MAUAJI NJOMBE: MAMA AMUUA MTOTO WA MCHEPUKO WA MUME WAKE NA KUMZIKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • MAUAJI NJOMBE: MAMA AMUUA MTOTO WA MCHEPUKO WA MUME WAKE NA KUMZIKA
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 79

  • @rosekaiza2716
    @rosekaiza2716 2 года назад +19

    Huyu police anaonekana ni mtangazaji mzuri wa mpira 😂😂

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 2 года назад +6

    Mweeee tumbo la uzazi limeniuma😭😭 mtoto asiye na hatia jaman😭😭😭😭😭😭😭

  • @claudia1500
    @claudia1500 2 года назад +2

    Sijapenda unavyosimulia,design km wewe mwenyewe unatafuta attention,hebu be serious,ni mtoto huyo aliefariki sio kuku

  • @shamsahasan2748
    @shamsahasan2748 2 года назад +8

    Huyu policy kiboko 😄😄nacheka km mazuri dahhhh mtihani huu

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 2 года назад +2

      Yaan ni huzuni lakini akiripoti matukio huwa anachekesha yaan km muandishi wa habari. Huwa namfatilia sana
      😂😂😂😂

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      😄🤣😂😆😄🤣

    • @calvinpaul2171
      @calvinpaul2171 2 года назад

      😂😂😂😂

    • @ShaymaaMlanza
      @ShaymaaMlanza 4 месяца назад

      We acha tukio la uzuni mtangazaji nomaaa sanaah

  • @christinachazy8644
    @christinachazy8644 2 года назад +4

    Du sio kwa mtoto mdogo kwani huyo mtoto ndo.alikuwa anakunywa bear alafu atawauwa wangapi wanaume.wenyewe hawatuliii jamani kah

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 2 года назад +3

    Mtoa taarifa sasa dah Lakini macho kuona 😂😂😂🙌🏻 Mungu nisamehe

  • @silviasoka6845
    @silviasoka6845 2 года назад +4

    Haki ya mama macho kuona mwanamke ana roho mbaya jaman

  • @cmoshi7014
    @cmoshi7014 2 года назад +2

    Eeee Mwenyezi Mungu turehemu! Sasa mtt kakosa nini jamani? Kwani yeye ndio alimtuma baba yake akatembee na huyo mchepuko paka akazaliwa? Wewe mwanamke uliyefanya ubaya huo Mungu na akushughulikie!!

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 11 месяцев назад

    Masau Bwire au Afande? Pale TBC panamfaa zaidi. Atapaboresha sana hasa matangazo ya kabumbu. Ana kipaji kikumbwa mno. Mpeni mauwa yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @daimavlog
    @daimavlog 2 года назад +3

    Dah unamuuaje mtoto jamani? Kisa mamake anachepuka na
    Mumeo kweli?

  • @MsNajma-j7e
    @MsNajma-j7e 27 дней назад

    Iv tz kunashetani gan kaibgia kwenye roho za watu wa tz jmn mbaka naogopa me..he mungu tunusuru na majanga haya unaenda kumua mtto kakukosea nn jmn roho mbaya izi

  • @japhetnziku3917
    @japhetnziku3917 2 года назад +3

    Sasa mtoto kakosa nn suala la mahusiano linahusishaje watoto

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 2 года назад +3

    Mwamba kamanda anaripoti

  • @naslee1010
    @naslee1010 2 года назад +2

    Nakupata kamanda over

  • @alestinamahanga4570
    @alestinamahanga4570 Год назад +1

    Pumzika kwa amani kiungo wetu
    Raha ya milele umpe ee bwana
    Na mwanga wa milele umuangazie
    😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад

    .mtihani setwani kaka mbali na binaadamu anawaacha binaadamu wafange wanayo yataka wewe ulie mua mtoto wa watu kumbuka na wewe iko siku umauti utakukuta

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 4 месяца назад

    Huyu piloce au mtangazi wa mpira jamani ... Khaaa

  • @husnamadai7052
    @husnamadai7052 2 года назад +3

    Kamandaaaaaaaaa

  • @AishaJuma-wd8xd
    @AishaJuma-wd8xd Месяц назад

    Jamani huyu police ni mtangazi wa mpira

  • @flova7022
    @flova7022 2 года назад +2

    Hivi polisi hua wanasomea news reporting au hahahahaha

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan1272 Год назад

    Rpc mbali na cheo chake ana kipaji cha utamgazaji

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 года назад +3

    Mungu ampumzishe kwa amani mtoto

  • @kenosman4780
    @kenosman4780 2 года назад +1

    MUNGU atunusuru. Rohon ya kishetan inashika Kasi sn

  • @shakilamaketo3620
    @shakilamaketo3620 Год назад

    Mauwaji mbona yanazidi sana jamani kwanini

  • @MsNajma-j7e
    @MsNajma-j7e 27 дней назад

    Uyo mwanamke hauriwe nayye

  • @zuberimkuba2324
    @zuberimkuba2324 2 года назад

    Afande uko vizir ktk utangazaj inaonekana upo viwango

  • @shakilamaketo3620
    @shakilamaketo3620 Год назад

    Police huyu anafaa kutowa taarifa vizuri unamwelewa umetangaza kama ben kiko wazama familia poleni sana

  • @yangaebiasal3237
    @yangaebiasal3237 2 года назад +1

    Mmmmh Kamanda kavile mtangazaji furahani

  • @francisrobert9652
    @francisrobert9652 10 месяцев назад

    mbona njombe mauaji mengi kama haya

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 4 месяца назад

    Sasa atauwa watoto wa wangapi

  • @flova7022
    @flova7022 2 года назад +2

    Lakini macho kuona🤣🤣🤣🤣❣️❣️❣️

  • @bahatirobert1009
    @bahatirobert1009 2 года назад +2

    Polisi jamani tunasikitika wenzio sasa wewe iyo sauti duuuu

    • @monicajonas8382
      @monicajonas8382 2 года назад

      Kwakweli mm sijapenda anavyo wakilisha taarifa huyu atakuwa amekunywa

  • @shadyaali8461
    @shadyaali8461 2 года назад +1

    Kwenu studio 🎙️ afande shikamoo

  • @gracemrema9815
    @gracemrema9815 2 года назад +1

    Huyu polic ni mtangazaji aseeeeee

  • @aminataamina9438
    @aminataamina9438 2 года назад +1

    Huyu mama hana huruma jamani.....sasamtoto anahusika nanini

  • @maqrinekidegelimba7049
    @maqrinekidegelimba7049 2 года назад +1

    Jaman mama waajab huyo

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Год назад

    My god Jesus 😮🤣

  • @kenosman4780
    @kenosman4780 2 года назад +1

    Kamanda si taratbu😁😁

  • @annastevensteven9515
    @annastevensteven9515 2 года назад

    Mama.kizaz chako kitaangamiya kama ulivyomuuwa mtot wa mwenzak.bor ungedili.na bwanako mjinga.kabis ww kaozee magereza.sas

  • @miznalamwanku7261
    @miznalamwanku7261 Год назад

    Macho kuonaaaaa

  • @monicajonas8382
    @monicajonas8382 2 года назад

    Mtoa taarifa utafikiri anatangaza mpira jamaniii mweeee afu alikuwa keshakunywa huyu Sasa ndo anatoaje taarifa

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 2 года назад +1

    Mungu wangu iyi dunia anaelekeya wapi jamani

  • @hanifaomar7438
    @hanifaomar7438 2 года назад +2

    Nakuelewa afande nizaidi ya afande

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 2 года назад

      Watu awasikiliza liport wanasikiliza habari ya polisi anavyosoma🤣🤣🤣

    • @hanifaomar7438
      @hanifaomar7438 2 года назад

      @@kiehbhzh7044 hamna bwana tunasikiliza mwanzo mwisho😂😂👌

  • @fatumasukwaju226
    @fatumasukwaju226 Год назад

    MR Hamis Issa MASHAAALAH .ukikamatwa ukipelekwa kituon ukikutana nae jua kessi imeeisha labda iwe mbaya kama ya huyo mama.

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 года назад

    Jamani jamani huyo bint mbona bado mdogo kamdhulum buree mtoto rohoyakee daah inaumasana mtoto alikuwa namakosa ganii

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Год назад

    Yaan unataka kuongea kwa mcctzo na hca lakn saut inakusalt Inauma Sana jaman 😭😭😭.

  • @analinejeptanui993
    @analinejeptanui993 Год назад

    very painful m

  • @رقيهالخصيبي
    @رقيهالخصيبي 2 года назад

    SubhanAllah 😭😭😭 Innallah wainailah rajoon mtoto mdogo ambaye hana hatia serikali ichukue mkondo wake utauwa wangapi ukiona mume au mke ondoka kuepusha mauaji haya yeye akiwa jela mume ataenda nae huko jela kama jasiri umeshaambiwa mumeo au mkeo yupo na fulani kawauwe wahusika unaenda kuuwa wasiohusika wenzenu tumesikia ana mwanamke na ameshazaa mtoto nimeondoka nimemwacha

  • @nasrafadhili7408
    @nasrafadhili7408 Год назад

    Hahahaa majonzi lkn bwn afande naona unaendelea na utani wako

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 2 года назад

    Miaka sita unamuua kwa mikono jaman ningekuua na wewe nikafungwe

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission2140 2 года назад

    akitangaza mechi ya simba na Yanga huyu

  • @jovanafidelis2802
    @jovanafidelis2802 Год назад

    Nilikuwa natafuta mwenye sauti kumbe ni police ninayemuona,asante

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission2140 2 года назад

    Dah askari huyu yupo vizuri

  • @ramadhanisenzota1169
    @ramadhanisenzota1169 2 года назад

    Binadamu wana mambo ya ovyo

  • @beatricemshiu2816
    @beatricemshiu2816 2 года назад

    Baada ya kunyyolewa huyu mtoto

  • @aliaden5512
    @aliaden5512 2 года назад

    Afande wacha hanjam

  • @japhetnziku3917
    @japhetnziku3917 2 года назад +1

    Dah ukatili huu ni hatar