KILICHOMKUTA MAKONDA BAADA YA KUKATAA KUOMBA MSAMAHA KWA WACHAGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 433

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 5 лет назад +3

    That was humble in the part of Makonda. God bless you sir..the up and coming president of Tanzania!!!

  • @petrosanga1366
    @petrosanga1366 5 лет назад +1

    Mimi pia nampenda sana makonda hasa kwa sababu kazi nzuri anayofanya.ulimi hauna mfupa wote tumekutana kumuaga KAMANDA wa vita 'mzee wa I must' tumsamehe bure

  • @deodatieugeni624
    @deodatieugeni624 5 лет назад

    asante katibu B. Ally, busara yako ndio msingi wa ujenzi wa ccm mpya. asante Mwenyekiti F. Mbowe kwa kutokuwa mnafiki, lingepoa lingepita bila kukemewa. asante Askofu Shoo, kazi yako ya upatanishi tumeiona japo imeonyeshwa dharau umetimiza wajibu wako. R. I. P doctor Mengi. tukukumbuku daima.

  • @georgemhalla3515
    @georgemhalla3515 5 лет назад +7

    Iko hivi wachaga weng no mabahiri thus huwa wanafanikiwa Sana , ndomana makondo alichosema, kwamaba anashangaa kumuona mchaga anasaidia masikini!!! BT ala in all ,makonda me namuona alikua sahihi! Wala hakumaanisha kama vile mbole alivyokua amemaanisha!!! Tukutane 2020!!!!

  • @brysonsabun4657
    @brysonsabun4657 5 лет назад

    No hug whatsoever!! This is good to see people taking out what's in their hearts for a good will. Tutakuenzi Dr. Reginardi daima, upimzike kwa amani

  • @honesternanyaro2106
    @honesternanyaro2106 5 лет назад +11

    Dr Bashiru is not only intelligent but also clever

  • @starmpogoro8044
    @starmpogoro8044 5 лет назад +31

    Nyie Nikwer wabinafsi Tunawajua Minidreva tunawaona kwenye kampany Wakiwa wachaga kwenye kampany Kuingia kabila lingine Nishida Sana

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324
    @adelaidedaycareprenurseryk6324 5 лет назад +3

    Dr. Bashiru himself msomi wa kweli na ukweli umemukuweka huru nakupenda sana mpenda haki wakati fulani. Makonda unyenyekevu ndio mtaji wewe sio malaika. We love you.

  • @sadasaid4408
    @sadasaid4408 5 лет назад

    Ni kweli kamsifia mchaga hajakosea, be strong Makonda hujakosea ni tafsiri zao zimekwenda mbali ndio maana, kama unavyosema, Zidi kumuenzi mzee wetu, Allah amrehemu

  • @stevelayda8555
    @stevelayda8555 5 лет назад +10

    Kwa Mara ya kwanza leo nimeipenda kauli ya kiongozi ccm. Bashiru uko juu kweli we ni msomi.

  • @justinemathiasngwandu7715
    @justinemathiasngwandu7715 5 лет назад +3

    Asikofu na bashilu mnalenu Jambo siyo bure, nikipi ambacho Makonda alikisema kibaya? Asante Makonda kwa hekima.

    • @aminabakari3799
      @aminabakari3799 5 лет назад

      Alivyosema mengi kasaidia walemavu na watu maskini utazani yeye so mchaga, kasema mchaga kutoa pesa yake kwakumsaidia mtu ni ngumu,

  • @hassankihonde1275
    @hassankihonde1275 5 лет назад +1

    Kweli nimeamini ni Mungu pekee ndio anajua yaliyomo mioni mwetu coz cdhani kama Mh. Makonda alikuwa na nia mbaya yakuongea vile ila fikra na mitazamo tu ya watu Ndio imemtafsiri vibaya jamani, binafsi yangu namkubali sana Mh. Makonda na namuona kama kiongozi wa zawadi kwa Tz ila wengi wa watanzania hawalitambui hilo, I love u, I respect u and I salute u Sir √

    • @chachamagoti2400
      @chachamagoti2400 5 лет назад

      Hassan Kihonde We ndo uliku myoni mwake au we n mwerevu kuzd wtz ambao hawakupendezwa nayo.

    • @hassankihonde1275
      @hassankihonde1275 5 лет назад

      @@chachamagoti2400 uzuri ni kwamba nipo chanya zaidi na ndio maana nimemuelewa kwa upande chanja na hasi kama wengine,

  • @yohanakidugala1332
    @yohanakidugala1332 5 лет назад +5

    Asante saana Katibu mkuu CCM.... upo vzr saana Ongera saana

  • @alexbaynet3426
    @alexbaynet3426 5 лет назад

    Hiyo ndo kazi ya kanisa. Pia nafurahi sana kumwona mwalimu wangu wa lugha ya alama akitafsiri kwa lugha ya alama mwalimu Protas Mwalongo

  • @seifmwinshee3593
    @seifmwinshee3593 5 лет назад

    Makonda ajakosea sema mnapenda kukuza maneno.wachaga nao tatizo kama mengi ni wachache sana

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 5 лет назад +8

    Makonda upo sawa hujakosea kitu hapo hao wachaga hawajui kiswahili ndo shida

    • @tibrucemushi1735
      @tibrucemushi1735 5 лет назад +2

      wewe hata katibu mkuu wa ccm anamwambia ukweli halafu kijambo kama wewe unakurupuka hapa.....

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 5 лет назад

      @@tibrucemushi1735 we mkundu tulia

    • @angelswaum8435
      @angelswaum8435 5 лет назад +1

      TIBRUCE MUSHI kwani katibu mkuu ndo nani au ndo mingu sasa

  • @dillisalum2384
    @dillisalum2384 5 лет назад

    Makonda analogic sana ndicho namkubalia, good boy

  • @godhelpkimaro6742
    @godhelpkimaro6742 5 лет назад +1

    Mungu akubariki Sana Askofu Shoo,hakika Mungu azidi kukutunza Baba,hiyo ndio kazi Bwana Yesu alikuja kufanya Hapa Duniani UPATANISHO!!!!!

    • @imanuelmtui6619
      @imanuelmtui6619 5 лет назад

      Sioni makonda alipo kesea tuache siasa za kijinga mbowe hatukuelewi

  • @rajabumlawa6209
    @rajabumlawa6209 5 лет назад +15

    Nimekuelewa sanaaa katibu mkuu dr bashiru ally

    • @vicentjoshua7507
      @vicentjoshua7507 5 лет назад

      Kwanini kwenye misiba wanasiasa na wasanii ni shida

    • @rajabumlawa6209
      @rajabumlawa6209 5 лет назад +1

      @@vicentjoshua7507 yan cjui wapi tunafeli maana ule ni msiba mbowe alipaswa aliseme tatizo nje ya msiba

  • @jaffarmguwa5566
    @jaffarmguwa5566 5 лет назад +25

    Kama ungemsifia msukuma kisha ukawaponda wachaga hapo lingekuwa kosa....lkn umemsifu.mchaga na ukawataka wachaga wengine wawe kama doctor mengi....ukweli siku zote unauma

    • @ikupamwaisoba7379
      @ikupamwaisoba7379 5 лет назад

      Umeona eee yaani ni shida hizo ni siasa tu lkn amewakomesha sana tafsiri mbaya yao

    • @tikokibila7220
      @tikokibila7220 5 лет назад

      Nyinyi mamaku acheni ushabiki jamanii.

  • @godhelpkimaro6742
    @godhelpkimaro6742 5 лет назад +1

    Barikiwa Kiongozi,hakika una maneno ya hekima mh mbowe,pia Katibu barikiwa Sana

  • @chrissimbeye208
    @chrissimbeye208 5 лет назад +22

    Mbowe ni mchonganishi sana makonda yupo sahihi nikweli wa chaga ni wagumu sana hawawez kujitoa kama alivyo kuwa mzee mengi tunajua wapo wengi sana wachaga wenye pesa lakin wenye moyo wa kusaidia hawapo

    • @jacklinechengula4933
      @jacklinechengula4933 5 лет назад

      kabisa

    • @simulizizakiroho2674
      @simulizizakiroho2674 5 лет назад +1

      upuuzi unawaza kwani wachaga tu wenye mali nyingi tanzania mbona wao hawajasaidia walemavu kwa kiasi cha Mengi

    • @mussaabdiel9797
      @mussaabdiel9797 5 лет назад

      Chris Simbeye mchanga anasaidia ndugu zake tu

    • @chrispinemallya2420
      @chrispinemallya2420 5 лет назад

      Kwa taarifa yako wapo wachaga wengi wanaosaidia katika jamii pasipo kujulikana.. Ndio maana sehemu yenye wachaga lazima pana msukumo mkubwa wa maendeleo. Nashindwa kuelewa kwann wachaga wanachukiwa! Wakati wanajitahidi kutoa huduma za kiuchumi zinazobadili maisha ya jamii ya eneo walipo.. Mungu ibariki Tanzania.

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 5 лет назад

      Kuna mchaga kasema wazi kuwa wagumu kutoa kutokana njia wanazotumia kuipata hiyo pesa
      Nyingi so halali

  • @jamalimtima6176
    @jamalimtima6176 5 лет назад +17

    Kwa hili,Makonda yuko sahihi tu Wachaga wana ubaguzi mno

    • @nkubapaul8531
      @nkubapaul8531 5 лет назад

      Watu hawakumwelewa makonda kwa sababu wanamchukia

    • @simulizizakiroho2674
      @simulizizakiroho2674 5 лет назад

      sio kweli ndugu,mbona Moo dewji hata misibani hatumuoni usiwe shabiki tu

    • @gracedismas1108
      @gracedismas1108 5 лет назад +1

      Mijitu mingine haijielewi mchagga mchagga sishangai ila wewe unaesema mchagga mbaguzi je ulishawahi kumsaidia hata mtoto wa nduguyo au ndio hivyo tena ufahamu kwisha

    • @jamalimtima6176
      @jamalimtima6176 5 лет назад

      Getruda Msaki .Tunaishi nao,2nawajua.Njoo mbezi au maeneo yaliyojaa wachaga,hakuna mchaga ambae anaweza kununua hata nyembe dukani kwa m2 ambae cyo mchaga mwenzie

  • @gidionmlwae3282
    @gidionmlwae3282 5 лет назад +1

    Bashiru aliingizwa chaka mbowe yupo kisiasa ameona amemkomesha makonda hahahaha makonda alikua sahihi

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 5 лет назад

    Huyu Mpaka Mh Bashiru anamsema hadharani, Anawakera kwa mengi sana, Tunayobahatika kuyasikia ni yale anayoyaropoka kwenye Kamera.

  • @andrewmwita119
    @andrewmwita119 5 лет назад +1

    Duh Jamaa anakiburi yani alikuwa anataka kukataa kwenda kuomba msamahani tena msibani na kanisani!!!!!

  • @danielmgogo6484
    @danielmgogo6484 5 лет назад +5

    MAKONDA UMEOMBA MSAMAHAA TU WAKATI ULISEMA UKWELI UMEWAGUSA SAAANA NA KATIBU MKUU WA CHAMA ANACHUKI BINAFSI NA MAKONDA MAANA ALIUTAKA UKUU WA MKOA WA DAR NDIO MAANA AMEANZA KWA KUMSHAMBULIA MAKONDA HADHARANI AMEONYESHA CHUKI ZAKE WAAZI

  • @agnessjosephath4330
    @agnessjosephath4330 5 лет назад +20

    Kwa mfano kama Makonda asingekuwepo mgeongea nini Makonda kamsifia mchaga katikati ya wachaga

  • @scayroad8500
    @scayroad8500 5 лет назад +13

    HIZO NI ROHO YAKO MBAYA KWA MAKONDA MM NI MLEMAVU NI KWELI HAKUNA KAMA MENGI HAIJAWAHI KUTOKEA KWANI NI UONGO

    • @gracedismas1108
      @gracedismas1108 5 лет назад

      Unatamani kila anaekuja kukusaidia awe anajitambulisha kabila lake mnaongea ujinga ndio maana Mungu analipa kwa njia yake embu nitajie mkabila mwingine unayemjua anakusaidia kila siku kama sio muumba wako ulimi unatuponza watanzania

    • @gadsentz6519
      @gadsentz6519 5 лет назад

      Scay Road alishawah kukusaidia uyo mengiii ? zaid yakumsikia kwenyenredio

  • @mathewlive77
    @mathewlive77 5 лет назад +6

    Watu walisahau kwamba wapo msibani, shangwe na vigelegele kama vyote. Asante Mungu mana umewasamehe wote katika jina la Yesu .

  • @salmaothuman9762
    @salmaothuman9762 5 лет назад +3

    MAKONDA UTABAKI KUWA JUU💪💪💪💪💪

  • @amariaelieneza1854
    @amariaelieneza1854 5 лет назад

    Nimekuwa nikifuatilia speech za huyu kiongozi. Mara nyingi amekua akikosa mtiririko wa mawazo mazuri mwishowe kuwakwaza watu. Awe anaandaliwa speech

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 5 лет назад +3

    Hapo Mbowe umeingiza siasa wala Makonda hakubagua, sifa ya Wachaga ni ubahiri kwenye pesa, hawana mchezo na pesa hilo lipo wazi, hamkumwelewa, umetumia ubabe kwenye madhabahu.

  • @seifzongo320
    @seifzongo320 5 лет назад +43

    Makonda kaongea points Sana,amesema nimemsfia mchaga katikati ya wachaga that's point hakuna shida n wivu tu🤣🤣🤣🤣

    • @malasimuhidin9510
      @malasimuhidin9510 5 лет назад +7

      Kaka pale hakuna mchaga pekee. Kuna viongozi na makabila tofauti yanayoishi huko MOSHI na Arusha. Bado tunahitaji viongozi waliofundwa kama Dr. Bashiru alivyosema

    • @twahashekimweri3024
      @twahashekimweri3024 5 лет назад

      Angemuita tu. Na sio kuumbuana. Busara itumike

    • @twahashekimweri3024
      @twahashekimweri3024 5 лет назад

      Alafu bora wangeongea ayo mambo baada ya maziko. Mbowe nae hana busara

    • @hamisikabwe3980
      @hamisikabwe3980 5 лет назад +1

      Umemsifia mchaga kati ya watu wote Makonda kuwa mkweli na ukubali kukosolewa,hapo walikuwepo watu wengi na hata vyombo vya habari viliipeleka sauti yako mbali dunia nzima,hivyo hukustahili kuongea vile.

    • @mussaabdiel9797
      @mussaabdiel9797 5 лет назад

      Yp

  • @boazsebastian358
    @boazsebastian358 5 лет назад +17

    mh makonda amefedheheshwa kauli ile haikuwa ya kubeza wachaga Bali hapa uchanganuzi wa sentence ndio ulileta shida ,yeye alimaanisha wachaga ni watu wanaojua pesa sana ,na kila mtu anajua hilo .Mbowe yeye anasumu yake moyoni aliamua kutema nyongo madhabauni ule sio uwanja wa siasa kaka hakuna kiongozi shupavu kama RC makonda mtasubili sana achana na jembe apige kazi msimfanyie demolization.

    • @masagakasunzu7824
      @masagakasunzu7824 5 лет назад +1

      Boaz Sebastian mmmmh mmmmh mmmmh mmmmmmh ukikosea kubali no one is perfect

    • @beatricegondwe2726
      @beatricegondwe2726 5 лет назад

      Nonsense

    • @justinemathiasngwandu7715
      @justinemathiasngwandu7715 5 лет назад +1

      Hata mie sijaona kosa la Makonda, Nimefatilia kauri zake toka msiba umetokea sioni Kama neno lile lilikuwa la Kubebea bakuri namna ile. Lakini Sasa nagundua hapa nikweli kabisa hawa jamaa wanaubaguzi choyo naroho mbaya. Hakika Makonda kwa hili wamemfedhehesha na huyu bashiru sijui tu, hapo Kuna kitu tuache ishabiki wa kisiasa na chuki, eti unamchukia mtu hata huna kisa naye,🤔 hiyo ni Roho ya kishetani kabisa.

    • @jenniferdominic6128
      @jenniferdominic6128 5 лет назад +1

      yan wamekuza jambo balaa

    • @faidamashala8933
      @faidamashala8933 5 лет назад +1

      Wamemkosea makonda,ndo tatizo LA siasa

  • @vinmilez5739
    @vinmilez5739 5 лет назад +16

    Makonda sio mtoto,hadi aje aseme kua huu msiba co wa wachaga,lazma watakua walimbagua,ila ndo kawahiwa hana namna

    • @f.a6043
      @f.a6043 5 лет назад

      😁😁😁

  • @bro.thobiassilas421
    @bro.thobiassilas421 5 лет назад +1

    Umefanya vizuri sana mr mbowe.Makonda elimu ni mdogo akapewa nafasi katika utawala.Yaani umemweza .

  • @hamismasoud8306
    @hamismasoud8306 5 лет назад +4

    Wachaga wabahili kweli na mchungaji wao pia ni mchaga ndio maana kawaka 😂😂😂

  • @elieshishamy9902
    @elieshishamy9902 5 лет назад +4

    Kirikuu!!! Chokoza nyuki ukule asali

  • @mussaabdiel9797
    @mussaabdiel9797 5 лет назад

    Mchaga au mpare ukimtoa mengi marehemu RIP mungu akulinde uendako baba, mchanga mwingine yeyote yule ukifiwa au ukiwa na sherehe atakuchangia ila sasa mtoto akiungua moto au kurudishwa ada ya shule atakukopesha ,

  • @magneticfootballtz1607
    @magneticfootballtz1607 5 лет назад +2

    Mimi sio muumini wa siasa kabsa lakini hapa Makonda kama anadhibiwa kwa visasi tu ametoa sifa katika tafsiri ambayo waliua wanasubiria ateleze waanze manyanyaso tu

  • @esa_traveller
    @esa_traveller 5 лет назад

    Daaaaa af makonda alimind sanaaaa ila hakua na nia mbaya

  • @piijey7977
    @piijey7977 5 лет назад +9

    Lipo nililojifunza hapa. Kiongozi usitanie watu. Nilichodhani wakati RC Makonda anasema maneno yale pale Karimjee Hall, alikuwa anamsifia Mengi kuwa ni Mchaga tofauti sana na wachaga wengine, na alifanya kutania kwa kusema aliyoyasema. Mimi binafsi niliona ni utani tu. Kumba haikuwa hivyo. Hilo nimejifunza namimi.

    • @aishahassan1179
      @aishahassan1179 5 лет назад +2

      Kweli kabisa akuwa na nia mbaya

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 5 лет назад

      Hats hivyo msg sent ni kweli hawasaidigi kama wewe sio mchaga mwenzie
      Utani ulio kweli

  • @alimakaba6170
    @alimakaba6170 5 лет назад +11

    Kiongozi anaNAFASI kubwa na huenda akawa anaruhusiwa kuongelea mada yoyote kutokana na mazingira husika au hata mifano kuhusu sehemu au mtu katika mazingira husika lakini tu kisiwe kitu kiendelevu..hapa Unahitajika uwe na ufahamu mzuri kidogo ili kuweza kuligundua hilo la sivyo utakurupuka kuwasilisha reaction yako. Mfano kama kijiji kina fanya mazuri mengi kiongozi anaweza akasema nawapenda sana watu wa kijiji hiki ni watu wazuri sana.. Lakin haimaanishi kama vijiji vingine anavichukia au anaweza hata akasema watu wa kijiji hiki ni wabaya sana kama kukiwa kuna mambo yasiofaa yanaendelea humo, lakin pia hajaimaanisha watu wakichukie kijiji hicho, sasa alivyo sema sio rahisi kumuona mchaga anasaidia watu walemavu hakumaanisha wachaga wabaguliwe au kumlaumu marehemu ila ametoa mfano huo kama kuongeza hadhi kwa marehemu. Sijui kama labda mimi ndo sijaelewa vizuri.!!!

    • @ikupamwaisoba7379
      @ikupamwaisoba7379 5 лет назад +1

      Yaani wewe ndo uko sahihi sana kuliko mbowe na askofu ubarikiwe mpendwa

    • @nanaimgeri8587
      @nanaimgeri8587 5 лет назад +1

      Ali Makaba so smart

    • @margretlukindo413
      @margretlukindo413 5 лет назад +1

      Ndivyo

    • @gloryngomuo127
      @gloryngomuo127 5 лет назад +1

      Ni ukabila huu.......ukisema w2 wa kijiji hiki ni wazur cjui nn n sawa coz wote n wa2......ss ukianza kutaja makabila haipendezi........

  • @mako331
    @mako331 5 лет назад +8

    Unnecessary drama in the house of God, baba askofu ungezuia hili

  • @tarickadam7294
    @tarickadam7294 5 лет назад +6

    Kwan uongo!!! wachaga awawezi sahiidia walemavu
    Makonda yupo sahii

    • @gracedismas1108
      @gracedismas1108 5 лет назад +1

      Wewe umewasaidia wangapi

    • @minjashose2159
      @minjashose2159 5 лет назад +1

      Tarick Adam me naona ni chuki binafsi na usiasa mpk msibani mimi mwenyewe kukusaidia lbd unkute nakula tule wote so nkupe pesa or

    • @tarickadam7294
      @tarickadam7294 5 лет назад

      @@minjashose2159 kweli kbx

    • @joelsamson6840
      @joelsamson6840 5 лет назад

      Yupo sahii makonda tatizo nikuambiwa ukweli

  • @innocentpaulchillu1512
    @innocentpaulchillu1512 5 лет назад +23

    Nyny ndo wabaguzi,wapi makonda alimbagua mtu,mnaleta kuchomekeana na visasi Hadi msibani.shem on you guys.

    • @daviseliona3507
      @daviseliona3507 5 лет назад

      Hahahs

    • @godsfinalwarninggfw6492
      @godsfinalwarninggfw6492 5 лет назад +3

      Wewe labda hujui kiswahili ndo maana hujaona kama amaleta ubaguzi. Lakini wenye akili kama vile Dr Bashiru, Dr Shoo walielewa kuwa huo ni ubaguzi. Wewe tu ndiyo hujaelewa, siyo tatizo lako, ni uelewa tu!

    • @godblessmwanri80
      @godblessmwanri80 5 лет назад

      hekima ni muhimu sana ...

    • @aminabakari3799
      @aminabakari3799 5 лет назад +3

      We ulitaka aambiwe kwenye sherehe hali yakua amekosea msiban, au unajitoa ufaham

    • @thomaselibarick8058
      @thomaselibarick8058 5 лет назад

      innocent paulchillu una akili ndogo fala mkubwa

  • @japhetmlungu762
    @japhetmlungu762 5 лет назад +2

    Viongozi wa hawamu hii kweri awajaandaliwa. Katibu wa wachukua chako mapema umesema ukweri wako. Wengi awana kauri nzuri, wengine uwasema maneno Makali kwa mtu ambae ni sawa na mzee wake, babu yake au kaka yake. Bila kueshimu umri. Huu ndiyo udhaifu ulioogelewa na Cag.

  • @sadockjoseph4555
    @sadockjoseph4555 5 лет назад +1

    Du! Ndo viongoz hawa sasa.....Mungu atawaumbua sana tu acha tusubir ipo cku ujinga wao utawaisha tu

  • @centralboytz4240
    @centralboytz4240 5 лет назад

    Dah aisee Had mazabahun hamuon aibu jaman kwny ishu nyet km hyo #ripmengi

  • @amiriabud6521
    @amiriabud6521 5 лет назад +3

    Makonda hana kosa mbowe ndolinakosa lijibaba lakini likiambiwa ukweli halitaki limekaa kisiasa siasa tangia nizaliwe sijawahi ona mchaga akimsaidia mremavu zaidi ya Dr. Mengi tu

  • @kilosasofadesigner6218
    @kilosasofadesigner6218 5 лет назад +1

    Kweli nimeamini Malipo ni hapa hapa duniani Mbinguni hakuna Banki iyooooo!!!!?? #Pierelikwidi_bwana🤣

  • @theobarddimoso8835
    @theobarddimoso8835 5 лет назад +1

    Vijana tupo wenye heshima na maadili tumelelewa vyema na wazazi wetu na JKT imetupa uzalendo mkubwa tu lakini mmetusahau na kutuona sisi chapa vumbi hatufai lakini tunazidi kuwaombea hao mnao waona wanafaa ili taifa letu lizidi kuwa salama.

  • @lilianurio9781
    @lilianurio9781 5 лет назад

    Kaka angu makonda hao ni wachaga, ingekuta ni mmasai au mmeru baba dhuu.

  • @iambaizo
    @iambaizo 5 лет назад +5

    mbowe ni mchonganishi kwani ni uongo wao si wabahili

  • @barakanyambele4673
    @barakanyambele4673 5 лет назад +15

    Hii ni sehemu ya ibada ya kuaga mwili wa marehemu, sasa haya mengine yanatokea wapi

    • @dottonatha3770
      @dottonatha3770 5 лет назад

      Baraka Nyambele 🇲🇺

    • @lamekisimoni2809
      @lamekisimoni2809 5 лет назад

      Kwenye wengi pana mengi Ila makonda nae kazidi kwa nini kila kitu ni yeye tuu

  • @ibrahim82649
    @ibrahim82649 5 лет назад

    Asante mbowe

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 5 лет назад +2

    Makonda usiombe msamaha
    Uko sawa kabisa

  • @stephenhosea1113
    @stephenhosea1113 5 лет назад

    Mmemdhalilisha Makonda bure shida ni kwamba mmemtafsiri vibaya maana yake haikuwa kuwakosoa wachaga ama kuwadharau na kuwakejeli kulikuwa hakuna haja ya kumuita mbele huo ni udhalilishaji tu kama tayari mlimtangazia msamaha basi mngemuacha atulie sasa mmeleta siasa na hila zenu juu yake kanisani sio vizuri

  • @sondanzingulasondasam4029
    @sondanzingulasondasam4029 5 лет назад +15

    Sasa makonda alibeza kabira la kichaga kiaje huyoo Mbowe nimeamini Hafai kuwa kiongozi Vitu vidogo kama Hivi unalopoka hovyoo kweli kuwa kiongozi unatakiwa uwe makini na busara

    • @deusmauka9626
      @deusmauka9626 5 лет назад

      Mbowe kachemka kwa kweli, wamelishupalia kweli hilo.

    • @chachamagoti2400
      @chachamagoti2400 5 лет назад

      Sonda Lolela Wewe hovyo zaidi ya makonda. Makonda na mbowe nani hayuko makin.

    • @kassimmkemae1533
      @kassimmkemae1533 5 лет назад

      Mbowe kakulupuka na lengo lake amzalilishe Makonda lkn kwa nilichoelewa mm nothing bad for Makonda

    • @salomekyando428
      @salomekyando428 5 лет назад +1

      Sonda Lole
      la

    • @gracedismas1108
      @gracedismas1108 5 лет назад

      Nyumbus kwa kufata mkumbo

  • @paulonima6947
    @paulonima6947 5 лет назад +3

    Makonda acha kujikweza Umekosea ulimi hauna mfupa Msukuma mwenzang

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 5 лет назад +5

    Kipekee sana nampongeza RC Makonda kwa KUKATAA kuomba radhi. Kuomba radhi ni lazima ukubali kwanza kuwa umekosea (feeling guilty) Makonda hajakosea chochote. Dr. Bashiru ukiona wapinzani wa Kitanzania wanakusifia ujitathmini. Mimi ndio kwanza nimejuwa kuwa Dr. Mengi ni Mchaga na kwa ninavyowaelewa Wachaga na pesa hakika Dr. Mengi kwa namna alivyogawa pesa ni Mchaga wa ajabu. Acheni kuingiza visasi vyenu kwenye msiba.
    Wala sio ubaguzi kila kabila Tanzania lina sifa yake. Wachaga ni wapenda pesa, Mhe. Mbowe ametokea familia ya kitajiri sana na asimame atwambie keshachangia wapi hata shillingi mia?
    Wazanzibar hawana kabila lkn sifa yao wanaume wa Kizanzibar ni waaminifu kwa mambo yote lkn usije ukamuachia mwanamke, wanaume wa makabila yote wanapenda hiyo kitu ndio Rais Mstaafu Mwinyi aliwahi kusema UKIMWI umeingia pabaya, tunapahitaji sana pia Rais Magufuli alisema watoto wa shule wasiachiwe uwo mchezo ni mzuri!
    Wanawake wa Kitanga - mapenzi.
    Sumbawanga - uchawi
    Wazaramo - ngoma nk.
    Wala sio ubaguzi ni kautani fulani hivi. Dr. Bashiru unasababisha watu kupiga makofi msibani kwa uadui wao na Makonda. Mbona wewe hujaomba radhi Waislam kumuombea pepo Kafiri. Hilo kosa lako ni kubwa zaidi. Mungu atamnyoosha Makonda njia iliyonyooka kwa utukufu wa Ramadhan. - Amin

    • @albertmwinde487
      @albertmwinde487 5 лет назад

      Mh aiseee anyway hata wewe unastahili kusamehewa bure tu.
      utani mzuri sana kwa mtani sasa msukuma na mchana wanautani tokea lini???? Inawezekana Alisema sio kwa nia mbaya lakini ukweli ni kwamba kwa wachaga wenyewe inawezekana hawakupendezwa ndio maana wamelazimika kusema kupitia mdomo wao(mbunge) lakin kuomba radhi pia sio dhambi au haihalalishi umekosea ni hekima tu haswa mbele za watu wengi akiwemo boss wako hapohapo

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 5 лет назад

      @@albertmwinde487 Mimi nisisamehewe sijisikii kufanya kosa. Dr. Bashiru alikuwa afanye kazi aliyotumwa ni dhahiri hajaagizwa kuomba radhi. Msingi wa kuomba radhi na kusamehe ni kukosea. Makonda hakukosea wala hakutania .Ukweli ni ukweli tu ukiupenda usiupende, Dr. Mengi ni mchaga wa ajabu! Alisaidia sana watu kwa fedha kitu ambacho kwa watu wengi hasa Wachaga ni kigumu. Mhe. Mbowe ni tajiri na katokea familia ya kitajiri, kupinga alichosema RC Makonda asimame atwambie keshasaidia wapi?

    • @imeldabamba3779
      @imeldabamba3779 5 лет назад

      Huyo Bashiru sijui mi naona nae km anatafuta kiki tu, watu wamemchukia sana makonda ht sijui kwa mini eti,kuwa katibu mkuu ndo anajiona yuko juu kinoma,hakuna mkamilifu hata yeye ana mabaya yake pia.Wanamnyanyasa sana makonda,

    • @ikupamwaisoba7379
      @ikupamwaisoba7379 5 лет назад

      Haji Hassani umenifurahisha babaangu Mungu akubariki sana hakika peke haki pana maadui milioni,nimemsifu sana Mh.Makonda kukataa kuomba msamaha ht alipolazimishwa kuiendea maic alichoongea hakika wanaosema hajasoma nadhani wao ndo brain ziro kbs,nimefurahi katoa shukrani kwa waliomshurutisha na kumtungia uongo,na kusema nahisi tafsiri ya kumsifia mchaga mbele ya wachaga ndo tatizo hahahaaaa eneo hili nacheeeka...Mungu muongezee hekima ya maneno kijana huyu,endelea kupigana nao watunga uongo juu yake,nisingemsikia na masikio yangu pale karimjee nisingeongea yote haya lkn watu warudi darasani kwa ajili ya somo la kiswahili kigumu kuelewa alimaanisha vzr tu huyu bwana mdogo Makonda lkn mbowe na askofu loh! Ht huyo katibu wa ccm bado sijamuelewa kbs labda hiyo ya simiyu anayoisema coz siijui ila aangalie makofi aliyopigiwa leo cku moja yanaweza kugeuka kelele za kuzomewa binadamu hawa oohooo..

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 5 лет назад

      @@imeldabamba3779 Dr. Bashiru ni Big Boss kweli, kimsingi watumishi wote wa Serikali ukiacha Rais wapo chini ya Dr. Bashiru lkn kama hakuna kingine nyuma ya RC Makonda hata kama Dr. Bashiru hakutumwa kumuombea radhi RC Makonda ilikuwa itoshe kusema vile sio tena na RC Makonda aitwe, kule ni kudharauliwa kwa Dr. Bashiru yeye kageuzwa tu kiki mashine ishawaka yeye anatulia.

  • @exhaudyvalentine1767
    @exhaudyvalentine1767 5 лет назад +11

    Kama Umeona Gnzi ya Mkuu wa Mkoa Magotin kaichana chana kama za Wcb like hapa

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 5 лет назад +2

    Kama utani ungesema kama mzee magu anavyo semaga watani zangu. Sasa we umenyooka kama rula umekosemea sana sana. Usiwe mbishi kubali yaishe tu

  • @elisantemrita3582
    @elisantemrita3582 5 лет назад +7

    Chezea wachaga wewe wachaga ni moto
    Tumekusamee
    Ila mbowe Acha kutafuta kk msibani
    Kwahili mwakani kura hupati

    • @seifmwinshee3593
      @seifmwinshee3593 5 лет назад

      Wakutafuta wachaga kama mengi nao makonda yupo sahihi sana sema watu awampendi tu makonda komakaaa

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 5 лет назад +1

    Ktk maisha ukiwa una kauli uchafu basi kila mahali hautakua na thamani

  • @ikupamwaisoba7379
    @ikupamwaisoba7379 5 лет назад +3

    Umekwazwa nini wewe!!! daaah pole bwana mdogo Paul Makonda kweli unachukiwa lkn naamini kbs wewe ni mti wenye matunda nilikufatilia sana pale karimjee kauli yako wala haikuwa ya kuwakwaza watu ht katibu bado sijamuelewa hapo kwanini alisema hivyo alikosea wapi? Km alikosea huko simiyu ok mimi sikuwepo lkn karimjee loh na watu eti wanasema kbs bwana asifiwe kwenye siasa zao yupi asifiwe,lkn nimetambua uchagani si ndo pipoo..wamekulazimisha dogo lkn bado uliwapiga kwa neno zuri kuwa tafasiri haikuwa njema maana ulimsifia mchaga mbele ya wachaga hahahaaaa nakukubali bwana mdogo hakika Makonda jembe

  • @denishamka8657
    @denishamka8657 5 лет назад +3

    Kweli bwana wachaga niwachache wanao toa misaaa Dr mengi ndio shujaaa wa misaaada

    • @asteriambwei95
      @asteriambwei95 5 лет назад

      Je nyie wengine ambao siyo wachagga mnaongonza na nini ? Tuambieni

    • @happynnko9370
      @happynnko9370 5 лет назад

      Nikabila gani linalotoa misaada sasa !!??kila mtu anatoa kwa wakati na kwa nafas yake

    • @emmanuelmoses7382
      @emmanuelmoses7382 5 лет назад +1

      Alosema makonda nikwel lkn kakosea ktamka adharani

    • @samwelyngowi6670
      @samwelyngowi6670 5 лет назад +1

      asilimia kubwa ya wasukuma wapo moshi wameajiriwa. mnataka wachaga watoe misaada gani??

    • @habibumdetele6530
      @habibumdetele6530 5 лет назад

      Wazaramo wanaongoza kutoa mimba tu na sio misaada.
      Mkoa ambao wananchi matajiri wamejitolea kujenga shule binafsi zinazosaidia kuondoa ujinga wa nchi hii ni Kilimanjaro.
      Na hata huko Dar ni hawa watu wanaofanya uchumi wa nchi hii ukue, kwa mfano tu kafanye tafiti Kariakoo au China kujua idadi ya wafanyabiashara wanaoliingizia taifa hili kodi kati ya hayo makabila mnayojivunia.

  • @bintihussein502
    @bintihussein502 5 лет назад +10

    Makonda umeonewa tu..kwani kusema ukweli nishida looh!

    • @hhonest9553
      @hhonest9553 5 лет назад

      Binti Hussein unajua unachokisema au?? Mbona serikali ikiambiwa ukweli inakua shidah??Double standard ww.

    • @bintihussein502
      @bintihussein502 5 лет назад

      HHS hs nakijua nannamaanisha.

    • @bintihussein502
      @bintihussein502 5 лет назад

      HHS hs alafu kumbuka Mimi sio wewe hivyo kamuulize kama nawewe unaakiri zakushikiwa unikomeee

    • @hhonest9553
      @hhonest9553 5 лет назад

      Binti Hussein najua kama wewe sio mm.Comment yako tu inaonesha huezi lingana na mm ata mara moja.Lapili mimi siingii period.So yah,we are soo different.Go find yaself job.U seems u gat nothing to do.Au kapike japo maandazi ramadhani hii.

    • @bintihussein502
      @bintihussein502 5 лет назад

      Uliona wapi shoga akaingia period?? Mungu aniepushie

  • @nzomukundafatuma5364
    @nzomukundafatuma5364 5 лет назад

    Hahaaha mung wanh Tanzanie kweli iyi ni haya kweli.
    Mbona alikuwa amekata

  • @nicolausnicolaus734
    @nicolausnicolaus734 5 лет назад +2

    Mimi ni mboka kwetu wachaga c wabaguzi ila wanajitambua nakuihshipi sent yao wanayo ipata kwa jasho ,makonda jipange

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 5 лет назад +6

    MAKONDA = TRUMP

  • @hajiharun3587
    @hajiharun3587 5 лет назад

    Kumbe madhabahuni suruali za stahili ile mbele ya hafla kubwa kwa Mtu mwenye heshma ktk Taifa unamuaga kwa Vazi lile, Dr. Bashiru nimekuelewa.

  • @ashahassan4032
    @ashahassan4032 5 лет назад

    ukiuwa kwa upanga utakufa kwa upangaa.... alichomfanyia pieree

  • @priscasiame9179
    @priscasiame9179 5 лет назад +2

    Kwenye misiba ya watu maarufu.watu maarufu waliozimika wanapata nafas yakukiki sasa kosa lake lipi hapo mh makonda?hila si vema asaivi mnamuandama sana cheo icho wanakitaka takecare kaka makonda uliokalbu nao ndo wabaya kwako

  • @trilionea_online_TV
    @trilionea_online_TV 5 лет назад +9

    Kauli ya Makonda haikua mbaya, ilikua ni utani tuu

    • @anniekawa3105
      @anniekawa3105 5 лет назад +2

      Wachaga hawanaga utani msibani kabisa ksikae arudie. Na inajulikana watani wetu ni wapare na wao wanatuelewa hatutakagi utani kwenye msiba.

    • @pascalcharles517
      @pascalcharles517 5 лет назад +1

      Tumia ubongo

    • @fadhilimwakikome5168
      @fadhilimwakikome5168 5 лет назад +1

      Jefta Trilionea huwe unafililia na ww utani kanisan

    • @naomycharles813
      @naomycharles813 5 лет назад

      Fadhili Mwakikome naomba nitafute tafadhali

    • @naomycharles813
      @naomycharles813 5 лет назад

      Asante san Fadhili Mwakikome, nakutafuta sasa ivi

  • @emmanuelmerick5936
    @emmanuelmerick5936 5 лет назад

    Mdomo na ulimi ni kitu kidogo ila usipoutunza na kuitumia vyema inaweza kukuharibia mfumo wote wa maisha

  • @gracegrace3087
    @gracegrace3087 5 лет назад +5

    Mbowe acha kuleta siasa za Kenya misibani.

  • @novatusabond9253
    @novatusabond9253 5 лет назад +3

    Makonda ni mkuu wa mkoa msimfanye kama mtoto

    • @kyekwew3216
      @kyekwew3216 5 лет назад

      Novatus Abond ... then he should have acted as an adult,when someone acts foolishly then they are fools. When you apologize you don’t use the same breath to defend your actions.

    • @salmahsharifu7096
      @salmahsharifu7096 5 лет назад +1

      Mbele za mungu haswa madhabauni hamnaga mtu kubwa wala mdogo ndo maana uliona hata rais magufuli alikusnywa sadaka mwenyewe mbeya bila kujali cheo chake

  • @frankmakeula4506
    @frankmakeula4506 5 лет назад +2

    Mkuu wa mkoa hakuwa na maana mbaya mheshimiwa Mbunge ndio tatizo acha siasa msibani

  • @kechbowcech3325
    @kechbowcech3325 5 лет назад

    Mimi nimsukuma.... wachaga si watani wetu jamani....
    mbona mnachukulia serious Sana.... au humumpendi makonda

  • @samuelmwambashi4168
    @samuelmwambashi4168 5 лет назад

    Wabsguzi ni nani kati ya wahudhuriaji na Makonda?

  • @mohamedshabani2263
    @mohamedshabani2263 5 лет назад +11

    kakaangu makonda wewe bado nikijana mdogo sana ninakusihi tu angaliya sana maneno yako kaka kwani watu kumi wakikunyooshea mkono bas tambua unakasoro.

  • @jonathanntare4787
    @jonathanntare4787 5 лет назад +3

    Anakiburi sana huyo Dogo wa Baba Wa IKULU

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe6788 5 лет назад +3

    Kama kijana makonda anandaliwa kuwa kiongozi afai kwanzia sahivi

  • @sulejiTv
    @sulejiTv 5 лет назад +2

    Uyu mzee mbowe ana heshima sana nime hamini utu huzima dawa.

  • @Burange666
    @Burange666 5 лет назад +1

    Makonda ana kiburi sana lakini ataipata pata siku Dikteta Uchwara atakapoondoka madarakani hapo ndiyo atakapokunya mavi meusi yeye na Dikteta aliyemuweka wote watakunya mimavi.

  • @ndhindilomachibya5514
    @ndhindilomachibya5514 5 лет назад

    Iv makonda angewasifia wachagga kweli haya yangetoke.?...watu hawatakagi ukweli ...et ukabila...narudia...ata mm sijawahi kuona mchaga anatoa msaada kwa waremavu....vimbeni ila ukweli ndo huo ..nosense nie

  • @frankjohn8570
    @frankjohn8570 5 лет назад

    kanisa ni kanisa ,serikali ni serikali ,ya Mungu mpeni Mungu na Kaisari mpeni yalio yake,alipaswa kuomba toba kuvinywea divai vyombo vya hekaluni ni madhabahuni pale amewasha moto mgeni ni hatari

  • @scayroad8500
    @scayroad8500 5 лет назад

    BASHIRU WW NI MNAFIKI HIYO SIMIYU ILIKUWA INAHUSIANA NN NA HILI LA LEO

  • @chichivanny2663
    @chichivanny2663 5 лет назад +7

    Makonda ni mtu makini

  • @seciliachungu1873
    @seciliachungu1873 5 лет назад

    Bashiru nianataka sifa tu mimi najua makonda ni Jembe

  • @innocentamani1453
    @innocentamani1453 5 лет назад +2

    Naamini makonda hajielewi kabisa nguo gani kavaa kama kiongzi mkubwa wa mkoa

  • @kaaweemwenyewe2872
    @kaaweemwenyewe2872 5 лет назад +3

    Sema nae ndugu yetu huyu huwa anakurupuka sana cjui ni kwanini. Mda mwingine ukiona huna cha kuzungumza uwage unashukuru kwa mikono tyu👏 cyo kujitia aibu utafanya mpaka tunao kupenda tushushe vyeo vyako na kukuona wa kawaida... 🙄

    • @lukindofloriani4452
      @lukindofloriani4452 5 лет назад

      Wote mnaoponda makonda mnakurupuka kaeni kmy mm n mmoja wa watu wanaotokea Kilimanjaro ila mengi huwez kumfananisha na mtu yeyote wa Kilimanjaro

    • @reganmartin5485
      @reganmartin5485 5 лет назад

      Makonda hajakosea popote Mengi ni zaidi ya wachaga Wala hakuna mchaga was kulingana na mengi

    • @daniobrey3718
      @daniobrey3718 5 лет назад

      Shielding told

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 5 лет назад +4

    Wapo viongozi ndani ya CCM na Upinzani hawapendi jiji la Dar kuongozwa na Mh. P. Makonda kwa taarifa yenu hatolewi mpaka miaka 10 iishe mtaumwa sana na uongozi wake, JPM yupo makini.

    • @nelsonmakoye291
      @nelsonmakoye291 5 лет назад

      Mm binafsi naona mh makonda hajasema kwa ubaya ni tafsiri tu.ya watu imekua tofaut

  • @dsstanzania
    @dsstanzania 5 лет назад

    Safi sana

  • @devothasanga9228
    @devothasanga9228 5 лет назад

    Mi sijaona kosa hapo mnamuonea kijawa wamungu jamani kasema kile anacho kiona huyo sio mtoto mdogo aseme tu kitu asicho kifaham nimekwazika hatali misamaha bongo kwenden kule

  • @keita.wallet6984
    @keita.wallet6984 5 лет назад +4

    Ninja sometimes unazingua japo kuwa cheo dhamana

  • @peterluoga458
    @peterluoga458 5 лет назад +1

    Mbowe sio mtu mzuri nimemzarau kuanzia leo

  • @beatricengonani4640
    @beatricengonani4640 5 лет назад

    Mboye anabivu na Jamaa na sio vngne huwez kumfanyia makonda HVO msiban hapo watu wanaomboleza siasa weka kando