Hongereni sana Familia ya Mukasa. Mungu amewajalia kipaji cha uimbaji na mnakitendea haki kwa asilimia 100. Hongereni sana kwa uinjilishaji kwa njia ya nyimbo.
Ee Mungu nimekuuita kwa maana utaitiika uteege sikio laako ulisikie neno langu Ee Bwana uniliinde kama vile mboni ya jicho unifiche chini ya uvuli wa mbawa zako naiita naiita naiita niitikie Mungu wangu naliia naliia naliia unisikie leoooooo Haki yangu naije kutoka kwako kwani wewe wajua lililo haki Onesha fadhili zako fadhili za ajabu uwaokoe na adui zao wale wanaokimbiliaa kwako. Ubarikiwe mtunzi
Narudia mara nying mno ,napata tafakar na ujumbe mzito wa imani.....mungu ibarika Tanzania, mungu ibariki Africa, wabariki na viongoz wke wote,bariki kanisa katoliki na waamini wake wote.amen
Hakika mungu kakakupa kipaji na ukitumia ipasavyo hiyo nikarama, mungu amekupa endelea kutangaza injili kwakuimba Nazipenda sana nyimbo zakoo mungu akupe maisha marefu
Sir Mukasa, I may not be your fan, but sincererly 'hats off' for the church work you have been doing alongside your wife and lovely children. Your music and singing have inspired and brought joy to many souls. May God bless you and family.
Mungu akubariki sana kwa kazi zako nzuri zinazogusa mioyo ya wengi... Unautumia vizuri sana utume wako, amakweli umekuwa kati ya watu muhimu sana katika uinjilishaji kwa njia ya uimbaji kwenye kanisa Katoliki. Zaidi umekuwa mbunifu sana..
I am Nyeko Charles from Karamoja in Uganda. Bernard Mukasa has been my mentor to me in this music world. i like all his songs espcially mwanzi uliopondeka But only that kiswahili is a challenge to me but melodies are nice. i thank him and his family for preaching good news to the world through music coz he us catholics so proud.
Ninapaza sauti yangu, Mungu wangu ninakuita niitikie nakuomba baba nakuita nitikie hima.nakungoja We We. Ndiye mwaga wangu njoo uniangazie. We Mungu wangu.
Bonjour au couple Bernard je suis Claude Bernard chrétien catholique je suis congolais présentement au Gabon pour les études je suis toujours reconfirmer par les chants de votre chorale que Dieu le tout puissant vous bénisse et bénisse vos œuvres
I thank GOD ALMIGHTY for your songs,the prayer mood and the message really inspiring n uplifting. All GLORY TO GOD THE FATHER, JESUS THE SON AND HOLY SPIRIT. BE BLESSED
Deep spiritual songs and uplifting, the mastery in composition, Bernard you sing tenor and Bass with ease, I also love how Matilda is able to sing soprano and alto and more so switching from one voice to the other, this is indeed God's gifting, its not easy, you guys be blessed abundantly as you serve God
Hapa no comment...... Huyu baba tokea nikiwa la tano mpaka leo namuelewa balaaaaa ......sina mashaka nakazi zake ni mtu smart ......nahata kwaya zote alizopitia zote kaacha mbengu njema....nimtu wa watu Mungu alimtuma kwetu ayafanye haya nayeye ndiye pia atambariki na familia yake sisi ni maombi tu.......Mukasa B.
am proud of this catholic family, i promise to steal some of your beats just to compose a song too, whenever i listen to your song i feel to find out where is priest so that i can go for sacrament of reconciliation. please don't give up but keep the fire burning. your first song that made me to explore more about you was UTAMBI MCHAFU WA MOSHI MZITO i can sing it off head now and even teach people. be blessed Mukasa Benard.
Hongereni sana Familia ya Mukasa. Mungu amewajalia kipaji cha uimbaji na mnakitendea haki kwa asilimia 100. Hongereni sana kwa uinjilishaji kwa njia ya nyimbo.
Dear Lord, please listen to cry of my heart and save me from the financial strains am going through. You are my only hope my Heavenly Father 🙏
Hakika mungu ni mwenye huruma! Anatusikia wanae
"Ee Bwana nakuomba unifiche chini ya uvuli wa mbawa zako" ameen!!
Wimbo mzur sana
Mwezi Mungu awalinde na awajalie afya
Ee Mungu nimekuuita kwa maana utaitiika uteege sikio laako ulisikie neno langu Ee Bwana uniliinde kama vile mboni ya jicho unifiche chini ya uvuli wa mbawa zako naiita naiita naiita niitikie Mungu wangu naliia naliia naliia unisikie leoooooo
Haki yangu naije kutoka kwako kwani wewe wajua lililo haki
Onesha fadhili zako fadhili za ajabu uwaokoe na adui zao wale wanaokimbiliaa kwako. Ubarikiwe mtunzi
Am in love with mukasas melodic line❤
Wimbo huu nawupenda sana Kwa kweli Kila siku nawusikiliza Mwenyezi Mungu aibariki familia hii.
Mungu azidi kuwabaliki .mwimbo mzuli.
Narudia mara nying mno ,napata tafakar na ujumbe mzito wa imani.....mungu ibarika Tanzania, mungu ibariki Africa, wabariki na viongoz wke wote,bariki kanisa katoliki na waamini wake wote.amen
Wimb wa Bernard mukasa unqnibariki
Aksanti sana kwa kazi hii nzuri sana. Mungu akubariki na abariki jamaa lako lote. Katika jina la Yesu Kristo. Amen.
Ee bwana unilinde Kama mboni ya jicho lako
MUNGU nimekuita,
naamini utaniitikia. Asante Mukasa na Familia yako.
Kwakweli unatumia talanta yako vizuri
Kwa wale tunaoangalia wimbo huu mwaka 2023 gonga like apo tujuane
Nyimbo mzuri sana nafurahia ujumbe huu unaomjulisha Mungu na kumrai atege sikio lake.
Finally you are my role model
Hakika mungu kakakupa kipaji na ukitumia ipasavyo hiyo nikarama, mungu amekupa endelea kutangaza injili kwakuimba Nazipenda sana nyimbo zakoo mungu akupe maisha marefu
Brother mkasa nyimbo zako zinanifanya nitafakari sana ,Kaka!kaka !kakaa mmmh nakuombea uishi miaka mingi,
Bernard Mukasa nyimbo zako zanibariki sana kila siku........mbarikiwe sana, na mungu azidi kuwaonekania
Mungu wa Amani awalinde salama na kuwapikania kwa Jina la Yesu Kristo aliye Mwokozi wetu Amen
Mungu awatie nguvu Kafka huduma yenu
Damu ya music melody zenye hisia kalisana mpakamachozi yanatoka ....Eeeemu tega sikio lako utuokoe wajawako katika magumu tunayo yapitia...AMEEEN
Bado inatia hamasa kwani bado shida tunazo ktk maisha. Baraka ziwe nanyi. Amina!
Sir Mukasa, I may not be your fan, but sincererly 'hats off' for the church work you have been doing alongside your wife and lovely children. Your music and singing have inspired and brought joy to many souls. May God bless you and family.
Hakika hii ni familia ya kuigwa, naitamani inanivutia. Mungu wa Mbinguni azidi kuwaangazia n.a. kuwabariki.
Ee bwana nakuomba unilinde Kama mboni ya jicho lako. Ameen!!
May the almighty God bless this family akh.... I like u songs Sana akh
Mungu azidi kuwabariki 🖐️🥰
God bless you for a great job you are doing Amen. Thanks
Mungu akubariki sana kwa kazi zako nzuri zinazogusa mioyo ya wengi... Unautumia vizuri sana utume wako, amakweli umekuwa kati ya watu muhimu sana katika uinjilishaji kwa njia ya uimbaji kwenye kanisa Katoliki. Zaidi umekuwa mbunifu sana..
I am Nyeko Charles from Karamoja in Uganda. Bernard Mukasa has been my mentor to me in this music world. i like all his songs espcially mwanzi uliopondeka But only that kiswahili is a challenge to me but melodies are nice. i thank him and his family for preaching good news to the world through music coz he us catholics so proud.
Uko vizuri, nyimbo zako zinagusa maisha yetu 👍
Nimejifunza kitu ktk family hii.Kumbe ktk kuchaguwa mwenza inapendeza mkiwa na vpaj vinavyorandana.Mungu awatunze.
Mungu akuzidishie imani kwani unanifanya nihisi kubarikiwa through your songs
Nakukubari mungu akupe nguvi na nyimbo zaimani nafarijika sana ❤
Ninapaza sauti yangu, Mungu wangu ninakuita niitikie nakuomba baba nakuita nitikie hima.nakungoja We We. Ndiye mwaga wangu njoo uniangazie. We Mungu wangu.
Tumuombe anasikia
Mungu akubariki Sana yan Sana toka udogo wangu nakusikiliza yan nabarikiwa kiukweli👏👏👏
one of the best
Hongereni mungu awabarki
Mwenyezi Mungu azidi kuibariki familia hii hasa kwa mfano mwema wanatupa sisi wakristu wenzao. Mfano mzuri wa kanisa ndogo
💔 Mungu Akubariki Sanaa Kwa Nyimbo Zako huwa Zinanibariki Mnoooo ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mkasa mungu akupe maarifa zaid na familia yako by filibert mtinko singida
Mr mkasa mungu alukujalia kipawa.
Mukasa🙏🙏 You have a special seat in heaven
Bonjour au couple Bernard je suis Claude Bernard chrétien catholique je suis congolais présentement au Gabon pour les études je suis toujours reconfirmer par les chants de votre chorale que Dieu le tout puissant vous bénisse et bénisse vos œuvres
God bless you for blessing us with beautiful voice and uplifting song👍👍💕💕
nafarjika xana nais km Niko ktk uwepowa mungu be blessed en avng long lyf
Mungu awabariki sana, kweli maisha yenu yanatamanisha
Hakika wewe ni noma mungu akulinde kw kaz nzur unaoifany
Hongera Sana Kaka Mungu aendelee kukupa kipaji zaidi Cha kutunga nyimbo mzuri
Naupenda Sana huu wimbo kwani una ujumbe mzito Sana kwetu. Ee bwana nakuomba unifiche chini ya uvuli wa mbawa zako. Ameen!!
nawapenda sana familia ya Mr&Mr's mkasa kwa nyimbo zenu zuri zinaburudisha sana
ee mungu nmekuita kwa maana unaitika..am really blessed by this song may the name of the lord be glorified
Laura Chepwogen Mungu ibariki sana hii Familia
Mungu azidi kukubariki uzidi kueneza injili kwa njia ya nyimbo za kutia moyo. Baraka bwana Mukasa
Mbarikiwe sana mungu awatie nguvu big up sana kazi nzurii
God help you mukasa in your activities amen
Mungu aendelee kukuinua uzidi kusambaza ujumbe kwa wengi
This song really depicts the prayer n reverence mood...'Yahweh mbona ' ...utege sikio lako
so touching, this song is really moving n soul-touching
Mungu awajalie maisha marefu saaana with your family, amen
I thank GOD ALMIGHTY for your songs,the prayer mood and the message really inspiring n uplifting. All GLORY TO GOD THE FATHER, JESUS THE SON AND HOLY SPIRIT. BE BLESSED
mbarikiwe sana kwa kazi njema mliyo fanya nimependa sana wimbo wa utambi mchafu
Hakika kila niisikiapo hii nyimbo inanitoa machozi, Kaka Bernard na familia yako mubarikiwe sanaaaa
Thank you Bernard for helping me to lift my soul.
Mungu amekujalia kipaji naunaitumia kwa upendo amina
Deep spiritual songs and uplifting, the mastery in composition, Bernard you sing tenor and Bass with ease, I also love how Matilda is able to sing soprano and alto and more so switching from one voice to the other, this is indeed God's gifting, its not easy, you guys be blessed abundantly as you serve God
"Ee Bwana unilinde kama mboni ya Jicho" Asante kwa tunzi hii
Kazi nzuri sana Barikiwa sana na Familia yako
What an inspiration song...keep it up..
Hapa no comment...... Huyu baba tokea nikiwa la tano mpaka leo namuelewa balaaaaa ......sina mashaka nakazi zake ni mtu smart ......nahata kwaya zote alizopitia zote kaacha mbengu njema....nimtu wa watu Mungu alimtuma kwetu ayafanye haya nayeye ndiye pia atambariki na familia yake sisi ni maombi tu.......Mukasa B.
Kwakweli hii familia niyakuigwa mungu awabariki sana kwa kutuinjilisha kwa nyimbo nzuri barikiwa sana
Ningependa pia mpatiane lyrics za wimbo tafadhalu
Jamani siyo kwa uumbaji huu, Mungu aibariki sana familia ya Bernard Mukasa, kaka kwani wewe unasali parokia ya Mt. Kizito Makuburi?
Nakuita Mungu unisikie ktk shida zangu nalia ee Mungu unisikie
Mungu awabariki for these blessing songs
Ni ujumbe tosha wa kutafakari
mumgu akubaliki sana
Soyez Bénis Au Nom puissant De Jésus Amen vous et vos enfants nous font montées Au ciel Près Du Trône Du Roi Des Rois ❤👍
Munch aibariki zaidi hii familia kwa kazi nzuri wanayotufanyia
Haki yangu Na ije kutoka kwako, thanks for this
ubarikiwe kaka mko vizuri sn Mungu azidi kuwainua
mwenyezi mungu azidi kuwakirimia katika uimbaji wenu
Kaka Nashindwa cha kuongeza ila tu Baba Mungu na zaidi kukuumiza sana
Barikiwa sana nyimbo zako zinanipa tafakari sana
Mungu awabariki sana mr and mrs benard kwa kipaji chenu
Onesha fadhili zako za ajabu uwaokoe na adui zao wale wanaokimbilia kwako
Be blessed,Mungu awape maisha mrefu
Mwenye Mungu aibariki familia hii, imekuwa mfano mzur wakuigwa ktk maisha yangu, sio kwa vipaji tu bali na ukarimu walio nao.
Fredy Mwesiga Hahaha kyoma waitu mbakasinge
Asante sana Bernard n the family kwa kazi iliyotukuka.
Fredy Mwesiga +q
Mungu azidi kuwapa afya njema.
kiukweli nyimbo zako Huwa zinani bariki sana. Mwenyenzi Mungu ailinde familia yenu.
@@BernardMukasa wonderful songs, God bless you and your family
Uishi sana🎉
am proud of this catholic family, i promise to steal some of your beats just to compose a song too, whenever i listen to your song i feel to find out where is priest so that i can go for sacrament of reconciliation. please don't give up but keep the fire burning. your first song that made me to explore more about you was UTAMBI MCHAFU WA MOSHI MZITO i can sing it off head now and even teach people. be blessed Mukasa Benard.
Hakika Hii familia Takatifu naikubali na naielewa saana. Mayoge waitu Ta Mukasa
The song is encouraging me too much let's God continue blessing this family 🙏🙏
Long live the mukasa's!
Asante Ben for accepting God to use you to evengerlize His word through singing.
From Kenya I feel blessed.
This is guy is so great,.
Ukweli ni kwamba mjitahid sana
mungu awabariki sana we pamoja na familia yako nawatakia kwaresma njema
Barikiweni Familia hii ya nguvu !.
namutumikia mungu kwa njia ya. uhibaji wa nyimbo za din
Beautiful voices,Mungu awabariki
Ndo maana mpo dunian Mungu alikua na kusud na nyinyi Mungu awalinde Amina
Ubarikiwe sana ndugu Bernard. Nyimbo zako unigusa na kunihimiza kuutafuta uso wake Kristo kwa undani zaidi.
tafakari nzuri sana hakika Mungu amekupa kipaji ubarikiwe mnoo