Dulla Makabila - Naacha Mziki ( Official Audio )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 798

  • @majaliwa_tz5004
    @majaliwa_tz5004 2 года назад +53

    Dulla Piga Moyo Konde Diamond Atakusamehee Maana Nasibu Ni Mtu Watu🙏

  • @Maroaofficial3695
    @Maroaofficial3695 2 года назад +45

    Wimbo huu ni mzuri sana..🇰🇪🇰🇪
    Mungu asaidie Diamond Platnumz atakusamehe kaka

  • @harmlatymusic5576
    @harmlatymusic5576 2 года назад +9

    Hahhahaha oyaa broooo me ni shabikii yako namba one babaaa eeeee skupingi miaka mia king

  • @luckysinkala5018
    @luckysinkala5018 2 года назад +5

    Kiukweli sipend Singeli ila we jamaaa nakubalii una kpaji 👏👏

  • @nurdeenmbalagane2135
    @nurdeenmbalagane2135 2 года назад +26

    Gonga like kama umesikiliza Zaidi ya mara 1

  • @erickabel6201
    @erickabel6201 2 года назад +79

    Niimesikiliza Sanna Huu wimbo nimejifunza kitu duniani humu Hamna mtu. Aliye. Kamilika kwa kweli Big up sana my brother .kuomba msamaha kwa mtu uliye mkosea ni jambo zuri🙌

    • @erickabel6201
      @erickabel6201 2 года назад +2

      💥💥💥

    • @kirighajames7950
      @kirighajames7950 2 года назад +2

      Huyu jamaa hakukosea sema tu Diamond katafsiri vibaya alafu kwani Diamond nani vile ati Dulla akwame bila yeye😂😂mwazengua mjue🚮🚮

    • @dremmytz888
      @dremmytz888 2 года назад +1

      kafanyqje uy jmaa

    • @bongoupdatestv9322
      @bongoupdatestv9322 2 года назад +1

      @@kirighajames7950 sasa nani kazingua kati ya dulla na aliyetoa koment. Tumia akili

    • @happyhousekeeper
      @happyhousekeeper 2 года назад +2

      Kabisa na unakua huru kabisa, love from Oman 🤗 Karibu Chanel yangu jina Hello Happy Tz. Asante sana

  • @alimohamed5757
    @alimohamed5757 2 года назад +5

    Kuna wasanii was singeli alafu Kuna king of singeli dula makabila much love bro from +254

    • @li9onlinetv
      @li9onlinetv 2 года назад

      suburscber🙏🙏🙏🙏

  • @zaikokingnil7727
    @zaikokingnil7727 2 года назад +22

    Jamani hadi namuonea huruma😢😢 Mondi kwl ndio upepo usio pimika kwl kwl🦁👑

  • @rosekapinga3533
    @rosekapinga3533 2 года назад +4

    Unajua mpaka unakera kasamehewa h baba wew nan mpaka asikusamehee imeisha iyoooo!!!

  • @yflonboi
    @yflonboi 2 года назад +5

    hadi nataka kulia eti nakukubali sana mwanangu ukiaacha mziki nauza simu

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 года назад +7

    Jamaa mbunufu Sana ,sijui unakwama wapi,,nasikilizia kila wakat nabaki kucheka

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 2 года назад +10

    Njaa sio mchezo ni bora ulie kuliko watu waanze kukukojolea

  • @joshuakyama.001
    @joshuakyama.001 2 года назад +3

    Diamond Ana roho safi mambo yanakuwa sawa karibuni

  • @christianmwashala9760
    @christianmwashala9760 2 года назад +1

    M napendaga unavyo imba saut flan iv taaam balaaaa,,,saut sio iwe kama ya kina au bella,,,,ni mpangilio tu jamaaa linajua ata likiwa linaimba live liko powa kinomaaa nakubal dulah kwa waimba singel na msaga sumu masauti Yao ni nomaaaaa

  • @hansib1269
    @hansib1269 2 года назад +4

    We jamaa nyoko sana.. tangia muda niliwah kusema💥💥

  • @aishamohamedi362
    @aishamohamedi362 Год назад +1

    Dulla upo vizur sana wakimbize Mzee baba ❤❤❤❤❤lla acha bangi uwache mziki iyo vp

  • @yasirsalimin6570
    @yasirsalimin6570 2 года назад +5

    Brother ww mkali 🤴 king 🤴 of singel

  • @iamdele2140
    @iamdele2140 2 года назад +4

    Ngoma kaliii

  • @allyismail455
    @allyismail455 2 года назад +1

    Kwa nyimbo za kutaja watu majina unaongòza dulla, nyimbo mzima majina ya watu tu

    • @kudrackabubakar9532
      @kudrackabubakar9532 2 года назад

      Hata aibu huna acha wivu jamaa ana kipaji creativity nzuri yaani watu wanamkubali wewe unazingua kundi la mamba kenge umejichanganya acha roho mbaya

  • @aaminaasljbgbvf745
    @aaminaasljbgbvf745 8 месяцев назад +1

    Pigaaaaqa🎉🎉🎉🎉 keleeeee kwadulaaaaaaaa dula niko hapa nakupenda sanaaaaaa unanifuraishaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 2 года назад +1

    Baba Levo kasema Ataongea na Boss Akusamehe lakini Usiludie Makosa...Ukiludia Atakufukuza Mwenyewe kabla Boss Ajakufukuza......

  • @TIZZOBOYOFFICIAL
    @TIZZOBOYOFFICIAL 2 года назад +80

    kazi tamu from king of singeli

    • @mohombifredrickchawa3207
      @mohombifredrickchawa3207 2 года назад +1

      ATAKUOA NANI? PUMBAVU SANA. tizama video reaction 👇.....
      ruclips.net/video/4G2eBUgjYYU/видео.html

    • @jaysondamian9280
      @jaysondamian9280 2 года назад

      Mpumbavu Acha mzikii mbwa ww

  • @allyidege9715
    @allyidege9715 2 года назад +26

    Dulla hujawahi kuniangushaga kweli we ni king of the singeli

    • @aaminaasljbgbvf745
      @aaminaasljbgbvf745 8 месяцев назад

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤ gonga apaaaaaa😂😂

  • @RashidiHussein-zi1mc
    @RashidiHussein-zi1mc 2 месяца назад +1

    Kamaunamkubali dulla gongalike hapa

  • @shayoboytv4991
    @shayoboytv4991 2 года назад +3

    ww jamaa unajua aseee

  • @katulijr1416
    @katulijr1416 2 года назад +13

    Shikilia popote unapoona kuna manufaa kwako never give up

  • @kudrackabubakar9532
    @kudrackabubakar9532 2 года назад +2

    Dullah wewe ni legend wa game ya singeli inshort sipendi singeli lakini najikuta namsikiliza ngoma zako broh u're so talented mashairi mazuri ubunifu wa kutosha Oyaa 🙌🔥🔥

    • @lindythoby233
      @lindythoby233 2 года назад

      Usjali chibu atakusamee siunajua chibu ni mzungu

  • @CHITUS
    @CHITUS 2 года назад

    Oya DjGood master unyama mwingiiiiii sanaaaaa bendera acha ipepee

  • @drimzentertainmentsounds7842
    @drimzentertainmentsounds7842 2 года назад +47

    Dulla makabila you are the best,kenya tunakupenda sana

    • @mimahogtz597
      @mimahogtz597 2 года назад +1

      Thanks❤️

    • @philippeter198
      @philippeter198 2 года назад +1

      greetings kenya; jua kali anafanya nn nowdays haimbi kabisa napenda sana wimbo unaoitwa bidii yangu

  • @mendradmuhile2492
    @mendradmuhile2492 2 года назад +4

    Utasamehewa 2 king of singeli awoooteeee 🙌

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 2 года назад +1

    Umetisha dulla hivyo vinanda vimenikumbusha omary omary na sauti ya utawala atomic music

  • @dukemulungu1549
    @dukemulungu1549 2 года назад +1

    Dah! Unajua kutunga sana kaka but i promise majizzo hatakasirika niamin,,,,,,kingne USIACHE MZIKI

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 2 года назад +2

    Kiukweli kipindi upo karibu na wcb uli shine sana…Ulipo toka tu pale kwa mond nami sikuwahi sikiliza nyimbo zako@Dulla

  • @jeremayaClassicPhoto
    @jeremayaClassicPhoto 2 года назад +1

    Eti iyobo na lala nawapaga mademu😄😄ila kiukweli bro ngoma ht mm imenigusa sn😭usijali mondi atakusamehe tu usiache mziki

  • @okaladizeafroman3332
    @okaladizeafroman3332 2 года назад +42

    Bro you know how to write music much love from Kenya

  • @leonardgwangineza994
    @leonardgwangineza994 2 года назад +4

    Bonge la song jamaa Nyimbo za singeli hope unazipatia sana 😋😋🤜

    • @li9onlinetv
      @li9onlinetv 2 года назад +1

      suberscber🙏🙏😍🙏🙏

  • @Sharifujumanne-h1b
    @Sharifujumanne-h1b 7 месяцев назад

    Uyu dulla ni mnyama anakipaji cha ajabu sana analala akiamka kaamka na wimbo

  • @congodanceacademyofficial6348
    @congodanceacademyofficial6348 2 года назад +4

    😭😭😭😭 HAKI UNA TU LIZA CONGO NZIMA🇨🇩❤🇹🇿

  • @ashamohamed1461
    @ashamohamed1461 2 года назад +6

    Dua yangu chibu akusamehe muishi Kama zamani

  • @whizzr7742
    @whizzr7742 2 года назад +1

    Ila dulla we jamaa unamatitzi kwel Yan but hongera kjan ukua kweny industry music mda mrefu

    • @li9onlinetv
      @li9onlinetv 2 года назад +1

      suberscber🙏🙏😍🙏🙏

  • @annamachozi4908
    @annamachozi4908 2 года назад +38

    King of Singeli 🔥🔥🥰

  • @boycarejcb1419
    @boycarejcb1419 2 года назад +1

    We makabila wewe unaachaje mziki wewe bonge la ngoma hilii

  • @aljabryaljabry8780
    @aljabryaljabry8780 2 года назад +6

    Bonge la ngoma najua chibu atakusamehe pole sana Dula makabila.,

  • @mixstarboy992
    @mixstarboy992 2 года назад +1

    Bayi tutaonana mungu akipenda

  • @alexanderchacha8585
    @alexanderchacha8585 2 года назад +2

    Mwandishi wa kichwa cha habari nikukumbushe kitu pengine umepitiwa unaitwa muziki nasio Mziki asante kwakupokea,🙏🙏🙏🙏🙏

    • @li9onlinetv
      @li9onlinetv 2 года назад

      suberscber🙏🙏😍

    • @ReachOut3004
      @ReachOut3004 2 года назад

      Ni lugha ya kisanaa ndugu, wimbo unaimbwa “naacha mziki” na ndo jina la nyimbo mwandishi hawezi badilisha hilo

  • @allymdoka8634
    @allymdoka8634 2 года назад +3

    Ngoma Moto hii

  • @irakozethierry7640
    @irakozethierry7640 2 года назад +11

    Welcome to WBC wasafi classic baby

  • @NeemaallyNeemaally
    @NeemaallyNeemaally 8 месяцев назад +1

    Yani ww makabila umeshindikana kka piga kaziii

  • @moybrooklyn8420
    @moybrooklyn8420 2 года назад

    Unajitekenya mwenyew af unachek...ms3ng ww mak¥mak¥. #kazi nzur

  • @aishamohamedi362
    @aishamohamedi362 Год назад

    Dulla mziki kipaji chako Mzee baba washa moto🙌🎟️🏅🏆

  • @Tonitoo
    @Tonitoo 2 года назад +4

    Hvo hvo mwaangu bila shobo skuhz hutoboi

  • @deeswaggz8427
    @deeswaggz8427 2 года назад +2

    Dulla kama dulla uyooooo king of singeli

  • @dedankapongo7490
    @dedankapongo7490 2 года назад +7

    Mondi akisamehe apige remix ya hii ngoma itakuwa fire 🔥

  • @rahtv797
    @rahtv797 2 года назад +3

    Sema huyu mjinga anaimba ase😂😂😂🔥🔥

  • @jeraldcarlos8349
    @jeraldcarlos8349 2 года назад +2

    1000%/1000% baba unaweza adi ukamtaja mkojani uzuri haukwenda TEMBO FAMILY ama pia wewe wataka kua na wasafi bet...Umetisha Dulla

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ 2 года назад

    Ndio uache jeuri sasa...
    Hao wapuuzi walikuaminisha ujinga kama alioaminisha mmakonde na wakakuacha njiani....

  • @musamsimulia2276
    @musamsimulia2276 2 года назад +2

    Pole mwana ila mondi mwelewa limeisha Ilo 😁😁

  • @nyandaruben7597
    @nyandaruben7597 2 года назад +1

    Chibu dee axhakusamehe me najua tyr kwa ujumbe huu wa hisia za kweli umesamehewa

  • @plusabracadabra5166
    @plusabracadabra5166 2 года назад

    Acha tu muziki underdog wapo wengi wataziba Pengo l lako 😁😁

  • @joshuamathias53
    @joshuamathias53 2 года назад +1

    Nomaaaa bro we ndoking wa singel

  • @youngweezy3846
    @youngweezy3846 2 года назад +1

    Tuletee video ngoma kali

  • @-Qboy811
    @-Qboy811 2 года назад +13

    Iyo ngoma ni kali sana bt kama ni kuyasikia nathani wamesikia

  • @silverag8472
    @silverag8472 2 года назад +2

    What I like frm ww mtu una idea nzuri Sana Kila wimbo wako ni🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿hatari 🔥🔥🔥

  • @innocentgideon9167
    @innocentgideon9167 2 года назад +1

    Dullah ujumbe umefka kama mond kamsamehe hbaba sembuse we yataisha tu ni uhakika juu ya hili

  • @kulatendaudi7671
    @kulatendaudi7671 2 года назад +1

    Dulla makabila bhn sasa inabid mond atuskilize mashabik zakee mond msamehee uyuu dogoo amekubali maisha yamemchapa endelea kumpa upepo

  • @snowngenzisnowngenzi9393
    @snowngenzisnowngenzi9393 2 года назад +2

    Sina uhakika kipi kinaendelea kati yako na chibu ila kwa hili naomba diamond platnumz akuelewe....... kikubwaa ushatambua kosa lako #JOHN 🇷🇼🇷🇼🇷🇼

  • @official_dicksonmunga
    @official_dicksonmunga 2 года назад +3

    Big up sanaaa kuomba msamah sio ujinga

  • @sakinabilali5865
    @sakinabilali5865 2 года назад +7

    Pole kk dulla yatapita tu hay inshaallah 🙏

  • @djazizi5580
    @djazizi5580 2 года назад +39

    Beautiful song 🔥🔥🔥

  • @davidhaule7380
    @davidhaule7380 2 года назад

    Daaaaa... Diamond msamehe huyu mwamba asee.. daaa

  • @Jacksondino
    @Jacksondino 2 года назад

    Isijali dulla sisi mashabiki wa wasafi tupo mbele yako daimond atakusameya tu tutamuomba msamaa sisi mashabiki

  • @mariamhassan8849
    @mariamhassan8849 2 года назад +3

    We Ni King wa singerii🙌🙌🙌🙌

  • @kingofsingeliinkenya
    @kingofsingeliinkenya 2 года назад +8

    Nakubali dulla naomba follows this channel

  • @idrissahajji7758
    @idrissahajji7758 2 года назад +3

    Umepigaje hapo mwishon

  • @nicksameboy5821
    @nicksameboy5821 2 года назад

    Katamu Sana haka wimbo. Kakupe moyo urudi kwenye gemu maana kameenda Sana asee #naachamziki #Dullamakibila #hitsong 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @deomush8378
    @deomush8378 Год назад

    Kwelii kka nmekubal can unabongoo la kipajii

  • @kazelemwabb700
    @kazelemwabb700 2 года назад +15

    The best king of singeliiiii😂😂😂🏃💛💛💛💛💛💛

  • @abdulmsamy1366
    @abdulmsamy1366 2 года назад +3

    Mwamba yupo talented sana kazi nzuri

  • @swalehesaad2692
    @swalehesaad2692 2 года назад +1

    Ukweli humuweka mtu huru hongera kwa kupasuka ukweli

  • @astongllo725
    @astongllo725 2 года назад

    Mwanangu unahahaa ndo unapotea ivyo mzee kaza game gumu♟

  • @Mravk254
    @Mravk254 2 года назад +1

    Kazi safiii

  • @joshuamussa3516
    @joshuamussa3516 2 года назад +1

    Kazi zako makn xana, 💯

  • @TheMvenTvfamily
    @TheMvenTvfamily Год назад +4

    This guy chemistry of singing is of another level,he doesn't copy or compete with anyone,the music is always more 🔥🔥

  • @panchovalentino3576
    @panchovalentino3576 2 года назад

    Ahahahah dulla bhana sema nawe ulizingua ila yataisha kakA ✋😆😃🔥🥂

  • @mirromsodoki2777
    @mirromsodoki2777 2 года назад +2

    Ngoma kali🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @MariaSwai-m8j
    @MariaSwai-m8j 20 дней назад

    Kuna wasanii wa singeli alaf Kuna dulla makabila hatal🙏🙏

  • @denismachele6477
    @denismachele6477 2 года назад +2

    Kazi nzuri Sana kk Ila nitamuomba mondi akusamehe

  • @braytonmakara6988
    @braytonmakara6988 2 года назад

    Kaka dulla mbna unajizalalisha mwamba simama wew kama ww unatufelisha sis wanaume

  • @erickson-k3792
    @erickson-k3792 2 года назад +2

    Lakini unajuwa kuimba bro

  • @sixmelody4349
    @sixmelody4349 2 года назад +1

    Nakubali mzee wa makabila naacha mziki ngoma kali sana

  • @brysongodfrey9090
    @brysongodfrey9090 2 года назад +1

    nakukubali san utunzi wako mdogo wangu

  • @slimmuhabesh2400
    @slimmuhabesh2400 2 года назад +3

    Kazi nzuri

  • @bukurumateo8285
    @bukurumateo8285 2 года назад

    Usijali kak we vumilia mond Ni mtu wawatu na sisi tu na mpendeya loho yke nzuli na kz zke nzuli sema usiludiye

  • @tajilihalisielia7982
    @tajilihalisielia7982 2 года назад +2

    Simbaa msameheee kk

  • @soudkakoso8610
    @soudkakoso8610 2 года назад +3

    Pole sana Kijana tafuta hela 😅

  • @eagleculturetv4692
    @eagleculturetv4692 2 года назад +4

    ebwana unaandikaa sikatai in short ni msanii unayefny sanaa sio wale wafanya biashara wanaofnya sanaa ila pambana alone kwan hata hao unaowalilia walipambana from zero en now they are heros na kuachwa ktk mapnz ni kawaida tyu so ishi wew en stand yourself, be awere u can successful en nothing can distort u ukiwa kweny lov take as easy ting as below 100%

    • @zulfajuma9687
      @zulfajuma9687 2 года назад

      Bro muach tu huy jmn gem n gum san

  • @Lovelove-or2ob
    @Lovelove-or2ob 2 года назад +3

    Simba fanya umsamehe. King of singeli daaaaaha😔😔😔🔥

  • @emedimejos6244
    @emedimejos6244 2 года назад +15

    Simba anaroho yakusameha yataisha don’t worry my boy

    • @sponsor7882
      @sponsor7882 2 года назад

      simba amekua mungu pumbavu

    • @mashamasha2854
      @mashamasha2854 2 года назад

      @@sponsor7882 ᴡᴇ ᴘɪᴍʙɪ ɴɴ ᴋᴜᴏᴍʙᴀ ᴍsᴀᴍᴀʜᴀ ᴋᴡᴀ ᴜʟɪᴏᴍᴋᴏsᴇᴀ ɪᴍᴇᴋᴜᴡᴀ ᴍᴜɴɢᴜ ᴜɴᴇᴏɴᴇsʜᴀ ᴜɴᴀʀᴏʜᴏ ɴʏᴇᴜsɪ ᴋᴡᴇʟ

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 2 года назад

      Point

    • @oledolokos802
      @oledolokos802 2 года назад

      @@sponsor7882 sasa ndugu kuombwa msama anapo.koseya tatizo liko wapi msama.sio kuabudu ..yani.una uzunika kusikia.makabila anaomba msama..

  • @jabalisoundsband747
    @jabalisoundsband747 2 года назад +3

    Dullaaaaaaaa Makabilaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Chibu msamehe kijanaa wako yaishee

  • @bakarirajabu2521
    @bakarirajabu2521 2 года назад

    Wee fala kweli unashindwa kufanya mziki unamlilia mwanaume mwenzio