Asanteni kwa maoni yenu nyote mulioboeshwa na toleo hili.Mumeniokoa dakika zangu karibu ishirini za mateso.Nimesoma maoni kwanza na kusikiliza toleo Kati ya dakika moja au moja na nusu na kulitoroka
Kusabscribe ni kitu cha ziada cha msing toa elimu kwa wanao kutzama Pia kukaa unataja hyo yagomba tv kila mara unawakera watazamaj Af time management Alaf ukiwa unasekord usilaze kamera au simu simamisha vizuri Alaf jaribu kununua hata raptop ili uwe unachuja video yako kabura huilusha. Ukifanya hayo mambo yataenda vizuri
Somo zuri, jaribu kuhariri,kupunguza baadhi ya vitu kamq kulishona kabla ya ili kutomchosha mtazqmaji Naami i muda uliotumia kwa video hii ungemaliza darasa lote,ni mawazo tu.
Mbona nishaka kosa maelezo zaidi kuhusu iyi somo, natamani sana kutotolesha ila sehemu hiitu ndo Napata, nipe sehemu zote ilinijifunze nianje kutotolesha
Punguza maelezo mengi na u kitengeneza video Kamili maelezo kwani video zako hazifuatani kwa hiyo tunapata shida kuipata ya niendeleze wa hiyo mpk sasa sijapata kuendeleza kutotoa a mayai
Jitahidi kwenda na mda solazima ufanye vyoye umesha chora ungetoboa moja ilitukuelewe uendelee na mengine unanga'ngania watu wa subscribe wakati haujamaliza zoezi heeeee.
kaka ubarikiwe kwa funzo ulilotupa, usikate tamaa na maneno ya baadhi ya watu tatizo ni uelewa tu, japo nakushauri ujifunze video editing itakusaidia sana kwenye video unazo upload kwenye chanel yako... kuna watu humu youtube wanatoa tutorial za vitu mbalimbali ndani ya dk hata 10 wanakuwa wamemaliza na watu wameelewa na wengine hata hawazungumzi ila unaelewa tu kutokana na ubunifu mzur wa kuedit, shukran!
safii sana .tunasubiri video inayofuata
That's Good
Asanteni kwa maoni yenu nyote mulioboeshwa na toleo hili.Mumeniokoa dakika zangu karibu ishirini za mateso.Nimesoma maoni kwanza na kusikiliza toleo Kati ya dakika moja au moja na nusu na kulitoroka
UJUE UPITWA NA MAMBO MAZURI
Thanks dea for the great work
Any Ugandan here??
ruclips.net/video/ungutcTmvIk/видео.html
Yap
Kusabscribe ni kitu cha ziada cha msing toa elimu kwa wanao kutzama
Pia kukaa unataja hyo yagomba tv kila mara unawakera watazamaj
Af time management
Alaf ukiwa unasekord usilaze kamera au simu simamisha vizuri
Alaf jaribu kununua hata raptop ili uwe unachuja video yako kabura huilusha.
Ukifanya hayo mambo yataenda vizuri
Unaboa hufundishi vizuri
Safi sana
Nimekuelewa
Good initiative and I would like to know more about this
availble on whatsap+255762956366
check me on whatsapp +255762956366
Asante sana
Kaz nzur lakin punguza maelezo afu hukuwa na haja ya kuto Malizia hatua zote,
Asante kutuonesha tunataka utufunz vizuli sasa
Hufai kabisa blaablaa nyingi
KWANINI
Napenda kujifunza na pia nahitaji kuelewa zaid
namba iyo hapo nitafute ndugu
Kufundisha hujui, muda hujui. Halafu unaridia rudia mpaka unabore.
Karibuni wadau katika Chanel yetu ya mafundisho ya neno la Mungu na ibada za kuabudu katika roho na kweli
Mbavu zangu
Asante sana
Safi kabisa ndugu
Ongera.natamani sana kuweza ilozowezi nijambojemasana
Mimependa sana somo lako Zuri sana.Asante
Mbwembwe nyingi mweeee
Somo zuri, jaribu kuhariri,kupunguza baadhi ya vitu kamq kulishona kabla ya ili kutomchosha mtazqmaji
Naami i muda uliotumia kwa video hii ungemaliza darasa lote,ni mawazo tu.
🙏
Wanasema
Unaboa unapendakuludia kulikomafuzo uliyoitajikuelekeza jilekebishe
Ungekamilisha maelezo badala ya kuacha wasikilizaji hewani
Aseeeee
😂😂
Asee unatumia mdaa mrefu sana jifunze kutumia mdaa mfupi kwenye video zako
Acha kuongea sana
Aksanti kwa ujuzi
karibu
Powa sana kaka
Kaka na penda kazi yako mungu akupe nguvu udaidie wengi
Unaongea sn onesha mifano
Tiba ugojwa
utanilipa bando zangu hafu waonekana mvivu yaan kazi ya kuinama we wakaa dah!
kaz nzuri sana ila muda unautumia sana kurudiarudia
Жаксы🍇🍇🍎
nzur
Watu hawa wanahitaji training, juu ya muda. Sasa hivi kila mtu ana channel but no skills
Mmh kwakweli
daa bando limeisha maelezo mengine sio yamsingi sana
Nnimekuelewa
Kufundisha haujui maelezo mengi siyo ya msingu
mpaka nikachoka itabidi nitafute darasa nijue kutotolesha
Huyu ana roho mbaya Hana lengo la kuwapa watu elimu mbinafsi
pole sana karibu ujifunze
punguza mbwembwe hata kuwasha taa hatuju
Mpaka utambi na mafuta ya taa anafafanua
Mhmm nilisinzia APA kwenye sofa rudia ndugu du
hahahha pole
Una bonga Sana pahali yakutowa maelezo ya lazma
Naomba video nyingine
zipo nyingi humo nilio wafundisha au ingia whatsap nikutumie uone
ingia yagomba utaona walio totoa mayai
Sasa ahumalizie mafuzo mbona?
karibu ufundishwe
Safi
Go with action
Mwlm mzur bt jitahidi kusummary mafunzo yako
Tiba ya kuku
Nilipoteza muda wangu kufanya hivi. Nunua machine ni ya 150usd utoleshe vifaranya 64 kwa mwezi.
Mashine bei gani ya kutotolesha vifaranga
Huyo aliekutengenezea tafsiri ya maneno kwa kiingereza amedanganya sana hapo akurudishie hela
Uwiii wenzangu akimaliza maelezo akija kwenye maelezo ya maana mniamshe nilipata usingiz😂😂
Poa jembe
Hahaha pole
Zidi kusinzia nitakuamsha....
we nawe kazi ndogo tu ila unataka ujikute creater
AnakulA mda kwa jambo dogo mno
Mbona nishaka kosa maelezo zaidi kuhusu iyi somo, natamani sana kutotolesha ila sehemu hiitu ndo Napata, nipe sehemu zote ilinijifunze nianje kutotolesha
Mda mwingi umetumia kutaja namba za cm pamoja na kuhesabu mayai duuuu we ni mwalimu unafaa!!! Mpaka hamu ya kujifunza nimefirisika!!!
Tunajielewa wa tz wengi ni wavivu kwenye mambo ya msingi
Kaz nzur ila jitshid kusumarize
Wachojesha ndugu yangu. Uko very slow 🇰🇪
Time is money bro
Jifunze kutumia muda
sawa mkuu tafanyia kazi
Acha ujinga bwana.... mpaka Unashikwa na Viungulia kwa Ajili ya kurudia rudia maneno.
Oya Mzee mbona Kila vidio humaliz.
Unatumia muda mrefu kupromote tv badala ya mafunzo pia unarudia rudia maneno
ili uelewe vizuri
Matumizi ya muda huyajui?
ok good
Naomba unitajie hivyo vitu vya kuongezea
Punguza maelezo mengi na u kitengeneza video Kamili maelezo kwani video zako hazifuatani kwa hiyo tunapata shida kuipata ya niendeleze wa hiyo mpk sasa sijapata kuendeleza kutotoa a mayai
Unitumiye sehemu ya pili kaka
Punguza maelezo
Jitahidi kwenda na mda solazima ufanye vyoye umesha chora ungetoboa moja ilitukuelewe uendelee na mengine unanga'ngania watu wa subscribe wakati haujamaliza zoezi heeeee.
Unatumalizia mb zetu nenda kwenye point
Mimi kuaziya ayoo mayai sili adii aokuku wenyewe silk nikinyaaa tupu nakula kuku wavijijini wanao zaaa Kwa nguvuzao
mhm mda mrefu unatumia bila maelezo kamili
Brother we piga Kaz ikiwa Bora utatafutwa 2
Nahitaji taa ya chemri ndogo, je nitapata?.
una boa
ok brother
Ngoja nijalibu aiseee
Huu ni upuuzi mtupu elezea topi mpaka iishe kama unapenda kuelimisha wenzio. Hueleweki kwanza unarudiarudia sana
Unaelekeza kifalasanaaaa
Naomba niunge kwenye group LA whatsap kama unalo natamani kujifunza
unakera mnoo
hapana angalia yaomba utaona nilio wafundisha waka totoa video zipo
Toa maelekezo sio muda wote unatoa namba ya simu na kusema subscribe tu, punguza maneno yasiyo ya msingi.Nani asiejua taa ya chemri?
ruclips.net/video/ungutcTmvIk/видео.html
mbona unarusha mayai inamaana hayapasuki hayo
Sasa unapofungia taa ya chemli inaiwasha si inatumia oxygen na kuproduce carbondioxide sasa uhai utakuwepoje ?
nmekumbuka uko mwisho t mwanzo sjui tena kha
😂😂😂😂
Duuh! Kwa uelekezaji huu watoto lazima wafeli aisee, unamckiliza hadi unaanza kupiga miayo "kweli bongo nyoso".
😂😂😂😂🤣🤣🤣
angalia hii kaka ushuhuda ruclips.net/video/Zg5lHUap7LI/видео.html
😂😂😂nilifikiri ni mimi tu jamani sielewi, mwenye mtu mwengine anijuze ambaye anaelekeza kwa uzuri🏃♀️
Natafuta dume bata bukini. Naweza kupata wapi
Maelezo yake yanachosha anarudia rudia sana
ruclips.net/video/ungutcTmvIk/видео.html hii fupi huchoki bonyeza link
Maneno maji inje ya mada
Mayai haya hitaji unyevu?
Sehum yapili vp kaka tunaisubiri
Abrahamani Ramadhani Abrahamani Ramadhani tafadhali tuleteye sehemu ya pili
🙏
kaka ubarikiwe kwa funzo ulilotupa, usikate tamaa na maneno ya baadhi ya watu tatizo ni uelewa tu, japo nakushauri ujifunze video editing itakusaidia sana kwenye video unazo upload kwenye chanel yako... kuna watu humu youtube wanatoa tutorial za vitu mbalimbali ndani ya dk hata 10 wanakuwa wamemaliza na watu wameelewa na wengine hata hawazungumzi ila unaelewa tu kutokana na ubunifu mzur wa kuedit, shukran!
asante saaana
Unapatikana wp
Kaka nataka nijalibu ntapatia kwel
0762956366 karibu nikufundishe
Mayai za kanga, kware,Bata, inaangua bada ya siku ngapi,na joto,na mvuke au humidity ngapi?
mayai bata ni zaidi ya siku 21 za kuku
Sasa mbona hiyo part 2 hakuna
Mkufunzi umetaja chemli mara kumi na tano? Zingatia muda
sawa mkuu
Who has tried this? Did it really work?
Yes Doritos kims
Please what is he trying to say because we don't understand his language
ok check me to my whatsapp number Usman i will let you know
Nilitaman kuskiza had kwsho ila baada ya kuona unachukua mda mwing nimeamua kukimbia.
Unitumiye sehemu ya pili:kutotolesha mayai ya kuku,kanga,Bata kwa kutumia box
piga 0762956366
Una maneno mengi
Maelezo marefuuuuu, haina hata maana
Unaboa jifunze kuelezea
Hiiiii kaka muda!!!
Unadhani unafundisha ngumbaru