Mimi si mpenzi wa nyimbo hizi, lkn hii colabo ni noma sana!!! Hapa nimefurahia uhusiano mzuri kati wasanii wetu ambao unaweza kudhani pengine labda walisingeelewa kwa sababu ya ushindani wa biashara ya talanta zao. R. I. P Mchizi wangu @pancholatino, makazi ya milele yawe faraja kwako kwa matunda mema uliyotuachia duniani! Bwana ametoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe!!!! Amen. 🙏🙏🙏
2024 kama bado unaisikilizaga hii ngoma gonga like😂😂
Bado tupo pamoja😂😂😂😂
Pamoja
Zamni watu walikuwa na mistar haswa
Inaonekana KAZI ni ngumu Sana kupat
Hi ngoma taisikiliza mpaka nakufa naipenda sana
Kama uko hapa 2024 leo hii wee ndio mchizi wangu na usininyime like❤❤❤
mchizi wangu
Hii sasa ndo mzuka,, old is gold old school bongo fan from Kenya 🇰🇪
Big up Adam Mchomvu kwa kuunganisha hivi vichwa kwenye hii ngoma
Farid na chid benz wameua sanaaa big 🆙 2020 kama unacheki ngoma like here
MOYO unanienda mbio kama unaendeshwa na Schumacher..... Niga one....
Kila nkiwaza mchizi wangu huenda anateseka.!
like za Chid benz zikowapi ?
Mtoto wa Ilala,Chid benzzzzzzzzzzzzz,acha madawa kaka,mfalme uliyepotea kabla ya kuimarisha utawala,
2020 in the building likee twendeee sawaaa 🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿
Mimi si mpenzi wa nyimbo hizi, lkn hii colabo ni noma sana!!! Hapa nimefurahia uhusiano mzuri kati wasanii wetu ambao unaweza kudhani pengine labda walisingeelewa kwa sababu ya ushindani wa biashara ya talanta zao. R. I. P Mchizi wangu @pancholatino, makazi ya milele yawe faraja kwako kwa matunda mema uliyotuachia duniani! Bwana ametoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe!!!! Amen.
🙏🙏🙏
Dah tupo kama kawa 2019 tinawakilisha IBRA ze hustle
Semaa jiaa kma umecheki i dude 2019 zaid ya cypher!!!!!! Gonga like
Sitangoja 2019, gongeni like machiz na mabeste doo...
Gonga like kama unaangalia hii ngoma mpka Leo 2019 hpo kwa playlist
From konde communities! !!!!! Mchizi wangu boscooo respect sanaaaa jah bless tumalize mwaka
Mtama Tanzania piga kelellel
this is the best track....I love tz hip-hop ....ila lord eyes kapitiliza saana
hii ndo hiphop sasa enzi zetu izo rashidi👏👏👏👏
Hii sasa ndio hip hop yenyewe. Jamaa walifanya Poa sana aisee
Chidi Benz Best Rapper forever
Mansulin aliua kinomaaa one love hppop 4 life
This makes me miss my bongo niggaz! Ghetto boyz foeva!
The real best collabo HipHop...!!! Getto boys foeva...
Chid Benz mnyamaaaaa umetishaa 2019 💥💥
Wendo mchizi wangu... 2024🔥🔥🔥🔥
Gonga like kama umeiona hii ngoma 2019
martin deogratius 03/07/2019
20/10/2019 kutoka Zanzibar
hawa ndo machizi wangu... Bongo Hip hop at its best
Waha ndio machizi wetu
2019 Kama unaangalia hii vidéo gonga like twende Sawa
Mchizi Wang nan 2020 ngonga like twende mchiiiziii
2023
temba mwehu kweli eti ukifaa na kiu baharini huo ni uzembee😅😅😅😅
Mchizi wangu 2021 unyama Sana 🔥🔥💯 jay ndunda ✌️
2022 najipata huku ,
Tbt Nzuri sana!!!!
Kwa wale wanaoelewa hip hop
Thumbs up👍👍👍
wazito wakiangusha vina vya kweli............big up machizi wangu wote..........iano.etc.kim.ngure
2019 nawaona wakali wangu long time ago
Like kama bado unaikubali Ngoma hii
MANSOUR dah asee 🔥🔥🔥🔥
Nyindo machiz waaaangu 💥2023 bado tunaskiza 🇰🇪
Maad colabo😎 Tanzanian artists rule hip hop across east Africa.
Gonga like twende sawa kama umeagalia hii ngoma 2020
Weeeweee ndo mchizz waaangu..!!!...#team kubwaaaa
Respect kwa Mr kubanda
Mzazi Willy M Tuva introduced this track in Kenya #HipHopTuesday kwenye #mambomseto #CitizenRadio much love Tuva
B4 we had radio free africa every friday .Presented this hard stuff .
Chid unawaliza wengi wanaongalia hii ngoma.
Still sounds fresh off the lab. Big up to all real solid dawgs
Chiddy fa jay mo mmetishAa
Gonga like kuanzia 2020 hpo
Noma sana chid $# we ndo mchezi wangu
This was the real hip hop! Spitting 'em rhymes!
2019 gonga dore kama umemuelea Chid benz
Love kwa "snichi"😂😂
Kama unaagalia hizi hits September 2019 gonga like milion kwa hip hop legends wa Bongo
Yeeeh
Hit of the hip-hop,I really love this song
Chid ameua sanaaaaa... 04th May, 2020
Mchizi wangu wa ukweli namjua kwenye mboni macho hayafichagi siri km sikendo mtaani mooh!
wewe ndio mchiz wang noma
Chid na Lord eyez wameua Ila ngwea alitakiwa kwenye hiii ngoma
Mabovu na Fa wameua, Lolenzo mchizi wangu means my good G
Binamu umeuwa vbaya. chid umenata na beat kinoma
chidi benzzzzzzzzzzzzz!!
Dude halichuji..2020 likes hapa🔥🔥
Jaymo is a lyrical genius
This era 🔥🔥
2020 still here
2018 still naona ndo zmetoka Jana yan.....really appriciated
Mfaume Akida we ndo mchizi wangu
Anae sikiliza 2021 gonga like💋
Wadau wa hippop tumemis track kama hii ya true hippop madgo sasahv wanatuzingua
Hii ngoma watu wamechana kama ugomvi.
Kama unaangalia hii 2018 gonga like
Hipop imepoteza muelekeo...zamani ilikuwa really
Noel Kaaya yaa
2019 nipe tano 😍
Nakumbuka A town kijenge ya juu mwaka 2004 pale maskani na kina Pizza, Wizzo, Issa, Jigga na Jaco. Nawamiss sana aisee.
Chid Benz kaua sana kwenye hii ngoma
R.I.P Ngwair Geez Mabov YP..
Ilikuwa booonge la kolabo💪 Wana kibaaao
Salute...from keko
R chuga hip hop Ndio ilipozaliwa bongo live. A town mpooooooooo ngaramtoni kwetu
daah king ngosha nakukubari sana daah nikifikiria hvi vchwa sijui ingekuaje hadi Leo ngwea chidi chuma
hip hop collabo ni nuksi yan
Gonga like hapa kama bado unaangalia huu wimbo 2020
daaah nzuri sana
Machizi wanamwaga madini hip hop ilikuwa noma kweny tambo zetu.
Yeah 2021! Bado tupo nayo, twende pamoja
datc hip hop xio wavaa vikuku na vibegi alafu wanajiita wanachana, this iz hip hop nat grasshopers of nowdays.R.I.P mangwear na geez mabov
Respect N2N..Nako2Nako
October 24 2008 hadi July 09 2021...🔥🔥🔥
Kama unangalia hii vitu 2017 gonga like
Salute
2018
This was agreat tune ...when real hip hop rule the world ....way back
2019 may mpooo gonga like tuelewane
Kama unajua mistari...sikiza Mansu Li..huyu jamaa ni mdeadly!!
G,,,,,,, mansul
N2N for life Mafia Nako here shidddd
2019 nimewa miss hawa watu
major tbt..back then when i was in high school...more love from 254...
Mzg nauwelewaga sana huu nako 2 nako mchizii wangu 2020
May 2024 good music never fade👊👊
Jay Moe ulitisha mzee baba, wale Weusi wanaojiita wanajua Hip Hop Hawawezi kabisa kutia spoko zao humu ndani
Nataman steve to k angekuwepo ye ndo mchiz wang kama pingu na denso kalii sana hi ngoma
Huu ni zaid Ya mseto 😂😂🔥💥
Kama bado unasikiliza hii ngoma we ndio mchizi gonga like
love the chidy verse
I'm here after khaligraph diss just to know Tanzanian hiphop.I must say Its good.
Hii time tulikua juu
Upendo na hip-hop we ndio mchizi wangu
2022 n it still rocking
Mnoa angalia 2020 wote in machizi wangu
Listening to this During Khali vs Tz epic beef 2023. Kwa Kweli Bongo HipHop ilitulea.
2018 gonga like woyoooo
Mansu Li Chid n Mo Killed it,Fid Q king wa Hiphoo