Napataga Tabu sana kuona Viongozi wetu,wanatupiana maneno Makali,Najiuliza sasa kama wao wanagombana sisi wanatuweka Upande Hupi!Tumtangulize Mungu mbele kwa kila Jambo Tutafanikiwa,Naviongozi wetu Mshirikiane na Mpendane,Mungu Atuongoze.
Yesu aliye mkuu Sana na mfano wakuigwa alikasirika nakupindua meza Za wabadili fedha walipo kiuka taratibu kwa dharau iweje msigwa asikasirike? msigwa Uko Pouwa Sana
WAKATI WETU LEO TV kweli chadema hamnazo unamfananisha Yesu na msigwa mmetoka wapi ninyi mbona mmeishiwa hivyo kwa akili hizi Tanzania hamtaiongoza MNA vurugu si kawaida mkiguswa tu mnalia oooo mnaoeleka polisi mmekuwa kuwa kama wanawake, poleni sana.
Ujinga mwingine huu!! hivi unajua kwann Yesu alikasilika? na utambue Yesu alivyokasilika hakumdhihaki mtu, hakumkashifu mtu wala kumdharau mtu! Acha kumfananisha Yesu na vitu vya kipumbavu.
hili sasa hivi linakela sana kama halijawahi kuwa lichungaji huenda linavuta bangi linashindwa kumjibu hata kwa hoja mambo ya kijinga limekuwa na presha ya uchaguzi 2020 na 2020 hili hata likipigwa chini kwenye uchagizi siwezi kusikitika linaboa kinoma kwenye haliwajibiki ipasavyo lakini kwenye kutafuta kiki la no 1,
Mchungaji msigwa njoo tuhubiri wenye dhambi ili tulete maendeleo ya kiroho kwa watanzania.. Hayo ya kimwili waachie wenye wito na style ya siasa..... Siasa ngumu kwa muhubiri jamaniiii... Maji na mafuta. Stahafu ili kujenga heshima.. Umeshafanya kwa sehemu yako sasa njoo madhabahuni... Please please please baba ... Waachie wakina Mdee.
Safi sana wajinga kama hao inatakiwa at a makofi tu wanapenda ujinga kila mda kura za wapiga kura wanaiba bado wanashindwa yakuongea wanakusema MCHUNGAJ vitu vya kijinga wamezoea hao umefanya vizur sana bola kumfece MTU syo kuzunguka MTU mwenyewe bata tu kateuliwa Anataka kushindana nauliye chaguliwa KWA mapenzi ya wananchi waliowachoka mabepari hao wakununua madiwan na wabunge
mwambie huyo mcgwa😂😁😀😂😁😀😂😁😀penda sana mchungaji wangu
mweshimiwa msigwa mwambie kuku uyo anajua umeteuliwa
Safi san mchungaji msingwa njoo kabisa nikukabidhi mke wangu
kweli msigwa nimekukubali usikubali kuburuzwa na makada hao was ccm
Msigwa hekima huna, Safi Sana DC ,Huyu Dc anahekima sanaa
Umemtolea uvivu Safi sana kaka nimekubali unafki wamadalaka umempa Kali hao ndio wanafiki Ila kajielewa
Msigwa i love uuuuuuu😂😂😂😂😂😂😂
Kazi kweli kweli mtumishi wa mungu huyoooo mungu tusaidie
Kwaio alegee kisa utumishi wa dini muungu anataka upambane ndio akusaidie
Safi sana msigwa
safi sana mbunge wangu wa iringa town kama ni swala la maafa si mpaka viongozi wate wauthulie maafa (ndio maana kukawekwa ngazi kwa ngazi)
Oyooooooooo
Napataga Tabu sana kuona Viongozi wetu,wanatupiana maneno Makali,Najiuliza sasa kama wao wanagombana sisi wanatuweka Upande Hupi!Tumtangulize Mungu mbele kwa kila Jambo Tutafanikiwa,Naviongozi wetu Mshirikiane na Mpendane,Mungu Atuongoze.
wahehe wabishiii😂😂😂
Uongozi unahitaji subira.
Dc ni kiongozi.
Hajatumia utawala.
Nampongeza.
MICHAEL GERSHON msigwa huyo hapi umuezi mtoto wamjini huyo mguse uone pimbaavu
we ni fala hujui nn maana ya uwajibikaji Pumbavu
Subira ya nini, kwa hao ma DC na ma rc waonezi,kilichobaki ni kukungutana makonde
Wew na wew ndo wale wale
🤣🤣🤣🤣eti mm haunitoi kirahisi hapa! Hahaha kumbe zogo lote hilo unaogopa kukataliwa na wana wa nchi? Hahaha pole sana bob
Mtihani
Wachungaji wasiku zamwisho 😂😂😂
Aibu Sana ukiwa nakiongozi mropokaji hivyo kama Msigwa duuuh uongozi nibusara na hekima well done DC
Unafurahia kuburuzwa e, aliyoyaongea msigwa kikawaida ni true ila ttz approach. Kwa iyo by conclusion Dc kazngua
Hiyo safii sana uchungaji siyo ujiga
Mmh..... Haya bhana
you are dealing with smart people I'm not stupid !
Huo ndo uwanaume sasa hakuna kuoneana hapa safi sana
Mh Msigwa hawa RC na DC wana kinga lkn lazima uwaambie wajue hilo. Kuekwa ndani na kufunguliwa. kesi za uchochezi ni kawaida kwa upinzani.
Msigwaaaa chumaaa motoooo msigwaaa mashine sanaaa
Hongela mkuu ungemsonkola akome
Yesu aliye mkuu Sana na mfano wakuigwa alikasirika nakupindua meza Za wabadili fedha walipo kiuka taratibu kwa dharau iweje msigwa asikasirike? msigwa Uko Pouwa Sana
WAKATI WETU LEO TV kweli chadema hamnazo unamfananisha Yesu na msigwa mmetoka wapi ninyi mbona mmeishiwa hivyo kwa akili hizi Tanzania hamtaiongoza MNA vurugu si kawaida mkiguswa tu mnalia oooo mnaoeleka polisi mmekuwa kuwa kama wanawake, poleni sana.
Ujinga mwingine huu!! hivi unajua kwann Yesu alikasilika? na utambue Yesu alivyokasilika hakumdhihaki mtu, hakumkashifu mtu wala kumdharau mtu! Acha kumfananisha Yesu na vitu vya kipumbavu.
Nakupenda Baba Peter
msigwa amepaniki kinoma 😂😂😂😂.
imebaki siku, majira na nyakati na wewe uwepo nje ya fensi. hao hao waliokuchagua ndio watakaokutoa.
mchungaji nakupenda sana unajuaga kutoa makucha.
DC hongera sana
Ndo msemaji mkuu wa serikali. Genge la wahuni😊😊
Safi sana msigwa hao mbwa hatutaki mazoea nao bata wa ccm ndo dawa yao umenifurahsha sana
saf sana msigwa hao ma DC hawajuagi sana nguvu ya ubunge kuwa inatokana na wananchi hivyo mbunge ananguvu kuliko hao
Subiri akushuhurikie sasa 2020. Utapata tabu sana
chezea kitambi hicho bb wanatumwa hao kuvuruga tunaona arumer na ars
Ahahahahahahahahahha msigwa bana mbn umemchelewesha kwan ccm wao wakina naniiii bg up rais msigwa wa ilinga
Safi sana tena aache mazoea
Piga kubwa jinga
eti mchungaji mchungaji gani mpumbavu huyo.chadema mazuzu yote kasoro mzee lowasa ana hekima na busara
Daaaa mama yake msigwa angezaa tena kama huyu saf kbs hamna kuburuzana hap
msingwa uyo mkuu ajielewi yeye kaletwa tu ndiyomana ajielewi
msigwa kunywa soda popote nitakuja lipa
Chilomba Chilo safi
Mbunge anajiamini dc hoi hana kitu
mmmmh Tanzania hii inakoelekea Kazi ipo
Msigwa mwenyewe hayupo, na kasesera hayupo!
Daaah msigwa
muchungaji gani mshenzi.
sukumaaaa ndaniiiii
Safii,sanaaaa
he he eeeh msigwa jimbo limekushinda hilo Acha kupanick jimbo linarudi ccm hilo
Kwa ubabe sawa
Hongera rais magufuli yote Hayayalikuwa hayapo utaona mengi Haya ni mambo yawanawake yamehamia kwa wanaume
wanakela sana mcc
dadeekii!!! mgaya shidaa og
Umepanik mbunge
Waambie ukweli tuu.. wakikufunga sawa ila wanao ukweli
hili sasa hivi linakela sana kama halijawahi kuwa lichungaji huenda linavuta bangi linashindwa kumjibu hata kwa hoja mambo ya kijinga limekuwa na presha ya uchaguzi 2020 na 2020 hili hata likipigwa chini kwenye uchagizi siwezi kusikitika linaboa kinoma kwenye haliwajibiki ipasavyo lakini kwenye kutafuta kiki la no 1,
Msigwa ni jembe kazi zake tunaziona, aendelee kuchapa kazi na kuisimamia serikali.
Louis Nyon tena sanaaaaaaaaaa
Louis Nyoni kazi gan alizofanya msigwa. Huo ni uchafu tu.
😂😂😂😂Kazi za kuropoka hata mimi naziona
Louis Nyoni ana kazi gan msigwa anazofanya au kulima mahindi ya kumwagilia?
Mchaapeee huyo pastor 😆😆😆😆😆😆sina mbavuuuuuu penda pastor msomehe 1king 18:
amakweri umedata Msigwa,,,, Dc pongezi kwako anajichinja mwenyewe
Duuuh hapa kazi hipo hahaha😂😂😂😆😆😆
d mungu gan hy anae muabud msingu mbingu gan tunayo enda Kwa sitar hy
Mchungaj anasema yamejaa yamemfika apa,,acha amtolee uvivu duhhh,,
Huyo msigwa si apigwe Kofi aache kuropoka alaaa,,,nyau tu,,,afu anajiita mchungaji,,,,,,et wewe ndiyo mchungaji
Huyo DC Anakurupuka sn mambo yake kwenye ukweli bora umpe ukweli tu
Najiskia kuwachana...wachane baba
Piga uyo
alaa pumbavu
onyo wazee wazima
Huyo anakusemea nini si aseme yakwake kama hanasela akaokote makopo
Safiiii jembe
Unasema sana
Msigwa piga choko ilo la ccm
Mchungi au Mchungaji!
Huyu. I mcbungaji kwel au nimchunhaji madili? Mchungaji haiwi hivo.
Imma Mlowe
huja maliza hata dalasa la 7 unataka kumuelekeza mchungaji msigwa huo n umama
Uchungaji vitani???
😁😁😁😁 ngoja kwanza ninywe maji ya motoo then nitakuja badaye
niubabe tu...
ukitaka kuona ubovu Wa mtu utajua tu asa angalia aligombana na yule bado anataka agombane na huyu kijana mzuri mchapa kaz yaan mm ananikera san
upole ukuzidi utatiwadole yanipale kamanimm shamchapa.teke LA.korodani
RAMADHANI KALUMBETE hahahaaaaa sasa sasa
pigen hela tu hakuna lolote wot ni walewale
good
mjinga sana mchungaji gani huyo uchwala
hmmmm duuuh!!!!!!!
Huyo sio mchungaji kasesele ungemtia ndani awe na adabu
DC Kichwa Maji
Kwann mnafanyahayooo jamn
Msigwa nguvu huna halafu unajionesha .
100%
nimekumbuka enzi zangu zile za kitambo, mstari unachorwa chini afu mwezio anakuambia vuka kama wewe ni mwanaume haaaahaahaaa
Eti mchungaji hekima iko wapi?
Renny Steve ulickia mchungaji ndio aonewe we vepe
Renny Steve mchungaji wanini muhuni tu huyo hapi pigakazi babu Chadema pigachini huyooo
Mungu karuhusu hasila ila usitende dhambi ndio maana unasikia hasila iliwaka kwa Daudi kumuangusha Goliath
we ni fala hujui nn maana ya uwajibikaji pumbavu
Uchungaj mana yake co uonewe, na czan km kafanya dhambi hapo, kwa kuw hasira iliwaka ndan yke lkn haikuw na matunda mabaya
Mchungaji msigwa njoo tuhubiri wenye dhambi ili tulete maendeleo ya kiroho kwa watanzania.. Hayo ya kimwili waachie wenye wito na style ya siasa..... Siasa ngumu kwa muhubiri jamaniiii... Maji na mafuta.
Stahafu ili kujenga heshima.. Umeshafanya kwa sehemu yako sasa njoo madhabahuni... Please please please baba ... Waachie wakina Mdee.
Hakuna mchungaji hapa
msigwa hao wamezoea ni vibaraka wa ccm wanatumiwa
Hivi huyu msigwa alisoma tu Bible knowledge akawa mchungaji au ndo watu kuitana prof Jay
timoun dezòd
kamuulize baba ako, ndio atakupa jibu manake wakati anasoma bado hujazaliwa
huyo siyo mkuu wa wilaya huyo ni kada wa ccm 🤣🤣🤣😆
Kwann mnafanyann mambo haya
Wachungaji hawagombani
Safi sana wajinga kama hao inatakiwa at a makofi tu wanapenda ujinga kila mda kura za wapiga kura wanaiba bado wanashindwa yakuongea wanakusema MCHUNGAJ vitu vya kijinga wamezoea hao umefanya vizur sana bola kumfece MTU syo kuzunguka MTU mwenyewe bata tu kateuliwa Anataka kushindana nauliye chaguliwa KWA mapenzi ya wananchi waliowachoka mabepari hao wakununua madiwan na wabunge
Unaleta sifa apa mchungaji gan wew
Marry Paul sifa siunajua anapenda kki en anajiita smart
Ongea kiswahili mchungaji
Hahaha:
Makubwa jinga hovyoo
WEWE MCHUNGAJI HASIRA BILA KIKOMO KWA HIO ULITAKA UMPIGE USINGEZUILIWA NA WAPAMBE WAKO?
Alipo Atunkolepo Mwakanyika ko
Mkwawa Piga Hiyo Kitu.