Dulla Makabila - Furahi ( OFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 860

  • @user-zk2qk5mi8t
    @user-zk2qk5mi8t Месяц назад +364

    Dullah makabila ndio Diamond wa singeli kama unakubaliana na mm achia like na comment hapo chini

    • @user-rk9wv5vs7m
      @user-rk9wv5vs7m Месяц назад +4

      Sio diamond wa singeli singeli ni mziki usioeleweka bado mkubwa nani sema msanii anaejitambua zaidi kikazi kwenye singeli mkuu uyu dullah sio diamond wa singeli kuna bwax kuna meja kuna watu kibao adi usiowajua
      Mimi namkubali dullah ila usimpe huo udiamond diamond afananishwi na vitu kama hivi FANYA UCHUNGUZI
      DIAMOND KAKAMILIKA DULLA BADO BADO BADOOOOOOO

    • @Samueldavics
      @Samueldavics Месяц назад +7

      Sio tu tena zaid ya uyo mond

    • @user-jq9rj4dm5u
      @user-jq9rj4dm5u Месяц назад +4

      ​@@Samueldavicshujielewi

    • @Samueldavics
      @Samueldavics Месяц назад +6

      @@user-jq9rj4dm5u tuliza tako bobu kama linakuwasha mamae...

    • @user-jq9rj4dm5u
      @user-jq9rj4dm5u Месяц назад +3

      @@Samueldavics ww na huyo dullah nyote mnafinywa..

  • @user-ol8oh2ml4p
    @user-ol8oh2ml4p Месяц назад +301

    Ngoma frani uchokozi kuanzia audio mbaka video kama umeelewa hilo gonga like apa

  • @maryamsylivester8662
    @maryamsylivester8662 Месяц назад +56

    Kama umeona dem anafanana na zailissa gonga moja twende sambamba 😂😂😂 🔥 🔥🔥🔥

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Месяц назад +1

      Huyu Dem nshawia kumuuliza jamaa wangu mmoja sio zailissa akasema sio kumbe kweli 😂😂😂

    • @prezgal8869
      @prezgal8869 Месяц назад +2

      Na mzungu ni manara

  • @Edu-Lee-mee
    @Edu-Lee-mee Месяц назад +191

    Mambo ni mengi mda ndio mfupi.😅😅Like kumi tu

  • @Jasmeni-ns9dg
    @Jasmeni-ns9dg Месяц назад +110

    Leo wa kwanza jamani like zenu hata kumi tu 😂😂 FURAHI

  • @ngoshanangi8629
    @ngoshanangi8629 Месяц назад +11

    Kaka me sina neno nafurahi tu😁😆😁😆😁, nikiwa kahama, shinyanga ila msipite bila ku-like

  • @enockmathew5568
    @enockmathew5568 Месяц назад +14

    Mzungu na jezi ya yangaa😂😂🙌😊

  • @KingombeZakuani
    @KingombeZakuani Месяц назад +114

    Leo mimi wakwanza naomba likes 10 from 🇨🇩

  • @mahinduzihonorech
    @mahinduzihonorech Месяц назад +32

    Dulla makabila napenda music zakokutokeya Zambia Lusaka unajuwa Sana kama wewe ninushabiki wa dulla makabila like zako nizione apo❤❤❤❤🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇨🇩🇨🇩

  • @gambatv108
    @gambatv108 Месяц назад +48

    Gamba tv online wakwanza nipeni like Zungu naomba mkanisaidie like kwenye Akaunt yang

  • @slavemaster0867
    @slavemaster0867 Месяц назад +76

    Am from canada ... I don't know Swahili Language....ila Najua dulla ndo king singel ....naoma like zangu kudadeq

  • @youthssuccesstv3162
    @youthssuccesstv3162 Месяц назад +26

    Jaman like zangu mm ndio wa keanza

  • @Kambachurchgal-hg4zx
    @Kambachurchgal-hg4zx Месяц назад +10

    Dulla makabila nakukubali sana tokea kenya ❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤

  • @IbraKadabla-ry8mu
    @IbraKadabla-ry8mu Месяц назад +2

    Ujawahi kukosea king off singer

  • @user-gb1hn5ml8y
    @user-gb1hn5ml8y Месяц назад +30

    Ila dula umeipatia iyo video yani ww😂😂😂 like moto video kutoka kwa makabila

  • @marinojoseph-hg5ok
    @marinojoseph-hg5ok Месяц назад +18

    Oyaee kaka dulla huna baya
    Kaka nakubali kazi ya mdomo wakoo🙏🙏🙏

  • @ChamaziMusic
    @ChamaziMusic Месяц назад +8

    We misso misondo Umepigaje hapo!?🇹🇿🤣🤣

  • @user-fu1db6bt3v
    @user-fu1db6bt3v 9 дней назад

    🎉🎉🎉 ❤❤ kazi nzuri

  • @guulajini3596
    @guulajini3596 Месяц назад +20

    Sasa mbona kila Mmoja anacoment wa kwanza musiwe kama mzungu toleo la mwisho

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 Месяц назад +2

      😂😂😂😂😂nahis ni wale namba moja wa kwenye mitihan unakuta wamefuatan namba moja mpaka 11😂😂😂😂

  • @Bitika-wo7cg
    @Bitika-wo7cg Месяц назад +21

    Dulla Makabila anajua Sana kuimba kama unakubaliana na Mimi dondosha Like yako

    • @DouglasMassop
      @DouglasMassop Месяц назад

      Haujui kuimba sauti kama chura. Bali anajua kutunga

  • @MayaOuthman-bd8bg
    @MayaOuthman-bd8bg Месяц назад +35

    Ila Dulla mchokozi sana😂😂 fom Burundi naomba link 10 tu

  • @hidayaharoub
    @hidayaharoub Месяц назад +68

    Haya leooo WA kwanza naombaaa like zangu ❤❤❤

  • @user-od4yq1qj8q
    @user-od4yq1qj8q Месяц назад +3

    🤣🤣🤣🙌🙌🙌 Ngoma fulan hv la kichokoz balaaa

  • @user-bw5hc8bv2l
    @user-bw5hc8bv2l Месяц назад +20

    Weeeee team furahi wera you Gyus 😊😊😊😊😊😊

  • @user-pi6lb6nx3m
    @user-pi6lb6nx3m Месяц назад +1

    Kama huyu aliombwa laki8 sijui mzungu

  • @samiramulwa
    @samiramulwa Месяц назад +4

    Jamani kwaiyo kufuta ushaidi katafuta mzungu kweli ila nyimbo nzuri😂😂😂

  • @VenerandaHerry-os1br
    @VenerandaHerry-os1br Месяц назад

    Jmn huyo dada kafanana kweli na zay

  • @ramadhanmsoloni
    @ramadhanmsoloni Месяц назад +7

    Daaah umemvisha jezi ya yanga we mchokozi sna 😂😂😂😂😂

  • @rafiaahmad168
    @rafiaahmad168 Месяц назад +14

    Nimependa mzungu alivyoinuka😂

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Месяц назад +6

    Mimi watu mnaoomba likes huwa nawashangaa kinoma yan, badala ya kutoa maoni umeionaje video wew unaomba likes kwer achen hizo bwana mimi naisifia video ni qali...

  • @user-cs1mz2oz3h
    @user-cs1mz2oz3h Месяц назад +1

    Ukiona mtu anamchamba X wake jua kuna kitu apo

  • @user-vl5pu4mm5z
    @user-vl5pu4mm5z Месяц назад

    Sas mzungu Sawa ndo avae na jezi ya yanga

  • @OmarMohamed-zf8dp
    @OmarMohamed-zf8dp Месяц назад

    Hii nyimbo lazima kuna kitundini yake mana kiukweli ina mafumbo makubwa kiukweli

  • @DOTTOWALES
    @DOTTOWALES Месяц назад

    Goma fulanii la kicholozii

  • @nabiibikemwayowele
    @nabiibikemwayowele Месяц назад +12

    Mimi Nipo DRC CONGO wa kwanza Kabisa

  • @pilotmadata5791
    @pilotmadata5791 Месяц назад

    Noma sana kaka

  • @ronnieluiz9114
    @ronnieluiz9114 Месяц назад +2

    Uyo ni babu ake haaland😂😂

  • @andrewraphael3098
    @andrewraphael3098 Месяц назад +1

    😂😂😂 ila dullah mabila wacha 😅😊

  • @ismailwazir-kf3jh
    @ismailwazir-kf3jh Месяц назад

    Anatisha sana 🎉

  • @user-vb2tt4oe1d
    @user-vb2tt4oe1d Месяц назад +12

    Mzungu na jezi ya Yanga kavaaa😂😂😂😂😂🎉🎉

    • @CatherineNzeki
      @CatherineNzeki Месяц назад

      😂😂😂😂 umeona eee Dulla mchokozi saana

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Месяц назад

    Mzungu anawenge Kama mzungu kweli😅😅😅😅

  • @usher_bambi9413
    @usher_bambi9413 Месяц назад +4

    Comments za kuomba like nying kuliko maon ya nyimbo 😂😂😂😂😂 ila watu

  • @user-tn2tr8on2s
    @user-tn2tr8on2s 22 дня назад

    Uyo ndy king of singel

  • @Kapomakilian42
    @Kapomakilian42 Месяц назад

    Unajua Sana dulla

  • @sospeteramos2762
    @sospeteramos2762 Месяц назад +10

    Wa kwanza mim like 👍 zangu

  • @RehemaOmary-xp4fk
    @RehemaOmary-xp4fk Месяц назад +2

    Ila dullah unajua mpk unajua tena maninaaaaaaa❤❤❤❤

  • @Kaloleni_doctor
    @Kaloleni_doctor Месяц назад +36

    Wapi likes zangu From kenya🎉🎉🎉🎉🎉

  • @athumanhamad8522
    @athumanhamad8522 Месяц назад

    Dullah unajua nimeiona jezi ya mzungu 😂😂

  • @MamununeJoaoabdala
    @MamununeJoaoabdala Месяц назад

    Tupo pamoja dulla ninoma

  • @brotheradam9254
    @brotheradam9254 Месяц назад

    Umetisha sana😂😂

  • @user-mj3ix1ut5b
    @user-mj3ix1ut5b Месяц назад

    Finally likua naisubiria hili video ❤😅😂😂😂😂

  • @tawem6686
    @tawem6686 Месяц назад

    Mzungu ndo avae jez ya yanga

  • @martinkarata1097
    @martinkarata1097 Месяц назад

    Bonge la goma 🔥🔥🔥🔥

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Месяц назад +2

    Dulah😂😂😂🕺🕺🔥

  • @DaryaAlejandro-hr9yb
    @DaryaAlejandro-hr9yb Месяц назад +4

    Wa mwisho naombeini likes zangu 10 tu 😂😂

  • @isakashega6056
    @isakashega6056 Месяц назад

    Dulla fundi sana

  • @JumaMfamao
    @JumaMfamao Месяц назад

    Kaka nyimbo iko vizr kaka ira fanya remix nyengine ya video tuonde vitondo ulivyo viimbamba

  • @tonnyafricast1459
    @tonnyafricast1459 Месяц назад +1

    Acheni ujinga bana ,, comments ziwe zinahusu kazi ya dulla sio likes,,,ukipewa utazipeleka wapii #gitwe

  • @RAZAKIMMALINDA
    @RAZAKIMMALINDA Месяц назад

    King of singeli 😂😂🙌🙌🙌

  • @moreenbless-vr7oy
    @moreenbless-vr7oy Месяц назад +5

    Kwenye kupika muongo dadaakee alikua anasema zay anawapikia pilau na minyama kibao pilau inakua tam kweli

  • @user-ei3ry9dy2w
    @user-ei3ry9dy2w Месяц назад

    Ngoma Kali ila Audio na video havijaendana kabisa

  • @user-db9qi3io8z
    @user-db9qi3io8z Месяц назад

    Dullah mchokozi😅😅😅😅na jezi ya yanga🎉

  • @ZainaHalifa
    @ZainaHalifa Месяц назад +1

    Msanii wangu ni mpendaye

  • @kipupwefedede7130
    @kipupwefedede7130 Месяц назад

    Kilichonileta ni hiyo jezi ya yanga ilioandikwa whizmo

  • @keitatv9219
    @keitatv9219 Месяц назад

    Kwel mziki wa kitt ushakupita

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe Месяц назад

    Ila kasikika kinoma 😂😂🎉🎉

  • @user-pt9ed2yf9u
    @user-pt9ed2yf9u Месяц назад

    Amazing video flan hiv

  • @davidpeter8099
    @davidpeter8099 Месяц назад

    Huyu mzungu mbona ni msemaji wa wanannchi aliyejera

  • @user-qr6rr3vl7d
    @user-qr6rr3vl7d Месяц назад +1

    Ah😂dullah mbinguni utakuskia tuh mbwa wewe😅

  • @jamessmushi1625
    @jamessmushi1625 Месяц назад +4

    Alierudiaa kuingalia zaidi ya mara 10 agonge like
    Ila jamaa ana akili sana

  • @chibandamwende3676
    @chibandamwende3676 Месяц назад +2

    Wakenya gongeni like Sisi tunapenda drama 🇰🇪🇩🇪 ila Dulla Mzungu hapa kafa???ila tunaskia hali sio shwari!

  • @worldcentralcomedyandjokes9270
    @worldcentralcomedyandjokes9270 Месяц назад

    Afu kama uyo mzungu sio manara mbona kavaa jezi ya yanga daah jamaa mchokozi sana😂😂😂

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
    @OnesmoEmmanuel-xr2rf Месяц назад

    Dula mkolofi lakini ukiachwa achika baba mzima ni kulalama tu 😂😂😂😂😂

  • @mrkella3
    @mrkella3 Месяц назад

    Sawa kaka🎉

  • @user-ct2ee1ri8u
    @user-ct2ee1ri8u Месяц назад

    Umeua ili video bro waaah 😂😂

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 Месяц назад

    Eti mzungu amevaa jezi ya Yanga,daaah,naona mulemule😂😂😂

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Месяц назад +6

    Bwana Abdallah mkorofi ww na mingo classic yupo 😂😂😂😂 we furahi

  • @Amisikashindi.
    @Amisikashindi. Месяц назад

    Umekawiza video

  • @WaziriMsafiri
    @WaziriMsafiri Месяц назад

    Ubunifu nmeupenda😅😅

  • @ygggggg9762
    @ygggggg9762 Месяц назад

    Hiyo simama na tembea ya mmexico😂😂😂 ndio imenimaliza😂😂😂makabila wewe pika huku👈

  • @kanyamazimakerebuyange-iw7pq
    @kanyamazimakerebuyange-iw7pq Месяц назад +6

    Kama humpendi@hajimsnara like hapa

  • @user-mt4qu6vl7i
    @user-mt4qu6vl7i Месяц назад

    Umetisha

  • @ethangodlove4554
    @ethangodlove4554 Месяц назад

    Mamae mzungu kafwaaa

  • @DjAdamMjr
    @DjAdamMjr Месяц назад

    dubwana letu🎉

  • @user-qs1yp8ol7l
    @user-qs1yp8ol7l Месяц назад

    King of singeli 😂😂✊

  • @user-it9re2px8q
    @user-it9re2px8q Месяц назад +1

    Ndio avae mpak jez ya yanga huyu mzungu hatarii😂

  • @AmaniMsafiri
    @AmaniMsafiri Месяц назад

    Unyama sana kichupa hicho

  • @mwilongomamu3457
    @mwilongomamu3457 Месяц назад

    Ila dullah 😂😂😂 upewe🎉

  • @Heiskmb
    @Heiskmb Месяц назад

    Umetisha😂😂😂

  • @user-kn8bm3kt1j
    @user-kn8bm3kt1j Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂😂ma x wa zaii wameamua kutoa kit😅😅😅😅😅😅😅😅ila wanaumeeee

  • @wennybarny168
    @wennybarny168 Месяц назад

    Hatari na nusuuuu

  • @mochrissbyser2470
    @mochrissbyser2470 Месяц назад

    Ila dulla mchokozi sana😂😂😂😂

  • @ceciliamsanga
    @ceciliamsanga Месяц назад

    Nilikuwa nasubiri apo kwenye kuzimia ningeshangaa ucngekiweka kipnde icho 😂😂😂😂😂😂

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu 28 дней назад

    Video imeendana na tukio muhimu we Dully utauwa watu

  • @kwidexy
    @kwidexy Месяц назад +5

    We furahi😅😅😅

  • @diasalicastro5353
    @diasalicastro5353 Месяц назад

    Safi kijanaaaaaaaa

  • @user-cq4bw6xt9j
    @user-cq4bw6xt9j Месяц назад

    Nimemuelewa mdhungu aliye vaa jezi ya yanga😅😅😅😅😅😅😅 kumbe ndyo yule

  • @khamisisuedi1056
    @khamisisuedi1056 Месяц назад

    Dulla umeuwa Vixen kama Zaylisa alafu mzungu amevaa Yanga yaani uchokozi 😂😂😂😂

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 Месяц назад +5

    😂😂😂😂😂ila kuna muda wanawake atujui tunataka nn mm mwenyewe mbaka leo sijui nataka nn

  • @byamungurashidi85
    @byamungurashidi85 Месяц назад +21

    Mimi apa wa Sita chabiki wa music wa singeli kutok Bujumbura Burundi ❤❤❤😅😅. Jamani furahiyeni kupata muzungu 🎉🎉🎉