Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Asante sana nitaendelea kuwasiliana na nawe
Shukrani sana
Asante dada kwa Elimu nzuri mungu azidi kukuongezea maarifa Zaid na zaidi🙏
Amina sana ubarikiwe
Asante kwa elimu nzuri,nimevutiwa kuwa majani haya Yana protein ,
Asante sana je nachanganya unga.wa mbegu za papai na juisi ya majani ya papai kwa pamoja ndio wanakunywa au tofauti tofauti
Sio lazima uchanganye ila ukiweza changanya
Asante sana kwa elimu nzuri
Shukrani
Asante Sana dada Mungu akuinue Kwa marifa Zaidi kama Danieli ktk Bibilia hongera Kwa elimu mzuri nimependa Amen 🙏🙏🙏
Nashukuru sana na Mungu atubariki sote amina
Asante, barikiwa
Amina
THANKS FOR THAT GOOD STORY , GOOD FARMING, GOOD VOICE ,GOOD LADY NICE DAY.
Thank you so much
Kuku wangu wanasumbuliwa na mafua makali nifanyeje mlisema nichukue pilipili na alovera na majani ya mperawa Bado wanakoroma hivi Mmoja nimemshikilia
Tazama hii ruclips.net/video/98hkKJeTfWo/видео.html ukiwapa hiyo dawa watapona
Tumia tylodox extra, tricumycin,na aminatotal(vitamini),dozi kubwa.
Banda lako liangalie uchafu au vumbi au haliptish hewa chunguza hayo
Nikweli naamani Sana nishafanya
Mm pia nipo nanyi
Nitafanyia kazi asante
Asante sana rafiki
Asante sana kwa elimu hii
Asante sana kwa ushauri
Asante kipenzi kwaushauri
❤❤❤❤❤❤ asante
Asante dada wengiwetu tuta ufanyiakazi ushauri.
Nimelipenda SoMo asante I wataalamu wetu
Asante ssn dada barikies mno mno
Shukrani sana ubarikiwe pia
Asante nashukuru
KingoFarm mnatupa elimu nzuri ya ufugaji wa kuku. Je vifaranga vys kienyeji vilivyoanguliwa naweza tumia HAYA majani kama kinga badala ya chanjo? 😊😊
Unaweza kuwapa
Naomba kujua nitumie dawa gani kuku wangu wakianza kuumwa utakuta wanakufa wote jaman na choo chao ni njano na kijani sjui ni ugonjwa gani ,akianza mmoja ni wote wanafuata
Jiunge na kundi letu la Mafunzo ya ufugaji
Mnapatikana wapi?
Mtwara
Mungu awabariki na kuwafanikisha zaidi
Amina sana
Nakushukuru sana did kazi njema
Shukrani sana ubarikiwe
Nàshukuru sana
Mbegu tunatumiaje?
Unazitwanga unaweka unga wake kwenye maji yao ya kunywa
Asante sana tunawasikiliza
Sasa tunatwanga majani mangapi ya papaye ?natunatumiya maji ya kiyasi gani?
Majani Sita kwenye maji Lita kumi
Nakuna mipapai inatoa mauwa je Yale mauwa hayna madhara
Hayana madhara yoyote
Kitabu cha ufugaji nakipataje mimi nipo mbeya chunya
Tutafute 0713188239
Kuku anayetaka kuatamia baada ya kutaga namzuiaje joto la kuatamia ?
Kitabu nitakipataje?
Tunakutumia softcopy Kwa njia ya WhatsApp tutafute 0712188239
Asnt kwa darasa zuri
Je vifaranga tiwape juic ya majani Gani??
Majani ya Maboga ni mazuri sana
Asante sana
Kuku wangu awatowi mayayi,nifanye je ili watowe mayayi?
Wape lishe boraa na vitamin
Naomba mnishauri kuku wangu wanakura mayai
Njoo inbox tukuuzie kitabu chetu chenye formula Bora ya kuwatengenezea chakula kuku hawatokula Tena mayai
wape chokaa kwa wingi na dagaa hawatakula mayai tena
mara nyingi huwa nawapa pia uduvi
Vipi kwa bloiler?tuwape?
Ndio unawapa
Asant kwa elimu nzur dada
Hongera sanaaafam kwa somo zuri
Asante
Hii juice ya mpapai ninaichanganya na poda ya mbegu
Hapana unaweza ukatumia kimojawapo
Kitabu napataje ndugu yangu?
Tutafute WhatsApp 0712188239,
Mbarikiwe sana leo nimeingia kujua namna ya kuchanja kuku hamad nikakutana na hii kitu@@KingoFarm1
Nanikuku wote au bloira tu. Mimi ninawakienyeji
Kuku wote
Unawapa kuku wa umri na aina zote dada?
Ndio hiyo haina madhara
Niunge kundi la whatsup
Tutafute 0712188239
Juice ya mpapai Ni kuku wanao tanga tu ndio wanapaswa kupewa au
Kuku aina zote
Ninashukuru saaaaana kwa kunisaidiya kumafasiriyo kuuusu kuku kwa majani ya papayi
Ongera
Je juice hiyo ni Kwa kuku aina zote 8:25 ,napataje vitabu muko wapi
Tutafute WhatsApp 0712188239 tunakutumia softcopy Kwa njia ya WhatsApp
Au unauza vifaranga
Hapana
Young Kevin Wilson Anna Taylor Brenda
Ok
Unawapatia Kwa muda Gani na nikiwango Gani chakuwap?
Siku tatu Kwa wiki
Nahitaji kitabu takipata wapi? Nipo zanz
Tutafute WhatsApp 0712188239
Je juice hiyo ni Kwa kuku aina zote 8:25
Ndio
Upo sehemu gani nahitaji mayai ya kutotolesha
Tupo mtwara
Mbona nime wapa Lakini bado kk wangu wanakula mayai
Hii haizuii kuku kula mayai tumia formula nzuri ya kuwachanganyia chakula utanishukuru
Mimi kku wangu wanavimba macho nitumie nini?
Hayo ni mafua makali
Kuku wangu na mabata wamechelewa sana kutaga mayai hadi nahisi wananifilisi wakiniangalia
Tumia Kanuni yetu ya Kuchanganya chakula, tutafute WhatsApp 0712188239
Poda yambegu ya papai ni IPi???
Unasaga mbegu za papai lililokomaa au kuiva
Niunge Whatsapp alafu uwo unga wa mbegu za papai unachanganya kwenye hii jus ya majani ya mpapai
Je unachanganya pamoja
Majani ya mpapai dume au mpapai wowote muhimu majani
Mpapai wowote
Tunakuelewa
Mbegu nafayajr
Unazitwanga au unasaga
Wakila kama majani je,lazma wapate juise yake
Vyote ni sawa
Je mbengu za papai ni za papai lililoiva au mbichi
Lililopita
Lililoiva
Je niwapa bila ya kuyatengeneza juic nikiwapamahani mazima
Ni vizur ukatengeneza juice japo unaweza kuwapa hivihivi
Kwahy hayo majan ni dawa ya mafua pia au
Ndio ni inatibu mafua pia
Kuku wangu wanadonoana. Nitumie nini kuzuia tatizo hili? MAANA wanashambulia hadi vifaranga
@@KingoFarm1 sawa
Kuku wako wana upungfu wa calcium, lakini wengine ni tabia yao. Wakati unasubiri dawa KATA midomo.
@@alfredymdachi5700PGA pumba za dagaa na chokaa
Maji yakae muda gani ndio umwagee hayo maji
Masaa 12
Nikiwapa kama dozi ni kwa siku ngapi
Siku 3
yanaandaliwaje? Na huo poda
Yanasagwa
Tuwa
Unaweka vyote kwa pamoja au kimoja wapo. Majani pamoja na mbegu
Kimoja wapo
Kiswahili fasaha
Habari kitabu bei gani
Shilingi elfu kumi
Nahitaji kitabu
Hiyo poda ninaipataje
Unaanika mbegu zikikauka unazitwanga
Je ni kuku tu au hata bata
Hata bata
2:02 @@KingoFarm1
Kuku.na.bata
Asante sana nitaendelea kuwasiliana na nawe
Shukrani sana
Asante dada kwa Elimu nzuri mungu azidi kukuongezea maarifa Zaid na zaidi🙏
Amina sana ubarikiwe
Asante kwa elimu nzuri,nimevutiwa kuwa majani haya Yana protein ,
Asante sana je nachanganya unga.wa mbegu za papai na juisi ya majani ya papai kwa pamoja ndio wanakunywa au tofauti tofauti
Sio lazima uchanganye ila ukiweza changanya
Asante sana kwa elimu nzuri
Shukrani
Asante Sana dada Mungu akuinue Kwa marifa Zaidi kama Danieli ktk Bibilia hongera Kwa elimu mzuri nimependa Amen 🙏🙏🙏
Nashukuru sana na Mungu atubariki sote amina
Asante, barikiwa
Amina
THANKS FOR THAT GOOD STORY , GOOD FARMING, GOOD VOICE ,GOOD LADY NICE DAY.
Thank you so much
Kuku wangu wanasumbuliwa na mafua makali nifanyeje mlisema nichukue pilipili na alovera na majani ya mperawa Bado wanakoroma hivi Mmoja nimemshikilia
Tazama hii ruclips.net/video/98hkKJeTfWo/видео.html ukiwapa hiyo dawa watapona
Tumia tylodox extra, tricumycin,na aminatotal(vitamini),dozi kubwa.
Banda lako liangalie uchafu au vumbi au haliptish hewa chunguza hayo
Nikweli naamani Sana nishafanya
Mm pia nipo nanyi
Nitafanyia kazi asante
Shukrani
Asante sana rafiki
Shukrani sana
Asante sana kwa elimu hii
Shukrani sana
Asante sana kwa ushauri
Shukrani sana
Asante kipenzi kwaushauri
Shukrani
❤❤❤❤❤❤ asante
Asante dada wengiwetu tuta ufanyiakazi ushauri.
Shukrani sana
Nimelipenda SoMo asante I wataalamu wetu
Shukrani sana
Asante ssn dada barikies mno mno
Shukrani sana ubarikiwe pia
Asante nashukuru
Shukrani sana
KingoFarm mnatupa elimu nzuri ya ufugaji wa kuku. Je vifaranga vys kienyeji vilivyoanguliwa naweza tumia HAYA majani kama kinga badala ya chanjo? 😊😊
Unaweza kuwapa
Naomba kujua nitumie dawa gani kuku wangu wakianza kuumwa utakuta wanakufa wote jaman na choo chao ni njano na kijani sjui ni ugonjwa gani ,akianza mmoja ni wote wanafuata
Jiunge na kundi letu la Mafunzo ya ufugaji
Mnapatikana wapi?
Mtwara
Mungu awabariki na kuwafanikisha zaidi
Amina sana
Nakushukuru sana did kazi njema
Shukrani sana ubarikiwe
Nàshukuru sana
Shukrani
Mbegu tunatumiaje?
Unazitwanga unaweka unga wake kwenye maji yao ya kunywa
Asante sana tunawasikiliza
Shukrani sana
Sasa tunatwanga majani mangapi ya papaye ?natunatumiya maji ya kiyasi gani?
Majani Sita kwenye maji Lita kumi
Nakuna mipapai inatoa mauwa je Yale mauwa hayna madhara
Hayana madhara yoyote
Kitabu cha ufugaji nakipataje mimi nipo mbeya chunya
Tutafute 0713188239
Kuku anayetaka kuatamia baada ya kutaga namzuiaje joto la kuatamia ?
Kitabu nitakipataje?
Tunakutumia softcopy Kwa njia ya WhatsApp tutafute 0712188239
Asnt kwa darasa zuri
Shukrani sana
Je vifaranga tiwape juic ya majani Gani??
Majani ya Maboga ni mazuri sana
Asante sana
Shukrani sana
Kuku wangu awatowi mayayi,nifanye je ili watowe mayayi?
Wape lishe boraa na vitamin
Naomba mnishauri kuku wangu wanakura mayai
Njoo inbox tukuuzie kitabu chetu chenye formula Bora ya kuwatengenezea chakula kuku hawatokula Tena mayai
wape chokaa kwa wingi na dagaa hawatakula mayai tena
mara nyingi huwa nawapa pia uduvi
Vipi kwa bloiler?tuwape?
Ndio unawapa
Asant kwa elimu nzur dada
Shukrani sana
Hongera sanaaafam kwa somo zuri
Asante
Hii juice ya mpapai ninaichanganya na poda ya mbegu
Hapana unaweza ukatumia kimojawapo
Kitabu napataje ndugu yangu?
Tutafute WhatsApp 0712188239,
Mbarikiwe sana leo nimeingia kujua namna ya kuchanja kuku hamad nikakutana na hii kitu@@KingoFarm1
Nanikuku wote au bloira tu. Mimi ninawakienyeji
Kuku wote
Unawapa kuku wa umri na aina zote dada?
Ndio hiyo haina madhara
Niunge kundi la whatsup
Tutafute 0712188239
Juice ya mpapai Ni kuku wanao tanga tu ndio wanapaswa kupewa au
Kuku aina zote
Ninashukuru saaaaana kwa kunisaidiya kumafasiriyo kuuusu kuku kwa majani ya papayi
Shukrani
Ongera
Shukrani
Je juice hiyo ni Kwa kuku aina zote 8:25 ,napataje vitabu muko wapi
Tutafute WhatsApp 0712188239 tunakutumia softcopy Kwa njia ya WhatsApp
Au unauza vifaranga
Hapana
Young Kevin Wilson Anna Taylor Brenda
Ok
Unawapatia Kwa muda Gani na nikiwango Gani chakuwap?
Siku tatu Kwa wiki
Nahitaji kitabu takipata wapi? Nipo zanz
Tutafute WhatsApp 0712188239
Je juice hiyo ni Kwa kuku aina zote 8:25
Ndio
Upo sehemu gani nahitaji mayai ya kutotolesha
Tupo mtwara
Mbona nime wapa Lakini bado kk wangu wanakula mayai
Hii haizuii kuku kula mayai tumia formula nzuri ya kuwachanganyia chakula utanishukuru
Mimi kku wangu wanavimba macho nitumie nini?
Hayo ni mafua makali
Kuku wangu na mabata wamechelewa sana kutaga mayai hadi nahisi wananifilisi wakiniangalia
Tumia Kanuni yetu ya Kuchanganya chakula, tutafute WhatsApp 0712188239
Poda yambegu ya papai ni IPi???
Unasaga mbegu za papai lililokomaa au kuiva
Niunge Whatsapp alafu uwo unga wa mbegu za papai unachanganya kwenye hii jus ya majani ya mpapai
Tutafute 0712188239
Je unachanganya pamoja
Hapana
Majani ya mpapai dume au mpapai wowote muhimu majani
Mpapai wowote
Tunakuelewa
Mbegu nafayajr
Unazitwanga au unasaga
Wakila kama majani je,lazma wapate juise yake
Vyote ni sawa
Je mbengu za papai ni za papai lililoiva au mbichi
Lililopita
Lililoiva
Je niwapa bila ya kuyatengeneza juic nikiwapamahani mazima
Ni vizur ukatengeneza juice japo unaweza kuwapa hivihivi
Kwahy hayo majan ni dawa ya mafua pia au
Ndio ni inatibu mafua pia
Kuku wangu wanadonoana. Nitumie nini kuzuia tatizo hili? MAANA wanashambulia hadi vifaranga
Tutafute WhatsApp 0712188239
@@KingoFarm1 sawa
Kuku wako wana upungfu wa calcium, lakini wengine ni tabia yao. Wakati unasubiri dawa KATA midomo.
@@alfredymdachi5700PGA pumba za dagaa na chokaa
Maji yakae muda gani ndio umwagee hayo maji
Masaa 12
Masaa 12
Nikiwapa kama dozi ni kwa siku ngapi
Siku 3
yanaandaliwaje? Na huo poda
Yanasagwa
Tuwa
Unaweka vyote kwa pamoja au kimoja wapo. Majani pamoja na mbegu
Kimoja wapo
Kiswahili fasaha
Habari kitabu bei gani
Shilingi elfu kumi
Nahitaji kitabu
Tutafute WhatsApp 0712188239
Hiyo poda ninaipataje
Unaanika mbegu zikikauka unazitwanga
Je ni kuku tu au hata bata
Hata bata
2:02 @@KingoFarm1
Kuku.na.bata