Stamina ft Rich Mavocal - Kabwela

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 342

  • @pascaljr.5439
    @pascaljr.5439 7 месяцев назад +54

    Hii miamba ilianzia mbali wale wa 2024 gonga like

  • @NeemaStephen-oe4ww
    @NeemaStephen-oe4ww 6 месяцев назад +24

    Wenye tuko apa tena 2024 gonga like

  • @maulidysaidy9925
    @maulidysaidy9925 4 года назад +162

    tunaoirudia tena hii 2020 like twende sawa

  • @abedneema3277
    @abedneema3277 5 лет назад +78

    Nauliza swali liwafikie hawa wasanii wawili: hivi huwa wanacukua mda wa kuangalia hii video ili wajue wapi walipotoka?? Wanao swali kama hili langu nipeni like

  • @chrisduffyniyokwizera
    @chrisduffyniyokwizera Год назад +7

    Wale tunao bang hii truck 2023 nipeni likes

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 5 лет назад +20

    Nyimbo kama hii kama ni Marekani inakupa utajiri kabisa Ngoma inavina inamdundo napia ina ujumbe Safi sana Stamina & Mavoko

  • @ibrahimkasim922
    @ibrahimkasim922 День назад +1

    Naelewa pia nakumbuka kitambo

  • @benedictmasigo3802
    @benedictmasigo3802 5 лет назад +111

    Daaaaah maisha yangu hayana swagga kama maasai wa njiro gonga like kama bado ngoma hii inasumbua masikio yako

  • @mohammedseif1927
    @mohammedseif1927 5 лет назад +49

    jamani hili goma kali san #STAMINA ft MAVOCO kama upo na mm gonga like 12/10/19

  • @buildertanzania4801
    @buildertanzania4801 4 года назад +41

    Alie skiliza tena kwa mala ya kwanza 2020 hii ngoma tujuane hap like kama bado upo hai kama mimi toka nyimbo ilivyotoka

  • @hidjadejong004
    @hidjadejong004 Год назад +9

    Stamina hana mpinzani kwenye hii gemu ngoma imeshiba ujumbe wa kutosha hadi leo 2023🙌

  • @chicharito4201
    @chicharito4201 3 года назад +12

    Tunaoangalia track hii 2021 gonga like za kutosha 🙌🏽🙏🏽🙏🏽

  • @josephshagembe4520
    @josephshagembe4520 6 лет назад +32

    STAMINA HII NGOMA COZ NDO IMEKUFANYA UONEKANE
    #gonga_like

  • @arabianillusionsworld734
    @arabianillusionsworld734 4 года назад +26

    THIS IS PURE TALENT I love this song, nakumbuka nlikuwa ndo nimemaliza form 4 "if am not mistaken" nyimbo hii imetoka I used to really like it and till now naipenda.. now Am listening from Abu Dhabi UAE

  • @ShattanandaRamadhaniMalute
    @ShattanandaRamadhaniMalute 3 месяца назад +2

    Daaah kuja kupata tena ngoma kali kama hizi sjui ni lini apa akina mbuzi nd wanatakiwa kijifunza sio kwa nymbo zao iz 2024 gonga lke apo

  • @jayjay-yc8kb
    @jayjay-yc8kb 9 лет назад +32

    pesa imekuwa adimu kama bikra kwa changu dowa..........mahn u nailed it team wakali wa hiphop

  • @robertlubote9793
    @robertlubote9793 10 лет назад +27

    It's so sad, Hongera kwa utunzi mzuri, nimependa mistari iko poa.

  • @yahyajarufu5893
    @yahyajarufu5893 2 года назад +13

    Still banging 2022 Classic song🔥🔥 Massage, Rhymes zipo poa huu wimbo utaishi milele very inspired kwa wapambanaji

  • @ghostsoul1111
    @ghostsoul1111 4 года назад +3

    who is watching this song in 2020 , alot of love from rwanda

  • @stevenmatano9930
    @stevenmatano9930 Год назад +5

    2023 still bado its a hit melody 🎉🎉🎉

  • @MrTabasamu
    @MrTabasamu 11 лет назад +11

    Punchline baada ya nyingine Napenda nyimbo zake zooote!
    Nani kama Stamina?!!!

  • @upendokawogo1840
    @upendokawogo1840 5 лет назад +8

    Nataka kumuomba mungu shetan ananizid speed men

  • @benjaminshinje5816
    @benjaminshinje5816 Год назад +1

    Dah, kuleni bata kweli mlitoka mbali heshima kwenu❤❤❤❤

  • @jumaramadhan3380
    @jumaramadhan3380 5 лет назад +44

    Nani yupo hapa leo 2019 🖒🖒🖒🖒

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Месяц назад

      Ad 1sep 2024 nipo apa

  • @flova7022
    @flova7022 2 года назад +1

    Verse ya tatu nyoko sanaaaa ..daah fundi

  • @godblexxgyunda6060
    @godblexxgyunda6060 Год назад +1

    Mavoko uliuwa sana

  • @medys1000
    @medys1000 12 лет назад +5

    omg stamina we mkali kaka una risha alafu mavoko ndio kaua kabisaa kwenye upande wa voko kaka unatisha dude keep it up dudes

  • @panduhaji1893
    @panduhaji1893 4 года назад +1

    Dahh nikiwa na huzuni napenda kusikiliza hii nyimbooo

  • @shebelezatv1809
    @shebelezatv1809 4 года назад +3

    Enzi izo cna cm Hii ngoma niliikopi kwny daftar ili niikalili yote 😢😂😂😂

  • @fredyalexkomba7910
    @fredyalexkomba7910 4 месяца назад +2

    Aaaah we stamina mi nimekuja kuskiliza 2024

  • @kephasgembe9924
    @kephasgembe9924 4 года назад +8

    2020 bado naitzama hii nyimbo,ni my life favorite song,kuanzia mwanzo hadi mwisho ni point tupu hakuna mashudu

    • @RobbyKaizer
      @RobbyKaizer Год назад

      Ahahhaha akuna mashuduu 😂😂😂

  • @shairanadam1443
    @shairanadam1443 5 лет назад +47

    Tuende swa leo 13-10-2019

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Месяц назад

      Wale wa 1sep2024 mje apa

  • @DINGOSTARMWANAMAMBO-rl5np
    @DINGOSTARMWANAMAMBO-rl5np Год назад +1

    since day1 ulikua mnoma sana

  • @Dropshipping102
    @Dropshipping102 2 года назад +2

    Sasa hivi ndio naelewa maana ya huu wimbo baada ya kuanza utafutaji Mimi mwenyewe

  • @4weston4
    @4weston4 13 лет назад +5

    Keep it up, the lines are wonderful, kijana alitulia. Endelea piga kazi... tunataka nyimbo za aina hiyo na lines nzuri.

  • @salimomar-n7s
    @salimomar-n7s 4 месяца назад +2

    Rich mavoko ulifanya nni bro kujiunga wasafi ulikua nakupaji cha hali ya juu ssa wamekupoteza

  • @LouiseERne98
    @LouiseERne98 12 лет назад +8

    Well , Nakukubali sana Mr. Stamina , you make me love you man ... keep up your good work .

  • @kwesemswahela6870
    @kwesemswahela6870 4 года назад +1

    Waluguru cc mafund bas tyu bahat atuna yaahn

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 3 года назад

    Nani mwenye lyrics za wimbo wote, naomba tafadhali.

  • @KakaDolla
    @KakaDolla 4 года назад +4

    Wenye tumefika huku 2020 na corona mko wapi 😂😂

  • @johnmacharia24
    @johnmacharia24 4 года назад +5

    Very sentimental 🔥🔥... #2020 from the +254 🇰🇪

  • @saphielymtaita1110
    @saphielymtaita1110 9 лет назад +6

    Kama kawaidaaah - pesa imekuwa adimu kama bikira kwa changudoaa daaaaah iko pouwaa sana h song

    • @saphielymtaita1110
      @saphielymtaita1110 9 лет назад +1

      Me nadhani haya maisha yana raman ila aliyemchorea maskn penn ilimgomea njian umefikiria saaaaaaaana ma broo

  • @lameckluwanda3506
    @lameckluwanda3506 3 года назад

    Stamina nae aliaza kuwa mzee kabla ya kuwa kijana .... hahahahaaaaa

  • @mariamjuma1429
    @mariamjuma1429 4 года назад +1

    Master vina na punch zako ni balaaaaaaaa

  • @rosemollel2118
    @rosemollel2118 4 года назад +1

    sijwahi kuichoka hii ngoma......mistari inayoishi

  • @sabrisaid3602
    @sabrisaid3602 3 года назад +1

    UZURI WA NYIMBO ZA TZ. HUA NAZIPENDA SANAA.SABABU ZINA MAFUNZO PIA ZA KIMAISHA.CONGRATULATION'S BROTHERS. 10/07/2021.

  • @kidobwax3591
    @kidobwax3591 4 года назад

    Noma sanaaa by DJ kido bwax

  • @futurekibingu69
    @futurekibingu69 Год назад +6

    Still best 2023

  • @LouiseERne98
    @LouiseERne98 12 лет назад +12

    I like the way ya rap ,,, it pretty cool , keep up your good job guys

  • @ericksaid5327
    @ericksaid5327 Год назад +1

    Kazi nzuri sana

  • @mabenzimabenzi4348
    @mabenzimabenzi4348 5 лет назад +3

    kweli huyu ndo mavoco hahah hatukati tamaa ipo siku na sisi tutajishangaa

  • @josephthiago2137
    @josephthiago2137 4 года назад

    leo nimepat kesho nimekosw daaaaa

  • @walivyojuma7095
    @walivyojuma7095 5 лет назад +3

    izi ndo nyimbo uyu ndo mavoko wa ukwel ila si wasasa

  • @kakag5940
    @kakag5940 4 года назад +2

    Heheheheee huyu huyu Stamina mmoja ndo huyu huyu wa ASIWAZE ??

  • @donaldmhulula6888
    @donaldmhulula6888 4 месяца назад

    Chorus ili nyongwa mpaka ika kata roho❤😊

  • @mussabinford9872
    @mussabinford9872 Год назад +1

    Nataman kula baga lkn naishia viaz vy gairoo

  • @MUSTSANGA
    @MUSTSANGA 7 месяцев назад

    Nipo hapa 2024

  • @phizmsag7824
    @phizmsag7824 3 года назад +1

    Dunia yambalabovu ambeauwewa huu msitali weka laki

  • @Omariogibow
    @Omariogibow 5 месяцев назад

    Hii ngoma inanikumbusha south africa 2013 nikiwa bado nasota ALLAHAMDHULILAH🎉

  • @saidtembele3070
    @saidtembele3070 9 месяцев назад

    Nostalgic,
    Dah 2012 nilikuwa form two 🙌🙌
    Today 26.12.2023

  • @mitto3496
    @mitto3496 5 лет назад +17

    this song gave me hope today 2019 LOL BROS

  • @johnmhanga7479
    @johnmhanga7479 9 месяцев назад

    Nataka nimuombe Mungu shetan anazid speed men
    DAAAH NI HATALIII

  • @AbeidiOmary
    @AbeidiOmary 5 месяцев назад

    Pesa imekua ngum kama bikra kwa changudoa😢😢😢

  • @samuelkatama3068
    @samuelkatama3068 4 года назад +1

    Waah, ni ngoma 100 kwa 100 bana.

  • @melbournechurch234
    @melbournechurch234 4 года назад +2

    Stamina pls work with Nigerian musicians like Diamond
    Respect
    Godbless

  • @emmanuelchristopher5479
    @emmanuelchristopher5479 4 года назад

    Ulianza poa sana hujawah toa wimbo Makin Kama huu man

  • @babyancaful
    @babyancaful 12 лет назад +7

    aaaawwww stamina good job keep it up u can do it.

  • @davidchesco52
    @davidchesco52 5 лет назад +1

    Daaah vya kale dhahabu tutawakumbuka sana baada ya kuondoka legend

  • @bongoflevakitambo9995
    @bongoflevakitambo9995 4 года назад +1

    Kama tuko pamoja moro stend up
    OLD IS GOLD MZIKI MZURI UNAISHI MIAKA 💯💯💯💯

  • @daliusmahela2237
    @daliusmahela2237 3 года назад

    Kitambo san kwl hakuna mwmbamb ni har tu kabwer

  • @alexandarkulwa3690
    @alexandarkulwa3690 4 года назад

    Kalikua kadogo ka stamina

  • @festuskatana7376
    @festuskatana7376 2 месяца назад

    Diamond alimharibia Talanta Mavoko

  • @SuleimanSalum-kk7xx
    @SuleimanSalum-kk7xx 2 месяца назад +2

    Yeah 2024

  • @HamisiJuma-if3jn
    @HamisiJuma-if3jn 4 месяца назад

    Daaah ipowazi wasanii wasikuizi wanaimba tulmradi wapate pessa namadem wazur

  • @Cheche_Boy
    @Cheche_Boy 4 года назад +3

    Dec 2019 Naskilza hii ngoma gonga like twende Sawa

  • @allykutenga2862
    @allykutenga2862 4 года назад

    Mi nadhani haya maisha yana ramani ila alowachorea maskini peni ilimgomea njiani Daaaahh..,,
    (JAMAA ANATISHA KWA (MISTARI KUSEMA LA UKWEKI).

  • @salimmussa9719
    @salimmussa9719 9 лет назад +7

    This is my best tz rap song ever

  • @Mahonda8080
    @Mahonda8080 4 года назад

    Me nazani aya maisha yana ramani ,na aliyewacholea maskini peni iligomea njiani , jamaa unafikiria sana

  • @EdisonEvarist
    @EdisonEvarist 8 месяцев назад

    Nyimbo yangu pendwa enzizoo

  • @susanmmeri9380
    @susanmmeri9380 5 лет назад +2

    STAMINA bado Young 😉

  • @neemachawe9601
    @neemachawe9601 7 лет назад +1

    kwel maisha yanaenda kasi, huyu co mavoko wa KOKORO WCB

  • @bossmanjibakari5904
    @bossmanjibakari5904 4 года назад

    Naikubali kuliko ngoma zote za stamina
    Vikombe vya umaminifu nisha vivunjia mtahani na vijiko vya ualifu nimeviweka kwenyesani daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa)

  • @Maduakanyamanza
    @Maduakanyamanza 2 года назад +1

    naona alama za mlango ila sion pakutokea

  • @jamilfuad6847
    @jamilfuad6847 11 месяцев назад

    Nakumbuka mbali nkiskiza hili goma old good days

  • @frankgeorge9903
    @frankgeorge9903 3 года назад +1

    Niko hapa 2021 kuwaangalia jinsi walivyokuwa wasanii wetu kabla hawajawa wasanii wa kamera🤔🤔🤔🤔🤔🤔

  • @babaismat6946
    @babaismat6946 8 лет назад +11

    BEST HIPHOP EVER

  • @davidmloge7277
    @davidmloge7277 4 года назад +1

    Am here💥

  • @latifaatendo8888
    @latifaatendo8888 2 года назад

    najisikia uchugu ca ninapockiliza hu wimbo yn cn usemi kwenu kwakweli nimewapenda bure

  • @nurdinsadik1827
    @nurdinsadik1827 4 года назад

    Kwel day kitambo San

  • @emanuelpeter8181
    @emanuelpeter8181 5 лет назад

    Haya maisha ni kama ramani na aliewachorea mackini peni ilimgomea njiani daaà stamina nooooma

  • @graychuma2708
    @graychuma2708 4 года назад

    Dhaaaa sema washkaji wametoka mbali bala

  • @halidihemed1006
    @halidihemed1006 4 года назад +12

    2/12/2019 naomba like hapa

  • @yohannanyamwanga2785
    @yohannanyamwanga2785 5 лет назад

    Maisha ni kombolela masikini ndoo murinda kopo maisha yanalamani ila arie chorea masikini kalamu irimgomea njian

  • @richkanyala6293
    @richkanyala6293 5 лет назад +1

    Naqbal sana daah wap mavoko stamina

  • @hawangulunge1925
    @hawangulunge1925 4 года назад +2

    Kama unalo 2020 nonga like

  • @alahstamuzackayo5509
    @alahstamuzackayo5509 4 года назад +3

    Wimbo 2019 bado nasikiliza

  • @khalidmnjovu4463
    @khalidmnjovu4463 11 лет назад +4

    Best rhymes bro, good music!

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 Месяц назад

    Wenye tunaicheki hii 2042 gonna like

  • @ngosha3022
    @ngosha3022 10 лет назад +2

    big up hiii imetulia sana na inaelimisha

  • @deusjosephat8554
    @deusjosephat8554 8 месяцев назад

    natamani kula baga naishia viazi vya gailo dah