Maisha ni safari safari yenye siri kubwa sanaa jitahidi kufurahia muda ulionao ❤ upendo kwa wale tulio enjoy kipindi icho na mungu awalaze pema peponi walio tangulia much love 🇰🇪
Majani Apewe Heshima Yake . Hebu Fikiri Hii Beat Imepigwa Mwaka Gani Na Ina Miaka Mingapi Mpaka Sasa Ukiiskiliza Kama Imepigwa Jana. Na Huchoki Kuiskiliza P Funk Respect Kwake
Nakumbuka hii ngoma niko darasa la nne..... Mama ananipa nauli ya kwenda shule ya kurudi ananiambia utamwomba mama yako mdogo.... Kipindi namsubiri mama mdogo hii ngoma inapigwa...
Nyimbo uyu mwamba kalibia zote zinaishi lakin mondi kamfanyia kitu mbaya sana mwana kuchukua haki ya mwimbo wake mmoja wapo siyo fresh mondi sikutegemea simba la masimba kumbe nilifala sana
2023 usinitafte.....still ni hit....naacha comment mtu aki like Naja skiza huyu wimbo...🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥
Ni nouma
Kweli afande hii ngoma timeless
usinitafute 🤣
Niko online musinitafute 😂😂😂
Bro its 2024
Maisha ni safari safari yenye siri kubwa sanaa jitahidi kufurahia muda ulionao ❤ upendo kwa wale tulio enjoy kipindi icho na mungu awalaze pema peponi walio tangulia much love 🇰🇪
Hii ni kali kwa sana bado naskiza🇰🇪🇰🇪🇰🇪2024
It is 2024 and this song is still the best of all times
Anayekubali kwamba hii ni ngoma kali ya muda wote piga like hapa
Wale late 80s Huu wimbo ulitoka uko na miaka 15+ weka like hapo
It's 2023 and am still vibing to this tune..
❤❤❤
legend...May 2023
This song just came to my head now the 25th Jan 2025.. I last listened to it 20years ago.. love from 254🇰🇪
Watu wa kenya mnashow sana love respect.. Tanzanian ✌
Oldskool bongo ilikua noma!! So much memories...much love from Kenya 🇰🇪
2024 bado nasikiliza jamani ilikua burudani mwaka 2004❤
2024 but still a good hit for me.... BIG LOVE from DR CONGO
♾
Majani Apewe Heshima Yake . Hebu Fikiri Hii Beat Imepigwa Mwaka Gani Na Ina Miaka Mingapi Mpaka Sasa Ukiiskiliza Kama Imepigwa Jana. Na Huchoki Kuiskiliza P Funk Respect Kwake
duuu😂
Tupo bize sana ..goma hatari sana..nalikubali..piga like kama uko hapa 2023....rocket 🚀🚀 🔥🔥🔥🔥
Imebidi hili goma nilitafte japo n kijana wa 2000 .ila biti, rymes,flows,sound ,ujumbe 🔥🔥
Tunakuaga bize sana kwakweli
2023 still listening from Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Nikisikiliza uu wimbo namkumbuka kaka yangu kipenz, daahh aliupenda sana uu wimbo.... R.I.P broo😔😔😔😭😭😭
Sorry Man 😢
Pole saan zidi kumuobea
niko bizeee, ngoma bado ni hit huku 254 Kenya. Big up Jaffarai, 2024
He is such a good rapper...i like this song...nimemisi sana nyumbani!
Bonge la beat! Bado la chuna ndani ya 2024! 🙌🏾🎯💯🔥🇰🇪
Na bado naipenda 2022 much love from Kenya 🇰🇪
September, 2023!
Still rocking 🇹🇿
MAJANIIIIII King of Hip Hop producer
2024 tuko locked ..Real hipop rep Kenya
2024 still listening to this classic timeless music❤❤❤ from Kenya.
Nani tuko pamoja mpaka mwaka hu kwenye wimbo unaoishi🌺🌺 27/09/2022
haji mohamedi
Yap
Tuko pamoja ninaikubali kinoma
2po sana
nilikua kilasi 7sai Niko 35y
Tuko mwisho wa mwaka weka makopa kwa kumshu mungu inshallah atuvushe mwaka 2025❤❤❤
mi nitakutafuta bro, mad tune
🎤🎧🎹🪘
Jafaei kumamamayoooo, unajua mambo mpak una kera,halaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂
2024 bado tunaskiza kutoka Mombasa...we are old school and old school is us. Niko bizeeeeeee!
Yaan Niko bizee mpaka nimekumbuka hio song 2024
This will never grow old,much love from kenya
2025 kama bado tunasikiliza gonga like
Wakati bongo ulikuwa mwamba naipenda sana Tanzania Allah akujalie ameen
Olskool Bongo ilikuwa nomaree sana. I loved/still love it. Mob Love from Kenya...
ivi vinanda hatari sana halaf anatokea ngese flani eti yeye ndio producer bora mamae
Nakumbuka hii ngoma niko darasa la nne..... Mama ananipa nauli ya kwenda shule ya kurudi ananiambia utamwomba mama yako mdogo.... Kipindi namsubiri mama mdogo hii ngoma inapigwa...
Na umri wangu huu,sijawahi sikia ngoma kama hii.tena hii.nimecheka kweli.hadi mtoto wangu hapa ameshangaa natokwa wazimu.eti pua kama ngumi😅😂
Fire Niko bizeee hii ngoma nilipenda sana
Hawa jamaaa walikua wanatunga sana nyimbo kali beat zilikua zina dunda sana
Hii ngoma kaliii kinoma tangu 2003 had leo 2024 inabamba sio poa watoto wadogo hawawez kuelewa 😂😂😂
Mambo yetu ya Throwback Thursday..... 🔥🔥🔥
Daah 2024 bado niko busy 😂😂
Ngoma zilikua zamani ujumbe..mzuri.merody..nzuri👊
Niko Bizeee🎉
28 years old now still listening to this Jam Old is Gold
Nyimbo uyu mwamba kalibia zote zinaishi lakin mondi kamfanyia kitu mbaya sana mwana kuchukua haki ya mwimbo wake mmoja wapo siyo fresh mondi sikutegemea simba la masimba kumbe nilifala sana
Duh sio poa hii ngoma inanikumbusha mbli Yusuf Rashida makange home alisi tanga maramba ila kwasasa nipo dar nipo binz atr
Niko bize 2025😂❤❤
Ngoma nlipenda sana from🇰🇪🇰🇪
Our time when music was really and wonderful message big nation East Africa
Daaaaah!!!!miziki ni ya zaman tuu....wanamuziki wa Sasa kaeni kwa kutulia nyie maana hakuna kitu mnachoimba cha maana....
Still hit 🔥🔥🔥🇷🇼🇷🇼
Duh😂😂😂,nilikuwag na dem wangu anaitwa Marry Buzuluga loooh
zilizobamba 2004/2005 I still have a long list of these tbt in my drive even if I hit 70s Iove these vibes
Bongo ya zaman jo ❤️🖤...where did this Tanzanians go💔🤕
Boom bap beat the best forever..hip to the hop till i die..jefferai 👊
Bongèeeeee la ngomaaaaaa
Our time when music wako wapi hawa jamaa nawamiss kweli
Hatari sana, bado Niko bize
Ni 2024 bdo pia msela uko bizy...mi nakutafuta unko 🍁🔥🌬️
Hili song bhna nilikuwa nalipenda sana kwenye mpambano wa wasanii kipindi kwenye redio free Africa 2003
Hii ni wimbo ya maisha yangu
Tupo pamoja dear ❤❤
hivi ndivyo vipaji havina wapinzani ngoma zao zinaishi
🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ngoma kali
Hawa walitikisa sana enzi hizo....ila daz baba alikuwa msanii alipokuwa mdogo...siku hz ni teja tu daah life bana
Wale wa new mellanium hapa hawatambui #14th 2024 still a hit
Nan we are together up todate 24/5/23 agonge like hapa
Hii kali sana 🎉🎉🎉🎉🎉
Tanzanian inspire east Africa music
Hatari siku zote 2024
Naiskiliza ndani ya holili boda kwa veko sokoni, Zina tikisa bhalaa
Fellow B hapa usiku wa saa nane naiskiza kuona venye kuwa busy yaweza badili maisha...
2025 niko bizee🔥🔥🔥🔥
Oyya hz ndio ngomaaa
Man still ngoma ina heat kinyama tena mimi ni jazino jeff
2024 now still rocking
USINITFTE ...We here towards 2025
This was my skiza tone😅😅 that got Everyone complaining nkaitoa. Especially my Mum🤭but ingekuepo tu. ❤it
Yes kimya kimya..kula mjni✌️✌️
dahh kitambo Sana 2024
Huyu majani apewe tuzo yake special mdundo ni nouuuuuuma huu
100% why siku hizi hakuna beat kama iz
Nipo hapa 2023, bado nasikiliza hii ngoma.
10/3/2023
This sond still on fire
Kama unautazama wimbo huu mwaka huu 2023 plz coment NIKO BUSYYYYYYYYYYYYYY
Nipo busy hatari sana those years..Still watching it 2023
This song makes sense in 2023 than it was in 2005-006-007 dam man
It is now 11/02/2023 I enjoy the old school when am in morogoro town
Musics of our times...
Jaman. Nilikuwa form 2 hapo
I was in university of Oxford uk last semester
2024 ikielekea 2025 bado ni hit
Tuko pamoja 2024
Bzyyy 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪✅
Bobby Manoa amenileta hapa... ✅️
Nko bizee I say Jafarai alienda wpy🇰🇪🇰🇪
Bongo uchawi mwingi
7/10/2022 km nawe ipo tukutane kwa like twende sw😘
tuko pamoja good mziki mzuri unaishi
Niko bize msinitafte ndugu zangu tangu 2011 mpaka 2020 nikiwa dar nimetoka bukoba muleba Niko bize jamani
2024 niko busy 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Hii ngoma Kali sanaaa
Makn sanaaaa
Nomaaaa sanaaa hii ngoma
Daz baba alikua mdogo kinyama