikojo hao ni wagonjwa wa akili watu wengi nyakati za usiku wanatenga ndoo ya kukojolea mkojo usiku wanachoka sana makazini kwao goja Nikusimulie kisa hiki mwaka1985 ilipita Ladirova jamaa walitupa mfuko wa Marimboro waliufunga vizuri watu wakakimbilia Gari imedodosha mfuko watu kusukumana na fuko ulipasua watu waliyaonga mavi ya wazungu yaani, Kuna siku ulikaa unamsumbilia mtu alioko ndani choon atoke ndo wewe uingie chooni haya mtu anatoa unafungua mlango unakutana mavi tena mama kanya mavi nje ya shimo wewe unatakiwa uyandeki utafanyaje mwanamke kaondoka Amekunya mavi hajalenga shimoo
Hio ni kawaida kwa mabarobaro wengi tu, tena umri 26 na hana mke ni kawaida iyo. Hata dar wapo kibao tu. Na ambavyo hana ajira yyte. Kawaida bn, ni maswala ya malezi tu. Alikua anajificha asionekane
Mbona kijana yupo sahihi tu, isipokuwa suala la kukosa kipato ni suala la muda tuu, na alihisi ni choo hicho maaana nyumba yenyewe haieleweki. Yaani mimi sioni kosa kabisa maana bibi huyu naye anongea pointless
😂😂😂 iyo inanikumbusha mwaka 2004 tulikaa nao miaka mitatu bila kumuona.anaoga hata siku moja akienda chooni ana chukua maji kwenye kopo na alikua mbishi kulipa kodi na aliambiwa aondoke kwenye nyumba.hakutaka kuondoka walifikishana.mpaka.polisi lakini alikua mbishi sana.mwenye nyumba akaenda kulipa pesa police ili waje wamtoe police walikuja asubuh mapema tukazuiliwa tusitoke nyumba nzima waligonga mlango hakutaka kufungua wakasukuma.mlango tulivyo viona tulibaki hoi vipisi vya sigara vilijaa kisado na mkojo kwenye ndoo umejaa ka mpaka ndoo imekua na magamba imelika kwa mkojo na alikua akitoka nje hauwezi mzania alikua anaimba kwaya kanisani na alikua ana badirisha wanawake kila siku tena ni mashangazi police akamuuliza wewe kabira gani akajibu muhaya 😂 police akamzaba vibao takatifu na kumwambia unaichafua kabira ambayo maridadi na wasafi na hata kama hawana huwezi kujua alitolewa vyombo vyake vimejaa vumbi buibui wametanda sehemu zote tv haionekani kioo kiko wapi
@@abdulkarimabdallah9536 Yani sitanii wallah tena chumba changu kilikua kina tazamana milango akifungua tu arufu Kari iyo siku Sito isahau nakumbuka nilikua nafanya kazi mjini mda wa kuingia saa Moja asubuh lakini tulizuiliwa mpaka walipo maliza kutoa vitu ndani ndo tukaambiwa tutoke na.pingu alifungwa uku anashuhudia makolokolo yake Yana tupiwa barazani tena.alipata.hasara walikua wanatupa tu kitanda chaga zote zilivunjika😄😄uwezi amini mpaka Leo namuonaga sana pale posta kazi yake kubwa kuosha magari na alikua anasema kazi yake dereva anamuendesha mzungu chezea wahaya wewee 😄
Hii hali ipo sana hasa kwa sisi wakiume hizi plastiki tunapozitumia kukojolea ina fika mahla mtu anajaza chupa mbili na mwisho wa siku chupa 3 na kisha unakuwa adicted. Ila kwa wenzetu wanawake wao wanatoboa tobo kubwa huoni akibadilisha chombo cha kukojolea.
Aaah huyu jamaa ni kwere 😂😂 afanyiwe utafiti
Ila mi nahisi jamaa ni bangi na nyeto ndio zmemuathiri kisaikolojia wala sio ushrkina
Ila kwa kwelii khaa uyu kijana sio mzima haki😂😂😂😂😂😂😂😂
Ayo Mambo Wengi Tunafanya Lakini Unakua Na Kidumu Unakojoa Asubuhi Unaenda Kumwaga Kwasababu Ya Usumbufu Wa Kutoka Inje Mala Kwa Mala Mana Usiku Unakunywa Maji Mengi Lakini Sio Kwa Ayo Mambo Uyo Kichaa Sio Bule Wenda Kapewa Shaliti Na Mganga Wa Kienyeji Akizani Atapata Utajili Mashaliti Ayo Ya Mganga Alizani Zitabadili Ziwe Pesa
😂😂 umetisha kabisa ni usumbufu sana
Jamani siku hizi kuna ugojwa wa shida ya akili vijana wengi sasa tuna shida ya akili asaidiwe huyo kwa kina inasikitisha mno
Ayooooo laizer 😂😂😂
Tzz 😂huyu mama mwny nyumba alikuwa mkali kutumia choo chake😂 ila ukwl tu kodi ya nyumba inaumizaga vichwa Sana sema tutafika tu
😅😅😅😅😅😅😂
Mmmmmmh jamani,hali ngumu kiasi cha kujisaidia ndani ndo usilipe kodi,sio sahihi,
Daaa mwacheni kaka wa Mungu jamnii' cha msingi atafutiwe mke aoe
ATAKAE KUJA KUPANGA KWANGU AJE NA CHETI CHENYE KUTHIBITISHA AKILI YAKE
😂😂😂
Mpaka nimesikia harufu ya mkojo humu kwenye cm😂😂😂
Weeeeee! Acha hizooooo! Ukute Hilo limama ndo limemuwekea hizo uchafu ili kumkomoa na kumwaibisha kwenye jamii!
Labda alikuwa na mpango wa uzalishaji wa umeme kwa kutumia gesivunde(biogas), wakati wa kulala jamaa anawasha na feni kabisa,mwamba umetisha sana na umeingia kwenye rekodi ya dunia😂😂😂😂
😃😃😃yaani imenibidi nicheke kwanza. Yaani kakojoa ndani kwenye Dasani zote hizo pamoja na kunya kwenye mabeseni halafu akija kulala anavaa Barakoa 😃😃😃 Huko si kukwepa Kodi tu ya nyumba huyo atakuwa na shida kichwani kabisa. Hata Kama uvae Barakoa harufu haikwepeki hata kidogo.
Mmmh kuna watu wanatisha jamani sio kwa Uchafu huo
Alikuwa anashindwa kwenda choo kwao sababu anaogopa hana kod
Wamsamehe tu alikuwa anajificha kupia Kodi Ili asionane na mama mwenye nyumban🤣🤣🤣
Alikuwa anatita wap😂😂
Alikuwa anatita wap😂😂
Alikutwa na beseni mavi ndani ya chumba chake
Yaani mkojo mpaka ujae beseeni ni miezi ht 4 kwa hiyo haikua anaogopa kodi atakuwa na mambo ya ushirikina tu.maana hata uvivu wa kumwaga usingefikia hapo
Mtihani ktk mitihani ,tunamengi viumbe tunayoyaamua bila kupenda ,kwahali yakawaida huwez kufanyahivo , Mungu awasimamie kimaamuz viumbe wake sisi
Sasa anatuumiwa kama anaogopa kukojoa nje jamani 😂😂😂😂😂
Pole kwetu wenye nyumba
Yaan najiuliza alikuwa anatawaza na nini akinnyaaaaa😂😂😂😂
Afya ya akili jamani jamani😅😅😅😅 watu wanaumwa
Duuuh huyu atakua ana matatizo ya akili sio bure khaah😅
Duh jmn hyo hlfu ya mavi na mkojo alikuwa analalaje mbn htr
Heeeerrr 😂😂😂😂😂😂 syoatari bana iyonikama tabiatu sema yeye kapitiliza mpaka amepatumia kama selufu akapangishe selufu ataki foleni vyoo vyakupanga nikama changa moto kuna mtualiwai tokewa alikamaiyo😂😂
Mwamba kama mwamba,,,huyo ni mvivu wakutoka kujisaidia usiku😂
Hata asubuh kumwaga awezi
@StanleyJ214 mnamshangaa huyo dar dsm maghetto ya waschana wanakojoa jagi anautuza asubuhi ananawia usoni ili usowake uwe sofiti yaani hao wapo wengi mno hawaumbui
@@joshuasamson9618huoni huyo katunza kama vile anataka kuuza yan.. 😢😢. Bora anaemwaga..
@@Fx_expertmoneymaker001 Goja ni kupe siri ya mkojo ni utajiri mkubwa Ajabu yaani watu wengi hawafahamu ila sio kwa Jia kama ya huyu Maghati LA porini hajui kitu,
Ukitaka mambo yako yayooke sawasawa kila unachokifanya ukipokee tumia mkojo wako uonge saa Tina usiku Mara saba marajiri watakuamini ajabu ukiwaomba pesa milioni Mia watakupa wajua tawarundushia imetoka hiyo ila uwe na Pesa iliyotengenezwa na mkoloni pesa Ina Madi ya dhahambu Alimasi Mekirii ukiwa nayo matariji wanasahau kama walikupa pesa hawakukubuku yaani usije ukaonga mkojo kama huna hiyo pesa nitafute takuuzia hiyo pesa ninazo yaan
Daaar pole kijana nichangamotoza kukosa kodi mwachieni huyo kijana akaendeleee kutafta maisha yake
😂😂😂alikuwa ana ogopa kutoka nje ndio maana 😷
Geita😂🙌
Laiza katuumbua staili yetu da!😂😂😂😂
🦧🦧🦧🦧🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂
Wapo wengi sana watu wa hivyo mitaani😂😂😂sema uyo kazingua kufika hadi milladayo,,,😂😂😂katoa siri ya kambi😂😂
😅😅
😅😅😅😅😅kula chuma
Eti dishi limejaa mavi😂😂😂
Kwangu Nina lita 20 na nimefika juu karibu linajaa😂😂😂
Hahahaha 🤣🤣🤣 anavaa barakoa analala zake
Hahahaaa anavaa balakowa kwa ajili ya halufu isimpate 😂😂😂
Vitu vya kawaidaa , mama wa nyumba mkali Choo chakee
Tumuone jamani 😂😂😂😂
Mtihani kwakweli hata kama mvivu huwenda anakichaa dah😮duniani kuna vituko 😮😮
Nchi za mwenzetu kinyesi na mikojo ni dili sasa nyinyi na umbea wenu mnahalibu madili ya watu unamponza mwenzenu awe masikin😂😂😂
Gooooooooood. Mavi ni Mbolea nzuri Sana na Mkojo ni dawa nzuri Sana ya vidonda. Ok
Samahani jamani naombeni msaada amehukumiwa kwa kosa gani sijaona kosa lake as long vilikua vyote ni vyake 😅😅 kosa lake hasa ni lipi naombeni msaada
Ila we mama labda ulimbana mpangaji wako khs kodi mpk akaanza kuogopa hata kwenda chooni
😂
😂
Atashtakiwa Kwa kosa gani?😅😅
Mwamba hatari anavaa barakoa ili alale kwenye chumba chenye mavi kijana sharobaro😂😂😂😂
Tuone sura yake Binti zetu wasije kukumbana nae😢
😂
😂😂
Wehuna mototo mkubwa kiasi hiko😂😂😂😂
Binti yako atamwaga😅
😂😂😂😂😂😂
Kwani si angekuwa anadamka kumwaga jamani mbona kajitesa ivyo😂😂😂
Hiyo sio mzima kabisa, tatizo la dish
Linayumba ama😅
Kumbe geita hiyo kawaida yao😂😂😂😂
Anakuja saa 8 usiku anatoka saa 10 alfajiri , kisa kukwepa kulipa kodi analala masaa mawili tu .
😂😂
Daaaa
Joja na mm nianze taratibu make hyu mama mwenyenyumba haishi kunizogoa nifkishe japo chipa mia na besen 5 za mavi
Niliambiwa kua uyaone mbona naona mpaka yananizidia😮
Ukishiwa kodi ndio utajua aya mbona madogo kabisa
😂😂😂😂😂
Nilikuwa sijaona vituko vyote aisee
Mtihan😅😅😅😅
Mmh hizi nyumba tunazopanga imagine unaenda zako kupanga chumba kumbe kunamtu alifanya mambo yake kama Lazier doooh
Kawaida sana mbona😂😂
Mmmh skweli
Hiyo kawaida hata mm ndani kwangu zipo kibao @@mariamjuma5957
😮😮😮😮
Dah ana roho ngumu, sasa kama alikuwa anataka choo cha ndani angesema.😂😂😂
😂😂 kwa kweli
Hahaa
Aisee yaani kanya hadi kajaza beseni😮😮😮
😂😂
@@spreadlove5300😂😂
Duniani kuna mengi jamani.waaah!!!
😂unaweza ukadhani ulishamaliza kuona yote kumbe hata robo bado
😂😂😂 kunammoja walimtoaga huko manzese akitoka ndan shati limenyooka hatar kuja kuingia ndan ni gari tatu za taka walitoa na mikojo mpaka kwenye majaba chupa za soda sijui ni ugonjwa 😂😂😂
@@irhamseifnimecheka mieeeee 🤣 mtaniua 🤣🤣🤣🤣🤣
@@irhamseifunanivunja mbavu 😂😂😂😂
Ee mungu baba nipe uhai mrefu kumbe sjaona vyote😂😂😂
😂😂
Ukiskai kua uyaone ndio Aya mengine
Huyu mimi kabisa uvivu kwendAa chooni nje jamani msitulaumu
Mmhhhhh😅😅😅😅😂😂😂katibiweni akili jamani
Ndo ukikojowa usimwage haiwezekani
Mkojo inafaa ukaukojoe chooni mda unaamka mkojo unakuuma kimbofu nenda chooni ukakojoe sababu ukikojolea ndoo au sadolini au chupa mkojo unatabia kujichuja ukienda kuumwanga asubuhu utasababisha maabukizi ya magonjwa kwa watu wengine
@@mariamdullazy8166apo maajabu nayo wengi wakojoa mekebeni lakini wamwaga
Ukiona Ivo jua kijana hakuna na mademu huwezi kuacha chimba kichafu ivo
Lizer Yupi au Yule producer wa WCB😅😅
Hata mimi nimewahi kuwa na mpangaji wa ivo mamae🤣
,😂😂😂😂masai au😂😂
Laizar ndyo
Hii nilishaonaga😂😂
Mchafu uyo kijana ndio huweke mikojo ndan asimwage
kosa likowapi sasa😂😂😂
Hata mimi nakojoa kwenye kopo kawaida😂😂
Kabisa ni kawaida tu
Udharirishaji tuu 😢😢😢
Mambo yangu hayo
Kwahiyo na wewe unakunyaga kwenye beseni?
Sasa mwenyewe anakaa nayo arufi yawasumbua😊
Mm nninapoishi kulitotea stori Kama hii...nlishuhudia live jirani alikuwa anakojoa na.kunya mwenye beseni...mpaka kukatokea.mabuu..
Hili jambo milard ata mimi nilkua nalo niko zanzbar nilikutwa na chupa miamoja na kumi na nne kwahio nihali ya uvivu wa kuenda toylet huonndo ukweli
😮😮
Jengeni vyumba na choo ndani ....Hana kosa huyo 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ss siakamwage😂😂
@@mariamjuma5957 😂😂😂 au Kuna sehem anauza nini?
@@HusseinAlly-fq9ilnimecheka vile ulikata 🤣🤣🤣🤣
Kama ameshindwa kulipa Kodi Kwa chumba hicho je self container ataweza?
Huyo disi limeyumba sio bure😂😂😂😂
😂😂😂 jaman dunia ina watu
sasa huko kituoni mmempeleka kwa sabbu ya kukojoa ndani au kwasabb hajalipa kodi au kwasabbu alitaka kupigana na polis jamii
Ukute ni petrol yenyewe 😅😅😅
Kwani hakuna vyanzo vingine vya habari🤣🤣🤣
Ayo Lizer
Ayolaizer
Ametutia aibu wamasai😅😅😅uuuwi lalashe kanyoooo
Utajiri mgumu lalashe 😂😂Acha mwenetu akomae mganga wake atar
Jamaa anataka kufua umeme labda 😆😆
Mmkamata kwa kosa gani?.au ndio kwakosa lakukojoa kwenye chupa na kulala na mikojo take?.VP wale wenye chumba cha mastar.wale si ndio wanalala na choo ndani itakuaje.😂😂
Huyu anataka kutuharibia wenye majina yetu ya Laizer sijampenda kabisa😂😂😂😂 Laizer hatunaga hali kama hii😢
Yaani wa kina laizer ni wachafu sana
Na wengi wanao jiita laizer ni wamasai
Laizer Walikunya kanisasa arumuru arusha asili yao uchafu
Daaah huyu mwamba,asee mavi na mkojo....
Nihofu tu ya kudaiwa kodi muachilie aondoke bure nimaisha magumu.hata wewe mama pia elewa.hiyo tu.
Wamasai ndio walivyo sijui wananini yaani kukojoa kwenye makopo ndio walivyo yaani kukaa na kinyesi ndani kawaida tu
Sema kijijin bhn watu wanafatiliana sana mno ingekuwa mjn akuna Mambo kama hayo
Ni mgonjwa wa akili kuna magonjwa mengi ya akili sio lazima mtu hujue ni mgonjwa wa akili ila anakuwa Na mambo ya ajabu, anatakiwa akutane Na daktari wa mambo ya magonjwa ya akili Na sioni hiyo ni taarifa ya maana ya kutoa kwenye vyombo vya habari
Huenda umeona tukio hili LA kwanza kwako na yule mzee wa mwaka Jana alikutwa madumu is ishirini yamejaa mikojo tupu dar dsm mburahati huyo mtasema mgonjwa wa akili ukiona mtu anakojoa mikojo ndani combo chumbani ni huluka yake Ee
@@joshuasamson9618 kwani kuna limit ya wagonjwa wa akili Na si wanajulikana kutokana na matendo yao au unafikiri mgonjwa wa akili lazima atembee uchi kuna magonjwa mengi sana ya akili ya taarifa yako hiyo sio hulka ya kawaida ni ugonjwa huo na huyo wa dar
@@Kabwela776 Hakuna mgonjwa wa Akili hapo kama vitendo viazie kwa watu wanamiliki nyumba zao Wana vyuo ndani yaani Choo Wana ishi na mavi chumbani mikojo hao ni wagonjwa wa akili watu wengi nyakati za usiku wanatenga ndoo ya kukojolea mkojo usiku wanachoka sana makazini kwao goja Nikusimulie kisa hiki mwaka1985 ilipita Ladirova jamaa walitupa mfuko wa Marimboro waliufunga vizuri watu wakakimbilia Gari imedodosha mfuko watu kusukumana na fuko ulipasua watu waliyaonga mavi ya wazungu yaani, Kuna siku ulikaa unamsumbilia mtu alioko ndani choon atoke ndo wewe uingie chooni haya mtu anatoa unafungua mlango unakutana mavi tena mama kanya mavi nje ya shimo wewe unatakiwa uyandeki utafanyaje mwanamke kaondoka Amekunya mavi hajalenga shimoo
Tatizo Inavyo Onekana Landlord ANAMDOMO SANA
Kosa ni nini jaman chuapa zakwake mwenyewe jaman mm naona wamdai kodi 2😅😅
Kosa harufu angezuia harufu isiwe kero kwa wengne😂😂
Mbona hawa maelezo yanachengana sasa mara mlango ulikuwa wazi mara wapelelezi wakafungiwa mara tukatikisa mlango ukafunguka tuelewe nn
Elimu Elimu Elimu. Huo ni udhalilishaji. Tuache kutesana Watanzania. Hali mbaya mno ccm ipi kazini. Mpe notsi kwanza sio mitandaoni humu Aibu. Ok
Mmmmmh😢
😂😂😂😂😂nimecheka mm jamaan ety anawasha fen na barakoa..... MUNGU huyu bc ty😂😂😂😂
Hio ni kawaida kwa mabarobaro wengi tu, tena umri 26 na hana mke ni kawaida iyo. Hata dar wapo kibao tu. Na ambavyo hana ajira yyte. Kawaida bn, ni maswala ya malezi tu. Alikua anajificha asionekane
Hi kawaida ila apo kwenye mavi no
Mbona kijana yupo sahihi tu, isipokuwa suala la kukosa kipato ni suala la muda tuu, na alihisi ni choo hicho maaana nyumba yenyewe haieleweki. Yaani mimi sioni kosa kabisa maana bibi huyu naye anongea pointless
Imagne ni boyfriend wa mtu 🙄😢daah so sadddd😂😂😂😂
😂😂😂 iyo inanikumbusha mwaka 2004 tulikaa nao miaka mitatu bila kumuona.anaoga hata siku moja akienda chooni ana chukua maji kwenye kopo na alikua mbishi kulipa kodi na aliambiwa aondoke kwenye nyumba.hakutaka kuondoka walifikishana.mpaka.polisi lakini alikua mbishi sana.mwenye nyumba akaenda kulipa pesa police ili waje wamtoe police walikuja asubuh mapema tukazuiliwa tusitoke nyumba nzima waligonga mlango hakutaka kufungua wakasukuma.mlango tulivyo viona tulibaki hoi vipisi vya sigara vilijaa kisado na mkojo kwenye ndoo umejaa ka mpaka ndoo imekua na magamba imelika kwa mkojo na alikua akitoka nje hauwezi mzania alikua anaimba kwaya kanisani na alikua ana badirisha wanawake kila siku tena ni mashangazi police akamuuliza wewe kabira gani akajibu muhaya 😂 police akamzaba vibao takatifu na kumwambia unaichafua kabira ambayo maridadi na wasafi na hata kama hawana huwezi kujua alitolewa vyombo vyake vimejaa vumbi buibui wametanda sehemu zote tv haionekani kioo kiko wapi
😂😂😂😂 kwenye kwaya😂😂
Kah😂😂😂😂😂😂😂😅😊😅😅😅😅😅😅 yan nimecheka atar
.
😂
@@abdulkarimabdallah9536 Yani sitanii wallah tena chumba changu kilikua kina tazamana milango akifungua tu arufu Kari iyo siku Sito isahau nakumbuka nilikua nafanya kazi mjini mda wa kuingia saa Moja asubuh lakini tulizuiliwa mpaka walipo maliza kutoa vitu ndani ndo tukaambiwa tutoke na.pingu alifungwa uku anashuhudia makolokolo yake Yana tupiwa barazani tena.alipata.hasara walikua wanatupa tu kitanda chaga zote zilivunjika😄😄uwezi amini mpaka Leo namuonaga sana pale posta kazi yake kubwa kuosha magari na alikua anasema kazi yake dereva anamuendesha mzungu chezea wahaya wewee 😄
Sasa swala la mokojo si lake mwenyewe jaman au.
Hi kitaa mbona kawaida sana hasa mjini
Wee laizer weweeee(kwa sauti ya zuchu)
Mmh hata kama hilo ndogeto is mhuni lkn Hapana kwakweliiii😅😅😅huyo sio mhuni labda anashida kichwani jmn.
Asee hii imekaaje😂😂
Imekaa kitaalam sana hii
Hannah designed hapo