Dulla Makabila - Nije Ama Nisije (OFFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 2,2 тыс.

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 9 месяцев назад +589

    Huu ndio unaitwa ubunifu! Kufikiri nje ya box na kufanya tofauti na watu walivyozoea! Hongera Sana Dulla! Keep it up

  • @dullaboy6
    @dullaboy6 9 месяцев назад +42

    Dulla makabila wewe noma kama unamkubali acha like hapa

  • @خسنموس
    @خسنموس 9 месяцев назад +501

    Nataka kuona nguvu ya dulla makabila tunaomkubali king of singeli gonga like hapa

    • @KibaRapha-pq7ke
      @KibaRapha-pq7ke 9 месяцев назад +3

      Hhhh

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu 9 месяцев назад +2

      like unazipekeka wapi kenge wewe ?
      Wimbo aweke Dullah Makabila like upewe wewe ?
      acha ushamba utaolewa mdogo wangu

    • @خسنموس
      @خسنموس 9 месяцев назад

      ​@@officialkamduduNenda ukafirwe nakuona unanyege sana alaf unalipenda dudu kama jina lako

    • @officialkamdudu
      @officialkamdudu 9 месяцев назад +1

      @@خسنموس ushindwe kufirwa wewe mwanaume unayependa wanaume wenzako waku like nifirwe mimi ?
      uwe unakuja magetoni kuchukua likes.
      mshamba wa mitandao wewe 😏

  • @NaifaMustapha
    @NaifaMustapha 9 месяцев назад +84

    Wangapi hii ngoma wameiludia zaidi ya mala 2🎉🎉🎉nyimbo ya mwaka❤

  • @susanlazaro8956
    @susanlazaro8956 9 месяцев назад +25

    Mie hata hainichoshi kuiangalia nakuisiliza hii nyimbo 🥰🥰🥰🥰🥰tuaompenda dullah king of Singeli gongeni like zenu hapaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @hadijarajabu7198
    @hadijarajabu7198 9 месяцев назад +41

    Hii hizi ndo nyimbo zenye kuelimisha na kuifunza jamii, hongera sana Dulla keep on doing 🎉

  • @OFFICIALSEMAH
    @OFFICIALSEMAH 9 месяцев назад +96

    Wa Kwanzaa toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 wapi like za dulla nije ama nisije weka like hapa zote ❤❤❤

  • @digitalafrica1
    @digitalafrica1 9 месяцев назад +78

    The true meaning of creativity❤, no abuse language, no X videos, nothing bad but full of creativity ❤❤ , If you like it as me please like this comment for our artist Makabila

  • @AnethKapingaInventoryControlle
    @AnethKapingaInventoryControlle 9 месяцев назад +6

    Shikamooo dulla makabila narudia Tena shikamooo kaka dulla akuna wa kukuzid kwa ubunifu wa singer upewe tuzo yako brooo🙌🙌🙌

  • @shabanshabani8453
    @shabanshabani8453 9 месяцев назад +73

    Mzee baba umetishaaaa sasa singeli hii imetoka kwenye uhuni mpaka burudani na elimu ndani yake 🙏🏾🔥🔥 Mungu akusimamie bro 💪🏼🙏🏾

  • @KareemBahati-lf1iw
    @KareemBahati-lf1iw 9 месяцев назад +183

    Wakwanza mimi hapa wanangu wa dar es salaam naombeni like zangu

    • @godfreychacha7970
      @godfreychacha7970 9 месяцев назад +6

      Unakula like

    • @ArafaAlly-gs3yi
      @ArafaAlly-gs3yi 9 месяцев назад

      @@godfreychacha7970😂😂😂😂😂 jmn mpe

    • @mumyomary1812
      @mumyomary1812 9 месяцев назад +7

      Na umekimbilia nn wakati mi ndo nafika nimekuta coment mia 400 na 😅😅😅😅😅😅😅

    • @isayajames6874
      @isayajames6874 9 месяцев назад +5

      Iv wanao omba like wanazipelekaga wapi

    • @djmseventz
      @djmseventz 9 месяцев назад +4

      Wa kwanza wa nyoko

  • @omaryode6822
    @omaryode6822 9 месяцев назад +108

    Msanii mzur ni yule anaefikirisha zaid kwenye uandishi wake na hii kaka dulla umetisha sana tuliza akil zaidi...big up kaka✍🏻

  • @silviapeason8542
    @silviapeason8542 9 месяцев назад +27

    Tumeshapata mwimbaji bora wa singeri wa mwaka yaani wimbo mzuri,ujumbe mzuri,mpaka video nzuri ❤️❤️❤️

  • @vancharo51
    @vancharo51 7 месяцев назад +2

    Hapa kenya tunaita creativity ila Tanzania mnaita ubunifu niwa Hali ya njuu,jamani mimi mkenya lakini nependa dulla makambila❤❤❤

  • @GiftyMswaja
    @GiftyMswaja 9 месяцев назад +2

    Daah nyieee naombeni like Huyu jamaaaa noma na watu wake wako vizuri yaaan hiii lazimaaaa hiiii ifikishe iwe one so muda au Kesho asbh 🔥🔥🔥🔥📌📌📌

  • @AlfredSenkondo-mi3wf
    @AlfredSenkondo-mi3wf 9 месяцев назад +782

    Oyaa kama unaamini Mwenyezimungu anabariki kila mmoja kupitia jitihada zake usipite bila like kwnye comment hii

  • @Yushimelody
    @Yushimelody 9 месяцев назад +4

    Sasa mbona hii ngoma haingii trending ilivyo ya moto...wapi likes za dulla makabila wanangu wakenya..❤❤

  • @mwljuliuskiwovele
    @mwljuliuskiwovele 9 месяцев назад +4

    Best ever ,huyu jamaa huwa anawaza mbali kuliko tunavyodhani ,kuanzia pita huku,nije nisije na ile aliyoshirikishwa ya peleka gari kituoni ni idea zake ,yaani nyimbo inaelimisha mpaka inaboa na amezungumzia saikolojia ya makuzi ya mtoto akiwa bado yuko tumboni.🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NgwasaMbega-bz1on
    @NgwasaMbega-bz1on 9 месяцев назад +1

    Kila kwenye kufunga mwaka Dulla amekua mtu hatar naona kama inakuwa zawad Kwa watu tuliozaliwa December Keep Up Bro Kila hatua Dua

  • @farajimgunya6468
    @farajimgunya6468 9 месяцев назад +6

    Unajua kuandika na kushoot hizi kazi. big up dulla makabila

  • @BONGOKUMENOGATV
    @BONGOKUMENOGATV 9 месяцев назад +29

    Hakuna mpinzani katika hili dude la kufungia mwaka oya nasemaje nasemaje ikae one otrendng miezi Saba isitoke♥️💥💥💥💥💥💥

    • @HUZZAMSUZNAKISIMBA
      @HUZZAMSUZNAKISIMBA 9 месяцев назад +2

      HUYU MTU MKALI...
      1) JINI GANI?
      2) WAONGO HAOO
      3) PITA KULE
      4) NIME GHAILI KUFA
      5) NIJE AMA NISIJE?
      MAONI: by bin simba sultan LET'S GO 🎉

    • @peterdaviddba
      @peterdaviddba 9 месяцев назад +1

      ​@@HUZZAMSUZNAKISIMBA❤ or

  • @joshualaizer1707
    @joshualaizer1707 9 месяцев назад +5

    Kwa maneno mepesi dulla Hana mpinzani kwenye singeli🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mwajumambonechi498
    @mwajumambonechi498 9 месяцев назад +18

    Nimeirudia hii nyimbo mpaka machozi yamenitoka, hongera sana dullah kwa UJUMBE huu

  • @BabaYaga-io9fo
    @BabaYaga-io9fo 9 месяцев назад +10

    Nimeona vijana wengi wakiimba singeli hila dulla anajua sana❤❤
    Kijana kabarikiwa singeli zinaujumbe kama hizi ni next level

  • @FredyLupatika
    @FredyLupatika 9 месяцев назад +1

    Kilichobora tukipe heshima yake, dullah hana tofauti na 20 per cent, anajua japo ukweli mchungu💥💥💥💥

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx 9 месяцев назад +12

    Makabila ndo wasanii wanaojua maana ya sanaa, hongera sana kaka👏👏👏🔥🔥🔥🔥

  • @masheyn
    @masheyn 9 месяцев назад +5

    Ila jamani huyu jamaa anatumia akili nyingi saaana dah hongera saaana kaka umezaliwa kwaajili ya mzk 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mkili like mje na kwangu masheyn 🎶

  • @starjay3052
    @starjay3052 9 месяцев назад +5

    uwakika hii imeenda na inachukua tena tunzo amini dulla ✅💫🙌🔥🔥🔥🦅✊

  • @PetetIgnas
    @PetetIgnas 9 месяцев назад +5

    Sijawahi kumkataa Dalla linapokuja swala la Ubunifu kwenye ngoma zake

  • @hanssrukwa1604
    @hanssrukwa1604 9 месяцев назад +1

    PITA HUKU NILIHISI umeokota Embe dodo kwenye M'buyu ila hapa unasibitisha kuwa wewe kweli ni mfalme singeli.
    UBUNIFU MKUBWA DULLAH

  • @fatumamustapher5361
    @fatumamustapher5361 9 месяцев назад +5

    Dullah mungu azidi kukujalia nyimbo nzur sanaa yenye uhalisia ktk maisha

  • @MansuleBhai
    @MansuleBhai 9 месяцев назад +103

    KAMA UMEANGALIA HII NGOMA ZAIDI YA MARA MOJA GONGA LIKE 😄🔥🔥🔥

    • @AishaMjiro
      @AishaMjiro 9 месяцев назад +1

      😂😂 😅❤

  • @mrishomaneno6546
    @mrishomaneno6546 9 месяцев назад +35

    Kuna waimbaji wengu wazuri wa singeli ila dullah amewazidi sana .anaubunifu sana wa mziki wake safi sana kaka Mimi shabiki wako.unatoa jiwe unaweka jiwe

  • @machichaally
    @machichaally 9 месяцев назад +1

    Aisee dulla we ni king wa hiyo kitu full creativity nani kaangalia mara kumi kama mimi tujuane hapa.

  • @KudrackAbubakar
    @KudrackAbubakar 9 месяцев назад +6

    Dullah makabila ndo mwanasingeli wangu bora wa muda wote❤❤❤

  • @KassimMbwana-m6i
    @KassimMbwana-m6i 9 месяцев назад +46

    Ubunifu wako ni wa hali ya juu sana na ndio Mana upo tofaut sana na artist wengne bnafs nakubali uwezo wako na namna unavyotuletea vitu vya kipekee big up bro Dulla Makabila Mola akusimamie katk Kazi zako 🙏👊❤

  • @layantizzy8376
    @layantizzy8376 9 месяцев назад +23

    Dulla unafikiriaga sana big up...na director hajaikosea idea yako mmeua sana wakuuuu

  • @hamissmatata8780
    @hamissmatata8780 9 месяцев назад +8

    A king himself. Singeli ipo mikono salama kabisa

  • @dvjachichi6988
    @dvjachichi6988 9 месяцев назад +1

    Hiii ngoma bro umeua sikutegeme big up brooo hujawai kuniangusha unastaili jina la king of singeli

  • @SuleymaniallyAbdallah
    @SuleymaniallyAbdallah 9 месяцев назад +7

    Safi sana dullah nakubali kazi zako singeli wewe ndio the most artist bongo ila njoo bro tuu yote uamepita msamehe mama ❤🎉

  • @mdogomeddytzz1099
    @mdogomeddytzz1099 9 месяцев назад +5

    ❤abdala kaweza 🎉

  • @fourteen_kiid
    @fourteen_kiid 9 месяцев назад +66

    Tufungie mwaka Dullah hii nayo ikawe kali zaidi ya pita huku. 🙏🏾

    • @SaidyJumma
      @SaidyJumma 9 месяцев назад +2

      Kaka nakukubali sana good music bro

    • @fourteen_kiid
      @fourteen_kiid 9 месяцев назад

      ​@@SaidyJummakizazi bro

  • @walterkanje
    @walterkanje 9 месяцев назад +95

    This singeli hit from Dulla Makabila is on repeat mode! 🔄🎵 Unmatched energy and beats that hit different. Dulla, you've done it again! 🙌💥 #SingeliFever #dullaMagic" gonga like hapa.... love from MARS👽

    • @William_ngela
      @William_ngela 9 месяцев назад

      Safi sana ukweli umewaambia mama wa kizazi hiki cha sasa

    • @brothermams28
      @brothermams28 9 месяцев назад

      Song Kali sana Big up from 254🎉🎉🎉🎉🎉

  • @JullieManga
    @JullieManga 9 месяцев назад +2

    Haki ya mungu mm sio mpenzi wa singeli lkn kwa dullah kaz zake nazipenda saana mwamba ana ubunifu wa hali ya juuu dullah atabaki kuwa king tumpe maua yake 💐💐💐💐💐💐💐💐💐

  • @hebeye
    @hebeye 9 месяцев назад +1

    Hongera bro kazi nzuri sana nasubili basata wakuite Tena wakupongeze Kwa kufundisha jamaii

  • @tumainiwanjala8435
    @tumainiwanjala8435 9 месяцев назад +38

    Masterpiece... The real definition of talent and creativity is this guy. Dulla de makabila..⚡⚡⚡⚡⚡⚡

  • @dee61509
    @dee61509 9 месяцев назад +6

    Hii nyimbo inafikirisha sana,,,hongera Dulla kwa masterpiece 🎉

  • @ngonde255
    @ngonde255 9 месяцев назад +5

    Kiukweli kabisa kaka Mimi skupingi wewe ni mwandishi mzuri kweli wewe King of singeli🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @AsiaSaid-iv4pn
    @AsiaSaid-iv4pn 9 месяцев назад +2

    Yaan kwenye singeli hakuna kama wewe jiamini na uzidishe maalifa nakukubali sana bro❤❤❤

  • @anethturinge2472
    @anethturinge2472 9 месяцев назад +2

    waoooh nimependa kiukweli Dullah umejua kunipa rhaaa khaa bi ugwa 😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @issayopeali1816
    @issayopeali1816 9 месяцев назад +42

    King of singeli from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @ligobeatz
    @ligobeatz 9 месяцев назад +9

    Hii ngoma kali kuliko nyimbo zote za msanii mpya wa WCB...

    • @JechaMakameIssa-gs2bl
      @JechaMakameIssa-gs2bl 9 месяцев назад +3

      kitendo cha kufaninisha tu bc bila shaka dogo umemuelewa

  • @JoelIsaya-m9b
    @JoelIsaya-m9b 9 месяцев назад +1

    Dulla unaweza ata wakisainisha akina d voice Mia wewe utaki king of singeli

  • @nathanvinny9698
    @nathanvinny9698 9 месяцев назад +2

    Dullah nakukubali Mimi..all the way kutoka kenya🎉🎉🎉

  • @SimonNdalii-mr6ur
    @SimonNdalii-mr6ur 9 месяцев назад +4

    Salute kaka dulla, top creativity 👍✨✨✨
    🎉😊👏😁👏😃🎉
    Congratulations!

  • @wallaceexpert4081
    @wallaceexpert4081 9 месяцев назад +6

    So creative, Jamaa nakuelewaga sana wewe ndio umenifanya nisikilize singeli napenda ubunifu wako wakipekee

  • @saksenaStone
    @saksenaStone 9 месяцев назад +2

    Makini Sana mwamba Yuko vizuri apewe maua yake ubunifu wa Hali yajuuu wenye ujumbe muhimu kwa dada zetu na mama zetu.safi Sana dulah dua nene

  • @samsonmateru6170
    @samsonmateru6170 9 месяцев назад +2

    Umetendea haki maana halisi ya fasihi umeburudisha ,umefundisha,na pia umekosoa jamii safi sana hope ujumbe umefika salama unakitu cha kipekee sana na pia unafanya singeli inaonekana na kuwa na ujumbe wa kufundisha kbs big up God bless you

  • @MarthaWensenclous-ud8gh
    @MarthaWensenclous-ud8gh 9 месяцев назад +2

    Aiseeee hongera sana umejua kwakwel

  • @KhamisAli-k6s
    @KhamisAli-k6s 9 месяцев назад +4

    King of singeliii na mafunzo ndani yake kwenye huu wimbo

  • @kingofsingeliinkenya
    @kingofsingeliinkenya 9 месяцев назад +6

    Natoka Kenya namukubali dullah makabila Sana lakin
    Nacho sema haniezi kwa singeli aky am from Kenya king of singeli in Kenya 👑

  • @issaadamu9847
    @issaadamu9847 9 месяцев назад +4

    King Of singeli 👑 hongera makabila

  • @sulexhtechnician7950
    @sulexhtechnician7950 9 месяцев назад +1

    Ujuee dula ana ki2 cha kipekee sana kwenye mziki wake me ni msanii ilaa kk nakupa mauwa yako🎉🎉🎉

  • @rashidamohamed9927
    @rashidamohamed9927 9 месяцев назад +1

    Wewe kiboko huna bayaa kubwa rama duii wa singeli hantariii kibokoyaooo 🔥🔥🔥🔥🙏💪💪💪💪💪

  • @hassaningalo6760
    @hassaningalo6760 9 месяцев назад +5

    King of singeli

  • @richardmagala6734
    @richardmagala6734 9 месяцев назад +30

    Kama umerudia kuangalia zaidi ya mara mbili gonga like

  • @rachemwapongo
    @rachemwapongo 9 месяцев назад +7

    KING OF SINGELI ,IGWEEEEEEEE unajua ,unajua ,unajua tenaa❤❤❤❤❤

  • @giggaflo
    @giggaflo 8 месяцев назад +1

    Dullah umewazidi wengi kwenye eneo la ubunifu. Wewe ni singeli Icon

  • @BarakaElia-rp6gr
    @BarakaElia-rp6gr 5 месяцев назад +1

    Dulla ndo mond wa singeli❤

  • @salamasaidi1876
    @salamasaidi1876 9 месяцев назад +82

    Not only king of singeli but also king of creativity 🙌

  • @ZachariaEmanuel
    @ZachariaEmanuel 6 месяцев назад +2

    Dullah mbona lawama hebu punguza kulia mwana 🎉🎉🎉

  • @lenniekim
    @lenniekim 9 месяцев назад +16

    Mfalme wa singeli🔥🔥Toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 tunakutambua dulla

  • @aaysays325
    @aaysays325 9 месяцев назад +2

    Wimbo uko saw dullah unajua sana hongera kwa ubunif

  • @ogechilinus1
    @ogechilinus1 9 месяцев назад +2

    Nakukubali sana mdogo wangu. Shabiki wako kutoka kenya

  • @salumuhafidhimtabe420
    @salumuhafidhimtabe420 9 месяцев назад +4

    Dullah Makabila the King of Singeli especially in the matter of Creativity

  • @meshackkangwe3414
    @meshackkangwe3414 9 месяцев назад +4

    Umeshindikana dulla asee we ni 👑 of singeri 🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @lssaboy
    @lssaboy 9 месяцев назад +4

    Dulla mbunifu sana❤❤❤

  • @shamisadiki5264
    @shamisadiki5264 9 месяцев назад +2

    Hongera sana Dulla kwa kaz nzur na inafundisha pia

    • @JumaSekuba
      @JumaSekuba 9 месяцев назад

      ❤❤❤❤❤

  • @minahzaveri2817
    @minahzaveri2817 9 месяцев назад +2

    Waoooh ni ukwli mtupu umeibwa ❤ i like it❤❤ maua yako dulla🎉🎉

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 8 месяцев назад +4

    This is love 💪🔥🤝 from Moçambique 🇲🇿

  • @paulasoka1596
    @paulasoka1596 9 месяцев назад +5

    Safi sana ❤ nyimbo inaujumbe mzuri mno

  • @Silverado557
    @Silverado557 9 месяцев назад +6

    Leo humu mpaka kieleweka Kila m2 wakwanza hii movie 🔥🔥🔥🔥

  • @ISAACLEVIS
    @ISAACLEVIS 9 месяцев назад

    Kali iyo nazwi yango depuis Congo Kinshasa ya 🇨🇩

  • @visanasimulizi
    @visanasimulizi 9 месяцев назад +1

    Hapana, hapana na hapana tena, Dulla Baba umetisha sana, bonge la wazo. Kitu kikubwa sana.

  • @estonsmart
    @estonsmart 9 месяцев назад +4

    Bonge la Funzo kwa Dadazetu. Your Genius Bro 🔥🔥

  • @armandoleonardo6966
    @armandoleonardo6966 9 месяцев назад +22

    Makabila é muito criativo e assim é bom, Força aí.🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @elijahclassicboy8228
    @elijahclassicboy8228 9 месяцев назад +18

    ❤❤❤❤❤❤❤from Kenya 🇰🇪 😍 🙌 big up king of sigeli🎉🎉🎉

  • @marymassine1747
    @marymassine1747 9 месяцев назад +2

    Dullaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa eeh mwanangu umeuwa sana ❤

  • @Joe-k9k8z
    @Joe-k9k8z 9 месяцев назад +1

    Mkome kumfananisha dullah na vikolokolo vya ajabu kwenye mziki wa singeli👊👊

  • @zuhuramwachangu4102
    @zuhuramwachangu4102 9 месяцев назад +7

    Dulla Dulla Dulla....keep doing the good work 👏🤝..we Kenyans love you❤

  • @AloyceMathayo
    @AloyceMathayo 9 месяцев назад +10

    Uuunyama ni mwingii mzee uuliouufanya humuu..hit song on fire 🔥🔥❤️

  • @jeremiahmhini7729
    @jeremiahmhini7729 9 месяцев назад +8

    Creativity is on 🔥🔥

  • @imaxshine2210
    @imaxshine2210 9 месяцев назад +2

    dulla you are the next level broo, hii singeli ingitwa dulla tuache iyo singeli uitwe mziki wa dulla

  • @Chimpaga_Tv
    @Chimpaga_Tv 9 месяцев назад +1

    Daaah makabila wee kweny singeli tukuache tu na kwakweli hata hao wanaokupinga wanastahili kukupa heshima yako unafanya makubwa kakaa salute sana mkuu!!

  • @MathayoSaba
    @MathayoSaba 9 месяцев назад +6

    Kweli huy ndo King of singeli🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @issayariwa6871
    @issayariwa6871 9 месяцев назад +7

    Gonga like hapa🔥🔥🔥 from makabila fans

  • @BFM_Udzungwa
    @BFM_Udzungwa 9 месяцев назад +3

    King of singeli 🙌🙌🙌🚀🚀🚀🚀🔥🔥🔥🔥

  • @levocatuspjohn8638
    @levocatuspjohn8638 9 месяцев назад +2

    Dah ubunifu wa hali ya juu ujumbe mzuri ❤❤❤

  • @bonhommeOfficial
    @bonhommeOfficial 9 месяцев назад +1

    Daaaah Dulla makabila heee umenikosha sana kupitia hii nyimbo kama mimi nisingeli kuja duniani upewe mauwa yako

  • @mwanahamisbeku4094
    @mwanahamisbeku4094 9 месяцев назад +10

    Goma la kufungia mwaka na kufungulia mwaka 🔥🔥🔥

    • @warundaomary94
      @warundaomary94 9 месяцев назад

      Dulla,dulla dulla, nimekuita mara 3,
      Hii ni🔥🔥🔥🔥