Dulla Maakabila - Furahi (official Audio)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 3,4 тыс.

  • @zarafimnyamafitv
    @zarafimnyamafitv Год назад +36

    daaaa wote wamepata like me ndo sijapata tuu

  • @dullahdimba8423
    @dullahdimba8423 Год назад +1138

    Tujuane tuliorudia hii ngoma zaid ya malambili like.

  • @aysherkabby5937
    @aysherkabby5937 Год назад +79

    Hila Dulla kichwa chako ni another level !!! Lazima wakubali tu wee ndio King wa Singeli TZ 🇹🇿

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983 Год назад +1957

    Kunguru hafugiki bora ulivomuacha aende akadange mbele. Wanaokubali heshima kwa dula makabila gonga like twende.

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc Год назад +20

      Aliachwa mbona anatoa Siri????😂😂😂😂😂

    • @mgayamwananchi
      @mgayamwananchi Год назад +23

      😂😂😂😂😂😂 mwanamke anahitaji matunzo mzee... Jamaa analia na mengi😅😅😅😅

    • @biggievandar254
      @biggievandar254 Год назад +22

      Safi kaka dulla Allah atakupa waheri namwenye tabia njema wadangaji wamepatana biggerup dulla

    • @jamesmapoya7329
      @jamesmapoya7329 Год назад +20

      Ukiachwa achika komwe lako,wenzio wanatoa gari we unampa mimba tu,lazima anywe P2

    • @salmafakh-gq8nr
      @salmafakh-gq8nr Год назад +6

      ❤❤❤❤❤

  • @zarafimnyamafitv
    @zarafimnyamafitv Год назад +454

    nilichopenda ni kwamba kila aliyecoment kapata like kasoro mimi tuu😢😢

    • @Noooonat-o5s
      @Noooonat-o5s Год назад +1

      Labda utopolo wanaogopa picha ya Ayubu

    • @tumainmwambije9406
      @tumainmwambije9406 Год назад

      Kiukwel dada anapenda kutrend uyuu😂😂😂 hizi mbwembwe zote uyu mzungu atakuja kulia baadae🤗🤗 muache aende so ridhik na havina muda hv mapenz hayajaribiwi

  • @IddiShabani-x5n
    @IddiShabani-x5n Год назад +17

    Nakubali sana mwanangu dulla Goma kali

  • @michaelwaryoba4904
    @michaelwaryoba4904 Год назад +27

    Hii ngoma imeenda muda sahihi , dulla upewe maua yako , ubunifu mzuri.

  • @SalmaAlly-xx1nz
    @SalmaAlly-xx1nz 10 месяцев назад +3

    Mm siulinywea p2 bx uyo mzungu umzalie ,Zaylisa na Hajmanara sasa

  • @mukhtaromar-g5p
    @mukhtaromar-g5p Год назад +38

    Apa dula kaimba Ngoma kali sana. Msaanii wangu kuanzia leo ni dula makabila

  • @HaruniManula
    @HaruniManula Год назад +92

    Dullah kaonesha mambo tunayokutana nayo wanamme lkn hatukimbilii kwenye media like zenu kama nanyi ni wavumilivu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉dullah

  • @abdulally7445
    @abdulally7445 Год назад +105

    Dullah fundi kinoma anajua kupangilia mistr kinoma au mnaonajee wanangu

  • @kessytajiri6320
    @kessytajiri6320 Год назад +13

    Dulla Makabila umetisha sana, uko sawa sana Jibaba. Wimbo hauchuji umekuja wakati muafaka. Kipaji unacho ndugu yangu.

  • @AhmedAhmed-z6m7t
    @AhmedAhmed-z6m7t Год назад +162

    Mimi ni fun namba moja wa Makabila from 🇰🇪 nipeni likes

  • @faidhacute
    @faidhacute Год назад +18

    Jamaa kaumia sana kwakweli sijamzoea hv dulla makabila 😂😂 kweli alimpenda sana zailisa sema umejichanganya mwenyew tu dulla

  • @sethjohnson7266
    @sethjohnson7266 Год назад +34

    Wimbo mzuri sana. Furahi bonge la goli

  • @kadito-music
    @kadito-music Год назад +268

    Nimependa ulivyoifanya hasira biashara congratulations brother

    • @Mwigaa95
      @Mwigaa95 Год назад +5

      Tena yaani umewaza kama Mimi yaani mwamba ana piga minoti 💰💵 👏👏😄😄

    • @vickysteven1172
      @vickysteven1172 Год назад +6

      Kabisa yaani amepiga hela

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 Год назад +5

      Saana ameenda na upepo😅😅😅😅

    • @benjaminchilangazi6241
      @benjaminchilangazi6241 Год назад +4

      Sure

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 Год назад +3

      Alichokosea amesema kitu cha ndaani kinachowahusu walengwa hapo amekosea bora angetaja kitu kingine

  • @juliusjoseph4889
    @juliusjoseph4889 Год назад +10

    Jmn kuachwa inauma kuliko hta kutairiwa bila ganzi..........pole sana mwamba

  • @mzasili
    @mzasili Год назад +36

    Dulla Ongezewa Miaka Kumi...Mbinguni tutanpumzika...Mob love from kenya brother ❤❤❤❤

  • @bobjmhina6923
    @bobjmhina6923 Год назад +84

    Kaza roho mwambaa ndio mambo ya dunia hayo ila ngoma kali imeenda hiyo 🙌🙌

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar Год назад +236

    FURAHI KAMA KUNA DEMU UMEMUACHA KWA TABIA ZAKE MBAYA !
    WAZEE WAKUCHA MADEMU WENYE TABIA MBOVU PIGA LIKE HAPA ✌🏻🔥🔥🔥🔥🔥

  • @SalmaAlly-xx1nz
    @SalmaAlly-xx1nz 10 месяцев назад +5

    Mpende baba wa watu anaugonjwa wa kuzimia🔥 Kila siku kuolewa kuachika Zaylisa tulia🎉

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 Год назад +97

    SINGELI LEGEND DULLAH,, Umejuwa kwenda na upepo broo hii ngoma itaenda mjini✊

  • @mussamshengelijr4295
    @mussamshengelijr4295 Год назад +99

    Mimi siulininywea p2 basi uyo mzungu umzalie 🎶

  • @mwajumaseleman3100
    @mwajumaseleman3100 Год назад +69

    Mnaweza kuchukia vitu kumbe ni kheri kwenu na mkapenda vitu kumbe ni Shari kwenu muombe Allah akupe mwenye kheri na wewe❤

  • @athumanimaeda6630
    @athumanimaeda6630 Год назад +88

    Wakwanza naomba like zng jamn

  • @JanethMadios-oe5ue
    @JanethMadios-oe5ue Год назад +16

    Kumaaaaaaaaaninaaaaaaa dullah weeeeeee kiboko na nusu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅😅😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @EmmanuelCharles-sn8iy
    @EmmanuelCharles-sn8iy 9 месяцев назад +2

    Naitwa jiniby namkubali sanadul makabila

  • @abdallahmshuza2548
    @abdallahmshuza2548 Год назад +18

    Ngoma kali sana mwanetu...sema nini bora yule twiga wa chamazi kasepa..angekukaanga!

  • @OFFICIALSEMAH
    @OFFICIALSEMAH Год назад +127

    Weee dulla umepigaje hapooooooo furahiiiiiiiii like za dulla zije hapa🎉🎉🎉 from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @diclopar4687
    @diclopar4687 Год назад +2

    Noma Sana Kak

  • @homekwanza2804
    @homekwanza2804 Год назад +74

    Dulla Makabila ameamua kufanya kama hatofanya tena

  • @abellyjoseph7522
    @abellyjoseph7522 Год назад +29

    Pamoja kaka japo Ngoma ni ya vijembe ila kaliii 💥💥💥💥

  • @rahmahrr4471
    @rahmahrr4471 Год назад +1

    Umeweza bro love you ww n noma San bana❤❤❤🎉🎉

  • @minaniponda2216
    @minaniponda2216 Год назад +260

    Kama umeuridilia huyu wimbo zaidi ya mara 1 gonga like 👍

  • @mbugmediatv
    @mbugmediatv Год назад +67

    Iyo siri bado imefichwa 😂😂 sema ngoma kali kwa mala ya Kwanza naanza kuikubali singeli ila mzungu 🎉🎉🎉

    • @rosenafula8993
      @rosenafula8993 Год назад +1

      Siri imefichuliwa kiasi hajui kupika😂😅

    • @NZUZULIMABALYA
      @NZUZULIMABALYA Год назад

      ​@@rosenafula8993mzungu Si manara😅😅

    • @felisterwilson9259
      @felisterwilson9259 Год назад

      @@rosenafula8993 Siri ni nyingine kabisa hajaitaja kutojua kupika sio siri🤣

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 Год назад +2

    Manyara alitangaza kutoa million 50 Kwa atakayemuimbia Zaylisa haya sasa goma ndiyo hili Dula kafuate Hela zako maana umeimba vizuri sana.
    #Furahi

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 Год назад +42

    YANI usanii unatoa ujumbe na bado unaingiza ela dah

  • @AbdallaBaya
    @AbdallaBaya Год назад +53

    Yn 2po ndani ya ndoa ila bado ulinidangia mamae kama mumeelewa huu mstari tugonge like tukisonga❤❤❤❤

  • @hidayah3405
    @hidayah3405 Год назад +4

    from kenya iko love bora ulivyomuacha wacha tuone kama atatoboa

  • @NeemaGodfrey-yz2xc
    @NeemaGodfrey-yz2xc Год назад +304

    This is a true meaning of an artist, much respect makabila

  • @Dmomy484
    @Dmomy484 Год назад +102

    mimi nipo usijali tatizo mnapenda wadada kama hao wakuwadangia mnasahau kua kuna wanawake ambao wanajieshim na wamekulia kwenye dini na wanajielewa mnaona utwiga na figa mnasahau upendo na heshima ndo kila kitu hayo mengine hata kwa mloganzila yapo tu unamtengeneza vile unavotaka ila pole sana ndo maisha kikubwa omba mungu upate anaeendana nawe tu inshallah 🙏🙏

    • @FrankSuarez-h3i
      @FrankSuarez-h3i Год назад +2

      Wewe tena unajipendekeza unapigwa mjeledi uende kwenu

    • @hansynasery6399
      @hansynasery6399 Год назад

      😂😂😂

    • @halimahussein6066
      @halimahussein6066 Год назад +1

      😂😂😂na mimi nipo😅😅😅😅😂😂😂

    • @hansynasery6399
      @hansynasery6399 Год назад

      @@halimahussein6066 😂😂😂

    • @Dmomy484
      @Dmomy484 Год назад +1

      @@FrankSuarez-h3i 😂🤣🤣🤣🤣 nampa pole nipo kumpa pole tu 😂

  • @salimkha4418
    @salimkha4418 Год назад +2

    Nime heshimu sana dulla mwenyewe 😂😂😂
    Kweli kunguru hafugiki

  • @robertmasha173
    @robertmasha173 Год назад +25

    Sitakii kujua kamuimbia m2 walaaa nn, Dulla atabaki kuwaa msanii wanguu pendwaaa daimaa.... 4hrs ago 6 ontrending anabalaa lakee makabilaaa.... Respect saaaana singeli artist

  • @arnoldbahati3259
    @arnoldbahati3259 Год назад +73

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂umeweza dullaaaaaaaaa mzungu amepata ....wapi like zangu🎉🎉

  • @imanilala566
    @imanilala566 Год назад +8

    😂😂😂 jaman mimi hapo tuu kwenye swala la kupika tuuu😊😊 mapishi yapo mengi dulls tufafanulieee 😅😅😅😅

  • @allyumeme8812
    @allyumeme8812 Год назад +6

    Nakubari mwanangu achananae wamekutana malaya wote chura wa chamanzi na mzungu asie na bala

  • @luvboynyamz27
    @luvboynyamz27 Год назад +88

    Hatariiii... much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪,ila inauma sana.... wakenya in the house nipeni likes

  • @Furaha-q1h
    @Furaha-q1h Год назад +2

    Kisingery kitam ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @roseakinyi5132
    @roseakinyi5132 Год назад +185

    Kama unamkubali dullah like hapa eti mzungu ana ugonjwa wakuzimia😢😅

  • @athumanibilary3693
    @athumanibilary3693 Год назад +19

    Leo kwel nimejua kweli dula upo juuu kwa singel

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 Год назад +4

    Hii ngoma unasikiliza hady unasikiliza then unasikiliza ulimaliza unasikiliza ukisha sikiliza unasikiliza unajuwa bado me nasikiliza Yan nasikiliza dula anasema we furahi me nasikiliza we enjoy tusisikilize we furahi dula wekiboko wa tenzi we twiga furahi.....

  • @mosetinziokx9958
    @mosetinziokx9958 Год назад +11

    Jameni mapenzi yanauma,,,Hila bro ukiachwa achika,,,Kuna savabu manake hujui kesho,,,🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @KizaQueen
    @KizaQueen Год назад +116

    Jamani mimi nimerudia karibu mara kumi ngoma kali❤❤❤😂😂😂

    • @dullahmgejah6972
      @dullahmgejah6972 Год назад +1

      D😂😂😂❤

    • @albertkassian1495
      @albertkassian1495 Год назад

      Acha ufala download kabisa

    • @hidayah3405
      @hidayah3405 Год назад

      ​@@albertkassian1495 iko whatsapp kabisa😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @KizaQueen
      @KizaQueen Год назад

      Acha bangi na wewe we subiri ngoma nyingine kutoka kwa Dulla kaka mkubwa 😂😂😂😂​@@albertkassian1495

    • @zuenakhalfan675
      @zuenakhalfan675 Год назад +1

      Sana

  • @joymumena2287
    @joymumena2287 Год назад +3

    Dulla ni msanii na kafikisha ujumbe wake. Na kubwa zaidi kamuusia tu bibi harusi 2 bi. Ujumbe mzuri. Dulla hana Kazi mbaya

  • @AnithaPhilemon
    @AnithaPhilemon Год назад +72

    Jaman machoz had yamenilenfa inaonekan dullah alimpenda San huy mdad sem ndo kicheche pole kaka et MUNGU ni mwema malipo dunian utapata wa kufanana 🙏🙏

  • @iscofundi8738
    @iscofundi8738 Год назад +6

    Nakubal kaka inauma lakin utafanyaj muhim ni kufurah umejipunguzia mzigo nyimbo Kali San ❤❤

  • @PendoPaul-jq9kb
    @PendoPaul-jq9kb Год назад +2

    Dullah mm nakukubali sana ndugu yang ! Allah akufanyie wepesi ila kipaji kaka yang nakukubali saaaaaana makabila huna baya bro kaza buti

  • @NASSORHAMADINASSOR-xp8hc
    @NASSORHAMADINASSOR-xp8hc Год назад +3

    Maneno ya mkosaji ayo Dulla,waachie Manara na ex wako wale maraha

  • @viktoriabohimanda7271
    @viktoriabohimanda7271 Год назад +3

    Fulai kama umeachana na mwanaume mwenye ajaacha tamaa za ujanani😂😂😂😂😂😂❤

  • @NeymatySaleh
    @NeymatySaleh Год назад +3

    Bora ulivyomuacha kipenzi.wala usiwe kinyonge Wenda mungu kakuepusha na jambo.❤❤❤

  • @tistarbilly
    @tistarbilly Год назад +48

    Hii ngoma ina maana kubwa sana uki iskiliza juu juu huwezi ielewa

  • @salmashomari3037
    @salmashomari3037 Год назад +5

    Ngoma Kali hasa hiyo we furahi nimekushindwa we furahi tu hongera dulla

  • @MariamuAdamu-r6r
    @MariamuAdamu-r6r Год назад +45

    It's such a nice message dulla you did it bro I love this

  • @SalimaMohamed-re9yp
    @SalimaMohamed-re9yp Год назад +6

    Wangapi ......tumeludia wimbo ......kusikiliza mzungu huwa anazimia

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Год назад +75

    Huyu jamaa ni talented sana

  • @Semnyawenda
    @Semnyawenda Год назад +5

    Dah yaani unamuacha Dulla kijana mwenzio, afu ana mvuto! Dah!

  • @JohnsonAmos-py3wf
    @JohnsonAmos-py3wf Год назад +22

    Mapenzii yanaumaa sana😢😢😢 Mimi sii ulininywea p2 basii huyoo mzungu mzaliee😂😂😂❤❤❤❤

  • @kalungamabrucki61
    @kalungamabrucki61 Год назад +25

    Well done Dulla kunguru hafugiki wape muda kitawaka tuu hizo mbwembwe zote ni kujitokeza kama binzali kwenye mboga wakati haina ladha yoyote ni rangi rangi tuu

  • @1wernerweck
    @1wernerweck Год назад +2

    WE are enjoying this music Here in Germany furahi Tuna furahia wimbo

  • @dearmama4336
    @dearmama4336 Год назад +48

    Wapi like za dullah kama umesikiliza zaidi ya mara1 , wee furah kama umepata mzungu😂😂😂

  • @Ndesaproducts
    @Ndesaproducts Год назад +4

    Wezai weee dullah kapigajeee hapoooo🎉

  • @PendoPaul-jq9kb
    @PendoPaul-jq9kb Год назад +1

    Roho inauma Dulla pamoja tunahuzunika pamoja na ww pole mfalme wa sengel ila usiumie sn ukashidwa kutupa Raha na nyimbo mpya za sengel king yataaisha tu dah nimelia sana

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 Год назад +17

    Dulla una akili sana, jibu mubashara, kama kiki na iwe kiki, Dulla 😂😂😂😂

  • @evarmoses7981
    @evarmoses7981 Год назад +16

    Uyo mbwa atakufa vibaya sana anatumia uzuli wake anautumia vibaya sana naumiasana dullah tulia mungu atakujalia utpata mzul zaid yake usjali kaka angu

    • @irenerimoy5181
      @irenerimoy5181 Год назад

      Mamam akooo ndioo anaetumik😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @magdalenabenedict2089
    @magdalenabenedict2089 Год назад +1

    Saka hela bruh🎉

  • @kibutionlinetv2321
    @kibutionlinetv2321 Год назад +5

    mpo kwenye ndoa na unadangiwa wapo watu wa namna hii bado ata manara bila milion moja alii mzigo😀😀😀😀

  • @zubedamussa9968
    @zubedamussa9968 Год назад +4

    Umeuwaaaaaaaaaaaaaaa kaka hili limefika broooooooooo❤❤❤❤❤❤❤

  • @Ibraah_hq_master.
    @Ibraah_hq_master. Год назад +1

    Oyaaaa kaka makabila aina kufagilia uyo ni chura tuuu kama chura wengine analeta tamaa we tuachie sisi wakitoboa mwaka huuu bas nitakwenda mim.

  • @SwaumLiuti
    @SwaumLiuti Год назад +5

    Nyimbo nzur san broo🥰🥰🥰❤️ .....ila ucjal utampta mwengne mzur zaid yke na aliye bora.....hujui umeepushw na k2 gn

  • @MLMTV26
    @MLMTV26 Год назад +7

    Mwanangu dullah mwanamke kama filigisi uzuri wake wa nje haufanani na wandani pole sana yote mapito

  • @selemansalum
    @selemansalum Год назад +2

    Usikwazike mdogo Wang maisha Yana mengi,na kheri nyingi zitakuja tu kwako km ukuwa mwenye kumfanyia ubaya..........tuna mifano ya hivyo na Sasa hivi tunaishi fresh kabisa.

  • @alexapolinaly4755
    @alexapolinaly4755 Год назад +5

    Aiseee Dula unajua sana kaka nakukubali miaka mia

  • @ngalenalojanjalo296
    @ngalenalojanjalo296 Год назад +6

    wajanja wa mziki ndo wataelewa●♡You deserve your flowers Makabilla

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Год назад +1

    😂😂hili goma zai hakiwa chooni hanachezaaaaa kimya ili gomaaaaaaaaa kali banaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉gongeni like hata moja jamn😢

  • @paulwilson-hc4ey
    @paulwilson-hc4ey Год назад +18

    Lalina dullah ulituambia saa moja 😅 nimeamini huna uvumilivu kaka😂

  • @MejosTz
    @MejosTz Год назад +5

    🙌🙌🙌🙌dulla kayamaliza huku jamani mpeni mauwa yake 🙌🙌

  • @hassanirajabu8016
    @hassanirajabu8016 Год назад +1

    IQ kubwa sana,, maumivu ya kutengena yanaenda kumtengenezea pesa mingi nice song

  • @anithahalicy2715
    @anithahalicy2715 Год назад +6

    Waoo pore sana kaka dura ni vyamuda usihangayike❤❤

  • @KhalidAshjaie-cz7vg
    @KhalidAshjaie-cz7vg Год назад +19

    nyimbo nzuri sana kaka❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Aminamakwanda
    @Aminamakwanda Год назад +3

    nimekomenti jamani nawaombeni like nami nivimbe wapendwa

  • @kadibebe7128
    @kadibebe7128 Год назад +96

    Dulla na Harmonize jameni ehhhh mkingali mnapenda tuu maskini 😊

  • @osiahstimah
    @osiahstimah Год назад +33

    Poleee dullah mungu atakupa unachostahiri❤❤❤❤❤

  • @GodrichNangoro
    @GodrichNangoro Год назад +2

    @dullamakabilla hapa umeua broo Ngoma limelenga penyewe

  • @paulinalonje794
    @paulinalonje794 Год назад +7

    Hakika mapenzi yanarun dunia jipe moyo Hilo halikuwa fungu lako but upewe maua yako ngoma nzuri

  • @RicardoMomo-vh6qu
    @RicardoMomo-vh6qu Год назад +5

    More than better ❤❤ uyo dulla duglas makabila🎉🎉🎉

  • @RichardBofuloo
    @RichardBofuloo Год назад +2

    Dullah kilichobaki ni kupambana tena acha na zay tattizo lake tamaa mwezi mmoja tu mtaonaa motoooo

  • @AboubakarAhmed-sz5fe
    @AboubakarAhmed-sz5fe Год назад +3

    Sema dulla unajua Sana man. Wangu 🙏🇹🇿🇹🇿

  • @shamshabani2262
    @shamshabani2262 Год назад +28

    Hii imeenda💥💥💥🎉🎉🎉

  • @richardmhando6253
    @richardmhando6253 Год назад +2

    Ngoma moja kali Sana mzee baba ndio maana halis ya mwanamziki, unatumia tukio la kweli kujipatia kipato

  • @Juma-nh8sy
    @Juma-nh8sy Год назад +14

    Aweeeeeee nakubali sana from south 🇿🇦