MZEE MAGOMA: AJIBU HOJA YA KUGUSHI SAHII"WAKASHITAKI KAMA WANAUSHAHIDI" | ENG.HERSI ALINIITA TAPELI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Комментарии • 51

  • @user-jh6qz5fo1c
    @user-jh6qz5fo1c Месяц назад +1

    hutopata chochote amin,,,,mmezoea kula mali za wanachama,,,,, engineer daima mbele

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Месяц назад

    Mzee ana hoja sana

  • @YusuphKatagala-y9v
    @YusuphKatagala-y9v Месяц назад

    Mzee Acha ukolofi na usiturudishe nyuma

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Месяц назад +1

    Huyu Mzee Magoma ana Madini asikilizwe sasa,
    Wale wenye akili wamekuwa watatu,😂😂😂

  • @user-tf8mz9yx9s
    @user-tf8mz9yx9s Месяц назад +1

    Uyu mzee ana finywa nawachawi

  • @user-cw8yt9pr8j
    @user-cw8yt9pr8j Месяц назад

    mze unaojaa🎉🎉💐💐💐

  • @user-cw8yt9pr8j
    @user-cw8yt9pr8j Месяц назад

    Mzee kweri Wana umizaaa sana

  • @mbaroukkhalfani9244
    @mbaroukkhalfani9244 Месяц назад

    Njaa ikipanda kichwani ni kazi kweli😊

  • @sekelo1207
    @sekelo1207 Месяц назад +2

    Mnao mtukana acha bali jengeni hoja

  • @ExecutiveHouseKeeperElewana
    @ExecutiveHouseKeeperElewana Месяц назад

    We mzee Huna hoja

  • @josephmwise3177
    @josephmwise3177 Месяц назад +1

    Wewe ni tapeli , tapeli ulimuomba pesa akakunyima,lkn za mwizi ni 40 sasa zimefika.kwanza huna kazi ni mzururaji tu.

  • @stevenjackson4985
    @stevenjackson4985 Месяц назад

    Mpaka sasa sijamuona mtu yeyote anayemjibu huyu mzee kwa hoja Wala anayemjibu hoja zake bali wanamtukana tu.

  • @sekelo1207
    @sekelo1207 Месяц назад +1

    Ana haki ya kutoa dukuduku lake, NI haki yake ya masingi

  • @dkasfilmstudio4641
    @dkasfilmstudio4641 Месяц назад

    Mzee Ana hoja mojaa tuu ya Hersi ni Muajiriwa wa GSM na ndio msimamizi wa club

  • @zully756
    @zully756 Месяц назад +1

    Acheni ugomvi , bora mgawane , wewe chukua yanga queens sisi tuachie yanga yetu

  • @yohanadavid8055
    @yohanadavid8055 Месяц назад

    Mzee akapimwe akili haraka,.msaidieni

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw Месяц назад

    ulaaniwe mzee Mangoma
    mnafiki wewe unataka kuaribu
    Yetu ee Mungu tuondelee adui huyu

  • @wasiahashim7913
    @wasiahashim7913 Месяц назад +1

    Mwehu huyo hana agenda ya maana

  • @amanmohamed220
    @amanmohamed220 Месяц назад

    njaa inamsumbua kila mwaka uyo

  • @janetybubegwa5272
    @janetybubegwa5272 Месяц назад

    Mzee ana Hoja na anajielewa..

  • @wasiahashim7913
    @wasiahashim7913 Месяц назад +1

    Na vipengele vitaendelea kuwepo na hutopata chochote mjinga ww

  • @user-tf8mz9yx9s
    @user-tf8mz9yx9s Месяц назад

    Choko uyoo

  • @wasiahashim7913
    @wasiahashim7913 Месяц назад +1

    Hakuna chochote atakachofanikisha huyo mwehu

  • @musamakuhana2200
    @musamakuhana2200 Месяц назад +1

    Huyu mzee anaongea km kwamba anamanisha yanga ni yakwake kenge huyu

  • @user-tf4tw8xb6o
    @user-tf4tw8xb6o Месяц назад +1

    Kuendelelea kuongea na huyu mtu unaonyesha nijinsi gani wewe mwenyewe ni mtu wakutiliwa mashaka

  • @wasiahashim7913
    @wasiahashim7913 Месяц назад +1

    Njaa zinakusumbua ww na hutopata chochote

  • @wasiahashim7913
    @wasiahashim7913 Месяц назад +1

    Na kweli ni tapeli wewe nani na hata ukienda mahakamani huwez kupata chochote kile

  • @BaruaHassani-vt7lc
    @BaruaHassani-vt7lc Месяц назад

    Uyu mzee nais atafuta umaarufu 2 Ana lolote fala uyooo

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 Месяц назад

    Hapo Yuko huru kuongea atakapo banwa atasema Yote
    Anatapata ni kigeugeu atajuta. Watamgeuka Walio muongoza kutaka kuivuruga YANGA

  • @AloyceNdalije
    @AloyceNdalije Месяц назад

    d 5:33 ainasikitisha sana huyu Mzee anaongea fact sana kwajiri yawanayanga nawatanzania kwaujumra

  • @givembwilo141
    @givembwilo141 Месяц назад

    kwani yanga wanasemaje?

  • @DavidMbise-zr6yu
    @DavidMbise-zr6yu Месяц назад +3

    Huyu Mzee asikilizwe ana vitu vya maana na kuanzia Leo natangaza kuwa Yanga wenye akili 3 na Mzee Magoma

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 Месяц назад

      Hana ata kimoja, vyote hoja dhaifu, ni utapimlo ndio unaempelekesha.
      Hana ata moja mirija imefunga, 10% haipo.
      Wewe upewe Yanga unaouwezo wakumlipa Aziz Ki?
      Wkt pesa ya Dona mgogoro.
      Huyu mwanga unashindana na milioni ya watu kwa wewe mtu mmoja watu wakufuate wewe.

    • @yohanadavid8055
      @yohanadavid8055 Месяц назад

      Mzee akapimwe akili haraka na mashoga wanaomshabikia humu.

  • @mwanangusana
    @mwanangusana Месяц назад

    Eti waonane chini ya kapetiiii 😂😂😂😂 .....hupewi chochote katafute kichaka ulimeee

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Месяц назад

    UNAMUONA MWANDISHI WA HABARI MWENYE MAPENZI NA SIMBA AMEJIFICHA USO

  • @ashaabdi4026
    @ashaabdi4026 Месяц назад +1

    kufaa mbwa wewe

  • @Kilimahewa.Mgululi-qr5mb
    @Kilimahewa.Mgululi-qr5mb Месяц назад

    We mzee unajionyesha ni njaa tu inakusumbua,kama kweli ww unatetea masilai ya timu kiujumla iweje unaitaji ukae na hersi chini ya kapeti,kwanini usitutangazie wanachama wenzio twenden tukauone uongoz wa timu yetu kwa hizo hoja unazosema?.pia wawakilishi wa 5 ni wengi sana katika kila tawi,wengine tunafatilia mtandaon,kwan huon hata majimbon kwetu anatoka mwakilishi mmoja tu kuwakililisha wanajimbo wote serikalin uko bungeni.sasa mwambie na rais kuwa wananchi tunataka kwenda kuwakilisha jimbo sisi wote na si mtu mmoja tu.ukikubaliwa kule serekalin ndo uje kwa yanga.

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 Месяц назад

    Msikilizeni muyamalize msimpuuzie

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Месяц назад

    Wengi tunapenda uongozi wa yanga wa sasa.

  • @ashaabdi4026
    @ashaabdi4026 Месяц назад

    we mzee yanga ni yako fala wewe..et ulitaka usiipeleke asa mbona urirudi mahakamani kukazia hukumu.ww unashindwa uchawa ili upewe pesa fala wewe

  • @ezekielmwakyagi9330
    @ezekielmwakyagi9330 Месяц назад

    magoma umeongezeka wenye akili sio hao hip hop

  • @SaidRajhi-ev3hm
    @SaidRajhi-ev3hm Месяц назад

    Huo ni UZONGENDABA

  • @user-gy5fo6zv6w
    @user-gy5fo6zv6w Месяц назад

    Ebu toa busha rako apo,, mzee wa hovyo kabisa

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад

    MAGOMA APEWE MAUA YAKE KWAKUITETEA TIMUYETU ,😂😂😂HERISI TOKA TUACHIE TIMU YETU 😂😂

  • @user-qy4po8rv1l
    @user-qy4po8rv1l Месяц назад

    Watanzania tumezidi upole huyu bado yupo na anavuta pumzi

  • @wasiahashim7913
    @wasiahashim7913 Месяц назад

    Na vipengele vitaendelea kuwepo na hutopata chochote mjinga ww