KIJANA AKUTWA NA CHUPA ZA MKOJO CHUMBANI KWAKE, MWENYE NYUMBA, MAJIRANI WAELEZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 344

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 7 месяцев назад +14

    Hii hali ipo sana hasa kwa sisi wakiume hizi plastiki tunapozitumia kukojolea ina fika mahla mtu anajaza chupa mbili na mwisho wa siku chupa 3 na kisha unakuwa adicted. Ila kwa wenzetu wanawake wao wanatoboa tobo kubwa huoni akibadilisha chombo cha kukojolea.

    • @westcijosh
      @westcijosh 2 месяца назад +2

      Aaah huyu jamaa ni kwere 😂😂 afanyiwe utafiti
      Ila mi nahisi jamaa ni bangi na nyeto ndio zmemuathiri kisaikolojia wala sio ushrkina

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 7 месяцев назад +6

    Ila kwa kwelii khaa uyu kijana sio mzima haki😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 7 месяцев назад +12

    Ayo Mambo Wengi Tunafanya Lakini Unakua Na Kidumu Unakojoa Asubuhi Unaenda Kumwaga Kwasababu Ya Usumbufu Wa Kutoka Inje Mala Kwa Mala Mana Usiku Unakunywa Maji Mengi Lakini Sio Kwa Ayo Mambo Uyo Kichaa Sio Bule Wenda Kapewa Shaliti Na Mganga Wa Kienyeji Akizani Atapata Utajili Mashaliti Ayo Ya Mganga Alizani Zitabadili Ziwe Pesa

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 7 месяцев назад +1

      😂😂 umetisha kabisa ni usumbufu sana

  • @winfridambwambo9830
    @winfridambwambo9830 7 месяцев назад +6

    Jamani siku hizi kuna ugojwa wa shida ya akili vijana wengi sasa tuna shida ya akili asaidiwe huyo kwa kina inasikitisha mno

  • @pendobaharia5598
    @pendobaharia5598 7 месяцев назад +2

    Ayooooo laizer 😂😂😂

  • @VictorBugobola
    @VictorBugobola 7 месяцев назад +5

    Tzz 😂huyu mama mwny nyumba alikuwa mkali kutumia choo chake😂 ila ukwl tu kodi ya nyumba inaumizaga vichwa Sana sema tutafika tu

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 7 месяцев назад +4

    Mmmmmmh jamani,hali ngumu kiasi cha kujisaidia ndani ndo usilipe kodi,sio sahihi,

  • @LeilaWilfred-zc7gn
    @LeilaWilfred-zc7gn 7 месяцев назад

    Daaa mwacheni kaka wa Mungu jamnii' cha msingi atafutiwe mke aoe

  • @salumahmadasalum1556
    @salumahmadasalum1556 7 месяцев назад +6

    ATAKAE KUJA KUPANGA KWANGU AJE NA CHETI CHENYE KUTHIBITISHA AKILI YAKE

  • @patriciamrina2275
    @patriciamrina2275 7 месяцев назад +1

    Mpaka nimesikia harufu ya mkojo humu kwenye cm😂😂😂

    • @danieljoseph1610
      @danieljoseph1610 2 месяца назад

      Weeeeee! Acha hizooooo! Ukute Hilo limama ndo limemuwekea hizo uchafu ili kumkomoa na kumwaibisha kwenye jamii!

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 7 месяцев назад +3

    Labda alikuwa na mpango wa uzalishaji wa umeme kwa kutumia gesivunde(biogas), wakati wa kulala jamaa anawasha na feni kabisa,mwamba umetisha sana na umeingia kwenye rekodi ya dunia😂😂😂😂

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 7 месяцев назад +4

    😃😃😃yaani imenibidi nicheke kwanza. Yaani kakojoa ndani kwenye Dasani zote hizo pamoja na kunya kwenye mabeseni halafu akija kulala anavaa Barakoa 😃😃😃 Huko si kukwepa Kodi tu ya nyumba huyo atakuwa na shida kichwani kabisa. Hata Kama uvae Barakoa harufu haikwepeki hata kidogo.

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 7 месяцев назад +4

    Mmmh kuna watu wanatisha jamani sio kwa Uchafu huo

  • @YustaMlilile
    @YustaMlilile 7 месяцев назад +4

    Alikuwa anashindwa kwenda choo kwao sababu anaogopa hana kod

  • @godfreykameme6644
    @godfreykameme6644 7 месяцев назад +17

    Wamsamehe tu alikuwa anajificha kupia Kodi Ili asionane na mama mwenye nyumban🤣🤣🤣

    • @naomisamwel18
      @naomisamwel18 7 месяцев назад

      Alikuwa anatita wap😂😂

    • @naomisamwel18
      @naomisamwel18 7 месяцев назад

      Alikuwa anatita wap😂😂

    • @humphreyfungo7669
      @humphreyfungo7669 7 месяцев назад

      Alikutwa na beseni mavi ndani ya chumba chake

    • @mariumseif6751
      @mariumseif6751 7 месяцев назад

      Yaani mkojo mpaka ujae beseeni ni miezi ht 4 kwa hiyo haikua anaogopa kodi atakuwa na mambo ya ushirikina tu.maana hata uvivu wa kumwaga usingefikia hapo

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 7 месяцев назад +2

    Mtihani ktk mitihani ,tunamengi viumbe tunayoyaamua bila kupenda ,kwahali yakawaida huwez kufanyahivo , Mungu awasimamie kimaamuz viumbe wake sisi

  • @mikalwila9342
    @mikalwila9342 7 месяцев назад

    Sasa anatuumiwa kama anaogopa kukojoa nje jamani 😂😂😂😂😂

  • @JudicaShoo-x9n
    @JudicaShoo-x9n 4 месяца назад

    Pole kwetu wenye nyumba

  • @jackiekimario9324
    @jackiekimario9324 7 месяцев назад

    Yaan najiuliza alikuwa anatawaza na nini akinnyaaaaa😂😂😂😂

  • @absm8084
    @absm8084 7 месяцев назад

    Afya ya akili jamani jamani😅😅😅😅 watu wanaumwa

  • @MigomgoMigali-ky1jl
    @MigomgoMigali-ky1jl 7 месяцев назад +1

    Duuuh huyu atakua ana matatizo ya akili sio bure khaah😅

  • @MagrethMagandula-u2z
    @MagrethMagandula-u2z 2 месяца назад

    Duh jmn hyo hlfu ya mavi na mkojo alikuwa analalaje mbn htr

  • @SitiboWilson
    @SitiboWilson 7 месяцев назад

    Heeeerrr 😂😂😂😂😂😂 syoatari bana iyonikama tabiatu sema yeye kapitiliza mpaka amepatumia kama selufu akapangishe selufu ataki foleni vyoo vyakupanga nikama changa moto kuna mtualiwai tokewa alikamaiyo😂😂

  • @JacquelineMacha-y3n
    @JacquelineMacha-y3n 7 месяцев назад +10

    Mwamba kama mwamba,,,huyo ni mvivu wakutoka kujisaidia usiku😂

    • @salomethomas6469
      @salomethomas6469 7 месяцев назад +1

      Hata asubuh kumwaga awezi

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 7 месяцев назад

      @StanleyJ214 mnamshangaa huyo dar dsm maghetto ya waschana wanakojoa jagi anautuza asubuhi ananawia usoni ili usowake uwe sofiti yaani hao wapo wengi mno hawaumbui

    • @Fx_expertmoneymaker001
      @Fx_expertmoneymaker001 7 месяцев назад +1

      ​@@joshuasamson9618huoni huyo katunza kama vile anataka kuuza yan.. 😢😢. Bora anaemwaga..

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 7 месяцев назад

      @@Fx_expertmoneymaker001 Goja ni kupe siri ya mkojo ni utajiri mkubwa Ajabu yaani watu wengi hawafahamu ila sio kwa Jia kama ya huyu Maghati LA porini hajui kitu,
      Ukitaka mambo yako yayooke sawasawa kila unachokifanya ukipokee tumia mkojo wako uonge saa Tina usiku Mara saba marajiri watakuamini ajabu ukiwaomba pesa milioni Mia watakupa wajua tawarundushia imetoka hiyo ila uwe na Pesa iliyotengenezwa na mkoloni pesa Ina Madi ya dhahambu Alimasi Mekirii ukiwa nayo matariji wanasahau kama walikupa pesa hawakukubuku yaani usije ukaonga mkojo kama huna hiyo pesa nitafute takuuzia hiyo pesa ninazo yaan

  • @Sangaligospel
    @Sangaligospel 7 месяцев назад

    Daaar pole kijana nichangamotoza kukosa kodi mwachieni huyo kijana akaendeleee kutafta maisha yake

  • @eliyasanga6374
    @eliyasanga6374 7 месяцев назад

    😂😂😂alikuwa ana ogopa kutoka nje ndio maana 😷

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 7 месяцев назад +1

    Geita😂🙌

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES 7 месяцев назад +3

    Laiza katuumbua staili yetu da!😂😂😂😂

    • @gidammatagi2723
      @gidammatagi2723 7 месяцев назад

      🦧🦧🦧🦧🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 7 месяцев назад +3

    Wapo wengi sana watu wa hivyo mitaani😂😂😂sema uyo kazingua kufika hadi milladayo,,,😂😂😂katoa siri ya kambi😂😂

    • @nickmkude7571
      @nickmkude7571 7 месяцев назад

      😅😅

    • @SuzanMairy
      @SuzanMairy 7 месяцев назад +1

      😅😅😅😅😅kula chuma

  • @yilodhasunga3967
    @yilodhasunga3967 4 месяца назад

    Eti dishi limejaa mavi😂😂😂

  • @MartinLaban
    @MartinLaban 7 месяцев назад +2

    Kwangu Nina lita 20 na nimefika juu karibu linajaa😂😂😂

  • @OmanOman-vb4uj
    @OmanOman-vb4uj 7 месяцев назад +2

    Hahahaha 🤣🤣🤣 anavaa barakoa analala zake

    • @RoseManyata
      @RoseManyata 7 месяцев назад

      Hahahaaa anavaa balakowa kwa ajili ya halufu isimpate 😂😂😂

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 7 месяцев назад +1

    Vitu vya kawaidaa , mama wa nyumba mkali Choo chakee

  • @Madam255
    @Madam255 7 месяцев назад +1

    Tumuone jamani 😂😂😂😂

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 7 месяцев назад

    Mtihani kwakweli hata kama mvivu huwenda anakichaa dah😮duniani kuna vituko 😮😮

  • @RahimaIdd-yf9jo
    @RahimaIdd-yf9jo 7 месяцев назад +1

    Nchi za mwenzetu kinyesi na mikojo ni dili sasa nyinyi na umbea wenu mnahalibu madili ya watu unamponza mwenzenu awe masikin😂😂😂

    • @BatazalNdifwa-nk2hl
      @BatazalNdifwa-nk2hl 7 месяцев назад

      Gooooooooood. Mavi ni Mbolea nzuri Sana na Mkojo ni dawa nzuri Sana ya vidonda. Ok

  • @oneplustv3862
    @oneplustv3862 7 месяцев назад

    Samahani jamani naombeni msaada amehukumiwa kwa kosa gani sijaona kosa lake as long vilikua vyote ni vyake 😅😅 kosa lake hasa ni lipi naombeni msaada

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 7 месяцев назад +4

    Ila we mama labda ulimbana mpangaji wako khs kodi mpk akaanza kuogopa hata kwenda chooni

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 7 месяцев назад +3

    Mwamba hatari anavaa barakoa ili alale kwenye chumba chenye mavi kijana sharobaro😂😂😂😂

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 7 месяцев назад +27

    Tuone sura yake Binti zetu wasije kukumbana nae😢

  • @AgathaAndrew-j8s
    @AgathaAndrew-j8s 7 месяцев назад

    Kwani si angekuwa anadamka kumwaga jamani mbona kajitesa ivyo😂😂😂

  • @vero57
    @vero57 7 месяцев назад +1

    Hiyo sio mzima kabisa, tatizo la dish

  • @NuruZebedayombise-ie5zb
    @NuruZebedayombise-ie5zb 7 месяцев назад

    Kumbe geita hiyo kawaida yao😂😂😂😂

  • @humphreyfungo7669
    @humphreyfungo7669 7 месяцев назад +3

    Anakuja saa 8 usiku anatoka saa 10 alfajiri , kisa kukwepa kulipa kodi analala masaa mawili tu .

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 7 месяцев назад

    Joja na mm nianze taratibu make hyu mama mwenyenyumba haishi kunizogoa nifkishe japo chipa mia na besen 5 za mavi

  • @AlindaJoel-xy4vz
    @AlindaJoel-xy4vz 7 месяцев назад +1

    Niliambiwa kua uyaone mbona naona mpaka yananizidia😮

  • @kephafrancis7177
    @kephafrancis7177 7 месяцев назад +1

    Ukishiwa kodi ndio utajua aya mbona madogo kabisa

  • @IsaacLameck-nz8yr
    @IsaacLameck-nz8yr 7 месяцев назад +1

    Nilikuwa sijaona vituko vyote aisee

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania 7 месяцев назад

    Mtihan😅😅😅😅

  • @shakilarajabu8059
    @shakilarajabu8059 7 месяцев назад +1

    Mmh hizi nyumba tunazopanga imagine unaenda zako kupanga chumba kumbe kunamtu alifanya mambo yake kama Lazier doooh

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 7 месяцев назад +1

    Kawaida sana mbona😂😂

    • @mariamjuma5957
      @mariamjuma5957 7 месяцев назад

      Mmmh skweli

    • @seifmiraji43
      @seifmiraji43 7 месяцев назад

      Hiyo kawaida hata mm ndani kwangu zipo kibao ​@@mariamjuma5957

  • @kemmymartine4884
    @kemmymartine4884 7 месяцев назад

    😮😮😮😮

  • @gcrack067
    @gcrack067 7 месяцев назад +13

    Dah ana roho ngumu, sasa kama alikuwa anataka choo cha ndani angesema.😂😂😂

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 7 месяцев назад +4

    Duniani kuna mengi jamani.waaah!!!

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 7 месяцев назад +1

      😂unaweza ukadhani ulishamaliza kuona yote kumbe hata robo bado

    • @irhamseif
      @irhamseif 7 месяцев назад +2

      😂😂😂 kunammoja walimtoaga huko manzese akitoka ndan shati limenyooka hatar kuja kuingia ndan ni gari tatu za taka walitoa na mikojo mpaka kwenye majaba chupa za soda sijui ni ugonjwa 😂😂😂

    • @doreenmsafari2945
      @doreenmsafari2945 7 месяцев назад

      ​@@irhamseifnimecheka mieeeee 🤣 mtaniua 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 7 месяцев назад

      ​@@irhamseifunanivunja mbavu 😂😂😂😂

  • @RadhiaJumanne-d5e
    @RadhiaJumanne-d5e 7 месяцев назад

    Ee mungu baba nipe uhai mrefu kumbe sjaona vyote😂😂😂

  • @redtk2971
    @redtk2971 7 месяцев назад +4

    Huyu mimi kabisa uvivu kwendAa chooni nje jamani msitulaumu

    • @claudiajames2003
      @claudiajames2003 7 месяцев назад +3

      Mmhhhhh😅😅😅😅😂😂😂katibiweni akili jamani

    • @mariamdullazy8166
      @mariamdullazy8166 7 месяцев назад +2

      Ndo ukikojowa usimwage haiwezekani

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 7 месяцев назад

      Mkojo inafaa ukaukojoe chooni mda unaamka mkojo unakuuma kimbofu nenda chooni ukakojoe sababu ukikojolea ndoo au sadolini au chupa mkojo unatabia kujichuja ukienda kuumwanga asubuhu utasababisha maabukizi ya magonjwa kwa watu wengine

    • @mariamjuma5957
      @mariamjuma5957 7 месяцев назад

      ​@@mariamdullazy8166apo maajabu nayo wengi wakojoa mekebeni lakini wamwaga

    • @bensonwissa5777
      @bensonwissa5777 7 месяцев назад

      Ukiona Ivo jua kijana hakuna na mademu huwezi kuacha chimba kichafu ivo

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 7 месяцев назад

    Lizer Yupi au Yule producer wa WCB😅😅

  • @rehemamajaliwa
    @rehemamajaliwa 7 месяцев назад

    Hata mimi nimewahi kuwa na mpangaji wa ivo mamae🤣

  • @lakiabalozi5633
    @lakiabalozi5633 7 месяцев назад +1

    ,😂😂😂😂masai au😂😂

  • @Jonsking
    @Jonsking 7 месяцев назад +1

    Hii nilishaonaga😂😂

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 7 месяцев назад +2

    Mchafu uyo kijana ndio huweke mikojo ndan asimwage

  • @rickiefisher1085
    @rickiefisher1085 7 месяцев назад

    kosa likowapi sasa😂😂😂

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 7 месяцев назад

    Hata mimi nakojoa kwenye kopo kawaida😂😂

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 7 месяцев назад

      Kabisa ni kawaida tu

  • @Jurbeg
    @Jurbeg 7 месяцев назад

    Udharirishaji tuu 😢😢😢

  • @MRTSBUILDER
    @MRTSBUILDER 7 месяцев назад +1

    Mambo yangu hayo

    • @RabiaIddi-ci2uz
      @RabiaIddi-ci2uz 7 месяцев назад

      Kwahiyo na wewe unakunyaga kwenye beseni?

  • @muhsinmsimu7449
    @muhsinmsimu7449 7 месяцев назад

    Sasa mwenyewe anakaa nayo arufi yawasumbua😊

  • @EuniceOdegea
    @EuniceOdegea 7 месяцев назад +1

    Mm nninapoishi kulitotea stori Kama hii...nlishuhudia live jirani alikuwa anakojoa na.kunya mwenye beseni...mpaka kukatokea.mabuu..

  • @faridbinjumaonlinetv9258
    @faridbinjumaonlinetv9258 7 месяцев назад

    Hili jambo milard ata mimi nilkua nalo niko zanzbar nilikutwa na chupa miamoja na kumi na nne kwahio nihali ya uvivu wa kuenda toylet huonndo ukweli

  • @HusseinAlly-fq9il
    @HusseinAlly-fq9il 7 месяцев назад +15

    Jengeni vyumba na choo ndani ....Hana kosa huyo 😂

    • @MaryamMaryam-wp5yk
      @MaryamMaryam-wp5yk 7 месяцев назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @mariamjuma5957
      @mariamjuma5957 7 месяцев назад

      Ss siakamwage😂😂

    • @HusseinAlly-fq9il
      @HusseinAlly-fq9il 7 месяцев назад

      @@mariamjuma5957 😂😂😂 au Kuna sehem anauza nini?

    • @doreenmsafari2945
      @doreenmsafari2945 7 месяцев назад

      ​@@HusseinAlly-fq9ilnimecheka vile ulikata 🤣🤣🤣🤣

    • @elimidakashumba2422
      @elimidakashumba2422 7 месяцев назад +1

      Kama ameshindwa kulipa Kodi Kwa chumba hicho je self container ataweza?

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 7 месяцев назад

    Huyo disi limeyumba sio bure😂😂😂😂

  • @RachelNathan-yv5zc
    @RachelNathan-yv5zc 7 месяцев назад

    😂😂😂 jaman dunia ina watu

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 7 месяцев назад +1

    sasa huko kituoni mmempeleka kwa sabbu ya kukojoa ndani au kwasabb hajalipa kodi au kwasabbu alitaka kupigana na polis jamii

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 7 месяцев назад

    Ukute ni petrol yenyewe 😅😅😅

  • @zawadimpayo3839
    @zawadimpayo3839 7 месяцев назад +1

    Kwani hakuna vyanzo vingine vya habari🤣🤣🤣

  • @frankmhengilolo1584
    @frankmhengilolo1584 7 месяцев назад +2

    Ayo Lizer

  • @lakiabalozi5633
    @lakiabalozi5633 7 месяцев назад

    Ametutia aibu wamasai😅😅😅uuuwi lalashe kanyoooo

    • @michaelkamunyu567
      @michaelkamunyu567 7 месяцев назад +1

      Utajiri mgumu lalashe 😂😂Acha mwenetu akomae mganga wake atar

  • @josephkiwale374
    @josephkiwale374 7 месяцев назад

    Jamaa anataka kufua umeme labda 😆😆

  • @mustafarajabu4005
    @mustafarajabu4005 7 месяцев назад

    Mmkamata kwa kosa gani?.au ndio kwakosa lakukojoa kwenye chupa na kulala na mikojo take?.VP wale wenye chumba cha mastar.wale si ndio wanalala na choo ndani itakuaje.😂😂

  • @talentshow2024
    @talentshow2024 7 месяцев назад +2

    Huyu anataka kutuharibia wenye majina yetu ya Laizer sijampenda kabisa😂😂😂😂 Laizer hatunaga hali kama hii😢

    • @SuzanMairy
      @SuzanMairy 7 месяцев назад

      Yaani wa kina laizer ni wachafu sana

    • @SuzanMairy
      @SuzanMairy 7 месяцев назад

      Na wengi wanao jiita laizer ni wamasai

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 7 месяцев назад

      Laizer Walikunya kanisasa arumuru arusha asili yao uchafu

  • @bensonlameck6348
    @bensonlameck6348 7 месяцев назад

    Daaah huyu mwamba,asee mavi na mkojo....

  • @DamarisDuuTausi
    @DamarisDuuTausi 6 месяцев назад

    Nihofu tu ya kudaiwa kodi muachilie aondoke bure nimaisha magumu.hata wewe mama pia elewa.hiyo tu.

  • @SuzanMairy
    @SuzanMairy 7 месяцев назад

    Wamasai ndio walivyo sijui wananini yaani kukojoa kwenye makopo ndio walivyo yaani kukaa na kinyesi ndani kawaida tu

  • @musampanda3643
    @musampanda3643 7 месяцев назад

    Sema kijijin bhn watu wanafatiliana sana mno ingekuwa mjn akuna Mambo kama hayo

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 7 месяцев назад +1

    Ni mgonjwa wa akili kuna magonjwa mengi ya akili sio lazima mtu hujue ni mgonjwa wa akili ila anakuwa Na mambo ya ajabu, anatakiwa akutane Na daktari wa mambo ya magonjwa ya akili Na sioni hiyo ni taarifa ya maana ya kutoa kwenye vyombo vya habari

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 7 месяцев назад

      Huenda umeona tukio hili LA kwanza kwako na yule mzee wa mwaka Jana alikutwa madumu is ishirini yamejaa mikojo tupu dar dsm mburahati huyo mtasema mgonjwa wa akili ukiona mtu anakojoa mikojo ndani combo chumbani ni huluka yake Ee

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 7 месяцев назад

      @@joshuasamson9618 kwani kuna limit ya wagonjwa wa akili Na si wanajulikana kutokana na matendo yao au unafikiri mgonjwa wa akili lazima atembee uchi kuna magonjwa mengi sana ya akili ya taarifa yako hiyo sio hulka ya kawaida ni ugonjwa huo na huyo wa dar

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 7 месяцев назад

      @@Kabwela776 Hakuna mgonjwa wa Akili hapo kama vitendo viazie kwa watu wanamiliki nyumba zao Wana vyuo ndani yaani Choo Wana ishi na mavi chumbani mikojo hao ni wagonjwa wa akili watu wengi nyakati za usiku wanatenga ndoo ya kukojolea mkojo usiku wanachoka sana makazini kwao goja Nikusimulie kisa hiki mwaka1985 ilipita Ladirova jamaa walitupa mfuko wa Marimboro waliufunga vizuri watu wakakimbilia Gari imedodosha mfuko watu kusukumana na fuko ulipasua watu waliyaonga mavi ya wazungu yaani, Kuna siku ulikaa unamsumbilia mtu alioko ndani choon atoke ndo wewe uingie chooni haya mtu anatoa unafungua mlango unakutana mavi tena mama kanya mavi nje ya shimo wewe unatakiwa uyandeki utafanyaje mwanamke kaondoka Amekunya mavi hajalenga shimoo

  • @arthurherman-rn8ko
    @arthurherman-rn8ko 7 месяцев назад +1

    Tatizo Inavyo Onekana Landlord ANAMDOMO SANA

  • @LatyTanzania
    @LatyTanzania 7 месяцев назад

    Kosa ni nini jaman chuapa zakwake mwenyewe jaman mm naona wamdai kodi 2😅😅

    • @amisafaraji5796
      @amisafaraji5796 7 месяцев назад

      Kosa harufu angezuia harufu isiwe kero kwa wengne😂😂

  • @Enjoy-ge5cy
    @Enjoy-ge5cy 7 месяцев назад

    Mbona hawa maelezo yanachengana sasa mara mlango ulikuwa wazi mara wapelelezi wakafungiwa mara tukatikisa mlango ukafunguka tuelewe nn

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl 7 месяцев назад

    Elimu Elimu Elimu. Huo ni udhalilishaji. Tuache kutesana Watanzania. Hali mbaya mno ccm ipi kazini. Mpe notsi kwanza sio mitandaoni humu Aibu. Ok

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 7 месяцев назад

    Mmmmmh😢

  • @siamnyone8403
    @siamnyone8403 7 месяцев назад

    😂😂😂😂😂nimecheka mm jamaan ety anawasha fen na barakoa..... MUNGU huyu bc ty😂😂😂😂

  • @nth3512
    @nth3512 7 месяцев назад

    Hio ni kawaida kwa mabarobaro wengi tu, tena umri 26 na hana mke ni kawaida iyo. Hata dar wapo kibao tu. Na ambavyo hana ajira yyte. Kawaida bn, ni maswala ya malezi tu. Alikua anajificha asionekane

    • @samwelikmollel
      @samwelikmollel 7 месяцев назад

      Hi kawaida ila apo kwenye mavi no

  • @AgathaFerdinand
    @AgathaFerdinand 7 месяцев назад

    Mbona kijana yupo sahihi tu, isipokuwa suala la kukosa kipato ni suala la muda tuu, na alihisi ni choo hicho maaana nyumba yenyewe haieleweki. Yaani mimi sioni kosa kabisa maana bibi huyu naye anongea pointless

  • @ashurahamiss
    @ashurahamiss 7 месяцев назад

    Imagne ni boyfriend wa mtu 🙄😢daah so sadddd😂😂😂😂

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 7 месяцев назад +5

    😂😂😂 iyo inanikumbusha mwaka 2004 tulikaa nao miaka mitatu bila kumuona.anaoga hata siku moja akienda chooni ana chukua maji kwenye kopo na alikua mbishi kulipa kodi na aliambiwa aondoke kwenye nyumba.hakutaka kuondoka walifikishana.mpaka.polisi lakini alikua mbishi sana.mwenye nyumba akaenda kulipa pesa police ili waje wamtoe police walikuja asubuh mapema tukazuiliwa tusitoke nyumba nzima waligonga mlango hakutaka kufungua wakasukuma.mlango tulivyo viona tulibaki hoi vipisi vya sigara vilijaa kisado na mkojo kwenye ndoo umejaa ka mpaka ndoo imekua na magamba imelika kwa mkojo na alikua akitoka nje hauwezi mzania alikua anaimba kwaya kanisani na alikua ana badirisha wanawake kila siku tena ni mashangazi police akamuuliza wewe kabira gani akajibu muhaya 😂 police akamzaba vibao takatifu na kumwambia unaichafua kabira ambayo maridadi na wasafi na hata kama hawana huwezi kujua alitolewa vyombo vyake vimejaa vumbi buibui wametanda sehemu zote tv haionekani kioo kiko wapi

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 7 месяцев назад

      😂😂😂😂 kwenye kwaya😂😂

    • @abdulkarimabdallah9536
      @abdulkarimabdallah9536 7 месяцев назад

      Kah😂😂😂😂😂😂😂😅😊😅😅😅😅😅😅 yan nimecheka atar

    • @abdulkarimabdallah9536
      @abdulkarimabdallah9536 7 месяцев назад

      .

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 7 месяцев назад

      😂

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 7 месяцев назад

      @@abdulkarimabdallah9536 Yani sitanii wallah tena chumba changu kilikua kina tazamana milango akifungua tu arufu Kari iyo siku Sito isahau nakumbuka nilikua nafanya kazi mjini mda wa kuingia saa Moja asubuh lakini tulizuiliwa mpaka walipo maliza kutoa vitu ndani ndo tukaambiwa tutoke na.pingu alifungwa uku anashuhudia makolokolo yake Yana tupiwa barazani tena.alipata.hasara walikua wanatupa tu kitanda chaga zote zilivunjika😄😄uwezi amini mpaka Leo namuonaga sana pale posta kazi yake kubwa kuosha magari na alikua anasema kazi yake dereva anamuendesha mzungu chezea wahaya wewee 😄

  • @IshipalemyPasko
    @IshipalemyPasko 7 месяцев назад

    Sasa swala la mokojo si lake mwenyewe jaman au.

  • @samwelikmollel
    @samwelikmollel 7 месяцев назад

    Hi kitaa mbona kawaida sana hasa mjini

  • @nahyahya7349
    @nahyahya7349 7 месяцев назад

    Wee laizer weweeee(kwa sauti ya zuchu)

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 7 месяцев назад +2

    Mmh hata kama hilo ndogeto is mhuni lkn Hapana kwakweliiii😅😅😅huyo sio mhuni labda anashida kichwani jmn.

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 7 месяцев назад

    Asee hii imekaaje😂😂

  • @josephpeter2343
    @josephpeter2343 7 месяцев назад

    Hannah designed hapo