BENCHIKHA AMVUTA MBADALA WA CHAMAI/ UONGOZI WAMKUBALI/ KUTAMBULISHWA RASMI UNYAMANI/ AMECHEZA ULAYA!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 янв 2024
  • “Chama ni kati ya wachezaji ambao kocha amewaondoa katika mipango yake, hivyo kama taratibu zikikamilika basi tutamsajili katika dirisha hili dogo,”
    Rekodi zinaonesha kwamba, nyota huyo kwa sasa ni mchezaji huru baada ya mkataba wake na Paide kumalizika, huku akiwa amewahi kucheza Nomme United ya Estonia, Ararat Yerevan (Armenia), SC Noravank (Armenia), FC Sevan (Armenia) na Real de Banjul ya kwao Gambia.
    --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #simbasc #ahmedally #usajilisimbasc
  • СпортСпорт

Комментарии • 32

  • @user-zp7ky7lj1m
    @user-zp7ky7lj1m 6 месяцев назад +2

    Kuna maisha emngine baada ya Chama bhana.

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 6 месяцев назад +3

    Makocha wote hawamtaki😂😂 aende tu tumemchoka

  • @kachiraeliya837
    @kachiraeliya837 6 месяцев назад +3

    Chama hana nidhamu kwa viongozi wake,,pia Chama nichawa wa yanga huyo,,aondoke atuachie Simba yetu,,hatuna muda mchafu wakumkumbuka chama,,

  • @allysudi6401
    @allysudi6401 6 месяцев назад

    nimchezaji mzli ila inapofkia sehem tukosiliasi na timu ytu bac chama aende wpo wengi wanaitaka simba naniwachezaji wazli2 atumbembelez m2

  • @mohamedmatewele9185
    @mohamedmatewele9185 6 месяцев назад +4

    Angekuwa na uchungu na simba asingetuletea njama za kuiujumu,manara anampotosha sana

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv 6 месяцев назад

    Aondoke kwanza anashirikiana na Manara msaliti wa Simba hatumtaki.

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 6 месяцев назад +1

    Yanga wanapambana kuvuruga simba na chama ili wamsajili akiwa huru

  • @shabanimwinyikhery1174
    @shabanimwinyikhery1174 6 месяцев назад +1

    Simba nguvu moja

  • @user-vu4ec8ox4w
    @user-vu4ec8ox4w 6 месяцев назад

    Chama kweli chama aliye kuficha ila baadhi ya wanachama wengi ni vipofu kwa chama wala hawajui nn chama anaigalimu timu aende tu huko utopolo

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 6 месяцев назад

    WaColombia vipi mbona alivuma sana sasa naona kimya.

  • @pendolingi9055
    @pendolingi9055 6 месяцев назад

    Chama abaki tu kafaja megi Sana

  • @twalbuhaji
    @twalbuhaji 6 месяцев назад

    Asepe

  • @othmansharif6883
    @othmansharif6883 6 месяцев назад +5

    Chama kaiharimu sana migogoro na migomo mingi Nichama mana aliotesha mizizi kuanzia kwa wachezaji wenzake mpaka kwa baadhi ya viongozi

  • @user-vu4ec8ox4w
    @user-vu4ec8ox4w 6 месяцев назад

    Manara faratu wala hafai tena mshenzi muache amchukue huyo chama akafanye msukure cc hatua je na simba yetu wamepita wengi tena wazuri kama chama chama hanajivunjie heshima mwenyewe

  • @alsonmwangwale7099
    @alsonmwangwale7099 6 месяцев назад +1

    Manara atamsajili

  • @user-kt9xf2rw5x
    @user-kt9xf2rw5x 6 месяцев назад

    Asapee

  • @OsimundMahundi-he9fl
    @OsimundMahundi-he9fl 6 месяцев назад

    Chama na simba nani mkubwa

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 6 месяцев назад

    Aende tu

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig 6 месяцев назад

    Ubola wakikos ndio utaamuwa mtapgwa tena

  • @chepason7212
    @chepason7212 6 месяцев назад

    Bado boko

  • @EbenezaEbenezah-nx1ll
    @EbenezaEbenezah-nx1ll 6 месяцев назад

    yy ninan aende

  • @user-ro8ff3jj3q
    @user-ro8ff3jj3q 6 месяцев назад

    Jamani tutajuta muacheni chama. Huyu ni familia yetu ni.mtoto.wetu anuchungu na simba

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 6 месяцев назад +1

      Ninyi ndio mnawafanyaga watu miungu

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 6 месяцев назад

      Hakika Chama sio mtu wa kuachwa kwa figisu ivo

    • @nswilahebronhans9550
      @nswilahebronhans9550 6 месяцев назад

      Mwenye mapenz ya kweli na timu ni shabiki na mwanachama wa timu husika wachezaji na viongoz wanapita tu chama ni wakati wake kuondoka ni kirusi kibaya ndan ya simba

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 6 месяцев назад

      @@nswilahebronhans9550 ingieni kweny mtego wa utopolo

    • @nassirnassor8603
      @nassirnassor8603 6 месяцев назад

      Mpeleke kwenu Kama ni familia yenu

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 6 месяцев назад

    Achana na chama kafanya makubwa..izo figisu tunazijua

    • @adammwandambo4143
      @adammwandambo4143 6 месяцев назад

      Kafanya makubwa lakin Hana akili kabisa,anafata akili za watu kuliko professional yake