NAIBU WAZIRI AWATEMBELEA MAJERUHI WA AJALI WALIOLAZWA KAYIKA HOSPITALI YA RUFAA KANDA MBEYA
HTML-код
- Опубликовано: 7 июн 2024
- Naibu Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi Mhe: Daniel Baran Sillo leo tarehe 7 juni,2024 ametembelea Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya kwa lengo la kuwajulia hali na kuwafariji manusura wa ajali iliyotokea siku ya tarehe 5 juni,2024 katika eneo la Mbembela Mkoani Mbeya ilyohusisha Gari la lori la mizigo aina ya Scania lenye namba za usajili T 979 CVV na gari la abiria aina ya Coster yenye namba ya usajili T 167 DLF iliyokuwa ikitokea tunduma na kusababisha vifo vya watu 15.