Sio diamond wa singeli singeli ni mziki usioeleweka bado mkubwa nani sema msanii anaejitambua zaidi kikazi kwenye singeli mkuu uyu dullah sio diamond wa singeli kuna bwax kuna meja kuna watu kibao adi usiowajua Mimi namkubali dullah ila usimpe huo udiamond diamond afananishwi na vitu kama hivi FANYA UCHUNGUZI DIAMOND KAKAMILIKA DULLA BADO BADO BADOOOOOOO
Mimi watu mnaoomba likes huwa nawashangaa kinoma yan, badala ya kutoa maoni umeionaje video wew unaomba likes kwer achen hizo bwana mimi naisifia video ni qali...
Dullah makabila ndio Diamond wa singeli kama unakubaliana na mm achia like na comment hapo chini
Sio diamond wa singeli singeli ni mziki usioeleweka bado mkubwa nani sema msanii anaejitambua zaidi kikazi kwenye singeli mkuu uyu dullah sio diamond wa singeli kuna bwax kuna meja kuna watu kibao adi usiowajua
Mimi namkubali dullah ila usimpe huo udiamond diamond afananishwi na vitu kama hivi FANYA UCHUNGUZI
DIAMOND KAKAMILIKA DULLA BADO BADO BADOOOOOOO
Sio tu tena zaid ya uyo mond
@@Samueldavicshujielewi
@@user-jq9rj4dm5u tuliza tako bobu kama linakuwasha mamae...
@@Samueldavics ww na huyo dullah nyote mnafinywa..
Ngoma frani uchokozi kuanzia audio mbaka video kama umeelewa hilo gonga like apa
Uchokozi tuuu
Ndo mzungu kashazimia😂😂
😂😂uchokozi wa liiiive bila chenga
😂😂Umewaza kama me Yani kamvisha Hadi jez😂
@@MariamOmary-ep6iv umeona e
Kama umeona dem anafanana na zailissa gonga moja twende sambamba 😂😂😂 🔥 🔥🔥🔥
Huyu Dem nshawia kumuuliza jamaa wangu mmoja sio zailissa akasema sio kumbe kweli 😂😂😂
Na mzungu ni manara
Mambo ni mengi mda ndio mfupi.😅😅Like kumi tu
Leo wa kwanza jamani like zenu hata kumi tu 😂😂 FURAHI
😂😂😂😂
Kaka me sina neno nafurahi tu😁😆😁😆😁, nikiwa kahama, shinyanga ila msipite bila ku-like
Mzungu na jezi ya yangaa😂😂🙌😊
Leo mimi wakwanza naomba likes 10 from 🇨🇩
Dulla makabila napenda music zakokutokeya Zambia Lusaka unajuwa Sana kama wewe ninushabiki wa dulla makabila like zako nizione apo❤❤❤❤🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇨🇩🇨🇩
Gamba tv online wakwanza nipeni like Zungu naomba mkanisaidie like kwenye Akaunt yang
Wimbo wako au
Toka apa
Am from canada ... I don't know Swahili Language....ila Najua dulla ndo king singel ....naoma like zangu kudadeq
@@HappyArcticBirds-iy3dg pamoja sana
karibu (inaitwa Kiswahili)
😅😅😅😅hujui Kiswahili ndio
@slavemaster0867 umepigaje apo 😂
Kapuuzi tu
Jaman like zangu mm ndio wa keanza
Dulla makabila nakukubali sana tokea kenya ❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤
Ujawahi kukosea king off singer
Ila dula umeipatia iyo video yani ww😂😂😂 like moto video kutoka kwa makabila
Oyaee kaka dulla huna baya
Kaka nakubali kazi ya mdomo wakoo🙏🙏🙏
We misso misondo Umepigaje hapo!?🇹🇿🤣🤣
Mzungu kazimia😂😂😂😂
🎉🎉🎉 ❤❤ kazi nzuri
Sasa mbona kila Mmoja anacoment wa kwanza musiwe kama mzungu toleo la mwisho
😂😂😂😂😂nahis ni wale namba moja wa kwenye mitihan unakuta wamefuatan namba moja mpaka 11😂😂😂😂
Dulla Makabila anajua Sana kuimba kama unakubaliana na Mimi dondosha Like yako
Haujui kuimba sauti kama chura. Bali anajua kutunga
Ila Dulla mchokozi sana😂😂 fom Burundi naomba link 10 tu
Haya leooo WA kwanza naombaaa like zangu ❤❤❤
🤣🤣🤣🙌🙌🙌 Ngoma fulan hv la kichokoz balaaa
Haha😂😂🙌🙌
Weeeee team furahi wera you Gyus 😊😊😊😊😊😊
Kama huyu aliombwa laki8 sijui mzungu
Jamani kwaiyo kufuta ushaidi katafuta mzungu kweli ila nyimbo nzuri😂😂😂
Jmn huyo dada kafanana kweli na zay
Daaah umemvisha jezi ya yanga we mchokozi sna 😂😂😂😂😂
Nimependa mzungu alivyoinuka😂
Mimi watu mnaoomba likes huwa nawashangaa kinoma yan, badala ya kutoa maoni umeionaje video wew unaomba likes kwer achen hizo bwana mimi naisifia video ni qali...
Sema pia unataka😂
Ukiona mtu anamchamba X wake jua kuna kitu apo
Sas mzungu Sawa ndo avae na jezi ya yanga
Hii nyimbo lazima kuna kitundini yake mana kiukweli ina mafumbo makubwa kiukweli
Goma fulanii la kicholozii
Mimi Nipo DRC CONGO wa kwanza Kabisa
Noma sana kaka
Uyo ni babu ake haaland😂😂
😂😂😂 ila dullah mabila wacha 😅😊
Anatisha sana 🎉
Mzungu na jezi ya Yanga kavaaa😂😂😂😂😂🎉🎉
😂😂😂😂 umeona eee Dulla mchokozi saana
Mzungu anawenge Kama mzungu kweli😅😅😅😅
Comments za kuomba like nying kuliko maon ya nyimbo 😂😂😂😂😂 ila watu
Uyo ndy king of singel
Unajua Sana dulla
Wa kwanza mim like 👍 zangu
Ila dullah unajua mpk unajua tena maninaaaaaaa❤❤❤❤
Wapi likes zangu From kenya🎉🎉🎉🎉🎉
Dullah unajua nimeiona jezi ya mzungu 😂😂
Tupo pamoja dulla ninoma
Umetisha sana😂😂
Finally likua naisubiria hili video ❤😅😂😂😂😂
Mzungu ndo avae jez ya yanga
Bonge la goma 🔥🔥🔥🔥
Dulah😂😂😂🕺🕺🔥
Wa mwisho naombeini likes zangu 10 tu 😂😂
Dulla fundi sana
Kaka nyimbo iko vizr kaka ira fanya remix nyengine ya video tuonde vitondo ulivyo viimbamba
Acheni ujinga bana ,, comments ziwe zinahusu kazi ya dulla sio likes,,,ukipewa utazipeleka wapii #gitwe
King of singeli 😂😂🙌🙌🙌
Kwenye kupika muongo dadaakee alikua anasema zay anawapikia pilau na minyama kibao pilau inakua tam kweli
Ngoma Kali ila Audio na video havijaendana kabisa
Dullah mchokozi😅😅😅😅na jezi ya yanga🎉
Msanii wangu ni mpendaye
Kilichonileta ni hiyo jezi ya yanga ilioandikwa whizmo
Kwel mziki wa kitt ushakupita
Ila kasikika kinoma 😂😂🎉🎉
Amazing video flan hiv
Huyu mzungu mbona ni msemaji wa wanannchi aliyejera
Ah😂dullah mbinguni utakuskia tuh mbwa wewe😅
Alierudiaa kuingalia zaidi ya mara 10 agonge like
Ila jamaa ana akili sana
Wakenya gongeni like Sisi tunapenda drama 🇰🇪🇩🇪 ila Dulla Mzungu hapa kafa???ila tunaskia hali sio shwari!
Afu kama uyo mzungu sio manara mbona kavaa jezi ya yanga daah jamaa mchokozi sana😂😂😂
Dula mkolofi lakini ukiachwa achika baba mzima ni kulalama tu 😂😂😂😂😂
Sawa kaka🎉
Umeua ili video bro waaah 😂😂
Eti mzungu amevaa jezi ya Yanga,daaah,naona mulemule😂😂😂
Bwana Abdallah mkorofi ww na mingo classic yupo 😂😂😂😂 we furahi
Umekawiza video
Ubunifu nmeupenda😅😅
Hiyo simama na tembea ya mmexico😂😂😂 ndio imenimaliza😂😂😂makabila wewe pika huku👈
Kama humpendi@hajimsnara like hapa
Umetisha
Mamae mzungu kafwaaa
dubwana letu🎉
King of singeli 😂😂✊
Ndio avae mpak jez ya yanga huyu mzungu hatarii😂
Unyama sana kichupa hicho
Ila dullah 😂😂😂 upewe🎉
Umetisha😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂ma x wa zaii wameamua kutoa kit😅😅😅😅😅😅😅😅ila wanaumeeee
Hatari na nusuuuu
Ila dulla mchokozi sana😂😂😂😂
Nilikuwa nasubiri apo kwenye kuzimia ningeshangaa ucngekiweka kipnde icho 😂😂😂😂😂😂
Video imeendana na tukio muhimu we Dully utauwa watu
We furahi😅😅😅
Safi kijanaaaaaaaa
Nimemuelewa mdhungu aliye vaa jezi ya yanga😅😅😅😅😅😅😅 kumbe ndyo yule
Dulla umeuwa Vixen kama Zaylisa alafu mzungu amevaa Yanga yaani uchokozi 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂ila kuna muda wanawake atujui tunataka nn mm mwenyewe mbaka leo sijui nataka nn
Kama kweli hv😂
Mimi apa wa Sita chabiki wa music wa singeli kutok Bujumbura Burundi ❤❤❤😅😅. Jamani furahiyeni kupata muzungu 🎉🎉🎉