MAKONDA Akimuomba Msamaha MBOWE, Askofu AWAPATANISHA!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • MAKONDA Akimuomba Msamaha MBOWE, Askofu AWAPATANISHA!
    Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amemuomba
    Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe na watanzania wote kwa ujumla kufuatia kauli yake aliyoitoa juzi katika viwanja vya Karimjee katika hafla ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa IPP Media, Reginald Mengi, ambapo alisema kuwa hajawahi kuona Mchaga mwenye roho kama ya Mengi kwani ameweza kutoa pesa ya kuwasaidia walemavu....
    #RIPMENGI
    www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Комментарии • 104

  • @neitherherenorthere8367
    @neitherherenorthere8367 5 лет назад +3

    Yaani napenda sana Watanzania. Lugha nzuri, matamshi ya taratibu. Mumebarikiwa sana Watanzania. Yaani mimi nikutamani tu. Ila ningekuwa na uwezo ningehama nije huko. Mwenyezi Mungu amurehemu Dktr. Mengi. Sio matajiri wengi wana upendo usio na kifani kama yeye.

  • @elfacechongera6648
    @elfacechongera6648 5 лет назад +3

    Bigup brother makonda umesema kweli na kweli hakika
    Amesema mengi ni mchaga Bora kabisa kuliko wengine maana yake aliowahi kuwaona wakifanya aliyofanya mzee mengi-kwani kina mbowe siwapo wameshafanya nn kwa jamii chenye direct Impact? Na je hao si matajiri pia
    Iwish I could be him there before.
    Piga kazi Braza makonda God bless you.

  • @manfesto6799
    @manfesto6799 Месяц назад

    Makonda god bless you

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo4177 5 лет назад +7

    Mungu amsaidie ndg yetu Makonda!! Na amini ni kiongozi mzuri sn lkn kila mtu ana udhaifu wake....Kubali kubadilika ndg

  • @johnbernad1529
    @johnbernad1529 5 лет назад

    Pole rc Makonda hizo ndio changamoto za kazi Mungu atakutia nguvu

  • @user-sc8je2kp9y
    @user-sc8je2kp9y 5 месяцев назад

    Mungu awabariki

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 5 лет назад +2

    Mbowe acha siasa msibani!..km unabifu zako na makonda kazmalizieni huko gengeni lkn cyo msibani!..umeamua kumzalilisha makonda hazaran iliuonekane we ni safi hauna usafi wowote!.msiban cyo mahali pa kufanyia siasa!.

  • @julessebintu6525
    @julessebintu6525 5 лет назад +5

    Lakini hiki kimakonda wa tanzania munakipendea nini mbona kichani kina maji ?hakika nawapenda wa tanzania lakini hiki kiongozi chenu kinalopoka hakina uzalendo wa kitanzania.mara kinasema wasani,mara kinasema mobeto,mara kinasema mange. Kinajitia juu hakina hakili.sijui kwajua nini MAGUFULI alikitewuwa kikuwe mukua wa daressalaam

  • @mamiimangeshomangesho3902
    @mamiimangeshomangesho3902 5 лет назад

    Mungu amsaidie sana Makonda ! Hata hayo mavazi hayafanani na kiongozi wa nchi ! Mavazi ya kihuni hayo ! Yana wenyewe !mmmmh

    • @momylaviel
      @momylaviel 7 месяцев назад

      Vipi Kwan Una chuki nae

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 года назад +1

    Kazidi kuwatusi wachaga tatizo utawala huu ni wa digiirii 3 wengi wao ni masuti mazuri tu kichwani hamna jambo,

  • @sanurahyusuph6149
    @sanurahyusuph6149 4 года назад

    Nimeipenda hiyo

  • @aminabalamamnyawasatnzania876
    @aminabalamamnyawasatnzania876 5 лет назад +6

    Kwanza bado hajaomba samahani km mmemsikikiliza kwa makini

  • @saidmathias8850
    @saidmathias8850 5 лет назад +2

    Makonda jaribu Sana kuwa unafikiria kabla kuongea .kiukwel ulimsifia mpaka ukarbu

  • @frozen4rozen475
    @frozen4rozen475 5 лет назад +3

    Hehehe makonda na mbowe niwachekeshaji sana

  • @amosthomas1851
    @amosthomas1851 5 лет назад +1

    mbowe Mbinafsi umetaka kuleta ukabila kisa makonda alikuwa kwenye himaya yenu na wew makonda msubilie dar na mbowe tumemnukuu kauli Zake kwa taarifa kambi ya upinzani mlipanga na mkamwambie mbowe awakilishe jaman nasema uongo kama ni uongo abishe Nitoe ukweli wake hapa chini

  • @IssaMtambalike-kw3om
    @IssaMtambalike-kw3om 10 месяцев назад

    😢

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 5 лет назад +2

    Kusema Za Kweli Makonda Kiburi Cna Hakibadilika Hapo tu Nimtu poa Cna Hapunguze Kujikweza Lakin Kulewa Madaraka

  • @charlesmartin9522
    @charlesmartin9522 5 лет назад +2

    Askofu anaakili sana

  • @lightnesselirehema1464
    @lightnesselirehema1464 5 лет назад +2

    Huyo ni wa kusamehe tu maana hajui hata kama amekosea...

  • @priscaurassa5847
    @priscaurassa5847 5 лет назад +4

    Unavaa jinsi lililochanika magotini alafu msibani ndani ya kanisa muhuni mkubwa

  • @nicksongerson1707
    @nicksongerson1707 3 года назад

    Huyo nahisi mapungufu yake mpka ndani ndio maana hata kuzaa ni shida huyu.. Maana anajiona kama vile anajua sana ..kumbe haeleweki mbele ya jamii .. Mwisho kajitumbua mwenyewe wakati watu wanaogopa kutumbuliwa.

  • @wilfredmmbando689
    @wilfredmmbando689 Год назад

    😮

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo1131 5 лет назад

    Kwa kweli wamemdhalilisha sana ingawa alikua ana rekebishwa.
    Kisha wa kumshauri mavazi?

  • @immahkobeh1276
    @immahkobeh1276 4 года назад

    duh

  • @thomasysanga2420
    @thomasysanga2420 5 лет назад

    Atari sana

  • @cherilydavid3066
    @cherilydavid3066 5 лет назад +1

    WATZ sisi wote ni binadamu tunafanya makosa saa nyinginge kwa makusudi mwingine bila kujua. Mkuu wetu wa mkoa ni kijana mwenye nguvu, mchapakazi na ana hofu ya Mungu. Kwa hiyo kama amekiri kosa apongezwe mnataka nini tena?

  • @Papaahansmo
    @Papaahansmo 4 года назад

    Duhhh!!! Jamani mambo ya aibu mhhhh!!🏃

  • @petermarco9559
    @petermarco9559 5 лет назад

    jinga sana hili limejawa na kiburi,halijajua pesa ,vyeo vyote tunakufa tunaviacha

  • @johnsonjusto9564
    @johnsonjusto9564 5 лет назад +1

    makonda alikuwa hasikii anavyoitwa au ila wamesameheana tena madhabahuni

  • @frankmwalukuta8888
    @frankmwalukuta8888 5 лет назад

    asante katibu wa ccm lakini hayo ya alikuja ofisini kwako aklia mmm yanahusu nini. kama alitubu pale huwa kati yako na yeye

  • @fahminasser3855
    @fahminasser3855 5 лет назад +2

    Halafu huyu makonda kiongozi mkuu wa mkoa mnajua hana heshima kabisa kiongozi mkuu wa mkoa unaenda msibani umevaa kihuni nguo za kuchanika magotini kweli jmn kiongozi gani kuvaa mavazi ya kihuni kama mvuta bangi jirekebishe Makonda ww kiongozi usijafananishe kama muokota makopo mvuta unga

  • @fatmaaly3056
    @fatmaaly3056 4 года назад

    Kwani makonda dini ngani jaman

  • @user-fe9po2tr5v
    @user-fe9po2tr5v 7 месяцев назад

    Makonda. Hajafunzwa. Dah. Anaropoka. Sana.. Kywazidi. Wote

  • @eliahiluka830
    @eliahiluka830 Год назад

    Heri wapatanishi matayo 5:8

  • @amosthomas1851
    @amosthomas1851 5 лет назад +2

    Kwani mnamsema makonda alikuwa uchi mbona ni vitu vya kawaida wewe ulitaka avaaje

  • @beatricehenry7101
    @beatricehenry7101 5 лет назад

    Ukweli unauma Mbowe.hujafanya chochote.huko kimekuchana na wembe

  • @janesuma2193
    @janesuma2193 5 лет назад

    makonda apunguze kukurupuka na kauli zake za hovyo ni mchapakazi mzuri ila mdomo mmh ana kauli mbaya sana

  • @sophicatesalim9757
    @sophicatesalim9757 5 лет назад

    Nimefurahi huo ndio ubinadamu hakuna alie kamili hongera

  • @andrewmhagama1042
    @andrewmhagama1042 5 лет назад

    aliyeitwa ni Makonda Muro unaenda wapi mbona hutulii?

  • @faustinelutwe6901
    @faustinelutwe6901 4 года назад

    Maigizo hayo !
    Msamaha unakuwaga mwepesi kiasi hicho ?
    Sikia hiyo "TAFSILI NI TATIZO"...... !!

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 3 года назад +1

    Kaka ako wapi Mbowe fala wewe umeshiliki kubomoa Club yake kisa chuki zako tu sasaivi kumekua parking za magari tu mungu nae hamtupi mja wake awamu ya 5 chali imebaki story tu

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 5 лет назад

    Hii ni mpya toka niijuwe dunia

  • @witymuro4904
    @witymuro4904 Год назад

    Mhhhh

  • @makachamusic
    @makachamusic 10 месяцев назад

    Altareni

  • @cleopamsuya1560
    @cleopamsuya1560 5 лет назад

    Poleni kwa msiba mm mkazi wa moshi lakini nampenda makonda mpenda haki

  • @paulmwarabu6685
    @paulmwarabu6685 2 года назад

    Dr Shoo anakuita uombe radhi, unauliza kwanini? Hujui? Jamaa alikua na dharau sana

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 4 года назад

    Naangalia hii kitu leo nacheka saaana

  • @amosthomas1851
    @amosthomas1851 5 лет назад

    Acheni unafiki bila Shaka na ninyi ni wachaga

  • @fidelfemba1643
    @fidelfemba1643 4 года назад

    Siasa hadi kanisani

  • @mayungaiswaga4477
    @mayungaiswaga4477 4 года назад +1

    Mayunga m maziku

  • @user-fe9po2tr5v
    @user-fe9po2tr5v 7 месяцев назад

    M

  • @victormushi6641
    @victormushi6641 3 года назад

    gonda boy

  • @piere6250
    @piere6250 5 лет назад +1

    Anaelekezwa kama mtoto wa shule ya msingi daa

    • @alyhamad63
      @alyhamad63 5 лет назад

      Mm sielewi aricho kisema makonda nanukuru maneno ya makonda mzee mengi ni mchaga bora iro ndio neno baya jamani mbowe nikipi aricho kichukia mbowe ana ela kibao sijawai kumwona ana waita walemavu na kula nae chakula kwa pamoja eeh tuache kumchukia makonda bira sababu mbona ata marais uwa tunasikiaga rais kutajwa rais Bora jee awo wengine sio marais apana ila watu wanaangaria kafanya kitu gani na ndumana wakakupendekeza kukuchagua rais Bora na ata wachezaji na Kuna mchezaji Bora kwani wale wengine sio wachezaji acheni kumchukia mtu bira sababu na mm nasema Tena mzee wetu mengi ni mchaga bora na ata tokea Tena mchaga Kama yule kuita walemavu na kula nae chakula mm namsapoti makonda

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 5 лет назад +2

    Huyu hawajui wachaga kwa kuvunja chungu. Ameogopa huyo, tutavunja chungu tuu hawawajui wachaga

  • @kassimukipingu5343
    @kassimukipingu5343 4 года назад

    Makonda amevaa suruali ya chambuu imepasuliwa kwenye magoti.

  • @priscaurassa5847
    @priscaurassa5847 5 лет назад

    Kiswahili shida eti tafasiri

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 4 года назад

    Sijaelewa msamaha ya nini

  • @AliBaba-zb3tg
    @AliBaba-zb3tg 5 лет назад

    Nyege zitamuisha Makonda Next time atajua jisi yakuongea 😂😂😂😂👌👌

    • @hensongunman1680
      @hensongunman1680 5 лет назад

      Ngwajima anajichafua mwenyewe, nahizopicha zauchi nakufanya uzinzi live ni Makonda? Achahizooo

    • @AliBaba-zb3tg
      @AliBaba-zb3tg 5 лет назад

      @@hensongunman1680 Uliona hapa nime mzungumzia gwajima?

  • @mohamedkaraturamohamedkara1085
    @mohamedkaraturamohamedkara1085 4 года назад

    Safisanaaaaa mchungaj

  • @godwinchengula3621
    @godwinchengula3621 5 лет назад +1

    Makonda hata boss wako anaona kibri kimezidi unampa raisi watu wakati mugum

    • @amosthomas1851
      @amosthomas1851 5 лет назад

      Godwin Chengula kibuli kipi kwani hayo mambo yapo kiserikali

    • @godwinchengula3621
      @godwinchengula3621 5 лет назад

      @@amosthomas1851 hatakama selika ni sisi bila sisi selikali haiwezi kuwepo

  • @aureliabernadi4170
    @aureliabernadi4170 4 года назад

    Mbona hajaomba msamaha sasa?

  • @abuubakalmtangenange4389
    @abuubakalmtangenange4389 2 года назад

    Jambazi makonda

  • @elishafilipo1887
    @elishafilipo1887 4 года назад

    Tatizo huyo makonda ana ubinafs na chama chao

  • @abiniyerdmnyaga5352
    @abiniyerdmnyaga5352 4 года назад

    Makonda unajua bana wasikuxumbue hao Kama Kuna moja umekosea lixifte mazur yote

  • @mariamsuma3003
    @mariamsuma3003 4 года назад

    Simpend makonda mtu mbaya huyu bora ya wachawi kulko makonda

  • @nessa4899
    @nessa4899 5 лет назад

    Makonda unamchafua Gwajima unapata mikosi.

  • @martinhp1530
    @martinhp1530 4 года назад

    Wanatuletea comedy katka inch yetu .sasaivyo c vtuko

  • @salimmwaim3816
    @salimmwaim3816 5 лет назад

    sojaona kosa la makonda,kwel tz n vichwa vya,wendawazim siasa msiban diiih

  • @mwanshageorge2983
    @mwanshageorge2983 4 года назад

    Acha zalau wewe kamera zilikunasa unamfunga MTU kiatu,Mh,mbowe tunajua busara zako wakati mwingine kuonyesha nawewe ni binadam mwenye royo maumivu usingeenda at a mazabahuni apo

  • @dianacornely8666
    @dianacornely8666 5 лет назад

    Mm mwenzio pia nilikusikiliza tu nikasema huyu hawajui wachaga

  • @allymsuya6655
    @allymsuya6655 5 лет назад

    Kwani kulikuwa na bifu kati ya Bashite na Mbowe au Bashite aliropoka?!?! Na nyie ripotas kuweni na akili basi. Acheni uchurouchuro

    • @hemrodngunga9967
      @hemrodngunga9967 5 лет назад

      msamaha ni neno dogo lkn linauzito ndan yake.. plz, 2samehe na kumwombea mzee we2 apate raha ya milele na mungu amwangazie nuru yake huko alipo

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel1078 4 года назад

    wewe huwezi kubali madhaifu yako una kiburi cha uzima Makonda

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 5 лет назад

    Naona jamaa amechomolewa na Baba Askofu

  • @nessa4899
    @nessa4899 5 лет назад

    Makonda achana na Gwajima wewe unapata mikosi ya bureee,

    • @HandwrittenMemories
      @HandwrittenMemories 5 лет назад

      Ila kwel eeh

    • @angelsgabriely3575
      @angelsgabriely3575 5 лет назад

      Mbowe acha siasa msiban!..km unabifu zako na makonda kazmalizieni huko gengeni lkn cyo msiban!.umeamua kumzalilisha mwenzio msiban ili uonekane we n safi!.hauna usaf wowote!acha siasa mcbani!

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 5 лет назад

    Hivi kweli msibani watu wataogopa kwenda sasa..tumegeuza misiba kuwa majukwaa ya kuwadhalilisha na kuwalipizia watu visasi,hii haikuwa desturi ya waafrika..kwani mngemwita makonda huko ndani na wakaongea tofaut zao na kumalizana heshima yake km mkuu wa mkoa ingebak pale pale..lkn si mbele za watu na huku kuna msiba...angalia michango ya watu kwenye hili tukio utajua madhara hapo..kuna ukabila umeingia hapo,kuna udini mambo ya gwajma,kuna siasa, kuna waliojeruhiwa ktk matukio ya kurekebishana juu ya sheria mbalmbl ....

    • @yusuphhassan7493
      @yusuphhassan7493 5 лет назад

      kiukweli namsifu makonda.kaongeaukweli.kabiragumu kutoapesa hapa tz niwachaga.nambamoja bigap kakamakonda..hakuna arichokosea

  • @juliusswai8363
    @juliusswai8363 5 лет назад

    ange koma mjinga sana huyo

  • @eliasisaya5846
    @eliasisaya5846 5 лет назад

    Acheni unafiki ni kweli makonda yuko sahihi wachaga ni wagumu kutoa ila siyo wote wapo wachache akina mengi

  • @tedikimario7616
    @tedikimario7616 5 лет назад +2

    usimpe mkono wako uyo mnafiki atakutia gundu bure hamna tafasiri ulimaanisha.

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 5 лет назад

    Kusema Za Kweli Makonda Kiburi Cna Hakibadilika Hapo tu Nimtu poa Cna Hapunguze Kujikweza Lakin Kulewa Madaraka