USINUNUE TENA DAWA ZA KUKU TUMIA MAJANI NA MBEGU ZA MPAPAI | ufugaji wa kuku

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 170

  • @KissaMwakatumbula-uo5te
    @KissaMwakatumbula-uo5te 10 дней назад +1

    Asante sana nitaendelea kuwasiliana na nawe

  • @MarryMayala-nc4bt
    @MarryMayala-nc4bt 2 месяца назад +3

    Asante dada kwa Elimu nzuri mungu azidi kukuongezea maarifa Zaid na zaidi🙏

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  2 месяца назад

      Amina sana ubarikiwe

  • @fredrickrwamahe
    @fredrickrwamahe 3 месяца назад +2

    Asante kwa elimu nzuri,nimevutiwa kuwa majani haya Yana protein ,

  • @SalomeGabriel-o7w
    @SalomeGabriel-o7w Месяц назад +1

    Asante sana je nachanganya unga.wa mbegu za papai na juisi ya majani ya papai kwa pamoja ndio wanakunywa au tofauti tofauti

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  Месяц назад

      Sio lazima uchanganye ila ukiweza changanya

  • @MonicaGutta
    @MonicaGutta 2 месяца назад

    Asante sana kwa elimu nzuri

  • @RosemaryOwori
    @RosemaryOwori 3 месяца назад +2

    Asante Sana dada Mungu akuinue Kwa marifa Zaidi kama Danieli ktk Bibilia hongera Kwa elimu mzuri nimependa Amen 🙏🙏🙏

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  3 месяца назад +1

      Nashukuru sana na Mungu atubariki sote amina

  • @esterkisha
    @esterkisha 2 месяца назад

    Asante, barikiwa

  • @jacobmutisyamboya7742
    @jacobmutisyamboya7742 3 месяца назад +4

    THANKS FOR THAT GOOD STORY , GOOD FARMING, GOOD VOICE ,GOOD LADY NICE DAY.

  • @songeza
    @songeza 3 месяца назад +12

    Kuku wangu wanasumbuliwa na mafua makali nifanyeje mlisema nichukue pilipili na alovera na majani ya mperawa Bado wanakoroma hivi Mmoja nimemshikilia

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  3 месяца назад +3

      Tazama hii ruclips.net/video/98hkKJeTfWo/видео.html ukiwapa hiyo dawa watapona

    • @sophiaandrea1516
      @sophiaandrea1516 3 месяца назад

      Tumia tylodox extra, tricumycin,na aminatotal(vitamini),dozi kubwa.

    • @wonderpersonhb3551
      @wonderpersonhb3551 3 месяца назад +2

      Banda lako liangalie uchafu au vumbi au haliptish hewa chunguza hayo

    • @TwalibuSalimu
      @TwalibuSalimu 3 месяца назад

      Nikweli naamani Sana nishafanya

    • @TwalibuSalimu
      @TwalibuSalimu 3 месяца назад

      Mm pia nipo nanyi

  • @annakambelenje9410
    @annakambelenje9410 2 месяца назад +1

    Nitafanyia kazi asante

  • @lightthomas9064
    @lightthomas9064 2 месяца назад +1

    Asante sana rafiki

  • @HeriethKisese
    @HeriethKisese 2 месяца назад +1

    Asante sana kwa elimu hii

  • @yuvenaltemba5529
    @yuvenaltemba5529 2 месяца назад +1

    Asante sana kwa ushauri

  • @dorismatias5170
    @dorismatias5170 3 месяца назад +2

    Asante kipenzi kwaushauri

  • @VictoriafidelisNdulu
    @VictoriafidelisNdulu 2 месяца назад +1

    Asante dada wengiwetu tuta ufanyiakazi ushauri.

  • @LEVINAMLIGO
    @LEVINAMLIGO 3 месяца назад +5

    Nimelipenda SoMo asante I wataalamu wetu

  • @agnesnzali3175
    @agnesnzali3175 3 месяца назад +3

    Asante ssn dada barikies mno mno

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  3 месяца назад

      Shukrani sana ubarikiwe pia

  • @AnnaKosta-e1v
    @AnnaKosta-e1v 3 месяца назад +1

    Asante nashukuru

  • @VehaelKamene
    @VehaelKamene Месяц назад

    KingoFarm mnatupa elimu nzuri ya ufugaji wa kuku. Je vifaranga vys kienyeji vilivyoanguliwa naweza tumia HAYA majani kama kinga badala ya chanjo? 😊😊

  • @glorylyimo1208
    @glorylyimo1208 Месяц назад +1

    Naomba kujua nitumie dawa gani kuku wangu wakianza kuumwa utakuta wanakufa wote jaman na choo chao ni njano na kijani sjui ni ugonjwa gani ,akianza mmoja ni wote wanafuata

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  Месяц назад

      Jiunge na kundi letu la Mafunzo ya ufugaji

  • @TinaMbonde
    @TinaMbonde Месяц назад +1

    Mnapatikana wapi?

  • @jamesmagoma-m2o
    @jamesmagoma-m2o 3 месяца назад +1

    Mungu awabariki na kuwafanikisha zaidi

  • @MwitaMaro-m3q
    @MwitaMaro-m3q 3 месяца назад +1

    Nakushukuru sana did kazi njema

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  3 месяца назад

      Shukrani sana ubarikiwe

  • @NaomiHangayaidama
    @NaomiHangayaidama 2 месяца назад +1

    Nàshukuru sana

  • @HenrickKomba-r8x
    @HenrickKomba-r8x 2 месяца назад +1

    Mbegu tunatumiaje?

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  2 месяца назад

      Unazitwanga unaweka unga wake kwenye maji yao ya kunywa

  • @ClaudeMugisha-ec7cb
    @ClaudeMugisha-ec7cb 3 месяца назад +1

    Asante sana tunawasikiliza

  • @AnamiMoussa
    @AnamiMoussa Месяц назад

    Sasa tunatwanga majani mangapi ya papaye ?natunatumiya maji ya kiyasi gani?

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  Месяц назад

      Majani Sita kwenye maji Lita kumi

  • @ayubumaulidi8675
    @ayubumaulidi8675 Месяц назад +1

    Nakuna mipapai inatoa mauwa je Yale mauwa hayna madhara

  • @RehemaMkini
    @RehemaMkini Месяц назад +1

    Kitabu cha ufugaji nakipataje mimi nipo mbeya chunya

  • @ruthkahatano6263
    @ruthkahatano6263 3 месяца назад

    Kuku anayetaka kuatamia baada ya kutaga namzuiaje joto la kuatamia ?

  • @JOACHIMMASOLWA
    @JOACHIMMASOLWA 2 месяца назад +1

    Kitabu nitakipataje?

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  2 месяца назад

      Tunakutumia softcopy Kwa njia ya WhatsApp tutafute 0712188239

  • @ShamimuKanju
    @ShamimuKanju 2 месяца назад

    Asnt kwa darasa zuri

  • @mwanakondoabdallah4022
    @mwanakondoabdallah4022 3 месяца назад +1

    Je vifaranga tiwape juic ya majani Gani??

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  3 месяца назад

      Majani ya Maboga ni mazuri sana

  • @rosengonyani5008
    @rosengonyani5008 3 месяца назад

    Asante sana

  • @JohnKiza-o5b
    @JohnKiza-o5b 3 месяца назад +1

    Kuku wangu awatowi mayayi,nifanye je ili watowe mayayi?

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  3 месяца назад

      Wape lishe boraa na vitamin

  • @JoakimJohn-f9i
    @JoakimJohn-f9i 2 месяца назад +1

    Naomba mnishauri kuku wangu wanakura mayai

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  2 месяца назад

      Njoo inbox tukuuzie kitabu chetu chenye formula Bora ya kuwatengenezea chakula kuku hawatokula Tena mayai

    • @dsshirima77
      @dsshirima77 Месяц назад

      wape chokaa kwa wingi na dagaa hawatakula mayai tena

    • @dsshirima77
      @dsshirima77 Месяц назад

      mara nyingi huwa nawapa pia uduvi

  • @stellamhagama3186
    @stellamhagama3186 3 месяца назад +1

    Vipi kwa bloiler?tuwape?

  • @ConsolathaAloyce-c6v
    @ConsolathaAloyce-c6v 2 месяца назад +1

    Asant kwa elimu nzur dada

  • @filipinadaud885
    @filipinadaud885 3 месяца назад +1

    Hongera sanaaafam kwa somo zuri

  • @davidmanumbu6722
    @davidmanumbu6722 3 месяца назад +2

    Hii juice ya mpapai ninaichanganya na poda ya mbegu

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  3 месяца назад

      Hapana unaweza ukatumia kimojawapo

  • @SuzanMollel-p6k
    @SuzanMollel-p6k 3 месяца назад +1

    Kitabu napataje ndugu yangu?

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  3 месяца назад

      Tutafute WhatsApp 0712188239,

    • @anifamkinga7712
      @anifamkinga7712 2 месяца назад

      Mbarikiwe sana leo nimeingia kujua namna ya kuchanja kuku hamad nikakutana na hii kitu​@@KingoFarm1

  • @leankubali2064
    @leankubali2064 2 месяца назад +2

    Nanikuku wote au bloira tu. Mimi ninawakienyeji

  • @DoroMwageni-mh8vd
    @DoroMwageni-mh8vd 3 месяца назад +1

    Unawapa kuku wa umri na aina zote dada?

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  3 месяца назад

      Ndio hiyo haina madhara

  • @tabeamwakalinga9231
    @tabeamwakalinga9231 21 день назад +1

    Niunge kundi la whatsup

  • @ConsolathaAloyce-c6v
    @ConsolathaAloyce-c6v 2 месяца назад +1

    Juice ya mpapai Ni kuku wanao tanga tu ndio wanapaswa kupewa au

  • @josephmulombe1681
    @josephmulombe1681 2 месяца назад

    Ninashukuru saaaaana kwa kunisaidiya kumafasiriyo kuuusu kuku kwa majani ya papayi

  • @NeemaGwaya
    @NeemaGwaya 3 месяца назад +1

    Ongera

  • @HadijaMohamedi-v7v
    @HadijaMohamedi-v7v 2 месяца назад

    Je juice hiyo ni Kwa kuku aina zote 8:25 ,napataje vitabu muko wapi

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  2 месяца назад

      Tutafute WhatsApp 0712188239 tunakutumia softcopy Kwa njia ya WhatsApp

  • @lilianmwasi4050
    @lilianmwasi4050 2 месяца назад +1

    Au unauza vifaranga

  • @MorrisonOscar-u6l
    @MorrisonOscar-u6l Месяц назад +1

    Young Kevin Wilson Anna Taylor Brenda

  • @rodgersmwakipesile6306
    @rodgersmwakipesile6306 3 месяца назад +1

    Unawapatia Kwa muda Gani na nikiwango Gani chakuwap?

  • @SalamaPeter-s5f
    @SalamaPeter-s5f 2 месяца назад

    Nahitaji kitabu takipata wapi? Nipo zanz

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  2 месяца назад

      Tutafute WhatsApp 0712188239

  • @HadijaMohamedi-v7v
    @HadijaMohamedi-v7v 2 месяца назад

    Je juice hiyo ni Kwa kuku aina zote 8:25

  • @lilianmwasi4050
    @lilianmwasi4050 2 месяца назад +1

    Upo sehemu gani nahitaji mayai ya kutotolesha

  • @AginesMlayi
    @AginesMlayi 3 месяца назад +1

    Mbona nime wapa Lakini bado kk wangu wanakula mayai

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  3 месяца назад

      Hii haizuii kuku kula mayai tumia formula nzuri ya kuwachanganyia chakula utanishukuru

  • @DavidLEON-nt8qu
    @DavidLEON-nt8qu 2 месяца назад

    Mimi kku wangu wanavimba macho nitumie nini?

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  2 месяца назад

      Hayo ni mafua makali

  • @swadiknassirmwanasi
    @swadiknassirmwanasi 2 месяца назад

    Kuku wangu na mabata wamechelewa sana kutaga mayai hadi nahisi wananifilisi wakiniangalia

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  2 месяца назад

      Tumia Kanuni yetu ya Kuchanganya chakula, tutafute WhatsApp 0712188239

  • @FatumaMukagara
    @FatumaMukagara Месяц назад +1

    Poda yambegu ya papai ni IPi???

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  Месяц назад

      Unasaga mbegu za papai lililokomaa au kuiva

  • @RajabuMilaji
    @RajabuMilaji 2 месяца назад +1

    Niunge Whatsapp alafu uwo unga wa mbegu za papai unachanganya kwenye hii jus ya majani ya mpapai

  • @rosengonyani5008
    @rosengonyani5008 3 месяца назад +1

    Je unachanganya pamoja

  • @leankubali2064
    @leankubali2064 2 месяца назад

    Majani ya mpapai dume au mpapai wowote muhimu majani

  • @JumaMagambilwa
    @JumaMagambilwa 3 месяца назад

    Tunakuelewa

  • @IlluminataEmmanuel
    @IlluminataEmmanuel 2 месяца назад

    Mbegu nafayajr

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  2 месяца назад

      Unazitwanga au unasaga

  • @mariakapere
    @mariakapere 3 месяца назад +1

    Wakila kama majani je,lazma wapate juise yake

  • @HadijaMohamedi-v7v
    @HadijaMohamedi-v7v 2 месяца назад

    Je mbengu za papai ni za papai lililoiva au mbichi

  • @mwanakondoabdallah4022
    @mwanakondoabdallah4022 3 месяца назад +1

    Je niwapa bila ya kuyatengeneza juic nikiwapamahani mazima

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  3 месяца назад

      Ni vizur ukatengeneza juice japo unaweza kuwapa hivihivi

  • @happymgali8487
    @happymgali8487 2 месяца назад

    Kwahy hayo majan ni dawa ya mafua pia au

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  2 месяца назад

      Ndio ni inatibu mafua pia

  • @alfredymdachi5700
    @alfredymdachi5700 3 месяца назад +2

    Kuku wangu wanadonoana. Nitumie nini kuzuia tatizo hili? MAANA wanashambulia hadi vifaranga

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  3 месяца назад +1

      Tutafute WhatsApp 0712188239

    • @alfredymdachi5700
      @alfredymdachi5700 3 месяца назад

      @@KingoFarm1 sawa

    • @celestinermantenga2463
      @celestinermantenga2463 3 месяца назад +1

      Kuku wako wana upungfu wa calcium, lakini wengine ni tabia yao. Wakati unasubiri dawa KATA midomo.

    • @wonderpersonhb3551
      @wonderpersonhb3551 3 месяца назад

      ​@@alfredymdachi5700PGA pumba za dagaa na chokaa

  • @leankubali2064
    @leankubali2064 2 месяца назад

    Maji yakae muda gani ndio umwagee hayo maji

  • @PaulNkini-hi2ff
    @PaulNkini-hi2ff 3 месяца назад

    Nikiwapa kama dozi ni kwa siku ngapi

  • @MagretChacha
    @MagretChacha 2 месяца назад +1

    yanaandaliwaje? Na huo poda

  • @MusaShekimweri
    @MusaShekimweri 3 месяца назад

    Tuwa

  • @sefoo8084
    @sefoo8084 3 месяца назад

    Unaweka vyote kwa pamoja au kimoja wapo. Majani pamoja na mbegu

  • @JacksonMtese-gn4so
    @JacksonMtese-gn4so 3 месяца назад +1

    Kiswahili fasaha

  • @VeronicaMajebele-du6en
    @VeronicaMajebele-du6en 3 месяца назад

    Habari kitabu bei gani

  • @MWENDWAMAGAWA-kz8fy
    @MWENDWAMAGAWA-kz8fy 3 месяца назад

    Nahitaji kitabu

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  3 месяца назад

      Tutafute WhatsApp 0712188239

  • @OmaryMungi-lj6mr
    @OmaryMungi-lj6mr 3 месяца назад +1

    Hiyo poda ninaipataje

    • @KingoFarm1
      @KingoFarm1  3 месяца назад

      Unaanika mbegu zikikauka unazitwanga

  • @zainabumshana9682
    @zainabumshana9682 3 месяца назад

    Je ni kuku tu au hata bata