Mnaosema video irudiwe jueni kwamba Nature katoa hii video kwa lengO la kutimiza ndoto ya vijana wa 2000 kuja kuiona video ya mtoto Iddi, Ndio maana kaifanya kwa kujitolea kwa bajeti ya kawaida, Mashabiki wa muziki wa sasa ni kizazi kingine kabisa cha hawa generation Z watoto wa 2000 wenye miziki yao, Kufanya video za milioni 20 ni uwekezaji na inabidi uwe na mashabiki wa kizazi cha Generation Z uwe na uhakika wa kurudisha pesa kwenye shoo zinazojaa hao watoto wa 2000. wasanii wengine nao waige huu mfano wa Nature kuna ngoma kibao ziliwahi kutamba hazina videos, It's a nice video that preserves the legacy of one of the greatest of all time in Bongo Flava.
Hii point sio mzee kuna ngoma za zamani tunaona watu wanaruka nazo sahv tiktok mfano viviano na ile ngwonko nko .. ni ngoma za kitambo bambo comedy zake za kitambo ila social media imemrudisha tena kuna namna hii angeifanya ingerudi kua trend .. niko pamoja na wanaosajesti baga awekwe au nagwa . Wale wana influence sasa siriaz kwa nature ya nyimbo kuna kaunyama kakiongezeka watu wanaifanyia challenge hii
Kitale ingemfaa! Above all we are happy now that Bongo Records is giving us the videos. Asante sana Majani. Wazo Zuri ambalo naomba utengeze video kali za miaka ya nyuma. 👏🏿👏🏿
Video ni nzuri sana thank you sir nature🎉 hawa watz hawajui hata kushukuru kwa kidogo mtu akijitahidi mtieni moyo sio kukashfu daily mnamvunja moyo inabid aanze atafika pale inatakiwa huwez kumuweka idd mnayemtaka nyie na hela ya kumlipa uyo idd wenu anatoa nature either hela ni kubwa hatuwez kujua why msishukur ata kwa hii video 😢ndo mana wasanii wanapataga depresion
Good idea sema nn director amezingua sehem moja tu hapo alipokuja juma nature boss angekuwepo hapo na hiyo mikwara ya nature mngetisha sana ila bigup sana
I dont know who is behind this projects and i must say am a happy man. Thank you kwa kutukumbushaa enzi zetu. Mtoto IDDI is one of the Natures song and Bongo family na full message. In the song we can fully relate and learn from it. Hakuna Nudes, Hakuna matusi, hakuna abcd. Hongera sana. Peace.
Woooow the GOAT sir P-Funk umefanya vizuri saaaana kufanya videos za these greatest TZ songs of all times. Bongo record forever and ever mwanzo mwisho!!! Your Congolese🇨🇩 fun from Manchester UK👏🏾🙏🏾
wabongo washamba kweli hii inaitwa visualizer na iko poa kabisa this is not offical video , good vibes sir nature this one is great respect bongo records watching from kenya
Juma Nature...nakutambua Mkuu, this music reminds me my first day in Musoma, August 2005! The song was playing every where in the town.. Two days later I visited Tarime and the same was happening...
Pure from the bottom of my heart. Hii Idean niliwahi kuicomment kwenye interview moja alikuwa anafanyiwa Majani au Master Jay sikumbiki vizuri ni miaka 5 au zaidi iliyopita. Asante sana tunaomba mrudie nyimbo zote za miaka ya nyuma zitengenezewe video in new technology 4K+ VERSION.
STRONG imeonekana mala 6, probably ni AD/wadhamini. Ngoma inanikumbusha mbali sana, alot of memories. Sema naona kama Iddi amepoa, ilitakiwa video ijae vurugu zake uswazi full kukimbizwa na kupigwa na raia. All in all nice video, wazo zuri kuifanyia video hii ngoma!!! 👏👏👏
Ngoma imegusa sana moyo tuliotokea mbali hongereni sana wakuu mloshiriki japo lwakuchangi hasa upande wa video nadhani haijatendewa haki kabisa natamani sana ninengemuona mtu kama kitale umo ndan independeza zaidi picha flani kama selemani . Kama shabiki naomba kuwakikilisha
Tangu zama majamaa walituburudisha kinyama na bado naona wako gangari kinoma.💥🌋💣Hawa ni asilimia Mia kwa mia baana.🔥👌🏿 Wagenje kuruka manzeeh. Heshma toka Nairobi 🇰🇪✊🏿👊🏿👊🏿
Mnaosema video irudiwe jueni kwamba Nature katoa hii video kwa lengO la kutimiza ndoto ya vijana wa 2000 kuja kuiona video ya mtoto Iddi, Ndio maana kaifanya kwa kujitolea kwa bajeti ya kawaida, Mashabiki wa muziki wa sasa ni kizazi kingine kabisa cha hawa generation Z watoto wa 2000 wenye miziki yao, Kufanya video za milioni 20 ni uwekezaji na inabidi uwe na mashabiki wa kizazi cha Generation Z uwe na uhakika wa kurudisha pesa kwenye shoo zinazojaa hao watoto wa 2000. wasanii wengine nao waige huu mfano wa Nature kuna ngoma kibao ziliwahi kutamba hazina videos, It's a nice video that preserves the legacy of one of the greatest of all time in Bongo Flava.
Umeielezea vizuri sana
Hii point sio mzee kuna ngoma za zamani tunaona watu wanaruka nazo sahv tiktok mfano viviano na ile ngwonko nko .. ni ngoma za kitambo bambo comedy zake za kitambo ila social media imemrudisha tena kuna namna hii angeifanya ingerudi kua trend .. niko pamoja na wanaosajesti baga awekwe au nagwa . Wale wana influence sasa siriaz kwa nature ya nyimbo kuna kaunyama kakiongezeka watu wanaifanyia challenge hii
Kaka inaweza kuwa bajeti hiyo hiyo ikawa tofauti
Sina cha kuongeza apo yan umemaliza yote. 😊
Umeongea✅✅✅
Legends wameamua kutuokoa from the curse of amapiano 🙌🏾 🔥🔥🔥 True Bongo flava 🇹🇿
Mwamba sana huyu jamaa ametoa vibao vikali sana huyu ndiye meaning sio hawa wa 2000 wanaimba matusi
Kumbe alishawai mdhurumu Mr Joseph Kusaga mtoto Iddi ni noma 😂😂
Video hii imefunika video trending zote za mwez huu,gonga like km waamini
Sa nechaaaaaaaaaaaaaa,stay strong brother
Ungempata mtu km Kitale, baga au Nagwa then script ingejumuisha matukio yaliyo imbwa hii ngoma ingerud upya sokoni huyo IDD mlio tuwekea kapoa kinoma
Hasa Kitale
Kitale ingemfaa! Above all we are happy now that Bongo Records is giving us the videos. Asante sana Majani. Wazo Zuri ambalo naomba utengeze video kali za miaka ya nyuma. 👏🏿👏🏿
washashoot sana hamchoki kuwaona kila siku .?
@@alfredlaurent1728analipwa 2M kwa project unaweza kulifanikisha hilo
@@Ali_Manzutruee
wasanii wazamani wakijuwa sana sio binadani mondi dah
Mzikii huu nimzuli sana nakama utalud Bax wasanii wetu wale wote walikua wakifanya vizuli zamani Bax watakuwa mastaa tena namziki utawalipa ❤
Kideo kali banah nliisaka kumbe bwana wagwan sana!#Juma nature🎉🎉🎉🎉🎉
Bado Feruz uko vizuri tu ! Love you from 🇷🇼
Nadhani kuba ukwel unafichwa kuhusu mtoto idd, hivi kwa umri wa mtoto idd alikua na mchongo gani kwa Mr Joseph kusaga hadi kufikia hatua ya kumdhurumu
Zilizopendwa 👌🏽👌🏽
Ngoma nzuri....vipaji vilikuwa vikubwa dis time...siku hizi matusi mwanzo mwisho...solo solo kakosekana
Kipindi hicho my brother anapambana naye atoke ila ikashindikana ,alikuwa anaipenda sana hii nyimbo daah🔥
Irudiwe iyo nyimbo tumpate kitale apo nagwa. Na baga itakaa Sawa ngoma kubwa iyo bwana irudiwe
Kweli hii aisee Idd awe kitale kideo itakaa sawa sana
Video ni nzuri sana thank you sir nature🎉 hawa watz hawajui hata kushukuru kwa kidogo mtu akijitahidi mtieni moyo sio kukashfu daily mnamvunja moyo inabid aanze atafika pale inatakiwa huwez kumuweka idd mnayemtaka nyie na hela ya kumlipa uyo idd wenu anatoa nature either hela ni kubwa hatuwez kujua why msishukur ata kwa hii video 😢ndo mana wasanii wanapataga depresion
daah safi sana ferooz kurudia hili pin mmtisha sana
Sana mkongwe Sir Nature 🥂💪🏽🙏🏼
Tukumbushie Enzi hizooooooooo
Sitaki demu👊🤗
Nakumbuka hii nyimbo walio fanya ze comedy ya kinampoki waliifanya vizuri sana tena sana nyimbo nzuri Mnoo videoimezingua sana
Director mkaliii sanaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥 🔥
Nice bro imekata kiu🙏
Ngoma kali vidéo mbaya
Bado amjui kuwekeza" apo idd angekua nagwa au yyote kama chado
hii ngoma ni pumbu la milele 🔥🔥🔥
The authentic bongo sound we've been listening too since history. Ii sound ndo natambua Sana...big up legend. Kali Sana. Wakenya tunakupenda.
Kizuri kinaishi milele👏👏👏👏👏
Twende nalo nature you legendary Bongo 👑
Big up brother p funky, keep doing we nee those old schools into this world
Awesome 👍 Sir . Nature King 👑 Of Old Bongo Flavor ❤🎉
Angetafutwa p didy umu ,matukio yangekuwa unyama xana
😂😂😂😂😂
Dah asee Juma nature urudi kwenye ngoma mzee 🔥🔥🔥🔥
Top classic the living legend ❤
Apana kwa kweli hi video uwongo bhn
Hapa ilitakiwa mshuti stori, iwe kama movie. Iddi katika pilika pilika mapurukushani!
Ilipaswa awe kitale
Salute#❤
Good idea sema nn director amezingua sehem moja tu hapo alipokuja juma nature boss angekuwepo hapo na hiyo mikwara ya nature mngetisha sana ila bigup sana
Verse ya Solo Thang ingekuwa Bomba sana kama ingekuwa sehemu ya video
I dont know who is behind this projects and i must say am a happy man. Thank you kwa kutukumbushaa enzi zetu. Mtoto IDDI is one of the Natures song and Bongo family na full message. In the song we can fully relate and learn from it. Hakuna Nudes, Hakuna matusi, hakuna abcd. Hongera sana. Peace.
❤❤❤😂. Ahsantini sana 🙏🙏🙏
❤❤ wimb mzuri sana naona mati super brand ltd una sapoti vipaji vikali sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Woooow the GOAT sir P-Funk umefanya vizuri saaaana kufanya videos za these greatest TZ songs of all times. Bongo record forever and ever mwanzo mwisho!!! Your Congolese🇨🇩 fun from Manchester UK👏🏾🙏🏾
Unundu mwingi
P anarudisha pesa yake ya 2000 🔥🔥🔥
Huyu iddi bishoo tu,hakistahili kuwepo kwenye hili goma kiroboto
This guy used to be popular in East Africa now he looks like he started his career. Ni kama ile miaka ya nyuma miziki haikuwa inalipa poa.
wabongo washamba kweli hii inaitwa visualizer na iko poa kabisa this is not offical video , good vibes sir nature this one is great respect bongo records watching from kenya
Majani hongera kwa video nzuri. Mwanzo mzuri, ila video ilitaka matukio ya utata mengi Legendary wetu P.
Ni kweli brother ngoma irudiwe
Nyimbo kaliiii video ipoooooza 😎
#Bongo record tena🎉🎉🎉
Shida ya ma director wa rahisi ndio matokeo ni hayo...ukiskia msaanii akisema video imemgharamu millions ni kweli
Dhahabu yetu ya Taifa ninoma sana ❤❤❤❤❤❤
Nataman sana angekua Ngoma nagw
Safi sanaa ukimaliza niandalie sonia 😊😊😊
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 wakwanza leo kwa mchizi wa UK.. BLESSED SANA #LEO
Yan nyimbo za zamani daaaah nzuri hutamani iishe yan kama usisikiliza hadith😂
Nyimbo kubwa sana Video hujaitendea hakiii
Na wa fata toka Congo, iyi ni style ya bongo, n'a penda sana , siyo mziki ya sasa, wana imba bila ku sema kitu
Mnanikosha sanaaaaaaaaas mtindo mlio anzisha uwo
Solo hayupo mkuu
Nice project..dude bado brand 👏👊🫡
Juma Nature...nakutambua Mkuu, this music reminds me my first day in Musoma, August 2005! The song was playing every where in the town.. Two days later I visited Tarime and the same was happening...
Mmezingua, iyo nyimbo ni kubwa! Ili hitaj invest ya kutosha kufanya iyo video.
Mnaraumu sana,, muchangie sasa afanye kitu bora
Nature boyyyy, Mziki mzuri unaishi.. Big up Bongo Records
Kiukweli Video mbaya Ngoma ya taifa umetualibia aiseeh
Huy director kafeli
Sijapendaa iludiweeeee😢
Ngoma Kali jamani naangalia mpaka nahisi maumivu moyoni
Daha bonge la videos kubabake safi sanaaa
Eeh bana kali,mtihani
Mtoto idd ngoma kali Sana
Aaah mmezingua video ata haiendani na matukio
Ungemueka nagawa umo au baga
Congratulations guys
Pure from the bottom of my heart.
Hii Idean niliwahi kuicomment kwenye interview moja alikuwa anafanyiwa Majani au Master Jay sikumbiki vizuri ni miaka 5 au zaidi iliyopita.
Asante sana tunaomba mrudie nyimbo zote za miaka ya nyuma zitengenezewe video in new technology 4K+ VERSION.
STRONG imeonekana mala 6, probably ni AD/wadhamini. Ngoma inanikumbusha mbali sana, alot of memories. Sema naona kama Iddi amepoa, ilitakiwa video ijae vurugu zake uswazi full kukimbizwa na kupigwa na raia. All in all nice video, wazo zuri kuifanyia video hii ngoma!!! 👏👏👏
Bongoflava to the world 🌎 ❤❤
🔥🔥🔥🔥
Bora pengo kuliko jino bovu...bonus... story kali ..video bado kabsa! Irudiwe tu ktk usiriaz
Bonge la song
Natural kama natural much respect
Director achinjwe Christmas 🎄
Ngoma imegusa sana moyo tuliotokea mbali hongereni sana wakuu mloshiriki japo lwakuchangi hasa upande wa video nadhani haijatendewa haki kabisa natamani sana ninengemuona mtu kama kitale umo ndan independeza zaidi picha flani kama selemani . Kama shabiki naomba kuwakikilisha
Pole sana mzigo ulikuwa moto ila kukosekana sauti ya profesa j dah inanyima raha
Nakukubal sana mzee kiroboto toka kenya
Juma tuletee video nyingine awemo ngoma nagwa hii tumeikataa
Juma nature msani wa zamani kumbe flow zingali kali ((simple🔥🔥🔥))
Nilikuwa na subir kipande cha kaka mkubwa ulamaaa dah lakin hongera pia
Idi mlio tuletea bishoo kinooooo hafai kwa video hiii ludia tena
Tangu zama majamaa walituburudisha kinyama na bado naona wako gangari kinoma.💥🌋💣Hawa ni asilimia Mia kwa mia baana.🔥👌🏿 Wagenje kuruka manzeeh. Heshma toka Nairobi 🇰🇪✊🏿👊🏿👊🏿
Angalia dunga mawe ya kontawa vyenye nagwa alifunika ww wachukua watu wa bure badala ungempatia nagwa iyo nafasi
Wanaume heeeed Nature kiroboto kibla sir nature msitu wa vina
Iddi kumbe mwizi
video hajaitendea haki,hii ngoma ni kubwa sana
Zama zile....Nature🔥🔥🔥🔥🔥 kazi kwako Mh. Temba, toa video ya Sideh Mnyamwezi😅😅😅
Ngoma Kali jkm tunataka ya ukimwi pia
Ngoma ya 90s alafu inakuja kufanyiwa video na vitoto vya 2005 matukio ya kimama na utoto duh nature rudia hii video kama unataka kuheshimiwa
Feruzi basi ebu tuliza nafsiii...pole sana kwa mkasa wa bosii...😢😢😢 "ENZI SIJAMPATA YESU" ..........😅