Serikali y congo iache uzembe isajili vijana wapate mafunzo kamili ya jeshi kuongeza kikosi na wawajali wanajeshi wao wapandishe mishahara kuleta morali kweny kazi
Inaonekana mmepewa Sharti na wazungu kwamba kila mkitaja m23 lazima mseme wanaosapotiwa na Rwanda wasenge nyie, kwa taarifa yenu sikuiz habar za ukwel tunazipata mitandaon bila kusikiliza izi zenu zakutengeneza kuwalinda mabeberu na kuwapaka ubaya ndugu zetu wenyew waafrica, M23 n mashujaa wanaotaka uhuru wa nnchi yao kutoka kwenye utumwa wakibepari..
HAWA jamaa Nmekua nawaskiskiliza sana.. naona hawana shida na Raia
Unasema tu hujui hvyo vita wanavyoanzisha vinaleta vifo na majeruh na asala kias gn
Banyamulenge watambuliwe kama raia wa Kongo
Serikali y congo iache uzembe isajili vijana wapate mafunzo kamili ya jeshi kuongeza kikosi na wawajali wanajeshi wao wapandishe mishahara kuleta morali kweny kazi
Waongo hao izo ni mbinu tu za
Hao m23 wakion wamezidiwa hujifny wanaomb suluh ya aman haitakiw kuskilizwa wapigwe tuu
Hali isipobadilika m23 itateka nchi nzma ya congo
awana uwezo wanachezea mpakani ili pakinuka wajikatae mpaka rwanda n'a Ouganda
Nani kakwambia wana sapotiwa na Rwanda ,fanya utafiti kuriko kuongeya waliyo kuandikiya
Kwan kuna siri gan hpo wkt hilo lik waz huon baada South Africa kutak kuwapiga rwanda m23 wameanz kurud nyuma ?
Inaonekana mmepewa Sharti na wazungu kwamba kila mkitaja m23 lazima mseme wanaosapotiwa na Rwanda wasenge nyie, kwa taarifa yenu sikuiz habar za ukwel tunazipata mitandaon bila kusikiliza izi zenu zakutengeneza kuwalinda mabeberu na kuwapaka ubaya ndugu zetu wenyew waafrica, M23 n mashujaa wanaotaka uhuru wa nnchi yao kutoka kwenye utumwa wakibepari..
Sas m23 c kikund cha raia wa rwanda wanaosaportiwa na kagame unachokataa ni kip mpumbav ww
Waku piga hao JAMAA pia yaweza kuwa wame ambiwa watulie na kiongozi wao huyo raisi mwembamba mrefu nchi flani hapo jirani kimtindo
Wamewaogopa maji maji,majimaji walikua wanasikilizia wamesikia majimaji wanaingia Kazini
Yaan yoote hayoo wakulaumiwa n wazungu maana ndio chanzo wa hayoo yoote
Lazima waondolewe
Sio wamesitisha Hawa wamekimbia mana tulikuwa tunasubir tuzike tu tuingizane mzgon awajajua tz vurugu zetu jeshi la chini wasubiri kiama tuu
Hao wanazuga tu ili selekali wajisahau wavamie tena
Pumbavu mbona serekali ya congo ikizibiti eneo fulani mbona amutowi taharifa yeyote ivi minova iko mikononi mwa FARDC
Siokusitisha tu wanatakiwa wakamatwe waukumiwe kunyongwa kwani ni magaidi kama magaidi wengine tu duniani