The true meaning of creativity❤, no abuse language, no X videos, nothing bad but full of creativity ❤❤ , If you like it as me please like this comment for our artist Makabila
This singeli hit from Dulla Makabila is on repeat mode! 🔄🎵 Unmatched energy and beats that hit different. Dulla, you've done it again! 🙌💥 #SingeliFever #dullaMagic" gonga like hapa.... love from MARS👽
Yaani huyu #dullamakabila ni zaidi ya msanii, anaelimisha na kuburudisha haswaaa, embu waza hili goma anavyokemea mambo mengi anaonya juu ya MAADILI mabaya katika jamii, na ni juzijuzi katoka kutupitisha huku wema na wabaya.MUNGU AKUFIKISHE MBALI BROTHER UNAJUA SANA KUELIMISHA NA KUBURUDISHA JAMII.
Best ever ,huyu jamaa huwa anawaza mbali kuliko tunavyodhani ,kuanzia pita huku,nije nisije na ile aliyoshirikishwa ya peleka gari kituoni ni idea zake ,yaani nyimbo inaelimisha mpaka inaboa na amezungumzia saikolojia ya makuzi ya mtoto akiwa bado yuko tumboni.🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kuna waimbaji wengu wazuri wa singeli ila dullah amewazidi sana .anaubunifu sana wa mziki wake safi sana kaka Mimi shabiki wako.unatoa jiwe unaweka jiwe
Ubunifu wako ni wa hali ya juu sana na ndio Mana upo tofaut sana na artist wengne bnafs nakubali uwezo wako na namna unavyotuletea vitu vya kipekee big up bro Dulla Makabila Mola akusimamie katk Kazi zako 🙏👊❤
Haki ya mungu mm sio mpenzi wa singeli lkn kwa dullah kaz zake nazipenda saana mwamba ana ubunifu wa hali ya juuu dullah atabaki kuwa king tumpe maua yake 💐💐💐💐💐💐💐💐💐
Daaah makabila wee kweny singeli tukuache tu na kwakweli hata hao wanaokupinga wanastahili kukupa heshima yako unafanya makubwa kakaa salute sana mkuu!!
Sijui kwa wengine ila mim ukiachana na dullah amna msanii wa singeli anaoweza kuimba singeli nzuri bila matusi na ubunifu wa hali ya juu tena bila kutukana na nyimbo ikawa nzuri hivi aiseeujawahi kukosea hii ni 🔥
Huu ndio unaitwa ubunifu! Kufikiri nje ya box na kufanya tofauti na watu walivyozoea! Hongera Sana Dulla! Keep it up
Exactly
dula umetisha
Ndo Comment nlitaka nseme bas umeniwahi
Dura nakupenda sana
No one like you
Nataka kuona nguvu ya dulla makabila tunaomkubali king of singeli gonga like hapa
Hhhh
like unazipekeka wapi kenge wewe ?
Wimbo aweke Dullah Makabila like upewe wewe ?
acha ushamba utaolewa mdogo wangu
@@officialkamduduNenda ukafirwe nakuona unanyege sana alaf unalipenda dudu kama jina lako
@@user-xi1pi4zr3b ushindwe kufirwa wewe mwanaume unayependa wanaume wenzako waku like nifirwe mimi ?
uwe unakuja magetoni kuchukua likes.
mshamba wa mitandao wewe 😏
Hii hizi ndo nyimbo zenye kuelimisha na kuifunza jamii, hongera sana Dulla keep on doing 🎉
Unasitaili like zote
The true meaning of creativity❤, no abuse language, no X videos, nothing bad but full of creativity ❤❤ , If you like it as me please like this comment for our artist Makabila
Msanii mzur ni yule anaefikirisha zaid kwenye uandishi wake na hii kaka dulla umetisha sana tuliza akil zaidi...big up kaka✍🏻
Wangapi hii ngoma wameiludia zaidi ya mala 2🎉🎉🎉nyimbo ya mwaka❤
Tumeshapata mwimbaji bora wa singeri wa mwaka yaani wimbo mzuri,ujumbe mzuri,mpaka video nzuri ❤️❤️❤️
Dulla makabila wewe noma kama unamkubali acha like hapa
Wakwanza mimi hapa wanangu wa dar es salaam naombeni like zangu
Unakula like
@@godfreychacha7970😂😂😂😂😂 jmn mpe
Na umekimbilia nn wakati mi ndo nafika nimekuta coment mia 400 na 😅😅😅😅😅😅😅
Iv wanao omba like wanazipelekaga wapi
Wa kwanza wa nyoko
Wa Kwanzaa toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 wapi like za dulla nije ama nisije weka like hapa zote ❤❤❤
Mzee baba umetishaaaa sasa singeli hii imetoka kwenye uhuni mpaka burudani na elimu ndani yake 🙏🏾🔥🔥 Mungu akusimamie bro 💪🏼🙏🏾
Shikamooo dulla makabila narudia Tena shikamooo kaka dulla akuna wa kukuzid kwa ubunifu wa singer upewe tuzo yako brooo🙌🙌🙌
Huyu mdada anajua sana kuigiza we dula muongeze hela❤❤❤
Tuchangeni tu
Tena namkubali
Oyaa kama unaamini Mwenyezimungu anabariki kila mmoja kupitia jitihada zake usipite bila like kwnye comment hii
Kihukwel Funga Mwaka Hii
Nikwer hatamalaa anabalikiwa 😂😂
@@manirambonajeanne3876 Naye c anaomba Mungu apate Danga
Duuh dulla Nini umefanya kaka
Nic
Nimeirudia hii nyimbo mpaka machozi yamenitoka, hongera sana dullah kwa UJUMBE huu
Mie hata hainichoshi kuiangalia nakuisiliza hii nyimbo 🥰🥰🥰🥰🥰tuaompenda dullah king of Singeli gongeni like zenu hapaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
This singeli hit from Dulla Makabila is on repeat mode! 🔄🎵 Unmatched energy and beats that hit different. Dulla, you've done it again! 🙌💥 #SingeliFever #dullaMagic" gonga like hapa.... love from MARS👽
Safi sana ukweli umewaambia mama wa kizazi hiki cha sasa
Song Kali sana Big up from 254🎉🎉🎉🎉🎉
Sijawahi kumkataa Dalla linapokuja swala la Ubunifu kwenye ngoma zake
Masterpiece... The real definition of talent and creativity is this guy. Dulla de makabila..⚡⚡⚡⚡⚡⚡
Sijawah kutoa saport ya nyimbo ila hiii imeenda dula mungu akuweke sana n uzid kufunuwa vichwa vya wapungufu wa fikra huuu ndo usanii🎉
Hakuna mpinzani katika hili dude la kufungia mwaka oya nasemaje nasemaje ikae one otrendng miezi Saba isitoke♥️💥💥💥💥💥💥
HUYU MTU MKALI...
1) JINI GANI?
2) WAONGO HAOO
3) PITA KULE
4) NIME GHAILI KUFA
5) NIJE AMA NISIJE?
MAONI: by bin simba sultan LET'S GO 🎉
@@ATM_FAMIL❤ or
Nimeona vijana wengi wakiimba singeli hila dulla anajua sana❤❤
Kijana kabarikiwa singeli zinaujumbe kama hizi ni next level
Yaani huyu #dullamakabila ni zaidi ya msanii, anaelimisha na kuburudisha haswaaa, embu waza hili goma anavyokemea mambo mengi anaonya juu ya MAADILI mabaya katika jamii, na ni juzijuzi katoka kutupitisha huku wema na wabaya.MUNGU AKUFIKISHE MBALI BROTHER UNAJUA SANA KUELIMISHA NA KUBURUDISHA JAMII.
Best ever ,huyu jamaa huwa anawaza mbali kuliko tunavyodhani ,kuanzia pita huku,nije nisije na ile aliyoshirikishwa ya peleka gari kituoni ni idea zake ,yaani nyimbo inaelimisha mpaka inaboa na amezungumzia saikolojia ya makuzi ya mtoto akiwa bado yuko tumboni.🎉🎉🎉🎉🎉🎉
King of singeli from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kuna waimbaji wengu wazuri wa singeli ila dullah amewazidi sana .anaubunifu sana wa mziki wake safi sana kaka Mimi shabiki wako.unatoa jiwe unaweka jiwe
Hii nyimbo inafikirisha sana,,,hongera Dulla kwa masterpiece 🎉
Makabila ndo wasanii wanaojua maana ya sanaa, hongera sana kaka👏👏👏🔥🔥🔥🔥
Ubunifu wako ni wa hali ya juu sana na ndio Mana upo tofaut sana na artist wengne bnafs nakubali uwezo wako na namna unavyotuletea vitu vya kipekee big up bro Dulla Makabila Mola akusimamie katk Kazi zako 🙏👊❤
Tufungie mwaka Dullah hii nayo ikawe kali zaidi ya pita huku. 🙏🏾
Kaka nakukubali sana good music bro
@@user-pg5yp6eg3bkizazi bro
Jamaa kafkria nje ya box sana,ngoma n hit sana..... ujumbe pia ✅✅
Not only king of singeli but also king of creativity 🙌
KAMA UMEANGALIA HII NGOMA ZAIDI YA MARA MOJA GONGA LIKE 😄🔥🔥🔥
😂😂 😅❤
Safi sana dullah nakubali kazi zako singeli wewe ndio the most artist bongo ila njoo bro tuu yote uamepita msamehe mama ❤🎉
Salute kaka dulla, top creativity 👍✨✨✨
🎉😊👏😁👏😃🎉
Congratulations!
Ni nouuma 🎉🎉🎉 jaman tudondoshe mauwa kwa like zenu wadau kama mnamkubali dulla
Mfalme wa singeli🔥🔥Toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 tunakutambua dulla
Unajua kuandika na kushoot hizi kazi. big up dulla makabila
Dullaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa eeh mwanangu umeuwa sana ❤
Dullah mungu azidi kukujalia nyimbo nzur sanaa yenye uhalisia ktk maisha
Dulla unafikiriaga sana big up...na director hajaikosea idea yako mmeua sana wakuuuu
Dullah makabila ndo mwanasingeli wangu bora wa muda wote❤❤❤
Hapana, hapana na hapana tena, Dulla Baba umetisha sana, bonge la wazo. Kitu kikubwa sana.
❤❤❤❤❤❤❤from Kenya 🇰🇪 😍 🙌 big up king of sigeli🎉🎉🎉
Makabila é muito criativo e assim é bom, Força aí.🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Makabila uuuje...utupe burudani...mana kwa ubunifu bongo hauna mpinzani...nakushauri njoo..wala usiogope..
I don't understand how can he(Dulla makabula) come up with this idea because we know that he can't but mmmmhhh much love from Malawi.
Kwa maneno mepesi dulla Hana mpinzani kwenye singeli🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dullah Makabila the King of Singeli especially in the matter of Creativity
This is love 💪🔥🤝 from Moçambique 🇲🇿
Dulla Dulla Dulla....keep doing the good work 👏🤝..we Kenyans love you❤
Once you talking about creativity in singeli.. you're talking about dullah makabila 🔥
Mwambia anajua sana.
Kama umerudia kuangalia zaidi ya mara mbili gonga like
Haki ya mungu mm sio mpenzi wa singeli lkn kwa dullah kaz zake nazipenda saana mwamba ana ubunifu wa hali ya juuu dullah atabaki kuwa king tumpe maua yake 💐💐💐💐💐💐💐💐💐
Wewe kiboko huna bayaa kubwa rama duii wa singeli hantariii kibokoyaooo 🔥🔥🔥🔥🙏💪💪💪💪💪
A king himself. Singeli ipo mikono salama kabisa
Absolutely 💯 amazing ✊🏿u kill it dulla makabila🔥🔥
Ujuee dula ana ki2 cha kipekee sana kwenye mziki wake me ni msanii ilaa kk nakupa mauwa yako🎉🎉🎉
Hongera sana Dulla kwa kaz nzur na inafundisha pia
❤❤❤❤❤
KING OF SINGELI❤🔥
Creativity 100%
Waoooh ni ukwli mtupu umeibwa ❤ i like it❤❤ maua yako dulla🎉🎉
Kali iyo nazwi yango depuis Congo Kinshasa ya 🇨🇩
KING OF SINGELI ,IGWEEEEEEEE unajua ,unajua ,unajua tenaa❤❤❤❤❤
Ujumbe mzuri sana huu, congratulations Bro👏
Yaan kwenye singeli hakuna kama wewe jiamini na uzidishe maalifa nakukubali sana bro❤❤❤
Ubunifu wahali ya juu pia dullah ni mmbunifu wa hali ya juu,,nakubali bro 👍👍
Kiukweli kabisa kaka Mimi skupingi wewe ni mwandishi mzuri kweli wewe King of singeli🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
uwakika hii imeenda na inachukua tena tunzo amini dulla ✅💫🙌🔥🔥🔥🦅✊
waoooh nimependa kiukweli Dullah umejua kunipa rhaaa khaa bi ugwa 😂😂😂😂❤❤❤❤
Dullah umewazidi wengi kwenye eneo la ubunifu. Wewe ni singeli Icon
Uuunyama ni mwingii mzee uuliouufanya humuu..hit song on fire 🔥🔥❤️
A very big lesson from Dulla Makabila 👏👏💪
Daaaah Dulla makabila heee umenikosha sana kupitia hii nyimbo kama mimi nisingeli kuja duniani upewe mauwa yako
Huyu nesi Bi Ubwa nilimuona kwenye zahanati ya kijiji na ali-act poa sana
Good song, safi dulla
Ila jamani huyu jamaa anatumia akili nyingi saaana dah hongera saaana kaka umezaliwa kwaajili ya mzk 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mkili like mje na kwangu masheyn 🎶
Umeshindikana dulla asee we ni 👑 of singeri 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Dullah nakukubali Mimi..all the way kutoka kenya🎉🎉🎉
Daaah makabila wee kweny singeli tukuache tu na kwakweli hata hao wanaokupinga wanastahili kukupa heshima yako unafanya makubwa kakaa salute sana mkuu!!
Dullah and D Voice wakifanya moja itatisha Sana they all have good creativity...they deserve the best trophies in singeli
We Wejamaa nae fala kweli sasa uyo D voice nae ni msanii wa singeli sasa king ni Mmoja Dulla makabila
So creative, Jamaa nakuelewaga sana wewe ndio umenifanya nisikilize singeli napenda ubunifu wako wakipekee
Huu ni ubunifu wa kiwango Cha reli, excellent!!!!
dulla you are the next level broo, hii singeli ingitwa dulla tuache iyo singeli uitwe mziki wa dulla
Nakubali sana kaka dula big up sana kwako tuko pamoja🎉🎉❤
Creativity is on 🔥🔥
Daah nyieee naombeni like Huyu jamaaaa noma na watu wake wako vizuri yaaan hiii lazimaaaa hiiii ifikishe iwe one so muda au Kesho asbh 🔥🔥🔥🔥📌📌📌
Sijui kwa wengine ila mim ukiachana na dullah amna msanii wa singeli anaoweza kuimba singeli nzuri bila matusi na ubunifu wa hali ya juu tena bila kutukana na nyimbo ikawa nzuri hivi aiseeujawahi kukosea hii ni 🔥
Dullah mbona lawama hebu punguza kulia mwana 🎉🎉🎉
Much love from kenya 🇰🇪 ❤️
Makini Sana mwamba Yuko vizuri apewe maua yake ubunifu wa Hali yajuuu wenye ujumbe muhimu kwa dada zetu na mama zetu.safi Sana dulah dua nene
ubunifu wa hali juu na ujumbee mzitooo❤ much love makabila
Hii ngoma kali kuliko nyimbo zote za msanii mpya wa WCB...
kitendo cha kufaninisha tu bc bila shaka dogo umemuelewa
Natoka Kenya namukubali dullah makabila Sana lakin
Nacho sema haniezi kwa singeli aky am from Kenya king of singeli in Kenya 👑
Ahhhkhhh dula ananikosha sana na singeli zake tulio rudia zaidi ya mara moja gonga like ❤
Dulla unaweza ata wakisainisha akina d voice Mia wewe utaki king of singeli
Ujawai zingua dulla makabila ur in top much love from Argentina ❤
Dulla always keeps surprising your clients..🎉
king wa singeli ni dula makabila tu hao wengine hamn kitu ngoma kali san
dura dura amini we ndo msanii pekee wa singeli zenye ujumbe mungu akubaliki sana 🙏
Art is all about creativity.......nice one
Ila wabongo wako juu sana kwa creativity, duuuh nimependa sana hii