@@JohnJoseph-qq7ow Alichokuambia ndio ukweli maana Mungu alitengeneza kizazi kingine baada cha kizazi cha kwanza kutoshika sheria zake, someni maandiko vizur.Agano jipya ni kwa wale watakao amini na kushika sheria zake ndio watafanyika kuwa watoto wake na ndio taifa lake teule.Haijalishi mwanamke au mwanaume.
Itakuwa siku za mwisho asema bwana nitamimina roho wangu ,juu ya wote wenye mwili, kwahiyo,hata wanawake ,wanawajibu wa kumtangaza kristo, roho mtakatifu kamiminwa kwa wote wenye mwili,nao ni mwili
Wanawake walikuwa na nafasi Yao ya mambo mengi kwa mfano 1. Bikira Maria, kina Maria Magdalena 2. Kina Eunice kina Rhoda, Dlorica, n.k kila mtu na majukumu yake.
@@Nelsonmtimba SOMA BIBLIA YAKO VIZURI TATIZO MNAJICHUKULIA VIPANDE VIPANDE VYA MANENO NA KUVITAFSIRI KIMHEMKO BIBLIA INANIAMBIA KUWA UKIONA MWANAMKE ANATAWALA ZAIDI YA MWANAUME KATIKA SEHEMU ZA IBADA ATA KIUONGOZI YUPO JUU YA MWANAUME BASI SEHEMU HIYO AU TAIFA HILO LIPO KATIKA HUKUMU YA MUNGU RUDI KASOME KUHUSU DEBORA ,ALIPOKUWA MUAMIZI TAYARI HUKUMU YA MUNGU ILIKUA INAPITISHWA KATIKA TAIFA LA ISRAELI. TENA BIBLIA INANIAMBIA,"NA NITAMFANYA MWANAMKE AKUTAWALE" YAANI KATIKA HUKUMU YA MUNGU MWANAUME ATATAWALIWA NA MWANAMKE
Mungu alijua udhaifu uliopo ndani ya mwanamke,Naam hata Sasa 50/50 imeshindwa kuwaleta katika katika kile wao waliami kukipata.Doctor unalazimisha mtazamo wako uwe sahihi maana Tangu mwanzo haikuwa hivyo
Hiyo pole mimi mmh! Ninachojua ni kuwa Roho mt hana upendeleo, yeyote aliyemwamini Yesu anaweza kufanya mambo yote ktk Jina la Yesu kristo. TUNAYAWEZA MAMBO YOTE KTK YEYE ATUTIAE NGUVU. Hata wewe mwanaume kumbuka u bibiarusi wa kristo, ijapokuwa kwa sasa unapenda kuitwa BWANA ARUSI
Ebu tuangalie Kuna pahali mnamke alikwazuna na mitume au Kirsto lakini waliotenda mauwaji ugomvi ni. Wanaume na hata Sasa wanauume tuwafundisha wanawake unyama uuwaji kuwaingiza majeshini kuuwa B; damu kwa bunduki zamani haikua wanawake walikwa na huruma wanauume tuwafundisha wanawake unyama uuwaji na mwisho wanatafsiri hakuna tena wasiloliweza wanauume mliambiwa ishini nao kwa akili selemani. : Goliath; Ibrahim Esta kuingia kwa mflme waliangushwa na wanawake ndio neno ishini nawo kwa Akiliiiiiii likatimia
Kama wanawake ni sawa na wanaume basi wapeni kuongoza familia zao, wanaume wawe chini. Kama kuhani anaweza kuwa mtu yeyote basi tuseme wachungaji, maaskofu nk siyo special Haya mafundisho yanaagenda ya feminism, imebaki kuwatetea mashoga ni swala la wakati.... Mafundisho mabaya sana ..
The church that compromise,so sad. Jesus is the head of the church (bridegroom) and the church being the bride, that's final. To ordain a woman as the head of the church is to practice homosexuality. Prof.is preaching a different gospel
mi naamini yaliyoandikwa kwenye biblia yako straight forward kuyarekebisha kwa maneno matupu ni ngumu sana. Naamini kwa hekima, elimu na utafiti wa kibinadamu wako sahihi ndio maana tukija kibinadamu mashoga pia ni haki yao kupata wanacho kitaka maana miili yao wengine inahitaji hivyo. Mi naona kuna ugumu tusirahisishe tuendelee kumsihi MUNGU atupe kujua zaidi kusudi lake.
......Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yoyote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri,na alaaniwe.....(Wagalatia 1:6-10) Pseudo Prof preaching a different gospel,twisting the gospel. Anawashawishi na kuwafurahisha wanadamu sio Mungu
Ukwel upo wazi hekima ya mwanadamu n upumbavu kwa Mungu hii n saikolojia na sio neno la Mungu
Bwana akubariki ndugu yangu. Hawa ni wanatheologia. Na theology zote ni za shetani
Mungu akubariki Sana mchungaji,umenifundisha kitu kikubwa sana
Ni andiko gani linalo ruhusu mwanamke kubwa mtawala kwa nafasi zakifalme.
Mwl uko sawa sana...
"Ukosefu wa maarifa umezuia mambo mengi yaliyo mema na muhimu sana".
Nyinyi Ndio mna elimu kuliko yesu?
ukweli n kwamba mwanamke harusiwi kusimama mbele ya wanaume.mwanaume ni utukufu kwa Mungu.mwanamke n utukufu kwa mumewe
Hakuna kanisa la mwanamke ambalo Lina simama Kwa utakatifu wa Mungu shetani anajua udhaifu wa mwanamke.
Ukweli wa Mungu haubadilishwi na Elimu ya mwadamu
Mwanadamu anatakiwa kufwata Mungu kupitia neno
Asiyeweza kusimamia nyumba yake atawezaje kulisimamia kanisa la mungu? Pasta kaa upande wa nenp la mungu lisilo badiliko. Amina.
Hekima na busara, ni zaidi ya elimu ya kidunia !
Ndani ya kristo hakuna mwanaume wala mwanamke wako wana wa Mungu
Jichanganye mbona hawakwenda vitani wakati was daudi Joshua, kama mme na make ni sawa
@@JohnJoseph-qq7ow
Alichokuambia ndio ukweli maana Mungu alitengeneza kizazi kingine baada cha kizazi cha kwanza kutoshika sheria zake, someni maandiko vizur.Agano jipya ni kwa wale watakao amini na kushika sheria zake ndio watafanyika kuwa watoto wake na ndio taifa lake teule.Haijalishi mwanamke au mwanaume.
Soma vizuri ilo andiko haliusu uongozi ila namna ya kuokoka
Itakuwa siku za mwisho asema bwana nitamimina roho wangu ,juu ya wote wenye mwili, kwahiyo,hata wanawake ,wanawajibu wa kumtangaza kristo, roho mtakatifu kamiminwa kwa wote wenye mwili,nao ni mwili
Kwa hiyo katika Kristo wako huyo unayemuamini hakuna jinsia?
Kumbe hata ndoa hazitambui jinsia..?
😂😂 wasomi wote peponi wanamjua sana Sir GOD😂😂
Yaani nimetapenda majibu ya Prof
Akikuchagua anakuwezesha 😊
Mm huyu mwalim sjapataga kumuelewa hata sku moja
Huyu Dr bado
Samahani sana kusema hivi: Doctor hajajibu maswali kisomi. Kama alitaka kujibu maswali kwa njia ya kuhubiri basi haikuwa na haja ya kufanya utafiti.
Mkeka ukatema! Kiukweli nimekuelewa sana sana. Thanks for that true elaboration when preparing to ask a question
Vema sana
Ordination is not physical but spiritual.
Shetani kateka kila kona, mwanamke asimikwe hili iweje
1Timoteo 2:11-17 yasema je?
Acha upagani ndo maana mmeliuwa kanisa kiroho elimu hiyo potovu
Wana wake mmeisha sahau majukumu yao Shetani anajua jinsi ya kuteka hizo ni Roho za Lilith za kutaka kuwa sawa na wanaume....!!
Nimempenda bule
Prof alikutuma haya unajua mwenyewe, lakini hawezi kuwa Mungu Muumba wa vitu vyote!
Kusimikwa ni kuwekwa wakfu,kutengwa Kwa ajili ya kazi maalum
Wanawake walikuwa na nafasi Yao ya mambo mengi kwa mfano
1. Bikira Maria,
kina Maria Magdalena
2. Kina Eunice kina Rhoda,
Dlorica, n.k kila mtu na majukumu yake.
Mtazamo wa kiungu unahitajika sio kukaa na kuaanzaa kubishana
Safi sana elimuiko sawa
Asante sana mtumishi
Ukweli IKO wazi hakuna mtume mwanamke hakuna kiongozi mwanamke
Umewai kumsoma Deborah alikuwa Ni Nani?
Na unamfahamu mke wa Nabii Eliya alikuwa Ni Nani?
@@Nelsonmtimba SOMA BIBLIA YAKO VIZURI TATIZO MNAJICHUKULIA VIPANDE VIPANDE VYA MANENO NA KUVITAFSIRI KIMHEMKO
BIBLIA INANIAMBIA KUWA UKIONA MWANAMKE ANATAWALA ZAIDI YA MWANAUME KATIKA SEHEMU ZA IBADA ATA KIUONGOZI YUPO JUU YA MWANAUME BASI SEHEMU HIYO AU TAIFA HILO LIPO KATIKA HUKUMU YA MUNGU
RUDI KASOME KUHUSU DEBORA ,ALIPOKUWA MUAMIZI TAYARI HUKUMU YA MUNGU ILIKUA INAPITISHWA KATIKA TAIFA LA ISRAELI.
TENA BIBLIA INANIAMBIA,"NA NITAMFANYA MWANAMKE AKUTAWALE" YAANI KATIKA HUKUMU YA MUNGU MWANAUME ATATAWALIWA NA MWANAMKE
Mungu alijua udhaifu uliopo ndani ya mwanamke,Naam hata Sasa 50/50 imeshindwa kuwaleta katika katika kile wao waliami kukipata.Doctor unalazimisha mtazamo wako uwe sahihi maana Tangu mwanzo haikuwa hivyo
Pia I Wakorinto 14:32-34
Jihadhalini sana ndugu wapendwa wakristo!!! Hizi ni siku za mwisho ambapo shetani anapambana sana kuvuruga akili na ukristo wetu.
Hiyo pole mimi mmh! Ninachojua ni kuwa Roho mt hana upendeleo, yeyote aliyemwamini Yesu anaweza kufanya mambo yote ktk Jina la Yesu kristo. TUNAYAWEZA MAMBO YOTE KTK YEYE ATUTIAE NGUVU. Hata wewe mwanaume kumbuka u bibiarusi wa kristo, ijapokuwa kwa sasa unapenda kuitwa BWANA ARUSI
Mwanamke AFAI kuwa kiongozi
unatoaje majibu bila ushaihidi wa mandiko
Bibi harusi ni kanisa kimaandiko
Wape ukweli kabsaaaa
Ukweli unapimwaje ??
Yesu alisema Luka 16:8 Wana wa ulimwengu huu katika kizaz chao Huwa na busala na maalifa kuliko Wana wa Nuru. Ndio huyu profesa.
Huyu ni mpinga Kristo!
Mwanamke hawezi kuwa mchungaji, wala kuwa mwalimu ama mwinjilisiti au kuwa shemasi!
Lete maandiko siyo Siasa!
1Timotheo 3:1-14
Anaongea mitazamo yake tu
Anafundisha uongo mwingi sana mawazo yako
Kweli tujifunze zaidi bible
Ebu tuangalie Kuna pahali mnamke alikwazuna na mitume au Kirsto lakini waliotenda mauwaji ugomvi ni. Wanaume na hata Sasa wanauume tuwafundisha wanawake unyama uuwaji kuwaingiza majeshini kuuwa B; damu kwa bunduki zamani haikua wanawake walikwa na huruma wanauume tuwafundisha wanawake unyama uuwaji na mwisho wanatafsiri hakuna tena wasiloliweza wanauume mliambiwa ishini nao kwa akili selemani. : Goliath; Ibrahim Esta kuingia kwa mflme waliangushwa na wanawake ndio neno ishini nawo kwa Akiliiiiiii likatimia
HAKUNA 😮😮😮
Walisha sema hawa ni viumbe dhaifu
Weka number ya vhuo
anafundisha ambacho biblia haifundishi
Nimekuelewa baba
Zawadi ya wito mtu anazaliwa nayo sio wakati wa kusimikwa...
kama hawa ndio walim wa biblia tumekwisha
Amen
Research ya Kuelekezwa
Wakati ule 🎉kukiwa na watu 100 wanawaje 50 na wanawake 50 iliku 9:36 wa inatamkwa kun umati wa watu 50 wanawake walikuwa hawahesabiwi.
Sabab ilikua mwanamke alihesabika kwa mwanaaume, mume na mke pamoj ndio mtu
Kama wanawake ni sawa na wanaume basi wapeni kuongoza familia zao, wanaume wawe chini.
Kama kuhani anaweza kuwa mtu yeyote basi tuseme wachungaji, maaskofu nk siyo special
Haya mafundisho yanaagenda ya feminism, imebaki kuwatetea mashoga ni swala la wakati....
Mafundisho mabaya sana ..
Maandiko yanapo sema Baba ni kichwa cha familia je? Haijatenganisha kabisa hadhi ya mwanamke na mwanaume kimajukumu. Be careful Dr.
Amekuta talaka zinatolewa akaziacha ivyoivyo😮😢
Hakuziacha hivyo hivyo alikosoa kwa kusema tangubmwanzo haikuwa hivyo...
Yes alukosoa na wala hakuziacha Hivyo Hivyo,huyu dokta anajibu kisiasa
The church that compromise,so sad. Jesus is the head of the church (bridegroom) and the church being the bride, that's final. To ordain a woman as the head of the church is to practice homosexuality.
Prof.is preaching a different gospel
Ameen🙏🙏
Apostle is not Missionary and vice versa
mi naamini yaliyoandikwa kwenye biblia yako straight forward kuyarekebisha kwa maneno matupu ni ngumu sana. Naamini kwa hekima, elimu na utafiti wa kibinadamu wako sahihi ndio maana tukija kibinadamu mashoga pia ni haki yao kupata wanacho kitaka maana miili yao wengine inahitaji hivyo. Mi naona kuna ugumu tusirahisishe tuendelee kumsihi MUNGU atupe kujua zaidi kusudi lake.
Mwanamke hakubaliwi
Aliyeumba naMungu niMwanaume kwamfanowa waMungu meanamuke hakuumbwa baalialitolewa kwenye mwiliwamwanaume hivyo kwamujibuwabibiria meanamuke lazima kuleaeatoto kwakuwayeye ndiye alilala namtototumboni make aitu binadamu baali hata iumbewrngine mbona binadamu hashangai mbuzi nang'ombe hatahayawaniwengine anayeleawatoto nidumenijike?? haohayawaninao wananyanyapaa wanawakewao? huonimpangowaMungu tangu mwanzo Mungu hanachaelimu sijuiprofesa hanamssidizi alichofanyakikosahihi elimu yote ikokwake hakunamwanadamu anayewezakusahihishaMungu tusipotezane mudabure kamabibilia ikokwenyetamaduni zaidi kwanini hatakabla ya bibiria mbonadunianzima mwanamuke alizaanakuleawatoto mpakawatoke kwenye utoto naMungu walimtambua kwanamunayao kalimba kwajinsiwalivyomujua.
Hujaandika vzr
Bado wachanga hawa vijana Mungu ataendelea kuwanoa taratibu.
......Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yoyote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri,na alaaniwe.....(Wagalatia 1:6-10)
Pseudo Prof preaching a different gospel,twisting the gospel. Anawashawishi na kuwafurahisha wanadamu sio Mungu
Herminutics anayoifundisha haiwelewi kabisa usitowe tafsiri zako ukaingiza ndani ya biblia
This is purely world teachings and not Godly doctrine.
You are misleading the Bible doctrines.
Herminutics anayoifundisha haiwelewi kabisa usitowe tafsiri zako ukaingiza ndani ya biblia