A-Z Msigwa alivyotaka kuzichapa na DC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 228

  • @consolatamaarufu6762
    @consolatamaarufu6762 6 лет назад +6

    mwambie huyo mcgwa😂😁😀😂😁😀😂😁😀penda sana mchungaji wangu

  • @livionemwangemile4950
    @livionemwangemile4950 7 лет назад +21

    mweshimiwa msigwa mwambie kuku uyo anajua umeteuliwa

  • @elikanaisrael1138
    @elikanaisrael1138 6 лет назад +2

    Safi san mchungaji msingwa njoo kabisa nikukabidhi mke wangu

  • @jumagari4695
    @jumagari4695 7 лет назад +10

    kweli msigwa nimekukubali usikubali kuburuzwa na makada hao was ccm

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya 5 лет назад +2

    Msigwa hekima huna, Safi Sana DC ,Huyu Dc anahekima sanaa

  • @boyselemani4493
    @boyselemani4493 5 лет назад +1

    Umemtolea uvivu Safi sana kaka nimekubali unafki wamadalaka umempa Kali hao ndio wanafiki Ila kajielewa

  • @naimajecker2889
    @naimajecker2889 6 лет назад +5

    Msigwa i love uuuuuuu😂😂😂😂😂😂😂

  • @annetmsafiri6704
    @annetmsafiri6704 6 лет назад +1

    Kazi kweli kweli mtumishi wa mungu huyoooo mungu tusaidie

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 5 лет назад +3

    Safi sana msigwa

  • @georgesindano7402
    @georgesindano7402 5 лет назад +1

    safi sana mbunge wangu wa iringa town kama ni swala la maafa si mpaka viongozi wate wauthulie maafa (ndio maana kukawekwa ngazi kwa ngazi)

  • @emmysam1510
    @emmysam1510 3 года назад +1

    Oyooooooooo

  • @husseinkulumbiza8894
    @husseinkulumbiza8894 5 лет назад

    Napataga Tabu sana kuona Viongozi wetu,wanatupiana maneno Makali,Najiuliza sasa kama wao wanagombana sisi wanatuweka Upande Hupi!Tumtangulize Mungu mbele kwa kila Jambo Tutafanikiwa,Naviongozi wetu Mshirikiane na Mpendane,Mungu Atuongoze.

  • @semanasitv8303
    @semanasitv8303 7 лет назад +10

    wahehe wabishiii😂😂😂

  • @michaelgershon9077
    @michaelgershon9077 6 лет назад +14

    Uongozi unahitaji subira.
    Dc ni kiongozi.
    Hajatumia utawala.
    Nampongeza.

    • @fungamaliramadhani479
      @fungamaliramadhani479 5 лет назад +1

      MICHAEL GERSHON msigwa huyo hapi umuezi mtoto wamjini huyo mguse uone pimbaavu

    • @stellaernest8735
      @stellaernest8735 5 лет назад +1

      we ni fala hujui nn maana ya uwajibikaji Pumbavu

    • @amanabdallah9745
      @amanabdallah9745 5 лет назад +1

      Subira ya nini, kwa hao ma DC na ma rc waonezi,kilichobaki ni kukungutana makonde

    • @elishajuma2615
      @elishajuma2615 Год назад +1

      Wew na wew ndo wale wale

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 6 лет назад +1

    🤣🤣🤣🤣eti mm haunitoi kirahisi hapa! Hahaha kumbe zogo lote hilo unaogopa kukataliwa na wana wa nchi? Hahaha pole sana bob

  • @suleimansultan3333
    @suleimansultan3333 Год назад

    Mtihani

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 6 лет назад +3

    Wachungaji wasiku zamwisho 😂😂😂

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya 4 года назад

    Aibu Sana ukiwa nakiongozi mropokaji hivyo kama Msigwa duuuh uongozi nibusara na hekima well done DC

    • @moureenkirundwa8691
      @moureenkirundwa8691 4 года назад

      Unafurahia kuburuzwa e, aliyoyaongea msigwa kikawaida ni true ila ttz approach. Kwa iyo by conclusion Dc kazngua

  • @sulleysonmishlaymishlay7233
    @sulleysonmishlaymishlay7233 6 лет назад +2

    Hiyo safii sana uchungaji siyo ujiga

  • @stephenmgema2208
    @stephenmgema2208 5 лет назад

    Mmh..... Haya bhana

  • @mzeeahmadi9400
    @mzeeahmadi9400 5 лет назад

    you are dealing with smart people I'm not stupid !

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Год назад +1

    Huo ndo uwanaume sasa hakuna kuoneana hapa safi sana

  • @majaliwayusuph3801
    @majaliwayusuph3801 7 лет назад +3

    Mh Msigwa hawa RC na DC wana kinga lkn lazima uwaambie wajue hilo. Kuekwa ndani na kufunguliwa. kesi za uchochezi ni kawaida kwa upinzani.

  • @josephmakau7322
    @josephmakau7322 4 года назад

    Msigwaaaa chumaaa motoooo msigwaaa mashine sanaaa

  • @makaleshop6063
    @makaleshop6063 6 лет назад

    Hongela mkuu ungemsonkola akome

  • @wakatiwetuleotv4295
    @wakatiwetuleotv4295 7 лет назад +8

    Yesu aliye mkuu Sana na mfano wakuigwa alikasirika nakupindua meza Za wabadili fedha walipo kiuka taratibu kwa dharau iweje msigwa asikasirike? msigwa Uko Pouwa Sana

    • @simonnyasebwa9026
      @simonnyasebwa9026 6 лет назад

      WAKATI WETU LEO TV kweli chadema hamnazo unamfananisha Yesu na msigwa mmetoka wapi ninyi mbona mmeishiwa hivyo kwa akili hizi Tanzania hamtaiongoza MNA vurugu si kawaida mkiguswa tu mnalia oooo mnaoeleka polisi mmekuwa kuwa kama wanawake, poleni sana.

    • @nathankihiyo9293
      @nathankihiyo9293 6 лет назад

      Ujinga mwingine huu!! hivi unajua kwann Yesu alikasilika? na utambue Yesu alivyokasilika hakumdhihaki mtu, hakumkashifu mtu wala kumdharau mtu! Acha kumfananisha Yesu na vitu vya kipumbavu.

  • @samuelpeterkaaya1211
    @samuelpeterkaaya1211 4 года назад

    Nakupenda Baba Peter

  • @nathankihiyo9293
    @nathankihiyo9293 6 лет назад +2

    msigwa amepaniki kinoma 😂😂😂😂.
    imebaki siku, majira na nyakati na wewe uwepo nje ya fensi. hao hao waliokuchagua ndio watakaokutoa.

  • @humphreybilly3258
    @humphreybilly3258 5 лет назад

    mchungaji nakupenda sana unajuaga kutoa makucha.

  • @amenipasanga2918
    @amenipasanga2918 5 лет назад

    DC hongera sana

  • @user-sw1dv1iq6h
    @user-sw1dv1iq6h Год назад

    Ndo msemaji mkuu wa serikali. Genge la wahuni😊😊

  • @ericlowasa3097
    @ericlowasa3097 7 лет назад +3

    Safi sana msigwa hao mbwa hatutaki mazoea nao bata wa ccm ndo dawa yao umenifurahsha sana

  • @ramadhanmahongole9649
    @ramadhanmahongole9649 6 лет назад

    saf sana msigwa hao ma DC hawajuagi sana nguvu ya ubunge kuwa inatokana na wananchi hivyo mbunge ananguvu kuliko hao

  • @hassanlikaba9813
    @hassanlikaba9813 6 лет назад

    Subiri akushuhurikie sasa 2020. Utapata tabu sana

  • @deoshine777
    @deoshine777 6 лет назад +1

    chezea kitambi hicho bb wanatumwa hao kuvuruga tunaona arumer na ars

  • @braytonymasebene1086
    @braytonymasebene1086 6 лет назад +1

    Ahahahahahahahahahha msigwa bana mbn umemchelewesha kwan ccm wao wakina naniiii bg up rais msigwa wa ilinga

  • @martinkarata1097
    @martinkarata1097 6 лет назад

    Safi sana tena aache mazoea

  • @omarmohd5678
    @omarmohd5678 5 лет назад

    Piga kubwa jinga

  • @ishpalemypasco5751
    @ishpalemypasco5751 5 лет назад

    eti mchungaji mchungaji gani mpumbavu huyo.chadema mazuzu yote kasoro mzee lowasa ana hekima na busara

  • @danielmpokasye6108
    @danielmpokasye6108 3 года назад

    Daaaa mama yake msigwa angezaa tena kama huyu saf kbs hamna kuburuzana hap

  • @abdalomari5912
    @abdalomari5912 5 лет назад +1

    msingwa uyo mkuu ajielewi yeye kaletwa tu ndiyomana ajielewi

  • @chilombachilo7534
    @chilombachilo7534 7 лет назад +19

    msigwa kunywa soda popote nitakuja lipa

  • @lucyshine1271
    @lucyshine1271 5 лет назад

    Mbunge anajiamini dc hoi hana kitu

  • @saidikamduma5468
    @saidikamduma5468 7 лет назад +1

    mmmmh Tanzania hii inakoelekea Kazi ipo

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 года назад

    Msigwa mwenyewe hayupo, na kasesera hayupo!

  • @raymondmelele1911
    @raymondmelele1911 4 года назад

    Daaah msigwa

  • @robertmartin1589
    @robertmartin1589 5 лет назад

    muchungaji gani mshenzi.

  • @florencemgoyo9273
    @florencemgoyo9273 5 лет назад

    sukumaaaa ndaniiiii

  • @kaminyogemwachelwa9884
    @kaminyogemwachelwa9884 6 лет назад

    Safii,sanaaaa

  • @adamkaita3009
    @adamkaita3009 6 лет назад +1

    he he eeeh msigwa jimbo limekushinda hilo Acha kupanick jimbo linarudi ccm hilo

  • @habibadhikr9406
    @habibadhikr9406 5 лет назад

    Hongera rais magufuli yote Hayayalikuwa hayapo utaona mengi Haya ni mambo yawanawake yamehamia kwa wanaume

  • @stephanomwakyobe4675
    @stephanomwakyobe4675 6 лет назад

    wanakela sana mcc

  • @magelaoscarjr1401
    @magelaoscarjr1401 5 лет назад

    dadeekii!!! mgaya shidaa og

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 4 года назад +1

    Umepanik mbunge

  • @abdulkareemally8371
    @abdulkareemally8371 5 лет назад

    Waambie ukweli tuu.. wakikufunga sawa ila wanao ukweli

  • @josephnchunga6554
    @josephnchunga6554 5 лет назад

    hili sasa hivi linakela sana kama halijawahi kuwa lichungaji huenda linavuta bangi linashindwa kumjibu hata kwa hoja mambo ya kijinga limekuwa na presha ya uchaguzi 2020 na 2020 hili hata likipigwa chini kwenye uchagizi siwezi kusikitika linaboa kinoma kwenye haliwajibiki ipasavyo lakini kwenye kutafuta kiki la no 1,

  • @louisnyoni4139
    @louisnyoni4139 6 лет назад +18

    Msigwa ni jembe kazi zake tunaziona, aendelee kuchapa kazi na kuisimamia serikali.

    • @anozacha611
      @anozacha611 6 лет назад

      Louis Nyon tena sanaaaaaaaaaa

    • @edsonndogoro3188
      @edsonndogoro3188 6 лет назад

      Louis Nyoni kazi gan alizofanya msigwa. Huo ni uchafu tu.

    • @nathankihiyo9293
      @nathankihiyo9293 6 лет назад

      😂😂😂😂Kazi za kuropoka hata mimi naziona

    • @edsonndogoro3188
      @edsonndogoro3188 5 лет назад

      Louis Nyoni ana kazi gan msigwa anazofanya au kulima mahindi ya kumwagilia?

  • @mhandyeyoo6591
    @mhandyeyoo6591 7 лет назад +1

    Mchaapeee huyo pastor 😆😆😆😆😆😆sina mbavuuuuuu penda pastor msomehe 1king 18:

  • @amenyekibona8730
    @amenyekibona8730 6 лет назад

    amakweri umedata Msigwa,,,, Dc pongezi kwako anajichinja mwenyewe

  • @jordanfromyt2861
    @jordanfromyt2861 5 лет назад

    Duuuh hapa kazi hipo hahaha😂😂😂😆😆😆

    • @zubelmkemwa9680
      @zubelmkemwa9680 5 лет назад

      d mungu gan hy anae muabud msingu mbingu gan tunayo enda Kwa sitar hy

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis5323 6 лет назад

    Mchungaj anasema yamejaa yamemfika apa,,acha amtolee uvivu duhhh,,

  • @e.j.starelia5672
    @e.j.starelia5672 4 года назад

    Huyo msigwa si apigwe Kofi aache kuropoka alaaa,,,nyau tu,,,afu anajiita mchungaji,,,,,,et wewe ndiyo mchungaji

  • @ramadhanibrahim7619
    @ramadhanibrahim7619 5 лет назад

    Huyo DC Anakurupuka sn mambo yake kwenye ukweli bora umpe ukweli tu

  • @mosesmhina9980
    @mosesmhina9980 6 лет назад +3

    Najiskia kuwachana...wachane baba

  • @josephmdidi3832
    @josephmdidi3832 5 лет назад

    Piga uyo

  • @sazafsuma7542
    @sazafsuma7542 7 лет назад +2

    alaa pumbavu

  • @faridafarida6631
    @faridafarida6631 8 лет назад +2

    onyo wazee wazima

  • @mudhihirumikidadi6066
    @mudhihirumikidadi6066 4 года назад

    Huyo anakusemea nini si aseme yakwake kama hanasela akaokote makopo

  • @richardsonmfalo9742
    @richardsonmfalo9742 5 лет назад

    Safiiii jembe

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 7 лет назад +1

    Unasema sana

  • @exavermolandi1101
    @exavermolandi1101 6 лет назад +1

    Msigwa piga choko ilo la ccm

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 6 лет назад +1

    Mchungi au Mchungaji!

  • @immamlowe734
    @immamlowe734 7 лет назад +6

    Huyu. I mcbungaji kwel au nimchunhaji madili? Mchungaji haiwi hivo.

  • @mjedengwapoizon8726
    @mjedengwapoizon8726 7 лет назад +2

    😁😁😁😁 ngoja kwanza ninywe maji ya motoo then nitakuja badaye

  • @chelestinomatinya3002
    @chelestinomatinya3002 6 лет назад

    ukitaka kuona ubovu Wa mtu utajua tu asa angalia aligombana na yule bado anataka agombane na huyu kijana mzuri mchapa kaz yaan mm ananikera san

  • @ramadhanikalumbete7134
    @ramadhanikalumbete7134 7 лет назад +1

    upole ukuzidi utatiwadole yanipale kamanimm shamchapa.teke LA.korodani

  • @peterdaison5220
    @peterdaison5220 5 лет назад

    pigen hela tu hakuna lolote wot ni walewale

  • @acifiweazeka2342
    @acifiweazeka2342 7 лет назад +1

    good

  • @stevenmakundi3310
    @stevenmakundi3310 6 лет назад +1

    hmmmm duuuh!!!!!!!

  • @farajihokororo1806
    @farajihokororo1806 5 лет назад

    Huyo sio mchungaji kasesele ungemtia ndani awe na adabu

  • @dovicochristopher5388
    @dovicochristopher5388 5 лет назад

    DC Kichwa Maji

  • @wigansichilima4205
    @wigansichilima4205 5 лет назад

    Kwann mnafanyahayooo jamn

  • @johnmotto6366
    @johnmotto6366 6 лет назад +1

    Msigwa nguvu huna halafu unajionesha .

  • @ramadhanikakoree3728
    @ramadhanikakoree3728 6 лет назад +1

    100%

  • @chaxysimon664
    @chaxysimon664 6 лет назад

    nimekumbuka enzi zangu zile za kitambo, mstari unachorwa chini afu mwezio anakuambia vuka kama wewe ni mwanaume haaaahaahaaa

  • @rennysteve3227
    @rennysteve3227 7 лет назад +15

    Eti mchungaji hekima iko wapi?

    • @consolatamaarufu6762
      @consolatamaarufu6762 6 лет назад

      Renny Steve ulickia mchungaji ndio aonewe we vepe

    • @fungamaliramadhani479
      @fungamaliramadhani479 5 лет назад

      Renny Steve mchungaji wanini muhuni tu huyo hapi pigakazi babu Chadema pigachini huyooo

    • @davidkawesa3594
      @davidkawesa3594 5 лет назад

      Mungu karuhusu hasila ila usitende dhambi ndio maana unasikia hasila iliwaka kwa Daudi kumuangusha Goliath

    • @stellaernest8735
      @stellaernest8735 5 лет назад

      we ni fala hujui nn maana ya uwajibikaji pumbavu

    • @moureenkirundwa8691
      @moureenkirundwa8691 4 года назад

      Uchungaj mana yake co uonewe, na czan km kafanya dhambi hapo, kwa kuw hasira iliwaka ndan yke lkn haikuw na matunda mabaya

  • @samwellwiza5339
    @samwellwiza5339 6 лет назад

    Mchungaji msigwa njoo tuhubiri wenye dhambi ili tulete maendeleo ya kiroho kwa watanzania.. Hayo ya kimwili waachie wenye wito na style ya siasa..... Siasa ngumu kwa muhubiri jamaniiii... Maji na mafuta.
    Stahafu ili kujenga heshima.. Umeshafanya kwa sehemu yako sasa njoo madhabahuni... Please please please baba ... Waachie wakina Mdee.

  • @manjalejuniorlg7024
    @manjalejuniorlg7024 5 лет назад

    Hakuna mchungaji hapa

  • @alicejoel3150
    @alicejoel3150 7 лет назад +6

    msigwa hao wamezoea ni vibaraka wa ccm wanatumiwa

  • @allymliloh1760
    @allymliloh1760 7 лет назад +7

    Hivi huyu msigwa alisoma tu Bible knowledge akawa mchungaji au ndo watu kuitana prof Jay

  • @ramadhanimahongole8764
    @ramadhanimahongole8764 4 года назад

    huyo siyo mkuu wa wilaya huyo ni kada wa ccm 🤣🤣🤣😆

  • @wigansichilima4205
    @wigansichilima4205 5 лет назад

    Kwann mnafanyann mambo haya

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 4 года назад

    Wachungaji hawagombani

  • @renatusmgina4003
    @renatusmgina4003 6 лет назад

    Safi sana wajinga kama hao inatakiwa at a makofi tu wanapenda ujinga kila mda kura za wapiga kura wanaiba bado wanashindwa yakuongea wanakusema MCHUNGAJ vitu vya kijinga wamezoea hao umefanya vizur sana bola kumfece MTU syo kuzunguka MTU mwenyewe bata tu kateuliwa Anataka kushindana nauliye chaguliwa KWA mapenzi ya wananchi waliowachoka mabepari hao wakununua madiwan na wabunge

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 7 лет назад +4

    Unaleta sifa apa mchungaji gan wew

    • @emanuelgavile3503
      @emanuelgavile3503 7 лет назад

      Marry Paul sifa siunajua anapenda kki en anajiita smart

  • @jamessichimata3100
    @jamessichimata3100 5 лет назад

    Ongea kiswahili mchungaji

  • @jessykaelus1579
    @jessykaelus1579 7 лет назад +3

    Hahaha:

  • @hoseaobedi7960
    @hoseaobedi7960 5 лет назад

    Makubwa jinga hovyoo

  • @Ba63828
    @Ba63828 6 лет назад +2

    WEWE MCHUNGAJI HASIRA BILA KIKOMO KWA HIO ULITAKA UMPIGE USINGEZUILIWA NA WAPAMBE WAKO?

  • @mazikufabian2252
    @mazikufabian2252 7 лет назад +6

    Mkwawa Piga Hiyo Kitu.