JINSI YA KUTOTOLESHA MAYAI KUKU,KANGA, BATA KWA KUTUMIA BOX NA TAA /EGGY INQUBATOR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • This video not completed/Haija malizika itaendeeal ea next time

Комментарии • 212

  • @juliethkibasa1608
    @juliethkibasa1608 26 дней назад

    safii sana .tunasubiri video inayofuata

  • @dstv__tz4519
    @dstv__tz4519 5 лет назад +3

    That's Good

  • @hanifabdalla8118
    @hanifabdalla8118 5 лет назад +3

    Asanteni kwa maoni yenu nyote mulioboeshwa na toleo hili.Mumeniokoa dakika zangu karibu ishirini za mateso.Nimesoma maoni kwanza na kusikiliza toleo Kati ya dakika moja au moja na nusu na kulitoroka

  • @Queen-sx4bq
    @Queen-sx4bq 4 года назад +3

    Thanks dea for the great work
    Any Ugandan here??

  • @manasejrbanige6426
    @manasejrbanige6426 4 года назад +4

    Kusabscribe ni kitu cha ziada cha msing toa elimu kwa wanao kutzama
    Pia kukaa unataja hyo yagomba tv kila mara unawakera watazamaj
    Af time management
    Alaf ukiwa unasekord usilaze kamera au simu simamisha vizuri
    Alaf jaribu kununua hata raptop ili uwe unachuja video yako kabura huilusha.
    Ukifanya hayo mambo yataenda vizuri

  • @bernardburton6886
    @bernardburton6886 4 года назад +2

    Safi sana

  • @georgemasauna7291
    @georgemasauna7291 5 лет назад +3

    Nimekuelewa

  • @jierhezekiahmireri1123
    @jierhezekiahmireri1123 2 года назад +1

    Good initiative and I would like to know more about this

    • @yagomba3214
      @yagomba3214  2 года назад +1

      availble on whatsap+255762956366

    • @yagomba3214
      @yagomba3214  2 года назад

      check me on whatsapp +255762956366

  • @jairosgreyson3268
    @jairosgreyson3268 3 года назад +1

    Asante sana

  • @hekimanziku6410
    @hekimanziku6410 4 года назад +3

    Kaz nzur lakin punguza maelezo afu hukuwa na haja ya kuto Malizia hatua zote,

  • @thierryniyongabo6258
    @thierryniyongabo6258 2 года назад +1

    Asante kutuonesha tunataka utufunz vizuli sasa

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Месяц назад +1

    Hufai kabisa blaablaa nyingi

  • @fatmamakame3164
    @fatmamakame3164 3 года назад +2

    Napenda kujifunza na pia nahitaji kuelewa zaid

    • @yagomba3214
      @yagomba3214  3 года назад +1

      namba iyo hapo nitafute ndugu

  • @princeoscar7205
    @princeoscar7205 5 лет назад +5

    Kufundisha hujui, muda hujui. Halafu unaridia rudia mpaka unabore.

  • @mussaissabe9076
    @mussaissabe9076 4 года назад +2

    Karibuni wadau katika Chanel yetu ya mafundisho ya neno la Mungu na ibada za kuabudu katika roho na kweli

  • @aledemule7798
    @aledemule7798 Год назад

    Safi kabisa ndugu

  • @brighthalex7730
    @brighthalex7730 3 года назад

    Ongera.natamani sana kuweza ilozowezi nijambojemasana

  • @carolinemamuya7471
    @carolinemamuya7471 3 месяца назад

    Mimependa sana somo lako Zuri sana.Asante

  • @lydiakangongole6783
    @lydiakangongole6783 5 лет назад +4

    Mbwembwe nyingi mweeee

  • @saburisaburi7254
    @saburisaburi7254 5 лет назад +1

    Somo zuri, jaribu kuhariri,kupunguza baadhi ya vitu kamq kulishona kabla ya ili kutomchosha mtazqmaji
    Naami i muda uliotumia kwa video hii ungemaliza darasa lote,ni mawazo tu.

  • @mbusroonoka1404
    @mbusroonoka1404 5 месяцев назад +1

    🙏

  • @allyg4s898
    @allyg4s898 4 года назад

    Wanasema

  • @عوشزنجبار
    @عوشزنجبار 5 лет назад +6

    Unaboa unapendakuludia kulikomafuzo uliyoitajikuelekeza jilekebishe

  • @DominickNdyetabura-wz5ox
    @DominickNdyetabura-wz5ox Год назад +1

    Ungekamilisha maelezo badala ya kuacha wasikilizaji hewani

  • @faustakitime5767
    @faustakitime5767 5 лет назад +2

    Aseeeee

  • @rickfredmictulay3513
    @rickfredmictulay3513 5 лет назад +2

    Asee unatumia mdaa mrefu sana jifunze kutumia mdaa mfupi kwenye video zako

  • @DamienNgunda
    @DamienNgunda 2 месяца назад +1

    Aksanti kwa ujuzi

  • @lucienchubaka8188
    @lucienchubaka8188 4 года назад

    Powa sana kaka

  • @editak4353
    @editak4353 4 года назад

    Kaka na penda kazi yako mungu akupe nguvu udaidie wengi

  • @BlesswellMureti
    @BlesswellMureti Месяц назад

    Tiba ugojwa

  • @stansiauisso5441
    @stansiauisso5441 Год назад

    utanilipa bando zangu hafu waonekana mvivu yaan kazi ya kuinama we wakaa dah!

  • @johnalphonce8600
    @johnalphonce8600 4 года назад

    kaz nzuri sana ila muda unautumia sana kurudiarudia

  • @ТлепваиАкимветов
    @ТлепваиАкимветов 4 года назад +1

    Жаксы🍇🍇🍎

  • @nairamusic363
    @nairamusic363 4 года назад

    nzur

    • @wilhelminabalyagati9117
      @wilhelminabalyagati9117 4 года назад

      Watu hawa wanahitaji training, juu ya muda. Sasa hivi kila mtu ana channel but no skills

  • @pilimsangeni8668
    @pilimsangeni8668 4 года назад +1

    Mmh kwakweli

  • @sadikinjiwa3118
    @sadikinjiwa3118 5 лет назад +4

    daa bando limeisha maelezo mengine sio yamsingi sana

  • @izhyoomwakisambwe759
    @izhyoomwakisambwe759 3 месяца назад

    Nnimekuelewa

  • @nicodembrown7508
    @nicodembrown7508 4 месяца назад

    Kufundisha haujui maelezo mengi siyo ya msingu

  • @victoriasiay4218
    @victoriasiay4218 5 лет назад +2

    mpaka nikachoka itabidi nitafute darasa nijue kutotolesha

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324
    @adelaidedaycareprenurseryk6324 4 года назад +1

    Huyu ana roho mbaya Hana lengo la kuwapa watu elimu mbinafsi

  • @sadikinjiwa3118
    @sadikinjiwa3118 5 лет назад +4

    punguza mbwembwe hata kuwasha taa hatuju

  • @paulmhando6931
    @paulmhando6931 5 лет назад +4

    Mhmm nilisinzia APA kwenye sofa rudia ndugu du

  • @robertmbisorg8867
    @robertmbisorg8867 4 года назад

    Una bonga Sana pahali yakutowa maelezo ya lazma

  • @lightnessjohn9216
    @lightnessjohn9216 2 года назад

    Naomba video nyingine

    • @yagomba3214
      @yagomba3214  2 года назад

      zipo nyingi humo nilio wafundisha au ingia whatsap nikutumie uone

    • @yagomba3214
      @yagomba3214  2 года назад

      ingia yagomba utaona walio totoa mayai

  • @user-lh4rl5by1y
    @user-lh4rl5by1y 6 месяцев назад +1

    Sasa ahumalizie mafuzo mbona?

  • @lailatmussa835
    @lailatmussa835 4 года назад +1

    Safi

  • @dominicomakungwa729
    @dominicomakungwa729 5 лет назад

    Go with action

  • @jeridashahamila1753
    @jeridashahamila1753 5 лет назад +2

    Mwlm mzur bt jitahidi kusummary mafunzo yako

  • @BlesswellMureti
    @BlesswellMureti Месяц назад

    Tiba ya kuku

  • @ezbonmworiathemaker4190
    @ezbonmworiathemaker4190 2 года назад

    Nilipoteza muda wangu kufanya hivi. Nunua machine ni ya 150usd utoleshe vifaranya 64 kwa mwezi.

  • @kelvincarter3083
    @kelvincarter3083 Год назад

    Huyo aliekutengenezea tafsiri ya maneno kwa kiingereza amedanganya sana hapo akurudishie hela

  • @jestinanyirenda781
    @jestinanyirenda781 5 лет назад +2

    Uwiii wenzangu akimaliza maelezo akija kwenye maelezo ya maana mniamshe nilipata usingiz😂😂

  • @taskamadili9996
    @taskamadili9996 5 лет назад +7

    we nawe kazi ndogo tu ila unataka ujikute creater

  • @eloiskasereka9874
    @eloiskasereka9874 4 года назад

    Mbona nishaka kosa maelezo zaidi kuhusu iyi somo, natamani sana kutotolesha ila sehemu hiitu ndo Napata, nipe sehemu zote ilinijifunze nianje kutotolesha

  • @enziyolam9180
    @enziyolam9180 5 лет назад +2

    Mda mwingi umetumia kutaja namba za cm pamoja na kuhesabu mayai duuuu we ni mwalimu unafaa!!! Mpaka hamu ya kujifunza nimefirisika!!!

    • @yagomba3214
      @yagomba3214  4 года назад

      Tunajielewa wa tz wengi ni wavivu kwenye mambo ya msingi

  • @christopherdavid9458
    @christopherdavid9458 4 года назад

    Kaz nzur ila jitshid kusumarize

  • @asmaajuma3328
    @asmaajuma3328 3 года назад

    Wachojesha ndugu yangu. Uko very slow 🇰🇪

  • @claudekibwana4090
    @claudekibwana4090 5 лет назад +4

    Time is money bro
    Jifunze kutumia muda

    • @yagomba3214
      @yagomba3214  4 года назад

      sawa mkuu tafanyia kazi

    • @fredjoseph5207
      @fredjoseph5207 4 года назад

      Acha ujinga bwana.... mpaka Unashikwa na Viungulia kwa Ajili ya kurudia rudia maneno.

  • @YonaMbata-cz9mq
    @YonaMbata-cz9mq 11 месяцев назад

    Oya Mzee mbona Kila vidio humaliz.

  • @costantinebwire4463
    @costantinebwire4463 3 года назад

    Unatumia muda mrefu kupromote tv badala ya mafunzo pia unarudia rudia maneno

  • @vaileturio1414
    @vaileturio1414 4 года назад +1

    Matumizi ya muda huyajui?

  • @amadymaextro4311
    @amadymaextro4311 4 года назад

    Naomba unitajie hivyo vitu vya kuongezea

  • @khadijakamus2850
    @khadijakamus2850 Год назад

    Punguza maelezo mengi na u kitengeneza video Kamili maelezo kwani video zako hazifuatani kwa hiyo tunapata shida kuipata ya niendeleze wa hiyo mpk sasa sijapata kuendeleza kutotoa a mayai

  • @silasmatondo9253
    @silasmatondo9253 Год назад

    Unitumiye sehemu ya pili kaka

  • @mkufunzimbaraka5525
    @mkufunzimbaraka5525 2 года назад

    Punguza maelezo

  • @winifridajohn5489
    @winifridajohn5489 5 лет назад +2

    Jitahidi kwenda na mda solazima ufanye vyoye umesha chora ungetoboa moja ilitukuelewe uendelee na mengine unanga'ngania watu wa subscribe wakati haujamaliza zoezi heeeee.

  • @dottocharles1636
    @dottocharles1636 3 года назад

    Unatumalizia mb zetu nenda kwenye point

  • @azizalazri1283
    @azizalazri1283 5 лет назад +1

    Mimi kuaziya ayoo mayai sili adii aokuku wenyewe silk nikinyaaa tupu nakula kuku wavijijini wanao zaaa Kwa nguvuzao

  • @merrysamweli5647
    @merrysamweli5647 4 года назад

    mhm mda mrefu unatumia bila maelezo kamili

  • @newworldvisiontv8998
    @newworldvisiontv8998 2 года назад

    Brother we piga Kaz ikiwa Bora utatafutwa 2

  • @alexsangandele8934
    @alexsangandele8934 3 года назад

    Nahitaji taa ya chemri ndogo, je nitapata?.

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 4 года назад

    una boa

  • @ikulimambotv5410
    @ikulimambotv5410 Год назад

    Ngoja nijalibu aiseee

  • @emmanuelmarko8442
    @emmanuelmarko8442 2 года назад

    Huu ni upuuzi mtupu elezea topi mpaka iishe kama unapenda kuelimisha wenzio. Hueleweki kwanza unarudiarudia sana

  • @Mangizakalia
    @Mangizakalia 5 месяцев назад

    Unaelekeza kifalasanaaaa

  • @ombenimmasi3444
    @ombenimmasi3444 3 года назад

    Naomba niunge kwenye group LA whatsap kama unalo natamani kujifunza

  • @onenonetv5469
    @onenonetv5469 3 года назад

    unakera mnoo

    • @yagomba3214
      @yagomba3214  3 года назад

      hapana angalia yaomba utaona nilio wafundisha waka totoa video zipo

  • @juliussonga5353
    @juliussonga5353 5 лет назад +2

    Toa maelekezo sio muda wote unatoa namba ya simu na kusema subscribe tu, punguza maneno yasiyo ya msingi.Nani asiejua taa ya chemri?

    • @yagomba3214
      @yagomba3214  4 года назад

      ruclips.net/video/ungutcTmvIk/видео.html

  • @luganoalbert5483
    @luganoalbert5483 5 месяцев назад

    mbona unarusha mayai inamaana hayapasuki hayo

  • @anoldkileo2629
    @anoldkileo2629 3 года назад

    Sasa unapofungia taa ya chemli inaiwasha si inatumia oxygen na kuproduce carbondioxide sasa uhai utakuwepoje ?

  • @nayfatsalim7828
    @nayfatsalim7828 4 года назад

    nmekumbuka uko mwisho t mwanzo sjui tena kha

    • @credo7837
      @credo7837 3 года назад

      😂😂😂😂

  • @omarypetro3207
    @omarypetro3207 5 лет назад +10

    Duuh! Kwa uelekezaji huu watoto lazima wafeli aisee, unamckiliza hadi unaanza kupiga miayo "kweli bongo nyoso".

    • @mbwanahussein2014
      @mbwanahussein2014 4 года назад

      😂😂😂😂🤣🤣🤣

    • @yagomba3214
      @yagomba3214  2 года назад

      angalia hii kaka ushuhuda ruclips.net/video/Zg5lHUap7LI/видео.html

    • @anitakidola3820
      @anitakidola3820 28 дней назад

      😂😂😂nilifikiri ni mimi tu jamani sielewi, mwenye mtu mwengine anijuze ambaye anaelekeza kwa uzuri🏃‍♀️

  • @lydiambwele7382
    @lydiambwele7382 4 года назад

    Natafuta dume bata bukini. Naweza kupata wapi

  • @rosemarymwakitwange6257
    @rosemarymwakitwange6257 4 года назад

    Maelezo yake yanachosha anarudia rudia sana

    • @yagomba3214
      @yagomba3214  4 года назад

      ruclips.net/video/ungutcTmvIk/видео.html hii fupi huchoki bonyeza link

  • @hastatz
    @hastatz 4 года назад

    Maneno maji inje ya mada

  • @WABELOYA
    @WABELOYA 4 года назад

    Mayai haya hitaji unyevu?

  • @abrahamaniramadhaniabraham1619
    @abrahamaniramadhaniabraham1619 5 лет назад +1

    Sehum yapili vp kaka tunaisubiri

    • @ikechukwu9366
      @ikechukwu9366 5 лет назад +1

      Abrahamani Ramadhani Abrahamani Ramadhani tafadhali tuleteye sehemu ya pili

    • @jahmanasakwe9530
      @jahmanasakwe9530 4 года назад

      🙏

  • @albertchuma4313
    @albertchuma4313 4 года назад

    kaka ubarikiwe kwa funzo ulilotupa, usikate tamaa na maneno ya baadhi ya watu tatizo ni uelewa tu, japo nakushauri ujifunze video editing itakusaidia sana kwenye video unazo upload kwenye chanel yako... kuna watu humu youtube wanatoa tutorial za vitu mbalimbali ndani ya dk hata 10 wanakuwa wamemaliza na watu wameelewa na wengine hata hawazungumzi ila unaelewa tu kutokana na ubunifu mzur wa kuedit, shukran!

  • @mwitaboni3752
    @mwitaboni3752 4 года назад

    Unapatikana wp

  • @kulwakilemile5188
    @kulwakilemile5188 2 года назад

    Kaka nataka nijalibu ntapatia kwel

    • @yagomba3214
      @yagomba3214  2 года назад

      0762956366 karibu nikufundishe

  • @aljabery.binruz
    @aljabery.binruz 4 года назад

    Mayai za kanga, kware,Bata, inaangua bada ya siku ngapi,na joto,na mvuke au humidity ngapi?

    • @yagomba3214
      @yagomba3214  4 года назад

      mayai bata ni zaidi ya siku 21 za kuku

  • @idrisalitesalite3617
    @idrisalitesalite3617 2 года назад

    Sasa mbona hiyo part 2 hakuna

  • @jedjosiahmugangala9043
    @jedjosiahmugangala9043 4 года назад

    Mkufunzi umetaja chemli mara kumi na tano? Zingatia muda

  • @doritakims.3396
    @doritakims.3396 5 лет назад +3

    Who has tried this? Did it really work?

    • @yagomba3214
      @yagomba3214  4 года назад +1

      Yes Doritos kims

    • @dawabank
      @dawabank 4 года назад

      Please what is he trying to say because we don't understand his language

    • @yagomba3214
      @yagomba3214  4 года назад

      ok check me to my whatsapp number Usman i will let you know

  • @lilymandari9872
    @lilymandari9872 4 года назад

    Nilitaman kuskiza had kwsho ila baada ya kuona unachukua mda mwing nimeamua kukimbia.

  • @silasmatondo9253
    @silasmatondo9253 Год назад

    Unitumiye sehemu ya pili:kutotolesha mayai ya kuku,kanga,Bata kwa kutumia box

  • @veronicakashumba5116
    @veronicakashumba5116 4 года назад

    Una maneno mengi

  • @melkiorymarandu1850
    @melkiorymarandu1850 4 года назад

    Maelezo marefuuuuu, haina hata maana

  • @emilkisigo8474
    @emilkisigo8474 4 года назад

    Unaboa jifunze kuelezea

  • @johnmnyema339
    @johnmnyema339 5 лет назад

    Hiiiii kaka muda!!!