Mahakama panakuusu tena maan hapa kwetu bongo ukisema ukweli unaonekana kama unatukan kumbe ndo kipaji chako onger sana kwa nyimb nzuri likes kama zote hapa😊
Hapa sasa tusubiri waliotajwa kwenye tuzo kupanik😂😂😂, na wakipanik tu, basi wanaipaisha hii nyimbo... kuna tuzo haijulikani aandikwe wa kike au wa kiume😂😂😂 ila dulah kwa ubunifu😅🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Hii video bila pili sii kitu..!! Nimejaribu kifikiria nani angefiti sijaona kwa haraka haraka..!! Pili pokea mauwa 🎉🎉🎉 yako umeuwa sana humu..!!! ❤❤❤❤ Much love for you ..!!!!
Bro, cjui niseme nn ila Kwa ubunifu wako wa cku zote hujawah kuzingua! Ww n More than Fire...unajua Sana kaka! Yan kiukwl nimesikiliza Ngoma yako mwanzo mwisho nakenua 2 mpaka najishtukia....Broooooo! Unajua sanaaaaaaaaa!
Daaah Dulla makabila mahali umezingua kwenye huu mziki DAKIKA NI KIDOGO ilitakiwa ata nusu saa 😔 Au ndo ile Watoto wa elfu 2 wanasemaga fupi tamu ndefu inakera 😂😂😂😂 , MAKABILA we usishindanishwe na mtu kwenye singeli we Ni Chriss brown wa singeli , kama ni football we ni Messi wa singeli ! 🫅🫅🫅
Singeli na taarab kwa sasa ndo mziki uliobak asili ya Tanzania....Dula peperusha bendera ..kweny hiphop kabaki roma....bongo flava wametusaliti wamekimbilia amapiano
Jaman dulla kwa ubunifu tu awakupatiiii baba
Nipeni like hata 10 tu😢
Sema uyo mdada ulio ongazanane nae katendea akiki kipengele chake. Anajua kuigiza sana
"Hii tunzo niachieni mimi tunzo ya msanii anayependa waganga"😂😂 Brother Dull bwana.
Dulla we kweli mtoa tuzo ❤❤ trending no:1 konde chini,mondi chini, zuchu chini💯🤝🤳
Huyu jamaa kama mchawi vile kila akitoa nyimbo lazima iwe namba1 trending youtube
Dah manganese wake fundi
Wewe uumesha sikia tunzo ya msanii anayependa waganga mumwachie bado unauliza swali kama hili 😊😊😊😊
KUDADADEEEEEEEKIIIIIIIIIII!!!!!! wewe kweli King wa Singeli, HANDS UP!!! 🙌🙌🙌
Dullah Makabila nimekupitisha rasmi ww ndio King of Singeli
Kama umeirudia kuangalia zaidi ya mara moja gonga like
Mm nisiseme uongo 😂😂😂
Mimi nimesikiliza kwa makini hatar 😅ila haijaisha jmn
Yaaan hii motooo
ruclips.net/video/3lGHQkjt-rk/видео.htmlsi=QFkY7zlac5O1zz2L
Nmerud zaid ya mar2
Tuzo ya uvumilliv kwa fahyma umepatia baba💯❣️❣️❣️❣️❣️❣️
Swadataaaaa
Jamaa anaandika uyuu na kweli ni king of singeli🎉🎉
Leo ndio nimemvulia kofia anastahiki kuitwa king of All time wa Singel
Nimeipenda
Narudia tena wewe ndio Mfalme wa singeli ndio msanii pekee mwenye ubunifu mkubwa unafnya vitu ambavyo ni ngumu kufikilika big up sna kk Dulla🙏🙏🙏👊
Daaaaah dulla shikamoo daaaaaah 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 shikamoo kaka akuna kama wewe apa Tanzania aiseeeee daaaah
Huyu dada hapo nyuma naomba like zake hapa 😂
Tujuane tuliokuja hapa bahada ya dulla kuomba wasani wenzio watoe nyimbo ili ashuke trending😂😂😂
Hapo kwenye Konde boy kupenda makalio 🙌🏼🔥❤️😂😂nyimbo nzuri sana❣️🌹💐
Aaah nyieee singeli aachiwe dullah tu 😂😂😂😂is there a way i can like more than one time 😊 mwambaaa❤❤🎉🎉🎉
Yaan ni hv wasanii wa singel mtasubr sana kwa huyu mwambaaa😂 ni habar nyingine😊
Makabila to the world
Huyu msanii ndio alinifanya niwe mpenzi wa singeli
Receive pure love from 254
hata sijachoka na pita huku...ushaangusha nyengine kali...nakubali love fro 254
Dulla ndio atakuwa msanii kwanza wa singeli kupata Million subscribers kama unaamini weka like
Dula apewe heshima yake mziki wa singeli ameushikiria na ndo msanii wa singeli aliendelea na anaepanda ndege akiwa anaenda katika show zake🔥🔥🛬💥💥💥🇹🇿
Sema wee jamaa ni Mbunifu sana,, na Haurudiagi Idea ikipita imepenya ngoma inayofuata unakuja kivingine tena 🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Mimi nakupa TUZO ya UBUNIFU🏆🥇
Kwenye singeli huna baya mwangu ur so creative...
Pamoja sana kk
Bado ipo 1 trending 🔥🔥🔥
Huyu jamaa awezekani najua kuna star unasoma hii comment Ongezeni dawa na Ubunifu ila sio simple kumshusha
Umemskia mwenyewe yuakwmbia apenda waganga🤣🤣
Daah kiukweli anacreativity anamziki wapeke yake
Sipend singeli ila huyu jamaa ni king of singeli kweli
Mahakama panakuusu tena maan hapa kwetu bongo ukisema ukweli unaonekana kama unatukan kumbe ndo kipaji chako onger sana kwa nyimb nzuri likes kama zote hapa😊
Usanii n kutengeneza vitu ambavyo tusio wasanii hatuezi kufikiria,,,,,,, respect Sana dullah,unakitu kikubwa mno,,naomba upate hata kitengo serikalini❤
jamaa anajua ban eka like hap kam unamkuali dulla
😂👍
Hapa sasa tusubiri waliotajwa kwenye tuzo kupanik😂😂😂, na wakipanik tu, basi wanaipaisha hii nyimbo... kuna tuzo haijulikani aandikwe wa kike au wa kiume😂😂😂 ila dulah kwa ubunifu😅🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Mzeee we ndo king of singeli tumemaliza mjadala
Kam pita huku ivyoendaaa hiii noma zaidi
Ila nakupenda sana dullah Huna baya kwa singeli
Nmerudi tena n kama dulla ako na ndumba😂😂😂😂😂
Mboso ndani ya crown much love Peace must Conquer 🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu jamaa akuna anaye muweza kwa singeli
Napenda nyimbo za dulla🔥🔥🔥🔥🤚🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Unajua sana mashair dullah hapo kwa mbosso nmejua kucheka
😂😂😂
Sikutegemea Singeli inaweza kufinywangwa vizuri namna hii. Umeua
Dullah. Toa mwendelezo TUZO bado nyingi sana haujazigawa.
Kabisa yaan😢😢😢😢 ameacha wengi
Yaani nimeangalia mpaka watoto wakasema Mama basi ❤❤
Unajuaaa sanaaa dullaaa🎉🎉❤
Nimekuja tena Leo kwa mwanetu King 👑 of singeli👑
Huyu mwamba ni creative sana 🎉🎉🎉🎉🎉
King of singeli🙌🙌🙌 big up sanaaaaa
Video queen jmn❤️❤️🔥🔥
Nyimbo tamu alafu fupiiii😭😭😭
TOA #TUZO PART TWO🔥🔥🔥
King of singeli makabila worldwide 🌐 🙌🏾
Makabilaaa namkubaliii sanaaaa Kwanzaa uyuuu angesainiwa wasafiiii laaaa angetishaaa sanaaa
Dulla we ni mfalume wa singeli ❤❤❤
Jamaa anajua sjawah kucomment Toka nizaliwe ila makabila anajua bhna 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jini jini jini nimekuita mara tatu wewe ndio king wa singeli
Huyu jamaa n mbunifu mpaka anakeraa
We msenge unajua sana salute 👑👑👑👊👊👊
Dulla unajua unajua tenaa😂😂😂😂😂😂......TUZO UNASTAHILI KUPEWA🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
MM NIMEJUA NI INTERVIEW KUMBE NI WIMBO😂😂🙌🏽UPEWE TUZO KWA HII NGOMA🏆
Hahaha😊😊😊😊😊😊😊
Oy huu wimbo haujaisha ongeza verse
Hii video bila pili sii kitu..!! Nimejaribu kifikiria nani angefiti sijaona kwa haraka haraka..!! Pili pokea mauwa 🎉🎉🎉 yako umeuwa sana humu..!!! ❤❤❤❤ Much love for you ..!!!!
Dula🎉🎉 nakupend sn unawez kubun ww kijan ituz ya niachie mm nawapend waganga
Dulla ni among the best anainua mziki wa singeli chimbuko la Tanzanian ❤❤❤❤
Bro, cjui niseme nn ila Kwa ubunifu wako wa cku zote hujawah kuzingua! Ww n More than Fire...unajua Sana kaka! Yan kiukwl nimesikiliza Ngoma yako mwanzo mwisho nakenua 2 mpaka najishtukia....Broooooo! Unajua sanaaaaaaaaa!
Makabira ni mmoja2 tz nzima💥💥💥💥
😂❤😢😢🎉😅😅 bro wewe ni m'bunifu kuliko maelezo respect kwako
Eti tuzo ya msanii anae penda waganga niachienii mimi dadeq🤣
😂😂😂😂
Wa fans wa fayvan tujuane here 🙏🙏❤️kapewa tunzo ya kweli
Nimependa body language na facial expressions za dada wetu mshika tuzo😂
Ongera sana dogo upo vizuriii nakukubaliii sna
Msenge akiotea anaotea kweli kwa mara ya kwanza naanglia video yako zaid ya mara moja big up broo
iko saf kaweza 🙌
Hii ndio maana halisi YA content,from now on nimekua shabiki yko much love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Fayma ifanyie challenge hii nyimbo 😂😂❤
Nikisikia tu dulla makabila ameachia ngoma,hata kwa bando la mkopo lazima niitafute siku hiyohiyo
Mela tuko pamoja mjomba kazi ❤
Muimba singeli mwenye ubunifu mkubwa sana
Daaah Dulla makabila mahali umezingua kwenye huu mziki DAKIKA NI KIDOGO ilitakiwa ata nusu saa 😔 Au ndo ile Watoto wa elfu 2 wanasemaga fupi tamu ndefu inakera 😂😂😂😂 , MAKABILA we usishindanishwe na mtu kwenye singeli we Ni Chriss brown wa singeli , kama ni football we ni Messi wa singeli ! 🫅🫅🫅
dullahaa tisha sanaaaa💯💯💯 nipe tuzo na mm😂😂😂😂😂😂
Dulla ndo king of singeli Tanzania ila tunataka mwendelezo wa iyo nyimbo ❤❤😂
Mbosso mshedede kachukua ya kuzaa kama paka 😂😂 dulla bna 🙌
hehehehehehehehehheeheheh
Huyu ndo mwamba wa singeli nyimbo haishuki trend mpk Leo wiki ya pili kazi Safi sanaa
YES ❤
Mpka leo ipo namba 1 trending dulla chukua maua yako🌹🌹🌹
Huyu jamaaa anacontent sanaaaa ameifanya singeli isikilizwe na kila rikaaa
Huyo Dada hapo nyuma kaupiga mwingi sana
😂😂😂😂😂😂
Sema nimempenda uyo dada
😂😂😂
Noma sana haki aitwe king singel
🔥🔥🔥🔥🔥makabila unaweza kwa sana bro haswa upande wa content umeua we ndo king of singeli bro iyo tuzo chukua we
King of singeli, lazima utimaze zaidi ya Mara moja💪💪💪
Singeli na taarab kwa sasa ndo mziki uliobak asili ya Tanzania....Dula peperusha bendera ..kweny hiphop kabaki roma....bongo flava wametusaliti wamekimbilia amapiano
Lokole 2muandike mume au mke😂😂ila dula 2po na ww na wanasheria 2takutafutia😅🙌🙌ety mbosso anazaa kama paka🤣🤣
Fundiii 💥💥👋
huu ni ubunifu wa hari ya juu sana 🎉🎉🎉❤
Ujumbe mzur Tena ukweli mtupu umewapa tunzo zaoooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
support shabiki dulla iingie 1 trending
Imechukua MDA mref kugundua kwamba mboso ndo mtu pekee aliechukua tuzo ya kipumbavu kuliko wote kwenye hii nyimbo
Duuu nimeiangalia zaidi na sichoki daaaa❤❤❤❤
daaah wemwamba ndiomaaan king 👑 alitaka kukufanyia umafia
Dulla ni balaaa sana khaaa, huyu ndo anafanya nifatilie singel
Kwenye ubunifu hakuna wa kulinganisha
🫡🫡
Huyu dada in Nani.anajua kuchangamsha wimbo well done 🎉🎉🎉❤❤
Muigizaj huyo kitimutimu
😂😂nimerudia si chini ya mara tatu 🔥
big idea
video zako hazichoshi ...KING OF SINGERI
Yani makabila nakukubali Sana wewe king of singer Yani unajua mpaka kelo 📌
Mmmh 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏we noma master