Kiukwel dada anapenda kutrend uyuu😂😂😂 hizi mbwembwe zote uyu mzungu atakuja kulia baadae🤗🤗 muache aende so ridhik na havina muda hv mapenz hayajaribiwi
mimi nipo usijali tatizo mnapenda wadada kama hao wakuwadangia mnasahau kua kuna wanawake ambao wanajieshim na wamekulia kwenye dini na wanajielewa mnaona utwiga na figa mnasahau upendo na heshima ndo kila kitu hayo mengine hata kwa mloganzila yapo tu unamtengeneza vile unavotaka ila pole sana ndo maisha kikubwa omba mungu upate anaeendana nawe tu inshallah 🙏🙏
Hii ngoma unasikiliza hady unasikiliza then unasikiliza ulimaliza unasikiliza ukisha sikiliza unasikiliza unajuwa bado me nasikiliza Yan nasikiliza dula anasema we furahi me nasikiliza we enjoy tusisikilize we furahi dula wekiboko wa tenzi we twiga furahi.....
Well done Dulla kunguru hafugiki wape muda kitawaka tuu hizo mbwembwe zote ni kujitokeza kama binzali kwenye mboga wakati haina ladha yoyote ni rangi rangi tuu
Roho inauma Dulla pamoja tunahuzunika pamoja na ww pole mfalme wa sengel ila usiumie sn ukashidwa kutupa Raha na nyimbo mpya za sengel king yataaisha tu dah nimelia sana
Usikwazike mdogo Wang maisha Yana mengi,na kheri nyingi zitakuja tu kwako km ukuwa mwenye kumfanyia ubaya..........tuna mifano ya hivyo na Sasa hivi tunaishi fresh kabisa.
daaaa wote wamepata like me ndo sijapata tuu
Tujuane tuliorudia hii ngoma zaid ya malambili like.
Mm nimedanlod kabsa ad machoz yamenitoka
Sema kafup
Tupo
Wewe peke yako
Mi ata mara 6
Hila Dulla kichwa chako ni another level !!! Lazima wakubali tu wee ndio King wa Singeli TZ 🇹🇿
Kunguru hafugiki bora ulivomuacha aende akadange mbele. Wanaokubali heshima kwa dula makabila gonga like twende.
Aliachwa mbona anatoa Siri????😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 mwanamke anahitaji matunzo mzee... Jamaa analia na mengi😅😅😅😅
Safi kaka dulla Allah atakupa waheri namwenye tabia njema wadangaji wamepatana biggerup dulla
Ukiachwa achika komwe lako,wenzio wanatoa gari we unampa mimba tu,lazima anywe P2
❤❤❤❤❤
nilichopenda ni kwamba kila aliyecoment kapata like kasoro mimi tuu😢😢
Labda utopolo wanaogopa picha ya Ayubu
Kiukwel dada anapenda kutrend uyuu😂😂😂 hizi mbwembwe zote uyu mzungu atakuja kulia baadae🤗🤗 muache aende so ridhik na havina muda hv mapenz hayajaribiwi
Nakubali sana mwanangu dulla Goma kali
Hii ngoma imeenda muda sahihi , dulla upewe maua yako , ubunifu mzuri.
Mm siulinywea p2 bx uyo mzungu umzalie ,Zaylisa na Hajmanara sasa
Apa dula kaimba Ngoma kali sana. Msaanii wangu kuanzia leo ni dula makabila
Dullah kaonesha mambo tunayokutana nayo wanamme lkn hatukimbilii kwenye media like zenu kama nanyi ni wavumilivu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉dullah
Dullah fundi kinoma anajua kupangilia mistr kinoma au mnaonajee wanangu
😂😂😂sanaaa
Kabisa mwanangu
Uhakik mwana
Tunakubal mshkaji
Kabisaaaa
Dulla Makabila umetisha sana, uko sawa sana Jibaba. Wimbo hauchuji umekuja wakati muafaka. Kipaji unacho ndugu yangu.
Mimi ni fun namba moja wa Makabila from 🇰🇪 nipeni likes
😂😂😂
Jamaa kaumia sana kwakweli sijamzoea hv dulla makabila 😂😂 kweli alimpenda sana zailisa sema umejichanganya mwenyew tu dulla
Wimbo mzuri sana. Furahi bonge la goli
Nimependa ulivyoifanya hasira biashara congratulations brother
Tena yaani umewaza kama Mimi yaani mwamba ana piga minoti 💰💵 👏👏😄😄
Kabisa yaani amepiga hela
Saana ameenda na upepo😅😅😅😅
Sure
Alichokosea amesema kitu cha ndaani kinachowahusu walengwa hapo amekosea bora angetaja kitu kingine
Jmn kuachwa inauma kuliko hta kutairiwa bila ganzi..........pole sana mwamba
🤣🤣🤣🤣😂
Dulla Ongezewa Miaka Kumi...Mbinguni tutanpumzika...Mob love from kenya brother ❤❤❤❤
Kaza roho mwambaa ndio mambo ya dunia hayo ila ngoma kali imeenda hiyo 🙌🙌
FURAHI KAMA KUNA DEMU UMEMUACHA KWA TABIA ZAKE MBAYA !
WAZEE WAKUCHA MADEMU WENYE TABIA MBOVU PIGA LIKE HAPA ✌🏻🔥🔥🔥🔥🔥
Daaaa acha tyu jamaaa kama kaniimbia mimi an
Dah nimecheka kifala 😂😂😂😂
Ammewa kumbusha tuuuh
@@ashirafuhuruma6412😅😅😅😅
Q@@achouraachoura5763
Mpende baba wa watu anaugonjwa wa kuzimia🔥 Kila siku kuolewa kuachika Zaylisa tulia🎉
SINGELI LEGEND DULLAH,, Umejuwa kwenda na upepo broo hii ngoma itaenda mjini✊
Mimi siulininywea p2 basi uyo mzungu umzalie 🎶
Wanawake ziwaua izo P2 hawajui tu
Mnaweza kuchukia vitu kumbe ni kheri kwenu na mkapenda vitu kumbe ni Shari kwenu muombe Allah akupe mwenye kheri na wewe❤
We Fara tu
Wakwanza naomba like zng jamn
Kumaaaaaaaaaninaaaaaaa dullah weeeeeee kiboko na nusu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅😅😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Naitwa jiniby namkubali sanadul makabila
Ngoma kali sana mwanetu...sema nini bora yule twiga wa chamazi kasepa..angekukaanga!
Weee dulla umepigaje hapooooooo furahiiiiiiiii like za dulla zije hapa🎉🎉🎉 from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Noma Sana Kak
Dulla Makabila ameamua kufanya kama hatofanya tena
Pamoja kaka japo Ngoma ni ya vijembe ila kaliii 💥💥💥💥
Umeweza bro love you ww n noma San bana❤❤❤🎉🎉
Kama umeuridilia huyu wimbo zaidi ya mara 1 gonga like 👍
Iyo siri bado imefichwa 😂😂 sema ngoma kali kwa mala ya Kwanza naanza kuikubali singeli ila mzungu 🎉🎉🎉
Siri imefichuliwa kiasi hajui kupika😂😅
@@rosenafula8993mzungu Si manara😅😅
@@rosenafula8993 Siri ni nyingine kabisa hajaitaja kutojua kupika sio siri🤣
Manyara alitangaza kutoa million 50 Kwa atakayemuimbia Zaylisa haya sasa goma ndiyo hili Dula kafuate Hela zako maana umeimba vizuri sana.
#Furahi
Hhhhh😁😁😁
YANI usanii unatoa ujumbe na bado unaingiza ela dah
Yn 2po ndani ya ndoa ila bado ulinidangia mamae kama mumeelewa huu mstari tugonge like tukisonga❤❤❤❤
from kenya iko love bora ulivyomuacha wacha tuone kama atatoboa
This is a true meaning of an artist, much respect makabila
mimi nipo usijali tatizo mnapenda wadada kama hao wakuwadangia mnasahau kua kuna wanawake ambao wanajieshim na wamekulia kwenye dini na wanajielewa mnaona utwiga na figa mnasahau upendo na heshima ndo kila kitu hayo mengine hata kwa mloganzila yapo tu unamtengeneza vile unavotaka ila pole sana ndo maisha kikubwa omba mungu upate anaeendana nawe tu inshallah 🙏🙏
Wewe tena unajipendekeza unapigwa mjeledi uende kwenu
😂😂😂
😂😂😂na mimi nipo😅😅😅😅😂😂😂
@@halimahussein6066 😂😂😂
@@FrankSuarez-h3i 😂🤣🤣🤣🤣 nampa pole nipo kumpa pole tu 😂
Nime heshimu sana dulla mwenyewe 😂😂😂
Kweli kunguru hafugiki
Sitakii kujua kamuimbia m2 walaaa nn, Dulla atabaki kuwaa msanii wanguu pendwaaa daimaa.... 4hrs ago 6 ontrending anabalaa lakee makabilaaa.... Respect saaaana singeli artist
Amejua kuandika mashahiri wallah Mashallah
❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂umeweza dullaaaaaaaaa mzungu amepata ....wapi like zangu🎉🎉
😂😂😂 jaman mimi hapo tuu kwenye swala la kupika tuuu😊😊 mapishi yapo mengi dulls tufafanulieee 😅😅😅😅
Nakubari mwanangu achananae wamekutana malaya wote chura wa chamanzi na mzungu asie na bala
Hatariiii... much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪,ila inauma sana.... wakenya in the house nipeni likes
Kisingery kitam ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kama unamkubali dullah like hapa eti mzungu ana ugonjwa wakuzimia😢😅
Umeskia eeeh
😂😂😂😂
😂😂😂
😅😅😅
Leo kwel nimejua kweli dula upo juuu kwa singel
Hii ngoma unasikiliza hady unasikiliza then unasikiliza ulimaliza unasikiliza ukisha sikiliza unasikiliza unajuwa bado me nasikiliza Yan nasikiliza dula anasema we furahi me nasikiliza we enjoy tusisikilize we furahi dula wekiboko wa tenzi we twiga furahi.....
Jameni mapenzi yanauma,,,Hila bro ukiachwa achika,,,Kuna savabu manake hujui kesho,,,🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jamani mimi nimerudia karibu mara kumi ngoma kali❤❤❤😂😂😂
D😂😂😂❤
Acha ufala download kabisa
@@albertkassian1495 iko whatsapp kabisa😂😂😂😂😂😂😂😂
Acha bangi na wewe we subiri ngoma nyingine kutoka kwa Dulla kaka mkubwa 😂😂😂😂@@albertkassian1495
Sana
Dulla ni msanii na kafikisha ujumbe wake. Na kubwa zaidi kamuusia tu bibi harusi 2 bi. Ujumbe mzuri. Dulla hana Kazi mbaya
Jaman machoz had yamenilenfa inaonekan dullah alimpenda San huy mdad sem ndo kicheche pole kaka et MUNGU ni mwema malipo dunian utapata wa kufanana 🙏🙏
Ni kweli kabisa dulla alimpenda sana zai ila sababu ya wao kuachana wao ndo wanajua na dullah anaonekana ameumia sana
😭😭😭
Wote walikuwa vicheche
Kumvumilia asiyejua kupika ni kipaji
Nakubal kaka inauma lakin utafanyaj muhim ni kufurah umejipunguzia mzigo nyimbo Kali San ❤❤
Dullah mm nakukubali sana ndugu yang ! Allah akufanyie wepesi ila kipaji kaka yang nakukubali saaaaaana makabila huna baya bro kaza buti
Maneno ya mkosaji ayo Dulla,waachie Manara na ex wako wale maraha
Fulai kama umeachana na mwanaume mwenye ajaacha tamaa za ujanani😂😂😂😂😂😂❤
Bora ulivyomuacha kipenzi.wala usiwe kinyonge Wenda mungu kakuepusha na jambo.❤❤❤
Hii ngoma ina maana kubwa sana uki iskiliza juu juu huwezi ielewa
Ngoma Kali hasa hiyo we furahi nimekushindwa we furahi tu hongera dulla
It's such a nice message dulla you did it bro I love this
Wangapi ......tumeludia wimbo ......kusikiliza mzungu huwa anazimia
We furahi
Huyu jamaa ni talented sana
Sanaaaaa zaidi ya sanaaa
Dah yaani unamuacha Dulla kijana mwenzio, afu ana mvuto! Dah!
Mapenzii yanaumaa sana😢😢😢 Mimi sii ulininywea p2 basii huyoo mzungu mzaliee😂😂😂❤❤❤❤
Well done Dulla kunguru hafugiki wape muda kitawaka tuu hizo mbwembwe zote ni kujitokeza kama binzali kwenye mboga wakati haina ladha yoyote ni rangi rangi tuu
WE are enjoying this music Here in Germany furahi Tuna furahia wimbo
Wapi like za dullah kama umesikiliza zaidi ya mara1 , wee furah kama umepata mzungu😂😂😂
Wezai weee dullah kapigajeee hapoooo🎉
Roho inauma Dulla pamoja tunahuzunika pamoja na ww pole mfalme wa sengel ila usiumie sn ukashidwa kutupa Raha na nyimbo mpya za sengel king yataaisha tu dah nimelia sana
Dulla una akili sana, jibu mubashara, kama kiki na iwe kiki, Dulla 😂😂😂😂
Uyo mbwa atakufa vibaya sana anatumia uzuli wake anautumia vibaya sana naumiasana dullah tulia mungu atakujalia utpata mzul zaid yake usjali kaka angu
Mamam akooo ndioo anaetumik😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Saka hela bruh🎉
mpo kwenye ndoa na unadangiwa wapo watu wa namna hii bado ata manara bila milion moja alii mzigo😀😀😀😀
Umeuwaaaaaaaaaaaaaaa kaka hili limefika broooooooooo❤❤❤❤❤❤❤
Oyaaaa kaka makabila aina kufagilia uyo ni chura tuuu kama chura wengine analeta tamaa we tuachie sisi wakitoboa mwaka huuu bas nitakwenda mim.
Nyimbo nzur san broo🥰🥰🥰❤️ .....ila ucjal utampta mwengne mzur zaid yke na aliye bora.....hujui umeepushw na k2 gn
Mwanangu dullah mwanamke kama filigisi uzuri wake wa nje haufanani na wandani pole sana yote mapito
😂😂😂😂firigisi
Usikwazike mdogo Wang maisha Yana mengi,na kheri nyingi zitakuja tu kwako km ukuwa mwenye kumfanyia ubaya..........tuna mifano ya hivyo na Sasa hivi tunaishi fresh kabisa.
Aiseee Dula unajua sana kaka nakukubali miaka mia
wajanja wa mziki ndo wataelewa●♡You deserve your flowers Makabilla
😂😂hili goma zai hakiwa chooni hanachezaaaaa kimya ili gomaaaaaaaaa kali banaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉gongeni like hata moja jamn😢
Lalina dullah ulituambia saa moja 😅 nimeamini huna uvumilivu kaka😂
🙌🙌🙌🙌dulla kayamaliza huku jamani mpeni mauwa yake 🙌🙌
IQ kubwa sana,, maumivu ya kutengena yanaenda kumtengenezea pesa mingi nice song
Waoo pore sana kaka dura ni vyamuda usihangayike❤❤
nyimbo nzuri sana kaka❤❤❤❤❤❤❤❤
nimekomenti jamani nawaombeni like nami nivimbe wapendwa
Vimba
Dulla na Harmonize jameni ehhhh mkingali mnapenda tuu maskini 😊
Hujawahi penda😂😂
😅😅😅
Watu wa kusini hao
Poleee dullah mungu atakupa unachostahiri❤❤❤❤❤
@dullamakabilla hapa umeua broo Ngoma limelenga penyewe
Hakika mapenzi yanarun dunia jipe moyo Hilo halikuwa fungu lako but upewe maua yako ngoma nzuri
More than better ❤❤ uyo dulla duglas makabila🎉🎉🎉
Dullah kilichobaki ni kupambana tena acha na zay tattizo lake tamaa mwezi mmoja tu mtaonaa motoooo
Sema dulla unajua Sana man. Wangu 🙏🇹🇿🇹🇿
Hii imeenda💥💥💥🎉🎉🎉
Ngoma moja kali Sana mzee baba ndio maana halis ya mwanamziki, unatumia tukio la kweli kujipatia kipato
Aweeeeeee nakubali sana from south 🇿🇦