Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

AUDIO BOOK: ISHINDE TABIA YA KUGHAIRISHA MAMBO - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2022
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 108

  • @samwelojwang3043
    @samwelojwang3043 Год назад +10

    Umenitoa mbali sana mwalimu videos zako zimebadilisha maisha yangu, ubarikiwe mchungaji Mimi ni shabiki wako sana nikiwa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @nitunda
      @nitunda Год назад +1

      kabisa ame tu towa mbali kabisa

  • @abdulrahmanhassan9254
    @abdulrahmanhassan9254 Год назад +4

    hichi kitabu kilinisaidia shukran sana mwalimu, pia umefanya vizuri sana kuweka kitabu kwa sauti kwa vitabu vilivyopita endelea hivyo hivyo mwenyezi mungu akubariki. tunaomba muendelezo wa vitabu kwa sauti vile vitabu vilivyo pita yaani vitabu ambayo vimeshakulipa.

  • @herbertbavuma7228
    @herbertbavuma7228 Год назад +4

    Ukiona hv unabaini hii T.O haikuwa yamchongo, keep ongoing br may Lord God bless u as much ur saving ur society.
    We also see u at the top.

  • @nestorymapunda6441
    @nestorymapunda6441 Год назад +3

    Binafsi napenda sana vitabu vya audiobook ubarikiwe sana kaka joel

  • @Prudentssmamtui
    @Prudentssmamtui 3 месяца назад

    Hakika kaka Joeli Mungu kakupa kipaji na unakitumia umenita mbali..

  • @rajabumkwizu2050
    @rajabumkwizu2050 Год назад +4

    Kaka Joel kusemakweli nimekisikiliza iki kutabu umenipa kimenipa maono nakupa asante mimi ni MR. Rajabu billionea mwenye umli mdogo nimeiyona keshoyangu asante 🙏 barikiwa sana amina

  • @user-be9ev6xd6m
    @user-be9ev6xd6m 6 месяцев назад

    Mungu akuweke mwalimu wangu Amin

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 месяца назад

    ASante sana kwa elimu.Nimeitumia na nimeona mafanikio

  • @karimabdoul7619
    @karimabdoul7619 Год назад +1

    Mwalimu
    Asante sana,ubaarikiwe
    Tuna hitaji Audio book ya Elimu ya Fedha, Na ipi Biashara ya kufanya.
    Nina omba Mwalim 🙏🙏.

  • @nestoryvenance4258
    @nestoryvenance4258 7 месяцев назад

    Nime jifunza kaka na nipata elimu kuhusu kugailisha màmbo asante

  • @HellenaAkinyi23_30
    @HellenaAkinyi23_30 Год назад +7

    Ubarikiwe sana coach Joel kwa kushare huu maarifa kuu kwa youtube... You're a blessing in my life 😇
    Eagerly waiting to hear your reading coach🤗

  • @mussakachemba3739
    @mussakachemba3739 Год назад +1

    Fanya na vitabu vingine joel.

  • @moxmulo825
    @moxmulo825 Год назад +2

    Aisee bro joel nimesikiliza mwanzo mwisho kwakweli nimejifunza vitu muhimu sana ambavyo kiukweli nikifanyia kazi naona kabisa vitu vitakuja kufunguka.
    Mungu akubariki pia kwa kuendelea kutupa nondo muhimu zinazotusaidia kwenye maisha yetu ya kila siku.🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Год назад

      Ahsante sana, tuendelee kujifunza na endelea kuwaalika na wengine.

  • @pauljosephtarimo2279
    @pauljosephtarimo2279 Год назад +1

    Hongera sana

  • @IngabireAisha3813
    @IngabireAisha3813 10 месяцев назад

    Kuna zaidi ❤❤❤❤

  • @user-wy6re9be2g
    @user-wy6re9be2g 8 месяцев назад

    Nashukuru sana Kaka kwa kitabu hiki kizuri...
    Naanza Leo kuyafanyia kazi

  • @muhamedkhamiss8882
    @muhamedkhamiss8882 Год назад +2

    Kaka mkubwa .Aina ya voice nimeikubali haina tofauti na wale ,safi cn uko good

  • @gabrielmhina8216
    @gabrielmhina8216 5 месяцев назад

    Asante sana Joel Umenifaa sana.Mungu akubariki.

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 месяца назад

    ASante sana kwa elimu

  • @jamilayuvenal5033
    @jamilayuvenal5033 Год назад

    My couch for sure yote unayo ya zungumzaga, yana gusa maisha yanguu, kwel umenibadilisha Sana mwalimu, saiv nimeacha kuangalia vitu visivyo na maana mtandaoni badala yake najifunza vitu mbalimbali kutoka kwako na wengine Kama ww

  • @nvpmedia6467
    @nvpmedia6467 Год назад +1

    Kanuni ya 18/40/60 imenisaidia sana Mkuu mimi kama kijana tangu nilipo jifunza nina fanikiwa kufanikisha Mambo niliyo yapanga kufanya bila kujali kua kuna watu au jamaa watanitazamaje au watasemaje. MUNGU AZIDI KUKUTUMIA PASTOR JOEL NANAUKA
    See U at the top

  • @MustafaShomari-nh7pn
    @MustafaShomari-nh7pn 4 месяца назад

    Asante kaka najitaidi Sana kukutangaza ubalikiWe

  • @stellanyato3644
    @stellanyato3644 10 месяцев назад

    🔥🔥🔥🔥pastor

  • @binjafa6362
    @binjafa6362 Год назад +1

    Nipo naww kaka umenisaidia mambo mengi sn

  • @williamkilulu2222
    @williamkilulu2222 Год назад +4

    kaka joel, kwa maneno yako naweza kusema unanifufua kila siku, hakika kwa mafanikio yangu yote sito kusaau, naitwa william dk naishi canada🇨🇦
    ila tanzania nimezaliwa

    • @williamkilulu2222
      @williamkilulu2222 Год назад

      mungu akupe maisha marefu
      mafanikio yetu yawe kwa kizazi chako kijacho..

  • @amanijoseph9497
    @amanijoseph9497 Год назад

    Ahsante Mentor.
    Ahsante Teacher.
    Ahsante Joel.
    Umenikomboa, Umetukomboa Wengi. Binafsi Ninapenda Kusikiliza Kuliko Kusoma.
    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-vo8go4zj6t
    @user-vo8go4zj6t 4 месяца назад

    😢Mm ni muhanga hususani matumiz makubwa ya kimtandao, kuliko kazi, pia najua kua mziki wakidunia ni dhambi Lakin nashindwa kuacha kusikiliza kutokana na upweke nilio nao nataman Hali hii initoke kabisa😢

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 Год назад +1

    Jeuri yangu mjini na utajiri ninao miliki unatokana na kitabu cha kughairisha mambo

  • @user-ff6jb5mf5z
    @user-ff6jb5mf5z Год назад

    I am glade that you know why you was born

  • @nellyswithin6299
    @nellyswithin6299 7 месяцев назад

    Ubarikiwe

  • @user-ml2yn8iz6r
    @user-ml2yn8iz6r 8 месяцев назад

    Leo Tar 1.12.2023, ninaanza kufuatilia video na coachings zoooote you have beeen sharing. I hope i am going to change, nitarudi na ushuhuda haphapa. Thank you in advance.

  • @vickymollel9867
    @vickymollel9867 Год назад

    Nimevuka hakika, naweza kufanya vikubwa kuanzia Sasa. MUNGU akubariki. Lakini naomba na kwa vitabu vingine ufanye hivi Ili kuwasaidia pia wenye changamoto ya uoni🙏🙏

  • @reiphan9894
    @reiphan9894 Год назад +1

    Ubarikiwe zaidi Nanauka

  • @suzanamushi4567
    @suzanamushi4567 Год назад

    nimeanza kutumia 2 mnts rule, duuh it works aisee, ndo nimeanza rasmi, Thanks Joel

  • @nurdin8202
    @nurdin8202 Год назад

    Ahsante Sana nakuombea Kwa mungu akupe umri mrefu uendelee kutufundisha Mimi nilifeli form four baadae nilikusikiza nikarudia Tena nikafaulu kwasasa nipo chuo kikuuu ahsnte

  • @simbamaepo3192
    @simbamaepo3192 Год назад +2

    Good creativity kwa kutusomea kitabu kizima. Hongera Mwalimu

  • @zakayolugala4984
    @zakayolugala4984 11 месяцев назад

    Munguakujalie maishamarefu nimejifuza mengi naninaendelea kukufuatilia

  • @calvinulomi4144
    @calvinulomi4144 Год назад

    Nimejifunza vingi sana kaka Joel..kupitia wewe. Be blessed indeed our mentor 🙏

  • @nassorokigeta9802
    @nassorokigeta9802 Год назад

    Naomba nikushukuru kwamara yakwanza mkuu nanauka mm nimepata mafanikio mengi sana kupitia kwako mungu akujalie kila lililo jema kwako amin

  • @abduvensapa
    @abduvensapa Год назад +2

    great work Couch

  • @omarjuma1794
    @omarjuma1794 Год назад +1

    #JoelArthurNanauka Jenius By Discovery

  • @habibismael4937
    @habibismael4937 Год назад +1

    Mmh Asante love from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @maboyiamurani331
    @maboyiamurani331 Год назад

    Ndugu Asante kwa kurefusha masomo tunashukuru mungu akulinde

  • @saidagalu2914
    @saidagalu2914 Год назад

    Mungu akubariki nimejifunza na ntafikia mbali ahsante sana

  • @wiliamabdallah7714
    @wiliamabdallah7714 Год назад

    Asante Sana kaka Joel Mimi binafsi unanijenga japo nipo Veta nasoma level two naendea kujivunia uwepo wako Pia nazidi soma kitabu chako cha Timiza Malengo Asante sana...Bwana akubariki

  • @giserahenerico5185
    @giserahenerico5185 Год назад

    Naamin mahamzi yangu nikiyoyaogopa kuyafanya kwa mda mrefi hapa dawa imeshapatikana kujiamni na kufanya bila kughaili mungu anishike mkona mafanikio tumeumbiwa wote hapa duniani kumbe

  • @jovanafidelis2802
    @jovanafidelis2802 Год назад

    Yaani nimelengwa Moja Kwa Moja Hadi nahisi nimechomwa mkuki khaaa

  • @kigoracredit7314
    @kigoracredit7314 Год назад

    Safi sana kaka hii ndio nzul sana tulio wengi hatupendi kusoma ila tunapenda kusikiliza sana

  • @dorahmatitu2554
    @dorahmatitu2554 Год назад

    Hbr my kaka. Yaaan ubarikiwe sana. Mungu akubariki sana kwa kazi zako 🙏🤝. Shukran sana nimejfunza sana. Nitatafuta vtabu

  • @hassanomary7353
    @hassanomary7353 Год назад +1

    Asante sana Kwa kutuamsha

  • @user-ff6jb5mf5z
    @user-ff6jb5mf5z Год назад

    Thank you so much for this content, God bless you so much, I promise you I gonna change in Jesus name

  • @domimido8460
    @domimido8460 Год назад

    Sijui mi ntaoa lini jaman Yan Kila nikipanga naona maisha ya ndoa yatanishinda sio kwa kuogopa huku na miaka inakimbia kinyama daaah

  • @patrickpatrick6386
    @patrickpatrick6386 Год назад

    Shukrana

  • @housemanagmentfinishing1151
    @housemanagmentfinishing1151 Год назад

    shukrani bradha Joel kwa elimu pana

  • @daktariwamauzo
    @daktariwamauzo Год назад

    Nilikisoma miaka 4 iliyopita, kimenisaidia sana kufocus, ahsante sana!

  • @muniraahmed8794
    @muniraahmed8794 Год назад

    Hongera Joel Mungu akulinde

  • @abelgeorge7535
    @abelgeorge7535 Год назад

    Ubarikiwe sana kaka kitabu chako nilikisoma na kwa hakika kimenisaidia sana kuondokana na tabia ya kughairisha mambo

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Год назад

      Hongera sana sana👏🏼👏🏼👏🏼

  • @teamfocusfunny966
    @teamfocusfunny966 Год назад +1

    Hizi mbinu zilinisaidia sana kipindi nipo Secondary,ulifundishaga Clouds kwenye kipindi Cha terminal

    • @daktariwamauzo
      @daktariwamauzo Год назад

      At that time nilikuwa kidato cha tano, kilinisaidia sana na mimi, nilisikiliza CLOUDS FM

  • @subiramahmoud6863
    @subiramahmoud6863 Год назад

    Nanauka , barikiwa brother ❤️❤️❤️

  • @matukiotv1146
    @matukiotv1146 Год назад

    My mental master amefikia kwenye game la *Audibook*
    Someone said ..YEAH.
    Lem see....
    Nimegundua wanaokomenti huku woooote ni Mabilionea miaka michache ijayo. aamin lab...

  • @francischiwangafrans3161
    @francischiwangafrans3161 Год назад +3

    Brazer somo zuri,Naomba namba zako ili tupate vitabu

  • @user-uo4ug1ym2e
    @user-uo4ug1ym2e 5 месяцев назад

    Asante

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Год назад

    Kubadilika ni njia ngumu sana lkn inahitaji subra na plans na kudum nayo
    Naamini video zako ni njia moja lakini umuhimu zaidi ni ww mwenyewe kuwa tayari
    ahsante kwa maneno mazuri na yenye kutia hamasa

  • @hamzermahundu6371
    @hamzermahundu6371 Год назад +1

    Nipoo

    • @ibrahphones9945
      @ibrahphones9945 Год назад

      Salute mkuu mungu ata zidi kukubariki coz umenitoa kwenye gizaaa

  • @selemanihussein7873
    @selemanihussein7873 Год назад

    Thank you for the gift

  • @amaniupendo1078
    @amaniupendo1078 Год назад +2

    Merci beaucoup pour ton précieux livre. Vraiment il est très riche. Plus encore, ta voix qui lit. C'est comme si tu me parle directement.
    Be blessed.
    🇨🇩🇨🇩

  • @dkalbertoanyasime9357
    @dkalbertoanyasime9357 Год назад

    Heko sana nanauka

  • @alonemakanyaga1760
    @alonemakanyaga1760 Год назад +1

    Nalewa sana kaka joel

  • @mwatanojongo9306
    @mwatanojongo9306 Год назад

    daaaah kwakweli unanishibisha ubongo kk yani kitabu icho nnacho na jinsi nilivo kielewa uwa napenda kukirudia kusoma mara kwa mara kk

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    Subiri ni download 🙌🙌🙌🙌💃😍iiii video 💔

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 Год назад

    Congratulations dear, great job

  • @deboramenard1855
    @deboramenard1855 Год назад

    Ubarikiwe sana kaka

  • @abdallahmakombo3866
    @abdallahmakombo3866 Год назад

    TABIA NZURI NI NGUMU KUIJENGA NA NI RAHISI KUIACHA "JOEL NANAUKA

  • @mwinjatheson2367
    @mwinjatheson2367 Год назад

    Asant sana kiongozi nahitaji vitabu vyako

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Год назад

    Asante studios

  • @ghfhfdtyfgggd6271
    @ghfhfdtyfgggd6271 Год назад

    Tunasubili na vitabu vingine.Mutuwekee

  • @alexbushishi8342
    @alexbushishi8342 Год назад

    Limbic & Prefontal Contex ⏱️ for time management.💯

  • @samwelimwanja4105
    @samwelimwanja4105 Год назад

    Tupo pamoja

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    Awesome 💐

  • @rosenaafya9356
    @rosenaafya9356 Год назад

    Uwiiiiiiii😫😫😫😫 uyo ni mimi 🥹🥹

  • @innocentswai6239
    @innocentswai6239 Год назад

    nzur sana life coach ila ningepndkez uwe unaweka may be audio mark au boom play

  • @muhamadharun9432
    @muhamadharun9432 10 месяцев назад

    Hii content nzuri sana thank you kaka 🙏🏾

  • @ndumefit2141
    @ndumefit2141 Год назад

    Kaka je audio ipo kwenye boardcast

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 Год назад

    Kitabu ninacho na Audio hii Nitadownload. 😁shukran sana

    • @faudhiasalum7279
      @faudhiasalum7279 Год назад

      Hongera Dea madini ayo ume nunuwa wapi naomba na mim basi nisome

    • @khadijajuma7142
      @khadijajuma7142 Год назад +1

      @@faudhiasalum7279 Nilinunua Dar kwenye book shop zake Joel pale ubungo. Ila niliondoka nacho, ningekua karibu ningekuletea usome Dea.

  • @halimahleema5165
    @halimahleema5165 Год назад

    Mchungaji wewe niwabaraka Sana kwangu Ila ninaombi tusaidie kutubadilishia audio za secret books mara nyingi vitu vingi vinatupika lkn tunaitaji kujifunza Kwa Lunga raisi za kiswahili

  • @veronicawangari8089
    @veronicawangari8089 Год назад +1

    Niko dani kabisa 🤣

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    💔

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад

    Asante

  • @user-gy1lb9fo2b
    @user-gy1lb9fo2b Год назад

    Natamani ningejua haya mapema nilihairisha jambo wenzangu wapo juu walioendelea wamenizidi mara dufu