Professor yuko vizuri anajua anachosema ni muhimu uelewe hilo ni neno la mungu mungu akubariki tumejifunza vitu vizuri natamni kama ingerudiwa mjue watu wanadanganywa sana na watu ambao hawajui bible ukweli nimefurahia pia watumishi wa mungu walivyo changamkia frusa ya kuuliza maswali yani safi sana
Mada ni nzuri sana na kwa yule anayependa kufahamu anapata kitu,ila ukiwa kama msomi tena ni Prof jitahidi kuweka lugha vzr maana unachanganya kingereza na kiswahili kuna watu hawakuelewi hasa wale ambao lugha ya kingereza kwao ni shida
Tatizo la KanisA letu la TAG ni kuingia sana kwenye dini roho hafanyi tena slogisism haipatikana tena hatua ya kuogopa uchawi ndani T A G sasa roho hayupo siasa na watu wanaenda kwa mitume au manabiiiiii
Kuokoka mdomoni tu lakini si rahisi wengi wanaamini kwamba kama hafanyi kitu kimoja au viwili kwa interest au matatizo yake binafsi basi kaokoka.Ni kuanza na amri kumi za Mungu na mengi tu hadi ujiite umeokoka kuokoka kunahusisha mengi sana ikiwemo usikasirike hata ukiona usitamani ikifika sikukuu mnunulie unachojinunulia jirani yako.
Biblia haifuatwi. Kulingana Na Mila yoyote Hasa agano jipya. Paulo anasema baada ya wayaudi Kushindwa Na kazi Yao mlango ulifunguliwa Kwa wire wanaomwa mini kristo
@@dicksonsambala7756 Yesu alitumwa kuja kuwakomboa wana wa Israel na hawakumkubali. Unaposema kutimiliza , kutimiliza nini? Kama dhambi ya Asili tayari Mungu alishasahukumu nyoka Hawa na Adam nasi tunaendeleza kutumikia hizo adhabu. Dhambi nyongine za ziada kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe
Professor yuko vizuri anajua anachosema ni muhimu uelewe hilo ni neno la mungu mungu akubariki tumejifunza vitu vizuri natamni kama ingerudiwa mjue watu wanadanganywa sana na watu ambao hawajui bible ukweli nimefurahia pia watumishi wa mungu walivyo changamkia frusa ya kuuliza maswali yani safi sana
Kwanini hajibu kwa kutumia maandiko?
Kwa Sababu Roho mtakatifu afungiwi chini ya biblia 🤣🤣kuna Mambo mengi aliyafanya yesu kama yangeandikwa yote ulimwengu usinge tosha
@@samwelsanga253 Lakinj hiyo biblia yenyewe tu ina vitabu 66 hadi 78 na mengi tu si ya Yesu
Namshukuru saana prof kwa mafundisho mazuri
Prof. Nimekuelewa kweli upo vizuri kwenye research mimi mwenyewe hapa niliwahi kutana na mu-usa mmoja ana mwili wa binadamu lakini yeye ni nyoka
I thank you very much, God bless you
MUNGU Akubariki professor 100%
Mada ni nzuri sana na kwa yule anayependa kufahamu anapata kitu,ila ukiwa kama msomi tena ni Prof jitahidi kuweka lugha vzr maana unachanganya kingereza na kiswahili kuna watu hawakuelewi hasa wale ambao lugha ya kingereza kwao ni shida
Hapo haongei na watu wa youtube anaongea na hao wasomi walio kaa hapo
Tatizo la KanisA letu la TAG ni kuingia sana kwenye dini roho hafanyi tena slogisism haipatikana tena hatua ya kuogopa uchawi ndani T A G sasa roho hayupo siasa na watu wanaenda kwa mitume au manabiiiiii
Kuokoka mdomoni tu lakini si rahisi wengi wanaamini kwamba kama hafanyi kitu kimoja au viwili kwa interest au matatizo yake binafsi basi kaokoka.Ni kuanza na amri kumi za Mungu na mengi tu hadi ujiite umeokoka kuokoka kunahusisha mengi sana ikiwemo usikasirike hata ukiona usitamani ikifika sikukuu mnunulie unachojinunulia jirani yako.
bado haujatoa majibu kuhusu laana ya familia au ukoo.nakiomba usome tena Bibilia profesa
Kuongezea pia hapo kama mababu walijufa katika dhambi inamana pia shetani anatumia roho zao kufatilia vizazi vyao
Biblia haifuatwi. Kulingana Na Mila yoyote Hasa agano jipya. Paulo anasema baada ya wayaudi Kushindwa Na kazi Yao mlango ulifunguliwa Kwa wire wanaomwa mini kristo
Asante Prof.
Bibliabila iliandikwa kwanza kabisa kwa lugha ya kiebrania qcha kuzunguka mbuyu
Wanapozungumzia wana wa Israel taifa teule hua najiuliza si hao ndio hawakubaliani na mwana wa Mungu?
Uyahudi ni dini kabisa inajitegemea na Yesu alizaliwa kwenye hayo mazingira lakini alikuja kutimiliza na kuna wayahudi walikataa utimilifu...
@@dicksonsambala7756 Yesu alitumwa kuja kuwakomboa wana wa Israel na hawakumkubali. Unaposema kutimiliza , kutimiliza nini? Kama dhambi ya Asili tayari Mungu alishasahukumu nyoka Hawa na Adam nasi tunaendeleza kutumikia hizo adhabu. Dhambi nyongine za ziada kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe