Niimesikiliza Sanna Huu wimbo nimejifunza kitu duniani humu Hamna mtu. Aliye. Kamilika kwa kweli Big up sana my brother .kuomba msamaha kwa mtu uliye mkosea ni jambo zuri🙌
M napendaga unavyo imba saut flan iv taaam balaaaa,,,saut sio iwe kama ya kina au bella,,,,ni mpangilio tu jamaaa linajua ata likiwa linaimba live liko powa kinomaaa nakubal dulah kwa waimba singel na msaga sumu masauti Yao ni nomaaaaa
Dullah wewe ni legend wa game ya singeli inshort sipendi singeli lakini najikuta namsikiliza ngoma zako broh u're so talented mashairi mazuri ubunifu wa kutosha Oyaa 🙌🔥🔥
Katamu Sana haka wimbo. Kakupe moyo urudi kwenye gemu maana kameenda Sana asee #naachamziki #Dullamakibila #hitsong 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
ebwana unaandikaa sikatai in short ni msanii unayefny sanaa sio wale wafanya biashara wanaofnya sanaa ila pambana alone kwan hata hao unaowalilia walipambana from zero en now they are heros na kuachwa ktk mapnz ni kawaida tyu so ishi wew en stand yourself, be awere u can successful en nothing can distort u ukiwa kweny lov take as easy ting as below 100%
Dulla Piga Moyo Konde Diamond Atakusamehee Maana Nasibu Ni Mtu Watu🙏
Wimbo huu ni mzuri sana..🇰🇪🇰🇪
Mungu asaidie Diamond Platnumz atakusamehe kaka
Diamond aachane na watoto wapumbavu
Hahhahaha oyaa broooo me ni shabikii yako namba one babaaa eeeee skupingi miaka mia king
Kiukweli sipend Singeli ila we jamaaa nakubalii una kpaji 👏👏
Gonga like kama umesikiliza Zaidi ya mara 1
Niimesikiliza Sanna Huu wimbo nimejifunza kitu duniani humu Hamna mtu. Aliye. Kamilika kwa kweli Big up sana my brother .kuomba msamaha kwa mtu uliye mkosea ni jambo zuri🙌
💥💥💥
Huyu jamaa hakukosea sema tu Diamond katafsiri vibaya alafu kwani Diamond nani vile ati Dulla akwame bila yeye😂😂mwazengua mjue🚮🚮
kafanyqje uy jmaa
@@kirighajames7950 sasa nani kazingua kati ya dulla na aliyetoa koment. Tumia akili
Kabisa na unakua huru kabisa, love from Oman 🤗 Karibu Chanel yangu jina Hello Happy Tz. Asante sana
Kuna wasanii was singeli alafu Kuna king of singeli dula makabila much love bro from +254
suburscber🙏🙏🙏🙏
Jamani hadi namuonea huruma😢😢 Mondi kwl ndio upepo usio pimika kwl kwl🦁👑
Mungu amuweke sana simba
Unajua mpaka unakera kasamehewa h baba wew nan mpaka asikusamehee imeisha iyoooo!!!
hadi nataka kulia eti nakukubali sana mwanangu ukiaacha mziki nauza simu
Jamaa mbunufu Sana ,sijui unakwama wapi,,nasikilizia kila wakat nabaki kucheka
Njaa sio mchezo ni bora ulie kuliko watu waanze kukukojolea
Diamond Ana roho safi mambo yanakuwa sawa karibuni
M napendaga unavyo imba saut flan iv taaam balaaaa,,,saut sio iwe kama ya kina au bella,,,,ni mpangilio tu jamaaa linajua ata likiwa linaimba live liko powa kinomaaa nakubal dulah kwa waimba singel na msaga sumu masauti Yao ni nomaaaaa
suberscber🙏🙏😍
We jamaa nyoko sana.. tangia muda niliwah kusema💥💥
Dulla upo vizur sana wakimbize Mzee baba ❤❤❤❤❤lla acha bangi uwache mziki iyo vp
Brother ww mkali 🤴 king 🤴 of singel
suburscber🙏🙏😂
Ngoma kaliii
Kwa nyimbo za kutaja watu majina unaongòza dulla, nyimbo mzima majina ya watu tu
Hata aibu huna acha wivu jamaa ana kipaji creativity nzuri yaani watu wanamkubali wewe unazingua kundi la mamba kenge umejichanganya acha roho mbaya
Pigaaaaqa🎉🎉🎉🎉 keleeeee kwadulaaaaaaaa dula niko hapa nakupenda sanaaaaaa unanifuraishaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
Baba Levo kasema Ataongea na Boss Akusamehe lakini Usiludie Makosa...Ukiludia Atakufukuza Mwenyewe kabla Boss Ajakufukuza......
kazi tamu from king of singeli
ATAKUOA NANI? PUMBAVU SANA. tizama video reaction 👇.....
ruclips.net/video/4G2eBUgjYYU/видео.html
Mpumbavu Acha mzikii mbwa ww
Dulla hujawahi kuniangushaga kweli we ni king of the singeli
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤ gonga apaaaaaa😂😂
Kamaunamkubali dulla gongalike hapa
ww jamaa unajua aseee
Shikilia popote unapoona kuna manufaa kwako never give up
Dullah wewe ni legend wa game ya singeli inshort sipendi singeli lakini najikuta namsikiliza ngoma zako broh u're so talented mashairi mazuri ubunifu wa kutosha Oyaa 🙌🔥🔥
Usjali chibu atakusamee siunajua chibu ni mzungu
Oya DjGood master unyama mwingiiiiii sanaaaaa bendera acha ipepee
Dulla makabila you are the best,kenya tunakupenda sana
Thanks❤️
greetings kenya; jua kali anafanya nn nowdays haimbi kabisa napenda sana wimbo unaoitwa bidii yangu
Utasamehewa 2 king of singeli awoooteeee 🙌
Umetisha dulla hivyo vinanda vimenikumbusha omary omary na sauti ya utawala atomic music
Dah! Unajua kutunga sana kaka but i promise majizzo hatakasirika niamin,,,,,,kingne USIACHE MZIKI
Kiukweli kipindi upo karibu na wcb uli shine sana…Ulipo toka tu pale kwa mond nami sikuwahi sikiliza nyimbo zako@Dulla
Eti iyobo na lala nawapaga mademu😄😄ila kiukweli bro ngoma ht mm imenigusa sn😭usijali mondi atakusamehe tu usiache mziki
Bro you know how to write music much love from Kenya
Daaa pore sanaa
Bonge la song jamaa Nyimbo za singeli hope unazipatia sana 😋😋🤜
suberscber🙏🙏😍🙏🙏
Uyu dulla ni mnyama anakipaji cha ajabu sana analala akiamka kaamka na wimbo
😭😭😭😭 HAKI UNA TU LIZA CONGO NZIMA🇨🇩❤🇹🇿
Dua yangu chibu akusamehe muishi Kama zamani
Ila dulla we jamaa unamatitzi kwel Yan but hongera kjan ukua kweny industry music mda mrefu
suberscber🙏🙏😍🙏🙏
King of Singeli 🔥🔥🥰
We makabila wewe unaachaje mziki wewe bonge la ngoma hilii
Bonge la ngoma najua chibu atakusamehe pole sana Dula makabila.,
Bayi tutaonana mungu akipenda
Mwandishi wa kichwa cha habari nikukumbushe kitu pengine umepitiwa unaitwa muziki nasio Mziki asante kwakupokea,🙏🙏🙏🙏🙏
suberscber🙏🙏😍
Ni lugha ya kisanaa ndugu, wimbo unaimbwa “naacha mziki” na ndo jina la nyimbo mwandishi hawezi badilisha hilo
Ngoma Moto hii
Welcome to WBC wasafi classic baby
Yani ww makabila umeshindikana kka piga kaziii
Unajitekenya mwenyew af unachek...ms3ng ww mak¥mak¥. #kazi nzur
suberscber🙏🙏😍
Dulla mziki kipaji chako Mzee baba washa moto🙌🎟️🏅🏆
Hvo hvo mwaangu bila shobo skuhz hutoboi
Dulla kama dulla uyooooo king of singeli
Mondi akisamehe apige remix ya hii ngoma itakuwa fire 🔥
Good Idea
Sema huyu mjinga anaimba ase😂😂😂🔥🔥
1000%/1000% baba unaweza adi ukamtaja mkojani uzuri haukwenda TEMBO FAMILY ama pia wewe wataka kua na wasafi bet...Umetisha Dulla
Ndio uache jeuri sasa...
Hao wapuuzi walikuaminisha ujinga kama alioaminisha mmakonde na wakakuacha njiani....
Pole mwana ila mondi mwelewa limeisha Ilo 😁😁
Chibu dee axhakusamehe me najua tyr kwa ujumbe huu wa hisia za kweli umesamehewa
Acha tu muziki underdog wapo wengi wataziba Pengo l lako 😁😁
Nomaaaa bro we ndoking wa singel
Tuletee video ngoma kali
Iyo ngoma ni kali sana bt kama ni kuyasikia nathani wamesikia
What I like frm ww mtu una idea nzuri Sana Kila wimbo wako ni🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿hatari 🔥🔥🔥
suburscber🙏🙏😂
Dullah ujumbe umefka kama mond kamsamehe hbaba sembuse we yataisha tu ni uhakika juu ya hili
Dulla makabila bhn sasa inabid mond atuskilize mashabik zakee mond msamehee uyuu dogoo amekubali maisha yamemchapa endelea kumpa upepo
Sina uhakika kipi kinaendelea kati yako na chibu ila kwa hili naomba diamond platnumz akuelewe....... kikubwaa ushatambua kosa lako #JOHN 🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Big up sanaaa kuomba msamah sio ujinga
Pole kk dulla yatapita tu hay inshaallah 🙏
Beautiful song 🔥🔥🔥
Daaaaa... Diamond msamehe huyu mwamba asee.. daaa
Isijali dulla sisi mashabiki wa wasafi tupo mbele yako daimond atakusameya tu tutamuomba msamaa sisi mashabiki
suberscber🙏🙏😍
We Ni King wa singerii🙌🙌🙌🙌
Nakubali dulla naomba follows this channel
Umepigaje hapo mwishon
Katamu Sana haka wimbo. Kakupe moyo urudi kwenye gemu maana kameenda Sana asee #naachamziki #Dullamakibila #hitsong 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
suberscber🙏🙏😍
Kwelii kka nmekubal can unabongoo la kipajii
The best king of singeliiiii😂😂😂🏃💛💛💛💛💛💛
Mwamba yupo talented sana kazi nzuri
Ukweli humuweka mtu huru hongera kwa kupasuka ukweli
suberscber🙏🙏😍
Mwanangu unahahaa ndo unapotea ivyo mzee kaza game gumu♟
Kazi safiii
Kazi zako makn xana, 💯
suberscber🙏🙏😍
This guy chemistry of singing is of another level,he doesn't copy or compete with anyone,the music is always more 🔥🔥
899899899999908999009999889999
Ahahahah dulla bhana sema nawe ulizingua ila yataisha kakA ✋😆😃🔥🥂
Ngoma kali🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kuna wasanii wa singeli alaf Kuna dulla makabila hatal🙏🙏
Kazi nzuri Sana kk Ila nitamuomba mondi akusamehe
Kaka dulla mbna unajizalalisha mwamba simama wew kama ww unatufelisha sis wanaume
Lakini unajuwa kuimba bro
Nakubali mzee wa makabila naacha mziki ngoma kali sana
nakukubali san utunzi wako mdogo wangu
suberscber🙏🙏😍
Kazi nzuri
Usijali kak we vumilia mond Ni mtu wawatu na sisi tu na mpendeya loho yke nzuli na kz zke nzuli sema usiludiye
Simbaa msameheee kk
Pole sana Kijana tafuta hela 😅
ebwana unaandikaa sikatai in short ni msanii unayefny sanaa sio wale wafanya biashara wanaofnya sanaa ila pambana alone kwan hata hao unaowalilia walipambana from zero en now they are heros na kuachwa ktk mapnz ni kawaida tyu so ishi wew en stand yourself, be awere u can successful en nothing can distort u ukiwa kweny lov take as easy ting as below 100%
Bro muach tu huy jmn gem n gum san
Simba fanya umsamehe. King of singeli daaaaaha😔😔😔🔥
Simba anaroho yakusameha yataisha don’t worry my boy
simba amekua mungu pumbavu
@@sponsor7882 ᴡᴇ ᴘɪᴍʙɪ ɴɴ ᴋᴜᴏᴍʙᴀ ᴍsᴀᴍᴀʜᴀ ᴋᴡᴀ ᴜʟɪᴏᴍᴋᴏsᴇᴀ ɪᴍᴇᴋᴜᴡᴀ ᴍᴜɴɢᴜ ᴜɴᴇᴏɴᴇsʜᴀ ᴜɴᴀʀᴏʜᴏ ɴʏᴇᴜsɪ ᴋᴡᴇʟ
Point
@@sponsor7882 sasa ndugu kuombwa msama anapo.koseya tatizo liko wapi msama.sio kuabudu ..yani.una uzunika kusikia.makabila anaomba msama..
Dullaaaaaaaa Makabilaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Chibu msamehe kijanaa wako yaishee
suberscber🙏🙏😍🙏🙏
Kaka kwani alifanya nini?
Wee fala kweli unashindwa kufanya mziki unamlilia mwanaume mwenzio