Yesu tusaidie jicho la 3 Tuone nn adui amepanga kwetu , na utuepushe na hila zake Nimetizama hii gari ndogo ama hakika sisi si kitu bila Yesu Poleni familia yote
Polen sana 😢😢aisee inatia huzun unamuandalia mtu kitu hafiki yy bali unafika mwil wake lol😔😔Mungu awatie nguvu pia atuepushe na ajali za barabaran na sisi tulioko mbal turejee salama nyumban Amina 🙏🏻🙏🏻
Maumivu mliyonayo Mungu mwenyewe ndio atawaponya poleni Sana wanangu nimelia Sana juu ya mama na ndugu yenu pamoja na huyo kijana mwingine,wapumzike Kwa amani
Inalilahi wainailayhi'rajicun...... Poleni sana familia.... Katika vitu vinanikeraga kwenye misiba ya wenzetu ni kutokujali hisia za wafiwa😢 Yaan mtu kafiliwa na mzazi wake tena mama na mdg wake Yaan familia watu wawili bado mnampa kazi ya kuongea mbele za watu tena sio kuongea tu Yaan kuwazungumzia wapendwa wake waliofariki...... So sad hivi nikweli kuwa kama ni lazima kiasi hicho kuwatambulisha watu hayo haiwezekani i kuandika na kuwapa watu wengine hata majirani wawasomee? Hebu badilikeni bn hii ina kuengezea machungu mfiwa
Dah huu msiba ni pigo kubwa sana kwenye hiyo familia Mungu ampe hekima na uvumilivu huyo baba Yesu akawe mfariji wao
Pole Baba ,poleni familia yote, Mungu awatie nguvu
Poleni sana,Mungu akawe mfariji kwenu katika kipindi hiki cha Majonzi.
Poleni Sana Family ya Mzee Ayo. Mungu Pelee akawe Faraja kwenu , awainue na kuwatia Nguvu.😭😭RIP Wapendwa wetu.
Pole sana mbise mungu akutie nguvu na watoto
Yesu tusaidie jicho la 3
Tuone nn adui amepanga kwetu , na utuepushe na hila zake
Nimetizama hii gari ndogo ama hakika sisi si kitu bila Yesu
Poleni familia yote
Poleni sana Baba watoto wanafamilia ndugu na marafiki kifo hakina huruma kifo ni fumbo kwa mwanadamu۔Mungu tufundishe kujua mwisho wetu۔
Poleni sana, mungu awape subra❤
Polen sn wanfamilia Mungu awatiiiee Nguvuuu
Hakika sote ni wa Allah na kwake tutarejea kwa wakati tofauti..Allah awazidishie subra ktk kipindi hiki kigumu
Pumzika kwa amani Mwalimu wetu kipenzi
Ee Mungu tusaidie moyo unaumaaaa nimejikuta naloa machozi Mungu fariji familia hii
Kiatu chenu kinabana sanaaa😢😢😢aiseeee polen MUNGU awatie nguvu katka kpindi hiki kigumu😭😭😭😭
Poleni sana wapendwa, Mungu Awape Nguvu kipindi hiki kigumu Sisi sote Ni mavumbi na mavumbini tutarudi. Wapumzike Kwa amani! 😭
oyyyyyyy 😢😢😢😢😢😢😮 hili limeniumiza sanaaa
MUNGU fariji wafiwa
wapokee marehemu
Amina
Watoto ndo watatulilia Kwa uchungu wa kwel tukifa tusitoe mimba wanawake
Kweri kbs jmn wamebaki watatu tu jmn
Polen sana 😢😢aisee inatia huzun unamuandalia mtu kitu hafiki yy bali unafika mwil wake lol😔😔Mungu awatie nguvu pia atuepushe na ajali za barabaran na sisi tulioko mbal turejee salama nyumban Amina 🙏🏻🙏🏻
Poleni ndugu,jamaa wote yesu awatie nguvu sana
Maumivu mliyonayo Mungu mwenyewe ndio atawaponya poleni Sana wanangu nimelia Sana juu ya mama na ndugu yenu pamoja na huyo kijana mwingine,wapumzike Kwa amani
Mwenyezi MUNGU awajalie pumuziko jema😢😢
Poleni sana ..mungu awatie nguvu
Shida Ya Kifo Hakizoeleki Kila Siku Ni Jambo Jipya.Poleni Sana.
polen sn Mwenyez Mungu awatie nguvu 🙏
Polen sana Mungu awatie nguvu katika kipindi hichi kigumu
Eeeh Yesu mwema ifariji familia hii ktk wakati huu mugumu kwao kwa hakika maisha haya yanaumiza sana "YESU NJOO UTUOKOE,MAJONZI HAYA MPAKA LINI??
Mungu awe faraja kwenu wapenzi. Hata katika hili awe tumaini lenu
Poleni sana familia 😭😭😭.
Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na wapendwa wenu mama na ndugu yenu.
Poleni kwa msiba baba jikaze ...
naangalia huku machozi yananimwagika .Mungu awalaze pema hakika sote tutarejea Amina
Amen
This so so painful, Mungu pekee awape faraja na kuwaganga maumivu haya. what a sad ending
😢😢😢Jamani kifo kifo utashiba lini
Poleeeni sana Mwenyez Mungu akawe faraja ktk kipindi hiki kigumu
😢😢poleni famili nzima inauma sana kitu unacho nunua na ndio icho kinacho kuchukuwa uwahi wako so sad kwakweli
Polee sanaa
Ajali zote za shetani jamani oooi lo mungu wangu tuhurumie tuepishe na hila za movu shetani baba yangu
Poleni sana kwa familia 😭 mwenyezi mungu awe pamoja nanyi katika kipindi hiki kigumu kwenu🙏🙏
Pole kwa familia
Aiseee! Polen sana wana familia Mungu awape nguvu kwa kweli. 😢
polen sana mungu akutien nguvu
Inalilahi wainailayhi'rajicun...... Poleni sana familia.... Katika vitu vinanikeraga kwenye misiba ya wenzetu ni kutokujali hisia za wafiwa😢 Yaan mtu kafiliwa na mzazi wake tena mama na mdg wake Yaan familia watu wawili bado mnampa kazi ya kuongea mbele za watu tena sio kuongea tu Yaan kuwazungumzia wapendwa wake waliofariki...... So sad hivi nikweli kuwa kama ni lazima kiasi hicho kuwatambulisha watu hayo haiwezekani i kuandika na kuwapa watu wengine hata majirani wawasomee? Hebu badilikeni bn hii ina kuengezea machungu mfiwa
Eti jamani 😭 😭😭😭 si wangesoma watu wengine
Mwenyewe inanikera kinoma
Mbayaa sanaaaa
Wapumbavu kbisa@@IkupaMwasiposya
Ata mim nashangaa😢😢😢
May God grant the family the fortitude to bear the grief.
Poleni sana ķwa familia yote M/Mungu awatie nguvu.
Hakuna kitu kinauma kama kumuona mwanaume akilia tena mtu mzima!
Pole sn
Poleeni sana uko Mungu atawapigania
Poleni sana ndg zangu.
Pole sana sana YESU awe mfarij wenu katika kipind hiki kigumu mnachopitia
Poleni sana Mungu awatie nguvu katika kipindi Kigumu mnachopitia.
So sad, RIP MOM.AND SON IT'S AWFULLY SAD.
RIP Mum and Son. May your souls rest in eternal peace.
Poleni sana wanafamilia,Mungu awe faraja yenu.
Innalillah wainnaillah rajoon 😢😢
dah mungu awape subra familia jaman!
Yesu awafariji.pumziko la milele uwape.ee bwana ma mwanga wa milele uwaangazie
Daaah mungu akawe faraja katika familia 😭😭😭
Poleni sana wanafamly mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu😭😭
Mungu awatie nguvu,tunawaombea.🙏🏿
Poleni sana.mungu ni mwema kila siku
Uwiiiiii poleni mungu atawapa faraja😢😢😢😢😢😢
Poleni sana jaman mungu hawatie nguv
Mungu awape uvumilivu,polen
Mungu awapooze mioyo yao...
Poleni Sanaa na mung awalaze mahali pema peponii
Jamn poleni San hii ajali niliishihudia aitak ata kukumbuka
Mungu awatie nguvu familia na kanisa.
Poleni mungu awatie nguvu
Mungu awatie nguvu jamani inauma mnooo😢😢😢
Polen ndg zetu
Mungu awatie nguvu wanafamilia.
Viatu vyenu siwezi kuvivaa punzika Kwa Nani mama na vijana wetu wawili😢
mambo mengine,mshirikisheni mungu sio walimwengu,
Pole sana
Poleni Sana watu wa Mungu
Poleni sana jamani.Mungu awatulize uchungu wenu.😢
Poleni Sana wapenzi MUNGU awatangulie
Mungu akawe mfariji kwenu
Ivi jaman muda na nguvu za kujipamba kwenye msiba wanatoaga wapi wafiwa
🙏🙏🙏🙏 so sad RIP
Poleni san 😭😭😭😭😭
Pole sana Mungu awafariji sana
😢😢😢 poleni sanaa jamani inauma acha kabisa💔
😢 Poleni sana familia
Poleni sana wafiwa marehemu wapumzike kwa amani
HILI LIMENIUMIZA SANA HILI LIMENIUMIZA SANA AWAMU HII NIMEUMIA XNA😭😭😭😭
Poleni sana jamani 😢😢😢😢
Poleni mmno
Polen sana ndg zangu
Mungu awe faraja pekee kwenu
Pol sna jmn ndugu zangu Mungu awatie nguvu😢😢😢
Mama yetu na mdogo wetu wapumzike kwa AMaN
Polen sana
Inauma sana poleni sana family yote kwa msiba mkubwa
Polen sana 😢😢😢
Jamani poleni hao walivyovaa nikajua harusi
polen san😢😢😢😢😢
Mpka nimeskia uchungu😢😢😢😢
Machozi yamenitoka,,, polleni wanafamilia😭😭😭
So sad 😞 jmny Mungu awape nguvu
Pole baba wa familia
Dah😢😢😢
😢😢😢😢dahhh jmn