OMBI LA MH. MASACHE KWA MKUU WA MKOA LIMEELEWEKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 июл 2024
  • Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Juma Zuberi Homera ameagiza kuongeza kasi ya kupeleka Umeme Shule ya Sekondari Kambikatoto ili wanafunzi waendelee kupata Elimu kwa uzuri
    Agizo hilo limetokana na Maombi ya Mgunge wa Jimbo la Lupa Mhe Masache Njelu Kasaka

Комментарии •