MAUAJI NJOMBE: MAMA AMUUA MTOTO WA MCHEPUKO WA MUME WAKE NA KUMZIKA
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- MAUAJI NJOMBE: MAMA AMUUA MTOTO WA MCHEPUKO WA MUME WAKE NA KUMZIKA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Huyu police anaonekana ni mtangazaji mzuri wa mpira 😂😂
🤣🤣🤣khaas
😃😂😃😂
😂😂
Atakua ndugu wa baraka mpenja
Kaitisha 😊
Mweeee tumbo la uzazi limeniuma😭😭 mtoto asiye na hatia jaman😭😭😭😭😭😭😭
Hapo ndotujue maisha yamechagaya watu
Sijapenda unavyosimulia,design km wewe mwenyewe unatafuta attention,hebu be serious,ni mtoto huyo aliefariki sio kuku
Huyu policy kiboko 😄😄nacheka km mazuri dahhhh mtihani huu
Yaan ni huzuni lakini akiripoti matukio huwa anachekesha yaan km muandishi wa habari. Huwa namfatilia sana
😂😂😂😂
😄🤣😂😆😄🤣
😂😂😂😂
We acha tukio la uzuni mtangazaji nomaaa sanaah
Du sio kwa mtoto mdogo kwani huyo mtoto ndo.alikuwa anakunywa bear alafu atawauwa wangapi wanaume.wenyewe hawatuliii jamani kah
Mtoa taarifa sasa dah Lakini macho kuona 😂😂😂🙌🏻 Mungu nisamehe
Haki ya mama macho kuona mwanamke ana roho mbaya jaman
Eeee Mwenyezi Mungu turehemu! Sasa mtt kakosa nini jamani? Kwani yeye ndio alimtuma baba yake akatembee na huyo mchepuko paka akazaliwa? Wewe mwanamke uliyefanya ubaya huo Mungu na akushughulikie!!
Masau Bwire au Afande? Pale TBC panamfaa zaidi. Atapaboresha sana hasa matangazo ya kabumbu. Ana kipaji kikumbwa mno. Mpeni mauwa yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Dah unamuuaje mtoto jamani? Kisa mamake anachepuka na
Mumeo kweli?
Iv tz kunashetani gan kaibgia kwenye roho za watu wa tz jmn mbaka naogopa me..he mungu tunusuru na majanga haya unaenda kumua mtto kakukosea nn jmn roho mbaya izi
Sasa mtoto kakosa nn suala la mahusiano linahusishaje watoto
Mwamba kamanda anaripoti
Nakupata kamanda over
Pumzika kwa amani kiungo wetu
Raha ya milele umpe ee bwana
Na mwanga wa milele umuangazie
😭😭😭😭😭😭😭😭
.mtihani setwani kaka mbali na binaadamu anawaacha binaadamu wafange wanayo yataka wewe ulie mua mtoto wa watu kumbuka na wewe iko siku umauti utakukuta
Huyu piloce au mtangazi wa mpira jamani ... Khaaa
Kamandaaaaaaaaa
Jamani huyu police ni mtangazi wa mpira
Hivi polisi hua wanasomea news reporting au hahahahaha
Rpc mbali na cheo chake ana kipaji cha utamgazaji
Mungu ampumzishe kwa amani mtoto
MUNGU atunusuru. Rohon ya kishetan inashika Kasi sn
Mauwaji mbona yanazidi sana jamani kwanini
Uyo mwanamke hauriwe nayye
Afande uko vizir ktk utangazaj inaonekana upo viwango
Police huyu anafaa kutowa taarifa vizuri unamwelewa umetangaza kama ben kiko wazama familia poleni sana
Duh ben kiko zamani sana
Mmmmh Kamanda kavile mtangazaji furahani
mbona njombe mauaji mengi kama haya
Sasa atauwa watoto wa wangapi
Lakini macho kuona🤣🤣🤣🤣❣️❣️❣️
Polisi jamani tunasikitika wenzio sasa wewe iyo sauti duuuu
Kwakweli mm sijapenda anavyo wakilisha taarifa huyu atakuwa amekunywa
Kwenu studio 🎙️ afande shikamoo
Huyu polic ni mtangazaji aseeeeee
Huyu mama hana huruma jamani.....sasamtoto anahusika nanini
Jaman mama waajab huyo
My god Jesus 😮🤣
Kamanda si taratbu😁😁
Mama.kizaz chako kitaangamiya kama ulivyomuuwa mtot wa mwenzak.bor ungedili.na bwanako mjinga.kabis ww kaozee magereza.sas
Macho kuonaaaaa
Mtoa taarifa utafikiri anatangaza mpira jamaniii mweeee afu alikuwa keshakunywa huyu Sasa ndo anatoaje taarifa
Mungu wangu iyi dunia anaelekeya wapi jamani
Nakuelewa afande nizaidi ya afande
Watu awasikiliza liport wanasikiliza habari ya polisi anavyosoma🤣🤣🤣
@@kiehbhzh7044 hamna bwana tunasikiliza mwanzo mwisho😂😂👌
MR Hamis Issa MASHAAALAH .ukikamatwa ukipelekwa kituon ukikutana nae jua kessi imeeisha labda iwe mbaya kama ya huyo mama.
Jamani jamani huyo bint mbona bado mdogo kamdhulum buree mtoto rohoyakee daah inaumasana mtoto alikuwa namakosa ganii
Yaan unataka kuongea kwa mcctzo na hca lakn saut inakusalt Inauma Sana jaman 😭😭😭.
very painful m
.....rest in peace sn
SubhanAllah 😭😭😭 Innallah wainailah rajoon mtoto mdogo ambaye hana hatia serikali ichukue mkondo wake utauwa wangapi ukiona mume au mke ondoka kuepusha mauaji haya yeye akiwa jela mume ataenda nae huko jela kama jasiri umeshaambiwa mumeo au mkeo yupo na fulani kawauwe wahusika unaenda kuuwa wasiohusika wenzenu tumesikia ana mwanamke na ameshazaa mtoto nimeondoka nimemwacha
Hahahaa majonzi lkn bwn afande naona unaendelea na utani wako
Miaka sita unamuua kwa mikono jaman ningekuua na wewe nikafungwe
akitangaza mechi ya simba na Yanga huyu
Nilikuwa natafuta mwenye sauti kumbe ni police ninayemuona,asante
Haaaaahaaaaa
Dah askari huyu yupo vizuri
Binadamu wana mambo ya ovyo
Baada ya kunyyolewa huyu mtoto
Afande wacha hanjam
Dah ukatili huu ni hatar
Nay anyongw nitafrah