Dulla Makabila - Nije Ama Nisije (OFFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 2,1 тыс.

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 6 месяцев назад +568

    Huu ndio unaitwa ubunifu! Kufikiri nje ya box na kufanya tofauti na watu walivyozoea! Hongera Sana Dulla! Keep it up

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b 6 месяцев назад +478

    Nataka kuona nguvu ya dulla makabila tunaomkubali king of singeli gonga like hapa

    • @KibaRapha-pq7ke
      @KibaRapha-pq7ke 6 месяцев назад +3

      Hhhh

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu 6 месяцев назад +2

      like unazipekeka wapi kenge wewe ?
      Wimbo aweke Dullah Makabila like upewe wewe ?
      acha ushamba utaolewa mdogo wangu

    • @user-xi1pi4zr3b
      @user-xi1pi4zr3b 6 месяцев назад

      ​@@officialkamduduNenda ukafirwe nakuona unanyege sana alaf unalipenda dudu kama jina lako

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu 6 месяцев назад +1

      @@user-xi1pi4zr3b ushindwe kufirwa wewe mwanaume unayependa wanaume wenzako waku like nifirwe mimi ?
      uwe unakuja magetoni kuchukua likes.
      mshamba wa mitandao wewe 😏

  • @hadijarajabu7198
    @hadijarajabu7198 6 месяцев назад +36

    Hii hizi ndo nyimbo zenye kuelimisha na kuifunza jamii, hongera sana Dulla keep on doing 🎉

  • @digitalafrica1
    @digitalafrica1 6 месяцев назад +77

    The true meaning of creativity❤, no abuse language, no X videos, nothing bad but full of creativity ❤❤ , If you like it as me please like this comment for our artist Makabila

  • @omaryode6822
    @omaryode6822 6 месяцев назад +103

    Msanii mzur ni yule anaefikirisha zaid kwenye uandishi wake na hii kaka dulla umetisha sana tuliza akil zaidi...big up kaka✍🏻

  • @user-qo5do3jg4o
    @user-qo5do3jg4o 6 месяцев назад +77

    Wangapi hii ngoma wameiludia zaidi ya mala 2🎉🎉🎉nyimbo ya mwaka❤

  • @silviapeason8542
    @silviapeason8542 6 месяцев назад +25

    Tumeshapata mwimbaji bora wa singeri wa mwaka yaani wimbo mzuri,ujumbe mzuri,mpaka video nzuri ❤️❤️❤️

  • @dullaboy6
    @dullaboy6 6 месяцев назад +25

    Dulla makabila wewe noma kama unamkubali acha like hapa

  • @KareemBahati-lf1iw
    @KareemBahati-lf1iw 6 месяцев назад +178

    Wakwanza mimi hapa wanangu wa dar es salaam naombeni like zangu

    • @godfreychacha7970
      @godfreychacha7970 6 месяцев назад +5

      Unakula like

    • @ArafaAlly-gs3yi
      @ArafaAlly-gs3yi 6 месяцев назад

      @@godfreychacha7970😂😂😂😂😂 jmn mpe

    • @mumyomary1812
      @mumyomary1812 6 месяцев назад +6

      Na umekimbilia nn wakati mi ndo nafika nimekuta coment mia 400 na 😅😅😅😅😅😅😅

    • @isayajames6874
      @isayajames6874 6 месяцев назад +4

      Iv wanao omba like wanazipelekaga wapi

    • @djmseventz
      @djmseventz 6 месяцев назад +3

      Wa kwanza wa nyoko

  • @OFFICIALSEMAH
    @OFFICIALSEMAH 6 месяцев назад +92

    Wa Kwanzaa toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 wapi like za dulla nije ama nisije weka like hapa zote ❤❤❤

  • @shabanshabani8453
    @shabanshabani8453 6 месяцев назад +70

    Mzee baba umetishaaaa sasa singeli hii imetoka kwenye uhuni mpaka burudani na elimu ndani yake 🙏🏾🔥🔥 Mungu akusimamie bro 💪🏼🙏🏾

  • @AnethKapingaInventoryControlle
    @AnethKapingaInventoryControlle 6 месяцев назад +2

    Shikamooo dulla makabila narudia Tena shikamooo kaka dulla akuna wa kukuzid kwa ubunifu wa singer upewe tuzo yako brooo🙌🙌🙌

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by 6 месяцев назад +34

    Huyu mdada anajua sana kuigiza we dula muongeze hela❤❤❤

  • @AlfredSenkondo-mi3wf
    @AlfredSenkondo-mi3wf 6 месяцев назад +764

    Oyaa kama unaamini Mwenyezimungu anabariki kila mmoja kupitia jitihada zake usipite bila like kwnye comment hii

  • @mwajumambonechi498
    @mwajumambonechi498 6 месяцев назад +17

    Nimeirudia hii nyimbo mpaka machozi yamenitoka, hongera sana dullah kwa UJUMBE huu

  • @susanlazaro8956
    @susanlazaro8956 6 месяцев назад +21

    Mie hata hainichoshi kuiangalia nakuisiliza hii nyimbo 🥰🥰🥰🥰🥰tuaompenda dullah king of Singeli gongeni like zenu hapaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @walterkanje
    @walterkanje 6 месяцев назад +94

    This singeli hit from Dulla Makabila is on repeat mode! 🔄🎵 Unmatched energy and beats that hit different. Dulla, you've done it again! 🙌💥 #SingeliFever #dullaMagic" gonga like hapa.... love from MARS👽

    • @William_ngela
      @William_ngela 6 месяцев назад

      Safi sana ukweli umewaambia mama wa kizazi hiki cha sasa

    • @brothermams28
      @brothermams28 6 месяцев назад

      Song Kali sana Big up from 254🎉🎉🎉🎉🎉

  • @banzimaestro3472
    @banzimaestro3472 6 месяцев назад +5

    Sijawahi kumkataa Dalla linapokuja swala la Ubunifu kwenye ngoma zake

  • @tumainiwanjala8435
    @tumainiwanjala8435 6 месяцев назад +37

    Masterpiece... The real definition of talent and creativity is this guy. Dulla de makabila..⚡⚡⚡⚡⚡⚡

  • @chiburashid8359
    @chiburashid8359 6 месяцев назад +7

    Sijawah kutoa saport ya nyimbo ila hiii imeenda dula mungu akuweke sana n uzid kufunuwa vichwa vya wapungufu wa fikra huuu ndo usanii🎉

  • @BONGOKUMENOGATV
    @BONGOKUMENOGATV 6 месяцев назад +28

    Hakuna mpinzani katika hili dude la kufungia mwaka oya nasemaje nasemaje ikae one otrendng miezi Saba isitoke♥️💥💥💥💥💥💥

    • @ATM_FAMIL
      @ATM_FAMIL 6 месяцев назад +2

      HUYU MTU MKALI...
      1) JINI GANI?
      2) WAONGO HAOO
      3) PITA KULE
      4) NIME GHAILI KUFA
      5) NIJE AMA NISIJE?
      MAONI: by bin simba sultan LET'S GO 🎉

    • @PeterDavid-ze5ll
      @PeterDavid-ze5ll 6 месяцев назад +1

      ​@@ATM_FAMIL❤ or

  • @BabaYaga-io9fo
    @BabaYaga-io9fo 6 месяцев назад +9

    Nimeona vijana wengi wakiimba singeli hila dulla anajua sana❤❤
    Kijana kabarikiwa singeli zinaujumbe kama hizi ni next level

  • @ngalongalo6475
    @ngalongalo6475 6 месяцев назад +2

    Yaani huyu #dullamakabila ni zaidi ya msanii, anaelimisha na kuburudisha haswaaa, embu waza hili goma anavyokemea mambo mengi anaonya juu ya MAADILI mabaya katika jamii, na ni juzijuzi katoka kutupitisha huku wema na wabaya.MUNGU AKUFIKISHE MBALI BROTHER UNAJUA SANA KUELIMISHA NA KUBURUDISHA JAMII.

  • @mwljuliuskiwovele223
    @mwljuliuskiwovele223 6 месяцев назад +3

    Best ever ,huyu jamaa huwa anawaza mbali kuliko tunavyodhani ,kuanzia pita huku,nije nisije na ile aliyoshirikishwa ya peleka gari kituoni ni idea zake ,yaani nyimbo inaelimisha mpaka inaboa na amezungumzia saikolojia ya makuzi ya mtoto akiwa bado yuko tumboni.🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @issayopeali1816
    @issayopeali1816 6 месяцев назад +42

    King of singeli from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @mrishomaneno6546
    @mrishomaneno6546 6 месяцев назад +34

    Kuna waimbaji wengu wazuri wa singeli ila dullah amewazidi sana .anaubunifu sana wa mziki wake safi sana kaka Mimi shabiki wako.unatoa jiwe unaweka jiwe

  • @dee61509
    @dee61509 6 месяцев назад +8

    Hii nyimbo inafikirisha sana,,,hongera Dulla kwa masterpiece 🎉

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx 6 месяцев назад +11

    Makabila ndo wasanii wanaojua maana ya sanaa, hongera sana kaka👏👏👏🔥🔥🔥🔥

  • @user-ci1dk6zy3v
    @user-ci1dk6zy3v 6 месяцев назад +45

    Ubunifu wako ni wa hali ya juu sana na ndio Mana upo tofaut sana na artist wengne bnafs nakubali uwezo wako na namna unavyotuletea vitu vya kipekee big up bro Dulla Makabila Mola akusimamie katk Kazi zako 🙏👊❤

  • @FourTeen_KiiD
    @FourTeen_KiiD 6 месяцев назад +65

    Tufungie mwaka Dullah hii nayo ikawe kali zaidi ya pita huku. 🙏🏾

    • @user-pg5yp6eg3b
      @user-pg5yp6eg3b 6 месяцев назад +2

      Kaka nakukubali sana good music bro

    • @FourTeen_KiiD
      @FourTeen_KiiD 6 месяцев назад

      ​@@user-pg5yp6eg3bkizazi bro

  • @godluvmtegajr.6154
    @godluvmtegajr.6154 6 месяцев назад +8

    Jamaa kafkria nje ya box sana,ngoma n hit sana..... ujumbe pia ✅✅

  • @salamasaidi1876
    @salamasaidi1876 6 месяцев назад +81

    Not only king of singeli but also king of creativity 🙌

  • @MansuleBhai
    @MansuleBhai 6 месяцев назад +100

    KAMA UMEANGALIA HII NGOMA ZAIDI YA MARA MOJA GONGA LIKE 😄🔥🔥🔥

  • @user-hi9zh2zi2w
    @user-hi9zh2zi2w 6 месяцев назад +7

    Safi sana dullah nakubali kazi zako singeli wewe ndio the most artist bongo ila njoo bro tuu yote uamepita msamehe mama ❤🎉

  • @SimonNdalii-mr6ur
    @SimonNdalii-mr6ur 6 месяцев назад +4

    Salute kaka dulla, top creativity 👍✨✨✨
    🎉😊👏😁👏😃🎉
    Congratulations!

  • @GervasUtouh
    @GervasUtouh 6 месяцев назад +7

    Ni nouuma 🎉🎉🎉 jaman tudondoshe mauwa kwa like zenu wadau kama mnamkubali dulla

  • @lenniekim
    @lenniekim 6 месяцев назад +16

    Mfalme wa singeli🔥🔥Toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 tunakutambua dulla

  • @farajimgunya6468
    @farajimgunya6468 6 месяцев назад +5

    Unajua kuandika na kushoot hizi kazi. big up dulla makabila

  • @marymassine1747
    @marymassine1747 6 месяцев назад +2

    Dullaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa eeh mwanangu umeuwa sana ❤

  • @fatumamustapher5361
    @fatumamustapher5361 6 месяцев назад +5

    Dullah mungu azidi kukujalia nyimbo nzur sanaa yenye uhalisia ktk maisha

  • @layantizzy8376
    @layantizzy8376 6 месяцев назад +22

    Dulla unafikiriaga sana big up...na director hajaikosea idea yako mmeua sana wakuuuu

  • @KudrackAbubakar
    @KudrackAbubakar 6 месяцев назад +6

    Dullah makabila ndo mwanasingeli wangu bora wa muda wote❤❤❤

  • @visanasimulizi
    @visanasimulizi 5 месяцев назад +1

    Hapana, hapana na hapana tena, Dulla Baba umetisha sana, bonge la wazo. Kitu kikubwa sana.

  • @elijahclassicboy8228
    @elijahclassicboy8228 6 месяцев назад +18

    ❤❤❤❤❤❤❤from Kenya 🇰🇪 😍 🙌 big up king of sigeli🎉🎉🎉

  • @armandoleonardo6966
    @armandoleonardo6966 6 месяцев назад +22

    Makabila é muito criativo e assim é bom, Força aí.🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @omaryshomari7892
    @omaryshomari7892 6 месяцев назад +1

    Makabila uuuje...utupe burudani...mana kwa ubunifu bongo hauna mpinzani...nakushauri njoo..wala usiogope..

  • @izahakageorge9573
    @izahakageorge9573 5 месяцев назад

    I don't understand how can he(Dulla makabula) come up with this idea because we know that he can't but mmmmhhh much love from Malawi.

  • @joshualaizer1707
    @joshualaizer1707 6 месяцев назад +4

    Kwa maneno mepesi dulla Hana mpinzani kwenye singeli🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @salumuhafidhimtabe420
    @salumuhafidhimtabe420 6 месяцев назад +4

    Dullah Makabila the King of Singeli especially in the matter of Creativity

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 5 месяцев назад +4

    This is love 💪🔥🤝 from Moçambique 🇲🇿

  • @zuhuramwachangu4102
    @zuhuramwachangu4102 6 месяцев назад +7

    Dulla Dulla Dulla....keep doing the good work 👏🤝..we Kenyans love you❤

  • @franksebastian2676
    @franksebastian2676 6 месяцев назад +40

    Once you talking about creativity in singeli.. you're talking about dullah makabila 🔥

  • @richardmagala6734
    @richardmagala6734 6 месяцев назад +29

    Kama umerudia kuangalia zaidi ya mara mbili gonga like

  • @user-sj3xx5ko9n
    @user-sj3xx5ko9n 6 месяцев назад +2

    Haki ya mungu mm sio mpenzi wa singeli lkn kwa dullah kaz zake nazipenda saana mwamba ana ubunifu wa hali ya juuu dullah atabaki kuwa king tumpe maua yake 💐💐💐💐💐💐💐💐💐

  • @rashidamohamed9927
    @rashidamohamed9927 6 месяцев назад +1

    Wewe kiboko huna bayaa kubwa rama duii wa singeli hantariii kibokoyaooo 🔥🔥🔥🔥🙏💪💪💪💪💪

  • @hamissmatata8780
    @hamissmatata8780 6 месяцев назад +7

    A king himself. Singeli ipo mikono salama kabisa

  • @TwahaMdaki-ym4nj
    @TwahaMdaki-ym4nj 6 месяцев назад +15

    Absolutely 💯 amazing ✊🏿u kill it dulla makabila🔥🔥

  • @sulexhtechnician7950
    @sulexhtechnician7950 6 месяцев назад +1

    Ujuee dula ana ki2 cha kipekee sana kwenye mziki wake me ni msanii ilaa kk nakupa mauwa yako🎉🎉🎉

  • @shamisadiki5264
    @shamisadiki5264 6 месяцев назад +2

    Hongera sana Dulla kwa kaz nzur na inafundisha pia

  • @yussbreezy918
    @yussbreezy918 6 месяцев назад +62

    KING OF SINGELI❤🔥
    Creativity 100%

  • @minahzaveri2817
    @minahzaveri2817 6 месяцев назад +2

    Waoooh ni ukwli mtupu umeibwa ❤ i like it❤❤ maua yako dulla🎉🎉

  • @isaaclevis5532
    @isaaclevis5532 6 месяцев назад

    Kali iyo nazwi yango depuis Congo Kinshasa ya 🇨🇩

  • @user-ts8db2xw3y
    @user-ts8db2xw3y 6 месяцев назад +7

    KING OF SINGELI ,IGWEEEEEEEE unajua ,unajua ,unajua tenaa❤❤❤❤❤

  • @madamanney
    @madamanney 6 месяцев назад +6

    Ujumbe mzuri sana huu, congratulations Bro👏

  • @AsiaSaid-iv4pn
    @AsiaSaid-iv4pn 6 месяцев назад +2

    Yaan kwenye singeli hakuna kama wewe jiamini na uzidishe maalifa nakukubali sana bro❤❤❤

  • @ExseviaSamwel
    @ExseviaSamwel 6 месяцев назад +1

    Ubunifu wahali ya juu pia dullah ni mmbunifu wa hali ya juu,,nakubali bro 👍👍

  • @ngonde255
    @ngonde255 6 месяцев назад +5

    Kiukweli kabisa kaka Mimi skupingi wewe ni mwandishi mzuri kweli wewe King of singeli🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @starjay3052
    @starjay3052 6 месяцев назад +4

    uwakika hii imeenda na inachukua tena tunzo amini dulla ✅💫🙌🔥🔥🔥🦅✊

  • @anethturinge2472
    @anethturinge2472 6 месяцев назад +2

    waoooh nimependa kiukweli Dullah umejua kunipa rhaaa khaa bi ugwa 😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @giggaflo
    @giggaflo 5 месяцев назад +1

    Dullah umewazidi wengi kwenye eneo la ubunifu. Wewe ni singeli Icon

  • @AloyceMathayo
    @AloyceMathayo 6 месяцев назад +10

    Uuunyama ni mwingii mzee uuliouufanya humuu..hit song on fire 🔥🔥❤️

  • @deus_marwa
    @deus_marwa 6 месяцев назад +17

    A very big lesson from Dulla Makabila 👏👏💪

  • @bonhommeOfficial
    @bonhommeOfficial 6 месяцев назад +1

    Daaaah Dulla makabila heee umenikosha sana kupitia hii nyimbo kama mimi nisingeli kuja duniani upewe mauwa yako

  • @FREDRICKKabalega-ij8kf
    @FREDRICKKabalega-ij8kf 6 месяцев назад +1

    Huyu nesi Bi Ubwa nilimuona kwenye zahanati ya kijiji na ali-act poa sana
    Good song, safi dulla

  • @masheyn
    @masheyn 6 месяцев назад +4

    Ila jamani huyu jamaa anatumia akili nyingi saaana dah hongera saaana kaka umezaliwa kwaajili ya mzk 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mkili like mje na kwangu masheyn 🎶

  • @meshackkangwe3414
    @meshackkangwe3414 6 месяцев назад +4

    Umeshindikana dulla asee we ni 👑 of singeri 🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @nathanvinny9698
    @nathanvinny9698 6 месяцев назад +2

    Dullah nakukubali Mimi..all the way kutoka kenya🎉🎉🎉

  • @Chimpaga_Tv
    @Chimpaga_Tv 6 месяцев назад +1

    Daaah makabila wee kweny singeli tukuache tu na kwakweli hata hao wanaokupinga wanastahili kukupa heshima yako unafanya makubwa kakaa salute sana mkuu!!

  • @user-jq9rj4dm5u
    @user-jq9rj4dm5u 6 месяцев назад +25

    Dullah and D Voice wakifanya moja itatisha Sana they all have good creativity...they deserve the best trophies in singeli

    • @DanielNdamoMwigulu-qs7wc
      @DanielNdamoMwigulu-qs7wc 6 месяцев назад +1

      We Wejamaa nae fala kweli sasa uyo D voice nae ni msanii wa singeli sasa king ni Mmoja Dulla makabila

  • @wallaceexpert4081
    @wallaceexpert4081 6 месяцев назад +6

    So creative, Jamaa nakuelewaga sana wewe ndio umenifanya nisikilize singeli napenda ubunifu wako wakipekee

  • @NeemaGodfrey-yz2xc
    @NeemaGodfrey-yz2xc 6 месяцев назад +1

    Huu ni ubunifu wa kiwango Cha reli, excellent!!!!

  • @imaxshine2210
    @imaxshine2210 6 месяцев назад +2

    dulla you are the next level broo, hii singeli ingitwa dulla tuache iyo singeli uitwe mziki wa dulla

  • @nashiruhassani5158
    @nashiruhassani5158 6 месяцев назад +4

    Nakubali sana kaka dula big up sana kwako tuko pamoja🎉🎉❤

  • @jeremiahmhini7729
    @jeremiahmhini7729 6 месяцев назад +8

    Creativity is on 🔥🔥

  • @user-ml5mu1di4z
    @user-ml5mu1di4z 6 месяцев назад +1

    Daah nyieee naombeni like Huyu jamaaaa noma na watu wake wako vizuri yaaan hiii lazimaaaa hiiii ifikishe iwe one so muda au Kesho asbh 🔥🔥🔥🔥📌📌📌

  • @ZaynabOmary93
    @ZaynabOmary93 6 месяцев назад +1

    Sijui kwa wengine ila mim ukiachana na dullah amna msanii wa singeli anaoweza kuimba singeli nzuri bila matusi na ubunifu wa hali ya juu tena bila kutukana na nyimbo ikawa nzuri hivi aiseeujawahi kukosea hii ni 🔥

  • @ZachariaEmanuel
    @ZachariaEmanuel 2 месяца назад +2

    Dullah mbona lawama hebu punguza kulia mwana 🎉🎉🎉

  • @emmanuelmuthamandonye
    @emmanuelmuthamandonye 6 месяцев назад +5

    Much love from kenya 🇰🇪 ❤️

  • @saksenaStone
    @saksenaStone 6 месяцев назад +2

    Makini Sana mwamba Yuko vizuri apewe maua yake ubunifu wa Hali yajuuu wenye ujumbe muhimu kwa dada zetu na mama zetu.safi Sana dulah dua nene

  • @Hans_rg
    @Hans_rg 6 месяцев назад +2

    ubunifu wa hali juu na ujumbee mzitooo❤ much love makabila

  • @ligobeatz
    @ligobeatz 6 месяцев назад +8

    Hii ngoma kali kuliko nyimbo zote za msanii mpya wa WCB...

    • @JechaMakameIssa-gs2bl
      @JechaMakameIssa-gs2bl 6 месяцев назад +3

      kitendo cha kufaninisha tu bc bila shaka dogo umemuelewa

  • @kingofsingeliinkenya
    @kingofsingeliinkenya 6 месяцев назад +6

    Natoka Kenya namukubali dullah makabila Sana lakin
    Nacho sema haniezi kwa singeli aky am from Kenya king of singeli in Kenya 👑

  • @othmanshabani5856
    @othmanshabani5856 5 месяцев назад +1

    Ahhhkhhh dula ananikosha sana na singeli zake tulio rudia zaidi ya mara moja gonga like ❤

  • @user-ml6xx7rr2z
    @user-ml6xx7rr2z 6 месяцев назад +1

    Dulla unaweza ata wakisainisha akina d voice Mia wewe utaki king of singeli

  • @eymanofficialhd6306
    @eymanofficialhd6306 6 месяцев назад +3

    Ujawai zingua dulla makabila ur in top much love from Argentina ❤

  • @kennedyvirtuoso9248
    @kennedyvirtuoso9248 6 месяцев назад +10

    Dulla always keeps surprising your clients..🎉

  • @user-zf3mb1cp4h
    @user-zf3mb1cp4h 6 месяцев назад +1

    king wa singeli ni dula makabila tu hao wengine hamn kitu ngoma kali san

  • @usajilikwanza2017
    @usajilikwanza2017 6 месяцев назад +1

    dura dura amini we ndo msanii pekee wa singeli zenye ujumbe mungu akubaliki sana 🙏

  • @amosmusyoka2952
    @amosmusyoka2952 6 месяцев назад +18

    Art is all about creativity.......nice one

  • @adamchigamba2862
    @adamchigamba2862 6 месяцев назад +3

    Ila wabongo wako juu sana kwa creativity, duuuh nimependa sana hii