Hip Hop is life Fid q aka Mkimbizaji ni Msanii hasiyekuwa na Makuu anaishi kwa Misingi ya Dini yake na Mtumishi wa Ukweli Hip Hop ni Maisha halisi yanayotuzunguka Rap ni kile unachosema
Finally i get to show love to one of my beat songs. Dont even know the meaning but i rate this song soooo highly. I just feel it mehn. Would wish to work with you Msodoki brodda🤝
Moja kati ya mashairi poa sana......Any way,tusibiri baada ya kufika hospitali shem alijaaliwa kukwambia nini.Au dokta akumtibu mpaka ulete ela kwanza ikiwa hali ya shemeji ni mbaya sana......
Alafu killer ,,,,lunya ni rapper flani fala kiroho safi kwako kurap ni natural talent janja enyewe anatambua kurap amekuwachia ndio maana siku hizi harap✌️tuzo kwakooo🎉
killer hapa umeitendea haki ngoma, sio yule jamaa mwingine kwenye ile ngoma ya neno alizingua imagine fareed kakaza yy kaja na vimstari vyake vinaelea🤭😂. Btw I used to work hapo kiwandani,
I dont mean to be offtopic but does any of you know of a trick to log back into an instagram account? I was dumb forgot the login password. I appreciate any assistance you can give me!
Kama umekuja kuicheki 2024 tujuane apa
Huuuu mzigo hatar
Ndi huyo hapa
❤❤❤❤
Hii noma
Me ndo nawasili now
Wow amazing 2024 tupo wangap
13
Yaaani kila siku nipo apa
❤❤13 yooh killer let's make remix 13 future diamond
Mwez wa 9 huu 2024 tar 1 wangap tupo pamoja
" thamini huu muda kabla haujageuka history, part of the past do not fit the script for the future memory.....FID Q 🔥🔥🔥🔥 LYRICS zimeshiba sana 🐐
2025 wakuu gonga like apa kama buku
R.I.P Nisher. Masterpiece Visuals
Nisher alifariki kwan nilisikia Kwan nisher babayake ndo yule mchungaji
*Kama una wakubali FID Q na young killer msodoki gonga like*
Og
@@hasaanishemngindo2202 hapo zaidi Hassan
Jamani wa 2025 tukutane hii ngoma ni tamu haichuji ni kali always favorite to me
Ukweli Wala sio ushabiki, Dogo Janja Na Young Dee Wakasome kwanza kwa Young Killer,
Wataelewa tuuuy
baada ya bifu ya young kunya na young killer nimekuja kuangalia mistali ya killer🚫📣
Ngoma Kali, mwalimu wao wote hao mpka akina stamina Ni fidi
Ila huyu *NIXHER* hapewi nafasi tu ila ni moja ya ma DIRECTOR bora kabisa hapa bongo
Ngoma kalii tunaishii nayo 2023
naupenda umaarufu nachukia bwebw zake navyo speak true af wakish amni nyak young kille rhatar fid q
Umeua young KILLER unajua mnoooooooooooooooooo###maana kuwamkali wakusifiwa kubali kutumiwaa+++
Kama umerudi tena kulisoma ili homa like hapa hawa jamaa waliangamiza sana
Ukiwa mkal w kusifiwa kubali kutumiwa,✍️📚
tujuane leo kwa wale bado wanaisikiliza hii ngoma 2024
Kama umerudi kucheki hili goma 2021 gonga like..🇹🇿🇰🇪
Mwenzako Niko hapa 2023
P.funk majani bongo record
2024 still here
2025
Nimerudi 2025 😂
Flow kama hizi tunazimisi badiri
Kam unasiliza wimbo mpka now weka like yako
2024 mwezi 7 tujuane hapaaa
Tupo sote mzee hii ngoma ni ya Bado ni ya moto
Usimpige mkeo piga shangwe,!: yani mi ndo nakuja kuelewa hii punch line toka imetoka, kama ndo kama mi bs like twende moko au VP bab
Tatizo belle9 hakuonekana ingekaa poa zaidi,
Hip Hop is life Fid q aka Mkimbizaji ni Msanii hasiyekuwa na Makuu anaishi kwa Misingi ya Dini yake na Mtumishi wa Ukweli Hip Hop ni Maisha halisi yanayotuzunguka Rap ni kile unachosema
MSODOKI IS NEXT LEVEL.... nikama huwa unaniuliza cha kufanya unajua zaidi ya ujuzi wako 🫵👍 we proud of you killer
Mama ndo alonitabiri kuwa mm nitakuwa star na nyota Kila pande msukuma nayesukuma miti hata fransis cheka naweza punch akaliaah
We nan
🎉dft 2:03 was
Kama umesikiliza mwk 2024 tujuan
Unyam sn kaka😂
Msodoki unanikoshaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
Daaaah killer unajua mpakq unakeraaa yaaaniiiii
13 ndo kille aliponunua gar yake ya kwanza kama unamkubal gong nyng like
Wasukuma kwenye track Moja 🔥🔥
Hii ndo bongo flava Og. Tilioshi. Mutabila Camp tujuane hapa! Rafiki zangu waha wa Shunga Kijiweni nawapa hi!!!
Kama unakubali bongo records
"Napenda bombo lakini nachukia alufuake" hahhhh.... Nipe likes brow!!!
What's that??!
@@edwardtrigga5701pombe😅😅
Itabaki kuwa corabo Bora y hip-hop 📚💪
I'm here to watch it again. I dont knw Swahili words bt this hip-hop song ni noma arif
Happy birthday Fid Q
August 13 2024
jaman 2024 mwezi wa 10 wote hapa
Dah hili goma nalikubal sana
I think big is my dream big kuwa bigg wa michuano ambaye ajawahi kuonekana....❤❤. 2023
2023 we still rockin
Finally i get to show love to one of my beat songs. Dont even know the meaning but i rate this song soooo highly. I just feel it mehn. Would wish to work with you Msodoki brodda🤝
Kaumecheki goma may 2020 gonga like za kutosha
Hakika huyu Professor, Mungu azidi kukulinda na Kukubariki daima Niga Jay❤❤
They kill the beat love from 🇧🇮
Niko hapa leo!
Tisha sanaaaa
Like kama unaiangalia 2019
R.I.P Nisher😢
Repin 254 hii ngoma kali sana!!
Msodoki kwa sana nasubiri mvua inyeshe nijitokeze kudance, sina jeuri Wala mzaha😱😮😦😯
Msodoki. Atar sana.
am still watching this dude 2024.......💥💥💥💥💥💥
Here we go 2023
Ngoshaa my favourite rapper 4L
Goma Kali Sanaa kama imetoka Leo, kama unaikubalii goga like twende sawa
Haijawai kuchuja
Nakubali xana young killer
Belle 9 kills the chorus🔥
Wngapi tunaitazama 06/2019
Goat 🐐🐐🐐 2023 still in my play list💣💣💣
nimeikumbuka nkairudia.
Madini ya Msodoki Young Killer
Dongo janja.kubali.young killer. Nimemkubali
Favorite hip hop song till.date 🙌🏼
Moja kati ya mashairi poa sana......Any way,tusibiri baada ya kufika hospitali shem alijaaliwa kukwambia nini.Au dokta akumtibu mpaka ulete ela kwanza ikiwa hali ya shemeji ni mbaya sana......
Cnaga swaga mwendelezo mzee mwenzangu eeeh bhana
Alafu killer ,,,,lunya ni rapper flani fala kiroho safi kwako kurap ni natural talent janja enyewe anatambua kurap amekuwachia ndio maana siku hizi harap✌️tuzo kwakooo🎉
I believe hip hop was born in Tanzania much love from Uganda
Mwalimu n mwalimu, killer yuko na mwalimu wa mistari fidQ.
Unyama nimwingi sanaaaaa
Aseee n hatarr
2023 bado ya moto
2023 goma limesimama sanaa hili 🔥 killer🙌🏼
Nani amekuja kuangalia baada ya kifo Cha director nisher
2022 bado naitazana ngoma hii kali kuwah kutokea apa chin ya juA🔥🔥🔥
killer flow killer beat you killed it
Dogo anaweza mnoooo
Hv mnajua baad ya young killer binafs sion wa kumshabikia
Missing hii michano ya mtu 3
Wangapi tunaichek 2020
uko juu young killer.
One of my favorite songs hit song off all time, all the best wakuu
Great collabo.homie
Killer noma sana
April 13th to August 13th
This collabo is for 2 best rappers of hip hop in
Tz
Young killer Msodoki. kk nakuelewa kinomanom
killer hapa umeitendea haki ngoma, sio yule jamaa mwingine kwenye ile ngoma ya neno alizingua imagine fareed kakaza yy kaja na vimstari vyake vinaelea🤭😂. Btw I used to work hapo kiwandani,
I dont mean to be offtopic but does any of you know of a trick to log back into an instagram account?
I was dumb forgot the login password. I appreciate any assistance you can give me!
@Mekhi Finn instablaster =)
Nachukiaaa Sana mpumbavu you g Dee akisema kakuzidi kipaji.. yaan atulie hukooooo
Beat ya Pfunk 🔥🔥🔥🔥💕
nipo Leo 3/10/2024 nimekuja kuangalia Tena bkuma na wew upo gonga like apa
The first verse is one of the best
Rock city stand up...🔥🔥🔥🔥🔥
Sure sure wakubwa wangu 13👌
Ngoma hii ilikua ni ya moto sana
SHOGA HATOKUJA KUYAONA MAFANIKIO NDYO
Nisha. Hapa kazi ulifanya broo
ndogo anaeleweka kwasababu yupo na mzee baba ambaye hapendi sikendo
Beat zote za Bongo Records ukua 🔥
Hapa hata chidi benz hafikii
Aise hii kitu heshima mpaka leo sijaona kama hii
Mwanza Mwanza Oyooooooh!.