Dulla Makabila - Nije Ama Nisije (OFFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025

Комментарии • 2,2 тыс.

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 Год назад +609

    Huu ndio unaitwa ubunifu! Kufikiri nje ya box na kufanya tofauti na watu walivyozoea! Hongera Sana Dulla! Keep it up

  • @AnethKapingaInventoryControlle
    @AnethKapingaInventoryControlle Год назад +15

    Shikamooo dulla makabila narudia Tena shikamooo kaka dulla akuna wa kukuzid kwa ubunifu wa singer upewe tuzo yako brooo🙌🙌🙌

  • @خسنموس
    @خسنموس Год назад +523

    Nataka kuona nguvu ya dulla makabila tunaomkubali king of singeli gonga like hapa

    • @KibaRapha-pq7ke
      @KibaRapha-pq7ke Год назад +3

      Hhhh

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu Год назад +3

      like unazipekeka wapi kenge wewe ?
      Wimbo aweke Dullah Makabila like upewe wewe ?
      acha ushamba utaolewa mdogo wangu

    • @خسنموس
      @خسنموس Год назад

      ​@@officialkamduduNenda ukafirwe nakuona unanyege sana alaf unalipenda dudu kama jina lako

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu Год назад +1

      @@خسنموس ushindwe kufirwa wewe mwanaume unayependa wanaume wenzako waku like nifirwe mimi ?
      uwe unakuja magetoni kuchukua likes.
      mshamba wa mitandao wewe 😏

    • @AbduliHamissi-mw4hi
      @AbduliHamissi-mw4hi 3 месяца назад

      Piga basi

  • @dullaboy6
    @dullaboy6 Год назад +47

    Dulla makabila wewe noma kama unamkubali acha like hapa

  • @hadijarajabu7198
    @hadijarajabu7198 Год назад +45

    Hii hizi ndo nyimbo zenye kuelimisha na kuifunza jamii, hongera sana Dulla keep on doing 🎉

  • @KareemBahati-lf1iw
    @KareemBahati-lf1iw Год назад +186

    Wakwanza mimi hapa wanangu wa dar es salaam naombeni like zangu

    • @godfreychacha7970
      @godfreychacha7970 Год назад +6

      Unakula like

    • @ArafaAlly-gs3yi
      @ArafaAlly-gs3yi Год назад

      @@godfreychacha7970😂😂😂😂😂 jmn mpe

    • @mumyomary1812
      @mumyomary1812 Год назад +7

      Na umekimbilia nn wakati mi ndo nafika nimekuta coment mia 400 na 😅😅😅😅😅😅😅

    • @isayajames6874
      @isayajames6874 Год назад +5

      Iv wanao omba like wanazipelekaga wapi

    • @djmseventz
      @djmseventz Год назад +4

      Wa kwanza wa nyoko

  • @NaifaMustapha
    @NaifaMustapha Год назад +87

    Wangapi hii ngoma wameiludia zaidi ya mala 2🎉🎉🎉nyimbo ya mwaka❤

  • @shabanshabani8453
    @shabanshabani8453 Год назад +74

    Mzee baba umetishaaaa sasa singeli hii imetoka kwenye uhuni mpaka burudani na elimu ndani yake 🙏🏾🔥🔥 Mungu akusimamie bro 💪🏼🙏🏾

  • @AgutaRashidi
    @AgutaRashidi 2 дня назад +1

    Jamani wanaomkubali dulla kama Mimi tukutane ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @visanasimulizi
    @visanasimulizi Год назад +1

    Hapana, hapana na hapana tena, Dulla Baba umetisha sana, bonge la wazo. Kitu kikubwa sana.

  • @omaryode6822
    @omaryode6822 Год назад +111

    Msanii mzur ni yule anaefikirisha zaid kwenye uandishi wake na hii kaka dulla umetisha sana tuliza akil zaidi...big up kaka✍🏻

  • @silviapeason8542
    @silviapeason8542 Год назад +28

    Tumeshapata mwimbaji bora wa singeri wa mwaka yaani wimbo mzuri,ujumbe mzuri,mpaka video nzuri ❤️❤️❤️

  • @masheyn
    @masheyn Год назад +8

    Ila jamani huyu jamaa anatumia akili nyingi saaana dah hongera saaana kaka umezaliwa kwaajili ya mzk 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mkili like mje na kwangu masheyn 🎶

  • @FredyLupatika
    @FredyLupatika Год назад +2

    Kilichobora tukipe heshima yake, dullah hana tofauti na 20 per cent, anajua japo ukweli mchungu💥💥💥💥

  • @farajamelchior4578
    @farajamelchior4578 Год назад +2

    Kaka nakubali kazi zako yani una ubunifu wakipekea nakilasiku unakuja nakitu kipya.

  • @OFFICIALSEMAH
    @OFFICIALSEMAH Год назад +99

    Wa Kwanzaa toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 wapi like za dulla nije ama nisije weka like hapa zote ❤❤❤

  • @chiburashid8359
    @chiburashid8359 Год назад +9

    Sijawah kutoa saport ya nyimbo ila hiii imeenda dula mungu akuweke sana n uzid kufunuwa vichwa vya wapungufu wa fikra huuu ndo usanii🎉

  • @GiftyMswaja
    @GiftyMswaja Год назад +3

    Daah nyieee naombeni like Huyu jamaaaa noma na watu wake wako vizuri yaaan hiii lazimaaaa hiiii ifikishe iwe one so muda au Kesho asbh 🔥🔥🔥🔥📌📌📌

  • @NeemaGodfrey-yz2xc
    @NeemaGodfrey-yz2xc Год назад +1

    Huu ni ubunifu wa kiwango Cha reli, excellent!!!!

  • @rogetichuo4687
    @rogetichuo4687 Год назад +1

    Dulla Makabila we ni fundi hizi ndo tungo sasa

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by Год назад +36

    Huyu mdada anajua sana kuigiza we dula muongeze hela❤❤❤

  • @GervasUtouh
    @GervasUtouh Год назад +8

    Ni nouuma 🎉🎉🎉 jaman tudondoshe mauwa kwa like zenu wadau kama mnamkubali dulla

  • @AlfredSenkondo-mi3wf
    @AlfredSenkondo-mi3wf Год назад +804

    Oyaa kama unaamini Mwenyezimungu anabariki kila mmoja kupitia jitihada zake usipite bila like kwnye comment hii

  • @BarakaElia-rp6gr
    @BarakaElia-rp6gr 10 месяцев назад +1

    Dulla ndo mond wa singeli❤

  • @JoelIsaya-m9b
    @JoelIsaya-m9b Год назад +1

    Dulla unaweza ata wakisainisha akina d voice Mia wewe utaki king of singeli

    • @cestjolie5574
      @cestjolie5574 10 дней назад

      Msaga Sumu ndo king wa singeli bwan.

  • @mrishomaneno6546
    @mrishomaneno6546 Год назад +35

    Kuna waimbaji wengu wazuri wa singeli ila dullah amewazidi sana .anaubunifu sana wa mziki wake safi sana kaka Mimi shabiki wako.unatoa jiwe unaweka jiwe

  • @mwajumambonechi498
    @mwajumambonechi498 Год назад +18

    Nimeirudia hii nyimbo mpaka machozi yamenitoka, hongera sana dullah kwa UJUMBE huu

  • @PetetIgnas
    @PetetIgnas Год назад +6

    Sijawahi kumkataa Dalla linapokuja swala la Ubunifu kwenye ngoma zake

  • @giggaflo
    @giggaflo Год назад +1

    Dullah umewazidi wengi kwenye eneo la ubunifu. Wewe ni singeli Icon

  • @godluvmtegajr.6154
    @godluvmtegajr.6154 Год назад +10

    Jamaa kafkria nje ya box sana,ngoma n hit sana..... ujumbe pia ✅✅

  • @fourteen_kiid
    @fourteen_kiid Год назад +66

    Tufungie mwaka Dullah hii nayo ikawe kali zaidi ya pita huku. 🙏🏾

    • @SaidyJumma
      @SaidyJumma Год назад +2

      Kaka nakukubali sana good music bro

    • @fourteen_kiid
      @fourteen_kiid Год назад

      ​@@SaidyJummakizazi bro

  • @ngalongalo6475
    @ngalongalo6475 Год назад +3

    Yaani huyu #dullamakabila ni zaidi ya msanii, anaelimisha na kuburudisha haswaaa, embu waza hili goma anavyokemea mambo mengi anaonya juu ya MAADILI mabaya katika jamii, na ni juzijuzi katoka kutupitisha huku wema na wabaya.MUNGU AKUFIKISHE MBALI BROTHER UNAJUA SANA KUELIMISHA NA KUBURUDISHA JAMII.

  • @farajimgunya6468
    @farajimgunya6468 Год назад +6

    Unajua kuandika na kushoot hizi kazi. big up dulla makabila

  • @danielnzumbi7081
    @danielnzumbi7081 Год назад +2

    Una pepo wako mbinguni bro, aisee unajua sana sana another level niggah

  • @SalhaLutalo-on8th
    @SalhaLutalo-on8th 11 месяцев назад +1

    Mungu akuzidishie kipaji na akuongoze na madili mema

  • @BabaYaga-io9fo
    @BabaYaga-io9fo Год назад +10

    Nimeona vijana wengi wakiimba singeli hila dulla anajua sana❤❤
    Kijana kabarikiwa singeli zinaujumbe kama hizi ni next level

  • @Neemarevocatus
    @Neemarevocatus 10 месяцев назад +2

    Dullah mbona lawama hebu punguza kulia mwana 🎉🎉🎉

  • @KassimMbwana-m6i
    @KassimMbwana-m6i Год назад +46

    Ubunifu wako ni wa hali ya juu sana na ndio Mana upo tofaut sana na artist wengne bnafs nakubali uwezo wako na namna unavyotuletea vitu vya kipekee big up bro Dulla Makabila Mola akusimamie katk Kazi zako 🙏👊❤

  • @rashidamohamed9927
    @rashidamohamed9927 Год назад +1

    Wewe kiboko huna bayaa kubwa rama duii wa singeli hantariii kibokoyaooo 🔥🔥🔥🔥🙏💪💪💪💪💪

  • @oshaimuafrica8398
    @oshaimuafrica8398 Месяц назад

    Msanii mbunifu mno kila nafasi goli congrats nipen like zangu Kama. Unakubal ubunifu wa Dulla

  • @BONGOKUMENOGATV
    @BONGOKUMENOGATV Год назад +30

    Hakuna mpinzani katika hili dude la kufungia mwaka oya nasemaje nasemaje ikae one otrendng miezi Saba isitoke♥️💥💥💥💥💥💥

    • @HUZZAMSUZNAKISIMBA
      @HUZZAMSUZNAKISIMBA Год назад +2

      HUYU MTU MKALI...
      1) JINI GANI?
      2) WAONGO HAOO
      3) PITA KULE
      4) NIME GHAILI KUFA
      5) NIJE AMA NISIJE?
      MAONI: by bin simba sultan LET'S GO 🎉

    • @peterdaviddba
      @peterdaviddba Год назад +1

      ​@@HUZZAMSUZNAKISIMBA❤ or

  • @mwljuliuskiwovele
    @mwljuliuskiwovele Год назад +4

    Best ever ,huyu jamaa huwa anawaza mbali kuliko tunavyodhani ,kuanzia pita huku,nije nisije na ile aliyoshirikishwa ya peleka gari kituoni ni idea zake ,yaani nyimbo inaelimisha mpaka inaboa na amezungumzia saikolojia ya makuzi ya mtoto akiwa bado yuko tumboni.🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @joshualaizer1707
    @joshualaizer1707 Год назад +5

    Kwa maneno mepesi dulla Hana mpinzani kwenye singeli🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @omaryshomari7892
    @omaryshomari7892 Год назад +1

    Makabila uuuje...utupe burudani...mana kwa ubunifu bongo hauna mpinzani...nakushauri njoo..wala usiogope..

  • @Brunoh90Tv
    @Brunoh90Tv Год назад +12

    Makabila ndo wasanii wanaojua maana ya sanaa, hongera sana kaka👏👏👏🔥🔥🔥🔥

  • @layantizzy8376
    @layantizzy8376 Год назад +23

    Dulla unafikiriaga sana big up...na director hajaikosea idea yako mmeua sana wakuuuu

  • @digitalafrica1
    @digitalafrica1 Год назад +78

    The true meaning of creativity❤, no abuse language, no X videos, nothing bad but full of creativity ❤❤ , If you like it as me please like this comment for our artist Makabila

  • @KudrackAbubakar
    @KudrackAbubakar Год назад +6

    Dullah makabila ndo mwanasingeli wangu bora wa muda wote❤❤❤

  • @sulexhtechnician7950
    @sulexhtechnician7950 Год назад +1

    Ujuee dula ana ki2 cha kipekee sana kwenye mziki wake me ni msanii ilaa kk nakupa mauwa yako🎉🎉🎉

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Год назад +1

    Dah mamae Dula wa makabila... hapa umeua aisee. Wimbo wa kufungia mwaka na kufungulia mwaka. Wimbo huu unasajili mtoto shule hata kama ada imepelea😂😂

  • @hamissmatata8780
    @hamissmatata8780 Год назад +8

    A king himself. Singeli ipo mikono salama kabisa

  • @fatumamustapher5361
    @fatumamustapher5361 Год назад +5

    Dullah mungu azidi kukujalia nyimbo nzur sanaa yenye uhalisia ktk maisha

  • @Yushimelody
    @Yushimelody Год назад +4

    Sasa mbona hii ngoma haingii trending ilivyo ya moto...wapi likes za dulla makabila wanangu wakenya..❤❤

  • @NgwasaMbega-bz1on
    @NgwasaMbega-bz1on Год назад +1

    Kila kwenye kufunga mwaka Dulla amekua mtu hatar naona kama inakuwa zawad Kwa watu tuliozaliwa December Keep Up Bro Kila hatua Dua

  • @JohnKepha-t3v
    @JohnKepha-t3v Год назад +1

    Mwamba niseme moja Tu hakuna king of singeli zaidi yako big up nyamazisha mji hakuna nasema hakuna

  • @SuleymaniallyAbdallah
    @SuleymaniallyAbdallah Год назад +7

    Safi sana dullah nakubali kazi zako singeli wewe ndio the most artist bongo ila njoo bro tuu yote uamepita msamehe mama ❤🎉

  • @dee61509
    @dee61509 Год назад +8

    Hii nyimbo inafikirisha sana,,,hongera Dulla kwa masterpiece 🎉

  • @vancharo51
    @vancharo51 Год назад +2

    Hapa kenya tunaita creativity ila Tanzania mnaita ubunifu niwa Hali ya njuu,jamani mimi mkenya lakini nependa dulla makambila❤❤❤

  • @ZenodSikaumba
    @ZenodSikaumba 2 месяца назад +1

    Nakukubali sana mwanangu dulla

  • @wallaceexpert4081
    @wallaceexpert4081 Год назад +6

    So creative, Jamaa nakuelewaga sana wewe ndio umenifanya nisikilize singeli napenda ubunifu wako wakipekee

  • @KhamisAli-k6s
    @KhamisAli-k6s Год назад +4

    King of singeliii na mafunzo ndani yake kwenye huu wimbo

  • @nashiruhassani5158
    @nashiruhassani5158 Год назад +4

    Nakubali sana kaka dula big up sana kwako tuko pamoja🎉🎉❤

  • @babangidaleonard4367
    @babangidaleonard4367 Год назад +2

    Nimesoma comments zote Amna negative comment 4real u did it bro🔥

  • @marymassine1747
    @marymassine1747 Год назад +2

    Dullaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa eeh mwanangu umeuwa sana ❤

  • @lenniekim
    @lenniekim Год назад +16

    Mfalme wa singeli🔥🔥Toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 tunakutambua dulla

  • @walterkanje
    @walterkanje Год назад +95

    This singeli hit from Dulla Makabila is on repeat mode! 🔄🎵 Unmatched energy and beats that hit different. Dulla, you've done it again! 🙌💥 #SingeliFever #dullaMagic" gonga like hapa.... love from MARS👽

    • @William_ngela
      @William_ngela Год назад

      Safi sana ukweli umewaambia mama wa kizazi hiki cha sasa

    • @brothermams28
      @brothermams28 Год назад

      Song Kali sana Big up from 254🎉🎉🎉🎉🎉

  • @saksenaStone
    @saksenaStone Год назад +2

    Makini Sana mwamba Yuko vizuri apewe maua yake ubunifu wa Hali yajuuu wenye ujumbe muhimu kwa dada zetu na mama zetu.safi Sana dulah dua nene

  • @machichaally
    @machichaally Год назад +1

    Aisee dulla we ni king wa hiyo kitu full creativity nani kaangalia mara kumi kama mimi tujuane hapa.

  • @othmanshabani5856
    @othmanshabani5856 Год назад +2

    Ahhhkhhh dula ananikosha sana na singeli zake tulio rudia zaidi ya mara moja gonga like ❤

  • @starjay3052
    @starjay3052 Год назад +5

    uwakika hii imeenda na inachukua tena tunzo amini dulla ✅💫🙌🔥🔥🔥🦅✊

  • @susanlazaro8956
    @susanlazaro8956 Год назад +26

    Mie hata hainichoshi kuiangalia nakuisiliza hii nyimbo 🥰🥰🥰🥰🥰tuaompenda dullah king of Singeli gongeni like zenu hapaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SimonNdalii-mr6ur
    @SimonNdalii-mr6ur Год назад +5

    Salute kaka dulla, top creativity 👍✨✨✨
    🎉😊👏😁👏😃🎉
    Congratulations!

  • @shamisadiki5264
    @shamisadiki5264 Год назад +2

    Hongera sana Dulla kwa kaz nzur na inafundisha pia

  • @dvjachichi6988
    @dvjachichi6988 Год назад +1

    Hiii ngoma bro umeua sikutegeme big up brooo hujawai kuniangusha unastaili jina la king of singeli

  • @tumainiwanjala8435
    @tumainiwanjala8435 Год назад +38

    Masterpiece... The real definition of talent and creativity is this guy. Dulla de makabila..⚡⚡⚡⚡⚡⚡

  • @evankya1955
    @evankya1955 Год назад +7

    Pure creativity! Ingekuwa ndefu kidogo

  • @meshackkangwe3414
    @meshackkangwe3414 Год назад +4

    Umeshindikana dulla asee we ni 👑 of singeri 🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @ifferallen8051
    @ifferallen8051 Год назад +2

    Dulla unawezaaa 🎉🎉❤❤❤

  • @Joe-k9k8z
    @Joe-k9k8z Год назад +1

    Mkome kumfananisha dullah na vikolokolo vya ajabu kwenye mziki wa singeli👊👊

  • @salamasaidi1876
    @salamasaidi1876 Год назад +82

    Not only king of singeli but also king of creativity 🙌

  • @issaadamu9847
    @issaadamu9847 Год назад +4

    King Of singeli 👑 hongera makabila

  • @AloyceMathayo
    @AloyceMathayo Год назад +10

    Uuunyama ni mwingii mzee uuliouufanya humuu..hit song on fire 🔥🔥❤️

  • @hebeye
    @hebeye Год назад +1

    Hongera bro kazi nzuri sana nasubili basata wakuite Tena wakupongeze Kwa kufundisha jamaii

  • @AsiaSaid-iv4pn
    @AsiaSaid-iv4pn Год назад +2

    Yaan kwenye singeli hakuna kama wewe jiamini na uzidishe maalifa nakukubali sana bro❤❤❤

  • @estonsmart
    @estonsmart Год назад +4

    Bonge la Funzo kwa Dadazetu. Your Genius Bro 🔥🔥

  • @armandoleonardo6966
    @armandoleonardo6966 Год назад +22

    Makabila é muito criativo e assim é bom, Força aí.🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @franksebastian2676
    @franksebastian2676 Год назад +40

    Once you talking about creativity in singeli.. you're talking about dullah makabila 🔥

  • @kombakomba7922
    @kombakomba7922 11 месяцев назад +1

    Mbunifu sana, hongera sana

  • @JullieManga
    @JullieManga Год назад +3

    Haki ya mungu mm sio mpenzi wa singeli lkn kwa dullah kaz zake nazipenda saana mwamba ana ubunifu wa hali ya juuu dullah atabaki kuwa king tumpe maua yake 💐💐💐💐💐💐💐💐💐

  • @ngonde255
    @ngonde255 Год назад +5

    Kiukweli kabisa kaka Mimi skupingi wewe ni mwandishi mzuri kweli wewe King of singeli🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rachemwapongo
    @rachemwapongo Год назад +7

    KING OF SINGELI ,IGWEEEEEEEE unajua ,unajua ,unajua tenaa❤❤❤❤❤

  • @anethturinge2472
    @anethturinge2472 Год назад +2

    waoooh nimependa kiukweli Dullah umejua kunipa rhaaa khaa bi ugwa 😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 Год назад +1

    huyu jamaa ni mbunifu sana aisee

  • @salumuhafidhimtabe
    @salumuhafidhimtabe Год назад +4

    Dullah Makabila the King of Singeli especially in the matter of Creativity

  • @paulasoka1596
    @paulasoka1596 Год назад +5

    Safi sana ❤ nyimbo inaujumbe mzuri mno

  • @issayopeali1816
    @issayopeali1816 Год назад +42

    King of singeli from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @deddymusic9219
    @deddymusic9219 Год назад +1

    Bonge la ngomaaaaaaaaa wajina umetishaaaaaa ww ni ataliiiiii

  • @edgarmandai
    @edgarmandai Год назад +1

    Kwenye suala la ubunifu we ni bora sana kwa sasa❤❤❤

  • @RamaNgari-b1d
    @RamaNgari-b1d Год назад +25

    Dullah and D Voice wakifanya moja itatisha Sana they all have good creativity...they deserve the best trophies in singeli

    • @DanielNdamoMwigulu-qs7wc
      @DanielNdamoMwigulu-qs7wc Год назад +1

      We Wejamaa nae fala kweli sasa uyo D voice nae ni msanii wa singeli sasa king ni Mmoja Dulla makabila

  • @mdogomeddytzz1099
    @mdogomeddytzz1099 Год назад +5

    ❤abdala kaweza 🎉