KIJANA AKUTWA NA CHUPA ZA MKOJO CHUMBANI KWAKE, MWENYE NYUMBA, MAJIRANI WAELEZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 339

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 3 месяца назад +12

    Hii hali ipo sana hasa kwa sisi wakiume hizi plastiki tunapozitumia kukojolea ina fika mahla mtu anajaza chupa mbili na mwisho wa siku chupa 3 na kisha unakuwa adicted. Ila kwa wenzetu wanawake wao wanatoboa tobo kubwa huoni akibadilisha chombo cha kukojolea.

  • @winfridambwambo9830
    @winfridambwambo9830 3 месяца назад +6

    Jamani siku hizi kuna ugojwa wa shida ya akili vijana wengi sasa tuna shida ya akili asaidiwe huyo kwa kina inasikitisha mno

  • @salumahmadasalum1556
    @salumahmadasalum1556 3 месяца назад +6

    ATAKAE KUJA KUPANGA KWANGU AJE NA CHETI CHENYE KUTHIBITISHA AKILI YAKE

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 3 месяца назад +3

    Labda alikuwa na mpango wa uzalishaji wa umeme kwa kutumia gesivunde(biogas), wakati wa kulala jamaa anawasha na feni kabisa,mwamba umetisha sana na umeingia kwenye rekodi ya dunia😂😂😂😂

  • @YustaMlilile
    @YustaMlilile 3 месяца назад +4

    Alikuwa anashindwa kwenda choo kwao sababu anaogopa hana kod

  • @patriciamrina2275
    @patriciamrina2275 2 месяца назад +1

    Mpaka nimesikia harufu ya mkojo humu kwenye cm😂😂😂

  • @VictorBugobola
    @VictorBugobola 3 месяца назад +5

    Tzz 😂huyu mama mwny nyumba alikuwa mkali kutumia choo chake😂 ila ukwl tu kodi ya nyumba inaumizaga vichwa Sana sema tutafika tu

  • @siamnyone8403
    @siamnyone8403 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂nimecheka mm jamaan ety anawasha fen na barakoa..... MUNGU huyu bc ty😂😂😂😂

  • @DamarisDuuTausi
    @DamarisDuuTausi 2 месяца назад

    Nihofu tu ya kudaiwa kodi muachilie aondoke bure nimaisha magumu.hata wewe mama pia elewa.hiyo tu.

  • @humphreyfungo7669
    @humphreyfungo7669 3 месяца назад +3

    Anakuja saa 8 usiku anatoka saa 10 alfajiri , kisa kukwepa kulipa kodi analala masaa mawili tu .

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 3 месяца назад +4

    😃😃😃yaani imenibidi nicheke kwanza. Yaani kakojoa ndani kwenye Dasani zote hizo pamoja na kunya kwenye mabeseni halafu akija kulala anavaa Barakoa 😃😃😃 Huko si kukwepa Kodi tu ya nyumba huyo atakuwa na shida kichwani kabisa. Hata Kama uvae Barakoa harufu haikwepeki hata kidogo.

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 3 месяца назад +11

    Ayo Mambo Wengi Tunafanya Lakini Unakua Na Kidumu Unakojoa Asubuhi Unaenda Kumwaga Kwasababu Ya Usumbufu Wa Kutoka Inje Mala Kwa Mala Mana Usiku Unakunywa Maji Mengi Lakini Sio Kwa Ayo Mambo Uyo Kichaa Sio Bule Wenda Kapewa Shaliti Na Mganga Wa Kienyeji Akizani Atapata Utajili Mashaliti Ayo Ya Mganga Alizani Zitabadili Ziwe Pesa

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 3 месяца назад +1

      😂😂 umetisha kabisa ni usumbufu sana

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 3 месяца назад +4

    Mmmh kuna watu wanatisha jamani sio kwa Uchafu huo

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 3 месяца назад +2

    Mchafu uyo kijana ndio huweke mikojo ndan asimwage

  • @oneplustv3862
    @oneplustv3862 2 месяца назад

    Samahani jamani naombeni msaada amehukumiwa kwa kosa gani sijaona kosa lake as long vilikua vyote ni vyake 😅😅 kosa lake hasa ni lipi naombeni msaada

  • @othmanabdallah3146
    @othmanabdallah3146 6 дней назад

    Huyo dogo ni mtafit mwanasayansi mwandaMizi

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 3 месяца назад +6

    Ila kwa kwelii khaa uyu kijana sio mzima haki😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SaraSara-i1l
    @SaraSara-i1l 3 месяца назад

    Kosa lako mwenye nyumba unamtuhumu ameiba go and sleep women

  • @EuniceOdegea
    @EuniceOdegea 3 месяца назад +1

    Mm nninapoishi kulitotea stori Kama hii...nlishuhudia live jirani alikuwa anakojoa na.kunya mwenye beseni...mpaka kukatokea.mabuu..

  • @kephafrancis7177
    @kephafrancis7177 3 месяца назад +1

    Ukishiwa kodi ndio utajua aya mbona madogo kabisa

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 3 месяца назад +1

    sasa huko kituoni mmempeleka kwa sabbu ya kukojoa ndani au kwasabb hajalipa kodi au kwasabbu alitaka kupigana na polis jamii

  • @JudicaShoo-x9n
    @JudicaShoo-x9n 3 дня назад

    Pole kwetu wenye nyumba

  • @IssaTayari
    @IssaTayari 2 месяца назад

    Alikuwa anaogopa kwenda kwachoo kissa kod

  • @shakilarajabu8059
    @shakilarajabu8059 3 месяца назад +1

    Mmh hizi nyumba tunazopanga imagine unaenda zako kupanga chumba kumbe kunamtu alifanya mambo yake kama Lazier doooh

  • @Neemaluoga-u4j
    @Neemaluoga-u4j 3 месяца назад

    wapo wengi nimewai kushuhudia

  • @arthurherman-rn8ko
    @arthurherman-rn8ko 3 месяца назад +1

    Tatizo Inavyo Onekana Landlord ANAMDOMO SANA

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 3 месяца назад +3

    Wapo wengi sana watu wa hivyo mitaani😂😂😂sema uyo kazingua kufika hadi milladayo,,,😂😂😂katoa siri ya kambi😂😂

  • @Enjoy-ge5cy
    @Enjoy-ge5cy 3 месяца назад

    Mbona hawa maelezo yanachengana sasa mara mlango ulikuwa wazi mara wapelelezi wakafungiwa mara tukatikisa mlango ukafunguka tuelewe nn

  • @yilodhasunga3967
    @yilodhasunga3967 19 дней назад

    Eti dishi limejaa mavi😂😂😂

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 3 месяца назад +4

    Ila we mama labda ulimbana mpangaji wako khs kodi mpk akaanza kuogopa hata kwenda chooni

  • @donathajasson6401
    @donathajasson6401 3 месяца назад

    akauze mkojo ni mbolea apate kodi

  • @MartinLaban
    @MartinLaban 3 месяца назад +2

    Kwangu Nina lita 20 na nimefika juu karibu linajaa😂😂😂

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 3 месяца назад +3

    Mwamba hatari anavaa barakoa ili alale kwenye chumba chenye mavi kijana sharobaro😂😂😂😂

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES 3 месяца назад +3

    Laiza katuumbua staili yetu da!😂😂😂😂

    • @gidammatagi2723
      @gidammatagi2723 3 месяца назад

      🦧🦧🦧🦧🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂

  • @richardmshiu5118
    @richardmshiu5118 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂tutafika mbinguni Kwa tabu Sanaa.Haya maajabu huku duniani mengine yanatishaa.Ukoo wa laizerrrrrrrrrrrrrrrrr jmn.. duuh haupo hivyo

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 месяца назад +4

    Mmmmmmh jamani,hali ngumu kiasi cha kujisaidia ndani ndo usilipe kodi,sio sahihi,

  • @godfreykameme6644
    @godfreykameme6644 3 месяца назад +17

    Wamsamehe tu alikuwa anajificha kupia Kodi Ili asionane na mama mwenye nyumban🤣🤣🤣

    • @naomisamwel18
      @naomisamwel18 3 месяца назад

      Alikuwa anatita wap😂😂

    • @naomisamwel18
      @naomisamwel18 3 месяца назад

      Alikuwa anatita wap😂😂

    • @humphreyfungo7669
      @humphreyfungo7669 3 месяца назад

      Alikutwa na beseni mavi ndani ya chumba chake

    • @mariumseif6751
      @mariumseif6751 3 месяца назад

      Yaani mkojo mpaka ujae beseeni ni miezi ht 4 kwa hiyo haikua anaogopa kodi atakuwa na mambo ya ushirikina tu.maana hata uvivu wa kumwaga usingefikia hapo

  • @jacksonchiwalanga4817
    @jacksonchiwalanga4817 3 месяца назад

    Sasa cha ajabu ni nini apoo??? Alafu mama mwenyenyumba anasema mtuhumiwa,, Ni mtuhumiwa kwa kosa ganii??? Kutolipa kodi ni kosa kisheria?? Kama mtu ana hustle ni ajabu??? Kukojoa kwenye makopo ya maji ni ajabu???

  • @BizzBoy-g4o
    @BizzBoy-g4o 3 месяца назад

    usenge mtupu

  • @pendobaharia5598
    @pendobaharia5598 3 месяца назад +1

    Ayooooo laizer 😂😂😂

  • @SitiboWilson
    @SitiboWilson 3 месяца назад

    Heeeerrr 😂😂😂😂😂😂 syoatari bana iyonikama tabiatu sema yeye kapitiliza mpaka amepatumia kama selufu akapangishe selufu ataki foleni vyoo vyakupanga nikama changa moto kuna mtualiwai tokewa alikamaiyo😂😂

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 3 месяца назад +1

    Vitu vya kawaidaa , mama wa nyumba mkali Choo chakee

  • @filbertshayo3703
    @filbertshayo3703 3 месяца назад

    Sasa cha ajabu hapo ni nini? Hiyo si ndio self contains? Mbona huku dar majumba mengi ndivyo talivyo?

  • @mustafarajabu4005
    @mustafarajabu4005 3 месяца назад

    Mmkamata kwa kosa gani?.au ndio kwakosa lakukojoa kwenye chupa na kulala na mikojo take?.VP wale wenye chumba cha mastar.wale si ndio wanalala na choo ndani itakuaje.😂😂

  • @AlindaJoel-xy4vz
    @AlindaJoel-xy4vz 3 месяца назад +1

    Niliambiwa kua uyaone mbona naona mpaka yananizidia😮

  • @redtk2971
    @redtk2971 3 месяца назад +4

    Huyu mimi kabisa uvivu kwendAa chooni nje jamani msitulaumu

    • @claudiajames2003
      @claudiajames2003 3 месяца назад +3

      Mmhhhhh😅😅😅😅😂😂😂katibiweni akili jamani

    • @mariamdullazy8166
      @mariamdullazy8166 3 месяца назад +2

      Ndo ukikojowa usimwage haiwezekani

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 3 месяца назад

      Mkojo inafaa ukaukojoe chooni mda unaamka mkojo unakuuma kimbofu nenda chooni ukakojoe sababu ukikojolea ndoo au sadolini au chupa mkojo unatabia kujichuja ukienda kuumwanga asubuhu utasababisha maabukizi ya magonjwa kwa watu wengine

    • @mariamjuma5957
      @mariamjuma5957 3 месяца назад

      ​@@mariamdullazy8166apo maajabu nayo wengi wakojoa mekebeni lakini wamwaga

    • @bensonwissa5777
      @bensonwissa5777 3 месяца назад

      Ukiona Ivo jua kijana hakuna na mademu huwezi kuacha chimba kichafu ivo

  • @calvin6445
    @calvin6445 3 месяца назад

    Lizer mfanabiashara wa mkojo UTI sugu

  • @JacquelineMacha-y3n
    @JacquelineMacha-y3n 3 месяца назад +10

    Mwamba kama mwamba,,,huyo ni mvivu wakutoka kujisaidia usiku😂

    • @salomethomas6469
      @salomethomas6469 3 месяца назад +1

      Hata asubuh kumwaga awezi

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 3 месяца назад

      @StanleyJ214 mnamshangaa huyo dar dsm maghetto ya waschana wanakojoa jagi anautuza asubuhi ananawia usoni ili usowake uwe sofiti yaani hao wapo wengi mno hawaumbui

    • @Fx_expertmoneymaker001
      @Fx_expertmoneymaker001 3 месяца назад +1

      ​@@joshuasamson9618huoni huyo katunza kama vile anataka kuuza yan.. 😢😢. Bora anaemwaga..

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 3 месяца назад

      @@Fx_expertmoneymaker001 Goja ni kupe siri ya mkojo ni utajiri mkubwa Ajabu yaani watu wengi hawafahamu ila sio kwa Jia kama ya huyu Maghati LA porini hajui kitu,
      Ukitaka mambo yako yayooke sawasawa kila unachokifanya ukipokee tumia mkojo wako uonge saa Tina usiku Mara saba marajiri watakuamini ajabu ukiwaomba pesa milioni Mia watakupa wajua tawarundushia imetoka hiyo ila uwe na Pesa iliyotengenezwa na mkoloni pesa Ina Madi ya dhahambu Alimasi Mekirii ukiwa nayo matariji wanasahau kama walikupa pesa hawakukubuku yaani usije ukaonga mkojo kama huna hiyo pesa nitafute takuuzia hiyo pesa ninazo yaan

  • @MigomgoMigali-ky1jl
    @MigomgoMigali-ky1jl 3 месяца назад +1

    Duuuh huyu atakua ana matatizo ya akili sio bure khaah😅

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 3 месяца назад

    Ulikuwa umstiri tu wewe uendelee kudai kodi yako lakin sio kwa kumuaibisha ivyo mpaka mtandaoni jamani kumbuka kuna kesho yako nawe unaweza kujakuhangaika kama ivyo. Ilikuwa haina haja kuleta waandishi wa habari .kama napajuwa unapoishi ningali kuotea usiku nikakumwagia hayo machupa mikojo.

  • @Sangaligospel
    @Sangaligospel 3 месяца назад

    Daaar pole kijana nichangamotoza kukosa kodi mwachieni huyo kijana akaendeleee kutafta maisha yake

  • @IsaacLameck-nz8yr
    @IsaacLameck-nz8yr 3 месяца назад +1

    Nilikuwa sijaona vituko vyote aisee

  • @BalksGitya
    @BalksGitya 3 месяца назад +1

    Sasa kosa nn kulipa Kodi au kukaa na mikojo ndani?

  • @ashurahamiss
    @ashurahamiss 3 месяца назад

    Imagne ni boyfriend wa mtu 🙄😢daah so sadddd😂😂😂😂

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz 3 месяца назад

    😂😂😂

  • @AbubakariBausi-zd6xf
    @AbubakariBausi-zd6xf 3 месяца назад

    sioni kesi hapa hulka ya mtu hata gest watu wanaingia na madasani ndani wanakojoa ni vitu zoelefu Wala havitakiwi media sana ila wanafiki Bana Kwa iyo halufu tuu au mlijua mtu kafamo wote hata mtendaji na mwenyekiti mnakojoleaga madasani usiku binafsi natumia Dasani labda jamaa alikuwa anachelewa kwenda kumwaga tuu dah Kwa kukuza mambo waswaili mmh Hadi kinyaaa kabisa uongo uongo tuu

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 3 месяца назад

    Joja na mm nianze taratibu make hyu mama mwenyenyumba haishi kunizogoa nifkishe japo chipa mia na besen 5 za mavi

  • @AgathaFerdinand
    @AgathaFerdinand 3 месяца назад

    Mbona kijana yupo sahihi tu, isipokuwa suala la kukosa kipato ni suala la muda tuu, na alihisi ni choo hicho maaana nyumba yenyewe haieleweki. Yaani mimi sioni kosa kabisa maana bibi huyu naye anongea pointless

  • @mikalwila9342
    @mikalwila9342 2 месяца назад

    Sasa anatuumiwa kama anaogopa kukojoa nje jamani 😂😂😂😂😂

  • @ashurakiaga7812
    @ashurakiaga7812 3 месяца назад

    Ukute hadeki choon na ukute wapangaji wenzie wanamfungia choo ili asiingie.na yy kaona isiwe tabu ngoja amplifier ndani kl kt

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 3 месяца назад +27

    Tuone sura yake Binti zetu wasije kukumbana nae😢

  • @kemmymartine4884
    @kemmymartine4884 3 месяца назад

    😮😮😮😮

  • @kimaronemes5689
    @kimaronemes5689 3 месяца назад

    😂😂😂😂

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 3 месяца назад

    MTU YUKO KATIKA UTAFITI WAKE MUMUACHE LABDA ANATAKA KUTENGENEZA DAWA YA UKIMWI MSIWASIMBUE WATAFITI

  • @HazinaElisha
    @HazinaElisha 3 месяца назад

    Bora walikuta uchafu wakee kuliko wangekutaa maiti

  • @EgibathDastani
    @EgibathDastani 3 месяца назад +1

    Mpen mauwa yake

  • @OmanOman-vb4uj
    @OmanOman-vb4uj 3 месяца назад +2

    Hahahaha 🤣🤣🤣 anavaa barakoa analala zake

    • @RoseManyata
      @RoseManyata 3 месяца назад

      Hahahaaa anavaa balakowa kwa ajili ya halufu isimpate 😂😂😂

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl 3 месяца назад

    Elimu Elimu Elimu. Huo ni udhalilishaji. Tuache kutesana Watanzania. Hali mbaya mno ccm ipi kazini. Mpe notsi kwanza sio mitandaoni humu Aibu. Ok

  • @Madam255
    @Madam255 3 месяца назад +1

    Tumuone jamani 😂😂😂😂

  • @RahimaIdd-yf9jo
    @RahimaIdd-yf9jo 3 месяца назад +1

    Nchi za mwenzetu kinyesi na mikojo ni dili sasa nyinyi na umbea wenu mnahalibu madili ya watu unamponza mwenzenu awe masikin😂😂😂

    • @BatazalNdifwa-nk2hl
      @BatazalNdifwa-nk2hl 3 месяца назад

      Gooooooooood. Mavi ni Mbolea nzuri Sana na Mkojo ni dawa nzuri Sana ya vidonda. Ok

  • @eliyasanga6374
    @eliyasanga6374 3 месяца назад

    😂😂😂alikuwa ana ogopa kutoka nje ndio maana 😷

  • @SabbyJ-hk6hb
    @SabbyJ-hk6hb 3 месяца назад

    S
    z😂😂😂😂😂

  • @NuruZebedayombise-ie5zb
    @NuruZebedayombise-ie5zb 3 месяца назад

    Kumbe geita hiyo kawaida yao😂😂😂😂

  • @Maridadifilm
    @Maridadifilm 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @ramadhaniraphael6955
    @ramadhaniraphael6955 3 месяца назад

    Mi pia ndo zangu hizo ninachupa za mikojo ndani 25 huwa nikirudi na juisi usiku naona uvivi kwenda chooni nje

  • @AgathaAndrew-j8s
    @AgathaAndrew-j8s 3 месяца назад

    Kwani si angekuwa anadamka kumwaga jamani mbona kajitesa ivyo😂😂😂

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 3 месяца назад

    Usiku kunatisha ndio huwa anajisaidia ndani

  • @SuzanMairy
    @SuzanMairy 3 месяца назад

    Wamasai ndio walivyo sijui wananini yaani kukojoa kwenye makopo ndio walivyo yaani kukaa na kinyesi ndani kawaida tu

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 3 месяца назад +1

    Ni mgonjwa wa akili kuna magonjwa mengi ya akili sio lazima mtu hujue ni mgonjwa wa akili ila anakuwa Na mambo ya ajabu, anatakiwa akutane Na daktari wa mambo ya magonjwa ya akili Na sioni hiyo ni taarifa ya maana ya kutoa kwenye vyombo vya habari

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 3 месяца назад

      Huenda umeona tukio hili LA kwanza kwako na yule mzee wa mwaka Jana alikutwa madumu is ishirini yamejaa mikojo tupu dar dsm mburahati huyo mtasema mgonjwa wa akili ukiona mtu anakojoa mikojo ndani combo chumbani ni huluka yake Ee

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 3 месяца назад

      @@joshuasamson9618 kwani kuna limit ya wagonjwa wa akili Na si wanajulikana kutokana na matendo yao au unafikiri mgonjwa wa akili lazima atembee uchi kuna magonjwa mengi sana ya akili ya taarifa yako hiyo sio hulka ya kawaida ni ugonjwa huo na huyo wa dar

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 3 месяца назад

      @@Kabwela776 Hakuna mgonjwa wa Akili hapo kama vitendo viazie kwa watu wanamiliki nyumba zao Wana vyuo ndani yaani Choo Wana ishi na mavi chumbani mikojo hao ni wagonjwa wa akili watu wengi nyakati za usiku wanatenga ndoo ya kukojolea mkojo usiku wanachoka sana makazini kwao goja Nikusimulie kisa hiki mwaka1985 ilipita Ladirova jamaa walitupa mfuko wa Marimboro waliufunga vizuri watu wakakimbilia Gari imedodosha mfuko watu kusukumana na fuko ulipasua watu waliyaonga mavi ya wazungu yaani, Kuna siku ulikaa unamsumbilia mtu alioko ndani choon atoke ndo wewe uingie chooni haya mtu anatoa unafungua mlango unakutana mavi tena mama kanya mavi nje ya shimo wewe unatakiwa uyandeki utafanyaje mwanamke kaondoka Amekunya mavi hajalenga shimoo

  • @gloriaaugustino8031
    @gloriaaugustino8031 3 месяца назад

    Chaajabu nini chupa kumi tu 😅😅😅😅😅😅

  • @nishamwenendi-vh4wk
    @nishamwenendi-vh4wk 3 месяца назад +2

    😂😂😂😂😂dah

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily4262 3 месяца назад +1

    Labda masherti

  • @nahyahya7349
    @nahyahya7349 3 месяца назад

    Wee laizer weweeee(kwa sauti ya zuchu)

  • @starjay3052
    @starjay3052 3 месяца назад +1

    😂😂🤣🤣

  • @mariachales3283
    @mariachales3283 3 месяца назад

    Hii nanikumbusha kama yule wa daresam aliweka uchavu

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 3 месяца назад

    Afya ya akili jamani jamani😅😅😅😅 watu wanaumwa

  • @Jonsking
    @Jonsking 3 месяца назад +1

    Hii nilishaonaga😂😂

  • @giftpeter9118
    @giftpeter9118 3 месяца назад

    Harufu nimeisikia had huku nilipo

  • @b-creative4662
    @b-creative4662 3 месяца назад

    Allen ni mbwa umempeleka Polisi mhuni!?

  • @seifmiraji43
    @seifmiraji43 3 месяца назад +3

    Hiyo mkojo kutia kwenye chupa asilimia kubwa ya wanaume tunafanya ukija geto unaweza zani nahifadhi petroleum kumbe mkojo😂😂😂ila hiyo ya mavi kanishinda tabia.

    • @aishafrancis7714
      @aishafrancis7714 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂

    • @ramadhanihudhaifani4376
      @ramadhanihudhaifani4376 3 месяца назад +1

      Wewe pekee ndio huwa unafanya hivyo! Sio sisi. Na ukiona mwanaume anayafanya haya,basi juwa ana tabia za kike! Ni mvivu na ni muoga wa kutoka nje kwenda kujisaidia. Nyau wewe! 😡😡😡

  • @musampanda3643
    @musampanda3643 3 месяца назад

    Sema kijijin bhn watu wanafatiliana sana mno ingekuwa mjn akuna Mambo kama hayo

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 3 месяца назад +5

    😂😂😂 iyo inanikumbusha mwaka 2004 tulikaa nao miaka mitatu bila kumuona.anaoga hata siku moja akienda chooni ana chukua maji kwenye kopo na alikua mbishi kulipa kodi na aliambiwa aondoke kwenye nyumba.hakutaka kuondoka walifikishana.mpaka.polisi lakini alikua mbishi sana.mwenye nyumba akaenda kulipa pesa police ili waje wamtoe police walikuja asubuh mapema tukazuiliwa tusitoke nyumba nzima waligonga mlango hakutaka kufungua wakasukuma.mlango tulivyo viona tulibaki hoi vipisi vya sigara vilijaa kisado na mkojo kwenye ndoo umejaa ka mpaka ndoo imekua na magamba imelika kwa mkojo na alikua akitoka nje hauwezi mzania alikua anaimba kwaya kanisani na alikua ana badirisha wanawake kila siku tena ni mashangazi police akamuuliza wewe kabira gani akajibu muhaya 😂 police akamzaba vibao takatifu na kumwambia unaichafua kabira ambayo maridadi na wasafi na hata kama hawana huwezi kujua alitolewa vyombo vyake vimejaa vumbi buibui wametanda sehemu zote tv haionekani kioo kiko wapi

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 3 месяца назад

      😂😂😂😂 kwenye kwaya😂😂

    • @abdulkarimabdallah9536
      @abdulkarimabdallah9536 3 месяца назад

      Kah😂😂😂😂😂😂😂😅😊😅😅😅😅😅😅 yan nimecheka atar

    • @abdulkarimabdallah9536
      @abdulkarimabdallah9536 3 месяца назад

      .

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 3 месяца назад

      😂

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 3 месяца назад

      @@abdulkarimabdallah9536 Yani sitanii wallah tena chumba changu kilikua kina tazamana milango akifungua tu arufu Kari iyo siku Sito isahau nakumbuka nilikua nafanya kazi mjini mda wa kuingia saa Moja asubuh lakini tulizuiliwa mpaka walipo maliza kutoa vitu ndani ndo tukaambiwa tutoke na.pingu alifungwa uku anashuhudia makolokolo yake Yana tupiwa barazani tena.alipata.hasara walikua wanatupa tu kitanda chaga zote zilivunjika😄😄uwezi amini mpaka Leo namuonaga sana pale posta kazi yake kubwa kuosha magari na alikua anasema kazi yake dereva anamuendesha mzungu chezea wahaya wewee 😄

  • @vero57
    @vero57 3 месяца назад +1

    Hiyo sio mzima kabisa, tatizo la dish

  • @mshosha_tv
    @mshosha_tv 3 месяца назад

    Anautaft wake huyo mwachen

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 3 месяца назад

    Analaana msimlaumu jamani. Sio bure

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 3 месяца назад +4

    Duniani kuna mengi jamani.waaah!!!

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 3 месяца назад +1

      😂unaweza ukadhani ulishamaliza kuona yote kumbe hata robo bado

    • @irhamseif
      @irhamseif 3 месяца назад +2

      😂😂😂 kunammoja walimtoaga huko manzese akitoka ndan shati limenyooka hatar kuja kuingia ndan ni gari tatu za taka walitoa na mikojo mpaka kwenye majaba chupa za soda sijui ni ugonjwa 😂😂😂

    • @doreenmsafari2945
      @doreenmsafari2945 3 месяца назад

      ​@@irhamseifnimecheka mieeeee 🤣 mtaniua 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 3 месяца назад

      ​@@irhamseifunanivunja mbavu 😂😂😂😂

  • @samwelikmollel
    @samwelikmollel 3 месяца назад

    Hi kitaa mbona kawaida sana hasa mjini

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 3 месяца назад

    Sasa hapo hamna kosa lolote mbona! Mumuache tu

  • @zawadimpayo3839
    @zawadimpayo3839 3 месяца назад +1

    Kwani hakuna vyanzo vingine vya habari🤣🤣🤣

  • @faridbinjumaonlinetv9258
    @faridbinjumaonlinetv9258 3 месяца назад

    Hili jambo milard ata mimi nilkua nalo niko zanzbar nilikutwa na chupa miamoja na kumi na nne kwahio nihali ya uvivu wa kuenda toylet huonndo ukweli