YATOSHA-By QUADRI-V (Official Video-HD)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • Huu ni wimbo mpya uliopo katika Album mpya ya 3 ya QUADRI-V
    Album hii nzuri inapatikana, wasiliana nasi kwa 0767 670 784
    Song: YATOSHA
    Composer: B.Mukasa
    ORGANIST: C.Y.Luseba (Ndege)
    Audio: tanganyika productions
    Producer: Fortune Shimanyi
    Video: tanganyika productions
    Directed by: Laurent Ludovick
    Phone: +255 762380376
    P.O.BOX. 1947 DODOMA-TZ

Комментарии •

  • @japhetpetro9598
    @japhetpetro9598 4 года назад +96

    Hakuna Music Mzuri Duniani Kama RC, Mukasa Ndio Mwalimu Namba Moja Tanzania Na Africa Nzima, Kama unakubali Gusa #Like.

  • @anatorikigahe
    @anatorikigahe 4 года назад +22

    Mtaalamu weka nyingi uwezavyo, mziki wako kwangu utabaki bora daima, nikiingia youtube lazima nisikilize kama sio wewe mwenyewe basi ni tungo na kazi ya mikono yako .
    Mungu akubariki n akuzidishie afya ya mwili na roho

    • @catherinphilipo3503
      @catherinphilipo3503 3 года назад

      Familia hoi ina hofu ya mungu kwa kweli

    • @RosemaryMushi-xs2ri
      @RosemaryMushi-xs2ri Год назад

      Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu napenda sana kusikiliza nyimbo zako wakati nikiwa na uzuni nyimbo zako zinanifariji sana adi machozi yananitoka mpaka nafikiria vitu vingine ambavyo avipo mungu akuweke apa duniani sana tu mtumishi 🙏🙏😭😭

  • @octavinamgulunde5183
    @octavinamgulunde5183 4 года назад +10

    Wimbo huu unaniliza jamani umenikumbusha maisha yangu nayopitia .
    EeMungu nivushe salama

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota3589 4 года назад +14

    Catholic daima kwangu Mimi jaman,asante kwa ujumbe mzuri Mr &Mrs Mukasa

  • @wivinamsebeni8293
    @wivinamsebeni8293 4 года назад +7

    Tunamshukuru sana Mungu kwa baraka aliyotupa kukuleta duniani na kwa hii talanta aliyokupa mwl Mukasa

    • @catherinphilipo3503
      @catherinphilipo3503 3 года назад

      Mbarikiwe mungu awape ulinzi mkumbwa awakinge na maadui wengi

  • @marierobert42
    @marierobert42 4 года назад +12

    Daah! Wimbo upo katika hali ya utulivu wa hali ya juu,,,,ni sala tosha kabsa..Mukasa mwalimu mahiri African Mungu akutie nguvu daima katika utume

    • @bonifacesilvan307
      @bonifacesilvan307 4 года назад +1

      Hizi ndio nyimbo sasa not vurugu vurugu huu wimbo unagusa mpaka mishipa ya damu

    • @nakitwijukascola5146
      @nakitwijukascola5146 3 года назад

      God bless you abundantly

    • @magratendanu5351
      @magratendanu5351 2 года назад

      @@bonifacesilvan307 bariki wenisana Kwa maubiri ya nyibo senu amina

  • @PaulCharles-d6s
    @PaulCharles-d6s Месяц назад

    Mungu ibariki kazi ya benard. hakika anatukumbusha uwepo wa mungu..

  • @anthonyishika2443
    @anthonyishika2443 4 года назад +2

    neema ya Mungu iwe nawe daima uweze kuushi utakatifu huu kwa njia ya uingilishaji kwa njia ya nyimbo.

  • @anthonyishika2443
    @anthonyishika2443 4 года назад +2

    Aksante sana Mkasa kwa kuttutafakarisha kwa nyimbo zinozogusa hisia zetu. mungu aendelee kukumiminia Baraka zake. nyimbo zako mara nyingi zinanikumbusha wajibu wangu kama mkristu.

    • @catherinphilipo3503
      @catherinphilipo3503 3 года назад

      Kweli kama ni mke ana sauti baba ana sauti nzuri kweli mungu kawa unganisha

  • @materdeimusema9939
    @materdeimusema9939 4 года назад +2

    asante sana kwa wimbo hi yenye kuwonesha wanadamu kwamba mtu yeyote anapasa kupita kwenye mateso haya

  • @gloryndakidemi3243
    @gloryndakidemi3243 4 года назад +1

    Kuimba kuna raha yake asikuambie mtu jamani najivunia kuwa mkristo mkatoliki daima

  • @happymoshiro3780
    @happymoshiro3780 4 года назад +1

    Hakika yatosha mno nimefarijika Sana kwa wimbo huu. Mungu awabarki sana sanaaaa

  • @magrethmagova6547
    @magrethmagova6547 3 года назад +2

    Hakika huu ni wimbo wa Faraja Katika Maisha Yetu

  • @julychangara7583
    @julychangara7583 3 года назад +1

    Jaman sjui nmechelewa wapi ..... Cotholic forever 🔥🔥🔥

  • @erickkimaro80
    @erickkimaro80 3 года назад +1

    Napenda nyimbo zake Bernard nazpataje

  • @annahmusele6733
    @annahmusele6733 3 года назад +1

    Ben mungu Akubariki pamoja na family unanijenga roho yangu Sana Kwa nyimbo zote zenu

    • @mogendithaddeus7042
      @mogendithaddeus7042 2 года назад

      Good job the mukasa family thank you for your inspiration

  • @susanwandukusi5903
    @susanwandukusi5903 4 года назад +2

    Yatosha sasa mahangaiko 😔hayaa...Nyimbo nzurii Ssanaa.. Inatuliza moyo wangu sanaa

  • @mitaocamilliusthegreatest9068
    @mitaocamilliusthegreatest9068 4 года назад +1

    Barikiweni zaid kwa kazi nzuri watumishi wa Mungu

  • @arcadogerrard4240
    @arcadogerrard4240 4 года назад +1

    So good benard mkasa barikiwa sana

  • @priscajoseph6038
    @priscajoseph6038 4 года назад +2

    Kazi nzuri kaka

  • @emmanueljosephat3670
    @emmanueljosephat3670 4 года назад +2

    congratulations for ''Yatosha sasa'' Mungu awabariki kwa Uinjilishaji huu kwa Nyimbo.

  • @angeljonas9971
    @angeljonas9971 2 года назад

    God bless you akutangulie uzidi kumtumikia Kwa njia ya nyimbo

  • @FloraMponda
    @FloraMponda Месяц назад

    Muguakubariki
    Nyimbo
    Zakoziinafarijji

  • @ireneirene9834
    @ireneirene9834 4 года назад +2

    The one acting in chains!😂😂😂😂anaskia kucheka..nice nice song

  • @mkalawafabian1538
    @mkalawafabian1538 4 года назад +1

    Wimbo mzuri sana jamani.. Hakika unakumbusha mengi hasa unyenyekevu na shukrani kwa Mungu kwa anayotujalia

  • @marryfrederick7472
    @marryfrederick7472 2 года назад

    Mungu akuongezee maisha marefu mtunz

  • @joycechaula2071
    @joycechaula2071 2 года назад

    Amina sana Watumishi, kazi nzuri sana" "hakika nimefarijika mno

  • @deogratiusmtilu1384
    @deogratiusmtilu1384 4 года назад +1

    Familia hii
    Mungu awabariki Sana Sana sana

  • @safy2225
    @safy2225 3 года назад

    Asante sana kwa wimbo mzr yaani huu wimbo kila sk lazima nisikilize maana unaujumbe mzito sana NA unanitoa machozi sana huu wimbo maana niliopitia mim inatosha kwa kweli

  • @patrickmundia1675
    @patrickmundia1675 4 года назад +1

    Wimbo mzuri sana baba, Mungu akubariki uzidi kumsifu kwa nyimbo tamu tamu.

  • @elineelibariki6753
    @elineelibariki6753 4 года назад

    Hadi huruma eee mungu uwakumbuke wanaoteseka

  • @catherinemuthui4358
    @catherinemuthui4358 4 года назад +2

    Nyimbo zenu zinapendeza sana ,na unibariki zaidi mungu awabariki

  • @catherinekimaru222
    @catherinekimaru222 2 года назад

    Wimbo nzuri sana, napenda sauti zenu, listening from Nairobi huu wakati wa lent

  • @judithfrancis8286
    @judithfrancis8286 4 года назад +1

    Haujawahi kukosea kila wimbo hakika unagusa safari yetu ya maisha. Mungu ibariki familia hii

  • @malimamgolozi1013
    @malimamgolozi1013 4 года назад +1

    Wimbo unagusa Sana na unafundisha maisha tunayoish kwa kupitia magum na changamoto zetyuu🙏🙏

  • @monicaosino6192
    @monicaosino6192 4 года назад +2

    Yatosha Sasa... Asante sana kwa kutuhubiria kwa njia ya nyimbo B.Mukasa Sala zetu ziko na nyinyi....

  • @augustinemosha2589
    @augustinemosha2589 2 года назад

    Yaani huwezichoka kusikiliza nyimbo za waimbaji hawa. Mungu wabariki sana na usiwapungukie uwepo wako ktka kszi zao

  • @jazzmich9693
    @jazzmich9693 4 года назад +1

    Abba father ,#yatosha so encouraging. Huruma huruma yako eeh mungu nitakufa nikiitumainia

  • @Generosembaule-zb5en
    @Generosembaule-zb5en 7 месяцев назад

    Mama Matilda umekuwa nguzo kubwa sana kwa mmeo hongera sana Mungu akubari

  • @GabrielSemeda
    @GabrielSemeda 4 месяца назад

    Kwa uimbaji huu lazima tufike mbingu

  • @alinensimire5262
    @alinensimire5262 2 года назад

    Mungu wetu akuongeze vipaji kwamaana una kuwaka nani bariki sana

  • @cliffordkiptoo120
    @cliffordkiptoo120 4 года назад +2

    Came straight from BhB ..what a song

  • @cloudclaud6484
    @cloudclaud6484 4 года назад +8

    Listening from Dubai, nice song Proud To Be a Catholic ❣❣❣👌🙏🙏🙏

  • @LivinusChoya-q8f
    @LivinusChoya-q8f Год назад

    T.O wa muziki tz ni benard mkasa ni mtunzi pekeee tz na Africa ubarikiwe

  • @claudemushimanja469
    @claudemushimanja469 4 года назад +1

    Bernard, wimbo huu umenibariki mno ! Ahsante kwa Mungu, ahsante Pia kwako. Toka Bukavu-DRC, Claude

  • @wabulegrace6335
    @wabulegrace6335 2 года назад

    Wabule Grace. Listening from Uganda mbale. Be blessed.

  • @emmanuelmao5184
    @emmanuelmao5184 10 месяцев назад

    Mungu a hibariki ndoa yenu

  • @machasammugo2154
    @machasammugo2154 11 месяцев назад

    Highest degree of excellence in music... this Man sings from his heart, may God bless bernard mukasa and family

  • @EmmanuelJoram-tn1bw
    @EmmanuelJoram-tn1bw Год назад

    Kwakweli nimebalikiwa sana na wimbo huu mwenyezi mungu awabaliki sana

  • @toma634
    @toma634 4 года назад

    jaman nilimiss nyimbo mpya daah nimefurah sana na nimebarikiwa mno nawapenda sana Mungu awabariki

  • @joycemwendapole4541
    @joycemwendapole4541 Год назад

    Navutiwa Sana na nyimbo za Bernard mkasa

  • @stephanomwile9920
    @stephanomwile9920 Год назад

    Hakika unaimba nyimbo zenye tafakari mungu azidi kukubariki

  • @Generosembaule-zb5en
    @Generosembaule-zb5en Год назад

    Hakika ni familia iliyobarikiwa

  • @sebastiansumawe9253
    @sebastiansumawe9253 2 года назад

    Hongera kaka utume huu mungu akubariki akupe na afya uendelee kuinjilisha Taifa lake.

  • @eliasmalima3410
    @eliasmalima3410 3 года назад

    Bernard Mungu akupe Maisha marefu yenye Baraka na Mafanikio tele

  • @yohanaalfred2686
    @yohanaalfred2686 4 года назад +2

    Ila Mukasa Nyie daah🙌🙌

  • @bonifacesilvan307
    @bonifacesilvan307 4 года назад +3

    Bernard you were born for this....am proud of you

  • @francismuhuga8158
    @francismuhuga8158 3 года назад

    Hongereni sana, familia ya mwl Bernard Mukasa nimebarikiwa sana na uinjilishaji wenu kwa njia yanuimbaji

  • @paulnjeru4100
    @paulnjeru4100 4 года назад

    akh mukasa wanibambanga si haba

  • @janemwirikia6817
    @janemwirikia6817 4 года назад +11

    Another strong prayer song from the mukasa's,may God bless you for encouraging us.

    • @israeltommy3604
      @israeltommy3604 3 года назад

      You all prolly dont care but does someone know a tool to get back into an instagram account??
      I was dumb forgot the password. I appreciate any assistance you can offer me.

    • @turnerkane573
      @turnerkane573 3 года назад

      @Israel Tommy Instablaster ;)

    • @israeltommy3604
      @israeltommy3604 3 года назад

      @Turner Kane I really appreciate your reply. I got to the site thru google and I'm trying it out atm.
      I see it takes quite some time so I will get back to you later with my results.

    • @israeltommy3604
      @israeltommy3604 3 года назад

      @Turner Kane It worked and I finally got access to my account again. I'm so happy!
      Thank you so much you really help me out :D

    • @turnerkane573
      @turnerkane573 3 года назад

      @Israel Tommy Glad I could help :D

  • @jumamarwa754
    @jumamarwa754 Год назад

    Mkasa hongera upo juu

  • @euzebiawilliam7955
    @euzebiawilliam7955 2 года назад

    Barikiwa sana kwa utume wako

  • @michaelnyingi1898
    @michaelnyingi1898 3 года назад +2

    You guys you keep it lit, Catholic songs with a lot of teachings, the whole family is involved....you rock. Heko kwako na mpenzi wako, pia watoto........so encouraging.....I always listen your songs from Kenya. God bless you

  • @BrianWere-wp1fv
    @BrianWere-wp1fv 11 месяцев назад

    Asante sana kwa nyimbo zako tamu kila kuchao. Endelea kutubariki

  • @mogendithaddeus7042
    @mogendithaddeus7042 2 года назад

    Kweli nyimbo za mukasa family ni za baraka keep it up and be blessed

  • @petermumo2023
    @petermumo2023 2 года назад

    Naupenda sana huu wimbo (Yatosha)... Mungu azidi kuwapa maarifa.

  • @sharoombay8997
    @sharoombay8997 4 года назад +1

    Mwenyenzi Mungu awabariki sana.

  • @Ace_Kariuki.
    @Ace_Kariuki. 2 года назад +2

    Came to know of this song on Good Friady and I love it God bless you Benard proud to be a catholic

  • @ricirindancekei-vd7ld
    @ricirindancekei-vd7ld Год назад +1

    A complete prayer

  • @allygwede5790
    @allygwede5790 4 года назад

    Kweli sala hiyo ulioitunga kwa kuimba ni nzr sana nimefarjika sana. Mungu akubariki sana

  • @theomaligite4401
    @theomaligite4401 4 года назад +2

    Amina Mtumishi wa Mungu asante kwa wimbo mzuri.

  • @jacksonkanzira9789
    @jacksonkanzira9789 4 года назад

    Hongera sana Mwalimu Bernard Mukasa

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa9932 4 года назад

    Ongera sana mwalimu wetu mukasa Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina

  • @respismwananjela4707
    @respismwananjela4707 4 года назад

    Nyimbo zako zinanibarik sana

  • @jacquelinemushi6057
    @jacquelinemushi6057 Год назад

    Bro Bernad am speech less be blessed

  • @DivineNyaanga-kv9rb
    @DivineNyaanga-kv9rb 9 месяцев назад

    Thr tis song am ready to repent my sin am speechless

  • @hilalionhilaliont2324
    @hilalionhilaliont2324 4 года назад +1

    Maneno kuntu. AMINA

  • @victoriamwiyanda9149
    @victoriamwiyanda9149 4 года назад

    kwakweli hua nazipenda sana nyimbo zako kwa maana zinamtoa nyoka pangoni

  • @vailethkivelege4048
    @vailethkivelege4048 3 года назад

    Huruma ya mungu ni ya kipekee, huruma ya mungu nitakufa nikiitumainia. Mungu awabariki sana Q V

  • @dionismutayoba3542
    @dionismutayoba3542 4 года назад

    Wimbo mzr sn
    Una ujumbe mzito

  • @janewamuyu4169
    @janewamuyu4169 3 года назад +3

    A deep prayer in form of a song. Congratulations Mukasa's family.

  • @rolencemhala2554
    @rolencemhala2554 4 года назад +1

    Nimeupenda sana huu wimbo..haki mwastahili sifa kwa utunzi na sauti za kuamsha utume wa Mungu ....Keep it in touch....hongereni sana.

  • @izdorybarnabas4357
    @izdorybarnabas4357 4 года назад

    Hongera Sana Mkasa

  • @stevenmhina7915
    @stevenmhina7915 4 года назад

    Mwenyezi Mungu awe pamoja na Watunzi wetu. Asante sana. Mwal. Bernard Mukasa

  • @dorotheakimario2997
    @dorotheakimario2997 4 года назад

    Mukasa baba upo vizur nyimbo zako zinanibariki sana

  • @mauriceokebe1894
    @mauriceokebe1894 4 года назад

    Kweli mahangaiko haya yatosha...Bwana tuangazie USO wako

  • @aureliaraphael3725
    @aureliaraphael3725 4 года назад

    Tripple V huwa mnanibariki sana, Mungu awape maisha marefu ili tuweze kuufaidi utume wenu wa kuinjilisha kwa njia ya nyimbo

  • @ceciliakingazi6792
    @ceciliakingazi6792 Год назад

    Barikiwa sana

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa9932 4 года назад

    Asante sana watumishi wa Bwana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina

  • @paschaziajohnny7410
    @paschaziajohnny7410 4 года назад

    Aksante kwa ujumbe mnzur mwenyez Mungu akujalie umri mrefu uzidi kutangaza neno lake. Amina. nawapenda sana

  • @erickliwa2622
    @erickliwa2622 2 года назад

    Haaaaa...jamaa balaaa dunia nzima

  • @MichaelMuthengi-m7l
    @MichaelMuthengi-m7l Год назад

    Imenibari bariweni

  • @kwayabikiramariamamawashau2448
    @kwayabikiramariamamawashau2448 4 года назад +1

    DAH! HONGERENI SANA! MUNGU ATUKUZWE MILELE

  • @aleswamukasa5155
    @aleswamukasa5155 4 года назад

    Safi sana Ben family. Mungu aendelee kuwatumia kuwavuta wengi kwake. Aendelee kuwapa upendo thabiti kati yenu.

  • @theresiajoseph1943
    @theresiajoseph1943 4 года назад

    Wimbo unanibariki sana huu

  • @michaelkamau5389
    @michaelkamau5389 4 года назад

    Wimbo mtamu kweli

  • @yohanafaida-dg6uq
    @yohanafaida-dg6uq Год назад

    Wimbo umenikonga moyo ,ubarikiwe mwlm❤

  • @felicianholle3010
    @felicianholle3010 4 года назад

    Hongera sana Mr. Mukasa na familia yako kwa utunzi wa nyimbo nzuri nafrijika sana kwa wimbo huu yatosha niseme Mungu akubariki

  • @consolataantony7365
    @consolataantony7365 4 года назад

    Nyimbo zako ni nzuri sana kaka nakufatilia MUngu awabariki mno

  • @mariemassawe6704
    @mariemassawe6704 4 года назад +2

    ongereni sana Mr en Mrs Mukasa may God bless u in u'r whole life 🙏🙏!