JORAM NKUMBI-Msikilize Mlumbi akiwapa madini mamia ya vijana walioshiriki katika

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Katika #NJEYABOXYOUTHTALK iliyoandaliwa na Ufaulu Project Tanzania, Vijana zaidi ya elfu moja na mia tano walipata bahati ya kujifunza mengi kutoka kwa ndugu Joram Nkumbi ambaye ni moja ya vijana mahiri na machachari katika kukuza uzalendo na kuhamasisha matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili sambamba na uongozi mahiri kwa vijana wa Tanzania na Afrika nzima. Katika hotuba yake Ndugu Joram alihimiza vijana kuwa na uthubutu, kujituma na kujijengea mazoea ya kuwaza NJE YA BOX, ili elimu wanayoipata darasani iweze kuwa na manufaa kwao na kwa jamii nzima ya Tanzania na bara la Africa kwa ujumla.

Комментарии • 26

  • @benedictbuberwa3943
    @benedictbuberwa3943 3 месяца назад +2

    Safi sana ..
    Umenifurahisha sana kwa hoja nzuri katika lugha yetu ya kiswahili..

  • @seifhafidhsuleiman3643
    @seifhafidhsuleiman3643 10 дней назад

    Masha Allah Yoram Mkumbi

  • @Giliad-eab
    @Giliad-eab 3 месяца назад +1

    Nimelipenda somo hili❤❤🎉

  • @ibrahimjumanne3953
    @ibrahimjumanne3953 3 месяца назад

    Hongera sana rafiki yangu Joramu Nkumbi na waliondaa hadhara hii kwa Wana chuo, Mungu awabariki. Mimi Mwl Ibrahim Jumanne Mbeya.

  • @PaulRPaul-z1q
    @PaulRPaul-z1q 4 месяца назад +2

    Stay blessed Mr. Joram Nkumbi.

  • @iddibaruani5615
    @iddibaruani5615 3 месяца назад +1

    Great speech of all time

  • @venancefredrick549
    @venancefredrick549 4 месяца назад +2

    Hongera brother Simon Chamy

  • @PaulRPaul-z1q
    @PaulRPaul-z1q 4 месяца назад +1

    Ma Shaa Allah

  • @PaulRPaul-z1q
    @PaulRPaul-z1q 4 месяца назад +1

    Stand up with justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Quran 4:135)

  • @hidayaismail-fk1js
    @hidayaismail-fk1js 3 месяца назад

    all the glory comes from the perseverance of the beginners

  • @FettyWaziri-yk2tv
    @FettyWaziri-yk2tv 3 месяца назад

    All glory comes from daring to Begin🔥🙏

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 3 месяца назад

    Hongera sana mwalimu

  • @amimuabdalatifu8542
    @amimuabdalatifu8542 4 месяца назад +5

    A moment to remember

  • @hassanlubola414
    @hassanlubola414 3 месяца назад

    Big up brorher JN

  • @marcoemanuel6892
    @marcoemanuel6892 4 месяца назад +1

    Good talk

  • @nicksonkajuna450
    @nicksonkajuna450 3 месяца назад +1

    Nimemsikiliza mr Jorum kati ya maneno ya kingeleza alio ongea ni mawili t kwenye hotuba yake yote mathematical na excel

    • @abidandastanmaliyatabu1373
      @abidandastanmaliyatabu1373 Месяц назад

      Yuko vizuri na anaongea Swahili fasaha na ikitokea akaongea kiingereza anatafasiri ila kuna wajinga waliogubikwa na ujinga wanaongea kiingereza kwenye kufundisha tena kwa mitandao

  • @valyagraphicstz799
    @valyagraphicstz799 4 месяца назад +1

    𝑵𝒊𝒄𝒆 𝑻𝒂𝒍𝒆𝒏𝒕𝒆𝒅 𝒎𝒂𝒏

  • @sajidseleman6641
    @sajidseleman6641 3 месяца назад

    Bro unavitu vingi sana kichwani

  • @godichua4457
    @godichua4457 4 месяца назад +1

    Huyu jamaa ana miaka mingapi?

  • @anizethjoseph2914
    @anizethjoseph2914 3 месяца назад +1

    Great speech indeed 🤝