MASWALI MAZITO YALIVYO JIBIWA KWA UFASAHA NA PROF.NIGULA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июн 2024
  • Majibu Mazito yalivyo jibiwa na Prof.Nigula kwa Ufasaha kupitia Biblia

Комментарии • 22

  • @MichaelMnzava-uk7py
    @MichaelMnzava-uk7py 18 дней назад +5

    Professor yuko vizuri anajua anachosema ni muhimu uelewe hilo ni neno la mungu mungu akubariki tumejifunza vitu vizuri natamni kama ingerudiwa mjue watu wanadanganywa sana na watu ambao hawajui bible ukweli nimefurahia pia watumishi wa mungu walivyo changamkia frusa ya kuuliza maswali yani safi sana

    • @charlestibaijuka3718
      @charlestibaijuka3718 15 дней назад

      Kwanini hajibu kwa kutumia maandiko?

    • @samwelsanga253
      @samwelsanga253 12 дней назад +1

      Kwa Sababu Roho mtakatifu afungiwi chini ya biblia 🤣🤣kuna Mambo mengi aliyafanya yesu kama yangeandikwa yote ulimwengu usinge tosha

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 9 дней назад

      @@samwelsanga253 Lakinj hiyo biblia yenyewe tu ina vitabu 66 hadi 78 na mengi tu si ya Yesu

  • @ikongojeremia4740
    @ikongojeremia4740 19 дней назад

    Namshukuru saana prof kwa mafundisho mazuri

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 20 дней назад

    Prof. Nimekuelewa kweli upo vizuri kwenye research mimi mwenyewe hapa niliwahi kutana na mu-usa mmoja ana mwili wa binadamu lakini yeye ni nyoka

  • @manumbumutani
    @manumbumutani 15 дней назад

    I thank you very much, God bless you

  • @kibajadaniel9887
    @kibajadaniel9887 21 день назад

    MUNGU Akubariki professor 100%

  • @jozyTV-qe8ib
    @jozyTV-qe8ib 13 дней назад +1

    Mada ni nzuri sana na kwa yule anayependa kufahamu anapata kitu,ila ukiwa kama msomi tena ni Prof jitahidi kuweka lugha vzr maana unachanganya kingereza na kiswahili kuna watu hawakuelewi hasa wale ambao lugha ya kingereza kwao ni shida

  • @kombafocus6996
    @kombafocus6996 8 дней назад

    Tatizo la KanisA letu la TAG ni kuingia sana kwenye dini roho hafanyi tena slogisism haipatikana tena hatua ya kuogopa uchawi ndani T A G sasa roho hayupo siasa na watu wanaenda kwa mitume au manabiiiiii

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 12 дней назад

    Kuokoka mdomoni tu lakini si rahisi wengi wanaamini kwamba kama hafanyi kitu kimoja au viwili kwa interest au matatizo yake binafsi basi kaokoka.Ni kuanza na amri kumi za Mungu na mengi tu hadi ujiite umeokoka kuokoka kunahusisha mengi sana ikiwemo usikasirike hata ukiona usitamani ikifika sikukuu mnunulie unachojinunulia jirani yako.

  • @josephanthon8037
    @josephanthon8037 9 дней назад

    bado haujatoa majibu kuhusu laana ya familia au ukoo.nakiomba usome tena Bibilia profesa

  • @wisdommbalila732
    @wisdommbalila732 16 дней назад

    Kuongezea pia hapo kama mababu walijufa katika dhambi inamana pia shetani anatumia roho zao kufatilia vizazi vyao

  • @solomonmugao4733
    @solomonmugao4733 22 дня назад

    Biblia haifuatwi. Kulingana Na Mila yoyote Hasa agano jipya. Paulo anasema baada ya wayaudi Kushindwa Na kazi Yao mlango ulifunguliwa Kwa wire wanaomwa mini kristo

  • @franaelisumari5108
    @franaelisumari5108 22 дня назад

    Asante Prof.

    • @dicksonsambala7756
      @dicksonsambala7756 10 дней назад

      Bibliabila iliandikwa kwanza kabisa kwa lugha ya kiebrania qcha kuzunguka mbuyu

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 12 дней назад

    Wanapozungumzia wana wa Israel taifa teule hua najiuliza si hao ndio hawakubaliani na mwana wa Mungu?

    • @dicksonsambala7756
      @dicksonsambala7756 10 дней назад

      Uyahudi ni dini kabisa inajitegemea na Yesu alizaliwa kwenye hayo mazingira lakini alikuja kutimiliza na kuna wayahudi walikataa utimilifu...

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 9 дней назад

      @@dicksonsambala7756 Yesu alitumwa kuja kuwakomboa wana wa Israel na hawakumkubali. Unaposema kutimiliza , kutimiliza nini? Kama dhambi ya Asili tayari Mungu alishasahukumu nyoka Hawa na Adam nasi tunaendeleza kutumikia hizo adhabu. Dhambi nyongine za ziada kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe