MZEE MAGOMA: AJIBU HOJA YA KUGUSHI SAHII"WAKASHITAKI KAMA WANAUSHAHIDI" | ENG.HERSI ALINIITA TAPELI.
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
hutopata chochote amin,,,,mmezoea kula mali za wanachama,,,,, engineer daima mbele
Mzee ana hoja sana
Mzee Acha ukolofi na usiturudishe nyuma
Huyu Mzee Magoma ana Madini asikilizwe sasa,
Wale wenye akili wamekuwa watatu,😂😂😂
Uyu mzee ana finywa nawachawi
mze unaojaa🎉🎉💐💐💐
Mzee kweri Wana umizaaa sana
Njaa ikipanda kichwani ni kazi kweli😊
Mnao mtukana acha bali jengeni hoja
We mzee Huna hoja
Wewe ni tapeli , tapeli ulimuomba pesa akakunyima,lkn za mwizi ni 40 sasa zimefika.kwanza huna kazi ni mzururaji tu.
Mpaka sasa sijamuona mtu yeyote anayemjibu huyu mzee kwa hoja Wala anayemjibu hoja zake bali wanamtukana tu.
Ana haki ya kutoa dukuduku lake, NI haki yake ya masingi
Mzee Ana hoja mojaa tuu ya Hersi ni Muajiriwa wa GSM na ndio msimamizi wa club
Acheni ugomvi , bora mgawane , wewe chukua yanga queens sisi tuachie yanga yetu
Mzee akapimwe akili haraka,.msaidieni
ulaaniwe mzee Mangoma
mnafiki wewe unataka kuaribu
Yetu ee Mungu tuondelee adui huyu
Mwehu huyo hana agenda ya maana
njaa inamsumbua kila mwaka uyo
Mzee ana Hoja na anajielewa..
Na vipengele vitaendelea kuwepo na hutopata chochote mjinga ww
Choko uyoo
Hakuna chochote atakachofanikisha huyo mwehu
Huyu mzee anaongea km kwamba anamanisha yanga ni yakwake kenge huyu
Kuendelelea kuongea na huyu mtu unaonyesha nijinsi gani wewe mwenyewe ni mtu wakutiliwa mashaka
Njaa zinakusumbua ww na hutopata chochote
Na kweli ni tapeli wewe nani na hata ukienda mahakamani huwez kupata chochote kile
Uyu mzee nais atafuta umaarufu 2 Ana lolote fala uyooo
Hapo Yuko huru kuongea atakapo banwa atasema Yote
Anatapata ni kigeugeu atajuta. Watamgeuka Walio muongoza kutaka kuivuruga YANGA
d 5:33 ainasikitisha sana huyu Mzee anaongea fact sana kwajiri yawanayanga nawatanzania kwaujumra
kwani yanga wanasemaje?
Huyu Mzee asikilizwe ana vitu vya maana na kuanzia Leo natangaza kuwa Yanga wenye akili 3 na Mzee Magoma
Hana ata kimoja, vyote hoja dhaifu, ni utapimlo ndio unaempelekesha.
Hana ata moja mirija imefunga, 10% haipo.
Wewe upewe Yanga unaouwezo wakumlipa Aziz Ki?
Wkt pesa ya Dona mgogoro.
Huyu mwanga unashindana na milioni ya watu kwa wewe mtu mmoja watu wakufuate wewe.
Mzee akapimwe akili haraka na mashoga wanaomshabikia humu.
Eti waonane chini ya kapetiiii 😂😂😂😂 .....hupewi chochote katafute kichaka ulimeee
UNAMUONA MWANDISHI WA HABARI MWENYE MAPENZI NA SIMBA AMEJIFICHA USO
kufaa mbwa wewe
We mzee unajionyesha ni njaa tu inakusumbua,kama kweli ww unatetea masilai ya timu kiujumla iweje unaitaji ukae na hersi chini ya kapeti,kwanini usitutangazie wanachama wenzio twenden tukauone uongoz wa timu yetu kwa hizo hoja unazosema?.pia wawakilishi wa 5 ni wengi sana katika kila tawi,wengine tunafatilia mtandaon,kwan huon hata majimbon kwetu anatoka mwakilishi mmoja tu kuwakililisha wanajimbo wote serikalin uko bungeni.sasa mwambie na rais kuwa wananchi tunataka kwenda kuwakilisha jimbo sisi wote na si mtu mmoja tu.ukikubaliwa kule serekalin ndo uje kwa yanga.
Msikilizeni muyamalize msimpuuzie
Wengi tunapenda uongozi wa yanga wa sasa.
we mzee yanga ni yako fala wewe..et ulitaka usiipeleke asa mbona urirudi mahakamani kukazia hukumu.ww unashindwa uchawa ili upewe pesa fala wewe
magoma umeongezeka wenye akili sio hao hip hop
Huo ni UZONGENDABA
Ebu toa busha rako apo,, mzee wa hovyo kabisa
MAGOMA APEWE MAUA YAKE KWAKUITETEA TIMUYETU ,😂😂😂HERISI TOKA TUACHIE TIMU YETU 😂😂
Watanzania tumezidi upole huyu bado yupo na anavuta pumzi
😅😅😅😅
Na vipengele vitaendelea kuwepo na hutopata chochote mjinga ww