BENCHIKHA AMVUTA MBADALA WA CHAMAI/ UONGOZI WAMKUBALI/ KUTAMBULISHWA RASMI UNYAMANI/ AMECHEZA ULAYA!
HTML-код
- Опубликовано: 8 янв 2024
- “Chama ni kati ya wachezaji ambao kocha amewaondoa katika mipango yake, hivyo kama taratibu zikikamilika basi tutamsajili katika dirisha hili dogo,”
Rekodi zinaonesha kwamba, nyota huyo kwa sasa ni mchezaji huru baada ya mkataba wake na Paide kumalizika, huku akiwa amewahi kucheza Nomme United ya Estonia, Ararat Yerevan (Armenia), SC Noravank (Armenia), FC Sevan (Armenia) na Real de Banjul ya kwao Gambia.
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#simbasc #ahmedally #usajilisimbasc Спорт
Kuna maisha emngine baada ya Chama bhana.
Makocha wote hawamtaki😂😂 aende tu tumemchoka
Chama hana nidhamu kwa viongozi wake,,pia Chama nichawa wa yanga huyo,,aondoke atuachie Simba yetu,,hatuna muda mchafu wakumkumbuka chama,,
nimchezaji mzli ila inapofkia sehem tukosiliasi na timu ytu bac chama aende wpo wengi wanaitaka simba naniwachezaji wazli2 atumbembelez m2
Angekuwa na uchungu na simba asingetuletea njama za kuiujumu,manara anampotosha sana
Aondoke kwanza anashirikiana na Manara msaliti wa Simba hatumtaki.
Yanga wanapambana kuvuruga simba na chama ili wamsajili akiwa huru
Simba nguvu moja
Chama kweli chama aliye kuficha ila baadhi ya wanachama wengi ni vipofu kwa chama wala hawajui nn chama anaigalimu timu aende tu huko utopolo
WaColombia vipi mbona alivuma sana sasa naona kimya.
Chama abaki tu kafaja megi Sana
Asepe
Chama kaiharimu sana migogoro na migomo mingi Nichama mana aliotesha mizizi kuanzia kwa wachezaji wenzake mpaka kwa baadhi ya viongozi
Manara faratu wala hafai tena mshenzi muache amchukue huyo chama akafanye msukure cc hatua je na simba yetu wamepita wengi tena wazuri kama chama chama hanajivunjie heshima mwenyewe
Manara atamsajili
Asapee
Chama na simba nani mkubwa
Aende tu
Ubola wakikos ndio utaamuwa mtapgwa tena
Bado boko
yy ninan aende
Napale simba watakimbia wengi wenyiwe
Jamani tutajuta muacheni chama. Huyu ni familia yetu ni.mtoto.wetu anuchungu na simba
Ninyi ndio mnawafanyaga watu miungu
Hakika Chama sio mtu wa kuachwa kwa figisu ivo
Mwenye mapenz ya kweli na timu ni shabiki na mwanachama wa timu husika wachezaji na viongoz wanapita tu chama ni wakati wake kuondoka ni kirusi kibaya ndan ya simba
@@nswilahebronhans9550 ingieni kweny mtego wa utopolo
Mpeleke kwenu Kama ni familia yenu
Achana na chama kafanya makubwa..izo figisu tunazijua
Kafanya makubwa lakin Hana akili kabisa,anafata akili za watu kuliko professional yake