YATOSHA-By QUADRI-V (Official Video-HD)
HTML-код
- Опубликовано: 9 фев 2025
- Huu ni wimbo mpya uliopo katika Album mpya ya 3 ya QUADRI-V
Album hii nzuri inapatikana, wasiliana nasi kwa 0767 670 784
Song: YATOSHA
Composer: B.Mukasa
ORGANIST: C.Y.Luseba (Ndege)
Audio: tanganyika productions
Producer: Fortune Shimanyi
Video: tanganyika productions
Directed by: Laurent Ludovick
Phone: +255 762380376
P.O.BOX. 1947 DODOMA-TZ
Hakuna Music Mzuri Duniani Kama RC, Mukasa Ndio Mwalimu Namba Moja Tanzania Na Africa Nzima, Kama unakubali Gusa #Like.
Hapo kwa Africa nzima na kataa mimi.
We kataa tu mi mwenyewe naukubali huu mziki wa katoliki
Nakubaliii
Nakubali pia
@@natrinemweha8625 nani sasa zaidi ya mukasa
Mtaalamu weka nyingi uwezavyo, mziki wako kwangu utabaki bora daima, nikiingia youtube lazima nisikilize kama sio wewe mwenyewe basi ni tungo na kazi ya mikono yako .
Mungu akubariki n akuzidishie afya ya mwili na roho
Familia hoi ina hofu ya mungu kwa kweli
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu napenda sana kusikiliza nyimbo zako wakati nikiwa na uzuni nyimbo zako zinanifariji sana adi machozi yananitoka mpaka nafikiria vitu vingine ambavyo avipo mungu akuweke apa duniani sana tu mtumishi 🙏🙏😭😭
Wimbo huu unaniliza jamani umenikumbusha maisha yangu nayopitia .
EeMungu nivushe salama
KASOME Yeremia 29:11-14
UTAPATA TUMAINI JIPYA MUNGU NI MWEMA SANA DADAANGU
Pole sana mpendwa
Catholic daima kwangu Mimi jaman,asante kwa ujumbe mzuri Mr &Mrs Mukasa
Tunamshukuru sana Mungu kwa baraka aliyotupa kukuleta duniani na kwa hii talanta aliyokupa mwl Mukasa
Mbarikiwe mungu awape ulinzi mkumbwa awakinge na maadui wengi
Daah! Wimbo upo katika hali ya utulivu wa hali ya juu,,,,ni sala tosha kabsa..Mukasa mwalimu mahiri African Mungu akutie nguvu daima katika utume
Hizi ndio nyimbo sasa not vurugu vurugu huu wimbo unagusa mpaka mishipa ya damu
God bless you abundantly
@@bonifacesilvan307 bariki wenisana Kwa maubiri ya nyibo senu amina
Mungu ibariki kazi ya benard. hakika anatukumbusha uwepo wa mungu..
neema ya Mungu iwe nawe daima uweze kuushi utakatifu huu kwa njia ya uingilishaji kwa njia ya nyimbo.
Aksante sana Mkasa kwa kuttutafakarisha kwa nyimbo zinozogusa hisia zetu. mungu aendelee kukumiminia Baraka zake. nyimbo zako mara nyingi zinanikumbusha wajibu wangu kama mkristu.
Kweli kama ni mke ana sauti baba ana sauti nzuri kweli mungu kawa unganisha
asante sana kwa wimbo hi yenye kuwonesha wanadamu kwamba mtu yeyote anapasa kupita kwenye mateso haya
Kuimba kuna raha yake asikuambie mtu jamani najivunia kuwa mkristo mkatoliki daima
Hakika yatosha mno nimefarijika Sana kwa wimbo huu. Mungu awabarki sana sanaaaa
Hakika huu ni wimbo wa Faraja Katika Maisha Yetu
Jaman sjui nmechelewa wapi ..... Cotholic forever 🔥🔥🔥
Napenda nyimbo zake Bernard nazpataje
Ben mungu Akubariki pamoja na family unanijenga roho yangu Sana Kwa nyimbo zote zenu
Good job the mukasa family thank you for your inspiration
Yatosha sasa mahangaiko 😔hayaa...Nyimbo nzurii Ssanaa.. Inatuliza moyo wangu sanaa
Barikiweni zaid kwa kazi nzuri watumishi wa Mungu
So good benard mkasa barikiwa sana
Kazi nzuri kaka
congratulations for ''Yatosha sasa'' Mungu awabariki kwa Uinjilishaji huu kwa Nyimbo.
God bless you akutangulie uzidi kumtumikia Kwa njia ya nyimbo
Muguakubariki
Nyimbo
Zakoziinafarijji
The one acting in chains!😂😂😂😂anaskia kucheka..nice nice song
Wimbo mzuri sana jamani.. Hakika unakumbusha mengi hasa unyenyekevu na shukrani kwa Mungu kwa anayotujalia
Mungu akuongezee maisha marefu mtunz
Amina sana Watumishi, kazi nzuri sana" "hakika nimefarijika mno
Familia hii
Mungu awabariki Sana Sana sana
Asante sana kwa wimbo mzr yaani huu wimbo kila sk lazima nisikilize maana unaujumbe mzito sana NA unanitoa machozi sana huu wimbo maana niliopitia mim inatosha kwa kweli
Wimbo mzuri sana baba, Mungu akubariki uzidi kumsifu kwa nyimbo tamu tamu.
Hadi huruma eee mungu uwakumbuke wanaoteseka
Nyimbo zenu zinapendeza sana ,na unibariki zaidi mungu awabariki
Wimbo nzuri sana, napenda sauti zenu, listening from Nairobi huu wakati wa lent
Haujawahi kukosea kila wimbo hakika unagusa safari yetu ya maisha. Mungu ibariki familia hii
Wimbo unagusa Sana na unafundisha maisha tunayoish kwa kupitia magum na changamoto zetyuu🙏🙏
Yatosha Sasa... Asante sana kwa kutuhubiria kwa njia ya nyimbo B.Mukasa Sala zetu ziko na nyinyi....
Balikiwa san
😭😭 yatosha mungu wangu nirinde mungu wangu
Yaani huwezichoka kusikiliza nyimbo za waimbaji hawa. Mungu wabariki sana na usiwapungukie uwepo wako ktka kszi zao
Abba father ,#yatosha so encouraging. Huruma huruma yako eeh mungu nitakufa nikiitumainia
Mama Matilda umekuwa nguzo kubwa sana kwa mmeo hongera sana Mungu akubari
Kwa uimbaji huu lazima tufike mbingu
Mungu wetu akuongeze vipaji kwamaana una kuwaka nani bariki sana
Came straight from BhB ..what a song
Listening from Dubai, nice song Proud To Be a Catholic ❣❣❣👌🙏🙏🙏
T.O wa muziki tz ni benard mkasa ni mtunzi pekeee tz na Africa ubarikiwe
Bernard, wimbo huu umenibariki mno ! Ahsante kwa Mungu, ahsante Pia kwako. Toka Bukavu-DRC, Claude
Wabule Grace. Listening from Uganda mbale. Be blessed.
Mungu a hibariki ndoa yenu
Highest degree of excellence in music... this Man sings from his heart, may God bless bernard mukasa and family
Kwakweli nimebalikiwa sana na wimbo huu mwenyezi mungu awabaliki sana
jaman nilimiss nyimbo mpya daah nimefurah sana na nimebarikiwa mno nawapenda sana Mungu awabariki
Navutiwa Sana na nyimbo za Bernard mkasa
Hakika unaimba nyimbo zenye tafakari mungu azidi kukubariki
Hakika ni familia iliyobarikiwa
Hongera kaka utume huu mungu akubariki akupe na afya uendelee kuinjilisha Taifa lake.
Bernard Mungu akupe Maisha marefu yenye Baraka na Mafanikio tele
Ila Mukasa Nyie daah🙌🙌
Bernard you were born for this....am proud of you
Hongereni sana, familia ya mwl Bernard Mukasa nimebarikiwa sana na uinjilishaji wenu kwa njia yanuimbaji
akh mukasa wanibambanga si haba
Another strong prayer song from the mukasa's,may God bless you for encouraging us.
You all prolly dont care but does someone know a tool to get back into an instagram account??
I was dumb forgot the password. I appreciate any assistance you can offer me.
@Israel Tommy Instablaster ;)
@Turner Kane I really appreciate your reply. I got to the site thru google and I'm trying it out atm.
I see it takes quite some time so I will get back to you later with my results.
@Turner Kane It worked and I finally got access to my account again. I'm so happy!
Thank you so much you really help me out :D
@Israel Tommy Glad I could help :D
Mkasa hongera upo juu
Barikiwa sana kwa utume wako
You guys you keep it lit, Catholic songs with a lot of teachings, the whole family is involved....you rock. Heko kwako na mpenzi wako, pia watoto........so encouraging.....I always listen your songs from Kenya. God bless you
Asante sana kwa nyimbo zako tamu kila kuchao. Endelea kutubariki
Kweli nyimbo za mukasa family ni za baraka keep it up and be blessed
Naupenda sana huu wimbo (Yatosha)... Mungu azidi kuwapa maarifa.
Mwenyenzi Mungu awabariki sana.
Came to know of this song on Good Friady and I love it God bless you Benard proud to be a catholic
A complete prayer
Kweli sala hiyo ulioitunga kwa kuimba ni nzr sana nimefarjika sana. Mungu akubariki sana
Amina Mtumishi wa Mungu asante kwa wimbo mzuri.
Hongera sana Mwalimu Bernard Mukasa
Ongera sana mwalimu wetu mukasa Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Nyimbo zako zinanibarik sana
Bro Bernad am speech less be blessed
Thr tis song am ready to repent my sin am speechless
Maneno kuntu. AMINA
kwakweli hua nazipenda sana nyimbo zako kwa maana zinamtoa nyoka pangoni
Huruma ya mungu ni ya kipekee, huruma ya mungu nitakufa nikiitumainia. Mungu awabariki sana Q V
Wimbo mzr sn
Una ujumbe mzito
A deep prayer in form of a song. Congratulations Mukasa's family.
Nimeupenda sana huu wimbo..haki mwastahili sifa kwa utunzi na sauti za kuamsha utume wa Mungu ....Keep it in touch....hongereni sana.
HYRF
Hongera Sana Mkasa
Mwenyezi Mungu awe pamoja na Watunzi wetu. Asante sana. Mwal. Bernard Mukasa
Mukasa baba upo vizur nyimbo zako zinanibariki sana
Kweli mahangaiko haya yatosha...Bwana tuangazie USO wako
Tripple V huwa mnanibariki sana, Mungu awape maisha marefu ili tuweze kuufaidi utume wenu wa kuinjilisha kwa njia ya nyimbo
Barikiwa sana
Asante sana watumishi wa Bwana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Aksante kwa ujumbe mnzur mwenyez Mungu akujalie umri mrefu uzidi kutangaza neno lake. Amina. nawapenda sana
Haaaaa...jamaa balaaa dunia nzima
Imenibari bariweni
DAH! HONGERENI SANA! MUNGU ATUKUZWE MILELE
Safi sana Ben family. Mungu aendelee kuwatumia kuwavuta wengi kwake. Aendelee kuwapa upendo thabiti kati yenu.
Wimbo unanibariki sana huu
Wimbo mtamu kweli
Wimbo umenikonga moyo ,ubarikiwe mwlm❤
Hongera sana Mr. Mukasa na familia yako kwa utunzi wa nyimbo nzuri nafrijika sana kwa wimbo huu yatosha niseme Mungu akubariki
Nyimbo zako ni nzuri sana kaka nakufatilia MUngu awabariki mno
ongereni sana Mr en Mrs Mukasa may God bless u in u'r whole life 🙏🙏!