The true meaning of creativity❤, no abuse language, no X videos, nothing bad but full of creativity ❤❤ , If you like it as me please like this comment for our artist Makabila
Best ever ,huyu jamaa huwa anawaza mbali kuliko tunavyodhani ,kuanzia pita huku,nije nisije na ile aliyoshirikishwa ya peleka gari kituoni ni idea zake ,yaani nyimbo inaelimisha mpaka inaboa na amezungumzia saikolojia ya makuzi ya mtoto akiwa bado yuko tumboni.🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kuna waimbaji wengu wazuri wa singeli ila dullah amewazidi sana .anaubunifu sana wa mziki wake safi sana kaka Mimi shabiki wako.unatoa jiwe unaweka jiwe
Ubunifu wako ni wa hali ya juu sana na ndio Mana upo tofaut sana na artist wengne bnafs nakubali uwezo wako na namna unavyotuletea vitu vya kipekee big up bro Dulla Makabila Mola akusimamie katk Kazi zako 🙏👊❤
This singeli hit from Dulla Makabila is on repeat mode! 🔄🎵 Unmatched energy and beats that hit different. Dulla, you've done it again! 🙌💥 #SingeliFever #dullaMagic" gonga like hapa.... love from MARS👽
Haki ya mungu mm sio mpenzi wa singeli lkn kwa dullah kaz zake nazipenda saana mwamba ana ubunifu wa hali ya juuu dullah atabaki kuwa king tumpe maua yake 💐💐💐💐💐💐💐💐💐
Umetendea haki maana halisi ya fasihi umeburudisha ,umefundisha,na pia umekosoa jamii safi sana hope ujumbe umefika salama unakitu cha kipekee sana na pia unafanya singeli inaonekana na kuwa na ujumbe wa kufundisha kbs big up God bless you
Daaah makabila wee kweny singeli tukuache tu na kwakweli hata hao wanaokupinga wanastahili kukupa heshima yako unafanya makubwa kakaa salute sana mkuu!!
Huu ndio unaitwa ubunifu! Kufikiri nje ya box na kufanya tofauti na watu walivyozoea! Hongera Sana Dulla! Keep it up
Exactly
dula umetisha
Ndo Comment nlitaka nseme bas umeniwahi
Dura nakupenda sana
No one like you
Dulla makabila wewe noma kama unamkubali acha like hapa
Nataka kuona nguvu ya dulla makabila tunaomkubali king of singeli gonga like hapa
Hhhh
like unazipekeka wapi kenge wewe ?
Wimbo aweke Dullah Makabila like upewe wewe ?
acha ushamba utaolewa mdogo wangu
@@officialkamduduNenda ukafirwe nakuona unanyege sana alaf unalipenda dudu kama jina lako
@@خسنموس ushindwe kufirwa wewe mwanaume unayependa wanaume wenzako waku like nifirwe mimi ?
uwe unakuja magetoni kuchukua likes.
mshamba wa mitandao wewe 😏
Wangapi hii ngoma wameiludia zaidi ya mala 2🎉🎉🎉nyimbo ya mwaka❤
Mie hata hainichoshi kuiangalia nakuisiliza hii nyimbo 🥰🥰🥰🥰🥰tuaompenda dullah king of Singeli gongeni like zenu hapaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hii hizi ndo nyimbo zenye kuelimisha na kuifunza jamii, hongera sana Dulla keep on doing 🎉
Unasitaili like zote
Wa Kwanzaa toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 wapi like za dulla nije ama nisije weka like hapa zote ❤❤❤
The true meaning of creativity❤, no abuse language, no X videos, nothing bad but full of creativity ❤❤ , If you like it as me please like this comment for our artist Makabila
Shikamooo dulla makabila narudia Tena shikamooo kaka dulla akuna wa kukuzid kwa ubunifu wa singer upewe tuzo yako brooo🙌🙌🙌
Mzee baba umetishaaaa sasa singeli hii imetoka kwenye uhuni mpaka burudani na elimu ndani yake 🙏🏾🔥🔥 Mungu akusimamie bro 💪🏼🙏🏾
Wakwanza mimi hapa wanangu wa dar es salaam naombeni like zangu
Unakula like
@@godfreychacha7970😂😂😂😂😂 jmn mpe
Na umekimbilia nn wakati mi ndo nafika nimekuta coment mia 400 na 😅😅😅😅😅😅😅
Iv wanao omba like wanazipelekaga wapi
Wa kwanza wa nyoko
Msanii mzur ni yule anaefikirisha zaid kwenye uandishi wake na hii kaka dulla umetisha sana tuliza akil zaidi...big up kaka✍🏻
Tumeshapata mwimbaji bora wa singeri wa mwaka yaani wimbo mzuri,ujumbe mzuri,mpaka video nzuri ❤️❤️❤️
Hapa kenya tunaita creativity ila Tanzania mnaita ubunifu niwa Hali ya njuu,jamani mimi mkenya lakini nependa dulla makambila❤❤❤
Daah nyieee naombeni like Huyu jamaaaa noma na watu wake wako vizuri yaaan hiii lazimaaaa hiiii ifikishe iwe one so muda au Kesho asbh 🔥🔥🔥🔥📌📌📌
Oyaa kama unaamini Mwenyezimungu anabariki kila mmoja kupitia jitihada zake usipite bila like kwnye comment hii
Kihukwel Funga Mwaka Hii
Nikwer hatamalaa anabalikiwa 😂😂
@@manirambonajeanne3876 Naye c anaomba Mungu apate Danga
Duuh dulla Nini umefanya kaka
Nic
Sasa mbona hii ngoma haingii trending ilivyo ya moto...wapi likes za dulla makabila wanangu wakenya..❤❤
Best ever ,huyu jamaa huwa anawaza mbali kuliko tunavyodhani ,kuanzia pita huku,nije nisije na ile aliyoshirikishwa ya peleka gari kituoni ni idea zake ,yaani nyimbo inaelimisha mpaka inaboa na amezungumzia saikolojia ya makuzi ya mtoto akiwa bado yuko tumboni.🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kila kwenye kufunga mwaka Dulla amekua mtu hatar naona kama inakuwa zawad Kwa watu tuliozaliwa December Keep Up Bro Kila hatua Dua
Unajua kuandika na kushoot hizi kazi. big up dulla makabila
Hakuna mpinzani katika hili dude la kufungia mwaka oya nasemaje nasemaje ikae one otrendng miezi Saba isitoke♥️💥💥💥💥💥💥
HUYU MTU MKALI...
1) JINI GANI?
2) WAONGO HAOO
3) PITA KULE
4) NIME GHAILI KUFA
5) NIJE AMA NISIJE?
MAONI: by bin simba sultan LET'S GO 🎉
@@HUZZAMSUZNAKISIMBA❤ or
Kwa maneno mepesi dulla Hana mpinzani kwenye singeli🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nimeirudia hii nyimbo mpaka machozi yamenitoka, hongera sana dullah kwa UJUMBE huu
Nimeona vijana wengi wakiimba singeli hila dulla anajua sana❤❤
Kijana kabarikiwa singeli zinaujumbe kama hizi ni next level
Kilichobora tukipe heshima yake, dullah hana tofauti na 20 per cent, anajua japo ukweli mchungu💥💥💥💥
Makabila ndo wasanii wanaojua maana ya sanaa, hongera sana kaka👏👏👏🔥🔥🔥🔥
Ila jamani huyu jamaa anatumia akili nyingi saaana dah hongera saaana kaka umezaliwa kwaajili ya mzk 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mkili like mje na kwangu masheyn 🎶
uwakika hii imeenda na inachukua tena tunzo amini dulla ✅💫🙌🔥🔥🔥🦅✊
Sijawahi kumkataa Dalla linapokuja swala la Ubunifu kwenye ngoma zake
PITA HUKU NILIHISI umeokota Embe dodo kwenye M'buyu ila hapa unasibitisha kuwa wewe kweli ni mfalme singeli.
UBUNIFU MKUBWA DULLAH
Dullah mungu azidi kukujalia nyimbo nzur sanaa yenye uhalisia ktk maisha
KAMA UMEANGALIA HII NGOMA ZAIDI YA MARA MOJA GONGA LIKE 😄🔥🔥🔥
😂😂 😅❤
Kuna waimbaji wengu wazuri wa singeli ila dullah amewazidi sana .anaubunifu sana wa mziki wake safi sana kaka Mimi shabiki wako.unatoa jiwe unaweka jiwe
Aisee dulla we ni king wa hiyo kitu full creativity nani kaangalia mara kumi kama mimi tujuane hapa.
Dullah makabila ndo mwanasingeli wangu bora wa muda wote❤❤❤
Ubunifu wako ni wa hali ya juu sana na ndio Mana upo tofaut sana na artist wengne bnafs nakubali uwezo wako na namna unavyotuletea vitu vya kipekee big up bro Dulla Makabila Mola akusimamie katk Kazi zako 🙏👊❤
Dulla unafikiriaga sana big up...na director hajaikosea idea yako mmeua sana wakuuuu
A king himself. Singeli ipo mikono salama kabisa
Hiii ngoma bro umeua sikutegeme big up brooo hujawai kuniangusha unastaili jina la king of singeli
Safi sana dullah nakubali kazi zako singeli wewe ndio the most artist bongo ila njoo bro tuu yote uamepita msamehe mama ❤🎉
❤abdala kaweza 🎉
Tufungie mwaka Dullah hii nayo ikawe kali zaidi ya pita huku. 🙏🏾
Kaka nakukubali sana good music bro
@@SaidyJummakizazi bro
This singeli hit from Dulla Makabila is on repeat mode! 🔄🎵 Unmatched energy and beats that hit different. Dulla, you've done it again! 🙌💥 #SingeliFever #dullaMagic" gonga like hapa.... love from MARS👽
Safi sana ukweli umewaambia mama wa kizazi hiki cha sasa
Song Kali sana Big up from 254🎉🎉🎉🎉🎉
Haki ya mungu mm sio mpenzi wa singeli lkn kwa dullah kaz zake nazipenda saana mwamba ana ubunifu wa hali ya juuu dullah atabaki kuwa king tumpe maua yake 💐💐💐💐💐💐💐💐💐
Hongera bro kazi nzuri sana nasubili basata wakuite Tena wakupongeze Kwa kufundisha jamaii
Masterpiece... The real definition of talent and creativity is this guy. Dulla de makabila..⚡⚡⚡⚡⚡⚡
Hii nyimbo inafikirisha sana,,,hongera Dulla kwa masterpiece 🎉
Kiukweli kabisa kaka Mimi skupingi wewe ni mwandishi mzuri kweli wewe King of singeli🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Yaan kwenye singeli hakuna kama wewe jiamini na uzidishe maalifa nakukubali sana bro❤❤❤
waoooh nimependa kiukweli Dullah umejua kunipa rhaaa khaa bi ugwa 😂😂😂😂❤❤❤❤
King of singeli from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hii ngoma kali kuliko nyimbo zote za msanii mpya wa WCB...
kitendo cha kufaninisha tu bc bila shaka dogo umemuelewa
Dulla unaweza ata wakisainisha akina d voice Mia wewe utaki king of singeli
Dullah nakukubali Mimi..all the way kutoka kenya🎉🎉🎉
Salute kaka dulla, top creativity 👍✨✨✨
🎉😊👏😁👏😃🎉
Congratulations!
So creative, Jamaa nakuelewaga sana wewe ndio umenifanya nisikilize singeli napenda ubunifu wako wakipekee
Makini Sana mwamba Yuko vizuri apewe maua yake ubunifu wa Hali yajuuu wenye ujumbe muhimu kwa dada zetu na mama zetu.safi Sana dulah dua nene
Umetendea haki maana halisi ya fasihi umeburudisha ,umefundisha,na pia umekosoa jamii safi sana hope ujumbe umefika salama unakitu cha kipekee sana na pia unafanya singeli inaonekana na kuwa na ujumbe wa kufundisha kbs big up God bless you
Aiseeee hongera sana umejua kwakwel
King of singeliii na mafunzo ndani yake kwenye huu wimbo
Natoka Kenya namukubali dullah makabila Sana lakin
Nacho sema haniezi kwa singeli aky am from Kenya king of singeli in Kenya 👑
King Of singeli 👑 hongera makabila
Ujuee dula ana ki2 cha kipekee sana kwenye mziki wake me ni msanii ilaa kk nakupa mauwa yako🎉🎉🎉
Wewe kiboko huna bayaa kubwa rama duii wa singeli hantariii kibokoyaooo 🔥🔥🔥🔥🙏💪💪💪💪💪
King of singeli
Kama umerudia kuangalia zaidi ya mara mbili gonga like
KING OF SINGELI ,IGWEEEEEEEE unajua ,unajua ,unajua tenaa❤❤❤❤❤
Dullah umewazidi wengi kwenye eneo la ubunifu. Wewe ni singeli Icon
Dulla ndo mond wa singeli❤
Not only king of singeli but also king of creativity 🙌
Dullah mbona lawama hebu punguza kulia mwana 🎉🎉🎉
Mfalme wa singeli🔥🔥Toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 tunakutambua dulla
Wimbo uko saw dullah unajua sana hongera kwa ubunif
Nakukubali sana mdogo wangu. Shabiki wako kutoka kenya
Dullah Makabila the King of Singeli especially in the matter of Creativity
Umeshindikana dulla asee we ni 👑 of singeri 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Dulla mbunifu sana❤❤❤
Hongera sana Dulla kwa kaz nzur na inafundisha pia
❤❤❤❤❤
Waoooh ni ukwli mtupu umeibwa ❤ i like it❤❤ maua yako dulla🎉🎉
This is love 💪🔥🤝 from Moçambique 🇲🇿
Safi sana ❤ nyimbo inaujumbe mzuri mno
Leo humu mpaka kieleweka Kila m2 wakwanza hii movie 🔥🔥🔥🔥
Kali iyo nazwi yango depuis Congo Kinshasa ya 🇨🇩
Hapana, hapana na hapana tena, Dulla Baba umetisha sana, bonge la wazo. Kitu kikubwa sana.
Bonge la Funzo kwa Dadazetu. Your Genius Bro 🔥🔥
Makabila é muito criativo e assim é bom, Força aí.🇲🇿🇲🇿🇲🇿
❤❤❤❤❤❤❤from Kenya 🇰🇪 😍 🙌 big up king of sigeli🎉🎉🎉
Dullaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa eeh mwanangu umeuwa sana ❤
Mkome kumfananisha dullah na vikolokolo vya ajabu kwenye mziki wa singeli👊👊
Dulla Dulla Dulla....keep doing the good work 👏🤝..we Kenyans love you❤
Uuunyama ni mwingii mzee uuliouufanya humuu..hit song on fire 🔥🔥❤️
Creativity is on 🔥🔥
dulla you are the next level broo, hii singeli ingitwa dulla tuache iyo singeli uitwe mziki wa dulla
Daaah makabila wee kweny singeli tukuache tu na kwakweli hata hao wanaokupinga wanastahili kukupa heshima yako unafanya makubwa kakaa salute sana mkuu!!
Kweli huy ndo King of singeli🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Gonga like hapa🔥🔥🔥 from makabila fans
King of singeli 🙌🙌🙌🚀🚀🚀🚀🔥🔥🔥🔥
Dah ubunifu wa hali ya juu ujumbe mzuri ❤❤❤
Daaaah Dulla makabila heee umenikosha sana kupitia hii nyimbo kama mimi nisingeli kuja duniani upewe mauwa yako
Goma la kufungia mwaka na kufungulia mwaka 🔥🔥🔥
Dulla,dulla dulla, nimekuita mara 3,
Hii ni🔥🔥🔥🔥